GWAJIMA AMUACHA HOI MAGUFULI KWA VICHEKO, BUNGE LALIPUKA KWA SHANGWE, "MBWA ACHA WABWEKE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 พ.ย. 2020

ความคิดเห็น • 959

  • @dorcasdee1114
    @dorcasdee1114 3 ปีที่แล้ว +14

    Bado sijaamini haupo tena Rais ni husuni sana😭😭😭😭😭🇰🇪poleni watanzania wote

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya5693 3 ปีที่แล้ว +181

    JPM OYEEEE MIAKA 35 IKULU Nani kaona askofu gwajima kawashiwa maiki weka like hapa

    • @francischuwa259
      @francischuwa259 3 ปีที่แล้ว +5

      Yaap Bishop Gwajima !!! Genuine appreciation to the Hon. President Jpm!! of the United Republic of Tanzania for his today's ia

    • @masongaofficial
      @masongaofficial 3 ปีที่แล้ว +3

      That's why I sang
      Tanzania yangu mp3
      th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html

    • @issakawaya8315
      @issakawaya8315 3 ปีที่แล้ว +1

      Sijamuelewa

    • @koffilove2796
      @koffilove2796 3 ปีที่แล้ว +1

      @@francischuwa259 ¹¹

    • @emanuelfissoo2015
      @emanuelfissoo2015 3 ปีที่แล้ว +2

      Nimeona mzee

  • @pambaquick8177
    @pambaquick8177 3 ปีที่แล้ว +40

    Ishu ni kwamba...anaongea tuuu halafu hakosei, daah 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌hiki ni kipaji sio ujanja tu.

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 3 ปีที่แล้ว +89

    Nimempenda gwaji boy, kwenye ujinga anafanya ujinga sehemu serious anakuwa serious

    • @mcheshcomedy5809
      @mcheshcomedy5809 3 ปีที่แล้ว +2

      😜😜😜😜😜 super sticker😜🔐

    • @jaffersandi8048
      @jaffersandi8048 3 ปีที่แล้ว

      Nikupe no zake yupo vizuri bwn

    • @kareemnduma2278
      @kareemnduma2278 3 ปีที่แล้ว

      @patricia Carlo Mambo vipi kwema my dear

    • @nicksonndanzi573
      @nicksonndanzi573 3 ปีที่แล้ว

      Moja ya quality za good speakers

  • @celinamgundoi8420
    @celinamgundoi8420 2 ปีที่แล้ว +4

    Dah! Jaman utazania upo baba yetu magufuli hakika tutakukumbuka daima, ulitupenda kwa dhati na ukajitoa kwa moyo wako wote ulitua moyo juu ya corona na ukatukumbusha tuzidi kumlilia mungu na kwel mungu alitusikia lakn kwa sasa 😷😷😱😱😭😭😭😭😭, mungu akupumzishe kwa amani baba yetu magufuli Amen

  • @sengeremaxleo9295
    @sengeremaxleo9295 3 ปีที่แล้ว +62

    Very very prophetic words,,,,, gwaji boy is the best

  • @roseatieno6691
    @roseatieno6691 3 ปีที่แล้ว +38

    I never new Gwajima was such a clever and intelligent man . Kongole Askofu .

  • @wilbrodwemaonlinetv8379
    @wilbrodwemaonlinetv8379 3 ปีที่แล้ว +14

    Jembe limepata mkulima..... Safy sanaaaa Mheshimiwa Gwajima

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 3 ปีที่แล้ว +72

    Me nlisemaga hyu mwamba ni chuma watu wakaanzaa kumtolea maneno ya dharau,ila hyu jamaa hata nchi anaweza ongoza

