RAS MKOA wa ARUSHA AJIBU ALIPO RC MAKONDA - AFYA YAKE kwa MARA ya KWANZA KUPITIA GLOBAL TV....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
  • RAS MKOA wa ARUSHA AJIBU ALIPO RC MAKONDA - AFYA YAKE kwa MARA ya KWANZA KUPITIA GLOBAL TV....
    Ni wiki mbili zimepita tangu Mkuu wa Mkoa wa Arusha, RC Paul Makonda hajaonekana hadharani katika shughuli zake kama Mkuu wa Mkoa.
    Makonda anajulikana ni Mkuu wa Mkoa machachari asiyeishiwa mipango mikubwa ya kuwatumikia wananchi kwa nafasi aliyopewa na Rais Samia Suluhu ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha; siyo mtu wa kukaaa kimya muda wote huo.
    Mara ya mwisho alionekana hadharani tarehe 13 na 14 ya Julai mwaka huu kwenye shindano lake la kuendesha pikipiki katika Viwanja vya Laki Laki- Kisongo jijini Arusha.
    GLOBAL TV imezungumza na Katibu Tawala Mkoa wa Mkoa wa Arusha RAS Missile Mussa ambaye yeye ni msimamizi wa shughuli zote za mkoa kuhusu alipo RC Makonda na hali yake ya kiafya kwa sasa...FUATILIA ZAIDI GLOBAL TV...
    CREDIT: @Korumba_Lebabazi
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 423

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 หลายเดือนก่อน +27

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 หลายเดือนก่อน +20

    Mwanangu kama unaumwa Mungu akupe afya njema kwakweli. Tunakupenda sana❤❤🎉🎉🎉❤❤❤

  • @yassinerasmus7400
    @yassinerasmus7400 2 หลายเดือนก่อน +30

    Mungu ww ndo mwenye majibu sahihi ya Makonda ee Mungu wetu mpe Afya njema

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 2 หลายเดือนก่อน +6

    Makonda tunakupenda Sana mtumishi wa Mungu, Bwana Yesu Kristo asimame nawewe katika Hali zote

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 2 หลายเดือนก่อน +28

    Kaka yetu Makonda Mungu amlinde sana. Mungu amlinde sana tunachukia sana kua na ukimya. Hatupendi ujue na taarifa yenu Paul Makonda yupo mioyoni mwetu.

  • @SarahLetion
    @SarahLetion 2 หลายเดือนก่อน +43

    Moyo unauma sana kusikia hivyo Mungu mlinde shujaa wetu popote alipo kumbuka kazi nzuri aliofanya kwa ajili ya watanzania , Baba hatujui yuko wapi ila wewe unajua tunamfunika kwa damu ya Yesu Kristo na kila atakapo pita Mungu mbariki maadui zake wakae mbali kwa jina la Yesu Kristo, amen.

    • @BonnyMwajombe-iu7hb
      @BonnyMwajombe-iu7hb 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu amesikia maombi yako

    • @ELIAMbise-sy5ue
      @ELIAMbise-sy5ue 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kabla yakupaparikia aliyo yafanya katika uenezi wake , angalia back ground yake. Muuwaji uyo.

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 2 หลายเดือนก่อน

      Shujaa wawa wapumbavu wasiyo jielewa, wavivu, wajinga na masikini wa fikra

    • @ElygloryKilango-qu1kj
      @ElygloryKilango-qu1kj 2 หลายเดือนก่อน

      Wew ndio hujielewi​@@erickmsigala138

    • @pambanassoro
      @pambanassoro 2 หลายเดือนก่อน

      Mtu anaependa kula jasho LA watu Huwa afurahishwi na Mtu atakae jitokeza kutengeneza haki za walio na haki maana aliekuwa anatumia jasho La watu atakosa haki mungu wape maarifa watu wako ameen

  • @MapenziMalanda
    @MapenziMalanda 2 หลายเดือนก่อน +20

    Msh Makonda yupo mikononi mwa Kristo na hakuna Hila Wala nguvu yeyote ya Giza inayo weza kumgusa.✝️💪

    • @hafsalucky1088
      @hafsalucky1088 2 หลายเดือนก่อน

      Amen 🙏

    • @gabumkono
      @gabumkono 2 หลายเดือนก่อน

      Acha mawazo mgando,,, ukiwa kwa kristo ndo hupatwi na mauti?

