TBC1 TV YAMUHOJI "LIVE" NABII MKUU TANZANIA - (STUDIO VERSION) - GEORDAVIE TV
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Nabii Mkuu Tanzania Mhe. Dr. GeorDavie (Ph.D)
("UMAARUFU WA NCHI HAUTOKANI NA WANASIASA PEKE YAKE, BALI HUTOKANA NA RAIA WENYE TAALUMA, FANI NA VIPAWA MBALI MBALI VIKITAMBILIWA NA KUPEWA NAFASI STAHILI NA SERIKALI HUSIKA - By Hon. GeorDavie")
Hon. GeorDavie is the Most Respected Man Of God (The FOUNDER & PIONEER) in the Land today (The Father and Mentor of thousands Servants of God from around the World including Believers) The Author of Keeping Up With God’s Kingdom Government Standards and with over 35 years in the Ministry, Serving the Largest "NGURUMO YA UPAKO (N.Y.U) DIPLOMATS GIGANTIC CONGREGATION" IN TANZANIA!!! and the Owner of
N.Y.U. FM RADIO 99.2MHz - ARUSHA Tanzania
www.nyufmradioonline.radio12345.com
Mzee nabii mguu nakupeda baba niko kenya nakupeda baba tamka neno nakinabii ju ya maisha yangu
Hallelujah Hallelujah. Farashi Baba yangu Nabii Mkuu GeorDavie
Baba naelewa sana na sana mahubili yako nabi mkuu
Umejieleza vizuri sana, japo umeyajibu maswali ya mtangazaji kisiasa Zaidi na kujifanisha zaidi na Yesu, nguvu alizonazo Yesu hakika hujazikaribia.Kingine ambacho sijafurahia kwako ni pale ulipoombwa na Mtangazaji kuliombea Taifa, ukawa unaomba ukiwa umekunja nne!! Mbinguni siyo Kisongo.
Ndivyo walivyo "manabii" wa sasa,wakati mwingine wanaomba mikono mifukoni
Mtihani na mm nishamuona anavoombea kaa yy ndo anafanya na mengine kaa wale washirikina wanaofanya kazi na washirikina wa kijini wanavopiga ramli bana duuu inatakiwa tusizarau lkn tuwe Makini pia
Safi sana namkubali sana huyu nabii kiukweli natamani kufika kanisani kwake
Uko vizuri wewe songs mbele usitetereke
Mungu akuongezeye nguvu zaidi
Mungu azidi kukutumia Mtumishi mm nami napokea kwa jina la Yesu
WhatsApp/Piga namba: +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu. Kwa iPhone au Android Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
GeorDavie TV
Mbona izo namba azipatikan
Amen Nabii Mkuu
GeorDavie TV amen
Ni MZEE wa furaha sana wewe nakutafuta sana na naamini IPO SIKU nitakufikia mungu anijaalie nikufikie
Mungu AKUTUNZE mtumishi wa MUNGU
Amen Amen naiona kazi yako
Kujimwambafai zaidi ya kumuinua Yesu..
Mtangazaji Gabriel Zakaria upo vizuri kwa maswali pia Mungu akutunze. milele Nabii Godevi
Amina Napokea kwajina la Yesu
Baba ❤❤❤ kwanza unajiamini kwa kazi yako
Hongera home boy!! Mungu akuimarishe ktk huduma yako.
Wa kwetu huyu
Aki baba nizahidie nikufikie.kila siku nashidaga kukuona kwa youtube.nkp nairobi mimi ni mukamba
Bwana Yesu asifiwe sana nabii amejibu maswali kwa hekima ya juu sana azidi kuwainuliwa
Majina Mkuu ,DKt , Mhe si ni majina ya kujitukuza ili hali katika ufalme wa mungu kujitukuza ni chanzo cha kiburi na kuanguka kwa wahubiri wengi duniani .Yaani humility iko wapi kwa jina lake ? Ni swali tu
Mungu azidi kukuinua ktk huduma yako amen🙏🙏
Good speech, nimeipenda hiii God bless you
LIFE IS AN INTERESTING JOURNEY ZAKARIA YOU ARE VERY TECHNICAL IN ASKING SAFI SANA! NABII VERY INTELLIGENT IN ANSWERING .................................................
Ni ngumu saana
Mko wapi nije jamani mm nawaangalia tu kwa u tube kwa kweli mungu amekujalia dady natamani ata kukuona live
Napokea ktk jina la Yesu. Ameeen.
