ATAHADHARISHWA KUHUSU MAHUSIANO HAYA: “UTAKABILIANA NA MILIPUKO, WEKA MBALI SILAHA”-GDTV

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ก.พ. 2020
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!

ความคิดเห็น • 730

  • @mr.sampaelias1885
    @mr.sampaelias1885 2 ปีที่แล้ว +5

    Ukisikia mtumish anakua na Maneno mengi bila kutaja jina Yesu ujue hapo hakuna Mnapigwa peupe! Jina Mungu hatukupewa kutoa Pepo ila jina la Yesu tu!

  • @VisionVibes8
    @VisionVibes8 5 หลายเดือนก่อน +1

    It's interesting how God works in mysterious ways Geordavie is the PERFECT man of God... Quote "PERFECT" Man of God😊

  • @winnieombaire1918
    @winnieombaire1918 3 ปีที่แล้ว +6

    Am happy that she finally accepted and challenged you with immediate hopes 😍😍

  • @lamaifanuel9221
    @lamaifanuel9221 2 ปีที่แล้ว +4

    Bwana yesu asifiwe,shaloom mtumishi ninaomba maombi yko yakawe ngao kwangu na familia yangu

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 ปีที่แล้ว +25

    Wakristo ,someni neno!
    Acheni kupenda miujiza na kuombewa! Mjifunze kusimama na kuomba! Ni kweli watumishi wana sehem yao lkn km huna neno kuyumbishwa,kudanganywa ni rahisi!
    Mungu anasema na kila mtu!hasa kwa njia ya ndoto!
    Anza kuomba kidogokidogo,jifunze mtegemee Yesu peke yake,usiweke matumaini kwa mwanadamu!
    Yaani Yesu/Mungu awe wako kwanza kabla ya Yesu/Mungu wa mtumishi ,au kanisa Fulani!

    • @chalesnguyaine9991
      @chalesnguyaine9991 4 ปีที่แล้ว +3

      Hahaha wakristo msikatazwe kukimbilia miujiza za Yesu kristo kwa maana kinachomtambusha uwepo wa kristo ni miujiza na alisema mtafanya zaidi ya haya nilioyafanya ikiwemo miujiza,na uzuri tunamsikiya huyu baba akimtaja Mungu na Yesu,na Yesu ndo Mungu na Mungu ndo yesu ndivyo sis tunavoamini sas mtu unakuwa na wivu kiasi hiki kisa umeshndwa kufanya.sikia hii ndo tofauti za kutenda kazi lkn Mungu ni yeye yule yule

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 ปีที่แล้ว +1

      @@chalesnguyaine9991 miujiza ipo na wala haina ubaya!
      Wapi alipomtaja Yesu na Mungu ? Nisaidie tu hapo ndo nachotaka kufahamu!

    • @chalesnguyaine9991
      @chalesnguyaine9991 4 ปีที่แล้ว +1

      @@christinewomanoffaith5479 embu rudia kutizama hiyo video maana utamskia akimtaja Mungu na Yesu ukishaamaliza kuangalia embu andika neno Geordavie tv angalia video vyake utamskia tu sawa man

    • @chalesnguyaine9991
      @chalesnguyaine9991 4 ปีที่แล้ว

      Sisi kama wana wa nabii tunamtambua Yesu kristo kama Mungu yani Mungu ndo jina lake kwa kifupi nikwamba tukimtaja Mungu jua tumemaanisha Yesu na tukimtaja yesu jua tumemaansha ni Mungu kwa hyo usitake huduma Yenu ya TB joshua ifanane na ya nabii geordavie

    • @hamismasalu9359
      @hamismasalu9359 4 ปีที่แล้ว +1

      Umenena vyema sana kaka Mpaka nimependa Neno lako hilo chache tu, nakuluhusu uchukue namba yangu tuwe tunawasiliana kuelekezana na kufundishana juu ya neno la Mungu 0686608015

  • @VisionVibes8
    @VisionVibes8 5 หลายเดือนก่อน

    Geordavie ana amini kikweli kweli Hana kuigiza I love the Man of God for Life. God is Real, God. Is Great,God is RICH, God is Everything..He Displays his Grace through his Servant.: GEORDAVIE

  • @baudouinecikwanine4690
    @baudouinecikwanine4690 4 ปีที่แล้ว +3

    Babaaa Ubarikiwe uongezewe Na Mungu aliyekupa kazi ngumu iyi. Mimi ni baudouine mukongo naikala buja nakufata sana. Naitaji Na mimi kuombewa. Najuwa Mungu anauwezo ya kunigusa kupitiya wewe hata uko uko. Nisaidie naomba baba yangu

  • @emmanuelngiloriti981
    @emmanuelngiloriti981 3 ปีที่แล้ว +4

    Yaan mungu amekaa ndani yako nabii mkuu natamani kama ungenionekania na mimi jaman.

