DC ATIBUA TUKIO LA UJAMBAZI "MLINZI WA BENKI ALIPANGA DILI NA MAJAMBAZI WAIBE MILIONI 70"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ต.ค. 2019

ความคิดเห็น • 499

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 ปีที่แล้ว +18

    Duh. Inatisha. Unafanya kazi na jambazi bila kujua Ee Mwenyezi Mungu endelea kuwa aibisha hadharani. Good work mr DC

  • @evelyinipaja1202
    @evelyinipaja1202 4 ปีที่แล้ว +4

    Asante Sana Mungu kwa kufichua Uovu na kuuweka peupe. Asante sana kwa kuwalinda hao wadada.

  • @Official83640
    @Official83640 3 ปีที่แล้ว +62

    Wangapi wanapekua matukio ya mkuu wa wilaya baada yakutumbuliwa nipeni like zangu na mm

    • @mohamediyusuph4290
      @mohamediyusuph4290 3 ปีที่แล้ว +1

      huyu jamaa ni mpambanaji sana,ila amini usiamini baada ya huu uchunguzi huyu bwana anapewa mkoa kabisa....!!!!tuombe uzima inshaallah.

    • @Official83640
      @Official83640 3 ปีที่แล้ว +1

      @@mohamediyusuph4290 asubutu

    • @shomarysaid5055
      @shomarysaid5055 3 ปีที่แล้ว +1

      hahahah hatari sana

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 3 ปีที่แล้ว

      @@mohamediyusuph4290 sio kwa samia masna samia mwenyewe fisad ndi maana amemtoa kabsa huyu baba ila mungu yupo samia Allah mujuda samia inchi zote za haq zinakataza wezi kwahali ya juu we unawaonea wakomesha maovu Allah maujuda insha allah

    • @jackzodY3
      @jackzodY3 3 ปีที่แล้ว

      Tuko pamoja japokuwa hakuna wakamilifu duniani

  • @filbertkapama8824
    @filbertkapama8824 4 ปีที่แล้ว +14

    Hongera jpm kwa kutuwekea walinzi Na wahusika wa vyombo vya usalama kuwa wakuu wa wilaya.

  • @mathiasmsese6128
    @mathiasmsese6128 4 ปีที่แล้ว +117

    kama unakubali sabaya chuma gonga like twende sawa

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 4 ปีที่แล้ว +4

    Mkuu pole na majukumu.Mungu Awalinde wote Awatie nguvu na Afya tele.InshaAllah Allah Allah Atufanyie wepesi sote.

  • @abdulmtitu7478
    @abdulmtitu7478 4 ปีที่แล้ว +5

    Mh Sabaya unapga kazi xn bro,,,nakuelew xn mh dc kwl unaitendea haki nafasi aliokupa Mh Rais&natumai juhudi zako ztazawadiwa ck 1

  • @officialnaa8470
    @officialnaa8470 4 ปีที่แล้ว +29

    Asanteni sana pigeni kazi mungu awasaidieni

  • @zuhurakimwaga4731
    @zuhurakimwaga4731 4 ปีที่แล้ว +11

    sabaya tunakuombea dua Mungu akulinde kwa kazi yake nzuri sabaya oyeeeee

  • @samweljasson4029
    @samweljasson4029 4 ปีที่แล้ว +2

    Yaaah hawaa ndio viongoz wanaotakiwa katika nchi hii,,asantee Sanaa mkuu kazi nzuri, sio akina naniliu kaz kuangaika na akina Idrisa Sultan.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 ปีที่แล้ว +18

    Hongera dc upo vzr

  • @mayaally2512
    @mayaally2512 4 ปีที่แล้ว +11

    😀😀😀This is TISS in place .Lengai olesabaya salute

  • @amosikabalata6381
    @amosikabalata6381 4 ปีที่แล้ว +62

    Huyu mkuu wa wilaya ni sawa na usalama wa taifa 7! Hatari sana

    • @yudatadeshayo4434
      @yudatadeshayo4434 4 ปีที่แล้ว +2

      Jamaa ni usalama

    • @allyahmed4014
      @allyahmed4014 4 ปีที่แล้ว +1

      Ni wa kawaida tu

    • @salminwilliam9270
      @salminwilliam9270 4 ปีที่แล้ว +1

      Kazi wamefanya polisi ye amepewa taarif na kama msemaji wa wilaya ndio anatoa ushahidi wa taarifa mbona hamuoni kazi ya polisi intelligence?

