MFAHAMU MWANDISHI MKONGWE AMBAYE ZANZIBAR INAJIVUNIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 เม.ย. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Huyu mzee ana elimu kubwa sana ❤ Ahojiwe tena huyu kuhusu Historia ya Zanzibar
Andike kitabu cha historia ya Zanzibar!
Ingependeza kwa viongozi wetu,kutathmini michango ya watu km hawa na kutunza historia km hii iliyotukuka,ni zawadi kubwa kwa vizazi vya ss na vijavyo.Hongera sn Sk Salim ,Mmungu akutunze uendelee kutema madi kwa faida ya Wazanzibari
Mashallah leo sh Rashid umetuletea mtu wa maana kabisaaa ,
Ahsante sana
@@alfatahtvonline33741:09 Assalamu alaykum. Tunaomba muendelezo.
WAZANZIBARI NI WASOMI SANA, ILA WANAFELISHWA NA WAKOLONI WATANGANYIKA KWA UCHOYO NA ROHO MBAYA ZAO! YAANI ILE MISUKULE YA TANGANYIKA INAROHO MBOVUUU🦝🦝
Tutawatawala hadi kufa,mkundu wewe uliezaliwa na kahaba mamaako
Hii ndio heshima ya WaTanzania ilobakia baada ya Muungano wa miaka 60. Iko wapi heshima, utamaduni, dasturi, ya MTanganyika ?? ilokuwa ikijulikana East Africa nzima. Kuna time Watoto wa kizungu watakuja kukutawalini mkitaka msitake maana wa Africa wengi kutoka Tanzania wamekubali kuwawacha uwafrika wenzao na kwenda kujiuza kwa Wazungu ili wapate watoto Weupe. Hao kesho watakuja kudai haki za wazee wao. Kwa taarifa yako.
@@vincentcharles4385 Ndio Elimu uliyo ipata kwa wazazi wako.
Acha matusi tunaheshima zetu@@vincentcharles4385
NAMSHUKURU ALLAH ZANZIBAR WAZEE WETU WALISOMA KAMA ENGELIKUA WAZEE WETU HAWAKUSOMA WATANGANYIKA NDIO WENGETUMALIZA HASWAAA NA WAO ALHAMDULLILLAH WAMETUSOMESHA
SITOMSAHAU MZEE WANGU ALLAH AMREHEMU
Mashallah shukran sana kwa zawadi nzuri ulotuletea na amini utatupa zawadi nzur zaidi ❤
MashaAllah, hii ndo Ile ya kaka yangu KWAHERI UKOLONI KWAHERI UHURU, ndo zanzibar inapopitia
Wallah zanzibar ila watu wa ibadilisha ikaapa juu kimataifa na wananchi maisha yao ikawa madhuri. Ila viongozi bdo wana umimi .tenna ni viongozi wa chini kabisa
Salim Ahmed Salim nakukubali vibaya sana
Mzee Salim Allah amjalie mwisho mwema na aendelee kusimamia ukweli kama anavyosema
Mwandisho mzuri mwenye kipaji cha ajabu.
Nilpata bahati ya kukaa pamoja Arusha Kwa kipindi tofauti zaidi ya mara tutu Kwa kweli nilijifunza mengi sana kutoka kwake.
Mlete Tena atupe elimu tujue historian ya Zanzibar na mapinduzi yake.
Inshallah Mungu ampe maisha marefu.
Mashallah znz
Sheikh rashid tunakuomba please tuletee tenaa tunafaidika sana na elimu . Sio kisiasa kijamii.
Na ni mwalimu mzuri sana na ukimsikiliza hachoshi in shaa Allah mungu azidi kumtia afya
MASHALLAH WATU WA MAANA KAMA HAWA HUWA WANABANIWA LKN HONGERA ALFATAH
Maasha Allah tumefaidika
Maashaallah
Maashaallah hiki kichwa💯👌🫴
Mashaa Allah Mzee Wetu Allah ampe Afya njema na umri mrefu tupate Almasi alizo kua nazo
Wazanzibari wengi wasomi walikimbia nchi sababu ya madhila yalotokea hapo nyuma huyu kabakia mungu kambakisha tupate madini toka kwake
Masha allah
@al fatah Hyu mzeee Arjshwee tna Ktema Madini mngii mnooo Ardiwe tnaa
Allah awape umri mrefu watu kama hawa ndio hazina zetu zilizo baki
Mashallah, goog job
Hazina kama hiz ndio muwape nafas wapate kuetuemisha
Saiv kuna majina ya ajabu ajabu 😅
We need more of him
Huyu mzee ana madini mengi Sana.
Huyu mzee anavitu vingi kichwani!!!
Dah nimekumbuka mbali wakati kuna wakati nilikuwa daktari wa small simba. Small simba ya kina Shaaban musss.inosent haule,kina ubwa khamis,Rashid khamis .lambo na wengn.
Kwa kweli nimesikitishwa na huyu mzee maana amefanya kazi kubwa sana lakini kwa kauli yake yeye hasaminiwi ni kweli maana hii ni kawaida yet u mimi ningependa kumuona nitamuona vipi?
Mashallah
Mzee wa maana huyu..sio mchezo
Mbona wafanana na muarabu Moja alikua dalali mkubwa Mombasa marehema shamiri aligia Mombasa kwao unguja watu niwawiliwawili walahi
Nishamsikia mara nyingi sana
BBcna sauti ya ujarumani
Kuna "sisi" na "sie" ndio tulichonacho
Inasikitisha sana
I think you are right he was called Muharami Kirara
Hiyo elimu kwa kweli inahitajika kuwafikia wengi
Kama awo washauliw weng zanzibar
huyu mtu tunamuhitaji tena tupate zaid na zaid tusiyoyajuwa
Kwa nn Viongozi wetu ndani ys Znz hawawatumii wazee km hawakupata na kutunza historia iliyotukuka?
Huyu ana bongo sana
Huyu mzee lazima apewe nafasi ya kuzungumza zaidi.... Naomba mumlete Tena bcz hii ni historia Sasa akijaakiondoka ndio itapotea
Mleteni tena huyu mzee
Lazima wamlete tena na tena. Mwandishi hodari sana wa hapo Unguja Mungu amuweke.
Kirara kawa chizi
@@user-po1cq9so9h Kwenu nyiye mwenye Elimu yake, anosema ukweli, mwenye heshima anakuwa chizi. Kama yeye chizi basi wewe utakuwa jam 😂😂😂
Sjaiona sehemu ya pili
Huyu ni baraabara
Muharram kirara alicheza Shangani halafu KMKM.
Kirara aliyemtaja ambaye alichezea S.Simba aliwahi yeye na Sinapo kucheza Annuur.
Jina la huyo marehemu limenitoka
Watu wa fupi si wakuwachezea, Salim Said ni mtata haogopi kitu
Mashallah
uymzee ana matirial nyingi nyingi tupatie tena huyu rashid