Allah akulipe kher sheikh mziwanda kwa kukosoa hilo na mengine haafhiri hao waongo makafiri maadui ya Allah na mtume wake na maswahaba na waislam walio ktk haki tunasema shia co ktk cc.
Sheikh jalala Allah akulinde achana na wanaokubeza na kuita mashia makafiri. Acha wao wenye kutoa hukumu maana mawahabi wanajiona kama wao ndio watoa hukumu na wameshajiona kama wao ndio watu wa peponi. Wanakazi ya kuzusha uongo na kuficha ukweli.
Sheikhe waeleze kweli waislam nanialitangaza kifo cha mtume baada ya sayduna OMARI kutangaza kuwa Atakaesema kuwa Amekufa shingo yake Ni halali kwa OMARI
Mna ambiwa mashia ni makafiri mnasema wenzenu kuwa mnakuwa ktk maulidi kazi kwenu lakini alhamdulillah kwa cc watu wasunna masheikh zetu muda tu wamelibainisha genge hili mpk vitabu vimetungwa kwaajili ya genge hili la makafiri
BID’A. YA, MASHIA. Baadh: ya mashia kwa kweli, hawaizingatiy! Hii Qur'an. Tuta jiuliza haya; maombolezo ya kujidhuru na visu hadi kujitowa na damu eti kwa sababu ya kifo cha mjukuu wa Mtume (s.a.w) Hussein (r.a) Wame yatowa katika kitabu gani? Maana: katika Qur'an tumesha fundishwa namna ya kufanya pindi tunapo patwa na msiba au, kifo na mengineyo. Anasema! Allah: (sw) na wapashe habari njema (waislam) wanaosubiri. [kuchukua hatuwa yoyote] Ambao: uwapatapo msiba (wowote wawo); husema! Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake yeye tutarejea. [Sio kujidhuru na visu na kujitoa damu na kusema maneno yasio mpendeza Mola wetu. acheni hayo nyie, mtakosa barka za Allah: na rehma zake. [Uongofu Sahihi ni kusema tu, INNA LILLAHI WA INNA ILAIHI RAJIUN.] Hao, (ndio) juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao na rehma, na (hao) ndio wenye kuongoka. [Qur’an-2:155/157] [Walio uwawa wema ni wengi tu jaman, kuna...] 1-Habil. (r.a) 2-Yahya. (a.s) 3-Zakaria. (S.w) 4-Ali. (r.a) 5-Hassan. (r.a) Na kadhalika. [Bona hao hatuoni mnavyo jidunga visu na kujitowa damu kwa ajili yawo kwani wawo hawa kufia haki? Aaah! bana, achenu uzushi nyie. Anasema! Allah: (sw) Wala! Msiseme kuwa wale walio uwawa katika njia ya Mwenyezi Mungu ni wafu (laa hasha!) bali hao ni wahai lakini nyinyi hamtambui. [Qur’an-2:154] [Mnajidunga dunga tu visu vya bure na kujitowa damu za kinafiki.]
Muulizeni shekh Mziwanda nini maana ya uadilifu? Ikiwa maswahaba wote ni waadilifu ni nani aliye muua mjukuu wa Mtume? Ikiwa maswahaba wote ni waadilifu vita ya Jamal vilipiganwa na watu gani? Shekh atueleze.
Shekh. Amin hujandika hoja kbsa kwasababu unasema. Maswahaba walikosea htuna hki ya kusema hayo mambo sasa swali n je zile simulizi kwenye kuran kuhs uma za nyuma unazchkuliaje kwann wao hawakumzka mtume na wamefanya mengi amby hata ww mtt wak akifanya utalaumu sana mf mtt wak hkumzka mama ak mzaz ww utamfanyje jmn tfkilie mbna wtupelek kam magar mabvu
Hay nae mbona haelewek si alsema tofaut zetu cyo shida kwmb mtu wa maulid,mashia,watu wa Sunnah wote ni wamoja ambpo sis tulipinga Hilo kwmb haiwezkan watu wachanganye batri na bidaa hlf tuwe wamoja hiyo haiwezkan Hawa siyo wenzetu na hat wapenda maulid pia cyo wenzetu mziwanda jitafakar usiwe Kam nyoka mwnye vichwa viwil
Ww ndug yang uislam hay makundi hautaki kabisaa wew anza kujirekebisha wewe muislam wa kweli qur an imeshamueleza hao wanaojiita mashia ni kelele tu na usanii na wewe pia usitafte kundi ukafuat lolote lile ni fitna katika uislam ukijiit salafi sunni cijui wahabi haikusaidii chochote mbele y allah na pia katwambia tusiigawe din yake katika madheheb vip umesahau
Hajamtaja sahaba kuwa wanamwabudu mtume kutokana na miujiza na utukufu wa mtume muhammad saw kutokana kuwa na elimu ndogo wapo wanaweza kumtukuza mtume wacha hapo zamani hiv sasa bac wako wale wasiokuwa na upeo mtu atowe tu miujiza bas wanamwabudu ,mfano mwengine nabii issa anaitwaje ? Shia anaelimu
Sasa haya yanamsaidia nini? Mbona anagombanisha umma huyu shekh Mziwanda. Kwani ni uongo kwani walikuepo? Sasa ikiwa Mtume kafariki na wao walikuwa wapi?