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail 2 หลายเดือนก่อน

      Amen!🙏

    • @VelonikaMwamakimbula
      @VelonikaMwamakimbula 2 หลายเดือนก่อน

      Amen

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 2 หลายเดือนก่อน +24

    Mkono wa Mungu ukawe juu ya baba Keagan, mabaya yasikupate .

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 2 หลายเดือนก่อน +16

    Mungu wangu akampe Afya njema Kijana wetu Makonda.

  • @EliauMtishbi-os5ky
    @EliauMtishbi-os5ky 2 หลายเดือนก่อน +17

    Mungu umlinde Mh. Makonda awe mzima wa afya . Ninaachilia nguvu ya roho mtakatifu imponye .

  • @EmmanueliZani-ur9bi
    @EmmanueliZani-ur9bi 2 หลายเดือนก่อน +26

    Jamani, tuambieni ukweli,
    Makonda yupo wapi?
    Msije mkatuambia amekufa, hatutawaelewa.
    Tunataka kumuona Makonda akiwa mzima.
    Asante.

    • @reubenkissinga5802
      @reubenkissinga5802 2 หลายเดือนก่อน +2

      Umepagawa?Kwani ni Nani anastahili kufa?Acha uzwazwaa

    • @CHIIZATV-hl4zu
      @CHIIZATV-hl4zu 2 หลายเดือนก่อน

      Huyu jamaa ni fala bac kufa wewe yeye abaki😂😂😂

    • @iddykivu050
      @iddykivu050 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@reubenkissinga5802Mbona Unaingilia Mawazo ya Mtu nini Shida Au Ulishawai kulawitiwa

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@reubenkissinga5802bwege

    • @marymgimwa
      @marymgimwa 2 หลายเดือนก่อน

      Yaani mhhh muumba MAKONDA APONE KWA LOLOTE

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 2 หลายเดือนก่อน +45

    Mungu mlinde huyu shuja wetu mpe afya njema Na maisha marefeu inshaallah 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @ibrahimdaudi5823
    @ibrahimdaudi5823 2 หลายเดือนก่อน +18

    mwenyezi mungu amlinde popote alipo

  • @elinurukitomali6008
    @elinurukitomali6008 2 หลายเดือนก่อน +6

    Eeee Mungu wangu mbona sielewi jamani Mr. Makonda popote ulipo Mungu akulinde

  • @djumaally5536
    @djumaally5536 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ewe mungu amlinde mkuu makonda (we need you)

  • @Elizabethmwanga-y5e
    @Elizabethmwanga-y5e 2 หลายเดือนก่อน +4

    Jamani makonda mungu akulinde tunakupenda sana mungu wangu msadie

  • @DamianNdoka-e7f
    @DamianNdoka-e7f 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pole RC wetu mungu akuambirije 'mwanakaya tupo pamoja kwa sala uppate nafuu wabeja from TAWESO MToWAmBUAR

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤PCMakonda Mwenye'Enzi'Mungu'Mlezi AmLinde na AmTangulie❤

  • @wilybinamungu9731
    @wilybinamungu9731 2 หลายเดือนก่อน +5

    IPO siku uvumilivu utakwisha, hatuwezi kukaa tunaona tu Viongozi watetezi WA wanyonge wanafanyiwa MATUKIO makubwa arafu tunakaa kimya siku zote, tutakuja kuamka tu!. Niombe mwenyezi Mungu amjahaliye Afya njema

  • @odilomwakamela4889
    @odilomwakamela4889 2 หลายเดือนก่อน +4

    Dah Mungu amfanyie wepesi makonda ni aina ya kiongoz ambaye taifa linamhitaji sana sanaa

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 2 หลายเดือนก่อน +11

    Mungu amlinde

  • @ZainabMilanzi
    @ZainabMilanzi 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani jamani jamani inauma Sana Allah ndiye anajua atakavyomsaidia shujaa wetu Amina

  • @NeemaNey-mp2fi
    @NeemaNey-mp2fi 2 หลายเดือนก่อน +8

    Duu Kama wamemuua Tena makonda kwa kweli Nchi hii sio ya Aman Tena tutakua tuu na mungu aishivyo Bora tu makonda awe salama maana hata mbingu na ardhi kutulia kimya Ila Kama wamemwondoa Tena mtetezi wa wanyonge Kama Rais wetu Duu Bora Kenya maisha ni laivi hawana unafki kwa kweli

