DC Sabaya ungejua kwamba ndio mwisho wake unakuja kuteswa kwa kufanya kazi ya Taifa vizuri, bora ungeachana nao hawa watu. Ulijitahidi sana kufanya vizuri lakin hakuna aliyeyaona haya wala anaye yaona haya sasa hivi. Mpka vyombo vya habari wenyewe walio kurecord kwenye matukio mbali mbali ya ujenzi wa Taifa hawakumbuki wala hawaoni. Inasikitisha sana, Mungu akusimamie kwenye kesi yako broh! Binadam sisi sio kitu kabisa!
Ndio hivyo hawajui walifanyalo wao kila kitu ni jazba serikali ya awam ya tano wameshindwa kuwaleteeni maendeleo ya maana kuwakwamuwa kiuchumi kiafya wao kutwa wana tuadalia filamu za kihindi kuwaanika wenzao hadharani ili mpate kuwasifu tu na kuwafanyia nyie kiini macho kwanza kazi ya dc au rc sio kuvamia wao wakisha pata khabari kama hizo wawapigie wawakabidhi polisi kazi yao
msichojua sabaya yuko vizuri na anajua anachkifanya wote wako mikononi yake anawafahamu. na hata huyo mshitakiwa anavyooitikia sasa hapo anatokaje mahakamani.
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika yote unayotuhumiwa kwayo. Kama ni kweli mlilie Mwenyezi Mungu yeye hajui kushindwa Ila husamehe kabisa. Mwenyezi Mungu tubariki Watoto wa Tz
Mhe. Mkuu wa wilaya unasifa za kijinga IGP iliktaza ijinga huo kurusha hewani namba hiyo. Hiyo sio kesi umemlazimisha aseme hayo ukifika mahakamani aytakutoa jasho
Fagia mtandao mzima,hatuwezi kuwa na taifa la watu makanjanja Nyakati hizi mtatafutwa popote mlipo Kazi nzr Sana DC Polisi Hii ilikuwa kazi yenu kuchunguza na kuwakamata wote sio kumwachia Dx
DC amefanya kazi ya polisi. polisi wlikuwa wapi? au nao wapo ktk mgawo safi sana DC polisi mjitafakari upya hiyo kazi hamkuifanya hadi kiongozi mwana siasa akanase wezi?
Kweli tulikokua tunaenda ni mbali JPM rest in peace ✌️ sabaya alikua mashuhuri wa kutengeneza kick jamani hakuna bandia hii ni episode inachezwa jitu lilikua jambazi sugu kubaka
@@lucanusnickata8852 kama umesikiliza vizuri kabisa wajua jamaa anatoa feki kiasi gani na anapewa fedha halali kiasi gani hiyo ni moja. Mbili wanajua jamaa ameshaleta kiasi gani na anapewa na nani. Hii imeonyeshwa tu kama taarifa kwa umma
Leo hii magufuli hayupo mnamsimamisha kazi sabaya mnamfunga eti ni jambazi kwayote aliyoyafanya ni bure mfungeni sabaya lkn wote mliohusika kumfunga sabaya mungu anawaona
IGP bado una kazi kubwa sana ktk kuelimisha mwenyeviti wa kamati za ulinzi za wilaya na Mikoa juu ya elimu ya upelelezi....sioni haja ya taarifa kama hii kuweka hadharani kwa sasa .. bado hili lingehitaji muda
Ili hizo pesa nyingine walizo sambaza wananchi waendee kulizwa nazo? Taarifa kama hizi ni nzuri kwa jamii maana hapo boma kwa kila aliona hii video clip lazima atakua mwangalifu kwenye pesa
Severine Mabirika kiujumla hii inafanya jeshi la polisi kuwa na kz za ziada sana maana kazi zao zinaingiliwa sana kiasi kwamba inapoteza weredi kwa jeshi jambo ambalo jeshi lingefanya kiweredi lkn linaingiliwa kisiasa imradi tu mtu aonekane anafanya kz hii haikuwa kz ya DC alitakiwa yeye kutoa information kwa OCD na OCD ndo ana askari wenye weredi wa kufanya upepelezi kmykmy bila camera namna hii
Anaakisi vyema au anaakisi kipuuzi intel kama izo unazihandle vzuri kwa 7bu hao ni wahujumi uchumi sasa yeye anadisclose information kabla hajafika kwenye chanzo cha tatizo ni kwamba hao wenzake niwajinga wamsubiri awaletee polis pale au ..hapo kafeli strategy aliyotumia kuhandle situation ni ya ovyo...
