Musukuma aweka wazi utajiri wake, Ndege, VXR, na MIJENGO anayomiliki; ajibu wanaosema amehongwa V8
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 มิ.ย. 2023
- Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Musukuma akieleza utajiri alionao wakati akiwajibu wanaosema kwamba amehongwa gari aina ya V8 ili atetee sakata uwekezaji kwenye Bandari.
msukuma ni mfanyabiashara mkongwe wa DHAHABU tangia miaka ya 80,,,,,ni mtu mwenye utajiri Long time na wala sio mtu wakujiskia saana ni mtu simpo saana pia ni mtu wa watu,,,,,ana real eastate kanda ya ziwa bab kubwa..pia ana kamuni za transport na etc
Msukuma shikamoo!! nakupenda toka rohoni Mungu akulinde baba yetu
Hongeraa sanaaa MUNGU akufanikishe katika mambo yote
Shukran msukuma swali umefanya wema mzuri sana na je wewe ni mwislam au mkristo maana naona unapendeza sana
Huyu mwamba namkubali sana, msukuma mungu akubariki sana wewe ni hazina muhimu sana hapa Tanzania
Wananchi was geita mnakila sababu ya kujivunia kwa mbunge mlie nae ni jembe msukuma namkubali Sana akisimama bungeni utafurahi mungu akulinde na Kila baya
Hakuna lolote tunataka ndege yetu
Msukuma uko vizuri Sana kaka naomba nmawasiliano yako kaka
Nchi Hii Wasomi Ndio Kikwazo Hongera Sana Dr.Msukuma
Ninachukia sana kutoka moyoni Nchi yetu na Watanzania kuitwa masini,Namuombea Mungu ampe mama yetu Rais wetu Samia Suluhu Hassani ujasiri wa maamuzi mazito.
Mashaallah watu heshimu msio wajua ache dharau
Safi sana msukuma.
Hongera brother unamalengo mazuri sana umefika pazuri sana mbunge tajiri
Dah.. doctor msukuma me nakuomba uje ugombee uraisi maana asaiv c.v unayo ya usomi so nakuona mbali sana ndg yangu ❤❤❤ tunataka uje kua raisi wetu bhn....
Naomba mawasiliani yako mheshimiwa uko vizuri Sana kimtazamo
Hongera kaka uko vzr kiukweli huna shida
Msukuma uko vizuri umewapigilia msumari wa moto
Mungu akubariki mbunge msukuma, nakupenda sana ❤
King msukuma Ly umeuwa huo ndio ukweli Mungu akubarik %100
Hongera bro uraisi unakufaa chukua fomu ya mgombea
Hongera sana kwa majukumu ya kazi ya kuwatetea wanyonge Mheshimiwa Mbunge Msukuma
Daaaah umetisha mzeebaba uko vizuri sana
Hongera baba mungu akubariki sana umeaso sana
Msukuma Big up🎉🎉🎉🎉
Musukuma uko vizuri, huna baya mdogo wangu
Asante sana msukuma you are a good man. May God bless you and provide for you long life. You speak the truth
Respect sana Mheshimiwa
Msukuma salute kula yangu kwako
MH Musukuma myooshe. From Mozambique
Mungu akujalie Baba wa wetu achana na maneno ya wakosaji
Kaka msukuma uko vizuri Mungu akubariki Sana tunakuombea Sana Mimi Niko Tabora mjini naomba namba zako mkuu naitwa Daniel kagoma
Safi Mh Msukuma umesema ukwelii.
Hongera musukuma
Mungu akulinde na maaadui uishi miaka ming
Sana Mzee Baba Kazi Iendelee Umetisha Sana
Waache Majungu Watafute Pesa
Kaaah sawa baba !
Nampenda xana msukuma, Mungu ampe maisha marefu
Kaka
Nakuelewasana.barikiwasana
Hongera sana msukuma
Hongera sana Mh. msukuma
Kazi kazi , Jembe kama Jembe
Sema umeongea sana facts your the best
Acha uninga kuna facts gani happ
Mskuma umetisha sana
Hawakukujui hao kua wew ni king
Acheni unafiki hivi viblog uchwara tangia lini anamiliki ndege msukuma?
Hongera sana ndugu
Asanteni
😂aliye mchokoza msukuma kazi anayo,, Siyo Kwa michambo hiyo😂😂
😅😅
😂😂😂😂😂 nimecheka nimecheka tena😂😂😂😂😂😂 yan msukuma namkubali sana
@@PamelaJonas-dh6lg 🤣🤣🤣🤣balaa
Kwa kweli Big up MP. Msukuma
Nakubali sana mbunge wangu vijijini geita
Safi m'bunge ayo ndo mambo tunayo yataka bandari ya kisasa sio maneno ya kuku kashifu mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe
Big up msukuma
Uyu jamaa kiongoz mzur
Nakubali kaka
Mungu akupe umri mrefu wewe ni mtu Wa maana sana
Nilichokiona humu watu mna makasiriko sana tafteni hela acheni kelele mtabakia kutoa comments za kutukana bure tu hii nchi usijifanye unaijua sana we kua mzalendo tu pia fanya kazi kwa bidii 💴💸
Kwa kweli watu wanamakasiriko na roho mbaya!
Mungu akujaalie
Mheshimiwa Dr. Tafadhali njoo kwetu Umfundishe mbunge wa Bukoba vijijini asaidie wananchi wake hata maji hakuna watu wanakunywa maji yanayo nyweshea Ng'ombe na wakati wa kuomba........
Hongera
Msukuma hongera baba chukua maua yak❤️❤️❤️❤️❤️❤️💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Mwbamba upo vizuri
Msukuma hongera sana,naomba ninunulie japo IST niendee Kanisani, sio kwa utajiri huo.
