Uwanja umelipuka kwa ndelemo na vifijo jinsi wanavyomkubali Simba wa Tanzania!!!nimepapenda hapo alipoingia uwanjani tuu.imenisaidia kuhakiki mawazo yangu kuwa J.P.M ndiye raisi bora barani Africa na anakubalika ndani na nje ya nchi. Asante sana kwa clip nzuri!!
@@audifasmassera1289 sawa ndugu yangu ! Tumuombee Rais wetu anafanya Kazi kubwa sana sana ! Mimi namuunga mkono kwa jitihada zake kwa 100% kabsa , mifumo mingi na uendeshaji wa taifa letu umerudi kuwa katika muundo wenye kuleta maendeleo ya Nchi yetu na sisi wana Nchi ! CCM HOYEEEEE
RIP comred JPM itatuchukua miaka mingine kumpata kiongozi ainayake maana alisema ipo siku tutamkumbuka nasasa tunamkumbuka tukiwa mayatima pumzika kwaamani Kaka dunia badoinasikitika.
Best president in world
Safi sana rais wetu
Ahsante sana Ikulu kwa hii.
Asante sana kwa juhudi zenu za kutuhabarisha. Mungu ibariki Tanzania na Viongozi wake, Mungu ibariki Afrika.
Uwanja umelipuka kwa ndelemo na vifijo jinsi wanavyomkubali Simba wa Tanzania!!!nimepapenda hapo alipoingia uwanjani tuu.imenisaidia kuhakiki mawazo yangu kuwa J.P.M ndiye raisi bora barani Africa na anakubalika ndani na nje ya nchi.
Asante sana kwa clip nzuri!!
Love u My President Tanzania yetu Taifa letu Amani yetu Maendeleo mbeleee JPM Unatosha miaka 40
Kabisa kabisa, umenena vyema.
Rais wa Africa.
Hongera sana Rais wetu mpendwa, Asante SADC
Mmefanya vzr kutupatia ufupisho huu wa ziara za mkuu wa nchi yetu tukufu ya Tanzania
Rais bora kabisa afrika...
Kweli huyu mzee wetu mungu ampe afya na nguvu na miaka tele
Mashaalah
Kumbe tanzania tulikuwa hatuna urafki na majiran zetu,Magu Mungu akupe uzma baba kwa kutuunganisha had marais wanafurah sana
Ahsanteni, ila mjitahidi kutuwekea mapema, mda unakuwa mkubwa. Au mpaka tulalamike kwa JPM atumbue kitengo cha mawasiliano!!!
Ahsante sana Rais wetu
We are proud with our President...
Safii magu upo vyema mkuu
Asante san mwenyez MUNGU kwa upendo wako mkubwa kwa viongozi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
1:21 - JMK nudged JPM "Oya Chuma, Waage basi na Ishara wakuone mpole kidogo" hahaha
🤝
Magufuli Oyeeeeee
😢😢Endelea kupumzika kwa amani
Ok
😂😂 naona wazee zilipigwa mpka za akina Less wanyika hukohuko kwa mnangangwa???
Rais ambae natamani akae madarakani mpaka mwisho wa uhai wake ni DR Joseph John Pombe Magufuri ! Kwa sababu kadha wa kadha !
Kabisa kabisa, maneno matupu hayashibishi, mpendwa sana rais wetu amelitambua hilo kwake Ni VITENDO zaidi, wazo lako ni zuri sana.
@@audifasmassera1289 sawa ndugu yangu ! Tumuombee Rais wetu anafanya Kazi kubwa sana sana ! Mimi namuunga mkono kwa jitihada zake kwa 100% kabsa , mifumo mingi na uendeshaji wa taifa letu umerudi kuwa katika muundo wenye kuleta maendeleo ya Nchi yetu na sisi wana Nchi ! CCM HOYEEEEE
my president mbaka 2035 JPM 🔥🔥🔥🔥
Kabisa kabisa mkuu.
Misheni maalum ya kutangaza soko LA ajira ya Ualimu wa Kiswahili hongera Mwl Magufuli
The guy doesn't know English.Poor Magufuli.Lowassa oiyee
@@anthonymaganjo1646 hao wanaojua English wamefanya nini cha mfano?
@@anthonymaganjo1646 kwa nionavyo mimi, kinachotakiwa ni uwezo wa KUONGOZA si lugha.