MAISHA NA HISTORIA YA SHEIKH OTHMAN MAALIM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Mash Allah kipenzi changu Shekhe Osman Maalim ni moja wapo ya Mashekhe ninao wapenda . Allah akuhifadhi.
Tunakupenda kwa ajili ya Allah
Shekh wetu kwa hakika usiondoke tena znz mpaka mwisho wa Maisha yako Allah akupe umre mrefu wenye manufaa
Allahuma Amin
Kwenye asilimia 100 ya elimu ya dini nilionayo basi 85 imetoka katika maneno ya othman maalim allah akuhifadhi na akupe qauli thabit inshaallah atupe mwisho mwena
Ammina ya rabbill allamin
Amyn
Mola akuhifadhi Sheikh Othman Maalim
Kama ipi nipe moja tuu
Amiin Amiin yarabii
Sio Zanzibar tu... Tanzania nzima inakupenda... Allah akuhifadhi sheikh wetu kipenzi...akuzidishie kila la kheri...
Allahummah baarik
Othmaan Maalim kwangu ni mwokozi😢 nilikua musharati, mwongo... nilikua kama umbwa mpaka nikaachwa na mke wangu. Sijui ilikuaje niskie mawaidha yake ya " Mali na Dunia" from that day nili badirika kua muisilamu, nikawa mtu sio umbwa tena. Na pia kila siku jua nakufwatilia kama umbwa yako Sheikh😢 hakuna kipindi kitanipitaka. Hekima na heshima naitosha kwako😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Masha Allah Alfatah katika siku zote lakini leo nawapongeza saana kwa kumueka Sheikh Wang Othman Maalim,,kipenz chang,,huwa nafaidika saaana kupitia yeye
Naitwa Ahmed kutoka Kenya Malindi....team yote Alfatah Allah awajaze...🙏🙏🙏
Allahuma Amin
Mashallaah shekh wetu tunampenda sanaa mashallaah allaah akujaliee pepoyake yarab akukutanishe namtume wetu muhamad SAW mashallaah
❤
Namkumbuka Sh.Othman Maalim, ndio kwanza hajajulikana sana Zanzibar, nakumbuka Msikiti mabluu pale Alasir akitoa mawaidha watu wachache sana, nakumbuka alitoa kisa cha binaadam (alipowekwa kwenye baridi akalalamika, alipowekwa kwenye joto akalalamika) nadhani miaka karibu 20 na ilopita.Allah akupe umri mrefu na uzidi kutusomesha na sisi atupe ilmu.
Mashallah kipenz cha watu shekh wetu mungu amjaalie kila la kheri
Mashaallah leo mimi nimefurahi sana kujua historia ya shekhe Othman Maalim nilikua natamani kusikia historia yake Allah akupeni kila la duniani na akhera
Maa shaa Allah baraaka Allah fika masheikh wetu Allah awalipe kila lenye kher nanyi
Nilimjua sheikh kupitia redio zanzibar kwenye visa vyake alivyokua anatoa mwezi wa ramadhani visa vya mitume na qisa nilichokua nakupenda sana ni qisa cha nabii yussuf
Allah amuhifadhi Sheikh wetu na amzidishie kheri na baraka katika Elimu yake.
Ammina ya rabbill allamin
Amiin Amiin Amiin
MaashaAllah shekh amepambana sana Allah amuhifadh aendelee kutufundisha visa vya waja wema
Shekh wengi tume ipenda dini kwasababu umekuwa ukifundisha kwa hekma na busara yani mtu asipo kuelewa wewe basi tena Allah akupe umri mrefu wenye manufaa tuna hitaji watu kama nyinyi Allah akuongezee elimu na aiweke nuru aongeze ufaham kwenye kila lakheri akuwekee baraka ❤
Ammina ya rabbill allamin
Amyn
Tunakupenda Sana hata Huku kwetu bara
BISMILAAAH MAASHA ALLAAAH. WALLAAHI SHEKH. MIMI NNAKUPENDA SANA TWAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAAH. WALLAAHI. NAKUSIKILIZA DARSA ZAKO. KIILA SIKU. USIKU. SILALI WALLAAH USINGIZI WANGU UNAKUJA NINAPO KUSIKILIZA DARSA ZAKO WALLAAHI. YAARABY AKUZIDISHIE ELIM ZAIDI NA HEKIMA NA BUSARA. KWAKWELI MWENYE EZIMUNGU AMEKUJAALIA KIPAJI CHA KUTOWA MA DARSA MAASHA ALLAAAH
Mashallah Tabaraqallah mie nilitamani kujua na familia yake ana watt wangapi wake
Mi pia nilitamani kusikia swali ilo
Maasha-Allah sheikh Othman Allah akupe pepo kwa rehma zake insha-Allah.