Jamani Mungu atupe nini? Kiongozi shupavu kama huyu watu waovu walifanikiwa kumuhujumu na kumtengenezea fitina mbaya kumbe ilikua kutokana na kazi nzuri alizofanya, hakika mimi roho iliniuma sana lkn Mungu ametusikia na kuziondoa fitina zote ongera sana Sabaya tunasubiri upate nafasi ingine kubwa zaidi
Asante Mungu nilienda kulipa ada,mi nilikuwa sijui kama Nina bandia noti moja ya elfu kumi,Pale bank walinishtua sana yaani nikawa sielewi kabisa kumbe ndiyo hao,acha serikali ifanye kazi,
Ukishafanyaaaa hivi umedisplay mhusika kufanya investigation tayari changamoto hiyo maaana watu wanablock mtandao wore thus why IGP Siro alisistiza usiri ili kupata full details za mtandao
Mpaka imekufikia ww basi jua full details tayari zipo na hawana pa kukimbilia, lazima wapatikane! Kwa kifupi ss watanzania tunaweza sana katka East hakuna wa kushindana na ss kwa upelelezi ila tulikuwa tunabebana tu kipindi cha nyuma.... lakn ktk serikal hii hy hakuna...
Hiyo serikali ya filamu za kihindi hawana lolote kazi kutafuta sifa tu hawana sheria umepata khabari mnmpeleka wao wafanye uchungizi kimnya kimnya wampandishe mahakamani MMungu ana tustiri na makosa yetu mengi kwa nini sie tustiriane mpaka ukishamalizika upelelezi
Jamani kazi nzuri ya Sabaya kama hii malipo yake ni kubambikiziwa kesi Sabaya au Kuna kingine nyuma ya pazia? Ee mwenyezi Mungu utulinde na watu wabaya. Tumuombee Mama Samia Mungu ambariki na kumtangulia ktk kazi zake za kila siku.
Daaaah Hawa Jamaa Wana hujumu Uchumi wa Nchi yetu Wanaingiza Makaratasi yao Kwenye Mzunguko wa Soko la Mununuzi. Safi Jeshi la Polisi Kwa Kufichua Huu Uovu Polisi Tanzania Hoyeeeeee
mh DC umekosea kusema kwenye mtandao hao watengenezaji watakimbia hata kama mtapata eneo husika lakin hutakuta watu,ningeshauri tu next time ni bora kufanya media while kila kitu kimekamilika, lakini pia nakupongeza kwa kazi nzuri
Tatizo pesa zetu hazina viwango hazina muhuri madhubuti ni rahis matapeli kuziiba kama zinaweka muhuri madhubuti, wengwshindwa, pia hili tatizo haliwezi kuepukika kwa nchi ambazo ni underdevelopment, nchi maskin, tofauti na nchi ambazo zimeendelea ukienda market unatumia ATM card kulipa, ndani ya restaurant au mahotel kuna ATM, kwa ushauri wangu serikali kuepukana na tatizo hili seikali kwenye maduka, waweke mashine za kulipia bill pia ni usalama zaid, bila ya hivo hili suala halimaliz kutokana na nchi yetu iko na maskini wingi
Hii ni nzuri kwamaana mkisema wangefanya kimyaa kimyaa unafikiri wangelizwaa wangapi..... Ikifanyika hivi na sisi tukaona tutaongeza umakini sio tu kwa wanaomiliki mpesa hata pia sisi watumiaji..
we DC safi sanaa... uchekagi na mtu........ kibano tuuu asante........ wahujumu ao Kama wengine.... waingia.. kutoka hapo ni shughuli... ataharisha huyu
@@iffahbahet1499 Ingependeza zaidi kujibu swali bila ya kuuliza swali katika swali. Maana wa kwanza kuuliza swali nia yake ni kuelewa. Jibu lako la pili limependeza zaidi. Twende sawa kwa kuwa umenielewa.