  • @shedrackdavid3876
    @shedrackdavid3876 2 ปีที่แล้ว +3

    I believe in God I make a trust always and I request God to protect my best friend 🙏🙏🙏🙏

  • @JeanElisha
    @JeanElisha ปีที่แล้ว +1

    Jamani nduguzangu tazania nawaomba sana kwahimani Mungu aliipendeleya tanzania Ninayo imani juu nabii Mukuu dunia Yote itapona napia RDC uvira nikonamengi yakusema naomba Léo Ninaona mihujiza y'a hajabu naomba Siku moja nabii Mungu amutume Apa kwetu RDC,congo,sikuzote naomba Mungu amupe uzima kila Siku amupe nusu y'a Siku za Mungu unilindiye GDavi Wangu ,moyo

  • @chrisedson2531
    @chrisedson2531 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi ombea familia yangu pia avunje mazabahu mbaya zinazonifatilia mimi na mzazi mwenzangu Maana naishi kwa shida kubwa mungu anihulumie

  • @malota2138
    @malota2138 3 ปีที่แล้ว +8

    ipo siku mungu atawazalilisha awa wanaodanganya watu inaonesha wazi hapo hao wanajuana na wamepanga

  • @marthasimon1004
    @marthasimon1004 2 ปีที่แล้ว +1

    Mh! Baba mungu akubariki sana! Kuna mambo mtu unaweza pitia ukadhan ni pito kumbe mpango wa shetan. Nawish cku1 kukuona maana me pia maisha yangu cjawah kuelewa yanavyo enda

  • @fredturrukei2390
    @fredturrukei2390 3 ปีที่แล้ว +3

    My God protect you mtumishi wa mungu🙏

  • @elibarikieliatunawapatavzr7872
    @elibarikieliatunawapatavzr7872 4 ปีที่แล้ว +35

    Duhhhhh kuna vituko duniani. Tatizo watu tunapenda miujiza kuliko Mungu

    • @goldvilysamweli3716
      @goldvilysamweli3716 4 ปีที่แล้ว +6

      kama huna cha kuongea ni bora ukaa kimy kuliko kumkosea mung

    • @goldvilysamweli3716
      @goldvilysamweli3716 4 ปีที่แล้ว +3

      kwan huw nani anayetoa muujiza km cy huyo mungu mnayemsem

    • @mwana3887
      @mwana3887 4 ปีที่แล้ว +2

      @Elibariki Elia tunawapata vzr Acha ujinga mdogo mdogo miujiza (miracles) ndio sign ya uwepo wa Mungu

    • @antoinea.katembo5326
      @antoinea.katembo5326 4 ปีที่แล้ว

      mwana kabisa ukweli ndo kwani hiyo miujiza ilifanyika mbinguni au hapa duniani?

    • @bulugubujashi6378
      @bulugubujashi6378 4 ปีที่แล้ว

      Nikweli

  • @deokessy6288
    @deokessy6288 3 ปีที่แล้ว +4

    Sijasikia Neno Yesu Kristo

  • @hamisamaundi5661
    @hamisamaundi5661 3 ปีที่แล้ว +1

    SubhanaALLAH,SubhanaALLAH, mwenyezi mungu ataenda kutuchoma kwasababu ya matendo yetu, ya kumsingia, na kumshilikisha na viumbe wake

    • @heliethdulla2139
      @heliethdulla2139 3 ปีที่แล้ว

      Subuana Nini na wewe Kama vipi si upige kimya tu

  • @annwanjiku5923
    @annwanjiku5923 2 ปีที่แล้ว +1

    Ooh God this man is so powerful,profesy for me also

  • @niceibrahimlukumay5247
    @niceibrahimlukumay5247 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameni i received anointing