  • @AnethMushi-c3e
    @AnethMushi-c3e 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu siku zote ni wa haki ikiwa siku yake ya kufa haijafika hatokufa ng'o mpaka atimize kusud la Mungu aliloitiwa na Mungu

  • @zainabunizota3540
    @zainabunizota3540 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu amlinde na ampe afya njema makonda wetu sisi ndio anayetufaa basi watuachie,

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 2 หลายเดือนก่อน +7

    Tz ukionekana shujaa tu unapotezwa, kiukweli Makonda nimpiganaji sana na nimsema kweli ila kila kilichokizuri kinatuachia maumivu...jamani Mungu mlinde huyu baba hakika nishujaa.

  • @albinombungu4294
    @albinombungu4294 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu umlinde mkuu wa mkoa arusha

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hizi habari zinatisha sana lakini tusichoke kumuombea Kiongozi wetu Bora kbs.

  • @henrykigugwe5112
    @henrykigugwe5112 2 หลายเดือนก่อน +3

    He is a Hero ! Will still Be A Hero!

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 2 หลายเดือนก่อน +8

    Mwenyezi Mungu amlinde Mh Makonda. Ampe afya njema huko aliko

  • @ruthdavie1175
    @ruthdavie1175 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu amlinde Mh. Makonda

  • @StrongbowArrow2004
    @StrongbowArrow2004 2 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani 😢😢😢😢😢 Nimelia mie Mungu wangu akamfqnyie wepesi ashindi hali yoyote mbaya inayomkabili jamani 😢😢😢

  • @philomenaPhilipo
    @philomenaPhilipo 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde na maadui zako

  • @ErnestSolomon-m7o
    @ErnestSolomon-m7o 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu naomba umsaidie rafiki yangu makonda wanaopigana name mungu pigana nao usiogope mungu atakushindia

  • @amosmchuma-t5p
    @amosmchuma-t5p 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu simama na kiongozi huyu imani yetu ni kubwa sana kwko❤

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 2 หลายเดือนก่อน +7

    My brother Makonda tunahitaji tumuone katika media mtafanya tuunganishe matukio ni mtu pekee mtetezi wa Rais wetu katika umbo la kibinadamu mwenye pua mdomo na masikio ambae moyo wake mweupe kuitumikia nchi hii🇹🇿

  • @honorascusmatembe2987
    @honorascusmatembe2987 2 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda wherever you're be protected and preserved in the name of Jesus Christ and Come back safe and strong 💪🙏

  • @NeemaNjera-ho6ln
    @NeemaNjera-ho6ln 2 หลายเดือนก่อน

    Ngoja.makonda.asionekane
    Mtatueleza.vizuri..au
    Mtaka.tuandamane

  • @BarnabasMphuru
    @BarnabasMphuru 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde broo makonda

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ee Mungu Nakuomba Umponye Makonda, Sitaki kulia Tena, Mungu Usiyeshindwa Nakuomba Usikie maombi yangu na wote wamaompenda Makonda🙏

  • @marcoakyoo760
    @marcoakyoo760 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hiki kikundi cha wahuni hakilitakii mema taifa letu
    Inauma sana pale tunapopata mtu wa kazi wanapita nae😢😢😢

  • @saidpatrick-j2b
    @saidpatrick-j2b 2 หลายเดือนก่อน

    May god protect him

  • @edfinelmas5245
    @edfinelmas5245 2 หลายเดือนก่อน

    Maombi yangu kwako Mh. Paul Makonda🙏

  • @JenipherCharles-z2j
    @JenipherCharles-z2j 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda mungu akulinde akuepushe na mabaya yote akufiche ktk mbawa zake amina

  • @culturaltourism8594
    @culturaltourism8594 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu baba katika Jina La Yesu tulindie Makonda..tusikie anaendelea vizuri..Amen

  • @rhodakulwa1774
    @rhodakulwa1774 2 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu akulinde mtumishi hila za mbovu zishindwe kwajina Yesu

  • @churicharles7978
    @churicharles7978 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu amulinde popote alipo bdo tunamwitaji Sana tunakuombea daima ulipo