ila kiukweri serilikali yetu pamoja na majeshi yote yaulinzi wako vizuri sanaaa ila tanzania kunawatu pasua kichwa sana ila chapeni kazi mungu atawajalia
Kazi ya ulinzi na usalama ni lakila mwananchi, polisi awapigi ramli hili kupata wanavunja sheria. Law enforcement agency ni kwaajili ya kuzifanyia kazi taarifa za wananchi. Infact sheria haikatazi raia kukamata anapoona kosa limetendeka. Watanzania bado tupo nyuma sana kwenye elimu ya uraia
Nimependa hii issue kuwa published maana inawapa watu tension na trust kwamba pesa bandia zipo mitaani , pia inafanya waarifu wengine wajuwe jesh lipo serious
Hii kazi nzuri Ila mbinu za kipelelezi mlizotumia ni kitoto hazitafanikiwa kuarest sana mtandao, vyombo husika viachwe kutumia taaluma yake ili kukomesha haya matapeli.
Pole sabaya shida uliingia kwenye system za watu za madili ndo hao leo wanakuteta akuna aki kwenye letu taifa next time ukipata nafasi ishi kama wao watakavyoo jenga familia yako
Kwa good investigators hamna chilichohalibika cse mobile phone zote zipo registered alafu ata wakikimbia ni powa sana lengo ni kukoma we fikilia kuenda Kenya na hutorudi Bongo may be next 10 years, family, wife, kids, friends 🙀
At a minashangaaa ivi uyo anaetengeneza akipata hii taarifa si atasepa mapema kabla nyinyi kufika na mtakosa mtandao mzima jamani mbona mnatumia mitandao vibaya kiasi ambacho tunaweza kupoteza ushahidi muhim kwakila kitu kurusha mtandaoni ,mulihitajika kurusha mtandaoni baada kukamata wote na had I kutuonyesha eneo na watu wanaitengeneza (jamani hii serikali ya ukweli na uwazi ila tusiwenapupa kwenye kufanya mambo tukawakosa wale wanaojificha kutengeneza pesa za bandia tuwaoneshe baada kuwakamata watengenezaji na mawakala wao wasije wakakimbia
saf sana unajuwa kaz dawa kuwatangaza 2 tuwajuwe nawengine wanaotaka kuingia biashara iyo wajuwe wakikamatwa watapata tabu sana ukifanya kimya uwamaliz WaPo weng ukiwaweka waz watakimbia awarud tena
Kazi nzuri sana DC umeamua kufanya kazi ya usalama.Jpm hongera sana kwa kuchagua viongozi wa kuendesha nchi hakika uko makini zaidi Jpm
.....
DC Sabaya ungejua kwamba ndio mwisho wake unakuja kuteswa kwa kufanya kazi ya Taifa vizuri, bora ungeachana nao hawa watu. Ulijitahidi sana kufanya vizuri lakin hakuna aliyeyaona haya wala anaye yaona haya sasa hivi. Mpka vyombo vya habari wenyewe walio kurecord kwenye matukio mbali mbali ya ujenzi wa Taifa hawakumbuki wala hawaoni.
Inasikitisha sana, Mungu akusimamie kwenye kesi yako broh! Binadam sisi sio kitu kabisa!
Tungepata wa kustopisha hawa matapeli kenya tungekuwa majuu..DC kazi nzuri
Umeshakusea kuexpose kila kitu kwenye vyombo vya habari uneshaharibu upelelezi wote
Upelelezi haupaswi kuonyeshwa hadharani , Dc kuwa makini na vyombo vyako
Ndio hivyo hawajui walifanyalo wao kila kitu ni jazba serikali ya awam ya tano wameshindwa kuwaleteeni maendeleo ya maana kuwakwamuwa kiuchumi kiafya wao kutwa wana tuadalia filamu za kihindi kuwaanika wenzao hadharani ili mpate kuwasifu tu na kuwafanyia nyie kiini macho kwanza kazi ya dc au rc sio kuvamia wao wakisha pata khabari kama hizo wawapigie wawakabidhi polisi kazi yao
msichojua sabaya yuko vizuri na anajua anachkifanya wote wako mikononi yake anawafahamu. na hata huyo mshitakiwa anavyooitikia sasa hapo anatokaje mahakamani.
