RAS MKOA wa ARUSHA AJIBU ALIPO RC MAKONDA - AFYA YAKE kwa MARA ya KWANZA KUPITIA GLOBAL TV....
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- RAS MKOA wa ARUSHA AJIBU ALIPO RC MAKONDA - AFYA YAKE kwa MARA ya KWANZA KUPITIA GLOBAL TV....
Ni wiki mbili zimepita tangu Mkuu wa Mkoa wa Arusha, RC Paul Makonda hajaonekana hadharani katika shughuli zake kama Mkuu wa Mkoa.
Makonda anajulikana ni Mkuu wa Mkoa machachari asiyeishiwa mipango mikubwa ya kuwatumikia wananchi kwa nafasi aliyopewa na Rais Samia Suluhu ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha; siyo mtu wa kukaaa kimya muda wote huo.
Mara ya mwisho alionekana hadharani tarehe 13 na 14 ya Julai mwaka huu kwenye shindano lake la kuendesha pikipiki katika Viwanja vya Laki Laki- Kisongo jijini Arusha.
GLOBAL TV imezungumza na Katibu Tawala Mkoa wa Mkoa wa Arusha RAS Missile Mussa ambaye yeye ni msimamizi wa shughuli zote za mkoa kuhusu alipo RC Makonda na hali yake ya kiafya kwa sasa...FUATILIA ZAIDI GLOBAL TV...
CREDIT: @Korumba_Lebabazi
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mungu wangu dah!
Mwanangu kama unaumwa Mungu akupe afya njema kwakweli. Tunakupenda sana❤❤🎉🎉🎉❤❤❤
Mungu ww ndo mwenye majibu sahihi ya Makonda ee Mungu wetu mpe Afya njema
Makonda tunakupenda Sana mtumishi wa Mungu, Bwana Yesu Kristo asimame nawewe katika Hali zote
Kaka yetu Makonda Mungu amlinde sana. Mungu amlinde sana tunachukia sana kua na ukimya. Hatupendi ujue na taarifa yenu Paul Makonda yupo mioyoni mwetu.
Moyo unauma sana kusikia hivyo Mungu mlinde shujaa wetu popote alipo kumbuka kazi nzuri aliofanya kwa ajili ya watanzania , Baba hatujui yuko wapi ila wewe unajua tunamfunika kwa damu ya Yesu Kristo na kila atakapo pita Mungu mbariki maadui zake wakae mbali kwa jina la Yesu Kristo, amen.
Mungu amesikia maombi yako
Kabla yakupaparikia aliyo yafanya katika uenezi wake , angalia back ground yake. Muuwaji uyo.
Shujaa wawa wapumbavu wasiyo jielewa, wavivu, wajinga na masikini wa fikra
Wew ndio hujielewi@@erickmsigala138
Mtu anaependa kula jasho LA watu Huwa afurahishwi na Mtu atakae jitokeza kutengeneza haki za walio na haki maana aliekuwa anatumia jasho La watu atakosa haki mungu wape maarifa watu wako ameen
Msh Makonda yupo mikononi mwa Kristo na hakuna Hila Wala nguvu yeyote ya Giza inayo weza kumgusa.✝️💪
Amen 🙏
Acha mawazo mgando,,, ukiwa kwa kristo ndo hupatwi na mauti?
Amen!🙏
Amen
Mkono wa Mungu ukawe juu ya baba Keagan, mabaya yasikupate .
Mungu wangu akampe Afya njema Kijana wetu Makonda.
Mungu umlinde Mh. Makonda awe mzima wa afya . Ninaachilia nguvu ya roho mtakatifu imponye .
Jamani, tuambieni ukweli,
Makonda yupo wapi?
Msije mkatuambia amekufa, hatutawaelewa.
Tunataka kumuona Makonda akiwa mzima.
Asante.