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 4 ปีที่แล้ว +1

      C alifungwaga kwa sabb hiyo

    • @johnjoseph763
      @johnjoseph763 3 ปีที่แล้ว

      Sawa na usalama wap ww hyo taarifa zote kapata polisi sema anaongea hapo km kiongoz wa wilaya.

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 4 ปีที่แล้ว +9

    Mh. Magufuli, Mungu akulinde Rais wetu kwa Kuteua Wasaidizi wako ambao ni Makini katika Kazi, Mungu awalinde Viongozi wetu Wote, Aamina.

  • @mahamudubakari5895
    @mahamudubakari5895 4 ปีที่แล้ว +19

    Uyu kiongozi yupo makini sana

  • @mariuscyprian1235
    @mariuscyprian1235 4 ปีที่แล้ว +49

    Huyu kijana yuko vizuri sana

  • @rogatiusscarion726
    @rogatiusscarion726 4 ปีที่แล้ว +9

    Kazi nzuri

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 4 ปีที่แล้ว

    Hongera DC wetu kijana wetu Magufuli anajua kuchagua damu mbichi ni wachapa kazi piga kazi Baba mungu awajalie viongozi wote vijana Tz na awamu ya 5 mbona raha

  • @japharykikoti3391
    @japharykikoti3391 4 ปีที่แล้ว +4

    Lengai Ole sabaya M,mungu akubariki Bro...Utabaki kuwa Juu

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 4 ปีที่แล้ว +16

    Sabaya your verry Gentleman and handsome atiii😚

  • @mohamedishabani4167
    @mohamedishabani4167 4 ปีที่แล้ว +15

    Uyu dc anafanya kazi nzuli sana

    • @oopsm3574
      @oopsm3574 4 ปีที่แล้ว +1

      "Nzuri"

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 4 ปีที่แล้ว +5

    Ongera sana kaka
    Kwa kutafuta pesa kwa nguvu
    Mzee squrity

  • @bakarimussa6785
    @bakarimussa6785 3 ปีที่แล้ว +1

    Uyu mweshimiwa Ana fanya kazi vizuri Sana mungu akulinde kwa kila jambo na uwendelee kufanya kazi usirudi nyuma

    • @joycemfuru4752
      @joycemfuru4752 ปีที่แล้ว

      Ukweli wake uko mahakamani mwenyewe ni mpiga dili

  • @babadee4785
    @babadee4785 4 ปีที่แล้ว +34

    Siku hz hata mkeo usimwamini Hasa pale unapoona maelewano ndani hakuna, ikifikia kwenye issue ya vitita vya pesa inaweza kuwa ni sehemu ya kukukomoa once and for all

    • @rizikibakar3186
      @rizikibakar3186 4 ปีที่แล้ว

      Baba Dee kuna mume alimtega mkewe njiani akampora pesa za vicoba.Na alishirikiana nae vzr kwenda Police ila mke aligundua baada mume kumgaia mkewe hela ya matumizi elf 10 ambayo mke aliikariri iliandikwa na kalamu

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 3 ปีที่แล้ว

      Wote hakuna kuaminiana ata mwanaume anaweza kupanga dili kwa mke wake

  • @mohamedkassimu8789
    @mohamedkassimu8789 4 ปีที่แล้ว +12

    Sabaya oyeee🙏

  • @petermollel1471
    @petermollel1471 4 ปีที่แล้ว +12

    Safi sana Mh DC

  • @barakmazigo8945
    @barakmazigo8945 4 ปีที่แล้ว +4

    Kazi nzuri cn

  • @gladymndala1061
    @gladymndala1061 4 ปีที่แล้ว +4

    Hatar kwel leo yangekua mengine majambaz yapora na kuua aiseeee mungu ambaliki kiongoz kwel awamu hiii ni hapa kaz tuu

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 3 ปีที่แล้ว

    Sabaya safi sana ccm imekukataa wameona ipo siku utawabana nyanja zao ndio mana wamekusingizia jambazi mungu yuko na ww

