Dah! Braza. Nimejikuta naweka simu chini napiga makofi, “huku kimeumana kashafaulu”. All the best brother, Mungu atakunyooshea njia mahala pengine, kwa mapenzi yake.
Jamaa nimempenda bure..! Yuko vizuri sana sema tu inchi hii imearibika na siasa za ovyo. Watu wa ovyo wanachaguliwa kwasababu ya mambo ya siasa na watu wa wazito wanaachwa kiza sio wa CCM. Pole yetu wa Tanzania
@@RamadhanAli I think you should do that coz you see disability in albinism. There is no disability in God's creation you need to think like a human not like white man, the colonizer of your brain.
@@BigZhumbe Don't force me to follow your way of thinking, you are talking about me following the White Man's way of thinking yet you're enjoying the benefits of a White Man's efforts and using the White Man's language? So stop the double standard and put yourself into your line. N hayo tu kwa sasa.
Hongera sana mh.Said Ndonge..mama atakutafutia nafasi yenye tija kwenye Taifa hili,,ili hayo mawazo na uwezo wako wa akili uutumie kuijenga na kuinufaisha jamii yetu ya Kitanzania!
Mh Ndonge s Ndonge Tunashukuru kwa kuutambua mchango mkubwa wa Mh Rais ktk madarasa hata ktk kata yako ya Bungu Ni wanufaika wakubwa wa hayo sisi na maji tumeongezewa ktk shule yako uliosoma msafiri
Mwomba ridhaa na sio mgombea. Ugombea ni ugomvi. Sisi hatutaki ugomvi. Kwa madarasa Mama kupiga sanaa. Bado chakula cha mchana. Mnyonge mnyongeni lakini Mama kupiga madarasa 15,000. Kaweka historia ya aina yake. Mwomba ridhaa uko juu kwa siasa za mdomoni.
Hebu bunge limfikirie mgombea kwenye nafasi zingine za uteuzi.Mgombea ana kibali kwa wananchi na bunge.Hata mm nampenda awe kiongozi.Ongela sana Ngoge Said Ndoge.
EJAMAAEEEEEH!!,,,, HIVI HAMJUI NI KWA NAMNA GANI NGOMA ZANGU NI KALI SANA,,, UNYAMA MWINGI,,, AAAAAH😂😂😂😂😂MTAKUWA MNAZINGUA NA MASIHARA MENGI... NJOOO KWENYE PAGE YANGU SIKILIZA UNYAMA AFU KUNIFOLLOW UTAAMUA WEW UKISHAONA UNYAMAAAA👏👏👏👏
icho kiti cha uspika anagombea yeyote ata huyu japo sio mmbunge Ata ww unaweza kikubwa kusoma na kuandika namambo mengine kama mwijaku alivoenda kuchukua fom
Mhe. Lukuvi anafaa sana kuwa Speak wa Bunge hili mana ana msimamo na anajua anafanya nini. Kwa upande wangu mgombea hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kusifia tu ila nampongeza kwa ujasiri wake.
Nampongeza mama kwa ujenzi wa madarasa kuipa heshima nchi.Pia umewapa heshima walimu kufundishia kwenye madarasa ya kiwango,nashukuru pia kwa kuwamini walimu kuwa wasimamizi wa ujenzi wa madarasa kazi imeoneka.Mama nakuombea kwa Mungu aendelee kukupa hekima,busara na maarifa kutuongoza Watanzania.Mpaka sasa naona 2025 huna mpinzani ndani ya Ccm na nje ya ccm.Ongela sana mama.
Sasa huyu Dk. Kasheku Musukuma anatoa taarifa, hasemi taarifa yake hiyo inatokana na kanuni ipi au Namba ngapi au kifungu kipi as per Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. ana-refer mikutano ya vijiji. Kaaaazi kweli kweli.
Mi sijaona cha maana hapo kwani kabda ya corona watanzania walikua hawasomi? Sikatai madarasa ndo ya mkopo wa miaka 20 bila riba umeshaona wapi biashara ya hivyo toka kuzaliwa kwako
He is very strategic hakutaka uspika alitaka kutambuliwa and he made it... subirini uteuzi wake soon... proud of him. Tanzania tuna lots of talents,.