  • @brendasamson2086
    @brendasamson2086 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nguvu ya Mungu ni kubwa kuliko nguvu ya maadui Mungu atamlinda paul makonda na atakuwa salama sana

    • @mwankenjatv9330
      @mwankenjatv9330 2 หลายเดือนก่อน

      Mnaongea stori wakt mtu wanamkuta😅😅😂😂

    • @PiusKimaro
      @PiusKimaro 2 หลายเดือนก่อน

      Nbona maana hauna pakipatia chakula.ombaomba

  • @mofungoya9729
    @mofungoya9729 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akujalie afya njema

  • @VeronicaMungure
    @VeronicaMungure 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuponye Bado tunakuhitaji sana

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 2 หลายเดือนก่อน +1

    God forbid.Angels of protection encamp around you Makonda.❤

  • @JosureNassary
    @JosureNassary 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde baba yetu tunakupenda sana mungu akutangulie popote ulipo mabaya yakae mbali na wew kipenz Cha R Chuga inshallah wa Ina Lillah 😢

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu amlinde na kumuepusha na mabaya yote ,amen

  • @MariaMollel-m9m
    @MariaMollel-m9m 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu yupo na mkuu wetu

  • @faisalnasser5895
    @faisalnasser5895 2 หลายเดือนก่อน

    .ungu Akulinde kakayetu makonda tunakupenda sana sana

  • @cejnimedia
    @cejnimedia 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kama yasemwayo ni kweli, basii ni marufuku kuwa mtu mzuriii na mwenye kujali kwenye nchii ya Tanzania.

  • @amedeustesha5947
    @amedeustesha5947 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona taarifa za kuhuzunisha Kwa shujaa wetu

  • @NellyMusic-vc6iz
    @NellyMusic-vc6iz 2 หลายเดือนก่อน

    Global media is best to me 🎉🎉

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 2 หลายเดือนก่อน +3

    WAMEANZA KAMA KWA MAGUFULI 😢😢

  • @NajmaMomo
    @NajmaMomo 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde na kukutunza Makonda kipenz cha watu

  • @HekimaMwambegele
    @HekimaMwambegele 2 หลายเดือนก่อน

    Daaaaaaaah

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi kwann huwa hawa tuambii kiongoz wetu alipo?

  • @dicksonjonas1799
    @dicksonjonas1799 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu ni mwema atalindwa na dam ya Yesu🙏

    • @SalumuAlly-d9q
      @SalumuAlly-d9q 2 หลายเดือนก่อน +2

      Siyo damu ya yesu ila kwa uwezo wa alwah sema hivi ndugu acha kujitoa akili hizo akili zako siyo sawa 😢😢😢

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 2 หลายเดือนก่อน

    Kwann jaman mbona ukiwa mpenda hak wszete wanyonge, unaambatana na wanyoge zaid unapigwa vita kwa nn jaman, tukumbuke haya ni maisja mafupi ya hapa duninian tupendane kwaajili ya maisha ya milele mbingun, tulizaliwa uchi na mwisho wa maisha yetu tutaviacha vyote hakuna tajir wala masikin mbingun,Mungu mbarik mdogo wangu makonda

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 2 หลายเดือนก่อน +2

    Watanzania tumwomve Sana Mwenyezi Mungu Nchi yetu isiangukie mikononi mwa wamwaga damu ya Viongozi waadilifu wa Taifa letu: Isije ikatokea Kama ilivyotokea kwa hayatii Magufuri: Ninyi Wana Arusha ebu nwulizeni mke wake au nendeni nyumbani kwake mpate ukweli

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mahasidi Mungu awashinde hawana kher maana wakipata mtu anae ongoza vizuri hawaridhiki watatafuta Kila njia ya kumdhuru lakin yarab tunakuomba hifadhi yako muhifadh na kulinda Makonda na Shari za walimwengu yarab

  • @KashinjeShija-rk9fv
    @KashinjeShija-rk9fv 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa taarifa kama hizi Tanzania hakuna amani
    Mungu mlinde makonda popote alipo huyu mwamba wa🇹🇿

  • @ConfusedFrog-lc9db
    @ConfusedFrog-lc9db 2 หลายเดือนก่อน

    Duh Tanzania ina shida sana Mtu mwema watamfanyia hila tu😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu wangu

