HISTORIA YA SHEIKH MSLEM HADI KUINGIA GEREZANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2023
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Leo shekh rashid umenikosha sana ,,umemleta mtu ambaye nampenda sana kwa ajili ya Allah,,allah akubariki sana
Huyu sheikh mselem nakupenda sana kwa ajili ya Allah
Mashallah Asante sheikh Rashid Allah akulipe kher kwa kutuletea Shekh mselem 😢Dah kwakwel mim siwez kusahau nipo Mdog nasikia tu mama angu kila siku akilia Bas akiwekwa mawaidhsa yake shekh msellem uone askitika jaman Siku izi wanatukosesha darsa za sheikh msellem Yaan Mpaka amenifanya na mimi Nimpende Allah akupe umr mrefu sheikh Msellem akuepushe na shar za binaadam na majini😢🤲🤲
Amen
Ktk mashekh nnaowakubali huyu ni namba moja Nampenda sana shekh Msellem Aliy
Huyu mja wa Allah nampenda snaaaaaaaa , juzi nilienda kupiga picha nikakutana nae harusini anatoa mawaidha kuhusu ndoa Wallah maneno yanakuingia , nilitaman asimalize kuongea , anaongea kwa utulivu , bashasha , Allah amempenda sna ,Allah amdumishe yeye na sisi katika imani thabit. Ya Allah hakika unasikia na unaona chochote kile mwanadamu anachokifnya na hata kile asichokifanya kilichomo tu kwenye nafsi yake , nakuomba mola wangu unipe ucha Mungu mimi na waislamu wengine , na utufufue hali ya kuwa nyuso zetu zina nuru yako Mola wetu mtukufu, Amiin. 10:14
Amiin ya Rabbi
Mashaallah sheikh mselem Allah akuhifadhi, akupe umri mrefu wenyew kher naww.
Asante sana sh Rashind.
Sheikh Msellem nampenda sana na Allah amueke tuzid kusoma kupitia yy inshaallah.
Mashaallah Allah akupe pepo ya juu sheikh mselem
Masha Allah alhamdulillah nakupenda shk Mselem bin Ally kwa aajiri ya Allah napenda ambavyo una present mada zako na hauna upande kama mashekh wengine
Huyu mtu namkubali Sana Allah ampe afya njema
MASHAALLAH, JAZZAKALLAH kher.wallah sura yake na bashasha zake anapocheka unajua huyu sheikh yuko vizur Allah akuzidishie ELMU YENYE manufaa. Bega kwa bega mpaka Firdaus
Bega kwa bega Mpaka firdaus Pole Sana Ndugu
@@twahaabrahman-ev8co POLE ya nini
Mashaallah huyu Sh, Msellem ni mtu muhimu kwenye jamii ana tawadhui kubwa
My favorite shekh watch him everyday
Masha Allah. Sheikh Mselem ni fundi wa kuongea na Fasaha san hatoki nje ya mada ni mtulivu mno. Allah amhifadhia na husda za mahasidi.
Alhamdulillah tunashkuru sana Sheikh Rashid hakika tumefarajika sana kupa history ya Sheikh Mselem wengi tulikuwa tunabambanyana juu ya historia yake Allah amzidishie umri mrefu aweze kutuelimisha zaid na pia Tunamuomba Allah aizidishie muangaza alfatah tv iweze kutuletea mazuri zaidi
mashallah mwalim wetu shekh mselem bin ally allah akujalie umri mrefu wenye kheri ili tuzidi kunufaika na elimu yako.allah akulinde na kila shari.