    • @seleseleli7064
      @seleseleli7064 3 ปีที่แล้ว

      Kwa kipi apo sasa mavio

    • @johnassilvester1600
      @johnassilvester1600 3 ปีที่แล้ว +3

      Sure men

    • @dornita6660
      @dornita6660 3 ปีที่แล้ว +1

      Si uongo

    • @hashimsleman1371
      @hashimsleman1371 3 ปีที่แล้ว +3

      Haaaaaaa ndugu kwaku ita watu mmbwaa kwakweli 2025 agombee uraisi

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 3 ปีที่แล้ว +2

      @@hashimsleman1371 Mara ngapi akina tundulisu wanatukana matusi mbona wamegombea uraisi alafu hajaita mtu mmbwa kasema ukitaka kufika mbali usimjibu kila mmbwa unayejutana nae barabarani watakuchelewesha pia huo ndiyo ukweli kwenye Maisha siyo lazima kila mtu umridhishe au akupende haiwezekani!!!!!.

  • @alfredaloyce6835
    @alfredaloyce6835 3 ปีที่แล้ว +14

    Hoo aliesikia gwajima akisema kwenye majimbo mengine hatukuitaji kupiga ila kulitaja jina la raisi

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 3 ปีที่แล้ว +35

    Waziri Gwajima oyee

  • @joharyjumakazala3813
    @joharyjumakazala3813 2 ปีที่แล้ว +4

    Tujuane wa 2021 Aug nimependa sana gwajima alivotoa speech yake mbele ya ya hayati magufuli

  • @marynghumbu8437
    @marynghumbu8437 3 ปีที่แล้ว +31

    Hongera Askofu Gwajima.

  • @thomasdunde1698
    @thomasdunde1698 3 ปีที่แล้ว +14

    It's great presentation done by Gwajima

  • @cydrahope5251
    @cydrahope5251 3 ปีที่แล้ว +45

    Kweli kabisa tumechagua ccm kwasababu yako jpm

  • @yasintakahamba1320
    @yasintakahamba1320 3 ปีที่แล้ว +3

    Rais wetu wa badae karibu Tanzania mpya ya mafanikio👏👏👏👏

  • @paulondiek1345
    @paulondiek1345 3 ปีที่แล้ว +7

    God bless Dr John Magufuli and my entire Africa as a whole much love from USA

  • @christianolyehe6149
    @christianolyehe6149 3 ปีที่แล้ว +31

    Kwahoja2 gwajima apo ndopenyewe

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 ปีที่แล้ว +7

    Mambo yako motoooooooo iwe na maendeleo hivyo hivyo hongera Sana gwajima hatujakosea kukuchagua piga kazi babaaaaa

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward5605 3 ปีที่แล้ว +54

    Ngwajima namuelewqga sana congratulations it’s yr relevances examples

  • @esterdaudi9614
    @esterdaudi9614 3 ปีที่แล้ว +10

    Gwajima auchoshi kukuangalia big up piga kazi babaa😂😂😂

  • @apolnarytv1074
    @apolnarytv1074 3 ปีที่แล้ว +41

    Kawe hamjakosea 🔥🔥🔥🔥

  • @martinchiteji5772
    @martinchiteji5772 3 ปีที่แล้ว +32

    Gwajima bwana ,we achatu,kuwapeleka watu mbinguni 100%, kwenye policts you seem to be among the best politicians for the coming generation.good start.congrats bishop

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 ปีที่แล้ว

      Ujinga mzigo alimshinda nani huyo mfilaji wa waumini wake na kura za wizi ccm chali

    • @farajakasikile8846
      @farajakasikile8846 3 ปีที่แล้ว +4

      @@emmapaul1766 sikia kijana ulijuwa aje ni yeye ulimsaidia siku iyoo pili uyo alie sema kuusu haache kuwapeleka watu mbinguni wewe ndie Mungu una msimamisha kazi yake ya uduma unapata laana bila kujuwa kijana

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 ปีที่แล้ว

      @@farajakasikile8846 katafte clip inayomuhusu utamuona vizuri kuhusu laana siwez kuwa na laana wenye laana ni wez wa kura ambao mungu atawaadhibu muda sio mrefu

    • @bonnyngowo7567
      @bonnyngowo7567 3 ปีที่แล้ว

      What about phoney votes that enabled him ?