Umepagawa?Kwani ni Nani anastahili kufa?Acha uzwazwaa
Huyu jamaa ni fala bac kufa wewe yeye abaki😂😂😂
@@reubenkissinga5802Mbona Unaingilia Mawazo ya Mtu nini Shida Au Ulishawai kulawitiwa
@@reubenkissinga5802bwege
Yaani mhhh muumba MAKONDA APONE KWA LOLOTE
Mungu mlinde huyu shuja wetu mpe afya njema Na maisha marefeu inshaallah 🤲🤲🤲🤲🤲
Aamin Aamiin YaaRabbal Alaamiin
Aaaaaaminy
mwenyezi mungu amlinde popote alipo
Eeee Mungu wangu mbona sielewi jamani Mr. Makonda popote ulipo Mungu akulinde
Ewe mungu amlinde mkuu makonda (we need you)
Jamani makonda mungu akulinde tunakupenda sana mungu wangu msadie
Pole RC wetu mungu akuambirije 'mwanakaya tupo pamoja kwa sala uppate nafuu wabeja from TAWESO MToWAmBUAR
❤PCMakonda Mwenye'Enzi'Mungu'Mlezi AmLinde na AmTangulie❤
IPO siku uvumilivu utakwisha, hatuwezi kukaa tunaona tu Viongozi watetezi WA wanyonge wanafanyiwa MATUKIO makubwa arafu tunakaa kimya siku zote, tutakuja kuamka tu!. Niombe mwenyezi Mungu amjahaliye Afya njema
Dah Mungu amfanyie wepesi makonda ni aina ya kiongoz ambaye taifa linamhitaji sana sanaa
Mungu amlinde
Jamani jamani jamani inauma Sana Allah ndiye anajua atakavyomsaidia shujaa wetu Amina
Duu Kama wamemuua Tena makonda kwa kweli Nchi hii sio ya Aman Tena tutakua tuu na mungu aishivyo Bora tu makonda awe salama maana hata mbingu na ardhi kutulia kimya Ila Kama wamemwondoa Tena mtetezi wa wanyonge Kama Rais wetu Duu Bora Kenya maisha ni laivi hawana unafki kwa kweli
Mungu siku zote ni wa haki ikiwa siku yake ya kufa haijafika hatokufa ng'o mpaka atimize kusud la Mungu aliloitiwa na Mungu
Mungu amlinde na ampe afya njema makonda wetu sisi ndio anayetufaa basi watuachie,
Tz ukionekana shujaa tu unapotezwa, kiukweli Makonda nimpiganaji sana na nimsema kweli ila kila kilichokizuri kinatuachia maumivu...jamani Mungu mlinde huyu baba hakika nishujaa.
Mungu umlinde mkuu wa mkoa arusha
Hizi habari zinatisha sana lakini tusichoke kumuombea Kiongozi wetu Bora kbs.
He is a Hero ! Will still Be A Hero!
Mwenyezi Mungu amlinde Mh Makonda. Ampe afya njema huko aliko
Mungu amlinde Mh. Makonda
Jamani 😢😢😢😢😢 Nimelia mie Mungu wangu akamfqnyie wepesi ashindi hali yoyote mbaya inayomkabili jamani 😢😢😢
Mungu akulinde na maadui zako
Mungu naomba umsaidie rafiki yangu makonda wanaopigana name mungu pigana nao usiogope mungu atakushindia
Mungu simama na kiongozi huyu imani yetu ni kubwa sana kwko❤
My brother Makonda tunahitaji tumuone katika media mtafanya tuunganishe matukio ni mtu pekee mtetezi wa Rais wetu katika umbo la kibinadamu mwenye pua mdomo na masikio ambae moyo wake mweupe kuitumikia nchi hii🇹🇿
Makonda wherever you're be protected and preserved in the name of Jesus Christ and Come back safe and strong 💪🙏
AMEEN
Ngoja.makonda.asionekane
Mtatueleza.vizuri..au
Mtaka.tuandamane
Mungu akulinde broo makonda
Ee Mungu Nakuomba Umponye Makonda, Sitaki kulia Tena, Mungu Usiyeshindwa Nakuomba Usikie maombi yangu na wote wamaompenda Makonda🙏
Amina
Hiki kikundi cha wahuni hakilitakii mema taifa letu
Inauma sana pale tunapopata mtu wa kazi wanapita nae😢😢😢
May god protect him
Maombi yangu kwako Mh. Paul Makonda🙏
Makonda mungu akulinde akuepushe na mabaya yote akufiche ktk mbawa zake amina
Mungu baba katika Jina La Yesu tulindie Makonda..tusikie anaendelea vizuri..Amen
Mwenyezi Mungu akulinde mtumishi hila za mbovu zishindwe kwajina Yesu
Mungu amulinde popote alipo bdo tunamwitaji Sana tunakuombea daima ulipo
Nguvu ya Mungu ni kubwa kuliko nguvu ya maadui Mungu atamlinda paul makonda na atakuwa salama sana
Mnaongea stori wakt mtu wanamkuta😅😅😂😂
Nbona maana hauna pakipatia chakula.ombaomba
Mungu akujalie afya njema
Mungu akuponye Bado tunakuhitaji sana
God forbid.Angels of protection encamp around you Makonda.❤
Mungu akulinde baba yetu tunakupenda sana mungu akutangulie popote ulipo mabaya yakae mbali na wew kipenz Cha R Chuga inshallah wa Ina Lillah 😢
Mungu amlinde na kumuepusha na mabaya yote ,amen
Mungu yupo na mkuu wetu
.ungu Akulinde kakayetu makonda tunakupenda sana sana
Kama yasemwayo ni kweli, basii ni marufuku kuwa mtu mzuriii na mwenye kujali kwenye nchii ya Tanzania.