Maa shaa allah shekh langu hili nampenda sana kwaajil ya allah allah aendelee kumlinda na kumuhifadhi
Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu A¿huyu Mzee Allah amemjaalia akili za elimu he's very wise Sheikh I really really love him..💯👌
Mashaallah Allah amjaalie husnil lhatma sheikh Mselem yeye pamoja na sisi🙏
Ma sha allah hii ni hazina ytu katka ulimwengu wetu allah atuekee na azidi kutuekea ktika elimu ya kubwa ya dunia na akhera Tunakupenda sana kipenzi chetu sheikh mselem bin allay
Allah akuweke sheikh mselem nakupenda sna kama mtu hakufahamu uyo haelewi popote
Shekhe wng mselem ally nakupenda sana kwaajir ya Allah . Allah hakupe maisha marefu insha'Allah
Sheikh Allah akupe afya njema uzidi kutuonesha nuru ya Allah
Ma sha allah
Sheikh msel
Allah akuhifadhi
Mash Allah Shekhe Mselemo Allah akupe umri wenye wenye manufaa kwetu sote Amiin Rabbil Alaamin.
Maaashllh ALLH SW amhifadhi shekhe wetu
Masha ALLAH maalim yuko vizuri ALLAH SW AMUHIFADHI
Masha Allah!!! Shk Mselemu Allah amhifadhi. Ni miongoni mwa mashk nnao wakubali Sana.
Mashallah shekh wetu,mungu akupe upeo zaidi wa kuyuongoza
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
SHEIKH MSELEM ,ALLA AKUWEKE PEMA IMANI YANGU WEWE UNARADHI NA UNA KHERI KATIKA UCHAMUNGUWAKO ,WAZAZI WAKO ALLAH AWAVIKE TAJI DUNIANI NA AKHERA ,ULI PATA RADHI ZA MTUME ,SIO KAMA HAWA WANAJIVUNIA VYETI VYAKUJITOA KINYESI WAKOSEFU WA ADABU .
Namkubal sana maalim nashukuru sana shehe MUNGU azid kukulinda sana
Mashaa allah sheh mselem allah azid kukuhifadh
Mashaa الله leo tuna mgeni mkubwa sana. Mashaa الله ...الله akuhifadhi abuyi.
Allah atuwekee viongozi wetu Hawa wazidi kutuelimisha
Namkubali Sana Allahu Akuhifadhi wewe ni Mzanzibari Hasa umechanganya Damu kwa kila Kisiwa 🙏🙏🙏🙏🙏
Mashallah Yani shekh elimu alionayo anasema hajasoma sijui engesoma ingekuaje leo Mt anapitia kitabu kimoja anaaza kuandaa mijadala duh
Mashaallh wewe ni wangu hasa ❤❤❤ mungu amekujalia hekma
Mashallah Allah akulinde na kila shari na atukutanishe sote peponi. Najua umejishusha kuhusu elimu lkn mm na jamii ya wengi naamini tunakuchukulia kuwa ni mwenye elimu na muono mpana. Allah akuhifadhi.
Kwa ajili ya Allah sheikh nakukubali sana
Nampenda sana huyu sheikh mungu amrahisishie pepo yake.
Maashallah
Allah amfanyie shekhe wetu wepesi
MashaAllah MashaAllah Allah akupe umri mrefu ya sheikh
Allah. Mjalie kila la kher sheh wetu
Asalam Alaykum sheikh Rashid kweli wasomi mara zote c wenye kujisifu hz ndio hekma za sheikh wetu
Nampenda sheikh Mselem bin Ally mno wallah allah atuekee mwanazuoni wetu biidhinillah
MashaAllahu al imaam Sheikh Mselem ❤
Allah akuhifadhi SHEIKH Mselem AKULINDE NA SHARI
Ishaahla mungu akubariki milele
SH rashid salim #LEO umeikonga nyoyo yangu
Allah akuifadhi sheh wetu mpendwa mselem bin alyii
Mashallah Allah awajaze kheri mashekh wetu
Mashallah sheikh maelem nakupend sana kwa ajili ya Allah mungu akulinde na kwa pamoja mungu atupe mwisho mwema inshallah
MashaAllah Tabaraka Allah
ماشاء الله الله يحفظك ويبارك فيك
Allah akujaalieni saana..