🤣🤣🤣
@@emmanuelmauki2938 Emmanuel nimechoka kutembea na boda wakati wengine wanautajiri wote huo.Msukuma anielewe tu.Yaaani IST tu na Mungu atazidi kumbariki.
Kasheku msukuma we Ni noma PhD ilikuwa haki yako baba
Naombeni namba ya MUSUKUMA...
Bandari sawa lakini sio kwa Mkataba huo Kaka. Povu jingi linatushangaza.
Tajiri tu
Wabunge wote wangeliikuwa kama msukuma nchi ingepiga hatua kwa mda mfupi sana hongera sana msukuma
Ni kweli uliniuzia simu mbovu Ta nga ugomvi ulimalizwa na Mfanya biashara mmoja wa kiasia aliyerudisha pesa zangu na kunisihi nimwachie simu take ugomvi ukaishia hapo kumbe ni home boy wangu Swagger wazijua
Nimekuelewa sana mbunge
Mungu akubariki brother, mungu akulinde na maadui wako, mungu azibariki Mali zako, mungu akupe moyo wa huruma na upendo uwe na moyo wa kuwasaidia wasiojiweza pamoja na wananchi wako,
Helo
Mheshimiwa athanasius na vyako mbona kimya kuhusu bandari.
Mzee upo asahihi kabisa unafudha watu jisi ya kuishi na watu, na kukubali mzee wangu.
King msukuma
Yes my boss
King Msukuma👍
Jamani aliemchokoza msukma akamuombe msamaaa
Nakweli aende tu maana kachooza moto
Hongera msukuma wewe ni mbunge wa kwanza kuwajali watu wa jimbo lako na hakuna aliefanya kama wewe hata magufuli hakuwahi kufanya jimboni kwake wape ukweli hawo waliohongwa kupinga huo uwekezaji nadhani hao wanafaidika na ule wizi mkubwa unaofanya bandarini wacheni wapige kelele bandari itaingia ubia washenzi
Nice❤
Mmmmnh Mungu anakuona
Pamoja sana ndugu yangu
Bradha msukuma mm binafusi nakukubali hoja na ushauri unao shauri serekali au mtu binafusi bigapu mungu akulinde na Kila baya zaidi akuongeze riziki zaidi
Ukweli ni ukweli sawa baba you big up
Men lie women lie, numbers don't lie. Kudos Msukuma, am inspired
Danganya Dar na Dodoma sio mwanza
Si kweli. Kuwa na hela hakuzuii kupokea rushwa. Ila Kama hajapokea ni vizuri Sana.
Ila swali langu kazi ya mbunge ni kutoa misaada kwa wananchi au kufikisha hoja za wananchi bungeni na kuziweka kwa ufasaha ziweze kufanyiwa kazi na serikali?
Halo sawa mku
Msukuma shikamooo, mwenye namna ya kupata namba ya msukuma ninaomba aisogeze hapa
We mpigaji tu na ukianza Kwa msukuma mwenziee
Mh Msukuma .Mimi naomba Unisaidie hata mtaji wa ml 2,000,000/= Ninashida sana ..
Mm naomba unikopeshe laki 4 tuu musukuma
Namba yako
@@MshamAbdul-jn6rj ww ndye musukuma
Siku naambiwa jamaa ana miaka 60 nikaendelea kushangaa sana.
Allahu akbar
Hawa ndo watetezi wa uma
Uko vizur
Maizii kamawegine
HONGERA SANAA NDUGU MSUKUMAA. KUSOMA SANAA , HAIMAANA NDO UNAAKILI SANAA. AKILI MTU ANAZALIWA NAYO. WAPE SIRI YA MAFANIKIO YAKOO.
Pongez kwako
Anahongwa sana huyu
Kwani ukiwa tajiri unashindwa kuhongwa kubali kuwa umekula unga wa ndere kwa hilo
Kweli kabisa bb msukuma nakukubali saana boss huna baya na mtu
Nimekukubali msukuma ukweli unao hili
We ni bos wetu
Tanzania mabilionea wako wengi Sana sema wamejificha tu na awataki kujionyesha
Kama uyu nikitambo ela anayo sana madin mabasi na mfugaji mzuli sana ng'ombe kibao
Mashaalh
Msukuma unaweza kumuelewa kama elimu yako inalingana na yake.Ukimaliza kukomenti tuandikie na level ya elimu yako pia
sawa mkubwa
Tatizo la Tanzania wengi wao awajishuhulishi 1)wanaume wazoea kuongwa 2) wanawake wamezoea kujiuza Japo c wote awapendi kazi wanaume wamezoea kumshusha suruali matakoni nywele kueka dawa starehe nyingi, nguo, Sasa Mtu anaenda kununua kiatu 70000 wakati anaweza nunua mbuzi 3 wakufuga Kwa mwaka ana mbuzi Wangapi !!!? Mtu anaenda nunua jinsi 30000 niela ya kuku wakufuga unapata kuku 6 Kwa mwaka ana kuku Wangapi na Ndo mana akiona Mtu ana maendeleo km msukuma wawatu utasikia mwinzi mara frimanson sio kununua bandar tu nunua na Zanzibar kabisa baba
Mimi nanunua kiatu 90,000 na suruali hata ya 45,000 au ziadi. Kununua suruali au kiatu cha gharama haikufanyi uwe masikini,ila jambo la kuzingatia ni kwamba mahitaji yaendane na kipato chako. By the way,hela ninayo ya kutosha.
@@detlantamarooned1809 eeeee kaka mwenye mihela tugawane basi😅
@@joyceassey2347 Usijali,tutagawana tu bila tatizo nikikuoa😂😂😂
@@detlantamarooned1809 daaah mpaka unione jmn
@@detlantamarooned1809 🤣🤣🤣
Kwer Mh.