Shekh mziwanda unaenda tofauti, hapo ungekanusha tu kauli ya shekh aliesema, abubakari, omari na othman hawakuosha wala kuuvika Sanda wala kuuzika mwili wa mtume kwa kua hwakuepo, bas ungekanusha useme walikuepo na waliyafanya hayo kwa dalili hizi!! Sasa Wewe unasema wanavunjiwa heshima, yaani kusemwa hvo ni kuvunjiwa heshima?mbona umaacha kichosemwa unaeleza lingine?
Siku zote uongo ndio ukweli pekee unaobakia na kutumika endapo ukweli umekataliwa au kuachwa......Lengo la Sheikh ni kufikisha historia ya maswahaba iliyofichwa baina ya umma........Sheikh acha kuongea maneno matupu ya kusambaza chuki bali tupe hekima ya kufuata....
Katika uislaam mazishi kifaya km wapo wataowakilisha Haina ulazima WA watu wote wawepo non sense ata familia za watoto nane hamuwezi kushiriki nyote kwenye msiba ata WA wazazi wenu km ni watafutaji km wapemba na wachaga,maisha sio mazishi tu Bado Kuna shughuli zinatakiwa kuendelea halkadhalika hivyohivyo labda unaweza kutwambia hawakuwepo kwenye masishi ya mtume unajuwa walikuwa wapi na wanafanya nn shekhe ww mbona jahilia na sio sifa ya muumini?
Je maswahaba wao wenyewe alikuwa wanajua kama wao ni waadilifu??? Sasa mbona waliuwana wenyewe kwa wenyewe na wao wote ni waadilifu. na mtume alisema kupgna waislamu kwa waislamu ni ukafiri Tusiwajadili maswahaba una.maana gan... yan tusiseme hapa kakosea.. hapa muawiya alikosea kumpiga aliyy na alimdhulumu aliyy.. tusiseme hvyo?? Au tusifundishe tarekh ya uislamu???
Allah anawaamrisha waislamu kwanza kuomba maghfira kwa makosa yao na kuwaombea maswahaba maghfira. Na anakuamrisha usiweke chuki juu yao ( surat hashr aya ya 10) Lakini asiyekuwa muislamu hawaombei maswahaba maghfira na huwawekea chuki maswahaba
Twaiby shekhe bainisha hakki waislamu wanafichwa xana kuhusu hawa watu, mtu akisema uambulia matusi makubwa wahabbi huyo ila Allah ni shahidi wa haya kuwatukana matusi watu wanao watahadharisha na hawa jamaa
Sisemi Kwa ubaya ila kupitia khutba zako mbalimbali na makongamano wewe hapana hata kama ghuraan sijui. Ila Kuna usemi usemao hata kama kusoma hujui hata picha? Mungu ametupa akili hivyo. Ni muhim kutumia akili Kwa kile unachotuambia
Ni wakubwa hao maswahaba lakini walimkimbia mtume s.a.w.w akiwa kalala kitandani,acha zako wewe kuwasoma na kuwajua mienendo yao ni muhimu zaidi ili tujifunze pia mjue kitu kimoja mtume alisema "mimi ni jiji la elimu na Ali ndio mlango wake wake"kwahiyo kama elimu yako umeichukua tofauti na hapo kazi unayo
Nyie nguruwe wa kishia, watu waliosha bashiriwa pepo na Allah muumba wa kila kitu je nyinyi ndo kama akina nani muwa tukane na kuwa laani? Mbwa kabisa nyie hamfai hamuna akili na huyo mbwa wenu jalala... Jitu lenyewe laitwa jalala
Mashaallah Mashaallah huyu ndio sheikh mkweli Allah Akuhifadhi sheikh mziwanda
Mtume mohammad amemuamrisha sayyidna ABU BAKR asalisha alipokuwa yuko nje ya madina
ALLAH akulipe heri nyingi Sheikh Mziwanda kwa juhudi yako kubwa katika dini
Mh sheikh Jalali Mungu akuongoze ni tumbo tu hili
Hili jalali ni kafirii
Mashia ni makafiri
Kakosea wapi sheikh jalala
Jalala Laanatul llah
@@awadhally1052makafiri ndiyo wanao wasaidia wapalestina wakati nyie mmejificha
Tujitahidi kuwaombea Dua ndugu zetu huko Palestine ALLAH awajaale ushindi
Dah 😢😢 kwakweli ni hatari Hawa MASHIA ni Bora makafiri kuliko Hawa viumbe .... Tupe subra na mola wetu
Allah akulipe kher sheikh mziwanda kwa kukosoa hilo na mengine haafhiri hao waongo makafiri maadui ya Allah na mtume wake na maswahaba na waislam walio ktk haki tunasema shia co ktk cc.
