Magufuli aamsha dude jingine bandarini

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 พ.ย. 2017
  • Rais John Magufuli, ametoa siku saba kwa vyombo vya dola kuchunguza magari 50 yaliyopo bandarini yaliyoingizwa nchini kwa jina la Ofisi ya Rais.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 343

  • @nkowe_one
    @nkowe_one 3 ปีที่แล้ว +145

    Kama umemkumbuka mh magufuli like hapa 🇹🇿

  • @johnthobius6543
    @johnthobius6543 6 ปีที่แล้ว +13

    Laa Rais anafanya kazi mpaka mamwonea huruma laa!! Mungu ampe maisha marefu

  • @mkemiamagege8477
    @mkemiamagege8477 2 ปีที่แล้ว +12

    Kwa hii kazi uliyoifanya Magufuli Rais wangu. Ndio maana walikuuwa!! Walioumia kwa kutopig misheni town zao no wengi kinyama!!

  • @eliaikawilhelm3541
    @eliaikawilhelm3541 2 ปีที่แล้ว +19

    Pumzika kwa aman baba magufuli😭😭😭😭😭😭

  • @gaspermganga8900
    @gaspermganga8900 2 ปีที่แล้ว +24

    Rest In Peace my president the son of Africa. Naamini uliletwa na Mungu Kufungua macho watanzania na Waafrika kwa ujumla, muda sio mrefu watu wengi wataanza kugundua kuwa kifo chako wengi tulijua kitatokea kwasababu hakuna rahisi yeyote kwenye Historia ya afrika Aliyejitolea maisha yake kwa wananchi, akapendwa na Mataifa ya ulaya. Angalia, Thomas Sankara, Patrice Lumumba, Ghadafi, kwame nkuruma, Na wengine wote. Afrika we must unite before it’s too late.

  • @maryammeme2615
    @maryammeme2615 6 ปีที่แล้ว +19

    Huyu rais Ni jembe sijawai ona duniani long live magu

  • @jacksonpeter6099
    @jacksonpeter6099 3 ปีที่แล้ว +49

    Rest in peace Baba. Nilikukubali mno.

  • @williammaroa3928
    @williammaroa3928 6 ปีที่แล้ว +8

    Hongera Sana Mzee jpm. kiongozi wa Mali ya umma

  • @sayibahati7316
    @sayibahati7316 6 ปีที่แล้ว +5

    Inatia huluma sana Mzee wetu,,,,,,mijitu haisikii,,ama kweli watu wakozoea wizi ni kazi sana kuacha

  • @nyangimarwa3448
    @nyangimarwa3448 3 ปีที่แล้ว +12

    Pumzika kwa Amani Baba, Mzalendo wetu wa nchi yake Daima hatutakusahau Kipenzi cha Watanzania utaendelea kuishi mioyoni mwetu Daima

  • @albertkimaro8493
    @albertkimaro8493 6 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akutangulie katika kuingoza Tz, nimesikitika sana hapo mwishoni ulipo sema "Haya banna" imeonesha ni jinsi gani unavyo kerwa,

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 6 ปีที่แล้ว +28

    I love my president❤️💛💚 magufuli forever

  • @loatalothi8784
    @loatalothi8784 6 ปีที่แล้ว +6

    Communication hata kwenye familia ikikosekana Mambo hayataenda, vivyohivyo na nchi viongozi,mawaziri,wakuu wa idara za serikali no communication Tanzania mnaichelewesha kuendelea,Mungu ibariki Tanzania yetu

  • @jummawetu
    @jummawetu 6 ปีที่แล้ว +8

    huu ndie raisi yaani afrika tukipata maraisi wa 5 kama mafufuli yaani tunatona ugaibuni tunalejea kwetu afrika UVWF tunamupongeza sana RAISI MAGUFULI