Ma Shaa Allah ..Umejaaliwa Ilmu..busara..heshma..adabu..uskivu .mara nyingi au zote unajishusha chini kabisa kwa kumuogopa Mola wako mlezi....nahali yakuwa umejaaliwa neema ya ilmu na neema ya kueleweka na kuvutia unapotupatia ilmuu.. pasina na majigambo(majivuno) kwa kujiona mimi ndio mimi..
Nakuombea na kujiombe nafsi yangu na umma wa kiislam Mwenyezi Mungu atupe furaha ya Dunia na kesho Akhera yenye kumpendeza Mola wetu..ameen..ameen Allah humma ameen
Allah Ibarik
Amiin yarab
Amin Yarabi
Ammina ya rabbill allamin allhuma amin
Mashaallah shekhe othman maalim mungu akuzidishie umri mrefu wenye mafanikio kheri nyingi na Baraka 🙏 🙏 amin ishaallah. Natamani pia mimi mtoto wangu awe ka wewe ishaallah ❤❤❤asante kwa historia yako nzuri😊
Mimi sio mwisilamu lakini huyo Sheikh namusikiliza sana
Karibu ktk uislam ndugu yangu
INGO MURI ISLAM RELIGION
Karibu katika dini tukufu
Mm natoka mombasa kenya hua kila siku mpka nisikilizee mawaidha yko allah akuifahdhi na akuzidihie ilmu uzidi kutuilimisha nimepata faida kubwa sana kwako natamani niwekaribu nawe sazote I WISH WAS IN ZANZIBAR❤❤❤❤❤
MASHALLAH ALLAH IBARIQ
JazaakAllahu khair sheikh Othman. We appreciate your teaching. Team Uganda 🇺🇬 😊
NYABO, U KNOW
KISWAHILI LANGUAGE?
Maa Shaa Allah...Maa Shaa Allah
Nimefurah sana kusikia sheikh wangu allah amlinde na husda
Mulize shekhe Othman maalim sauti yake mbona haizeki yani Hadi ❤Raha kikweli hatakama umegomba na mtu ukimsia yeye unatulia Kama moja
Naam😊
Mashallah yaani sii mashekh wengi tunojua biography zao, Tunashkuru sana maalm wetu Allah akulipe kheri duniani na Akhera
Watu wanasem shekh Athman amesom malindi markazul husna gede
Mashallah sim yangu nimejaza mawaidha yake na sichoki
Maashallah walitoka watatu kuja TZ yaani Ali, Omar na Othman. Majina yote ya masahaba wa bwana mtume S.A.W
MaaShaaAllah ❤
Mashaallah hakika elimu ya sheikh Othman na masheikh wengine lazima tuzienzi kwa kusoma sana lakini kubwa zaidi adabu ,hekima na busara hapo elimu itapaikana .
Mimi binafsi sheikh Othman amenifanya kujuwa vitu vingi kupitia mawaidha yake mfano mawaida yake dunia ni kijani kibichi ,dunia ni dakika tu na mawaidha ya visa vya mitume ni hatari nimetolesha CD zaidi ya 200
Kipenzi cha Watanzania Nzima ❤❤❤Tunaomba Serekali ikupee Uraiya Kabisa Upate Passport ya Tanzania ❤❤❤
HHHH
Masha-Allah. Allah Akuzidishie Umri , Na Akujaze Kula la Kheir ! 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪 Ni Sheikh ni nae mpenda sana ! .na masheikh wote vile vile na wapenda wote. Allah ! Atawalipa kula la kheir. 🙏🙏🙏
Mashaallah Mashaallah nakupenda kwajili ya Allah Allah akuhifadhi...tunafaidika sana na mawaidha yako yanatubadilisha allah akulipe kheri
Wakenya watatusamehe shekhe othman maalim niwetu hamumpati tena 😂 huyu niwetu Allah katugaiya siku zote sikuwahi kujua kama sio raia wahuku shekhe tunaomba uchukue uraia ili tusije kugombania na Wakenya mana hawachelewi ili wasitusumbue🙌😂😂😂😂
Wakenya wataleta vita 😂
Allah umpe maisha marefu na umbashirie pepo ya darja ya juu Sana.
ما شاء الله شيخنا نحن نحبك كثيرا 😍
Mashaallah hakika shekh Allah akupe mwisho mwema ww ndio mwalim wangu bila napokusikiliza uwa nakuelewa moja kwa moja nakupata utulivu wa nafsi nasijawai kuchoka kuludia elimu yako
Allah akujaalie umri mrefu wenye siha na amali njema, ili uweze kutuelimisha na kuwafundisha tuliokuwa hatujui
Tunampenda sheikh Othman Maalim.