Kweli Kabisa hapo wote wanasepa wapo kenya saizi wanakura bata tu
DC nimependa kazi yako soon kwa kasi hiyo mkuuu wa mkoa sikufichi upo njiani usimuoneee mtu fanya kazi
Huyu DC anachapa kazi sana
Mungu ambariki!
Jamani jamaa kafanya kazi nzuri sana ndo maana wamemchongea mabaya hayo mweee Mungu akusaidie
Airoroki Papa unafanya kazi nzuri Niko sambasha Kijijini kwako ila jkt wanatumaliza huku nyumbani wanabaka wamama kuwapiga watu hatuna amani nyumbani
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika yote unayotuhumiwa kwayo. Kama ni kweli mlilie Mwenyezi Mungu yeye hajui kushindwa Ila husamehe kabisa. Mwenyezi Mungu tubariki Watoto wa Tz
Ya kweli hiyo hapi juu ni sinema anajuaje kila kitu chunguzeni kwa makini
Kama umekuja hapa baada ya sabaya kukamatwa like
Hii ngoma ilitakiwa kuwanasa wote ndo mnawaweka peupe lakini hiii ya namna hii, wahusika wanaweza kulala mbele
Exactly
Wameshawakamata woteee
Kabisaa!
Wanachemka balaa
Mhe. Mkuu wa wilaya unasifa za kijinga IGP iliktaza ijinga huo kurusha hewani namba hiyo. Hiyo sio kesi umemlazimisha aseme hayo ukifika mahakamani aytakutoa jasho
Leo kwa sabaya kesho kwenu mungu nakuomba umsimamie sabaya na wenzake kwenye kesi yakutengenezwa
Maana
Mpka kuexpose hivi inamaana tayar mtandao kashaujua so ana create tension kwa wenzake ili na wao waingie kwenye 18..dc sabaya is very smart
Hongera, ila hapo mngekamata wote ndio muilete huku, maana mtandao wote tayari watakua na taarifa.
Fagia mtandao mzima,hatuwezi kuwa na taifa la watu makanjanja
Nyakati hizi mtatafutwa popote mlipo
Kazi nzr Sana DC
Polisi Hii ilikuwa kazi yenu kuchunguza na kuwakamata wote sio kumwachia Dx
DC amefanya kazi ya polisi. polisi wlikuwa wapi? au nao wapo ktk mgawo safi sana DC polisi mjitafakari upya hiyo kazi hamkuifanya hadi kiongozi mwana siasa akanase wezi?
Kweli tulikokua tunaenda ni mbali JPM rest in peace ✌️ sabaya alikua mashuhuri wa kutengeneza kick jamani hakuna bandia hii ni episode inachezwa jitu lilikua jambazi sugu kubaka
Kazi nzuri Mweshimiwa DC 👏🏻👏🏻👏🏻😔
sasa mnavyojitangaza hivi badala ya kufanya siri Hao wanaotengeneza hizo hela watawasubiri tu mkawakamate. Bongo comedy
Hii ni SERIKALI. Sikiliza tu hii stori imeanza zamani Leo ni fainali. Na hao askari washawajua zamaani labda nao wawe wala RUSHWA
Ndio maana kila cku mna pigwa akuna mambo ya kizan ssa
Duuuh million 11 za bandia? Jaman tuweni makin heeee Tanzania noma jaman khaaaa🙆♀️
Upelelezi ndo unafanywa na macamera hivyo. Upelelezi fanyen kimya kimya. Mkifanikisha ndo mrushe mitandaon 🙄🙄
Camera izo kwa tukio ilo na kuwaonyesha wananchi pamoja na kutoa habari izo
Mpaka wamekuonyesha hivo kaa ukijua wote wako mikononi mwao
Huo mtandao kwa taarifa hiyo sidhani km utapatikana
@@lucanusnickata8852 kama umesikiliza vizuri kabisa wajua jamaa anatoa feki kiasi gani na anapewa fedha halali kiasi gani hiyo ni moja. Mbili wanajua jamaa ameshaleta kiasi gani na anapewa na nani. Hii imeonyeshwa tu kama taarifa kwa umma
Yaani nimefikiria hivo hivo hata kabla sijaona comment yako naona ni akili ndogo tu kurusha hapa mtandao si unashtukia na wana kacha
Kazi nzuri Sana, huu ujumu uchumi. Ipatikane Hao watu wengine na mahali wanatengeneza pesa.
