TENDO LA NDOA LIFANYIKE KWA UFANISI MKUBWA //SHEIKH OTHMAN MAALIM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

ความคิดเห็น • 65

  • @QueenMuniiza
    @QueenMuniiza 17 วันที่ผ่านมา +1

    عليه افضل الصلاة والسلام على رسول الله صل الله عليه وسلم ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AbdallahSalum-vi3tw
    @AbdallahSalum-vi3tw 21 วันที่ผ่านมา +1

    ALLAH AKUJALIE KILA LA KHERI. TUNARIDHISHWA NA KUFAIDIKA NA MAWAIDHA YAKO. SHUKRAN YA SHEIKH.

  • @QueenMuniiza
    @QueenMuniiza 17 วันที่ผ่านมา +1

    الله اكبر ولله الحمد ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @حواءتنزانية
    @حواءتنزانية 24 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah Allah akupe maisha malefu shekhe wetu tuzid Kujifunza ❤❤❤❤❤

  • @MwanaishaSaid-tw6en
    @MwanaishaSaid-tw6en 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nguo, jamaan nguo...
    Hivi tumeeleewaaaa.??
    Tumeelewa maneno ya Allah, maneno ya mtume, na maneno ya shekh..??
    Mashaallaaaah
    Jazaakallah khayr Yaa Shaikh

  • @OmanOkk-y5i
    @OmanOkk-y5i 6 หลายเดือนก่อน +7

    Mungu akupe umrii shekh wetu nakupenda sana kwa kuwakumbusha wanaume hata mm nimeteseka sana mume mwaka mzima hanigus eti yuko bize inauma sana mungu anisahehe nimeomba talaka niko mjanee mungu atanopa mume mwema inshaa lwaa

    • @abuarafatmkweli748
      @abuarafatmkweli748 6 หลายเดือนก่อน

      Assalaam Alaykum warahmatullahi wabarakatuh

  • @MohammedMuddy
    @MohammedMuddy 5 หลายเดือนก่อน +4

    Shukran Jazzillaan kwa Darsa zako murwaa zenye mazingatio mkubwa Allaah ana semaa ukimpenda mtu mwambie ukweli kwambia unampenda mim Sheikh Othman Maalim nakupenda Sana kwajiili ya Allaah Allaah atujalie Tawbah kabla ya Mawt na tukakae Jannatul Nai'ymaah ndugu Zangu wote wa kiiyslaam

  • @لوووي11
    @لوووي11 6 หลายเดือนก่อน +7

    Masha Allah Sheikh wetu Othman darsa hii naipa 95 Kwaumuhimu wake asa khair iwe ilaji kwa wanaume wanalaumu wanawake wakati wenyewe ni failure na wana kwenda kwa maslaha yao hawajali feelings na emotional za wake zao na ni wengi wa lawama ukiwapa moyo wako watausema haupigi Burma na ukiwapa macho wat asema hayaoni vigumu mno kuwaridhi

  • @SalimuAbdi
    @SalimuAbdi หลายเดือนก่อน +1

    Alaahumma Amin🤲

  • @HaxnatiXhekhan
    @HaxnatiXhekhan 5 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akuongoz shekhe wetu lnshaallah

  • @KarimHussain-z5i
    @KarimHussain-z5i 5 หลายเดือนก่อน +5

    Natamani kukuisikiliza mda wote, Mashaallaah.mungu atujaalie Umri mreeeefu shekhewetu.

    • @mwanakombofujo1710
      @mwanakombofujo1710 5 หลายเดือนก่อน

      Aaamn

    • @MohammedMuddy
      @MohammedMuddy 5 หลายเดือนก่อน

      Allaahuma Thumaa Amiin Yarabal Alaamin kwa pamoya

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 5 หลายเดือนก่อน +1

    mashallah, darsa hizi ni muhimu sana hususan kwa vijana.wanapopata elim hii inapunguza vijana kuisoma ndoa katika mitandao kwa njia za haramu. jazakallahu khairaa

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh Othman Maalim kwa hili nakupa mia kwa mia kwa hakika umenikosha sana Tena sana TUPE dawa Sheikh Big up Sheikh

