Maana unavyojilipua kwa ukaribu sana na kufatilia sema ulishatuacha pale kwenye ngo'mbe,ukaenda kwenye madini akuenda kwenye mabasi ukamalizia CD ndo ikawa kwikwi apo ila uko nyuma pia kwikwi mh kweli msukuma upo vizuri ulivyopangilia asee Allah akulinde na husda na akupe mwisho mwema msukuma kwa kuongea ukweli kutoka moyoni inshaallah
It's better Rais akateua watu walio na uchungu na hii nchi sio wapigaji tu ..kuna wasomi vijana wengi tupo tu mtaani tuna hasira na maendeleo ya nchi yetu...wazee waliostaafu achana nao kidogo
kwa kweli TRA ni kero sana! mh. Rais pole sana maana hawa walishazoea kupiga dili kuna uchafu mwingi sana kungekuwa na uwezekano ukawasikiliza na wafanyabiashara wa kati ungejua madudud mengi zaid ushaur wa msukuma kuweka jeshi ni sahihi kabisa! walau kwa mwez mmoja tu!!
Maana unavyojilipua kwa ukaribu sana na kufatilia sema ulishatuacha pale kwenye ngo'mbe,ukaenda kwenye madini akuenda kwenye mabasi ukamalizia CD ndo ikawa kwikwi apo ila uko nyuma pia kwikwi mh kweli msukuma upo vizuri ulivyopangilia asee Allah akulinde na husda na akupe mwisho mwema msukuma kwa kuongea ukweli kutoka moyoni inshaallah
Safi Sana'a Msukumaa true definition of leader
Msukuma uko vizuri unauwezo mkubwa wa kutengeneza hoja na kuisimamia hongera sana
Deus Mgema pics
Akili ya kuzaliwa ya Kisukuma
Kwakweli kuwa wazili sikujuwa kuongea ,hongela msukuma:
Kwa kweli Wafanyabiashara wengi wamefunga biashara kwa sababu ya watu wa TRA.
Msukuma hongera kaz nzury
Msukuma asante kabisa
bado hawajauheshimu uongozi uncle magu
Yaani ni kweli kabisa uonevu ili wachukue hela,hawana fair tena wanakwambia nenda hata kwa waziri.
Thanx President magu bless you 😁
Mungu akulinde mh raisi
Mungu akuweke Mh. Rais
Big up msukuma
Kumbe magu ana hotel 😱😱😱😰
Nakubar sana msukuma
Hiii speech iendeleee iwekenii yotee
Watanzania wenzangu tuzidi kuwaombea viongozi wetu kwa mwenyez MUNGU azidi kuwaongoza vyema
Thats why I said Musukuma his new president off Tanzania.
Wekeni vijana haya mazee yameishanyonya sana Mali za watu
Vijana ndiyo wezi.
Msukuma pamoja na kuwa darasa la saba, ningekuwa na uwezo ungekuwa waziri angalau uwe wa mifugo
simba vs nkana
Amen
Haya tutayamisi sana kuyaona dah Rip magu
Watumbue kabisaa
Huwa Kuna mda niache kuangaliya izi video , napatwa na uchungu sana.
Daaa uyu jamaa angekua mkoani kwangu hasimami tena jukwaani kura yangu ingekua ya milele
Emanuel saimon kasongj
Ujumbe umefika
It's better Rais akateua watu walio na uchungu na hii nchi sio wapigaji tu ..kuna wasomi vijana wengi tupo tu mtaani tuna hasira na maendeleo ya nchi yetu...wazee waliostaafu achana nao kidogo
ngasika joel
Charles chacha wambura
kwa kweli TRA ni kero sana! mh. Rais pole sana maana hawa walishazoea kupiga dili kuna uchafu mwingi sana kungekuwa na uwezekano ukawasikiliza na wafanyabiashara wa kati ungejua madudud mengi zaid ushaur wa msukuma kuweka jeshi ni sahihi kabisa! walau kwa mwez mmoja tu!!
Jembe hili
turiomariza darasa rasaba tunajitaidi kupembua mambo makubwa tena mazito tunauhujasiri natena tunaweza Kira jambo zito josefu msukuma unatosha sana
Musukuma nakupenda sana ispokua bangi tu ndiyo naipinga ktk maoni yako.
Bangi ni dawa ndio inampa misimamo yakutoa nondo zote hizo, bangi ni mmea mtakatifu believe or not
@@mrope348 no way
@@mrope348 kweli
@@mrope348 that's true👏
umenena king hao T E R wanasumbua xna tena xna hasa ifakara
Maneno Alex I will 8m:yy:y77th :676;u7777777:9# to get get 7u
Baadhi ya watendaji wa serikali ni ovyoo
👏👏👏👍👍👍👍👍
Kweli
Kweli muzee magafuri nakukubari
Umenena mr Msukuma, inasikitisha sana kuona jambo linaloleta maendeleo linapingwa na watu wachache...iyo idara ichunguzwe
Hapo umeongea msukuma
😎
Uyo jamaa wa pemben kwa msukuma ananyonga jicho
hahahaa kumbe n wewe umemuona
Kitu msukuma
Msukuma inabid upewe uwaziri wa biashala
Wee
madebe
Uchanguzi ujao msukuma apewe uwazili viwanda
Zuchu
Mungu akuweke Mh. Rais