Very true imendeze mama tu
Dah! Braza. Nimejikuta naweka simu chini napiga makofi, “huku kimeumana kashafaulu”. All the best brother, Mungu atakunyooshea njia mahala pengine, kwa mapenzi yake.
Amina
Jamaa katoa pesa kachukua form kakosa uspika hajapata hasara,karudishiwa pesa aliyoitoa nakubwa zaidi kapata faida kubwa kwani amejitangaza nawatu wamemjua naserikali imemjua.Msije shangaa kapewa ukuu fulani...Hongera.Tengeneza mfereji upatapo fursa kama hii.
Jamaa nimempenda bure..! Yuko vizuri sana sema tu inchi hii imearibika na siasa za ovyo. Watu wa ovyo wanachaguliwa kwasababu ya mambo ya siasa na watu wa wazito wanaachwa kiza sio wa CCM. Pole yetu wa Tanzania
Askari kweli kweli et “ we ni chaguwe afu uone shuhuli “ 😂✊🏾🙌🏾
Jembe kweli kweli nichague halafu uone shuhuli
Nilichofurahi ni kumuona mch gwajima, Mungu akutunze BABA
Jitu la MBINGUNI
Mm pia
Charisma of this man will make parliament active.
Mungu wambinguni Akujalie uzima na Afya njema kijana mwenzangu ulimavu wa ngozi sio Akili
Ameen
Jamaa kasha kuwa maarufu tayari dakika 14 zimebadili maisha yake tayari.👍
Great guy!!! I believe that disability is not inability, this guy has shown he is capable. Hilariously took the session with great confidence.
Why are you thinking of disability, who said albinism is disability??
@@BigZhumbe Do you even realise what you are talking about? Kindly enlighten yourself before involving yourself into such a topic.
@@RamadhanAli I think you should do that coz you see disability in albinism. There is no disability in God's creation you need to think like a human not like white man, the colonizer of your brain.
Very true
@@BigZhumbe Don't force me to follow your way of thinking, you are talking about me following the White Man's way of thinking yet you're enjoying the benefits of a White Man's efforts and using the White Man's language? So stop the double standard and put yourself into your line. N hayo tu kwa sasa.
Dakika 14 zimebadilisha maisha yake. Sema bongo nyoso sana....
Amazing Ndonge Said Ndonge wewe ni mkali ubarikiwe sana
Ana confidence ......maashaaAllah Mungu akusinamie....baba Amiin
Kama mkenya🇰🇪 nimependa anavyoongea maze wish him all the best
HUYO LAZIMA AINGIE FAINALI KOMBE UWANJANI👍👍👍👍
Hongera sana mh.Said Ndonge..mama atakutafutia nafasi yenye tija kwenye Taifa hili,,ili hayo mawazo na uwezo wako wa akili uutumie kuijenga na kuinufaisha jamii yetu ya Kitanzania!
Mimi mzaliwa kenya, na kwa ukweli nimefurahi kuona vile mnatafuta Umoja wa wanainchi 🙌🏾🙌🏾👍🙌🏾 HONGERA!!
@MillardAyo “Mwomba Ridhaa” sio Mgombea🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera sana kiongozi unaweza
Nimependa maongezi yake mungu mpatie nafasi nzuri ya kazi nyengine yenye kheri na yeye
Allahumma Amiin
Jamani kama mmehesabu kama Mimi naomba like zangu🤗🤗
Hiii ndio Tanzania tunayo itaka mm napenda sana nikiona watu wanafurahi hivo mungu awasaidie sana viongozi wetu muwe na amani hiyohiyo
Nice
Wamempa hela halafu hakuna aliyempigia kura 🤣🤣🤣
I truly love the orderliness with the tanzanians in such openess. Kenya Bunge, learn
Mungu amekuchagua kwa wakati wake sahihi
Ndonge anatufaa sana .mama tunaomba umpe kitengo HUYU mwamba ana kitu kwetu
Love love him, Nitchague kwanza kisha uone shughuli.
Hahaaa
Mashalah anafaa sana ana confidence
We KWANZA nichague alfu uone shuguli😂😂😂
Ana Akili timamu kabisa! Respect !👌👌👌🔥🔥🔥
Mh Ndonge s Ndonge Tunashukuru kwa kuutambua mchango mkubwa wa Mh Rais ktk madarasa hata ktk kata yako ya Bungu Ni wanufaika wakubwa wa hayo sisi na maji tumeongezewa ktk shule yako uliosoma msafiri
Hadi rahaaa mama amuangalie vizurii huyu anaweza kutufaaa ata kua mkuu wa wilaya
He's the greatest confidence man✊❣️🙏
Anauwezo wa kushawishi.