  • @mtotowaraila5397
    @mtotowaraila5397 6 ปีที่แล้ว +10

    Raisi mchapa kazi East African👊👊

  • @kisayansimedia1626
    @kisayansimedia1626 3 ปีที่แล้ว +10

    Magufuri good job 👍

  • @erickkihuru4529
    @erickkihuru4529 6 ปีที่แล้ว +3

    Hongera prezda kaz Nzur xana bandarn hakuna uongoz mzur angalia tena

  • @elisha5693
    @elisha5693 6 ปีที่แล้ว +15

    tuombe kwaajili ya rais wetu

  • @gerardpaul2322
    @gerardpaul2322 6 ปีที่แล้ว +4

    Mkuu mungu akupe ulinzi unamaaduwi wengi unauma xana bandar mkabidhi Makonda.

  • @richardsoka2400
    @richardsoka2400 6 ปีที่แล้ว +5

    Uzembe wa hali ya juu! They have purposely done this, it is just an open sabotage by TPA and TRA leaders. Kudos President Magufuli. God Bless Tanzania.

  • @sheilatezura5652
    @sheilatezura5652 6 ปีที่แล้ว +5

    Nakukubali rais wangu jpm.

  • @mtungilandegeya6312
    @mtungilandegeya6312 6 ปีที่แล้ว +10

    Rais Magufuli kazi anayo
    ... maana mijitu inayomzunguka inajifanya mizuzu sana

  • @neozoran244
    @neozoran244 ปีที่แล้ว +1

    Greatest Of All Time (G.O.A.T) ❤️💪

  • @ayoubbusanya8290
    @ayoubbusanya8290 6 ปีที่แล้ว +61

    Nimemuonea huruma sana raisi wangu baada ya kumaliza kuongea na Kusema "haya bana", inaonesha mawaziri wake wanamuangusha Sana maana kaonesha uchungu Sana

    • @emanuelmartin389
      @emanuelmartin389 6 ปีที่แล้ว +3

      Makonda apewe awaoneshe kazi

    • @emanuelmartin389
      @emanuelmartin389 6 ปีที่แล้ว +2

      Makonda apewe hiyo kaz awnyoshe

    • @mohamedfogo8820
      @mohamedfogo8820 6 ปีที่แล้ว +1

      Kwa kweli moyo ni safi
      Anaumia sana ila mijizi ktk nchi hii ni mingi sana.yaani bado wanamzunguka tu dah!!

    • @st99ngeni35
      @st99ngeni35 6 ปีที่แล้ว +2

      Ayubu Busanya Ina uma sana kwakweli. Tuzidi kuiombea hii nchi na raisi wetu ili tufike

    • @st99ngeni35
      @st99ngeni35 6 ปีที่แล้ว +4

      mohamed selungwi Ndiyo maana wanaompinga ni wengi....WATU WANATAMANI HATA AFE ILI MAMBO YARUDI KULEX2 KWA ZAMANI. NI LAZIMA WATZ TUKUBALI KUBADIRIKA NA TUMOE SUPPORT RAISI WETU

  • @rizbfighter8574
    @rizbfighter8574 5 ปีที่แล้ว

    Hongera mh.rais tuko nawew kila hatua na tunakuombea Mungu akulinde uzidi kufanya kaz kwa mkono wa Mungu usikate tamaa atakaye kukwamisha fukuza Mungu anataka haki Fanya kazi ya Mungu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 6 ปีที่แล้ว +15

    haya bana!!!! pole rais wetu funga majambazi hayo waishazoea wizi

  • @mkemiamagege8477
    @mkemiamagege8477 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyu Kikwete huyu Alichotufanyia katika nchi hii kwakweli. Mungu anjua kuna siku atamuaibisha kwa kila jambo alilotutendea wananchi kipindi cha uwongozi wake na kipindi ambacho alipotuondolea huyu Mzee kuiingilia Serikali ya awamu ya Tano.