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hii video nimeiangalia tena na kuisikiliza nawakubali sana Sabaya Makonda Ally Happy Polepole na Gwajima

  • @shankalimauno5786
    @shankalimauno5786 4 ปีที่แล้ว +26

    uyu nae anaenda kuanza maisha mapya gerezani najua hii awamu ya tano magufuli yupo sana

  • @hassanjomaa2313
    @hassanjomaa2313 4 ปีที่แล้ว +67

    Duuh hiii selekali ya jpm wote cia usicheze nayo kabisa unapanga dili yako weshajuwa kabla ya tukiyo dadekiiii

    • @kindolek9257
      @kindolek9257 4 ปีที่แล้ว +2

      Nmekubal km huyu Jamaa usalama wa taifa

    • @zainabboss5619
      @zainabboss5619 4 ปีที่แล้ว +2

      Naombeni namba zenu hata mimi ninamaoni yangu

    • @zainabboss5619
      @zainabboss5619 4 ปีที่แล้ว +1

      Naombeni namba zenu

    • @emmanuelmogela5871
      @emmanuelmogela5871 4 ปีที่แล้ว +1

      DC kuna kilo moja ya kiti moto APA na bia za kumwaga kwa ajili yako unastahili kupongezwa asee

    • @deomakini6658
      @deomakini6658 3 ปีที่แล้ว

      Sabaya uko vizuri jamaa yangu
      Chapa kazi

  • @yassinpaulo3457
    @yassinpaulo3457 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulinde DC kaka yangu mpendwa ningekua na uwez wal usingekuwa dc wa wilaya ningekup uwe mkuu wa nchi nzima nakukubali shkuran ziend kwa ango magu wily ya hai tumepat kiongoz kwa kweliiiiii mungu akuongoze kwa yoteeee akuepush mabayaaaa amina

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 4 ปีที่แล้ว +9

    Safi sana
    Huyu DC watu huwa Wana mcriticise ila anafanya Kazi sana
    Safi sana dc

  • @hussainomar1849
    @hussainomar1849 4 ปีที่แล้ว +15

    Duh huyu mlinzi Ni kiboko sana amekutana na mkono wa sheria.

  • @ibrahimmungure7493
    @ibrahimmungure7493 4 ปีที่แล้ว +1

    Kazi yko ni nzuri mkuu .

  • @babadaniel364
    @babadaniel364 4 ปีที่แล้ว +39

    "Jambazi wenu ni huyu hapa OCD endeleeni nae"😂😂😂

    • @adifar89
      @adifar89 3 ปีที่แล้ว

      Mzee baada ya mwaka ndo nakubali comment yako 😆

  • @petermabula3442
    @petermabula3442 4 ปีที่แล้ว +32

    Pokea ukuu wa mkoa kwa jina la YESU

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 4 ปีที่แล้ว +14

    Napenda wakuu wa wilaya went akili,Safi Sanaa Mkuu wa Wilaya

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 4 ปีที่แล้ว +63

    MH RAISI MAGUFULI NAOMBA UMPE UKUU WA MKOA HUYU DC SABAYA

    • @richardmoby7796
      @richardmoby7796 4 ปีที่แล้ว +2

      Collect

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 4 ปีที่แล้ว

      Exactly tena hukohuko Arusha

    • @flyboy3052
      @flyboy3052 4 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa

    • @mzeewamadodoso1816
      @mzeewamadodoso1816 4 ปีที่แล้ว

      Zefa Mange uko sahihi Mheshimiwa Rais mpe ukuu wa Mkoa anachapa sana kazi

    • @eddynyaki5539
      @eddynyaki5539 4 ปีที่แล้ว

      Mheshimiwa sabaya hongera sana kuokoa maisha yahao wafanyakazi Mungu azidi kukujalia ujasiri na afya njema

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 ปีที่แล้ว +3

    safi sana

  • @stevoovlogs8645
    @stevoovlogs8645 4 ปีที่แล้ว +12

    Well done Mr Dc

  • @reginarejina5741
    @reginarejina5741 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kaka kwa kazi nzuri 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @polloz77
    @polloz77 4 ปีที่แล้ว +21