Safi sana.
Ndugu Ndonge Saidi Ndonge uko vizuri baba nyota inang'aa😂😂😂
🤣🤣🤣🤣anaongea kwa cofides Sana akikosa uspika mama samia suruh Hasan amfikirie kwa nafasi nyingine 🤣🤣🤣🤣🤣
I'm Thrilled, This Is Love.
Nimefurahia confidence yake🤣
Anazingua, coz anaongea Joking kwenye jambo serious
NDOGE mama yetu fanya utupe mwamba huu nafasi yoyote atumikie nchi yetu
Huyu jamaa alistahili kuwa spika kabisa. Angefanya jambo ktk bunge ili tufikie malengo jamani. Hivi Tulia si wale wale au?
Mwomba ridhaa na sio mgombea. Ugombea ni ugomvi. Sisi hatutaki ugomvi. Kwa madarasa Mama kupiga sanaa. Bado chakula cha mchana. Mnyonge mnyongeni lakini Mama kupiga madarasa 15,000. Kaweka historia ya aina yake. Mwomba ridhaa uko juu kwa siasa za mdomoni.
Muomba rithaa Ndonge Said ndonge yuko vizuriii sanaaa 👏👏👏👏👏
Mama mtu voo mungu azidi kumlinda 🙏
Duh jamaa apewe yeye tu huyo akson aende uko
Wewe kwanza nichague kisha uone kazi yangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hebu bunge limfikirie mgombea kwenye nafasi zingine za uteuzi.Mgombea ana kibali kwa wananchi na bunge.Hata mm nampenda awe kiongozi.Ongela sana Ngoge Said Ndoge.
Umeongea kwa uwezo mkubwa sana
Mnapotezea watu muda afu mshaandaa watu wenu mnaboa sana ccm asee bs tu
Inasikitisha Sana yaani. Shida ndiyo hiyo, tunawekewa matikiti maji😓😥
Nchi ya kishamba sana
Kweli umetisha sana kamanda
Hapo pembeni ya mheshimiwa Msukuma namwona msanii wa bongo fleva KEISHA
Safi sanaa Mr.Ndonge umeupiga mwingi muomba ridhaaaaaaa
I am happy to see my fav former minister Sir Mwalukuvi,
Kweli wenye mengi ya kusema hawana nafasi ya kusema na wenye nafasi ya kusema hawana la kusema...dongo kwa wabunge walio wengi hilo kawapiga kiaina
EJAMAAEEEEEH!!,,,, HIVI HAMJUI NI KWA NAMNA GANI NGOMA ZANGU NI KALI SANA,,, UNYAMA MWINGI,,, AAAAAH😂😂😂😂😂MTAKUWA MNAZINGUA NA MASIHARA MENGI... NJOOO KWENYE PAGE YANGU SIKILIZA UNYAMA AFU KUNIFOLLOW UTAAMUA WEW UKISHAONA UNYAMAAAA👏👏👏👏
AAFC ndio chama gani au ndio sarakasi za CCM
icho kiti cha uspika anagombea yeyote
ata huyu japo sio mmbunge
Ata ww unaweza kikubwa kusoma na kuandika namambo mengine kama mwijaku alivoenda kuchukua fom
He is great man 👏👏
Mhe. Lukuvi anafaa sana kuwa Speak wa Bunge hili mana ana msimamo na anajua anafanya nini. Kwa upande wangu mgombea hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kusifia tu ila nampongeza kwa ujasiri wake.
Lukuvi yupo vzr sana👏🏻👏🏻👏🏻
Naungana na mhe. Simon Mabula . Lukuvi anafaa nafasi ya uspika.
Kutunzwa kwa fedha ni kwamba anafaa au kamsemea Mama vizuri? Naona giza hapa
@@loishiyesamwel1374 kamsifia mama na wampendae mama wakamuunga mkono.
Anafaaa sana kama asingegubikwa na UDINI...