    • @janekikoti2179
      @janekikoti2179 3 ปีที่แล้ว +3

      @@emmapaul1766 Acha kutapa tapa mlishabamizwa chini mkubali tu acheni matusi na uongo Mungu atawapiga tena
      Gwajima hoyeee mpaka kieleweke

  • @mangapineema7652
    @mangapineema7652 3 ปีที่แล้ว +47

    GWAJIMA ni 🔥 🔥 🔥 🔥

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 ปีที่แล้ว +4

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

    • @thierry3318
      @thierry3318 2 ปีที่แล้ว +3

      I am Burundian but I was a big fan of J.P. Magufuri when he was alive👊👊👊

  • @francismngumi5125
    @francismngumi5125 3 ปีที่แล้ว +19

    Daah nimesikiliza zaid ya mara tatu

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 3 ปีที่แล้ว +7

    Huyu jamaa anaweza kujipima ktk Miguu ya Uraisi huko Mbeleni ni Kichwa

  • @presseg.6362
    @presseg.6362 3 ปีที่แล้ว +4

    Kwa kweli kazi yako inaongea kila jimbo, ndo maana wabunge wengi wameshinda Wa Ccm, mungu azidi kukulinda Rais wetu Magufuli

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 ปีที่แล้ว +14

    GWAJIBOY you're somehow genius all the best for your new journey to serving people of KAWE without any bias👏👏👏😁😁😁

  • @happyjuma6718
    @happyjuma6718 3 ปีที่แล้ว +74

    Bunge la 12 litakuwa la kihistoria wallahi

  • @hamislipangine9649
    @hamislipangine9649 3 ปีที่แล้ว +25

    Hahahahahaha..... Safi Sana Gwaji boy.Nimekuelewa moto umeshawaka.

    • @rehemasaid796
      @rehemasaid796 3 ปีที่แล้ว

      GWAJIMA JIFUNZE KUWASHA MIKE OK! HAKELUYA

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 3 ปีที่แล้ว

      Kawasha dude

  • @fatumahassan8212
    @fatumahassan8212 3 ปีที่แล้ว +6

    Hongera sana Mheshimiwa rais na watumishi wa wote....najivuniya kuwa mtanzania rais WANGU MAGUFULI ...BUNGE LA 12LITAKUWA LA KIHISTORY, CONGRATULATIONS GWAJIMA

  • @jumamkokota8564
    @jumamkokota8564 3 ปีที่แล้ว +51

    😃😃😃😃 wagogo wamepanua masikio aaaaah

    • @sofiasuleiman8474
      @sofiasuleiman8474 3 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣

    • @dimaika_
      @dimaika_ 3 ปีที่แล้ว

      Acha matusi kijana haya maisha tu

    • @ashuuuaisha9122
      @ashuuuaisha9122 3 ปีที่แล้ว +5

      Mtani wetu huyo tunajuana wenyewe mgogo na msukuma ndio mtani wetu wa jadii😂😂😂nimefurahi tu

    • @selector728
      @selector728 3 ปีที่แล้ว +2

      Wagogoooo😝😝😝😝

  • @emanueldaud2360
    @emanueldaud2360 3 ปีที่แล้ว +27

    Mungu mkubwa tanzania itafikaa mbali xaana mungu msaidie rais wetu azidi kuwa njemaa

  • @bisekoc.k.jenjela7936
    @bisekoc.k.jenjela7936 3 ปีที่แล้ว +6

    Hiyo ndiyo faida kuwalea vizuri watu wa jamii yako, watajitolea kwa moyo wote pia watijenga nchi yao na kuilinda.

  • @abdullatiframadhani5059
    @abdullatiframadhani5059 3 ปีที่แล้ว +32

    Hii ndio Tanzania yetu tunayojivunia ya raha, amani,upendo... Najivunia kuwa Mtanzania

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 3 ปีที่แล้ว +5

    TUNAJIVUNIA Dr JOHN POMBE MAGUFURI.