Sheikh jalala Allah akulinde achana na wanaokubeza na kuita mashia makafiri. Acha wao wenye kutoa hukumu maana mawahabi wanajiona kama wao ndio watoa hukumu na wameshajiona kama wao ndio watu wa peponi. Wanakazi ya kuzusha uongo na kuficha ukweli.
Masha Allaah ♥️🙏 allaah akulinde unaakilikubwasana malim baki namsimamo uwo tuko nyumayako isha allaah
Ama kweli mashia sio kabisa hawa kweli ni washenzi wa Dunia sheikh mziwanda Allah Akuongoze inshaallah
Uyu ana laana uyu shiya. Laana iwe juu yako shiya laanatullah
Sh mziwanda allah akulipe kheri
Sheikhe mziwanda teteya hoja yako kielim nasiyo kushajaisha watu
Kwani hayo hayapo ktk vitabu vya kisuni
Sheikhe waeleze kweli waislam nanialitangaza kifo cha mtume baada ya sayduna OMARI kutangaza kuwa Atakaesema kuwa Amekufa shingo yake Ni halali kwa OMARI
Hatupotezi Muda kwa maneno yako yasiyokuwa na hoja,
Sasa hivi tunaulewa sheikhe
أيدك الله بتأيده بهذه المعارك.
Pambana tupo pamoja nawe.
Na nyinyi mashekhe njaa jieleweni, munauza dini yenu kwa thamani chache ,jihadharini
@@abuubakarmuhsin219 kabsq qkhy
Mna ambiwa mashia ni makafiri mnasema wenzenu kuwa mnakuwa ktk maulidi kazi kwenu lakini alhamdulillah kwa cc watu wasunna masheikh zetu muda tu wamelibainisha genge hili mpk vitabu vimetungwa kwaajili ya genge hili la makafiri
Mashia ni makafiri
@@awadhally1052Mbona waislam wanasema Iran ni nchi ya kiislamu na leo mnasema siyo waislam inakuwaje maana Iran ni mashia
Kama hauja soma Nishida sana kila utakalo liona kwako nisawa mungu akulinde shekh jalala kusema ukweli
MASHIA NI MAKAFIRI.KAMA WANATAKA UISLAAM WAACHANE NA UKAFIRI WAO NA WATAMKE SHAHADA MBILI
Sheikh mziwanda usirudi nyuma hao wapotofu
Huyo anayejiita nishekh wao , atueleze kwao kijijini mbona hatakiwi nikwann?
Mziwanda acha hayo mambo bana
Ahsante sana
Mashallah allah akupe umri mrefu
BID’A. YA, MASHIA.
Baadh: ya mashia kwa kweli, hawaizingatiy! Hii Qur'an.
Tuta jiuliza haya; maombolezo ya kujidhuru na visu hadi kujitowa na damu eti kwa sababu ya kifo cha mjukuu wa Mtume (s.a.w) Hussein (r.a) Wame yatowa katika kitabu gani?
Maana: katika Qur'an tumesha fundishwa namna ya kufanya pindi tunapo patwa na msiba au, kifo na mengineyo.