DAAA, HUYU DC SABAYA KWANN ASIWE MKUU WA MKOA? NA ALETWE MBEYA
Zefa Mange
Atakuwa tu , kwa kasi hii , anatosha kabisa .
Ungelifanya kwa siri, upelelezi iliukamate mtandao wote,
Leo hii magufuli hayupo mnamsimamisha kazi sabaya mnamfunga eti ni jambazi kwayote aliyoyafanya ni bure mfungeni sabaya lkn wote mliohusika kumfunga sabaya mungu anawaona
Very good. DC, ma Askari wetu hongereni sana. 💪💪💪💪
Drama
IGP bado una kazi kubwa sana ktk kuelimisha mwenyeviti wa kamati za ulinzi za wilaya na Mikoa juu ya elimu ya upelelezi....sioni haja ya taarifa kama hii kuweka hadharani kwa sasa .. bado hili lingehitaji muda
Ili hizo pesa nyingine walizo sambaza wananchi waendee kulizwa nazo? Taarifa kama hizi ni nzuri kwa jamii maana hapo boma kwa kila aliona hii video clip lazima atakua mwangalifu kwenye pesa
Nyie mnaopenda usiri bp mtukakamatwa na noti
Nakubaliana na wewe, lingehitaji muda kidogo ili kukamilisha kuwanasa hao jamaa na mtandao wao!!
hyo ina rahisisha kwa wananchi kuwa makini na pesa wapokeazo kwakupata taarifa hyo
Severine Mabirika kiujumla hii inafanya jeshi la polisi kuwa na kz za ziada sana maana kazi zao zinaingiliwa sana kiasi kwamba inapoteza weredi kwa jeshi jambo ambalo jeshi lingefanya kiweredi lkn linaingiliwa kisiasa imradi tu mtu aonekane anafanya kz hii haikuwa kz ya DC alitakiwa yeye kutoa information kwa OCD na OCD ndo ana askari wenye weredi wa kufanya upepelezi kmykmy bila camera namna hii
Tena wakifika kwamakala wanajifanya wanaharaka sanaaa.....safi sanaaaaaa
Sabaya unaweza uogozi yaani chapa kazi bro karbia utakuwa mkuu was mkoa yaani
Dogo Sabaya ni Hatari sana ana chapa kazi yuko vizuri Mungu amfutie kesi yake awe huru.
Saf Sana Dc. Unaakisi vyema kasi ya mh.rais Jpm
Anaakisi vyema au anaakisi kipuuzi intel kama izo unazihandle vzuri kwa 7bu hao ni wahujumi uchumi sasa yeye anadisclose information kabla hajafika kwenye chanzo cha tatizo ni kwamba hao wenzake niwajinga wamsubiri awaletee polis pale au ..hapo kafeli strategy aliyotumia kuhandle situation ni ya ovyo...
"Get Rich Or Die Trying" a real soldier dies on battle field.
Jidanganye
Better to die for something than die for nothing
@@eliaichihenry9010 true to my self
You are all "WASENGE"
@@jumakapilima5674 Relax brother
Amen Amen. Siku zotenasema ualifu siyo dili. Acheni. Barikiwa serikali. Amen.
Big up police ni kazi nzuri Sana.
Jamani Mungu atupe nini? Kiongozi shupavu kama huyu watu waovu walifanikiwa kumuhujumu na kumtengenezea fitina mbaya kumbe ilikua kutokana na kazi nzuri alizofanya, hakika mimi roho iliniuma sana lkn Mungu ametusikia na kuziondoa fitina zote ongera sana Sabaya tunasubiri upate nafasi ingine kubwa zaidi
good job mh. DC ila next time usiende kwenye tukio halafu uite polisi baadaye. u better go with them
Kweli kbs
Asante Mungu nilienda kulipa ada,mi nilikuwa sijui kama Nina bandia noti moja ya elfu kumi,Pale bank walinishtua sana yaani nikawa sielewi kabisa kumbe ndiyo hao,acha serikali ifanye kazi,
Ila usinge mweka adharani mpaka uchunguzi ungefanyika ili matandao wake ungepatikana...!!!