  • @marymchomvu134
    @marymchomvu134 2 ปีที่แล้ว +1

    Shalom babaa,na mm naomba nifunguliwe na niponywe kwa jina la yesu

  • @sofiaallykizand7319
    @sofiaallykizand7319 3 ปีที่แล้ว +1

    Thanks God

  • @greesgrees856
    @greesgrees856 4 ปีที่แล้ว +2

    Amina napokea

  • @naomijonas9173
    @naomijonas9173 3 ปีที่แล้ว +1

    Nabii naomba uniombee mm na familia yangu, na mtoto wangu anayesumbuliwa na tatizo la kukojoa kitandani, na afaulu mtihani wake wa kidato cha nne muombee jmniii nipo dar, anaitwa jesca

  • @happysalva24
    @happysalva24 4 ปีที่แล้ว +5

    Amen 🙏

  • @boniventuremarrirey6930
    @boniventuremarrirey6930 4 ปีที่แล้ว +2

    Amen baba nabii mkuu

  • @VisionVibes8
    @VisionVibes8 5 หลายเดือนก่อน

    Geordavie ni mtumishi WA mungu WA mbinguni Alie hai

  • @moureenmokeira2205
    @moureenmokeira2205 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen🙏🙏... I wish ningekuona hata uniwekee mkono kichwa tu..

  • @evabikabhai1861
    @evabikabhai1861 2 ปีที่แล้ว +6

    Very powerful man of God

  • @meryjohn7120
    @meryjohn7120 4 ปีที่แล้ว +4

    Yeye mungu unatakiwa kimwamini mugu sio mwanadamu

  • @emmanuelmanyonyi1005
    @emmanuelmanyonyi1005 3 ปีที่แล้ว +4

    Man of GOD 🙏, you are doing great job am also having a problem in my life, from Kenya

  • @snayzzermusictz775
    @snayzzermusictz775 4 ปีที่แล้ว +3

    Nabarikiwa naww jmn nabii nipo dar

  • @RAPHAEL-kj3qs
    @RAPHAEL-kj3qs ปีที่แล้ว

    Nabii naguswa sana na maombi yako nataka kujua Arusha sehemu gan nahitaji kufika hapo nyumba ya mungu

  • @kelvinjoseph9773
    @kelvinjoseph9773 4 ปีที่แล้ว +1

    Amen mchungaj mungu akubalik uendle kufny bwan

  • @puritychogoro
    @puritychogoro 4 ปีที่แล้ว +3

    Amen & amen

  • @kaijagepaulmungunisaidie2598
    @kaijagepaulmungunisaidie2598 2 ปีที่แล้ว +1

    Baba tunabalikiwa Mungu akujalie uendelee kuepo

  • @elizabethkizota3474
    @elizabethkizota3474 4 ปีที่แล้ว +31

    mungu nifundishe kunyamaza

  • @minaelijohn1782
    @minaelijohn1782 2 ปีที่แล้ว

    Bwana yesu asifiwe baba naitwa mshungaji minaeli Niko nyumba ya mungu baba natamani sana unitamkie neno pia naomba sapoti ya usafiri

  • @esterlilungulu7615
    @esterlilungulu7615 4 ปีที่แล้ว +2

    Amina baba

  • @dinalodam3017
    @dinalodam3017 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen najiungamanisha na Mimi na mume wangu tufunguliwe na mama angu

  • @niletrierweiler1607
    @niletrierweiler1607 4 ปีที่แล้ว +4

    Amen, Baba unabii wako umeonekana, nafurahia saana kuyaona uponyaji kama haya,naomba nasisi utuombee familia yangu,mimi ni mkenya

  • @balihappy5628
    @balihappy5628 2 ปีที่แล้ว +1

    Am blessed man of God...be blessed more

    • @divinahgesare814
      @divinahgesare814 ปีที่แล้ว

      Naitaji maombi natoka kenya naitaji mtoto

  • @kelvinmalowa1423
    @kelvinmalowa1423 4 ปีที่แล้ว +7

    I have always known that the Man will change my life for better. Amen

    • @mariakisinda7235
      @mariakisinda7235 ปีที่แล้ว

      Nabii hata Mimi naomba maombi yako kwani hata mm nasumbuliwa na nguvu za giza

  • @janetkaingu7038
    @janetkaingu7038 2 ปีที่แล้ว +1

    Eeemen haleluia ninetakasika katika jina la Yesu

  • @christinamkalalile874
    @christinamkalalile874 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubaliki sana nabii wa mungu

