ndio maana anatukanwa na mawahabi huyu shekh dah, kiboko kwa siasa hekima adabu umaridadi wakusoma yaani we acha tu. ALLAH atuhifadhie kipenzchetu amiin.
Mawahabi/Masalafi hawafunzwi Adabu,Nidham wala kuheshimu wasiokua WAO....hivyo Huwafanya ELIMU yao iwe Bure. Adabu ndio MSINGI wa Kila KITU. Sheikh Othman hata Akitukanwa Harudishi MATUSI Bali huzidi Kutabasam. Mola Kila Leo humpa Nuru ya Uso na Moyo. Maneno ya Miaka ya Zaman utadhani AMESEMA Leo. Maneno yako huzidi THAMAN Kila Zama.
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri mashekhe wetu, kinachonisikitisha kwamba miaka 10 ijayo kunavijana ambao wanafanya juhudi kuwa kama Hawa kweli, siju sisi vijana tukae chinitujiulize tunafanya jitihada Gani ? Kuwa kama ivi au zaidi ya Hawa?
Allah Akbar..😭..nakuomba mola wangu mlezi mimi na umma wa kiislam utuzidishie mapenzi na hofu juu yako ya darja ya juu kabisa..ameen yarabii ameen..ameen Allahhumma ameen
Mashaa Allah masheikh zangu wote ila sheikh wardi umetumia busara kubwa ya maneno, alafu sheikh wangu mkubwa ninae mpenda sana kisiliza sheikhe othumani malim mungu akuweke na akupe mwosho mwema.
S. A.W REHMA NA AMAN ZIMFIKIYE JUU YAKE NA MASWAHABA ZAKE NA AAL ZAKE 🤲 YAA ALLAH NAOMBA UTUJALIYE TUKAWE KTK WALE WATAKAO KUWA KTK UOMBEZI WA MTUME MOHAMMAD S.A.W ❤❤❤
Mlazimisha kuiangalia bidaa si mutuachie bidaa zetu au tumewaita mtuzike,tukifa sisi watu wa bidaa msije.Hata kuna wenzenu huwa hatuwausishi mama yetu(wananzengo) mnatusumbua
Ndugu zangu ktk imani tupunguzeni ubahili umati ulokwepo hapo na movement ilonyanyuka kupeleka sadaka nitofauti.. Allah atuongoze tuwe na mapenzi na dini yetu na wepesi wakutoa sadaka wallah huu ni muswiba wenzetu upande wapili wanatusema sana tubadilikeni wallah tuwe wepesi ktk kutoa sadaka
Allah akbar,sheikh walid umemkaribisha kwa kutumia kauli nzito sana na heshima kubwa masha Allah,,Allah awahifadhi nyote kw jumla tuzidi kunufaika .
Dah kitambo maalim sasa hivi kashazeeka Allah amuhifadhi sana sheikh wangu Othman maalim
Aamin yaarab tunamuombea dua sana sheikh wetu huyu 😊
Wala hajazeeka
Aliyezeeka babuyo tuachie maalim wetu. Ameen, allah atuhifadhie wazee wetu na mawazuoni wetu..
Mashhalllah hapa ni kile kipindi Nuru za wengi zilikuwa zimefichikana
Ma shaa allah huu ulikua usiku mzuri sana namuomba mwenyezi mungu atukutanishe peponi in shaa allah
Dah nawaona masheikh kadhaa hapo wametangulia mbele ya haki, Allahuma Fiilahu Warhamhu Waaskunu Filjanna🙏🏽
ndio maana anatukanwa na mawahabi huyu shekh dah, kiboko kwa siasa hekima adabu umaridadi wakusoma yaani we acha tu. ALLAH atuhifadhie kipenzchetu amiin.
Allahuma amiin
Mawahabi/Masalafi hawafunzwi Adabu,Nidham wala kuheshimu wasiokua WAO....hivyo Huwafanya ELIMU yao iwe Bure.
Adabu ndio MSINGI wa Kila KITU.
Sheikh Othman hata Akitukanwa Harudishi MATUSI Bali huzidi Kutabasam.
Mola Kila Leo humpa Nuru ya Uso na Moyo.
Maneno ya Miaka ya Zaman utadhani AMESEMA Leo.
Maneno yako huzidi THAMAN Kila Zama.
Mashaallaah nampenda Sana walid na maalim
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri mashekhe wetu, kinachonisikitisha kwamba miaka 10 ijayo kunavijana ambao wanafanya juhudi kuwa kama Hawa kweli, siju sisi vijana tukae chinitujiulize tunafanya jitihada Gani ? Kuwa kama ivi au zaidi ya Hawa?
M/mungu awazidishie maarifa na kujitambua amina
Hahaha Shekhe Walid hapa ulikuwa young 😅😅. Allah akuhifadhi Allahuma Amiin.
😂
Allah Akbar..😭..nakuomba mola wangu mlezi mimi na umma wa kiislam utuzidishie mapenzi na hofu juu yako ya darja ya juu kabisa..ameen yarabii ameen..ameen Allahhumma ameen
Allah atakusimamia
Mashaa Allah masheikh zangu wote ila sheikh wardi umetumia busara kubwa ya maneno, alafu sheikh wangu mkubwa ninae mpenda sana kisiliza sheikhe othumani malim mungu akuweke na akupe mwosho mwema.