Huyu akitoka mm sio rogath😂😂😂😂😂
Ashatoka
Ukishafanyaaaa hivi umedisplay mhusika kufanya investigation tayari changamoto hiyo maaana watu wanablock mtandao wore thus why IGP Siro alisistiza usiri ili kupata full details za mtandao
devotha mbinda kabisa
Mpaka imekufikia ww basi jua full details tayari zipo na hawana pa kukimbilia, lazima wapatikane! Kwa kifupi ss watanzania tunaweza sana katka East hakuna wa kushindana na ss kwa upelelezi ila tulikuwa tunabebana tu kipindi cha nyuma.... lakn ktk serikal hii hy hakuna...
Hao ma dc na rc hawana ujuzi wowote ule wa kiuchunguzi hupenda tu waonakane kama na wao wanafanya kazi japo sio zao mshaharibu baba kazi
Wewe nae
Mhe, anasifa za kijinga
Jitaidi ndg yng utapanda cheo kupitia ujasili wako nyie ndomtakaoiokoa tz yetu safi sana nakupenda bure yn unanifulaishaga yn nakufanishaga naMagu
HII SERIKALI SIO YA MCHEZO YANI
Hiyo serikali ya filamu za kihindi hawana lolote kazi kutafuta sifa tu hawana sheria umepata khabari mnmpeleka wao wafanye uchungizi kimnya kimnya wampandishe mahakamani MMungu ana tustiri na makosa yetu mengi kwa nini sie tustiriane mpaka ukishamalizika upelelezi
RAMMIE TV Umeonaeeeee
RAMMllll k
Mamb
Hongera Sabaya Ila hii ndoo tanzaniya yetu umefanya mema faida yake ndohiyo ila Mungu akasimame nakuombeya bb***
Yaaani Mambo ni mazuriii sanaaaa natama ningekuwa mm ningewakamataaaa mngekojoa dagaaaa
Jamani kazi nzuri ya Sabaya kama hii malipo yake ni kubambikiziwa kesi Sabaya au Kuna kingine nyuma ya pazia? Ee mwenyezi Mungu utulinde na watu wabaya. Tumuombee Mama Samia Mungu ambariki na kumtangulia ktk kazi zake za kila siku.
Hamna ndugu niroho ya wivuutu nawengine nivigogo waserikali kukataa aibu ndio wakasukumizia jela lakini mungu niwasote yupo huruu
Daaaah
Hawa Jamaa Wana hujumu Uchumi wa Nchi yetu
Wanaingiza Makaratasi yao Kwenye Mzunguko wa Soko la Mununuzi.
Safi Jeshi la Polisi Kwa Kufichua Huu Uovu Polisi Tanzania
Hoyeeeeee
mh DC umekosea kusema kwenye mtandao hao watengenezaji watakimbia hata kama mtapata eneo husika lakin hutakuta watu,ningeshauri tu next time ni bora kufanya media while kila kitu kimekamilika, lakini pia nakupongeza kwa kazi nzuri
Tatizo pesa zetu hazina viwango hazina muhuri madhubuti ni rahis matapeli kuziiba kama zinaweka muhuri madhubuti, wengwshindwa, pia hili tatizo haliwezi kuepukika kwa nchi ambazo ni underdevelopment, nchi maskin, tofauti na nchi ambazo zimeendelea ukienda market unatumia ATM card kulipa, ndani ya restaurant au mahotel kuna ATM, kwa ushauri wangu serikali kuepukana na tatizo hili seikali kwenye maduka, waweke mashine za kulipia bill pia ni usalama zaid, bila ya hivo hili suala halimaliz kutokana na nchi yetu iko na maskini wingi
Safi sana👍
Doren..mamb
Hii ni nzuri kwamaana mkisema wangefanya kimyaa kimyaa unafikiri wangelizwaa wangapi.....