  • @user-zz7ep5of2m
    @user-zz7ep5of2m 5 หลายเดือนก่อน

    Mkienda makanisani mnadanganywa mungu ni mmoja allah mcheni allah dini moja uislam

  • @mwaminikudra2552
    @mwaminikudra2552 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamani haya mambo yauna bii ni ivo tuh, watu walishaga penda unabii kushinda mungu, jiombee mwenye, omba toba na mungu ataku hurumia, hakika yeye ndie mwenye huruma, Ndio mzehe hapa ni nabii ila sasa unatu shauriaje mbele ya mungu wewe mwenyewe unaweka mguu ju ya mwengine mguu ukiwa una hubiri, sisi tuta jiwekaje mbele ya mungu, njomana sisi wa islam atuna unabii, najivunia sana dini yangu

  • @getrudekway3293
    @getrudekway3293 4 ปีที่แล้ว

    Mungu anajibu kwakweli natamani sana nkutane nae mtu wa mungu

  • @gamelahg4613
    @gamelahg4613 4 ปีที่แล้ว +3

    Amina

  • @emmanuelmitao131
    @emmanuelmitao131 4 ปีที่แล้ว +1

    Duh we soildier u must be strong

  • @mrs.belindastephenmagula9858
    @mrs.belindastephenmagula9858 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe Sana baba

  • @stevek8318
    @stevek8318 3 ปีที่แล้ว

    Too much pride on this dude

  • @elifurahajosia1628
    @elifurahajosia1628 4 ปีที่แล้ว

    asante nabii kwa maombi, naomba nasisi tuombee, utuunganishe kimaombi mm na familia yetu

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 ปีที่แล้ว

      Eti mbona hayo maombi hayalitaji jina LA Yesu? Inakuaje? Naomba nisaidie

  • @saldakltl7611
    @saldakltl7611 4 ปีที่แล้ว +2

    Amen

  • @liyangaboy368
    @liyangaboy368 ปีที่แล้ว

    Mtumishi kwa jina naitwa liyanga natokea jijini Arusha naitaji mungu Anitendee miyuu jisaa

  • @gracemusa8462
    @gracemusa8462 4 ปีที่แล้ว +3

    Ameen

  • @reginamtitu5592
    @reginamtitu5592 ปีที่แล้ว

    Nibalikii Nami baba

  • @hakizimfurajustin4737
    @hakizimfurajustin4737 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki

  • @aminatabakari2741
    @aminatabakari2741 4 ปีที่แล้ว +6

    Heri mtu yule amchaye Bwana🙏

    • @pamelanyongesa9817
      @pamelanyongesa9817 3 ปีที่แล้ว

      hi pst mimi kilamara ninapolala naota kama nafalishwa bete sijui maama yake nini

  • @dainessukosi
    @dainessukosi ปีที่แล้ว +1

    Amina 🙏

  • @nicelucas9495
    @nicelucas9495 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen napokea

  • @marymuthoni1551
    @marymuthoni1551 4 ปีที่แล้ว

    Amina na Amina

  • @twodads5141
    @twodads5141 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen Amen

  • @kibikihotfilm0621
    @kibikihotfilm0621 2 ปีที่แล้ว +2

    MUNGU NI MWEMA MNO🙏🙏

  • @laurentemmanuel6037
    @laurentemmanuel6037 3 ปีที่แล้ว

    Bwana yesu atukuzwe nabii was bwana Mimi Niko maswa shida yangu mimi Kuna watu wawili wamekimbia na pesa baada ya kuwanunulia mzigo was biashara na kuhama kusikojulikana naomba unisaidie

  • @gracemwasonya1445
    @gracemwasonya1445 3 ปีที่แล้ว +3

    Watu wangu huangamia kwa kukosa maarifa!!!!