  • @hoseamgema9107
    @hoseamgema9107 3 ปีที่แล้ว +27

    gwajima ni mashine. . big up sana comred . .

  • @KA-yz2ld
    @KA-yz2ld 3 ปีที่แล้ว +18

    Mzee Magu amejitahidi kiukweli, M/Mungu azidi kumpa nguvu 🙏🏽

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 3 ปีที่แล้ว +16

    Gwajima 🙌🙌🙌🙌🇹🇿

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 3 ปีที่แล้ว +11

    Gwajima atanifanya nilipende hili walahi😂😂😂😂😂😂😂

    • @madolaclassic869
      @madolaclassic869 3 ปีที่แล้ว

      Mungu wa ajabu asa makonda chali kwa kumfanya mwenzie mbaya leo mwenzie juu

  • @tumaininerei5948
    @tumaininerei5948 3 ปีที่แล้ว +5

    Kwakuwa wakwamisha maendeleo hawapo tena bungeni na kwakuwa bunge ni la kijani tunasubiri kwa hamu tuone Tanzania iwe kama ULAYA.

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 3 ปีที่แล้ว +22

    Huyo ndio Gwaji boy ! Mchungaji

  • @ramahamis5793
    @ramahamis5793 3 ปีที่แล้ว +23

    Gwajima hongera sana umemfanya raisi wetu j p m kufurahi SANA

    • @jonasyohana3258
      @jonasyohana3258 3 ปีที่แล้ว +1

      Gwaji boy

    • @syriacussylivester4594
      @syriacussylivester4594 3 ปีที่แล้ว

      Mungu ni mwema,Raisi barkiwaaa,Askofu barka kwwko na pia nchi mzma kwa ujumlaaaaa
      .

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 ปีที่แล้ว +13

    Tutaomba mno Mungu mpaka kieleweke. Dunia lzm ielewe Tanzania ni nchi ya pili ya ahadi kutoka Israel chini ya Raisi John Pombe Magufuli. Nakupenda raisi wangu,naipenda Tanzania mno. Magufuli umenifanya niwe real CCM

  • @isejemedia6760
    @isejemedia6760 3 ปีที่แล้ว +35

    Hiyo ndiyo gwajima,,namuelewa sana,,

    • @davidandrew9575
      @davidandrew9575 2 ปีที่แล้ว +1

      Nitakupenda milele magufuli japo haupo

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 3 ปีที่แล้ว +17

    MH Gwajima juu juu zaidi tunakupenda mbunge wetu hata Bungeni unaongea mambo ya maana yenye kubeba ujumbe mzito wenye mafundisho ndani yake InShaaAllah MMungu akulinde uwezekutusaidia

    • @jokivaleofficialmusic1045
      @jokivaleofficialmusic1045 3 ปีที่แล้ว +2

      Kabisa kabisa hata mimi nakuunga mkono ndugu!!!

    • @alexandermapela237
      @alexandermapela237 3 ปีที่แล้ว +1

      Hakika,,Umekuwa muwazi kueleza uhalisia unaouthibitisha juu ya Mp Gwajima,,hakika Nimependa sana appreciation zako juu yake,,its real!!!
      It's a good start,kawe mtanufaika hakika.

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 3 ปีที่แล้ว +20

    Gwanjima safi anza kazi

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 3 ปีที่แล้ว +2

      Tumeanza kuona vionjo jamani , mbwa akibweka usimtupie mawe we songa mbele jamani nimecheka mpaka

    • @mcheshcomedy5809
      @mcheshcomedy5809 3 ปีที่แล้ว +1

      @@neemamasimba2981 umecheka mpk KARIAKOO 😜

  • @derickmoshi6409
    @derickmoshi6409 3 ปีที่แล้ว +7

    Miladi Ayo shukran Sana taarifa yenu hua ni shuri Sana, hamnaga maneno tunasikiliza na kijionea wenyewe. Kazi nzuri

    • @jocety4426
      @jocety4426 3 ปีที่แล้ว

      True,
      Big up 💪💪@Millad.
      Nawapata vzr Sana frm👉🇴🇲

  • @christinamngara8277
    @christinamngara8277 3 ปีที่แล้ว +20

    intelligent people kama Gwajima niwachache sana

    • @eliasmrema2512
      @eliasmrema2512 3 ปีที่แล้ว +1

      Perfect.