Mashallah shekh wetu yaan maneno yako huwa matamu ya hekma na huachi kitu kwenye ukwel unasema hufumbii jicho chochote nikwel semen ukwel japo wapo wtu watakasrka kulingana na ukweli huo lkn unakuwa ushaufikisha ALLAH akupe afya njema shekh wetu
Mashallah Allah akulinde akuepushe na kila baya nakupenda kwaajil y ALLAH
Mash ALLAH tupo pamoja
Masha.alla.tunaomba.sehemu.yapili
ما شاء الله
Shekh mselem ni kipenzi chetu,
Wewe ni adui kwa ccm,adui kwa makafiri na adui kwa masalafi,
Allah atakuhifadhi na maadui hao
Kipenzi,kumbe unalala nae wewe,kafiri na shoga ni wazazi wako,by the way Mselem your smart guy,may Allah protect you.
مشاءالله ❤️
❤ Masha Allah
Mashaalah best shekh
Mashaa Allah sheikh hatujuwani Lakini inaonesha no msomi na anajuwa akisemacho... Na kipindi hichi ni Safi Sana tu.. History ni Tamu iwapo itakuwa ya kweli na sh ndio ni mtu wa ukweli
naam maashallah
Mwendelezo tafadhali
Mashaallah shekh wangu
Mashallah
Alhamdulillah shekh wetu
Tunaomba sehem ya pili inshaalah
🙏🙏
Me nimesoma comments za watu wengi nimeona bora nitoe Rai alfatah muweke darsa za Tafsiri za sheikh kutoka suratul baqra au muendeleze suratu nisai alipofika pale msikiti wa Radio anour daraja bovu
Asalamu Alleikum..Nitafurahi na nitashukuru kupata number ya Sheikh Rashid ya Whatsap kwa kufanya kheri zaidi kupitia yeye.Shukran.Allah aitie Qaboul Ujumbe wangu Umfikie.
0777858490 hii ndio namba yangu
POLE SANA SHEIKH,KUHUDHURIA MIKUTANO ISIWE SABABU YA KUWEKWA JELA..ANAESHUKIWA HUFATILIWA muda hadi kuwa na UKWELI NDANI YAKE,kisha kushtakiwa hapo
Fatma Huwo gopa wew😂
Eti bint ahmed
Mm mwenyewe nakukubalisanaa shehe mselemu
Waislamu wengi tunaroho mbaya sana igeni wenzetu wakristo wanamaalifa sana sisi ni mazuzu walahi tupunguze fitna kama alikosea si basi tupunguze unafiki waislamu
Sasa mselemu munamtukana hapo kakosea nini kama alikosea mbona selekali imemachia tunakosea sana huyo ni kiongozi ndio maana tunalanika waislamu kutukana viongozi wa dini ya mungu mselemu kafanya kazi ya mungu inchi hii
Halafu kuna genge la watawala wahuni wakamzushia kesi ya uongo ya ugaidi,ALLAH awaangamize wahuni wale.
Sheikh Mselem wewe una elimu kubwa ila hauna vyeti,elimu na vyeti ni vitu viwili tofauti ndio mana kuna watu wana vyeti lakini elimu hawana au elimu yao ndogo haiendani na ukubwa wa vyeti vyao.ALLAH akujaalie umri mrefu na siha njema ili uzidi kutoa elimu.
Nime frahi kuskia history ya shekh Mselem
Kwa majina naitwa Sheikh JUMA RASHIDI maoni yang ni kwamb Sheikh Mselem Bin Ally ni Mwanazuoni wa kizazi chetu aliye na msimamo wa kuigwa kwa waislamu katika nchi hii
Tunasubiri shehemu ya pili
kichwa cha habari tofauti na maelezo
Utafauti wake nn na hy ni Historia yake
Watu wengi waona mumeonewa kumbe sio kweli mulitaka kuonewa mulilinganiwa sana muache vujo lkini mulijikuta wababe kilicho tokea munakijuwa nyinyi Rudi ni ktk haki
Kuingizwa gerezani
Shee mselem naitaji niwe mwanafunzi wako nipo dar unaweza nisaidia
Allah Akbar nimejifunza kitu,,kusoma sio madgrii na vyeti, mashekh igeni kutoka kwa shekhe uislam sio kuwa mfuas wa kundi fulani
Mbona imemaliza fupi?
