Sheikh Muharam upo sahihi kabisa, niliwahi kusali swala ya Eid kwenye msikiti wao Kigoma, kabisa nilitoka pale nilijiona hamna kitu, wana vitissue paper wanagawiana na mawe yani vurugu mechi.
Sio kutiabisha anaongea ukweli, Kuna mmoja ktk hao mashia anaitwa sheikh Mohammed mm alikuwa mwalimu wng wa chuon , akapata nafas ya kwenda kusoma mwaka 1996 au 97 ,akatuaga uzur kurudi ndo Kawa shia
Bahna kila mtu aende upande anao taka, ila ushauli wangu, Muslim tusiishie kuambiwa tu, tusome kwanza kwani ndo maana yakupewa akili na Allah, kama hapo amesema mjukuu wa mtume amesema abubakar na omary ni makafili Sasa wewe unakataa ni yupi wewe, tumia akili apo
Maa sha Allah shukran habibi Mziwanda wape vitu hao wenye kupenda dunia ukweli ndio Allah kashamaliza kusema zamani piga vitasa kuliko hivyo
Mashaallah mashaallah nakupenda sana shekh wg mziwanda
Shekhe Allaah akulinde Isha allaah 🙏 🙏🙏 tuko nyumayako
Shukran shekhe wangu kwaku sema ukweli nakupenda sana shekhe pia Mawahabi utupe ukweli wao nao wako sawa shekhe?
Aisee Allah akulipe kila la kheri baraka allahu fiika
Ukweli nimefurahi Hawa mashia woote niwaongo
Allah. Akuhifadh sheikh Mziwanda
Allah akupe umri mrefu wenye KHERI tupambane nao hao tupo nyuma yako shekh
Shekhe njoo ktk usalafi hayo unayo yasema wanaoyatekeleza nisisi masalafi njoo tutakuhami karibu sana
Mashaallah Allah akuhifadhi sheikh wetu mziwanda Allah akujalie msimamo wako uendlee hivohivo na Allah atakulinda na wabaya wako....
Aaamiiin Aaamiiin
Huyu jafari ukafiri umemkolea hata haelewi maneno ya mziwanda
بارك الله فيك
Naaam
Maa Shaa Allah
Mungu akulinde shekhe letu
Naam huyu ni mlithi wabshekh kilemile allah amlehemu
Shehe wetu upo sahii Sana Yan mashia hawawezagi kukujibu hata siku moja zaidi yakukutusi tu Ila ukweli wangu unaongeaga point sana
Mashaallah
انشاء الله شكرا.
Sahihi mwamba
hamna shekh hapa unafuata akida ya uongo halafu hakuna kitu kwenye quran kwa unachokifuata
Lkn kwenye maulid Khitma na Arobaini mmechukua kutoka kwa Mashia nyinyi Masufi hilo vipi
Bakwata hawataki ukweli wanatka kula kwa jina la dini lkn dini kwao haina thamani
Sheikh Muharam upo sahihi kabisa, niliwahi kusali swala ya Eid kwenye msikiti wao Kigoma, kabisa nilitoka pale nilijiona hamna kitu, wana vitissue paper wanagawiana na mawe yani vurugu mechi.
Mimi huwa najiuliza sana hawa jamaa ni dini gani hiyo inayoruhusu kujipiga mapanga kichwani na usoni kwa kukumbuka kifo cha Imam Hussein?
Huna elimu yoyote ww njoo nikupe dogo langu tu akufundishe din
Wambie ukweli hao vijisenti vina matatizo.
Habibi kipenzi chetu Mziwanda tunakuomba ndg zako au wanao hao usiwajibu ww waachie tuu ila ukiona hivyo jiwe limewapiga gizani vitasa kwenda mbele tuu
Hio kauli ni dhaifu shekhe mziwanda katika biharul anwar. Umejibiwa kuhusu hio kauli ya Ali ibn Hussein.
Shia (Rafidha)?
Ninachojua huyu sheikh huwa mtu kunyoosha tu.nyeupe nyeupe kama nyeusi nyeusi
Sheikh kishki talaka tatu
Shekhe nataka unisomeshe je nakupataje
Shehe mziwanda watuaibisha maaswari wenzio waonekana humuezi kijana wa kishia kwa elimu afadhali unyamaze
We sio answari ni shia acha uongo
Sio kutiabisha anaongea ukweli, Kuna mmoja ktk hao mashia anaitwa sheikh Mohammed mm alikuwa mwalimu wng wa chuon , akapata nafas ya kwenda kusoma mwaka 1996 au 97 ,akatuaga uzur kurudi ndo Kawa shia
Bahna kila mtu aende upande anao taka, ila ushauli wangu, Muslim tusiishie kuambiwa tu, tusome kwanza kwani ndo maana yakupewa akili na Allah, kama hapo amesema mjukuu wa mtume amesema abubakar na omary ni makafili Sasa wewe unakataa ni yupi wewe, tumia akili apo
Wewe itakuwa unaumwa ugonjwa wa akili maana hata ulichokiandika hakieleweki vizuri,nyoosha maelezo, acha unafiki
Sheikhe ww umeisha chukuwa mzigo Acha fitina waislam wenzako wapate mzigo kama ulivyopata ww
Achakuwa kuku
Elim yako imeishia hapo Ndiyo Maana huwezi kuwaeleza hunak
@@ahmadnonela3215 hutaki au