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 ปีที่แล้ว +1

      Labda intelligent kwa ccm

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 3 ปีที่แล้ว

      @@emmapaul1766 kweli siyo ccm tu wanasiasa wote Hapa nchini wachache ni intelligent hata uko chadema act cuf n.k

  • @amosnaqbarxanaabddallah2730
    @amosnaqbarxanaabddallah2730 3 ปีที่แล้ว +13

    Nakkbar mchungaji wangu fanya Kaz yako uliyotumwa na selikali,,hapa kazi tu!!!

    • @selector728
      @selector728 3 ปีที่แล้ว +2

      Nakukubali siyo nakukubari

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 3 ปีที่แล้ว +39

    Ila gwajiboy anajua kuongea aisee..

  • @evalynechacha9191
    @evalynechacha9191 3 ปีที่แล้ว +3

    Alisifiwa pia katika uhai wake😍😘😘

  • @zakarialuhemeja444
    @zakarialuhemeja444 3 ปีที่แล้ว +7

    Gwajima maneno yako yana upako aisee. Mbavu zimeuma kwa sababu ya kicheko

  • @hbdina
    @hbdina 2 ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿Dr.John Pombe Magufuli ❤️❤️❤️❤️

  • @mutindamusyoki9622
    @mutindamusyoki9622 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana rais magufuli MUNGU akupe maisha marefu,,, hongera Sana,,,,ninacho kuomba mkuu ukimaliza zamu yako Tanzania nakukaribisha uje kenya tunaitaji kiongozi Kama wewe

  • @saidhassan1096
    @saidhassan1096 3 ปีที่แล้ว +39

    nasubir mbunge wangu wa kawe awe waziri...

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 3 ปีที่แล้ว +2

      Mbunge wetu

    • @nsiamassawe3075
      @nsiamassawe3075 3 ปีที่แล้ว +1

      Akipata uwaziri nitakutafuta

    • @martinanappa9627
      @martinanappa9627 3 ปีที่แล้ว +1

      Hiyo ipo njiani

    • @samsonimarwa8622
      @samsonimarwa8622 3 ปีที่แล้ว +1

      Nilitegemea mchungaji ngwajima atanza hata kwa kuombea walio jichanganya kumbe anaita watu kuwa wabwek siasa imeisha inatakiwa maendeleo

    • @tumainichannele1998
      @tumainichannele1998 3 ปีที่แล้ว

      @@samsonimarwa8622 kweli kabisa unaakili mwana!

  • @fancytulula9537
    @fancytulula9537 3 ปีที่แล้ว +3

    God Will take him far.... One day, he will be Tanzania President, he will make it, he works hard, he deserves it🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🙌🙌

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 3 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.

  • @tipherndacute3082
    @tipherndacute3082 3 ปีที่แล้ว +4

    Gwajim umetoa hotuba nzr Leo hongera kwako bba

  • @heavenlymusicproduction4360
    @heavenlymusicproduction4360 3 ปีที่แล้ว +9

    Gwajima una kipaji mkuu hongera wanaokusema vibaya Achana nao ni (mbwa wakibweka we achana nao la nongeza mwendo hahahahaaaha i like it)