Asante kwa kutuletea sheikh wetu kipenzi.Tunaomba mzime TV hapo studio maana inatutoa kwenye mada.
Shukran
MASHAA ALLAH ,ULILELEKA KI ILIMU .
MaShaAllah, Allah Akuhifadhi Sheikh Wetu Tunajifunza Mengi kutoka kwako.
*Allahumma baarik sheikh kwa mawaidha zote ulizotufundisha tumefaidika mno. Jazaa yako kwa Allah. Na daima matani yako / comedy ndiyo huzidisha ladha kwa mawaidha yako.😂😂😂 Shukran sana* 💞
NDUGU
HIZO LETTER ZAKO
UMEZIANDIKAJE????
NIME PENDA ULIVY ANDIK
@@allahisone6386 Shukran
Masha Allah
Leo mimi mchoyo kumbe wakwetu wewe halafu umepotelea huko kwa wenyewe RUDI NYUMBANI SHEIKH OTHMAN MAALIM
Mashallah Allah akuhifadh.akupe UMRI mrefu.shekhe maliim Othman maliim.mashallah.mimi nijuamuzanzibar
Nimeskiliza sehem zote lakini ulipomtaja Shekh Kish nimeshtuka hhh WALLAHI Ni mwanazuoni mkubwaa
Masha Allah Masha Allah sheikh wetu Allah mpe umri mrefu wenye kheri na barka tele ili tuzidi ilimika
Kama shekhe Othman maalim nikimsikia roho yangu inasuzika mashaallh nani nampenda
INASUZIKA
NDIOOO WAMAANISHA?
Sheikh Rashid tuletee Sheikh Shaharan Mussa Jongo
Katika masheli nawapendao Tanzania yy ndio namba moja Allah amuhifadhi na kila shari za watu wabaya
A A W W Othuman Maalim sauti yoko ukisoma Qor an roho yangu inapata uturivu nakupenda kwa ajiri ya Allah.Aisha kutoka Rwanda ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asallam aleikum ndugu yangu usiifupishe hii Usiandike kwa kifupi
Kwenye salam kuna jina la Mungu haifai kukatishwa
@@ummohammed8380
Allah atusaheme makosa tunayofanya bila kujuwa ao kwa kusahau.
Allahuma Amin.
29:30 Maalim usiondoke maisha hapa😂😂😂😂 Zanzibar ni kwenu hasa, nakukumbuka sana hata daawa zako Dar ,nilipokuwa mdogo,nikijisifu memuona Sh Othman Maalim kumbe hata sjamuona .. Nilikuwa nikifikiri Sh atakuwa mtu mzimaa kumbe sh kijana zama izo😂😂
masalafi shikeni ADABU ZENU KUMTUKANA USTADH MAALLIM ❤
Tunaomba na sisi. Sheikh wetu . Kuja huku Rwanda. Tutafurahi Sanaa.
Mashallah❤
Masha Allah tabarakallah, mungu akuzidishie 🎉🎉🎉
Mashaaaallah mashaaaallah
Dada latifa
Hongera kwa historia nzur na Ahsante kwa kutoa taaluma kwetuAllah azid kukuongoza
Shekh wetu Allah azidi.kukupa umri mrefu. Ata watu wa Rwanda tunakupenda.
Ma sha Allah sheikh Allah akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha na darsa tofauti tofauti
Shukran kwake mwalim wetu kwa yote unayo tufunza sisi ni wanafunzi wake kutoka Congo drc goma
Masha ALLAH Tabarakallah ❤ ♥❤.ALLAH akuhifadh sheikh wetu kipenz 4rm Kenya 🇰🇪
Zanzibar ni Makka ndogo tangu zamani,
Amiin Yaraab nimeenukia na mawaidha ya sheikh othman maalim Allah ampe umri mrefu
😅AL-KAABA IPO? 😅
@@aishakinia4957.. Amiin Amiin Amiin my dada
Tafadhali Sheikh, umetueleza juu ya wazazi wako na ndugu zako na tumefaidika sana but pia tueleze juu ya familia yako, yaani mke (au wake) na watoto wako
35:50 ulipomtaja sheikh Nassor umetushtua maalim wetu
Sheikh wetu Sheikh wetu kipenzi chetu kiongozi wetu
ALLAH amjaalie sheikh Othman maalim...ampe kila lenye heri
Mashallh allh akuhifadhi shekhe Othman maalim fill-dunia wall akhera wewe pamojanafamiliayako naakupe sihanjema na allh akupepoyake wewenafamiliayako pamojanasisi
Kama kuna interview hii ya Karne
Allah Allah Khusna l Khatima
Sheikh wewe sio Mkenya sio Mtanzania wew ni wetu sote
Kuna kitu Allah amekupa masheikh hapa Tanzania hawana
Shekh rudi kenya mbona ulituhama? Wa wa kwale wanahitaji elmu pia
Ulianza Mambrui kwa Bidhwi ulimalizia wapi Sheikh ?