Mungu aendelee kukutunza
Honorouble GeoDavie I do Respect and honour you so much!!!Keep on establishing the kingdom of God in Earth
Instablaster...
Mtangazaji uko vizur unaweza Sana una ULIZA maswali YA kiufundi, kaz njema
Kabisa... Anamuanzia mbali sana
Tunaomba namba ya mchungaji ili tuweze kufika alipo
Karibu mwanza baba
ufalme wa mungu haufanani na ufalme wa duniani mbinguni inawexekana kua ufalme bila pesa maana mungu ni saidi ya pesa
Zachariah we mwarusha mwenzanguuu... Nakukubali sanaaa uko vizuri sana
Unajibu vizuri sana Prophet,
Bwana "nabii" nashangaa sana kwa kijifananisha YESU kila jibu lako umeitumia bibila kujitambua....lakini umesahau hata Yohana mpatishaji aliye mpatisha YESU hakuwai jisifu....kwangu nana uelewa mkubwa kwamba wewe ni mtumishi wa shetani naomba uniambie katika bibilia wapi manabii wa Mungu waliwai angusha watu kwa ajiri ya kutoa pepo n uponyaji??....najua hilo jibu utakoza...naaam rudia Mungu uache kijifanya "mkuu" uende mbinguni. Ni hayo tu kwa sasa!!!!!
Daddy babayangu siyo kwa sababu ya miujiza ila kwa mafundisho haya niliyo fuatilia leo namna unachambua nimefunguliwa na ninatamani nikuone pindi tu nifikapo Africa Mungu akutuze nime barikiwa sana
THIS IS FANTASTIC INTERVIEW OOOH ! AM FULL BLESSING. AND I REAL LOVE YOU DAD,U'RE A REAL MAN OF GOD BE BLESS MORE AND MORE.
Baba naomba kuonana na wewe
Nice dady so how can help me
Ninashida sana babaa wapi nitaweza kuonana na wewe japo nkweze kupona
@@venturymwakilebwa6611 nakufwatilia sanaa kwa yu tube ninahitaji la kukutana na wewe babaa ingelikuwaa kuna number naeza kupata nayo japo ya kanisaa natoka kenyaa
Uyaan wanadam mnaamin wachawi wanaingia kwenyeunngo elfi Moja kuliko matendo ya Mungu ndani ya mwanadam
You nailed it daddy. Wasiokuelewa hawatakaa wakuelewe ama wana lao jambo. Majibu mazuri sana kwa maswali mazuri sana pia
Kupitia yutubu nimepona kwa nabii mkuu asante sana karibu kigoma baba uje utuokoe tunakufa baba.
Anayeokoa ni yesu
Wafuate waliookoka huko kigoma watakuongoza uokoke.
Barikiwa.
Wonderful dady🙏
Bwana yesu asifiwe baba
Ubarikiwe sana
mh.mungu atutetee sana
Interview nzuri sana maswali na majibu majibu mazuri sana.
Haleluya Nabiii
Nabii mkuu nimekuelewa sana hapo kwenye chumvi na mafuta wanatusumbua sana na chumvi zao
Anyone sold salts with others things they're not from God
NABII MKUU GEARDAVIE ni Nabii KABISA. Nabii atakua anaitajika na eshima kabisa
Ila umasikini ni zaidi ya Zambi hata ufalme wa Mungu ni zaidi ya umasikini masikin Hana sifa
Hapa ata ikitoke Vita nabii unanyoo mikono tu
Huyu anaejiita nabii.Yeye ninani.MWAMBIENI AANDAE MJADALA NA KINA MAZIMGE,SHK SHAFI NA WENGINEO.
Kama umeiona cm ya nabii gonga like
Sio cm ni tablet
@@aksantedeborah7913 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huelewa mdogo sana
Namba za cm za nabii
Boa noite eu falo em Moçambique cabo delgado Pemba gostaria de ser rico
Mungu atanipa na mimi
Napokea katikajina LA YESU KRISTU
Nakupenda baba
Jamani huyu Baba hakuna number yake sijui nampataje jamani msahada please
God bless u Kenya
Usihukim kwa kile usichokifaham, ww endelea kuamini kile unachokiamini, hata yesu hawakumwamini wote.
Dady mungu akuinue
Ok nakuelewa
Nyie nao ni masapota wa kazi za ibilisi
Ubarikiwe sana mtumishi!
To God be the Glory Daddy
Maswali mazuri na Majibu mazuri pia
Naamini ww ni nabii uliyetumwa na mungu .
