Wengi Tulikata Tamaa Lakini Tuliamka Tena Baada Ya Kuamini Tunachofanya! Nilichekwa Wakati Natengeneza Video Kwa Smartphone Lakini Walionicheka Leo Wao Ndiyo Hawajaendelea 😀😀😀😀 Tupambane Ndugu Zangu.
Kwa maisha ninayoyapitia mm na hizi changamoto ambazo nakutana nazo Laiti kama una roho ndogo wallah Unaweza kukata tamaa kabisaa Na hata kuweza kumkufuru muumba wako ila naiamini sana kesho yangu Kuliko leo yangu😔
Tambua unachokipenda kukifanya, tumia muda wako kukifanyia utafiti na usitazamie faida bali matokeo ya kile unachopenda kukifanya, kama unakipenda hata kikiwa ni cha hasara, kwako ni faida kwasababu kinakuletea furaha/ kinakufurahisha. Kisha amini katika unachokifanya haijalishi watasema nini wanaokuzunguka maana kelele zao zina nia moja tuu ya kukukatisha tamaa, Amini ! kelele na kejeli unazozisikia kwa watu usizitazame, maana ipo siku kelele hizo zitageuka na kukushangilia kwa kile unachokifanya na midomo iliyotoa kejeli awali itakusifia. Amini katika kile unachokifanya na umwamini Mungu Yeye huwapa heshima waliodharauliwa !! Na cha msingi jitihada huzaa matokeo chanya !!
Wengi Tulikata Tamaa Lakini Tuliamka Tena Baada Ya Kuamini Tunachofanya! Nilichekwa Wakati Natengeneza Video Kwa Smartphone Lakini Walionicheka Leo Wao Ndiyo Hawajaendelea 😀😀😀😀 Tupambane Ndugu Zangu.
Ni kweli kaka cha muhimu ni kujua tu ile ndoto uliyonayo kichwani,na kuisimamia mana watu lazima wakukatishe tamaa
@@BONGOFASTA kweli Mkuu 🙏🙏🙏🙏🙏✊
@@BONGOFASTA Nikweli kabisaaa
Mungu ambariki sana huyu kijana
asanti sana justine shedi kwakutuelimisha
Tueshimu mawazo ya mwenzio kama unaona huwezi kutumia muda wako na watu wenye mawazo yakusonga mbele kaa pembeni .😎
Watching from Kenya 254
Kwa maisha ninayoyapitia mm na hizi changamoto ambazo nakutana nazo
Laiti kama una roho ndogo wallah
Unaweza kukata tamaa kabisaa
Na hata kuweza kumkufuru muumba wako ila naiamini sana kesho yangu
Kuliko leo yangu😔
Woiyee
Inshallah Mungu ni mwema utapita tu muombe Mungu fanya kazi kwa bidii tu
Binadam karibu wote tunapitia hayo mazito kua na iman tu kua kesho ni bora kuliko leo
Tusome sana mafanikio yapo kwenye vitabu
MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH
Very well
Sprt it supplies for others
Mungu ni mkubwa💪
Tambua unachokipenda kukifanya, tumia muda wako kukifanyia utafiti na usitazamie faida bali matokeo ya kile unachopenda kukifanya, kama unakipenda hata kikiwa ni cha hasara, kwako ni faida kwasababu kinakuletea furaha/ kinakufurahisha. Kisha amini katika unachokifanya haijalishi watasema nini wanaokuzunguka maana kelele zao zina nia moja tuu ya kukukatisha tamaa, Amini ! kelele na kejeli unazozisikia kwa watu usizitazame, maana ipo siku kelele hizo zitageuka na kukushangilia kwa kile unachokifanya na midomo iliyotoa kejeli awali itakusifia. Amini katika kile unachokifanya na umwamini Mungu Yeye huwapa heshima waliodharauliwa !! Na cha msingi jitihada huzaa matokeo chanya !!
Daah yupo vizuri sana
Dah story inasisimua sana imeniongezea imani
Wanaocheka wacheke mtu ako kwa kaburi juu hawajui kesho italeta nini.mtu ako hai MUNGU ako na yake kwa ghala atabarikiwa mpaka washangae
Mungu ni mwema kila wakati🙏🙏
Yaaan waafrica kwa kukatishana tamaa daaa
Funzo kubwa Sana
God is good all the time
Movie ya the boy who harnessed the power of the wind
Hii movie ina itwa " a boy who harnessed the wind" ya 2019 nakumbuka nilikua nalia wakati naangalia ina gusa hisia Sana ni true story sema wame act tu
Yani nimeshukulu sana jastin
AMEN AMEN.
Kaka me na appreciate unachokifanya...... JUSTIN SHED
Congratulations
Mungu akiandika jambo dogo tu unapaa.kama white masai mavazi yake tu kapendwa na mzungu.
Daa mpaka history za malawi unazipatia
I appreciated
Ahsante Sana
Sanaaaaaaaa J
Story nzur
shabiki namba 4 wa Justin shed piga Kaz Kaka tupo pamoja
Xasa twende kaziiiiiiiii
MashAllah
Hata mm Kuna baadha wananidharau Ila Kuna siku wataona maajabu 😂😂😂
Mkuu kila mtu anadharaulika .hata matajiri wanazaraulika tu cha msng kila mtu aishi maisha yake
Mmmmmmh mkuuu wew hakuna atakaeekuheshimu tutakuzarau daily
🔥🔥🔥
Hii story ninkam ina movie yake moja hiv true story
Movie: the boy who harnessed the wind,.... 2019
Sasa twende Kazi 🇹🇿 justin
Asante sana
Nakumbk kisa hiki Kam niliona kweny movie ila OK kisa kizur
Sasa Twende Kazi
Story ya kweli au hadithi
Sasa twende kaz
Kisa cha majaliwa usije ukakisahau
Oscar Oscar,kama.
Mimi naitwa justin shed sasa twende kazi
Hhhhha
Imetolewa movie story ya uyu jamaa, inaitwa THE BOY THAT HARVEST THE WIND
Kwel ni nzr sn
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Mimi n Albert Einstein Sasa twende kazi
Unazingua😂😂😂
Kaka shed huna mpinzan brother
Hii story umeitoa kweny movie bro...ilaa ni kisa cha kwel
Ni William au michael
Ni william
Nilichek movie yake kali sn
inaitwaje kaka
William sisi wenye majina haya niwatu wakubwa sana
🤣🤣🤣, nakubal tengenez mambo yaonekan ilinmzd kutamba saa
Hawa watu ni picha zao au unajiongeza tu brother
N kweli tafuta movie inaitwa boy harnessed the wind
Inavutia sana