Hakika
Hakika
Allah azid kuwaweka masheikh zetu maashaallh
Masha ALLAH mwenyezi mungu awahifadhi masheikh wetu
Sheik athumani mungu akulipe akulinde na sote inshalla
Maashaallh Allah awahifadh masheikh wetu
❤❤❤ mashaallah shehe wLd tunawapeda
Maashallah mashekh zetu ALLAH awahifadhi tuendelee kupata faaida
😢😢😢 namuomba Allah atuhefadhi soteeee namashekhe zetu
Ma shaa Allah sheikh walid na sheikh othman maalim Allah awahifadhi
ALLAH atuifadhi na masheik Othman na walid Ameen
Masha'Allah, Allahu Akbar mwaka gani huu.....?
Maasha Allah shekhe warid uso wako ndani ya Nuru mpaka umeonekana kijana m/mungu akupe umri mrefu wenye kheri amina
ww.mwenye.umzushi.mana.hukumuona.mtume.tuacheni.na.bidaa.zetu.ww.nao.sumani.maalimu.nani.anajua.yy.msomi.ww.waijua.bidaa.ww.sokila.jambo.bidaa.kaa.usom.vinzuri.shida.mawa.habi.hawataki.kusoma.wanatak.kukosoa.tu
Mashallh mashekhe wethu allh awazidishie kilalakher naafyanjema pamoja nafamiliazenu
Jazakallah khayran
Ma sha Allah
Mashallah Allah atuhifadhi Duniani na Akhera
Mashallah ❤❤❤
Ma shaa Allah sheikh walid na sheikh othman maalim Allah awahifadhi
S. A.W REHMA NA AMAN ZIMFIKIYE JUU YAKE NA MASWAHABA ZAKE NA AAL ZAKE 🤲 YAA ALLAH NAOMBA UTUJALIYE TUKAWE KTK WALE WATAKAO KUWA KTK UOMBEZI WA MTUME MOHAMMAD S.A.W ❤❤❤
Namuomba Allah anijalie nikutane nae huyu shehe duniani na ahera
mashaAllah
Mlazimisha kuiangalia bidaa si mutuachie bidaa zetu au tumewaita mtuzike,tukifa sisi watu wa bidaa msije.Hata kuna wenzenu huwa hatuwausishi mama yetu(wananzengo) mnatusumbua
MaashaAllah tuna soma kwenu sifa yaku ji dogosha.
Allah aku hifazini
Mashallha ❤❤ may Allah protect you all amin amin
Allah awalind shekh zetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tunaaapenda sana Allah atuweke pamoja na peponi pia inshaa Allah
Mashallah shekh athman allah akuhifadhi
Allahuakbar
Sio shekhe waridi jina lake ni Walid
Ma shaallah Allah akulipe khery
Mashaallah tabaaraka laah
Mashaallah hakika hawa ni miamba katika zamma zetu,Allah atuhifadhie.
sh othman nataman niwe kama yeye
MashaAllahu 🎉🎉🎉🎉
Manshaallah Allah awahifadhi Mashekh zetu hawa na wengine natamani kuwaona pamoja tena na sasa hivi wakitoa dawaa
Allah Allah
Allah akbar Allah awape maisha marefu mashekhe zetu inshallah
maashAllah
Maa shaa Allah❤
Asalam mualykum warhamatullah wabarakat naombeni kujua maana ya jina la kilha ndugu zangu katika iman
Maasha Allah.
Masha Allah mola awahifadhi ma sheikh wetu
Shekhe letu
❤
❤
Alhamndulilah,Allahwape umri mrefu viongoz wetuna sis ili kukuabudu vema wew Muumba wa mbingu na ardh na kumtakua kheri nyng mtume wetu (s.a.w)
Allaah awalipe Kila Lilo la kher
Ndugu zangu ktk imani tupunguzeni ubahili umati ulokwepo hapo na movement ilonyanyuka kupeleka sadaka nitofauti.. Allah atuongoze tuwe na mapenzi na dini yetu na wepesi wakutoa sadaka wallah huu ni muswiba wenzetu upande wapili wanatusema sana tubadilikeni wallah tuwe wepesi ktk kutoa sadaka
Jamani mi naona Jana au juzi
Masha'Allah🙏
Mash Allah! Mash Allah! Allah (S.W) awahifadhi nyote
Sheikh walid ALLAH akuhifadhi na macho ya walimwengu mashallah fasaha tupu
Maa Shaa Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nampenda sana shkh huyu wallah wa billah
Masha allah nawapenda wote kwa ajili ya allah
Allah awaongezeee elimu mashekhe zatu
Allahuma sali ala Muhamad wa ali Muhamad
Allah awape tawfiq mtoke ktk bidaa
Usifuate jeneza la watu wa bidaa asema mtume
shekhe mungu akuhifadhi
Ulikuwa mwaka Gani??
Mungu mkubwa
Maulidi ni UZUSHI
mashallah
Mashallah
Mashaallah
mungu awahifadhi mashehe zetu
Ameeeeen yaarabi
❤❤❤
Zamani apo tokea shekh walid sharo
Mupo kwenye uzushi asio utambua mtume wala sio mbele ya hadhara yake
Saw honger we unaijua ghaib