Mbona taarifa za kuhuzunisha Kwa shujaa wetu
Global media is best to me 🎉🎉
WAMEANZA KAMA KWA MAGUFULI 😢😢
Mungu akulinde na kukutunza Makonda kipenz cha watu
Daaaaaaaah
Hivi kwann huwa hawa tuambii kiongoz wetu alipo?
Mungu ni mwema atalindwa na dam ya Yesu🙏
Siyo damu ya yesu ila kwa uwezo wa alwah sema hivi ndugu acha kujitoa akili hizo akili zako siyo sawa 😢😢😢
Kwann jaman mbona ukiwa mpenda hak wszete wanyonge, unaambatana na wanyoge zaid unapigwa vita kwa nn jaman, tukumbuke haya ni maisja mafupi ya hapa duninian tupendane kwaajili ya maisha ya milele mbingun, tulizaliwa uchi na mwisho wa maisha yetu tutaviacha vyote hakuna tajir wala masikin mbingun,Mungu mbarik mdogo wangu makonda
Watanzania tumwomve Sana Mwenyezi Mungu Nchi yetu isiangukie mikononi mwa wamwaga damu ya Viongozi waadilifu wa Taifa letu: Isije ikatokea Kama ilivyotokea kwa hayatii Magufuri: Ninyi Wana Arusha ebu nwulizeni mke wake au nendeni nyumbani kwake mpate ukweli
Mahasidi Mungu awashinde hawana kher maana wakipata mtu anae ongoza vizuri hawaridhiki watatafuta Kila njia ya kumdhuru lakin yarab tunakuomba hifadhi yako muhifadh na kulinda Makonda na Shari za walimwengu yarab
Kwa taarifa kama hizi Tanzania hakuna amani
Mungu mlinde makonda popote alipo huyu mwamba wa🇹🇿
Duh Tanzania ina shida sana Mtu mwema watamfanyia hila tu😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Mungu wangu
Mungu amuepushe na yote mabaya Mungu amjaalie afya njema Mungu wewe ndio dawa ya wote wenye uhitaji mlinde Makonda wetu
Damu ya YESU inenayo mema ikanene mema na malaika wa ulinzi waendelee kukuatamia makondo mungu awe nguzo ya moto ,pona kwa jina la Yesu ,afya ikishaimarika arudi kwa neema ya mungu ni mshindi amen
Kwa JPM mlianzaga hivihivi et "Magufuli yuko wapi mbona haonekan?" baada ya siku chache tu nikasikia et amefariki jaman😢
Jamani makonda mbona hatumuoni. Boss wetu
Daaah mbn hizi taarifa zinaleta mishtuko ya hovyo sana
Kimya kweli vipi huko yupo au hai au wameshamtia sumu maana mwamba Ana maadui wengi sana
Eee mwenyezi mungu tunakuomba umlinde sana makonda
Yesu yesu simamiya Taifa hili
Makondo hatujuu yupo wapi makonda mungu mnusuru yupo wapi😢😢,hili ningiza lakutofaham??????2
Duh jamani jamani
Mungu akulinde Makondaaaaaaa😢
Comred mungu akupiganie kama upo katika magonjwa
Mungu atusimamie atuonyeshe mwanga
dah ebn ndomana mama kashusha mapanga chini anaogopa manyangau dah ee mwenyezi mungu muumba mbingu Na Aridh mlinde huyu kiumbe wako Nakila hila Nawatu wanaotaka kuzulumu uhai wake kwajili ya vitu vyakidunia Amina
Alipotolewa dar, na kupelekwa Arusha ,,mm nikajua tu kinachoenda kumtokea makonda ndicho kilichomkuta magufuri,,hata kama ataibuka Bado akiwa hai ! Lakin kwa selikali yetu na Husda za viongozi wetu wa kiselikali ni ngumu sana makonda ku survive
dah watu wajali pesa kuliko nchi hata magufuli asingekua Namsimamo pengne mpaka leo angekuwepo
Mmm majibu ya RAS mbona wanaongeza mashaka!!!