    • @fatumahassan8212
      @fatumahassan8212 3 ปีที่แล้ว

      Litakuwa bunge la kihistory hakuna mapepo mwaka huu bungeni

  • @celestinemahande5168
    @celestinemahande5168 3 ปีที่แล้ว +7

    Tulikuwa tumechelewa sana kupata watu kama kinagwajima

  • @edithmakwakwa9489
    @edithmakwakwa9489 3 ปีที่แล้ว +8

    Hongera Sana pastor Josephat Gwajima

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 3 ปีที่แล้ว +4

    Change has come for magufuli naiona tz mpyaa inakujaa

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 3 ปีที่แล้ว +40

    Nmemuona beberu anasikiliza kwa umakin wa hal ya juu

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 3 ปีที่แล้ว +1

      ☝️☝️☝️😂😂😂❤

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 3 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

    • @franklaurent4042
      @franklaurent4042 3 ปีที่แล้ว +1

      katulia huyo

    • @deusdeodavid5360
      @deusdeodavid5360 3 ปีที่แล้ว

      Beberu sio mzungu tu bro

    • @deusdeodavid5360
      @deusdeodavid5360 3 ปีที่แล้ว +4

      Unapo sema "kula" badala ya "kura" kwa hao wageni wanao sikiliza kwa vifaa vya kutafsiri lugha sijui vinakua vinasemaje huko.

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 3 ปีที่แล้ว +30

    Njooni uku, Bungeni kumenoga.

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 3 ปีที่แล้ว +1

    Umeongea vizuri Gwajima....
    Kila mtu ana uhuru wake na Magufuli kiukweli inaonesha njia

  • @stevenmasato5787
    @stevenmasato5787 3 ปีที่แล้ว +2

    Gwaji boy yuko fit duh. alafu anajua kupangilia speech mpka raha. hongera sana

    • @michaelsiweya6500
      @michaelsiweya6500 3 ปีที่แล้ว +1

      Wala haujakosea aisee...Mimi mwenyewe nilitamani aendelee tu kuongea

  • @adrianovalence4314
    @adrianovalence4314 3 ปีที่แล้ว +13

    Nimetulia zangu napitia comments za waumini wa boy gwaji

  • @augustinomwamasinga2200
    @augustinomwamasinga2200 3 ปีที่แล้ว +2

    Naamin kwamba hakuna mbunge atakaemzid Gwajima kutoa hoja na kuongea vzr

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward5605 3 ปีที่แล้ว +37

    I love his examples

  • @ernestshija8186
    @ernestshija8186 3 ปีที่แล้ว +70

    Mambo yameanza kunoga.

    • @masongaofficial
      @masongaofficial 3 ปีที่แล้ว +2

      Go back and listen to
      Tanzania yangu mp3
      th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
      And you will understand

    • @wardajoseph6909
      @wardajoseph6909 3 ปีที่แล้ว +5

      Sana tu hili ndio mbunge lkn lile lililopita la kina halima na zitto na mbowe huwa najiuliza walikuwa watoto wadogo fujo tu

  • @sengeremaxleo9295
    @sengeremaxleo9295 3 ปีที่แล้ว +11

    Achukue yeyoteee but asiwe joseph msukuma

  • @PAMBAZUKATVONLINE
    @PAMBAZUKATVONLINE 3 ปีที่แล้ว +2

    Namupenda sanaNgwajima na Magufuri

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 ปีที่แล้ว +11

    Hongera Sana Kiongozi wetu Rais wetu wa Tanzania yetu John Pombe Joseph Magufuli miaka 5 Mingine wewe ndiye utatuvusha Sana.....

    • @godfreyswai9828
      @godfreyswai9828 3 ปีที่แล้ว

      Mtumishi wa mungu anapoondoka ktk uwepo wa mungu, ujue mwisho wa dunia umekaribia, asikofu mzima unaeaita waumini mmbwa? Ama kweli siasa ni shetanani,( mwache mskufuli afanye kazi ,tunampenda,dini ns siasa haviendani ,chagua moja moto au baridi,

  • @lucyheigre1974
    @lucyheigre1974 3 ปีที่แล้ว +34

    Kwa kweli Gwajima atanifanya nilipende bunge la 12,sasa kazi nimeielewa😅😅

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 3 ปีที่แล้ว +2

      Shida siyo hiyo anaweza kuwa na kipaji cha kuongea ila asiwe na kipaji cha utendaji