    Sometime najiuliza hawa wa kuu wa wilaya na wakuu wa mkoa walikuwa wapi miaka yote hiyo toka utawala ali Hassan mwinyi mpaka Kikwete?
    Tasmania kweli kuna viongozi wa zuri sana tena vijana
    Tu msifu president Magufuli kwa kuwaona hawa vijana na kuwapa nafasi ya kuwasaidia Tanzania

    • @raymondkaswaga8334
      @raymondkaswaga8334 4 ปีที่แล้ว +1

      tangu auwawe Sokoine mzee watu ni kimya

    • @veraskitchen8122
      @veraskitchen8122 4 ปีที่แล้ว +1

      Polo alawi: that's why 75 percent government ilisababisha inchi yetu Tanzania kurundi nyuma, now they cannot joke, majibu yameiva mbado kutumbuliwa, kila Mmutu anateteya nafasi yakeee...

    • @fredmushi3870
      @fredmushi3870 4 ปีที่แล้ว +1

      Utawala nyingine maraisi WALIKUWA waoga na watumishi waoga Sasa hv Mambo ni moto

    • @philipoinzag2379
      @philipoinzag2379 4 ปีที่แล้ว +2

      Tatizo sio uoga na a alikuwepo lakini ilikuwa kuna kitu kinaitwa Mkubwa Sasa wakitaka kufanya mambo kama hayo yule mkubwa ndio keshPewa chake anawanyamazisha basi Hakuna chengine

    • @wahidashabaz5982
      @wahidashabaz5982 4 ปีที่แล้ว

      Wapiga kazi wapo ila watu wanatakiwa msimamo saiv magu anamsimamo ndio maan nao wanapiga kazi

  • @allyhassan7522
    @allyhassan7522 4 ปีที่แล้ว +3

    Asante mh.DC.

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 4 ปีที่แล้ว +8

    Sabayaaa nakuamini sana kiongozi wangu sabayaaa mkoaaa huoooo

  • @goodluckmrosso486
    @goodluckmrosso486 4 ปีที่แล้ว +2

    Duhhh kmamaee wallah , aisee noma sana

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 4 ปีที่แล้ว +18

    Shikmooo DC.bada ya huyu .wa hai.uyo jambazi angeingia kwenye kumi nanane za manwali angekunya huku anatembea pumbavu

  • @masundelwa
    @masundelwa 3 ปีที่แล้ว +5

    Huyu ni DC Ana experience na USALAMA WA TAIFA 😁👏👏

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 ปีที่แล้ว +39

    Huyu mkuu wilaya hapewe uwaziri ni mchapakazi haswa hwasa

    • @mayahhajih2636
      @mayahhajih2636 4 ปีที่แล้ว +2

      Kabisa yaani 💪 💪

    • @fikirimadinda6027
      @fikirimadinda6027 4 ปีที่แล้ว +1

      Wazir ad awe mbunge

    • @mariamufungo9619
      @mariamufungo9619 4 ปีที่แล้ว +1

      Sana kabisaaaa,yaani huyu kaka yangu apewe uwaziri

    • @jumabakari1468
      @jumabakari1468 3 ปีที่แล้ว

      @@fikirimadinda6027 Nikweli uwazri ataupatia jela 😂😂

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 ปีที่แล้ว +1

    Sabaya we will miss you Hai kwa kweli. Ulitufaa sana kaka

    • @joycemfuru4752
      @joycemfuru4752 ปีที่แล้ว

      Wakati mwenyewe muhusika alijuaje

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 4 ปีที่แล้ว +2

    Pole sana jambazi sasa utauwona utamu wa yesu

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 4 ปีที่แล้ว +25

    Siku hizi za mwizi ni siku 20 tu. Sio 40. Huyu alishafungwa aliporudi uraiani karudia yaleyale...hukumu yake sasa ni kifo. No discusion.

    • @jacobmakono389
      @jacobmakono389 4 ปีที่แล้ว

      ..sasa ndo mtuamini tunaposema dawa ya dhambi ni kuokoka,kupokea Yesu na kudhamiria kuacha dhambi!huyo hata akirudishwa jela miaka 30 akitoka ataiba/atapanga kuiba tena!