  • @omarmwalimu92
    @omarmwalimu92 6 ปีที่แล้ว +21

    Uwozo wote huu unahitaji katiba mpya ambayo itakuwa Smart kwa kumshughulikia mtu yoyote bila kujali cheo au hadhi yake.Kama Rais anapambana na rushwa ,je itakuwaje kama Mungu anamchukua kabla ya kumaliza kipindi chake? ,na je itakuwaje kama akimaliza kipindi chake ?.Je tunaimani gani kama Raisi atakayefuata atafuata sera zake?.Hapo ndipo tunaposema kuna umuhimu wa katiba mpya anayoendana na usasa na kizazi cha sasa ,katiba ambayo itaweza kumshughulikia mtu yoyote hata kama ni Raisi ama waziri. Msingi wa Utawala bora ni sheria ambazo zinaweza kufanya kazi hata kwa mtu hohehahe (fukara)

  • @agnesakazinzurbadamwemanel8909
    @agnesakazinzurbadamwemanel8909 2 ปีที่แล้ว +2

    nimelia upya nilivyotazam hii video kwa mara nyingine raisi wetu leo haupo tena daa mungu mkali jamani pumzika kwa amani raisi wetu bado unaishi moyoni mwangu😭

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 6 ปีที่แล้ว +11

    Tanzania pasua kichwa, magari yanakaa miaka yanachomwa na jua, yanapata rust na corrosion taasisi za uma zinakosa magari ya kutosha na kuagiza mengine kijinga jinga

  • @mropeamadeus5445
    @mropeamadeus5445 6 ปีที่แล้ว +24

    huyo ndie Mkuu Safi Sana

  • @sentejr2821
    @sentejr2821 2 ปีที่แล้ว +3

    Tunakukumbuka raisi wetu
    Raisi pekee aliependa wanyonge
    Dah RIP MWAMBA

  • @ibel4lf
    @ibel4lf 2 ปีที่แล้ว

    Our Late beloved president Pole
    sana nchi ilikuchosha... pumzika kwa amanj John P Magufuli

  • @jacklinekimario787
    @jacklinekimario787 2 ปีที่แล้ว +1

    Natamani hata Mungu aturejeshee magufuli kidg tu hatamwezi mmoja tu afu amrudshe akapmzke aliko🥺🤲tunataka MAGUFULIFICATION🤒
    Dah rip legend❤️bba wa mioyo ya wanyonge

  • @annafrancis9699
    @annafrancis9699 2 ปีที่แล้ว

    That is wonder full and nice one for our better president

  • @rammyissa5928
    @rammyissa5928 2 ปีที่แล้ว

    Tutakukumbaka daima mzee wetu mungu hakupumuzishe kwahamani baba

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 6 ปีที่แล้ว +19

    Mjomba Magu, safisha tu nchi. Huu uchafu lazima utoweke kabisa na kwa Njia yoyote ile.

  • @kitangacharles5818
    @kitangacharles5818 6 ปีที่แล้ว +8

    Nimekuelewa jpm

  • @elvunielvuni6637
    @elvunielvuni6637 6 ปีที่แล้ว +7

    duuu nakuogopa kama motoooo mkuu magugufuri

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 4 ปีที่แล้ว

    Baba fanya kazi ya kuwatumikia watanzania uliowaahidi. Tunakupongeza sana. Wewe fanya sehemu yako wasioelewa achana nao baba.

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents4938 6 ปีที่แล้ว

    Endelea kutunyoosha mambo mazuriiii hakika wewe ni role model viva mheshimiwa tafadhali fika na mtibwa kuna majipu

  • @kulwawaziri3866
    @kulwawaziri3866 6 ปีที่แล้ว +2

    Sawa sawa rais wetu mpendwa John pombe magufuli tunakusapot

  • @isayangwahi9251
    @isayangwahi9251 6 ปีที่แล้ว

    Baba Magu piga kazi Baba Nakuombea wallah Mungu akulinde....Lazima wanyooke

  • @elisanteshelukindo2745
    @elisanteshelukindo2745 6 ปีที่แล้ว +2

    Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya JPM ,Bwana azidi kumpa hekima mara trilion

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 2 ปีที่แล้ว

    Sasa ni 2022,kma umeshammis sana jembe Magu gonga like tumuenzi Baba yetu

  • @gemkachar
    @gemkachar 6 ปีที่แล้ว +1

    Pole Mhe Rais. mwenyezi mungu yupo nawe.