Ikifanyika hivi na sisi tukaona tutaongeza umakini sio tu kwa wanaomiliki mpesa hata pia sisi watumiaji..
Barack Shao asante kaka ushauri wako ni wakuzingatiwa watanzania ni wazito kuelewa
Safi sana DC.hata me nilishapewa elfu 10 bandia,na chenji nikarudisha
Hongera sana
Naamin kabisa OLE SABAYA ana mabaya yake na mazuri yake pia
Manina 🙆 mlikuwa mshamliza mtu
Million 11😳😳😳😳mweee huyu baba muuaji eeeee
😂😂😂😂😂😋
Wakamatwe wote maana huyo jamaa alikuja ofisini kwangu na alivyoona nimeshtuka akang'oa nduki hadi leo.
Mungu akulinde sana maana huo ukanda umekuwa Wa mambo Mangu msaidie watu wanyonge
Mama uko wapi? Kijana wa kazi huyu hapa. Mpe kitengo kama cha makonda... ni jembe kama makonda
Asante sana kiongoz muwakamate na wamtandaoni
mngu wangu ,kweli Sikh za mwizi arobaini naona Leo imetimia.
Jamani, DC huyu leo Mei, 2021 ameitwa jambazi!?!?. Ametumbuliwa!?.
we DC safi sanaa... uchekagi na mtu........ kibano tuuu asante........ wahujumu ao Kama wengine.... waingia.. kutoka hapo ni shughuli... ataharisha huyu
sabaya tatizo lililo mfungisha kuharibu mipangilio ya vigogowa siopenda nnchi hii
😂😂 hawataki kuelewa kua zama zile.zimepita, jamani hii awamu ya 5 ya komandoo tu nae ni JPM mtanyooka tu
Imerudi hii biashara jaman!!!! Watatutia umaskini Kenge hawa
Hongera sana dc
Daaah siamni macho yangu anyway time is tell
Pole Sana leo unaonekana unawaonea Wana nchi du watanzania tuna kwama wapi
Mimi binafsi namkubari sana sabaya, keep it up,brother.hata ukitaka urais nitakuchagua bila shaka.
Sasa hao wezi hawatashtukta? Bora mngekuwa mnaonyesha baada ya kuwakamata. Hao ni tatizo la dunia.
Kwani uyo aliokamatwa sio mwizi ayo ndio mambo ya maendeleo unaonyeshwa na hao wezi watakamatwa ata wakiwa nje ya nchi
Kwanza wameshakamatwa
@@iffahbahet1499 Ingependeza zaidi kujibu swali bila ya kuuliza swali katika swali. Maana wa kwanza kuuliza swali nia yake ni kuelewa. Jibu lako la pili limependeza zaidi. Twende sawa kwa kuwa umenielewa.
@@jayjay4313 Aliye uliza swali badala.ya kujibu swali ni nani?
@@iffahbahet1499 Eeh, baba yaishe. Ulishajibu vizuri tu, mara ya pili. Peace 👍
Good
ila kiukweri serilikali yetu pamoja na majeshi yote yaulinzi wako vizuri sanaaa ila tanzania kunawatu pasua kichwa sana ila chapeni kazi mungu atawajalia
Jamani besti yangu wewe wa meridiani kipindi icho
Jamaa SIJUI KWANINI AMESHIKILIWA NA POLISI KWA MSURURU WA MAKOSA.... JAH PROTECT SABAYA ONLY IF ANASINGIZIWA.
Asa hapo si teali mshawakosa watengenezaji . au unahusika ndo mana mnaweka wazi wazi ili kuwapa nafasi wahamishe mashine za kazi
Noma sana wallah
Leo hii yupo nje na bwebwe zote za Dc
Kiki za kiwango cha PHD...sasa kwa nini utangulie DC kukamata criminal badala ya Polisi..???!!!