Sasa nimepata JAWABU ni wapi MANARA alipochukua ENGLISH COURSE 😁😁😁😁😀😀😀 Nawahakikishia huyu lazima atakua " MNYAMA "tu
Hna akir wewe wngne wanajb yakuhsiana na tkio we unajb mambo ya mpira ama kwel akir ni nywele
Dada ROSEMARY hivi unamaanisha "AKILI au AKIR?" Na kama ni AKILI basi nipunguzie wewe mwenye NYWELE nyingi......
Ahsante kwa kuizungumzia Katiba mpya
Ila lukuvi anafaa kuwa spika hataki ujinga na unafiki maswali ya kipuuzi anayacheua
Kweli Kawa speaker
Jamani mliomchangia pia mpeni na kura muomba ridhaa ....mungu awabariki wote watanzania mlioguswa na bwana ndunge
Uyo anae rusha mikono ametanguria mbere ukute nyumbani mke wake akisema nipe mwiko uwo utakuta anagoma oya KAZI zakike izo apo anapo pigamapigo
Nampongeza mama kwa ujenzi wa madarasa kuipa heshima nchi.Pia umewapa heshima walimu kufundishia kwenye madarasa ya kiwango,nashukuru pia kwa kuwamini walimu kuwa wasimamizi wa ujenzi wa madarasa kazi imeoneka.Mama nakuombea kwa Mungu aendelee kukupa hekima,busara na maarifa kutuongoza Watanzania.Mpaka sasa naona 2025 huna mpinzani ndani ya Ccm na nje ya ccm.Ongela sana mama.
7:34 Ndonge kaupiga mwingi hapa 🙌🏾😂🤣
Masha Allah
Wamakonde mpo hea mnatak nchi kilazima
Hakuna makonde ambaye anataka nchi kilazima acha kuleta mambo ya ukabila
I love this guy
MashaAllah
MASHAALLAH
Umeambiwa ujieleze ww unasifu mtu,,interview za wabongo bana.uchawa tu!
Ndonge ana madini kichwani anafaa kuwa mkuu wa mkoa
Hahahaha
Nimecheka mnooo.
Ana comfidence sana lakini kaaambiwa ajielezeee anatoka nje ya mada 😁🥛
Huyu mama sio mchawi kweli alouliza swali la kwanza kwa muheshimiwa?!
Hivi vyama kweli Ni vya CCM
Huyu Lazma Apate Nafas Katika Serikal Hii
AWESOME 👌
Dah huyu anafaaa sana yaani yuko vizuri labda akose busara 👍👍👍😂😂
Huyu jamaa ni nouma sana
Jamaa kwa jinsi alivyo na alivyoongea watampatia kitengo
banging kweli cab mboga msukuma anavuta bang hasa
Amepata fulsa ila ameshindwa kuitumia !!!😳😳
Bwana ndonge chama kimemponza 🙌🙌🙌
Issue serious mtu anapiga porojo tu hamna kitu hapa
Sasa huyu Dk. Kasheku Musukuma anatoa taarifa, hasemi taarifa yake hiyo inatokana na kanuni ipi au Namba ngapi au kifungu kipi as per Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. ana-refer mikutano ya vijiji. Kaaaazi kweli kweli.
Hana maajabu wala hoja za msingi Mama maamaa mama nini bn Ongea vitu nya msingi
Hongera Sana muomba ridhaa
Hahshaaaa raha sana
Wangempa Lukuvi tu
Yupo makini sana aisee
😁 yupo vizuri sana, naimani ataonwa zaidi
His good guy 👍👍👍🙏🏽🙏🏽🙏🏽😘😘
Nimefurahi kumsikiliza
Mi sijaona cha maana hapo kwani kabda ya corona watanzania walikua hawasomi? Sikatai madarasa ndo ya mkopo wa miaka 20 bila riba umeshaona wapi biashara ya hivyo toka kuzaliwa kwako
Nimefarijika sna kumuona Mch.Gwajma akiwa bungen,Mungu yu mwema
Ila Ndonge kapiga pesa sna kwa dakika 10
Umetisha Kaka hiyo ni lugha
Ndoge umetisha
Ndonge amemaliza kila kitu mimi ni mkenya ila nimempitisha ✌
Wee kwanza nichague halafu uone shughuli 🤣🤣Ndonge kiswahili kingi amekaa sana vibaraza vya karata na kahawa 🤣🤣
Asante umeongea vzr sana
👏👏👏🔥