Mimi suala langu kwa nini hawa masufi,matariqa,shadhilia na wengine,hujichanganya/hujifunika na kuongoza Imam Shafi radhiallahu anhu,suala ya kuwa kwa nini imaam Shafi hakulifanya hili la qunut ya alfajiri,na anasingiziwa kulifanya hili,hata la maulidi ambalo limekuja baada imam Shafi kufa na hajawahi yeye binafsi kulifanya,Inakuwaje masufi,tarikiya wao kulitilia Mkazo hilo,kwa kulifanyia ibada,lingine hawa masufi,matariqiya mbona hawafahamiki,kimadhehebu,kuna wakati baadhi ya maimamu wao ,jee kwa madhehebu Shafi,maulidi nabawiya yamo katika fiqh ya imam Shafi,je jamhuri ya ijmaa wanayakubali kuwa maulidi ni ibada,fiqh yake ipo wapi katika maimamu hawa wanne?naomba jibu la kielimu,lenye dalili kutoka kwa jamhuri ya ijmaa,
Masufi wao wanajua kheir kuliko Malaika Mitume Maswahaba Mataabiy Hata jambo ambalo Aimmah Arbaah(Shafi Malik Hambal Abuu Hanifa) hawalijui wao wanajua
Mziwanda mashaallah nilifurahi kukutana na ww dar magomenii... na nikakufahamu kua nimtu wapenda mzaha ajaaab...kwa wasio.kujua watakuona ni mtu mbinafsiii😅😅😅❤
Msijadil watu wenzenu wanajadili maneno kama sio sahihi hata uyaandike kwa wino wa dhahabu litabaki kua kosa tu Tunataka majibu wanyama waliongea⁉️⁉️⁉️⁉️
MashaALLAH Muharram Mziwanda ALLAH kampa elimu bhana
Alhamdulillah , killa nikimtazama huyu bwana namkumbuka saana marehem sheikh kilemile ktk uzungumzaji wake.
Shukran Sana Sheikh Wetu Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera ALLAH Akuingize peponi kabla hujafa shukran sana
Masha Allah
Asante sana sheikh wetuuuuu
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚💚
Mashall ah
Mashaallah Tabaraka Allah Mwenyeezi Mngu akufungulie kifua chako zaidi na zaidi uwe mwanachuoni wetu watwarika.
Fatabaarakallah
Mimi suala langu kwa nini hawa masufi,matariqa,shadhilia na wengine,hujichanganya/hujifunika na kuongoza Imam Shafi radhiallahu anhu,suala ya kuwa kwa nini imaam Shafi hakulifanya hili la qunut ya alfajiri,na anasingiziwa kulifanya hili,hata la maulidi ambalo limekuja baada imam Shafi kufa na hajawahi yeye binafsi kulifanya,Inakuwaje masufi,tarikiya wao kulitilia Mkazo hilo,kwa kulifanyia ibada,lingine hawa masufi,matariqiya mbona hawafahamiki,kimadhehebu,kuna wakati baadhi ya maimamu wao ,jee kwa madhehebu Shafi,maulidi nabawiya yamo katika fiqh ya imam Shafi,je jamhuri ya ijmaa wanayakubali kuwa maulidi ni ibada,fiqh yake ipo wapi katika maimamu hawa wanne?naomba jibu la kielimu,lenye dalili kutoka kwa jamhuri ya ijmaa,
Asha umeuliza haswaa Ila kanuni ipo inathibitishwa na mamlaka ya ulipo somea nakunakitu unapewa cheti au tazkia
Siasa tu, hoja bado zimesimama vilevile Hazija jibika mpaka leo..
Masufi wao wanajua kheir kuliko Malaika Mitume Maswahaba Mataabiy Hata jambo ambalo Aimmah Arbaah(Shafi Malik Hambal Abuu Hanifa) hawalijui wao wanajua
Mziwanda mashaallah nilifurahi kukutana na ww dar magomenii... na nikakufahamu kua nimtu wapenda mzaha ajaaab...kwa wasio.kujua watakuona ni mtu mbinafsiii😅😅😅❤
Kanuni ipi au kiwango gani cha elimu ya dini kinamfanya mtu aitwe sheikh na kiwango hicho cha elimu kinathibitishwa na nani au na mamlaka gani
السؤال الخامس:
Maulid yanafaa hayafai?
Al hamdu lilahi mawahabi wanakhiana kweli ndugu mubadilike acheni wivu wa kijinga na maneno yenu ya kishenzi
Huyu mpumbavu wa kisufi mziwanda itabidi ajibibiwe awekwe sawa, maana hawa masufi elimu zao ndogo sana
Msijadil watu wenzenu wanajadili maneno kama sio sahihi hata uyaandike kwa wino wa dhahabu litabaki kua kosa tu Tunataka majibu wanyama waliongea⁉️⁉️⁉️⁉️