Ndio ujue taifa bila police inawezekana maana ni taasisi inayotuhumiwa kwa uonevu duniani,
Kazi ya ulinzi na usalama ni lakila mwananchi, polisi awapigi ramli hili kupata wanavunja sheria. Law enforcement agency ni kwaajili ya kuzifanyia kazi taarifa za wananchi. Infact sheria haikatazi raia kukamata anapoona kosa limetendeka. Watanzania bado tupo nyuma sana kwenye elimu ya uraia
Mkuu wa wilaya stay blessed 💕
Huyu ndiye anaitwa Jambazi leo sijui kama ni sahihi Basi Mungu anajua
Nimependa hii issue kuwa published maana inawapa watu tension na trust kwamba pesa bandia zipo mitaani , pia inafanya waarifu wengine wajuwe jesh lipo serious
Umeongea point ndg n jambo zuri kuweka mtandaoni ili kila mtu awe attension kujua ushenzi huo
Bora wananchi watengeze pesa zao maana za serekali mnakula pekeenu watu waserekali maisha kila siku dhiki bora watengeze zao bwana
Hii kazi nzuri Ila mbinu za kipelelezi mlizotumia ni kitoto hazitafanikiwa kuarest sana mtandao, vyombo husika viachwe kutumia taaluma yake ili kukomesha haya matapeli.
Good work
Alhamdulillah kwa uwajibikaji D.C.
Uyu ndoa dc mjinga kuliko wote
Hongera sana ila ungemaliza upelelezi wooote kabla ya makamera. Wengine watakimbia
Huyu mwamba dc namkubali Sana
Pole sabaya shida uliingia kwenye system za watu za madili ndo hao leo wanakuteta akuna aki kwenye letu taifa next time ukipata nafasi ishi kama wao watakavyoo jenga familia yako
I thinks so..they should makes it's in Private . Ili waweze kamata
Asante sanaMungu wangu yaani sitaki kuamini matapeli wamjini khaa wanaliza watu Mungu kawaumbua😂😂😂
Mimi sijawahi kuona video yeyote ambayo amefanya vibaya huyu jamaa. Sasa duuuh!
Nakusalimu Kiongozi mkubwa. Hongera mno. Iasita esiai sidai oleng'. Njoo kirrip Enkai olalashe lai
anayeangalia video hii 2021 gonga like
Kwa good investigators hamna chilichohalibika cse mobile phone zote zipo registered alafu ata wakikimbia ni powa sana lengo ni kukoma we fikilia kuenda Kenya na hutorudi Bongo may be next 10 years, family, wife, kids, friends 🙀
Safi sana,good work
Wananchi toa maoni kuwapa serikali kuepukana na tatizo hili la pesa bandia sio mumsufu DC tu nini serikali ifanye, kuzuia matumiz ya pesa haramu,
At a minashangaaa ivi uyo anaetengeneza akipata hii taarifa si atasepa mapema kabla nyinyi kufika na mtakosa mtandao mzima jamani mbona mnatumia mitandao vibaya kiasi ambacho tunaweza kupoteza ushahidi muhim kwakila kitu kurusha mtandaoni ,mulihitajika kurusha mtandaoni baada kukamata wote na had I kutuonyesha eneo na watu wanaitengeneza (jamani hii serikali ya ukweli na uwazi ila tusiwenapupa kwenye kufanya mambo tukawakosa wale wanaojificha kutengeneza pesa za bandia tuwaoneshe baada kuwakamata watengenezaji na mawakala wao wasije wakakimbia
Washaharibu kazi tayari, baadaye unawalaum polisi kushindwa kuwakamata watuhumiwa, siku izi kila kitu mtandaoni🙆🙆🙆
DC. Sabaya Mimi huwa nafuatilia sana habari za utendaji wako upo Vizuri sana wew unafaa kuwa Mkuu wamkoa kabisa.
Huyu jamaaa alikua smart hata kama naye kakosea Mungu anasaidie
Leo ww umekuwa mtekajii looh
saf sana unajuwa kaz dawa kuwatangaza 2 tuwajuwe nawengine wanaotaka kuingia biashara iyo wajuwe wakikamatwa watapata tabu sana ukifanya kimya uwamaliz WaPo weng ukiwaweka waz watakimbia awarud tena
Safi lakini kwa uhalifu kana huu ni kuwakamata kimya kimya vinginevyo watakimbia.
Huyu kaka sabaya alikua vzr Sana Ila dar
Kiki nyingi sana mh. Upelelez haufanywi na makamera we wawapi bro