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 4 ปีที่แล้ว +3

    Mungu anakuona Sabaya pambana mwanangu 👍

    • @khamisishow685
      @khamisishow685 2 ปีที่แล้ว

      Wanatakiwa washuhurikiwe watu kama hawo

  • @emmanuelmataba5997
    @emmanuelmataba5997 4 ปีที่แล้ว +4

    Sahizi magufuri Hana mchezo mpaka hao madic ni Kama wanatoka kitengo nyeti good job blaza.

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah mashallah mungu akulinde popote ulipo jamaniii daaaaah

  • @emmymathias8849
    @emmymathias8849 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulinde..

  • @marcohamisihubill.1649
    @marcohamisihubill.1649 4 ปีที่แล้ว +17

    Hapo nimekubali uteuzi wako Rais yuko Sawa

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyu Sabaya anafaa sana uongozi wabaya wachache hawampendi Asnt JPM🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @happykimaya2762
    @happykimaya2762 4 ปีที่แล้ว

    Good.kijana wa Uncle Magu!

  • @mariaerenest5632
    @mariaerenest5632 7 หลายเดือนก่อน

    Sabaya wewe nimagufuri nakupenda Sana kazi nzuri

  • @user-gr9px4pi2w
    @user-gr9px4pi2w 2 หลายเดือนก่อน

    Sabaya ni kiongozi mzuri sana ni hazina ya Taifa nina hakika taifa bado linakuhitaji Mungu yupo na siku zipo utafika wakati

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 4 ปีที่แล้ว +2

    safi Sana mzee baba

  • @DrMbonea
    @DrMbonea 3 ปีที่แล้ว +2

    Sabaya
    Mungu atakupigania katika changamoto zako yote yatapita
    Tumuachie Mungu

  • @oscarkasalile8146
    @oscarkasalile8146 4 ปีที่แล้ว

    Hizo ndio kazi za kufanya nzuri mheshimiwa DC sabaya ongera sana mkuu

  • @mustaphambwana7944
    @mustaphambwana7944 4 ปีที่แล้ว

    Sabaya kwa kweli mimi nakukubali kupita naerezo mungu akuondoree madui yani ukurinde

  • @aemiliannubbian5480
    @aemiliannubbian5480 4 ปีที่แล้ว +5

    Yo so soft, unapanic dogo hata kama una camera-man wako

  • @bintimakalanzinyabu6063
    @bintimakalanzinyabu6063 4 ปีที่แล้ว

    Duuh jaman hivi kumbe viongoz wakulinda malizetu na raia wapo eeh ahsante sn DC🙏 umetupa iman

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana ulinzi wa tz umeluwa imara sana

  • @salvatorybuha4328
    @salvatorybuha4328 4 ปีที่แล้ว +3

    Huyu Jamaa anafaa kua waziri WA madini na nishat huyu yuko safi

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 ปีที่แล้ว +2

    WELL DONE GUYZ

  • @peterkailembo4101
    @peterkailembo4101 4 ปีที่แล้ว +11

    Hawa viongozi wa serikali hii huwadanganyi wote usalama hawa

  • @lordmasali3410
    @lordmasali3410 4 ปีที่แล้ว

    Big up sanaaaaa kiongoziiiii

  • @saudaasumani6729
    @saudaasumani6729 4 ปีที่แล้ว

    We osd noma nakubali

  • @zuenamuogopemunguewemwanam1843
    @zuenamuogopemunguewemwanam1843 4 ปีที่แล้ว

    Jamani Sabaya Mungu akubariki sana.

  • @jumannesaid4873
    @jumannesaid4873 3 ปีที่แล้ว

    Viva jpm viva dc sabaya aseee

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 4 หลายเดือนก่อน

    Walimchafua kijana wetu lakini huyu kijana ni chama chamoto kazini anakuwa kikazi zaidi di
    Siyo rongorongo mungu atakuinua tena maadui zako waaibikee

  • @joazypro4139
    @joazypro4139 4 ปีที่แล้ว +3

    Respect brother 🙊🙊

  • @anicianjoki3353
    @anicianjoki3353 4 ปีที่แล้ว

    Heshima yako DC kazi kubwa umefanya

  • @marcokosei3474
    @marcokosei3474 4 ปีที่แล้ว +1

    asante xana ole sabaya naipenda xana kaz unayoifanya,huwa nikikufuatilia kila cku ila wewe ni mwokozi wa watu,,kwel happa kazii tuu,serekali sio bhana ni wajanja kamwe sio wa kushinda nao