Huyu ni sh mselem bin Ally ni mkweli na muwazi na hana majibuni ni mtu ambae anajua kua siku baada ya hii leo nayo kutakua na kila neno linahukumiwa
Makhawariji wa zanzibar( muamsho mulitusababishia maafaa kweli ) hivyo bc mupate funzo dini sio vita dini ni kusoma na kufundisha sw Iko ivyo namuomba allah awaondoshe tabia za ukhawariji murudi ktk mstari wa sawa sawa ammin
Mafa gani yalio fanywa na mwasho
Kawafate uwanusuru ndugu zako watoke , usitake kufungua mdomo wako hapa ujione una elimu kubwa wakati hata kutawadha hujui , sioni kama busara kuanza kuwaambia watu wasojua ataa maana ya khawaarij , tumia njia za kielimu ukamuongoze , maana hapa hutopata faida zaidi ya kufanya izo sifa zako za kipumbavu , NA UWE MAKINI ALLAH ANAJUA KAMA UNATAKA KUTENGENEZA AU UNATAFUTA SIFA KWASABABU ANAJUA DHAMIRA YAKO
Wewe punda kama wale wa mwembe makumbi
Ukweli waumwa sana nasaha humfa mwenye kuamini hata ukanifokea ukweli ndio huuo
Umeusaidia nini uislam muwahabi ww
Achana nae aongee then atatulia
Hawa masheikh wa bidaah kweli hawajasoma lkan ukiwa ni mchache wa elimu utadanganyika nao. Tumuombe Allah atuongoze kwenye Haki
Jifunze kutohukumu watu si katika Manhaj yetu
Kasome wewe Sasa 😅
Muogope allah kijan hiki ulichoandik kinahifadhiw kweny kitab chak
Hawa walifanya fujo ndio wakafungwa walitaka kuchafua amani ya nchi hawakuonewa Bali ni haki Yao kufungwa na tegemea wamejifunza kitu hawato rejea Tena ,Not heshimu watawala ktk nchi yko usifanye vujo dini sio fujo dini nikusoma
Wewe inaonyesha ni muakilishi wa ibilisi na shetani ,pamoja na wenzenu firiaun na hamana,,Allah azivize fikra zenu inshaallah,akakulipeni mnachostahiki kwa maudhi na mateso mnayoyafanya kwa viumbe wenzenu inshaallah
Hawa hawakufanya fujo bali walitumia haki yao ya kikatiba wacha kupotosha jamii
Hili jamaaa nyamwezi ccm nmelishtukizia shoga
Degree sio kitu mbele ya Allah wewe upo juu ya hata mbele ya maprofessa
Ana akili mpaka nyengine zinapukutika
Kama ana akili atengeneze ndege 😎
Sheikh Msellem kumbe umesoma mpaka kwa MASHIA ndomana unaruhusu dini Mseto
Nadhani pale alipomtaja Abdillahinasir kipindi kile alikuwa bado hajawa shia ,alikuwa kule kwao Mombasa akipinga bidaa na hapa unguja alikuwa Sheikh Nassor Bachu na Darusalama alikuwa Mayunga ,Sheikh Kingaru ,Sheikh Pori, Sheikh Doga.Baadae Mayunga naAbdillahi Nassir wakaingia ushiani.Hivyo alikuwa Abdillahi Nassir alikuwa akija kutoka Mombasa alikuwa akija hata Tanga akipinga maulid ,khitma kunuti na akisema Allah ataonekana akhera,l akini kwa masikitiko baadae waliingia ushiani.
Muogop allah
tunaomba mselem aje huku kwetu Moshi atupe dawa
Fundi huyu
Wewe ni zaidi yahaa walosoma..shule
Naam tupate funzo kwamba kupambana na watawala ni jambo ambalo halipo na kufanya maandamano sio Sheria na misingi ya uislamu hivyo basi wezetu wamejifunza kitu kuwa watawala htuwawezi tunatakiwa tuwatii ktk mambo ya kheri na Wala tusiwakhalifu hebu tuwatiie watawala tuone Raha Note dini sio vita na maandamano dini ni kwa kusoma
Uxtuletee uccm mjomb