  • @mirrykirungi3223
    @mirrykirungi3223 2 ปีที่แล้ว +4

    Rest easy my president daima tutakukumbuka tulikupenda ila MUNGU amekupenda Zaid umeondoka Bado twakuitaji

  • @elisha5693
    @elisha5693 6 ปีที่แล้ว +27

    huyu Rais tumwache atuongoze mpk atakapo itwa na Mungu,maana anatusaidia sana

    • @ndelemwalonde2145
      @ndelemwalonde2145 6 ปีที่แล้ว

      Dunia ya Leo haiendiii hivyoooo.

    • @basharahamtzhalisi6871
      @basharahamtzhalisi6871 6 ปีที่แล้ว +1

      Hayo mawazo yako. Wako wazuri wengi, sema tu hawakupata nafasi hiyo.

    • @basharahamtzhalisi6871
      @basharahamtzhalisi6871 6 ปีที่แล้ว +1

      ndele mwalonde. Kweli ndg dunia ya leo haiendi hiyo.

    • @semeninyerere3573
      @semeninyerere3573 6 ปีที่แล้ว

      Jinga

    • @junubmedia3831
      @junubmedia3831 4 ปีที่แล้ว

      Haijalishi unavyocheza vizuri lkn mwishowe unafaa ushuke jukwani, mawazo nzuri iyo yako lakini hatufanyi ivo.

  • @pauljuma5713
    @pauljuma5713 6 ปีที่แล้ว +4

    Ndo maana huwa namkubali Paul makonda unadhani uchafu kama huo angeuvumilia raisi angemkabidhi hyo bandari awanyooshe

    • @hassanimalangu7025
      @hassanimalangu7025 5 ปีที่แล้ว

      Mm sina chakusema zaidi ya kusema. Ccm hooyeeeee

  • @hemedomary2281
    @hemedomary2281 6 ปีที่แล้ว +4

    Mh.Rais hakuna haja ya maneno mengi,piga chini hao kisha weka ndani kwa uzembe wao pia piga chini waziri.Haiwezekani hadi Rais aende bandarini ndiyo uozo ugundulike,hawa jamaa wanajua kinachoendelea juu ya hayo magari na mengine mengi tu hapo bandarini.

  • @mihambokitambo421
    @mihambokitambo421 6 ปีที่แล้ว +6

    jama Mungu amsadie rais

  • @mathiasnsegenelo7598
    @mathiasnsegenelo7598 6 ปีที่แล้ว

    Mungu azidi kukulinda rais wangu mpendwa,nakupenda kweli rais wang

  • @kitimethegreat52
    @kitimethegreat52 6 ปีที่แล้ว +4

    Yaani nimejisikia sana uchungu uchungu, kwanini mzigo wote huo ubebeshwe peke yako, wao wanakodoa tu mimacho.

    • @clementhiddi1486
      @clementhiddi1486 4 ปีที่แล้ว

      Viongozi Tanzania ni aibu tu no accountability nor patriotism, rais anaumia sana.

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 5 ปีที่แล้ว +1

    Rais wangu najivunia sn kuwa na Rais kama ww mungu akulinde

  • @jimmyjay9594
    @jimmyjay9594 2 ปีที่แล้ว +20

    Rest in peace king

  • @Crabtree1844
    @Crabtree1844 2 ปีที่แล้ว

    Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge.

  • @mpumulagrandson7880
    @mpumulagrandson7880 2 ปีที่แล้ว

    Tunakukumbuka Sana JPM Allah akupumzike na akupunguzie adhabu ya kaburi Ameen

  • @angelamarlow510
    @angelamarlow510 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakika utabaki kua ww kwenye moyo wangu Rais Dr Magufuli Nina Iman ulijichagulia fungu sahihi wakati wa Uhai wako,,

  • @upendorobert7298
    @upendorobert7298 6 ปีที่แล้ว +3

    duuh, nchi hii, huliwa na wenye meno. mawaziri wote ni mizigo tu. utafukuza wote tu

  • @hamisisonga4357
    @hamisisonga4357 6 ปีที่แล้ว +3

    Kusema ukweli mawaziri baadhi bado wanaboa aisee kama hawajuw wajibu wao wapishe two wenye ham na kazi waje kupiga coz hawawajibiki ipasanyo piga kazi jembe tunakusapoti

  • @josephkinunda4211
    @josephkinunda4211 6 ปีที่แล้ว

    Siyo mwepesi sn wa kucomment kuhusu mambo km haya lkn huu ni uzembe mkubwa ambao hata mm mwenyewe nikipewa nafasi km hii siwezi kuufanya. Hongera rais.

  • @franklazaro7660
    @franklazaro7660 6 ปีที่แล้ว

    upo sawa mzee wangu

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 2 ปีที่แล้ว

    Leo nimejisikia kukukumbuka tu mzee dah No one is like you, No one watakuja wengi ila Hatotokea mwengine

  • @muzdalfaaladina6943
    @muzdalfaaladina6943 2 ปีที่แล้ว

    Dah nimekumis sanaa baba pumzika kwa amani😭😭😭😭🇹🇿

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents4938 6 ปีที่แล้ว

    Mungu akuzidishie mheshimiwa

  • @yonasangitho4485
    @yonasangitho4485 6 ปีที่แล้ว +4

    kudadeki huhu anko huyu ni balaa hatari anakaba mpaka penalty

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 6 ปีที่แล้ว +18

    natamani makonda awe waziri ausike na bandari watamkoma

  • @ngusarobert7013
    @ngusarobert7013 6 ปีที่แล้ว +6

    Makonda anasitaili kua wazili apewe bandali kuisimamia

  • @barikichichimu3502
    @barikichichimu3502 6 ปีที่แล้ว

    j..p..m mungu akubariki na akupe nguvu daima.saaaf sana .

  • @josephmkemangwa4389
    @josephmkemangwa4389 6 ปีที่แล้ว

    Safi sana mkulugezi izo gali zije na ilinga gali ni chache ilinga!

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 2 ปีที่แล้ว

    Tumempoteza shujaa
    Mungu ndiye anaye jua

  • @joshuanyamkokoma1467
    @joshuanyamkokoma1467 6 ปีที่แล้ว

    Mungu azid kukuongoza na kukulinda Raisi wetu

  • @strikerhussein9212
    @strikerhussein9212 6 ปีที่แล้ว

    hahahahaa mister prisdent big up naona vidume kimyaaaa vijasho lainiiii hahahaha ukiwakuta kwenye office zao c mikwala hiyo watumbue tu mkongwe .na ktiba tuibadili uendelee 2040

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 2 ปีที่แล้ว

    Miss U my president!!!!You are legend is with us

  • @stevenlyando1801
    @stevenlyando1801 6 ปีที่แล้ว

    magu anapiga sana kazi huyu mzee,kaniumiza sana roho mwishoni hapo eti HAYA BWANA duuuh

  • @stahncalifornia214
    @stahncalifornia214 6 ปีที่แล้ว +7

    Maguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

  • @frankrobert2856
    @frankrobert2856 2 ปีที่แล้ว +3

    Big up

  • @keloboy7844
    @keloboy7844 6 ปีที่แล้ว

    kazi juu ya kaz yani bamba tubamba

  • @ezekielkimaro1647
    @ezekielkimaro1647 4 ปีที่แล้ว +3

    Live long my president!

  • @bahatimwakagugu979
    @bahatimwakagugu979 6 ปีที่แล้ว

    Komaa nao Baba'! Hao watumishi mizigo watanyooka tuu. Kwani zama zimebadirika mambo ya kukaa maofisini tu zimeisha. Hapa kazi tu. Ufisadi hauna nafasi.

  • @sammweusimweusi780
    @sammweusimweusi780 6 ปีที่แล้ว +4

    Mh rais watendaji wako hasa kwenye chama chako wanakuhujumu.

  • @romanshirima2972
    @romanshirima2972 6 ปีที่แล้ว +7

    Huyo jamaa mwenye magari yuko na wewe ulipo mkuu wangu ""humjui"?? nimtajeee????

  • @emmanuelmichael3012
    @emmanuelmichael3012 2 ปีที่แล้ว

    Daa speech zake sijui Kama zitasahaulika

  • @mditijaphet7347
    @mditijaphet7347 6 ปีที่แล้ว +4

    Ndiyo makonda itapendeza zaidi

  • @mustaphaabdallah8671
    @mustaphaabdallah8671 6 ปีที่แล้ว +2

    Mheshimiwa hayo magari ya polisi itakuwa ni RAIA alipewa tenda ayalete sasa wewe baada ya kusitisha kupewa tenda watu binafsi ndio kimbembe kilipokuja ndio maana unaona yamekaa hapo sasa umeshatoa amri yatolewe bado utamfahidisha huyo aliyeyaleta kwanza atulipe kodi yetu ndio hayo magari yatolewe huo mchezo mzima wasimamizi wako watakuwa wanaujua

  • @barakamasanja8466
    @barakamasanja8466 2 ปีที่แล้ว

    Very good anko magu lala salama

  • @benjagabril9994
    @benjagabril9994 3 ปีที่แล้ว

    Dah mzee anasema Aya bana vigogo munamuangusha 🚶🚶🚶

  • @nestorykayombo8681
    @nestorykayombo8681 6 ปีที่แล้ว +3

    Mmmm magufuri ninoma

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 6 ปีที่แล้ว

    i cried mr President. thanx for seeing this.

  • @andason5406
    @andason5406 2 ปีที่แล้ว

    Tutakukumbuka sn bb saizi wale uliowabana kwahaki saizi wanatusumbuwa sisi maskin

  • @marysaimon2213
    @marysaimon2213 2 ปีที่แล้ว

    Nani atakaye fichua wizi kama huu, tunakumic sana Rais wetu

  • @sayibahati7316
    @sayibahati7316 6 ปีที่แล้ว +14

    MPE makonda bandari mkuu wetu,,,,,

  • @ymusic803
    @ymusic803 2 ปีที่แล้ว

    Uliupiga mwingi sanaa kila cku ww ni kazi tu hakuna kuzurula nchi za nje hakuna kutulia ikulu .........Mungu natamani kumuona Magufuri mwingine ...

  • @godwinsanga2412
    @godwinsanga2412 2 ปีที่แล้ว

    Matokeo darasa la saba ramadhani njombe 2021

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 3 ปีที่แล้ว

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.

  • @shaurikiyanga6033
    @shaurikiyanga6033 6 ปีที่แล้ว

    pole sana mkuu hii ndio tz

  • @barakamasanja8466
    @barakamasanja8466 2 ปีที่แล้ว

    Magufuli raid bora mungu akupe ufalme mbiguni

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 2 ปีที่แล้ว

    Hayo magari yana siri kubwa.

  • @matysamwel8592
    @matysamwel8592 6 ปีที่แล้ว

    makonda apewe uwaziri hayo yoyote yatakwisha,hiyo kasi yako aneiweza vizuri zaidi na Makonda

  • @pottawa7692
    @pottawa7692 5 ปีที่แล้ว +2

    Yuko makini sana BABA WA TAIFA🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