Anasema! Allah: (sw) na wapashe habari njema (waislam) wanaosubiri. [kuchukua hatuwa yoyote]
Ambao: uwapatapo msiba (wowote wawo); husema! Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake yeye tutarejea.
[Sio kujidhuru na visu na kujitoa damu na kusema maneno yasio mpendeza Mola wetu. acheni hayo nyie, mtakosa barka za Allah: na rehma zake.
[Uongofu Sahihi ni kusema tu, INNA LILLAHI WA INNA ILAIHI RAJIUN.]
Hao, (ndio) juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao na rehma, na (hao) ndio wenye kuongoka.
[Qur’an-2:155/157]
[Walio uwawa wema
ni wengi tu jaman, kuna...]
1-Habil. (r.a)
2-Yahya. (a.s)
3-Zakaria. (S.w)
4-Ali. (r.a)
5-Hassan. (r.a)
Na kadhalika.
[Bona hao hatuoni mnavyo jidunga visu na kujitowa damu kwa ajili yawo kwani wawo hawa kufia haki?
Aaah! bana, achenu uzushi nyie.
Anasema! Allah: (sw)
Wala! Msiseme kuwa wale walio uwawa katika njia ya Mwenyezi Mungu ni wafu (laa hasha!) bali hao ni wahai lakini nyinyi hamtambui.
[Qur’an-2:154]
[Mnajidunga dunga tu visu vya bure na kujitowa damu za kinafiki.]
Mziwanda naye sikanyamazishwa sasaiv haongei tena kuhusu mashia
Ahlul bayti ndiyo kiigizi chetu ninyi mnaowapinga ahlul baytiiii kazi kwenu
C waislam sijui tunafeliwapi jamani 2ache tafatizetu jamani! Nahiko ndo kinatushinda kuwasaidia wanzetu wagaza acheni hayo bana
Pesa za IRAN yafanya kazi
Pesa za Iran mshamba kweli wewe Tanzania yenyewe wanatusaidia ukiachana na dini
Muulizeni shekh Mziwanda nini maana ya uadilifu? Ikiwa maswahaba wote ni waadilifu ni nani aliye muua mjukuu wa Mtume? Ikiwa maswahaba wote ni waadilifu vita ya Jamal vilipiganwa na watu gani? Shekh atueleze.
Shekh. Amin hujandika hoja kbsa kwasababu unasema. Maswahaba walikosea htuna hki ya kusema hayo mambo sasa swali n je zile simulizi kwenye kuran kuhs uma za nyuma unazchkuliaje kwann wao hawakumzka mtume na wamefanya mengi amby hata ww mtt wak akifanya utalaumu sana mf mtt wak hkumzka mama ak mzaz ww utamfanyje jmn tfkilie mbna wtupelek kam magar mabvu
Shetani mziwanda anakoroga umma nakuficha ukweli
Tukubali kuwa ukweli unauma❤
Hay nae mbona haelewek si alsema tofaut zetu cyo shida kwmb mtu wa maulid,mashia,watu wa Sunnah wote ni wamoja ambpo sis tulipinga Hilo kwmb haiwezkan watu wachanganye batri na bidaa hlf tuwe wamoja hiyo haiwezkan Hawa siyo wenzetu na hat wapenda maulid pia cyo wenzetu mziwanda jitafakar usiwe Kam nyoka mwnye vichwa viwil
Ww ndug yang uislam hay makundi hautaki kabisaa wew anza kujirekebisha wewe muislam wa kweli qur an imeshamueleza hao wanaojiita mashia ni kelele tu na usanii na wewe pia usitafte kundi ukafuat lolote lile ni fitna katika uislam ukijiit salafi sunni cijui wahabi haikusaidii chochote mbele y allah na pia katwambia tusiigawe din yake katika madheheb vip umesahau
Nakukubali kumbe wafahamu hakuna asiyekosea
Khamsatul kisaa mbona manaomba mungu awasamehe kupitia hao au hawapo akina Ali, hassan,.....
Nasaha : Fanyeni kikao Chawanachuoni Kisha muwape Elimu nampambane nawao Kisha mtao zogo itakwisha InshaAllah
Huwezi kuwapenda watu wanyumbani kwamtume nakuwapenda maduwiwao njia nimoja tu
Mziwanda unajitambua kweli unajua thaman ya ahlul bayti
Wameekwa na pesa tu , wanafuata pesa tu. Dini ya mashetani hiyo.
Alichosema sheikh wakishia je ni sahihi mtume hakuzikwa na maswahaba zake wakubwa? Nipe dalili juu yahilo
Kama hawa kuwepo kweli walikufuru
Kuhusu ukafiri wa Mashia, Jibu ni kwamba Hakuna Kafiri anaye ruhusiwa kwenda Hijja. Tumieni hoja acheni porojo za kuzungumza bila ushahidi.
Hajamtaja sahaba kuwa wanamwabudu mtume kutokana na miujiza na utukufu wa mtume muhammad saw kutokana kuwa na elimu ndogo wapo wanaweza kumtukuza mtume wacha hapo zamani hiv sasa bac wako wale wasiokuwa na upeo mtu atowe tu miujiza bas wanamwabudu ,mfano mwengine nabii issa anaitwaje ? Shia anaelimu
Alisema kweli acha ushamba mi sio mshia ila Kama kasema kweli ,jibu hoja walikua wap na walikua wanafanya nn
Huu ni msiba mtu unaweza jambo la msingi lakini jinsi unavyoelezezea ni kama ngonjera au Kuabudu na kucheza
Sasa haya yanamsaidia nini? Mbona anagombanisha umma huyu shekh Mziwanda. Kwani ni uongo kwani walikuepo? Sasa ikiwa Mtume kafariki na wao walikuwa wapi?
Acha ushamba Kama kuna usaliti tusijadili mpuuzi mpiga porojo pasina hoja
Shekh mziwanda unaenda tofauti, hapo ungekanusha tu kauli ya shekh aliesema, abubakari, omari na othman hawakuosha wala kuuvika Sanda wala kuuzika mwili wa mtume kwa kua hwakuepo, bas ungekanusha useme walikuepo na waliyafanya hayo kwa dalili hizi!! Sasa Wewe unasema wanavunjiwa heshima, yaani kusemwa hvo ni kuvunjiwa heshima?mbona umaacha kichosemwa unaeleza lingine?
Makosa sana kusema hivo watu wahafilika kwajili yamaslahi yaduniy mungu atusamehe Jamil Islamic ameen yaraab
Mashia wapumbavu wajinga wote ni makafiri... Sijui Huwa wanatiwaaa
Hawa Mashia wasipo geuka wakabaki kama walivyo, bila shaka siku hiyo umul haswi, ( siku ya kukusanywa) watasujudu MITONI.
Yaani waislam kwakutoa hukumu hamjambo
@@FridayMwassa Sio nasema mimi, ni maandiko,. Mwenyzi Mungu ameweka taratibu zake.
Masunni tunafichaficha sana mambo
Acha kua na tqbia ya kutumia qiyaas
Siku zote uongo ndio ukweli pekee unaobakia na kutumika endapo ukweli umekataliwa au kuachwa......Lengo la Sheikh ni kufikisha historia ya maswahaba iliyofichwa baina ya umma........Sheikh acha kuongea maneno matupu ya kusambaza chuki bali tupe hekima ya kufuata....
Mwenye riwaya inayosema kuwa maswahaba hao wakubwa walishiriki mazishi ya mtume s.a.w.w anitafute nina zawadi yake asiwaokote huyo mziwanda
Mashia ni makafiri
Katika uislaam mazishi kifaya km wapo wataowakilisha Haina ulazima WA watu wote wawepo non sense ata familia za watoto nane hamuwezi kushiriki nyote kwenye msiba ata WA wazazi wenu km ni watafutaji km wapemba na wachaga,maisha sio mazishi tu Bado Kuna shughuli zinatakiwa kuendelea halkadhalika hivyohivyo labda unaweza kutwambia hawakuwepo kwenye masishi ya mtume unajuwa walikuwa wapi na wanafanya nn shekhe ww mbona jahilia na sio sifa ya muumini?
Fardhi kifaya
@@MaryamIssa-y7v unauliza walienda wapi kama umesoma historia unajua maana ya Saqifa
Toa hoja je abubakar alimswalia mtume alipokufa????alimzika mtume alipokufa ????ujibu vizuri kama kukosea wamekosea lazma ukweli usemeke
Mashia ni dhidi ya makafiki Allah atustiri kwakwel 😭
Hakuna haja ya kujadiliana nao , mashia ndio walimuuwa sayyid ALI na wao ndio walimuuwa sayyidna alhussain
hawa mashia hawa tutatangaliana siku moja
Huyu shekhe wakishia nimcba mkubwa
Wewe jalala km utakufa na haki hiyo ya kuwatusi Maswahaba kazi unayo wewe ni muongo njaa tu inakupa tabu basi hutoshiba ila Jahannam kama hutoacha.