  • @pyelesyamwakatika540
    @pyelesyamwakatika540 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu amuepushe na yote mabaya Mungu amjaalie afya njema Mungu wewe ndio dawa ya wote wenye uhitaji mlinde Makonda wetu

  • @elizabethmakaranga218
    @elizabethmakaranga218 2 หลายเดือนก่อน +1

    Damu ya YESU inenayo mema ikanene mema na malaika wa ulinzi waendelee kukuatamia makondo mungu awe nguzo ya moto ,pona kwa jina la Yesu ,afya ikishaimarika arudi kwa neema ya mungu ni mshindi amen

  • @JJTSUPERCLEANER
    @JJTSUPERCLEANER 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa JPM mlianzaga hivihivi et "Magufuli yuko wapi mbona haonekan?" baada ya siku chache tu nikasikia et amefariki jaman😢

  • @EdwinAmbakisye-li4zq
    @EdwinAmbakisye-li4zq 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani makonda mbona hatumuoni. Boss wetu

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 2 หลายเดือนก่อน +4

    Daaah mbn hizi taarifa zinaleta mishtuko ya hovyo sana

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 2 หลายเดือนก่อน +16

    Kimya kweli vipi huko yupo au hai au wameshamtia sumu maana mwamba Ana maadui wengi sana

  • @JISUSIDOKTA
    @JISUSIDOKTA 2 หลายเดือนก่อน

    Eee mwenyezi mungu tunakuomba umlinde sana makonda

  • @mchungajimpigauzitv5703
    @mchungajimpigauzitv5703 2 หลายเดือนก่อน

    Yesu yesu simamiya Taifa hili

  • @AswilaSeif
    @AswilaSeif 2 หลายเดือนก่อน +1

    Makondo hatujuu yupo wapi makonda mungu mnusuru yupo wapi😢😢,hili ningiza lakutofaham??????2

  • @evasilaa9064
    @evasilaa9064 2 หลายเดือนก่อน

    Duh jamani jamani

  • @AmourHaji-gh6pp
    @AmourHaji-gh6pp 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde Makondaaaaaaa😢

  • @frankthadeo1679
    @frankthadeo1679 2 หลายเดือนก่อน +3

    Comred mungu akupiganie kama upo katika magonjwa

  • @rodymtakimwa3205
    @rodymtakimwa3205 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu atusimamie atuonyeshe mwanga

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 2 หลายเดือนก่อน +10

    dah ebn ndomana mama kashusha mapanga chini anaogopa manyangau dah ee mwenyezi mungu muumba mbingu Na Aridh mlinde huyu kiumbe wako Nakila hila Nawatu wanaotaka kuzulumu uhai wake kwajili ya vitu vyakidunia Amina

    • @hassanrashid-l3u
      @hassanrashid-l3u 2 หลายเดือนก่อน +3

      Alipotolewa dar, na kupelekwa Arusha ,,mm nikajua tu kinachoenda kumtokea makonda ndicho kilichomkuta magufuri,,hata kama ataibuka Bado akiwa hai ! Lakin kwa selikali yetu na Husda za viongozi wetu wa kiselikali ni ngumu sana makonda ku survive

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd 2 หลายเดือนก่อน +3

      dah watu wajali pesa kuliko nchi hata magufuli asingekua Namsimamo pengne mpaka leo angekuwepo

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mmm majibu ya RAS mbona wanaongeza mashaka!!!

    • @DavidJoshua-hd8sf
      @DavidJoshua-hd8sf 2 หลายเดือนก่อน +2

      Hata mimi yananitia mashaka kwa kweli Tanzania nchi yangu unatupeleka wapi

  • @EVELIUSSEBASTIAN
    @EVELIUSSEBASTIAN 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akiwaupande wake ninani aliyejuuyake!!