  • @OmarShifao
    @OmarShifao 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mashalah shehe Osman je nauliza na mke alikata Kwa muda wa miezi miwili? Kuna ndoa bado? Una haki ya kutoa talaka

  • @hanifahnabakiibi6929
    @hanifahnabakiibi6929 5 หลายเดือนก่อน +3

    JazaakAllahu khair sheikh Othman Ma'alim. May Allah grant you the best fi dunia wal aakhira. Allahumma amiin. Greetings from Uganda 🇺🇬

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 6 หลายเดือนก่อน +3

    MashaAllah shukran sana kwa darsa nzuri yenye mafunzo makubwa 🙏🧡

  • @mohamedmwendo7225
    @mohamedmwendo7225 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah Tabarakallah Allah..Darsa nzuri sana Jazakumullah khairan

  • @NaifilAlly
    @NaifilAlly 14 วันที่ผ่านมา

    Killa la kher kwako ammin ammin ammin

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad3724 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaalla mwenyez mungu akubariki shehe othman maalim kwa uku.busho wa ndowa hakika uliosema yote kumtu🙏 mwenyez mungu amfanyie wepes ktk s maisha yako akupe shahada kabla ya mauty

  • @AhmedMohamed-d2w6g
    @AhmedMohamed-d2w6g 5 หลายเดือนก่อน +1

    MASHAALLAH MASHAALLAH MASHAALLAH SHEIKH WANGU ALLAH HIFADHIQUM! AMEEN.

  • @رحمةمحمد-ش1ه
    @رحمةمحمد-ش1ه 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah tabarakah llah

  • @rahmamohammed9678
    @rahmamohammed9678 5 หลายเดือนก่อน +2

    Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu
    Alhamdhulillah
    ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA SAALAMU

    • @Khadija-sv3tz
      @Khadija-sv3tz 5 หลายเดือนก่อน +1

      Allah akupe maisha marefu ustaz

  • @RukiaMbarak-s2k
    @RukiaMbarak-s2k 5 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah ustadh shukran sana kwa mafundisho mazuri

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 6 หลายเดือนก่อน +2

    Shukran sheikh ngu jazaka llah kheir fil Dunia wal akhera

  • @NurdinHamis-n3t
    @NurdinHamis-n3t 6 หลายเดือนก่อน +2

    mashaallah baaraqallah fih mungu akupe kauri dhaabiti shekhe wangu

  • @Ashoora2
    @Ashoora2 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaa'Allah ahsante
    Jazzakum'llah kheri

  • @MikeNyota
    @MikeNyota 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran

  • @Safia-tl4ie
    @Safia-tl4ie 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah

  • @a.856
    @a.856 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jazakallah khayran

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 6 หลายเดือนก่อน +1

    Apo ndio namkumbuka sheikh nyundo ALLAH AMRAHAM

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 5 หลายเดือนก่อน +2

    Takibirrrrrrrrrrrr Alahu AAkibarrr

  • @aishamumy8402
    @aishamumy8402 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah 🙏🙏

  • @ummuswalha4468
    @ummuswalha4468 6 หลายเดือนก่อน +2

    Walaikumussalam

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 6 หลายเดือนก่อน +3

    Yni kama tunaulizwa wanawake mmoja mmoja faragha basi tutahurumiwa yni tnakaa kama mazoea kwenye ndoa na unajaribu kila kitu kuifanya ndoa iwe na mawarda lkn wpi😢😢😢😢 cjui wanaume wanataka nini😮

  • @FatuNahimana
    @FatuNahimana 6 หลายเดือนก่อน

    Asalam alaikum umesa kweli

  • @MuhammadMaulana-p2l
    @MuhammadMaulana-p2l 5 หลายเดือนก่อน

    Takibirrrrrrrr

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy 5 หลายเดือนก่อน

    Shekh,Wana wake wakianza kutumia uzazi wa mpango wànakuwa hawanahamu,wànakuwa hawataki Hata kutekenywa.