Atake mtukana muislam mwenzie nikafiri hana akili kwaiyo kumtukana swahaba unatoka kwenye uislam
Ndiyo maana ya kuamini Hadith kuacha QUR AAN mutagombana kweli
Mbona siku hizi hamuwataji kama wazee wenu walikuwa wanawataja hassan na hussein na ni vijana wa peponi shekh mziwanda pepo unaitaka kweli?
Je maswahaba wao wenyewe alikuwa wanajua kama wao ni waadilifu???
Sasa mbona waliuwana wenyewe kwa wenyewe na wao wote ni waadilifu. na mtume alisema kupgna waislamu kwa waislamu ni ukafiri
Tusiwajadili maswahaba una.maana gan... yan tusiseme hapa kakosea.. hapa muawiya alikosea kumpiga aliyy na alimdhulumu aliyy.. tusiseme hvyo??
Au tusifundishe tarekh ya uislamu???
Allah anawaamrisha waislamu kwanza kuomba maghfira kwa makosa yao na kuwaombea maswahaba maghfira. Na anakuamrisha usiweke chuki juu yao ( surat hashr aya ya 10)
Lakini asiyekuwa muislamu hawaombei maswahaba maghfira na huwawekea chuki maswahaba
Twaiby shekhe bainisha hakki waislamu wanafichwa xana kuhusu hawa watu, mtu akisema uambulia matusi makubwa wahabbi huyo ila Allah ni shahidi wa haya kuwatukana matusi watu wanao watahadharisha na hawa jamaa
Unatafuta ugali kaka yng hakuna shia mweusi kuna moto ndugu yng
Shia anaelimu anakariri kuongea vile hajakosea kweli anaemwabudu muhammad bas amefariki ila anaemwabudu allah allah yupo
Sisemi Kwa ubaya ila kupitia khutba zako mbalimbali na makongamano wewe hapana hata kama ghuraan sijui. Ila Kuna usemi usemao hata kama kusoma hujui hata picha? Mungu ametupa akili hivyo. Ni muhim kutumia akili Kwa kile unachotuambia
Ni wakubwa hao maswahaba lakini walimkimbia mtume s.a.w.w akiwa kalala kitandani,acha zako wewe kuwasoma na kuwajua mienendo yao ni muhimu zaidi ili tujifunze pia mjue kitu kimoja mtume alisema "mimi ni jiji la elimu na Ali ndio mlango wake wake"kwahiyo kama elimu yako umeichukua tofauti na hapo kazi unayo
Kumbe ww ni kafiri
@@wazirihamisi6484 unamjua kafiri
Elimu,hana,huyu,aujui,wislam
Wekeni mjadala hili jambo mitandaoni linatosha
Nyie nguruwe wa kishia, watu waliosha bashiriwa pepo na Allah muumba wa kila kitu je nyinyi ndo kama akina nani muwa tukane na kuwa laani? Mbwa kabisa nyie hamfai hamuna akili na huyo mbwa wenu jalala... Jitu lenyewe laitwa jalala
We nguruwe mkubwa jalala kwa sura tu ni munafik mkubwa sana mbwa we
Muongo wewe hawajamtelekeza wewe ni moungo sio kua hujui malengo ya meneno ya swahaba unajua ila unapewa tonge unauza akhera yako kwa dunia .
Sheikh mziwandwa ni mmoja kati ya wajing
Mjinga ni ww kafiri
Wewe hujuwi chochote mt
Wewe nd hujui
Ww ndio hujui chochote Kaen na ushia wenubmakafir wakubwa njie
Zote hizo hadis za uongo wajinga nyie nyote upumbavu t, kira mtu anaandika hadis zake anasema Mtume mtume mtumee uongo tupu ujinga
Wataja upuuzi mziwanda hujuwi chochote
Wewe unajuwa lkn mashia mnabaki kuwa ni makafiri huo ndio ukweli
Makafari yanapata moto.
Mashia, siwaislamu .
Huyo Shekh wao kwao hatakiw
Huyo anayejiita nishekh wao , atueleze kwao kijijini mbona hatakiwi nikwann?