Thanks Geordeve
How can I meet with nabii 😢😢?
may god pour on to you the higher vision to reveal his hidden secrets and you may be able to expose towards us in order to fulfill where there is a need
Ni mwaka 2020 sasa ndo nimeisikia hii na nimefurahi nashukuru kwa baraka na zawadi hii ya maisha ya Nabii huyu juu ya matamshi yake wa wanao amini, Jina la Mungu litukuzwe🙏
Aliye msikia mwandishi kikeke kwa mbali apokee
naomba number ya muobaji
Mimi nimemwelewa huyo na Biii sanasan,apatikana wapi?
Anapatikana Arusha
Arusha
I receive in Jesus Name
@@asmaaamri4740 nyinyi ndio wale mliangamia kutokuwa na marifa
kwakweli mimi sijui maana dunia sijui inaelekea wapi
Watanzania cjui nanj kawaloga
Honger ubarikiwe
HALLELUJAH papa prophet
yaani wenye mabuibui wanaingia pia kanisani na vile muislam yuwasema kuingia kanisani ni haram diamond hooo zari yuwaingia na watoto wangu kanisani na hali mimi ni mwislam jamani mungu ni yule mmoja isipokuwa majina tofauti
Utapona kwa imani yako
Naomba namba jamani plz
sikuzamwisho zimefika kila kona manabii kinachotakiwa ubakikwenye imani yako lipo jina nalo ni Yesu kristo tukilitumainiahilo jina tutapona yeye ndio jia yauzima
Hakika Yesu ni Mwema
Lini corona itaisha???
Halleyuah, na akilisha ufalme wambinguni Bwana yesu apewe sifa
Da amina nabii
Ameen
Kumbe ni Mnyiramba mtani wangu miminilizani ni muhindi,lakin Iguguno kuna waarabu wengi,hatashangazi yangu kuolewa na Muarabu nakazaa waarabu binamuzetu
kwa kweli nabii yupo vzr xana God bless u
Hakuna nabii napo ni sarakasi za kifreemason
Lexus baba sha sema
Nabii pia mm ningependa unisaidie bt niko mbali tafathali mimi caroline masinde niko na shida nyingi sananisaidie tafathali
Atupe no ya whtssap
Mungu awenawe mudayotee
Nabii anajibusti kidogo kwa kujich....
The interviewer so intelligent and Sharp
NAOMBA nikutane nawe baba
Nabii na ombe uniombee kwa jina la yesu
Hata ww unauwezo ya kujiombea
Pamoja na unabii wako feki,Mungu atakuacha kwa USALITI HUU MBAYA UNAOUFANYA KWA JINA NA YESU KRISTO MWOKOZI WETU.Kuharibu ndoA za kondoo wako,kuvuja Mali za waumini maskini kwa maisha yako ya ANASSA,N.K
Gasper ni wachache wanaojitabua na kuelewa wao ni akina nani ktk ufalme wa Mungu, wengi hawana muda wa kuomba wakusoma neno na kuchambua kweli iko wapi
Rahima S nimekupenda bure
Kola nabii ako na kile anatumianga
Mimi nikigusa solt ukiwa na sida inaisha
Jaman mtalanika mnae mtamkia nabii maneno mabaya ameponya weng sana jiulze wewe umeponya wangap
Duuuh hi ndo dunia mi so Mungu hata kugje nashidwa neno LA Mungu hata shetani analijua
Kabisaaaa...neno lamungu ndio shetani analitumia kupotosha wana wa mungu
Kwani Elisha na Elia walitumia nini?Asiseme eti vitambaa n.k ni kosa,yeye aseme tu anatumia nguvu bila hivo vitu...Alafu huyu mkuu sio mnyenyekevu,he is too proud na mtu wa Mungu hawezi kuwa na majivuno.Majivuno ni ya shetani sio Mungu.
Mtangazaji upo vizuli
Nabii shalooom need takupataje baba
Ni mjivuni sana
Siku moja mtapata nuru, mtalia sana!
True
Nuru! ipo siku zote fumbua macho kama umefumba! Nabii hatambuliki kijijini pake, huyu ni nabii wa Mungu!
Kilio chakusagameno... They cant see bcoz they are blind
Mtangazaji nakukupata unamaswari mazuli sana
Nmepokea kwa Jina la Yesu Kristo wa Nazareth
Wewe mjinga sana Fanya utafiti
Duuh! Tumepotezwa sana jmn
Naye Yesu kasemaa Nabii hakubaliwi kwao 🤫
mtangazan asante sana unamaswali mazur