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 3 ปีที่แล้ว +1

      @@emanuelmwanga4 hicho anacho magu

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 3 ปีที่แล้ว +1

      @@bernardoleonard7331 unaelewa nachomaanisha au uropokaji

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 3 ปีที่แล้ว +1

      @@emanuelmwanga4 kipaji Cha utendaji Magufuli anacho kuliko hata kuongea n mtu wa vitendo zaidi kuhusu gwajima ndyo kwanza kapata nafasi kwa mara ya kwanza kwahyo tutapata nafasi hivi karibuni yakuona Kama anakipaji Cha utendaji kwasababu kipaji Cha kuongea tumeshakiona hata kwenye kampeni.

    • @eliarichard9218
      @eliarichard9218 3 ปีที่แล้ว +1

      @@emanuelmwanga4 kama siyo mtendaji utajiri aliyo nao ameupataje na vitabu anavyo je vitabu unawezaje kuviandika kama siyo mtendaji wa kazi

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 3 ปีที่แล้ว +3

    Bi Kidude angekuwa keshagoma na kutoka nje.... PIGENI KAZI... Singapore ipo mbali kwa kuwa wengi ndani ya bunge ni chama tawala.... ila mkituzingua 2025 sio mbali Tutakuzingueni mjuee😡🇹🇿✔

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 ปีที่แล้ว

      Filwaji LA mshind feki

  • @michaelkn2639
    @michaelkn2639 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akupe neema baba uwe raïsi wa tanzania

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 3 ปีที่แล้ว +2

    Yaaani Ongea ongea ya Gwajima utadhani yupo bungeni kwa miaka mingi...Daaa ! Ametuchangamsha sana

  • @fabianchitojo7406
    @fabianchitojo7406 3 ปีที่แล้ว +5

    Et wagogo tunanini vile ahahahahaa unazingua mtani Gwajima

  • @iweningogoofficial3733
    @iweningogoofficial3733 3 ปีที่แล้ว +17

    Mungu wangu nisamehe wewe unae mbali niliona gwajima tunampoteza kumbe unamaaana nisamehe my dady nimeelewa

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki8196 3 ปีที่แล้ว +15

    🤣🤣🤣Gwajimaaaa Raha Sanaaaa TANZANIA Oyeeee ❤❤👍

  • @christinamngara8277
    @christinamngara8277 3 ปีที่แล้ว +15

    Gwajima oyeee

    • @mirajimbegu8351
      @mirajimbegu8351 3 ปีที่แล้ว

      Mbona anaongea kibeberu si aongee kiswahili

  • @augustinomakoye2396
    @augustinomakoye2396 3 ปีที่แล้ว +6

    Hongera Sana mhe, gwajima

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 3 ปีที่แล้ว +1

      Huyu haaminiki. 2015 alitimua baadhi ya waumini wake wallioonekana kuunga mkono chama tawala. Ndiye aliwauzia UKAWA Lowasa aliyekuwa ametapikwa na chama tawala. Dkt Slaa alipotofautiana nao na kujivua zake uanachama huyuhuyu gwaji alitumika kumdhalilisha kuwa alitupiwa virago na mkewe alipofika nyumbani.Askofu mzima asiyekuwa na maadili kutangaza maisha binafsi ya kifamilia ya mtu hadharani tena madhabahuni! Kwa sababu tu za siasa. Mimi simtambui kama askofu huyu wanaomuita kwa jina hilo hawaelewi uzito wa wadhifa huo.

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 3 ปีที่แล้ว +18

    Walipanua Masikio.hahahaha.

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure6951 3 ปีที่แล้ว +29

    Kazi Imekutana na mwenyeweee Mcchungaji umepe kijiti cha kuwa mwanasiasa siunataka shidaaa wewee..Ngoja tusubiri Hiyo Feb

  • @jokeableking7039
    @jokeableking7039 3 ปีที่แล้ว +29

    Wale wa kawe sasa mpo kwa gegedu na misumari ya gwajiboy ?????

