INASIKITISHA!Dubai walivyozamisha TRILION 32.4 ndani ya BAHARI katika VISIWA VYA KUTENGENEZA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ม.ค. 2021
- Mwaka 2003 dubai waliishtua dunia kwa kutangaza mradi ambao utagharimu matrilioni ya pesa,kwa kutengeneza visiwa ambavyo vitakuwa na umbo kama la dunia na juu yake kulitakiwa kujengwa makazi ya kifahari,hoteli za nyota saba bila kusahau macasino na kumbi za starehe ambayo zingekuwa zikiwahudumia watu maarufu kutoka kote duniani,visiwa hivi vilitakiwa kujengwa maili mbili kutoka nchi kavu,na vingefikika kwa boti tu kutoka dubai.kutokana na kuwa na umbo kama la dunia mradi huu uliitwa THE WORLD yaani ulimwengu.Ulikuwa ni mradi mkubwa lakini si wakwanza na wa pekee,kwani tayari dubai walikuwa washaanza kufanya miradi mwingine,kwani kampuni ya ujenzi ya NAKHEEL ambayo inamilikiwa na serikali,ilishaona fursa katika biashara ya majengo,hivyo wakaamua wabuni miradi ambayo ingejengwa baharini na kuvutia utalii Zaidi,baada ya kupitisha miradi hiyo kazi ilianza na mapema kabisa kampuni hiyo ilikuwa imekamilisha mradi wa palm jumeira ambao ulikuwa ni mji uliojengwa majini ukiwa na umbe la mnazi.Lakini wakti huo huo kulikuwa na miradi mwingine iliyopo kwenye foleni kama vile palm jebel ali na palm deira.sasa turudi kwenye mradi wa the wolrd,mradi huu ulitangazwa sana na ilitakiwa kuwa kivutio kikubwa sana cha utalii huku watu maarufu wakikaribishwa kumiliki visiwa hivyo,lakini katika hali ya kusikitisha,mpaka hii leo,si chini ya asilimia 95 ya visiwa hivi viko wazi na hakuna kinachoendelea licha ya Zaidi ya miaka 10 kupita.
- ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
duh hii kalii kwel tembea ujionee. gonga like km unandoto ya kwenda Dubai.
Karibu Dubai pesa yako tu
@Fatma Ibrahim inshaallah xoon will come...
Mchawi kibunda tu ukiwanacho popote unakwenda so wabongo wapo kibao huko semanao wakupe ramani ata za mishe
Aki kaka unafanya kazi nzuri sana wallahi pongezi na naamini sana bila shaka lolote taarifa zako basi naomba " Watu wanaokuwa illuminati ndo wana-raise to fame kwa haraka sana hivi maajuzi hapa Kenya"....bcoz nashangaa kuskia eti mtu anakaa mhumble sana naambiwa amejiunga hivi maajuzi hapa Kenya mpaka nmeanza kuogopa na kutoamini matajiri hata moja au hata watufamous
Muamini yesu kristo tuu alimwaga damu msalabani na kafufuka
Wewenzetu wanamipango yakweli sio sisi viongozi wetu wao ni siasa chafu na wizi kigamboni tuliambiwa kutakuja wawekezaje kutoka amerika tuliona michoro kumbe uongo mtupu
Mashallaah ❤
Justin sheddy, special kabwanga, Richard shio, annanias Edger hawa ndio wasimuliaji Bora kabisa kuwahi kutokea TANZANIA.
Hawa jamaa wanapesa mpaka wanaumwa
Asante Justin
Mungu ameahid mukiwa muislam wakweli atawashushia neema ya mali baada yakuvumiliashida nakuto mkufur
Sasa siye twakufuru kiasi gani kiasi eti tuishi kwa ufahari hivi?
@@tandalesse4544 Tanzania Ina Mali nyingi sn Ila serekali ndo Inashindwa jinsi ya kutumia
Sio umbo la mnazi, ni umbo la mtende
Good job Mzee
wapo vizur wenzetu wa rangi rangi kimbembe wanaojiita black beautiful kazi kujivisha maringi chen bangir eleni mablack complain ndio maisha aisee kazi hipo
Nakubali sana story zako
Watamalizia tu ...miladi mikubwa kama hii inachukua mda mrefu
Its 254 representing...🔥🔥🔥
Karibu Tz z ur hommy
Angalau kwa siku video 3. Itakua poa
na sisi one day 2tafika tu inshaallah na ndiyo raha ya nchi yote kufika kilele cha mafanikio
utafika vipi na siasa nyingi
Mtqfika wapi km bwawa la uneme la magufuli alipokufa tu wakaanza kubishana bungeni waliache wataweza kufika huko
Duuh....
Kilimanjaro na burj kahlifa jawapidevu
Hiz mbwa zinachimbaga hela
Sasa twende kaz
Duu
Acha ushamba sio umbo la mnazi ni mtende....
Aipingwi
telegraph hatukupati
Sasa twende kazi namba moja 😂😂
😂😂 sasa twende kazi
Bongo fasta ningepanda utupe history ya Abraham Li... raisi wa marekani
Utaipata BongoArchive Tv
Ni muonekano wa mtende siyo mnazi.
Hawa kenge wana hela
Usiwaite kenge
@@rashidahmed8071 sawa
Hawa mbwa wana hela mpaka wanaumwa
Ninyi wanadamu naona mnahangaika sana, haya heb hangaikeni vyema, nawaangalia tu, kisha nitakuja kama mwivi kuwachukua, sasa ole wenu niwakute mko na huo upuuzi wenu. Mtanijua mimi ni nani. OLE WENU.
Hahahahahaa
Hahahaha umetisha bro
@@josephstephen2047 jisikie amani sana
Natakaku zumugumuzija
Duuuu this is foolishness
Wamejiongeza maana mafuta siku hizi kila sehem wanachimba
Teach me how to make a story you will be bressed
Shetani anawasumbua wamwamini mungu
Nipo Dubai hapa hawa jamaa wana hela chafu ila wana roho mbaya sana
Ukiwa na roho nzr hufanikiwi kwa haraka
@@omarmhmammed216 Ndio hivyo
Acha uongo wewe katika waarabu wazungu wa Roho basi ni Hawa jamaa acha kupotosha watu
Mimi nipo Dubai Tangu 2008 hiyo Roho mbaya ni ipi hebu eleza hapa
@@jovovichmedia9424 tunaoishi nao ndani tunawajua vizuri ila ww unaishi nje huwezi wajua
AZAM BAKHRESA kafukia Mtoni Zanzibar pia kajitahidi Africa nzima hajatokea mtu muekezaji kufukia Bahari ila ni ZNZ tuu ZNZ mpaka sasa.
Hoteli ya Verde
Mtoni Zanzibar
Tanzania.
Huo ni mtazamo wangu.....
uku mwanza yupo kitana kasogeza ziwa mbele akashusha mjengo