🙏👍Hongereni sana Makamanda wetu kwa kujitoa kwa kulinda usalama wetu kiaminifu. Mungu awalinde na maadui na awabariki sn🙏🙏 tunawaombea usalama wa maisha yenu
Hongera sanaaaan makamanda kazi nzuri watu tupo kwenye kwenye maombi ya kuomba toba kwa Mwenyezi Mungu wengine ndiyo kwanza wanazidi kumchafua Mungu tutaponaje jamani charaza bakora za kutosha huyo mganga maana hawa ndiyo wale waganga wakuuwa maalibino pumbavu kabisa 👏👏
Pongezi kubwa kwa askari wetu kwa ujasiri,uzalendo,ukakamavu wote mlio uonyesha kwa pamoja.tupo tayari kufa kwa ajili ya taifa letu....🤝🏿💪🏿🙏🏿⭐⭐⭐hakika nyie ni wazalendo wa kweli..pongezi kwenu na mungu awalinde pia awajaalie ufaham mkubwa wenye maarifa na hisia kali za kumtambua adui.....never give up
Waarabu ndio watu pekee wanalaza gar nje na hakunaga kitu mwiz wala jambaz, walala mageti waz wala mshipa hauwadundi Ila Tz bora mtu uwe maskn tyu mpk siku yako ifike ufe kifo ulichoandikiwa 😩
Tanzania hoooyeee nawapenda Sana kutoka serikali hadi ulinzi wataifa angalao Kenya ingeiga wangekua mbali Sana lakini wao wanajaza mmatumbo tu kutoka serikali hadi ulinzi ovyo kabisa Kenya I'm from South Africa more love tz
Hongereni sana, big up👊🏾 polisi Arusha,Ila Mh mkuu wa mkoa,sio arusha tu ndio iwe salama zaidi kuliko mikoa yote,kila mkoa tuna haki ya kua na usalama wa hali ya juu kwa usawa,big up once again Polisi Arusha.
Daah hiyo chainiz mwisho wa ck itakuwa spinachi 😂hongeren sn jeshi la police mungu ibarik tz mungu ibariki Africa hiyo barakoa mkuu wa mkoa ni kibakuli au plastiki 😂
Natoa pongezi kwa jeshi la polisi tz hongera jesh la polis kwa kzi nzur mungu awajalie afya na uzima mzid kufanya kazi hongereni sana hongera IGP SIRO hongera na rais wet
Hivi vijambazi ushuuzi kuma sana hii ni awamu ya tano sio ya yule mzee wa vijembe eti umwambafaa polisi siku nyingine wapigeni na bunduki wafe kabisaa hao ni maadui wa watanzania na taifa kwa ujumla
Kwani mkuu wa police inaulazima awe na mtumbo mkubwa ivyo wakati yeye iwe mfano wa kuwa na tumbo dogo umbo la kimazoezi ndio inapendeza zaidi asanteni jeshi la police
Vizuri kwa kazi nzuri iliyofanywa, lakini sio Arusha pekee unatakiwa kuwa samala kuliko mikoa yote ya Tanzania! Sio sahihi bali Tanzania nzima inapashwa kuwa salama.
Hongereni jeshi la polisi kwa kazi mnazofanya. Mungu azidi kuwalinda kwa kazi mnazofanya.🙏🙏🙏🙏
Hahaaaa afande umenifurahisha eti " shikamo mzee na chuma kinaitika" umetisha ,,hongereni sana jeshi la polisi
🙏👍Hongereni sana Makamanda wetu kwa kujitoa kwa kulinda usalama wetu kiaminifu. Mungu awalinde na maadui na awabariki sn🙏🙏 tunawaombea usalama wa maisha yenu
Piga kelele kwa Arusha ake weeeweee!!!!Hongera sana kwa Askari wa A.town.
Hongera sanaaaan makamanda kazi nzuri watu tupo kwenye kwenye maombi ya kuomba toba kwa Mwenyezi Mungu wengine ndiyo kwanza wanazidi kumchafua Mungu tutaponaje jamani charaza bakora za kutosha huyo mganga maana hawa ndiyo wale waganga wakuuwa maalibino pumbavu kabisa 👏👏
Kazi nzur sana police wetu👏🏽mganga kawaingiza town
Happy sindani... Naomba kuzungumza nawe👋
@@mrtoshtosh4714 😂😂
Diamondback
Hawa jamaa noma had nimempenda rpc bigup police
Hawafai kwenye Nchi yetu ya Tz,hongereni jeshi letu
Hiyo ni sanitizer yao 😁😁
Big up sana maaskari👏👏👏👏
Shikamoo Mzee na marahaba ni balaaaa😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
Barakoa ya mheshimiwa nimeipenda.
Stephano Jackson hunishindi Mimi nilivyoipenda
Sana yani nzuri sana
Ya RC au
@@bjzee1981 ya kamanda
Pongezi kubwa kwa askari shupavu. Majambazi noma hao wana mkasi unaitwa shikamoo mzee,
😂😂
Hahaaaaa
Gari liliwapita kama mshale,,,, ongeren polisi wetu
Issangya hahaaaa
🤣🤣 kwa msisitizo
hongereni jeshi lpolisi poleni nakazi nnzito mungu atwasaidia
Mnafanya kazi nzuri sana,ongereni sana jamani
Jamn tunaomba wafungwe maisha yao yot, hongeren kwa kaz nzur
Pongezi kubwa kwa askari wetu kwa ujasiri,uzalendo,ukakamavu wote mlio uonyesha kwa pamoja.tupo tayari kufa kwa ajili ya taifa letu....🤝🏿💪🏿🙏🏿⭐⭐⭐hakika nyie ni wazalendo wa kweli..pongezi kwenu na mungu awalinde pia awajaalie ufaham mkubwa wenye maarifa na hisia kali za kumtambua adui.....never give up
Nawapenda sn polic wetu kwa kazi nzuri
Hongereni sana jeshi la police kwa kazi kubwa mliyoifanya
Waarabu ndio watu pekee wanalaza gar nje na hakunaga kitu mwiz wala jambaz, walala mageti waz wala mshipa hauwadundi
Ila Tz bora mtu uwe maskn tyu mpk siku yako ifike ufe kifo ulichoandikiwa 😩
Sanaaa ndo mana hatufanikiw awaafica
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
😀😀
Big up"saluti kwa kazi nzuri sana mliyo ifanya jeshi la polis namiombea kila la kheli
Mungu awalinde polis wetu na ujasiri huo natamani niwe nanyi ila nafasi sina
Hongera kwa kazi mliafanya kuwa kukamata wezi hawa bila shida "MUNGU awabariki kwa umri na afya wapolisi wetu". Asanteni sana.
Hongera sana jeshi la polisi Mkoa Arusha,na ni bidii za rais wetu mpendwa ,ktk kuimarisha uzalendo na uwajibikaji ktk kazi
Tanzania hoooyeee nawapenda Sana kutoka serikali hadi ulinzi wataifa angalao Kenya ingeiga wangekua mbali Sana lakini wao wanajaza mmatumbo tu kutoka serikali hadi ulinzi ovyo kabisa Kenya I'm from South Africa more love tz
Mbona uyu babu kajiprotect sana kuliko hata wahudumu Wa afya.😂🤣
😂😂😂
😂😂😂😂
Kama kikato cha helmeti
Woga wa maisha huo
🤣🤣🤣ana jijali angalia Afande Masoud Mohamed alivyo tutoka ghafla
Hongera kwa majambazi..wanajitafutia..kazi ni kazi bhana.Majambazi ya kalamu hamuyaoni..wapo ofisin wanaibia raia kwa vyeo zao
Safi Sana'a vijana kazi nzuri
Gongalike kama umesikia sniper wazuri
Dm sniper ni mdunguaji. Hajakosea. Ulidhani kamaanisha sanitazer
@@roseberryhamoud6542 Mwenyewe nimeshangaa like zaombwa kwa kusikia neno sahihi kabisa sniper
R.P.G aliyo itaja hiyo ndo mwisho wa stori hta ndege inageuka jivu sekunde
Ooh hongereni sana kwa hili 🙌 Nimeipenda Pigeni kazi
Munira mamb vp
Kumbe na waganga wanasanitizer za kienyeji ili kukinga risasi😁😂😂
Polisi kweli mnafanya kazi hongera kazi si rahisi mungu hawalinde
Congratulations makamanda!
Hongereni sana kwa kazi mliyofanya,majambazi hayo yabaki jivu
Hongereni polisi kwa kazi nzuri
Hongereni sana, big up👊🏾 polisi Arusha,Ila Mh mkuu wa mkoa,sio arusha tu ndio iwe salama zaidi kuliko mikoa yote,kila mkoa tuna haki ya kua na usalama wa hali ya juu kwa usawa,big up once again Polisi Arusha.
Hongera sana jeshi la Polisi kwa kazi nzuri. Mungu awalinde.
Shkamoo Mzee chuma kinaitika Marahaba....hakika Hongera jeshi la Polisi...
Kamanda Shana umetisha na mask hyo hahaha
Hongereni sana hiyo ndio maana ya Ulinzi wa raia na Mali zao, Asanteni sana
Mshana hongera kwa kazi yako unayoifanya Arusha tunakukumbuka mwanza
Amepata sababu hizo barakoa kuziba uso 🤭😷😄
Safi sana. Ninge waona hao askari ninge wanunulia chai . Ila wange wa rarua rarua badala ya ku wa acha wanapumua
Hongereni vyombo vya usalama,wanarudisha maendeleo ya watu nyuma majambazi hao..adhabu kubwa inawapasa,..
Mungu mkubwa 👏👏🙏🙏🙏
Asanteni polisi kwa kazi zuri
Huyo mganga mdudu Corona tu amemshinda so wanategemea ndy smg itamkosa.. 🤣🤣🤣
Big up papa
Huu utawala mwingine mzee magu anamungu uchawi haufai saiv huyu baba mtu wa mungu majambazi bora wakalime
mnajitahidi sana ck hiz arusha arusha ilikuwa mbay sana hap nyuma walisha fanya ni kichaka chao cha kujificha
Kazi nzuri
Kazi nzuri makamanda
Nmeipenda barakoa ya kamanda
Daah hiyo chainiz mwisho wa ck itakuwa spinachi 😂hongeren sn jeshi la police mungu ibarik tz mungu ibariki Africa hiyo barakoa mkuu wa mkoa ni kibakuli au plastiki 😂
Shukran kwa kazi nzuri jeshi la Polisi
Safi saaaana wazee,,tumewasoma maana hao washenzi wanaturudisha nyuma sana
Hao majambazi wana roho ya chuma nini? Watu tunaangaika na corona wao wanatuletea majanga mengine
Hawaogopi wako hospital ss akiwekwa na mgonjwa wa corona si kajitakia
Hapo sasa
Nandio mana wakaitwa majambazi mana hapo imani ata hawanayo wanajali kaziyao
Kazi nzuri sahihi
Asanteni sana kwa kazi nzuri
Kazi njema nchi yetu tunailinda wenyewe . Hongera sana Askari wetu
Kazi nzur mungu aendelee kuwapa nguvu
Hongereni sana jeshi la police mungu awalinde sana
Police fanyeni Kazi vizuri sana
Mkasi wanaita shikamoo mzeee 1🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawatakiwi kutoka hao, wapotelee huko, hongereni sana jeshi la police kwa Kazi nzuri
Hongereni Sana ,jeshi la police📢📢📢
hongereni kwa kazi nzuriiii
MBONA dawa zenyewe Kama sanitizer .
Umeona eee. Walikuwa wanajikinga na korona pia
Itakuwa wameweka kwa bbo ya sanitize
😂😂😂😂😂mwaka wa Mambo huu kumuomba tu mungu atujalie uzima tuzidi kuyaona
😃😃😃😃jmn
Hahaaaa Vibe
shikamoo mzee hiyo ni noma
Ngosha kawaingiza jelaaa🤣🤣🤣
Natoa pongezi kwa jeshi la polisi tz hongera jesh la polis kwa kzi nzur mungu awajalie afya na uzima mzid kufanya kazi hongereni sana hongera IGP SIRO hongera na rais wet
Mh. Mkuu wa mkoa...barakoa yako...mmmh
Hongereni askali wetu ,tunaomba serikali iwapatie siraha za kisasa
🤣🤣🤣eti Mgaga aliwaeleza hawawezi kamatwa duuh ...ujinga ngani huo
Mungu awakumbuke maaskali wetu kwakukamata waaarifu
Peleka jela hao wanaorudisha maendeleo ya watu nyuma bila kutumia jasho lao
Nakukubali kamanda
Hongera asikari wetu
Arusha kuna nini mrudieni Mungu Aliye Juu Bwana Yesu 🇮🇱🕎🔥⛪
Serikali makini
Thank you Jesus kwa kuwasaidia polisi kumkamata shetani akiwa kazini na watenda kazi wake
😂😂 eti inaitwa shikamoo mxee
Mganga we msenge
MNAKUJA KUIBA KWENYE JIJI LA WAHUNI,ASKARI WENYEWE WAMEPINDA DAKIKA ZERO TU UNAENDA PEPONI.
Hongereni makamanda
Hivi Hawa Majambazi Hizi Bunduki Huwa Wanazipataga Wapi? Wakati Hivi Vitu Vipo Chini Ya Utawala Wa jeshi la police??
Zina pita kwa njia gani Wakati Kuna mipaka?? Na hiyo mipaka inalindwa na jeshi la police..
Hongera Kamanda
Afande mungu akupe miaka 200000
SAFI SANA MAKAMANDA KAZI NZURI BIG UP
Et inaitwa shikamoh mzee hahahahhah
Hahaha Shana comedy sana hahah
Hivi vijambazi ushuuzi kuma sana hii ni awamu ya tano sio ya yule mzee wa vijembe eti umwambafaa polisi siku nyingine wapigeni na bunduki wafe kabisaa hao ni maadui wa watanzania na taifa kwa ujumla
Hongera jeshi letu
Kama ni mganga kweli, si angetibu Corona ili apate hela kuliko kuiba mtaona cha moto sasa mnaenda ozea jela
Kwani mkuu wa police inaulazima awe na mtumbo mkubwa ivyo wakati yeye iwe mfano wa kuwa na tumbo dogo umbo la kimazoezi ndio inapendeza zaidi asanteni jeshi la police
Safi sana Askari
Hongeren sana jesh LA polis
Mzee baba kasema hata RPG itatumika 😂😂😂 na hata zaidi ya hiyo duuuh, hahah nmecheka sana. Kweli wangekutana na ambushi moja hatari ni vita muraaa
🙌🙌🙌shikamoo mzee hahaaaaa
Piga kelele kwa barakoa yakeeeeee RPC🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Imeregea iyooo! Sijui ameshaivaa Mara ngapi?
Upendo Enock upo huku😂😂
Vizuri kwa kazi nzuri iliyofanywa, lakini sio Arusha pekee unatakiwa kuwa samala kuliko mikoa yote ya Tanzania! Sio sahihi bali Tanzania nzima inapashwa kuwa salama.
Majambazi ni wanatuludisha nyuma nibora ata mchawi yani hongereni sana policy kwa umoja wetu
Shikamoo mzee
Marahaba 🤣🤣🤣🤣
@@agiasaidi5294 😂😂😂😂 daah ule mkas noma