Hata mimi yananitia mashaka kwa kweli Tanzania nchi yangu unatupeleka wapi
Mungu akiwaupande wake ninani aliyejuuyake!!
Mungu wewe ndiye unae majibu sahihi ya makonda alipo ee mungu wetu mpe Afya njema mlinde na maaduwi wote
Ikitokea ame......... Kama JPM..
GEN,Z Tz..., enough is enough be ready for.......
But.....tuombe . Mungu tu awe mzima
We shaikh mandaz
Roho inaniuma sana jaman shujaa wa wengi, mungu mlinde na kila Hila mbaya
Mungu Mungu kwanini unaruhusu hilikundi la majambazi kumaliza viongozi wa bora na wazalendo wa inchi hii bila kuwazalilisha wametutenda sana,Mungu please jibu machozi na manung'uniko ya watanzania 😢😢😢😢
Umeomba kwa uchungu sana ndugu yangu Mungu akutendee sawa na maombi yako
Mungu ni simba wa vita,, hajibu kama mchawi,, atajibu pindi umeshika siaha, hata kama huna ak 47, ukiwa kisu, panga, rungu, vinatosha MUNGU kukujibia,, kumbuka! Goliati mwenye siraha za kutisha na ngao imara,,, ali uwawa kwa jiwe dogo sana. Hivo hakuna ukbozi wa watu utakuja bila kupambana hadi kufa, ili kizazi chema kije kuishi kwa furaha,, kumbuka hata YESU, alikufa kishujaa ili wale wanyonge, wakombolewe,, hata magufuli wetu, alikufa kishujaa, ili wanyonge wafurahie matunda.
😢😢🤲🤲
Mungu akaguse pale palipo na Maumivu, Mungu akategue Mitego yote kama Ni ya kupanga Mungu akageuze kibao Kwao waliopanga
Eeh! Mungu achilia Afya Na Uzima Juu ya Makonda Tangu sasa🙏🏼
Mungu wangu wa mbinguni naomba umlinde makonda
Mimi nauliza tu tz tz Ipo siku.......😭😭😭😭 DAAAAAAH
Mungu tunajua wewe ni mwaminifu ktk maisha yet sisi hakuna tunacho weza mungu wangu ,, wala hakuna tunacho jua juu ya kaka yetu makonda,, mungu tunakuachia wewe tu kwan sisi sote ni binadam,, mungu pigana na kila anae pigana nae , tunakuamini mungu wetu
Yarab Mungu wetu tunakuomba yarab mlinde shujaa wetu Makonda muhifadh kwenye hifadhi yko mlinde na maadui yarab kama anaumwa mpe shifaa muinuwe Salama ndugu yetu yarab tutakabalie dua zetu
Allahuma amin yarab laalamin 🤲🤲
Naamini utakuwa uchovu wa kazi anatakiwa awe anapumzika aisee🙏🏽
Tafadhali mwenyezi mungu tunakuomba utulindie Mh Paul Makonda wetu kwani walisha tuondolea sokoine, Augustino lyatonga Mrema, maalim seif, Edward Lowassa na kipenzi chetu Hayati John Joseph pombe Magufuli. Tuna kuomba mwenyezi mungu tulindie kiongozi wetu Makonda 🙏🙏
Daaah! Mungu wa mbingun amtunze Makonda popote pale alipo amuepushe na kila baya
Umh mungu amlinde huko aliko tunajua wewe ndo mwenye majibu sahihi
Mungu mlinde shujaa wetu
Mmeanza tena kama yale ya rais wetu JPM yaani mmezoea kila kiongoz anayeinuka against viongozi waovu huwa hacheleweshwa hii miharamia ikishaona tu kiongozi anayeitaabisha haimchelewesh!
Ila Mungu yupo na Mungu amsaidie kaka yetu kipenzi mh.Paul Makonda maana ana nyayo za baba yetu jpm!