  • @magdalenamatiko9995
    @magdalenamatiko9995 4 ปีที่แล้ว +17

    Alieona wazinzi wanabarikiwa waendelee na uzinzi wao mnipe big up

  • @neemaneema4740
    @neemaneema4740 4 ปีที่แล้ว

    Amina.baba

  • @sadocksimon9573
    @sadocksimon9573 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu nimwema

  • @honnetemaghetse9486
    @honnetemaghetse9486 3 ปีที่แล้ว +1

    Jambo mtumishi wa Mungu hâta mimi nahitaji msaada ya maombi yako Niko kongo

  • @richardoblasio
    @richardoblasio 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen baba

  • @latiphakiwelu8394
    @latiphakiwelu8394 2 ปีที่แล้ว

    Asante yesu kwakunifungua

  • @mekeyamaho3695
    @mekeyamaho3695 3 ปีที่แล้ว

    Good work

  • @fredseverino8906
    @fredseverino8906 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awe nanye wote

  • @kassianmassawe9436
    @kassianmassawe9436 4 ปีที่แล้ว +6

    Ameen Daddy i also napokea mahusiano sahihi kutoka kwako

  • @jorammasila7627
    @jorammasila7627 ปีที่แล้ว

    Jesus Christ be merciful to us please na upee watu wako macho ya kiroho kuona kinachoendelea.😢😢😢😢

  • @evimanmmbogo5332
    @evimanmmbogo5332 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda sana nabii mkuu nafurahishwa na utendaji wa kazi kubwa ya Mungu namwamini Mungu siku moja nitakanyaga happy kupokea nguvu mpya ya Mungu ubarikiwe baba!!!

  • @avilajacobo203
    @avilajacobo203 ปีที่แล้ว +1

    Amina🙏🙏🙏

  • @boniventuremarrirey6930
    @boniventuremarrirey6930 4 ปีที่แล้ว +3

    I love this

  • @maryamalhajri5886
    @maryamalhajri5886 4 ปีที่แล้ว +11

    Na mie ntakuja tz ntafika kwako baba na matatizo ya ulimwengu wa roho miaka mingi sana mume nilimpoteza ata kazi pia💔

    • @johngyuzi437
      @johngyuzi437 4 ปีที่แล้ว +1

      Maryam Alhajri h

    • @bestonmfikwa8510
      @bestonmfikwa8510 4 ปีที่แล้ว

      Uko wapi

    • @remedymoody
      @remedymoody 4 ปีที่แล้ว

      Acha kutumia jina la bosi wako na picha za kukopi. Mwenyewe akikundua anaweza kukushitaki. Kwani unaona aibu kutumia jina lako la ukweli.

  • @richardhaule1267
    @richardhaule1267 2 ปีที่แล้ว +1

    AMEN AMEN AMEN

  • @veronicangila7415
    @veronicangila7415 3 ปีที่แล้ว +1

    Asifiwe yesu naitwa veronicah nahitaji maombi sana pamoja na familia yangu naomba msaada wa maombi nipo Saudi Arabia

  • @johnmasuka3370
    @johnmasuka3370 3 ปีที่แล้ว +4

    Haina haja kuionea haya *NGUVU YA MUNGU* katika ulimwengu wa * ROHO na MWILI*, NABII, BWANA YESU KRISTO azidi kukutumia zaidi kuponya watu wake.

  • @zanuramaulid5741
    @zanuramaulid5741 2 ปีที่แล้ว

    Mnaeditty sanaa Nabii hiyo siku hakuvaa suti nyeupe

  • @margretchai3384
    @margretchai3384 4 ปีที่แล้ว +2

    Amen& Amen

  • @judithnagabona342
    @judithnagabona342 3 ปีที่แล้ว

    amina baba

  • @samwellmagirra9928
    @samwellmagirra9928 4 ปีที่แล้ว

    Aminaaa

  • @comedytz3487
    @comedytz3487 4 ปีที่แล้ว +27

    Jamaa anabahati mwanamke mzuri kweli😂😂

  • @charitynjambihigu7186
    @charitynjambihigu7186 3 ปีที่แล้ว

    God good

  • @recholmichael2356
    @recholmichael2356 3 ปีที่แล้ว +2

    Ameen ameen nabii

  • @paulinemathenge514
    @paulinemathenge514 4 ปีที่แล้ว +3

    Lord Jesus please remember me, IN JESUS MIGHTY NAME AMEN.