Masha Allah Sheikh ama kwa hakika chema hujiuza...Allah atuzidishie na atujaalie Kila kheir yake ...Amin
Mashallah nampnda xn shekhe othumani❤ allah amuweke
Maasha allah shelhe wangu nataman sikumoj tukutan nitafurah zaid nampenda shekhe othuman najifunz mambo meng kupitia mawaidha yake allah akuhifadhi
Kwa ufupi useme ulianzia Al ghanai ukamilizia Swalihiina ?
Asalaam alleykum
Naomba namba ya Sheikh Othman.
TabarakaAllah fii nimyenyekevu kujibu maswali Allah azidi kukujaaliya Elmu utufunze dini yetu Islam
OH, MKENYA KUMBE
MSAMBWENI KWALE
&
LIKONI
Nakupendasana sheik Wang nikoBurund
Sheikh ni mtu wa kheri kuna watu tunaitwa pacha wake kwa kumuigayeye
Mashallah Allah akuhifadhi shekhe wetu
Huyu ni sheikh wangu
حفظه الله
Historia ya Kielimu n Muhimu
Mimi nashindwa nimepata kigugumizi kuona historia ya ya huyu baba,nampenda kwa ajili ya Allah simu yangu imejaa maneno yake yake sauti mawaidha mafunzo matamu murua ya visa vya mitume yote hayachoshi kuyasikiliza nimejua mengi kupitia mawaidha yake .nashindwa kuelezea Allah ampe umri mrefu azidi kutuelimisha azidi kuelimisha sisi na vizazi vyetu vijavyo. Mimi dada yako. Nakupenda kwa ajili ya Allah.
MashaAllah Allah azid kukuweka
MashaAllah hii ni miongoni mwa TH-cam channel ambayo hujutii kuitazama Allah akujaalie heri na aikuze zaidi na zaidi ifike mbali
Ma sha Allah ya sheik Othman Malim
Alfatah tv jazakumulaah
Alhamdulilah. Watu wa Unguja na Pemba wamekuvuliya kofiya na ushakuwa mtu wa hapo Unguja mpaka ucheshi wako na lafdhi ya lugha yako tunaipenda. Mashaallah
Mashallah SHEIKH RASHID KWA KUMLETA MWALIM WETU SHEIKH WETU HATA WW NI MWALIM WAKO.
KUNA SIKU ULINISABABISHA NIJE MSIKITINI NILISIKIA SAUTI YA SHEIKH OTHMAN MAALIM KUMBE KUJA UPO WEWE SHEIKH RASHID SALIM
MASHALLAH ALLAH AKULIPENI KHERI.
Al-Akh Uthman Mbona naona unaogopa kusema ulisoma pia Gede na zaidi Maahad Kisauni?
Msikilize Tena vzr
Maa shaaa ALLAH kazi nzuri walimu zetu...MOLA AWAHIFADHI KWA KAZI KUBWA MUNAYOIFANYA amin
Mashallah ustadh osman amenisomesha Islamic teachers training college mikindani mombasa Allah (sw) amuhifadhi.
shekh nafsy ni nini, watu na wanyama ama
Allah akujalie maisha mema duniani na akhera inshallah babuu uthman Maalim .Much love from wajukuu zako upande huu wa kwale
Nakupenda sana sheikh othmaan maalim kutoka moyoni 🤝😊
Shekh tunakupenda
Maa shaa Allah
Ni Sheikh mzuri na Mwalimu aliyetimia.Amejaaliwa mvuto wa kusikilizwa na kutochosha masikio ya wasikilizaji wake.Hakika ni mjuzi aliyejaaliwa karama njema ya kufikisha.Allah amhifadhi na kumpanua zaidi ili Ummah uendelee kumfaidi na yeye anufaike pia,Biidhnillah.
Amiin Amiin Amiin
MashaAllah mm hua najua katokea sehemu ya mjini kumbe katoka Digo ....Mola akuhifadhi sheikh wetu
Kwa kweli kabisa shekh wetu othuman maalim akitoa darasa ugusa moyo na lazima mtu abadike