  • @godwingilman5841
    @godwingilman5841 3 ปีที่แล้ว

    Tunakujua mzee wa kutunga sinema na kuipangua

  • @zainabzainab9724
    @zainabzainab9724 2 ปีที่แล้ว

    Congratulations. Mkuu yani mungu hakulide daima dawama na haibariki kazi yako

  • @tobachichima3535
    @tobachichima3535 3 ปีที่แล้ว +1

    Leo hii sabaya upo kizuizini eti ww mbaya munguakusaidie

  • @Bigboy-nx3nc
    @Bigboy-nx3nc 4 ปีที่แล้ว +2

    NICE MOVIE 👍

  • @joseygaudence1886
    @joseygaudence1886 4 ปีที่แล้ว +3

    Jamaa anautaaramu wa kuzimia wiki mbili😂😂😂😂😂😂dunia hii inawatu wa ajabu

  • @gidionelias6276
    @gidionelias6276 4 ปีที่แล้ว +11

    Magufuli huyu kijana mpee ukuu wa mkoa anafaa

  • @saleheabdalah6535
    @saleheabdalah6535 3 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa alikua anapiga kazi vizuri sanna Ila Tanzania. Jamani vizuri vinachukiws sanna

  • @OnenThomas-cw7py
    @OnenThomas-cw7py 3 หลายเดือนก่อน +1

    regina thomas❤😂🎉😢😮😅😊

  • @bikosi9537
    @bikosi9537 4 ปีที่แล้ว

    Mweshimiwa rais hongera sana uliwachagua vijana wenye umahiri kazini

  • @kabwangaselemani5228
    @kabwangaselemani5228 3 ปีที่แล้ว +2

    Wakati mwingine Sabaya comes to be a good boy

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 4 ปีที่แล้ว +1

    Huya sabaya anaangalia jinsi naye atapata toka lini tajiri ajihatarishie pesa zake?

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 4 ปีที่แล้ว

    jamaa ana matukio ya kuhatarisha maisha yake huyu DC afanye maombi sana abaki salama ....

  • @theophilukapinga2316
    @theophilukapinga2316 4 ปีที่แล้ว +5

    Awamu ya 5 oyeee

  • @abdillahmbinga7050
    @abdillahmbinga7050 4 ปีที่แล้ว

    Good job sir

  • @ZainabMilanzi
    @ZainabMilanzi วันที่ผ่านมา

    Mungu mkubwa mungeongopewa nyinyi asikari kua nimtandao wenu

  • @shaqscollection7481
    @shaqscollection7481 4 ปีที่แล้ว +2

    Nyie Millard ayo Mbona mnajifanya mnahekma Sana kuweza kuyastir hayo mataka taka hata msiyaonyeshe nyuso zao na watu kuwajua ili kuwa na tahadhar nayo? Msifanye hvyo hakika hao ni watu wabaya wakikuotea wanaludisha nyuma nakufanya har kuwa ngum.

  • @jeffreywilliams1171
    @jeffreywilliams1171 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu wizara ya Mambo ya ndani ingemfaa sana, pia ujenzi na madini ili akomaae miaka mitatu tu halafu wampandishe kama wakubwa ndani ya CCM kama ikiwapendeza.kijana ni sokoine mpya.

  • @wilsonchallange4420
    @wilsonchallange4420 4 ปีที่แล้ว +10

    Filamu Nzuri.!!

    • @hurumakyando5642
      @hurumakyando5642 4 ปีที่แล้ว

      zamani utandawazi ulikua hamna hata mtu akifanya kitu kizuri hawezi kusikika nao walifanya vizuri kias chake jaman

    • @wilsonchallange4420
      @wilsonchallange4420 3 ปีที่แล้ว

      Watu wa hai na Hasa Mbowe wamesema alikuwa anawaonea

  • @man.lule.585
    @man.lule.585 4 ปีที่แล้ว

    Sabaya.2020. ugombanie ubunge jimbo lá Arusha mjini.

  • @wazirisukari5178
    @wazirisukari5178 4 ปีที่แล้ว

    Excellent leader