  • @richardIyanga
    @richardIyanga 4 ปีที่แล้ว +2

    Amen Daddy

  • @petergideon3449
    @petergideon3449 4 ปีที่แล้ว +4

    I receive anointing

  • @wycliffebisera3697
    @wycliffebisera3697 2 ปีที่แล้ว +1

    U r just blezing to me man of GOD

  • @yuzarsifbulushy5451
    @yuzarsifbulushy5451 4 ปีที่แล้ว +14

    Acha utapeli Wewe Muogope mumgu.. Halafu unaenda unajichubua ili uwe mweupe uonekane ni Nabiii.. Acha Unafika wee mzee Ogopa mungu wako.

    • @moseshaule586
      @moseshaule586 4 ปีที่แล้ว +1

      Una uhakika gani Kama anajichubua

    • @ashamganga6636
      @ashamganga6636 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

    • @mwana3887
      @mwana3887 4 ปีที่แล้ว +1

      @Yusuf Al Bulushy Kujichubua haikuhusu na sio dhambi na pia hiyo ni wishes binafsi na utambue ni binadamu na ana hisia zote kama za mwanadamu no sawa uende kanisa lenu kwenu uko umkute mtumishi ana kitambi alafu unaanza kublame kuhusu jinsi mwili wake ulivyo kama umeshindwa kupokea kile anachokufundisha ujue kuna roho ya shetani ndani yako na unahitaji ufungulivu wa maombi

    • @mmasymery391
      @mmasymery391 4 ปีที่แล้ว

      Saw kwani ww unatakaje?

    • @mwana3887
      @mwana3887 4 ปีที่แล้ว +2

      @Mmasy Mery I want nothing from but I was tell you to remove negative impression toward others because even yourself you have you weakness no one is perfect as you thoughts in your mind

  • @saldakltl7611
    @saldakltl7611 4 ปีที่แล้ว +3

    🙏🙏🙏👏👏👏

  • @nestakankindi2447
    @nestakankindi2447 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameeeeen

  • @ziyadabasca4840
    @ziyadabasca4840 2 ปีที่แล้ว

    Nguvu yamungu inafanya kazi kabisa mimi ni 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @lizyh4594
    @lizyh4594 3 ปีที่แล้ว

    Barikiwa mtumishi

  • @abdallahally8033
    @abdallahally8033 2 ปีที่แล้ว

    Mimi naitwa Abdallah Ally mrefu naishi dar es salaam mtume nakukubari Sana na ninashida Sana na ndoa yangu na nishida Sana kwenyekazi zanfu yani hata hata sijui nitafikaje hapo

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 4 ปีที่แล้ว +29

    Kornelio alipomkaribia Petro alimkimbilia amlaki na kumpigia magoti lakin Petro akamwambia usinipigie magoti Mimi kwasababu hata Mimi Ni binadamu Kama wewe.

    • @jacobmakono389
      @jacobmakono389 4 ปีที่แล้ว +1

      ..Upendo nikisomaga andiko hilo la Petro huwa natokwa na machozi jinsi ambavyo Petro, pamoja na matendo makuu Mungu aliyomtumia..hakujitukuza kamwe!!..hawa manabii uchwara wanataka kutukuzwa!

    • @madamloveness7274
      @madamloveness7274 4 ปีที่แล้ว +1

      @@jacobmakono389 Mungu atusaidie kwa kizazi hiki Tena manabii hawa wanakwambia piga magoti nikusamehe makosa yako ?Musa alitenda miujiza ambayo hakuna mpaka leo amewahi Tenda Ila aliwaambia Wana wa Israel simameni imara mkauone utukufu wa Mungu

    • @jacobmakono389
      @jacobmakono389 4 ปีที่แล้ว

      @@madamloveness7274 inasikitidha sana!yaani huyu jamaa anatetea dhambi!

    • @paulinanyalusi4870
      @paulinanyalusi4870 4 ปีที่แล้ว

      Yan na wao wanaamini binadam na kuwasujudia Mungu akuepushe na haya mambo

    • @goldvilysamweli3716
      @goldvilysamweli3716 4 ปีที่แล้ว +1

      yeye anayejisifu ktk kristo na ajisifu maandiko ynasema