  • @tatukachingwe7451
    @tatukachingwe7451 3 ปีที่แล้ว +6

    Gwaji boyyyyyyyyyy, ubarikiwe muheshimiwa

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 3 ปีที่แล้ว +4

    Asante sana. Gwajima. Ukweri mtupu usemao

  • @hamisindelema6396
    @hamisindelema6396 3 ปีที่แล้ว +4

    mtu alishakuw mtumishi anaongea zaid ya masaa 10 ashindwe kuzungumz dkk 5 za bungeni?

  • @abasijuma5055
    @abasijuma5055 3 ปีที่แล้ว +25

    Kawe mmepata mbunge ......

  • @venitarugemalila3971
    @venitarugemalila3971 3 ปีที่แล้ว +3

    Mh:Gwajima upo vzr kwa nukuu nimezipenda

  • @rajaburajabu1040
    @rajaburajabu1040 3 ปีที่แล้ว +16

    Mwendo wa Makofi tu hapo bungeni 😂😂😂😂😂

    • @janekikoti2179
      @janekikoti2179 3 ปีที่แล้ว +1

      Sasa ulitaka wapige magoti?Acha ujinga

    • @salomemgaya1244
      @salomemgaya1244 3 ปีที่แล้ว +1

      😄 🤣 😂 😆 chezea mtu anae jiita mpinzani ww ,hadi makofi bungeni kupigwa anapinga ni marufuku 😄 🤣 😂 .
      Yaani hiyo kwao ni mada ya kulumbana,khaaaaaa

    • @wazirikhamisi4828
      @wazirikhamisi4828 3 ปีที่แล้ว +1

      Sasa chamaana alicho ongea kipi

    • @alphatluambano1254
      @alphatluambano1254 3 ปีที่แล้ว

      Hakuna Wa kupinga

    • @chambasclinton7456
      @chambasclinton7456 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

  • @marympemba1829
    @marympemba1829 3 ปีที่แล้ว

    Futures ya gwajima ni kubwa sana ktk nchi hiyo. Yaani anajielewa anajua ana kisema na kufanya. Gwajima oyeeee💯🇹🇿🔥🔥🔥🔥

  • @derickmoshi6409
    @derickmoshi6409 3 ปีที่แล้ว +4

    Yaaan gwaj umenifurahisha Mungu awaongoze wabunge wote Tanzania nzima mamoja na Rais wetu

    • @fatumahassan8212
      @fatumahassan8212 3 ปีที่แล้ว +1

      Nikiwa ktk majukumu yng oman nimefurahi sana siku ya leo

    • @asharamadhani8548
      @asharamadhani8548 3 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/MUet80Qj3dE/w-d-xo.html
      Hahaha

  • @stanleymathias7877
    @stanleymathias7877 3 ปีที่แล้ว +8

    Akili kubwa inapaswa kuwa kwenye baraza la mawaziri la Tanzania maana uwezo wake ni mkubwa sana kwakweli hongera....

  • @julianamasunga700
    @julianamasunga700 3 ปีที่แล้ว +26

    Ngwaji boy kawe inakuitaji sanaaa

  • @evelynebwire7684
    @evelynebwire7684 3 ปีที่แล้ว +2

    Sipati picha moto wa Gwajima na King Msukuma

    • @eliarichard9218
      @eliarichard9218 3 ปีที่แล้ว +1

      Nice hapo mmoja anatumia hirizi mwengine Mungu wa kweli.

  • @linamacha7686
    @linamacha7686 3 ปีที่แล้ว +2

    Gwajimaaaa,hoyeeeeeeeee👍👍💃💃💃💃🏋️‍♀️🏋️‍♀️🏋️‍♀️🏋️‍♀️💪🤝

  • @piustombili9921
    @piustombili9921 3 ปีที่แล้ว +8

    Gwajimaa banaa let the dogs bark