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu wewe ndiye unae majibu sahihi ya makonda alipo ee mungu wetu mpe Afya njema mlinde na maaduwi wote

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ikitokea ame......... Kama JPM..
    GEN,Z Tz..., enough is enough be ready for.......
    But.....tuombe . Mungu tu awe mzima

    • @PiusKimaro
      @PiusKimaro 2 หลายเดือนก่อน

      We shaikh mandaz

  • @Lighttemba
    @Lighttemba 2 หลายเดือนก่อน

    Roho inaniuma sana jaman shujaa wa wengi, mungu mlinde na kila Hila mbaya

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 2 หลายเดือนก่อน +18

    Mungu Mungu kwanini unaruhusu hilikundi la majambazi kumaliza viongozi wa bora na wazalendo wa inchi hii bila kuwazalilisha wametutenda sana,Mungu please jibu machozi na manung'uniko ya watanzania 😢😢😢😢

    • @JacobJoel-cb3ni
      @JacobJoel-cb3ni 2 หลายเดือนก่อน +6

      Umeomba kwa uchungu sana ndugu yangu Mungu akutendee sawa na maombi yako

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu ni simba wa vita,, hajibu kama mchawi,, atajibu pindi umeshika siaha, hata kama huna ak 47, ukiwa kisu, panga, rungu, vinatosha MUNGU kukujibia,, kumbuka! Goliati mwenye siraha za kutisha na ngao imara,,, ali uwawa kwa jiwe dogo sana. Hivo hakuna ukbozi wa watu utakuja bila kupambana hadi kufa, ili kizazi chema kije kuishi kwa furaha,, kumbuka hata YESU, alikufa kishujaa ili wale wanyonge, wakombolewe,, hata magufuli wetu, alikufa kishujaa, ili wanyonge wafurahie matunda.

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 2 หลายเดือนก่อน

      😢😢🤲🤲

  • @HappyGershon
    @HappyGershon 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akaguse pale palipo na Maumivu, Mungu akategue Mitego yote kama Ni ya kupanga Mungu akageuze kibao Kwao waliopanga
    Eeh! Mungu achilia Afya Na Uzima Juu ya Makonda Tangu sasa🙏🏼

  • @DoreenNyange
    @DoreenNyange 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu wangu wa mbinguni naomba umlinde makonda

  • @costantinejohn-xn6lw
    @costantinejohn-xn6lw 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi nauliza tu tz tz Ipo siku.......😭😭😭😭 DAAAAAAH

  • @ElizabethPalanjo
    @ElizabethPalanjo 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu tunajua wewe ni mwaminifu ktk maisha yet sisi hakuna tunacho weza mungu wangu ,, wala hakuna tunacho jua juu ya kaka yetu makonda,, mungu tunakuachia wewe tu kwan sisi sote ni binadam,, mungu pigana na kila anae pigana nae , tunakuamini mungu wetu

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yarab Mungu wetu tunakuomba yarab mlinde shujaa wetu Makonda muhifadh kwenye hifadhi yko mlinde na maadui yarab kama anaumwa mpe shifaa muinuwe Salama ndugu yetu yarab tutakabalie dua zetu

  • @Clex-f5s
    @Clex-f5s 2 หลายเดือนก่อน

    Naamini utakuwa uchovu wa kazi anatakiwa awe anapumzika aisee🙏🏽

  • @maulidijselemani9392
    @maulidijselemani9392 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tafadhali mwenyezi mungu tunakuomba utulindie Mh Paul Makonda wetu kwani walisha tuondolea sokoine, Augustino lyatonga Mrema, maalim seif, Edward Lowassa na kipenzi chetu Hayati John Joseph pombe Magufuli. Tuna kuomba mwenyezi mungu tulindie kiongozi wetu Makonda 🙏🙏

  • @janecolleter
    @janecolleter 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daaah! Mungu wa mbingun amtunze Makonda popote pale alipo amuepushe na kila baya

  • @CosmasLeza
    @CosmasLeza 2 หลายเดือนก่อน

    Umh mungu amlinde huko aliko tunajua wewe ndo mwenye majibu sahihi

  • @EnockNanyaro-lk1zi
    @EnockNanyaro-lk1zi 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu mlinde shujaa wetu

  • @JJTSUPERCLEANER
    @JJTSUPERCLEANER 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mmeanza tena kama yale ya rais wetu JPM yaani mmezoea kila kiongoz anayeinuka against viongozi waovu huwa hacheleweshwa hii miharamia ikishaona tu kiongozi anayeitaabisha haimchelewesh!
    Ila Mungu yupo na Mungu amsaidie kaka yetu kipenzi mh.Paul Makonda maana ana nyayo za baba yetu jpm!