#UNABII
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ต.ค. 2019
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
Daaa, hapo kwenye kuolewa Nami nataman maombi 😭😭😭😭😭
Mungu wangu nikumbuke nami🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Amina. Nabii wa Bwana tusaidie kwa karama na kipawa kilichopo ndani yako, Anisaidieekunifungua na mm
Mungu naomba unifungue mimi pamoja na mwenza wangu tuweze kuelewana tena in Jesus name amen
Amen,nabarikiwa nabii,though niombee baba nataka nionane nawe
Nataman sana kimuona nabii, sijui nitafikaje huko, namii nipate mujiza wangu,
Mungu akupe maisha marefu baba nabii wetu amen
Amina mutumishi wa Mungu,, nikweli ukuwiwa muchunganji chunga basi 🥀🌷
AMEN.Yesu ni BWANA.Tena ule Bwana Yesu Kristo anajua yote
Nabii nifungue na mimi niko pwani nasumbuliwa nauzazi nabii nisaidieeee nabiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Wewe Nabii wa Mungu may God blessu
Powerful Anointing I'm Blessed
Asante sana baba Mungu akubariki
Hi, your chat well received and acknowledged with thanks, Hope to hear from you soon.
Kind Regards.
Alfred
I connect myself to this prophecy my boyfriend to tell me the truth about our relationship, IN JESUS MIGHTY NAME AMEN.
Muishi Yesu acha kupenda ramli...ishi maisha masafi yenye kumpendeza Mungu...hakuna mbingu kwa wazinzi...Ufunuo 21:8
Anasoma viganja mshenz huyu
MUNGU akuinue ZAIDI Nabii mkuu baliķiwa mno
Najiunganisha na unabii wa baraka za ndoa na uchumi kwa jina la Yesu
Amen
Asante baba nabii mkuu mungu Akulinde miaka mingi natamani nifike hapo
Zxcv Zxcv hujasoma maandiko amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kinga yake,
Dad ur one in a million, nimekuokea baba
This is love mwanaume akiomba msamaha raha sana😍😍😍
Amina
Nakupenda upeo mtu wa Mungu. Unaongea fact mnoo yaani hatariiii. Wish to have rafiki Ngurumo ya upako
Ni sawa Daddy
Naomba mung unitoe katika kifungo kupitia nabii mkuu
Hakika mungu atukuzwe ndani ya mtumishi wake
I receive this prophecy 2
Amen NABII baba
Naomba no yakuonana nabii au mtumishi yyte
Amina baba,nikombolewe na mm
Napokea unabii huu kwa jina la yesu
My God plez you and your family
Hello pester thank kwa neno
Hali ni mbaya sana acheni kudanganyika enyi wanadamu tubuni na muishi kulingana na neno la Mungu
Kweli kabisa watu wanadanganyika
I connect myself in this
Ata mm nmumoja wapo wakukutafuta baba nahitaji maombi n mm jaman
Nabii mkuu barikiwa Sana kwa huduma,natamani niongee nawe kwenye cm
Namimi piya naitaji neema ya utambuzi iyi iikute ndowa yangu nabii mkuu. Ivi ndowa yangu inaelekea kwenye kuachana nasipendi hali iyi. Eh Mungu nisahidiye
Ameen
Huo uchawi unaowadanganya watu ninauwamuru kwa jina LA YESU uyeyuke.
Aya tusubiri iyeyuke na ikishindwa utayeyuka ww
Hahahaaa
Acha usenge bas umeona hapo Kuna uchawi gani
Mchuu Mchu @Unajua biblia inasema Yamjahayo mtu nafsini mwake ndio humtoka kwa kifupi unadhani uganga ndio mkuu kuliko kwa sababu Umekua katika makanisa Ambayo hayana Nguvu ya Mungu kwa hiyo Akili yako imejengeka hivyo
Usisahau hata yesu alikataliwa usiwakufuru watumishi wa mungu
Mungu akupe miaka Ming nabii
Good
Baba naitaji neema yako kwenye huduma yangu
Nabii. Natamani kuolewa Sina wakuniowa Naitaji nifunguliwe nipate Mine wakuniowa Naitwa Mawazo Mwamba
Asante
Shalooom baba na mm naitaji kusaidiwa
Karibuni nqurumo yaupako arusha kisonqo
Ila km nikweli umetumwa na mungu barikiwa ila km ni Mambo ya. Ng,ambo ya pili kiama Kinawangoja
Aiseeee
Kama unaona bodigadi kama mm nyosha mkono juu. Hiyo kiboko hamuamini mungu hadi analeta walinzi kanisani
God is the father
Amen 🙏 Hallelujah
Napenda kuolewa Sanaa lakini sielewi shida ni Nini Mungu nisaidie
Baba nabarikiwa sana unabii wako tens naitaji maombi kutoka kwako asante Mimi natoka kenya
Naomba namba ya mawasiliano
Gloire à Dieu
Acheni unafki yesu alipokua anawaambia nitawasaidia yy ni mungu ni nabii alotumwa kama uyu
naomba number ya nabii 🇰🇪🇶🇦
Ok
Duhh jamani
Bgp babaa!
Soma biblia kisha beza sio kulaumu mwanadamu ana mamlaka km atajitambua pia Imani yk pia.
Bwana u pamoja nasi kupitia unabii huu.
Mungu akubaliki ila Mie na babaangu mpaka NW hajawahi nisaidia chochote mpka umli w miaka 26
Its pain ila care lzma bfor that
AMEN.
kweli we mtu mungu ublikiwe sana
Usanii mtupu daah ama kwel watu wang wanaangamia kwa kukosa maarifa
Mtu usiyemjua usimzungumzie vibaya
Sam Telah kweli kabisa mungu mwenyewe anaitwa Huyo jamaaa
Halafu jina LA yesu halitumiki hapo
Mungu tufumbue macho tuone hata kama siendagi kanisani lakini namwamini yeye YESU na MUNGU mkuu
Ameen!!
Shitobelo Sanane @Heri yako unamwamini yesu kuna wengine hawamwamini hata huyo yesu wako ambaye unamzungumzia Ambaye Atendi chochote imebaki tuu kusoma biblia na kuhubiri Maneno mengi bila ishara yoyote
Jamani watu wanapenda matabiri kuliko mungu dah
Naomba nitabilie na mimi
Mkomnaoana namba hatujuwi nizahukweli au Mana hatujibiwi.
ama kweli watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa yan jehanamu inakusubiri ucdanganye watu wew mpuuz mkubwa wew
Baba naridhika naunabii wako Dk Goedavie ,naomba uniombe. , Kupitia unabii wako ni pone visirani ziniodokee ni pate kubarikiwa , na. Toka inchi kenya
Nabii wa mungu ata mm nisaidie kuniondolea vizuizi from Kenya Amen
Naomba namba ya nabii jaman
Mm namuogopa kusema ukwel .sijui lini ntakuja kwa madhabau hyo
Ni kweli na Mimi hiyo inanitesa sijapata wa kunioa
Nasumbuliwa na kiuno baba
Ww NABII mkuu
Duu tusameh mtumishi wa Mungu kwenye ndoa tumekua waaminifu sasa da.
Palm readers...!!!
Mke alimsumbua akaachana naye...
Nabii alionya watu na kuacha dhambi...
Kufungua bila kuelekeza watu kuishi maisha masafi ni uganga tu kama waganga wengine
Alfred from kenya
Tuende kwa maombi
Si kukifunguliwa tujipange twende kukifunguliwa Niko Kenya pia
watu watakuwa wenye kupenda fedha kuliko kumpenda Mungu
Hata mimi ni hivyo hivyo sijui jmn
Mkononi kavaa grups au weusi tu mana naona usoni mweupe sana au anajichubua
Nimekukubali hata ss tupo wenyeshida nabii
Duuuuuuh nabii mda wa sadaka ukifikaa kama nakuona
😂😂😂😂😂
Duh mchungaji ana bodgad mh atari
ameen
Duuh hii ni hatari sana maandiko yanatimia wakristo tujitahid kusoma sana biblia 😢😢😢
Kazi kubwa unafanya nabi mkuu
Nabii Mimi Niko dar nipe unabii niwe na pesa tajiri
Mkiwa nyumbani eti aaa sisomi SMS haya ngoja wakusomee .
Nahitaji msaada wako wako nabii, nipo Iringa Tz
Hahaa
yesu mwenyewe Kama kielelezo alisema tubuni kwamaana ufalme wa mungu umekaribia ila nabii injiri yako na moja tu kuwamvia watu nimekufungua nimekusafishia nyota kwann huwaambii waokoke hapo tunamashaka Sana na wewe imeandikwa mtawatambua kwa matunda yao maana yake unawafanya watu kuwa wa jehanam Mara mbili hubiri injiri watu waokoke kisha waponywe unawasaidia wilini rohoni wanadhambi Hakuna kt
@Simon Mbilinyi Lakini pia yesu alisema Waponyeni wagonjwa waliopo na kuwaambia ufalme wa Mungu umewakaribia Na unaposema hivyo wakati efeso 4:12 kila mtumishi alipewa karama yake Au kama ujui kazi za Nabii sema nikuelekeze
Nikihitaji huduma yenu nitawapata wapi?
Never mention Jesus
I wanna talk with you soon
Naombi na mimi maombi hayo kwa ndoa yangu
Naomba na mm kupitia nguvu ya na bii mkuu nipate mme
Helleny
Watu wangu wanakifa kwakukosa marifa
Mie kanifufua kupitia mateso niliyokua tayari kujiua..wat are u talking about that tunaangamiaaaaaa...
Amina Rumanyika amina upooo huku
@@georgiabacky5828 means kuangamia kiroho siyo kuangamia mwili kama unavojua wewe
Jmn nipewe no ya nabii
My question is is palm reading biblical
Ni uganga tu...ramli
No zake twaziomba
Natamani cku nikutane na ww nabii ana kwa ana.
kamera anacheka umeona eee