  • @mohammedabdullah3868
    @mohammedabdullah3868 5 หลายเดือนก่อน

    Hi ni yazamani namuona marehu shekhe Khamis kheri

    • @MwanaishaSaid-tw6en
      @MwanaishaSaid-tw6en 5 หลายเดือนก่อน

      Picha za wezakuwa za zamani
      Lakini mawaidha haya hayawezi kuwa ya zamani, yaan hayapitwi na wakati.
      Maashallah

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asalam aleikum

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 6 หลายเดือนก่อน

      Walykumu msalam warhatuallah wabarakatuh

  • @ZuwenaSalim-c2f
    @ZuwenaSalim-c2f 5 หลายเดือนก่อน

    Wanaume wt niswa

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 6 หลายเดือนก่อน

    Asharudi mombasa?

  • @hafswashali7583
    @hafswashali7583 6 หลายเดือนก่อน +2

    Asalaam alaykum shekhe mumewangu anakaa kufanya tendo landoa hatawiki 2 inapita na nikitaka mm yy hatak

    • @zuhoor-mc7hq
      @zuhoor-mc7hq 6 หลายเดือนก่อน +5

      Hafswashali7583 walykum Salam warahmatullah wabarakatuh
      Ni mwanaum kukataa tendo l ndoa inakuw ana shida jiangalie ht ww mke jinsi unavyoishi nay ..unawek mazingir vzr ya kumfnya akuwaze muda wote na atamani kuwa nawe ht km yupo kazini ...
      Jiandae unawek kitanda vzr manukato nyumb ipuliz inukie udi jitahidi akitok kazin akukute uko safi sio upo na Madera ya jikoni inamfany apotez hamu kipenzi..
      Muanze mapem kwa text nzuri ya mahaba kabla hajaja nyumbani..in shaa Allah jitahidi na kumuombea kwa Allah awazidishie mawadaa warahmaa ktk ndoa yenu 🤲🤲

    • @muhsinmohammed648
      @muhsinmohammed648 6 หลายเดือนก่อน +4

      Dada waaleykum salaam, dada jitahidi kutafuta sitara ya maneno yako kwa mumeo, uislam kupitia kinywa cha mtume umekataza " siri za ndani za mtu na mkewe kutoka nje ya nyumba yake" hivyo kwa ushauri, kama lishakua tatizo la muda na mlitofautiana juu ya hilo basi ni vzr ukaanza na wazazi,
      Kwani hapa si sehemu sahihi kuandika maneno kama haya dada ukizingatia jina lako linaonekana, pia hata usiende direct kwa masheikh kwani alivyotaka kukuoa alifika kwa wazazi. Kua makini dada

    • @muhsinmohammed648
      @muhsinmohammed648 6 หลายเดือนก่อน +2

      Dada waaleykum salaam, dada jitahidi kutafuta sitara ya maneno yako kwa mumeo, uislam kupitia kinywa cha mtume umekataza " siri za ndani za mtu na mkewe kutoka nje ya nyumba yake" hivyo kwa ushauri, kama lishakua tatizo la muda na mlitofautiana juu ya hilo basi ni vzr ukaanza na wazazi,
      Kwani hapa si sehemu sahihi kuandika maneno kama haya dada ukizingatia jina lako linaonekana, pia hata usiende direct kwa masheikh kwani alivyotaka kukuoa alifika kwa wazazi. Kua makini dada

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 6 หลายเดือนก่อน

      Kwenye tendo la ndoa kama kuna moja hafurahi basi inafaa kusema na kupata usaidizi akuna kusema atafte sitra wakati stara wenyewe aipatai wacha kutudanganya hapa yko sahihi kabsa kusema hili​@@muhsinmohammed648

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 6 หลายเดือนก่อน

      Jaman pole tuanzia hpa je mazigira unaweka safi unapendeza unanukia unaongea kama mwanamke ama ndio 😅😅😅 unaongea kama dume chombeza ndoa jitahidi kumuonyesha mapenzi akirudi kazi fanya yeye massage 💆‍♀️ mpe pole kama akuna juice mpe ata glass ya maji mungu akufanyie wepesi kwenye ndoa Ameen

  • @halimaali5481
    @halimaali5481 5 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂umeongea ustadh Yani bangi imewachanganya watoto

  • @MohammedMo-ew7el
    @MohammedMo-ew7el 6 หลายเดือนก่อน

    Shukran

  • @alifaki4651
    @alifaki4651 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah