HISTORIA YA SHEIKH MSLEM HADI KUINGIA GEREZANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2023
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 137

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 10 หลายเดือนก่อน +22

    Leo shekh rashid umenikosha sana ,,umemleta mtu ambaye nampenda sana kwa ajili ya Allah,,allah akubariki sana

  • @malongoisack5811
    @malongoisack5811 10 หลายเดือนก่อน +16

    Huyu sheikh mselem nakupenda sana kwa ajili ya Allah

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 10 หลายเดือนก่อน +13

    Mashallah Asante sheikh Rashid Allah akulipe kher kwa kutuletea Shekh mselem 😢Dah kwakwel mim siwez kusahau nipo Mdog nasikia tu mama angu kila siku akilia Bas akiwekwa mawaidhsa yake shekh msellem uone askitika jaman Siku izi wanatukosesha darsa za sheikh msellem Yaan Mpaka amenifanya na mimi Nimpende Allah akupe umr mrefu sheikh Msellem akuepushe na shar za binaadam na majini😢🤲🤲

  • @hamadsuleimaan802
    @hamadsuleimaan802 10 หลายเดือนก่อน +5

    Ktk mashekh nnaowakubali huyu ni namba moja Nampenda sana shekh Msellem Aliy

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 9 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu mja wa Allah nampenda snaaaaaaaa , juzi nilienda kupiga picha nikakutana nae harusini anatoa mawaidha kuhusu ndoa Wallah maneno yanakuingia , nilitaman asimalize kuongea , anaongea kwa utulivu , bashasha , Allah amempenda sna ,Allah amdumishe yeye na sisi katika imani thabit. Ya Allah hakika unasikia na unaona chochote kile mwanadamu anachokifnya na hata kile asichokifanya kilichomo tu kwenye nafsi yake , nakuomba mola wangu unipe ucha Mungu mimi na waislamu wengine , na utufufue hali ya kuwa nyuso zetu zina nuru yako Mola wetu mtukufu, Amiin. 10:14

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 10 หลายเดือนก่อน +5

    Mashaallah sheikh mselem Allah akuhifadhi, akupe umri mrefu wenyew kher naww.

  • @muhidinsuleiman4315
    @muhidinsuleiman4315 9 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana sh Rashind.
    Sheikh Msellem nampenda sana na Allah amueke tuzid kusoma kupitia yy inshaallah.

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 10 หลายเดือนก่อน +6

    Mashaallah Allah akupe pepo ya juu sheikh mselem

  • @mirajimohamed7606
    @mirajimohamed7606 9 หลายเดือนก่อน +2

    Masha Allah alhamdulillah nakupenda shk Mselem bin Ally kwa aajiri ya Allah napenda ambavyo una present mada zako na hauna upande kama mashekh wengine

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 10 หลายเดือนก่อน +13

    Huyu mtu namkubali Sana Allah ampe afya njema

  • @ibugharib389
    @ibugharib389 10 หลายเดือนก่อน +8

    MASHAALLAH, JAZZAKALLAH kher.wallah sura yake na bashasha zake anapocheka unajua huyu sheikh yuko vizur Allah akuzidishie ELMU YENYE manufaa. Bega kwa bega mpaka Firdaus

    • @twahaabrahman-ev8co
      @twahaabrahman-ev8co 10 หลายเดือนก่อน

      Bega kwa bega Mpaka firdaus Pole Sana Ndugu

    • @ibugharib389
      @ibugharib389 10 หลายเดือนก่อน +1

      @@twahaabrahman-ev8co POLE ya nini

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 10 หลายเดือนก่อน +12

    Mashaallah huyu Sh, Msellem ni mtu muhimu kwenye jamii ana tawadhui kubwa

  • @stevenmichaelmaganga4828
    @stevenmichaelmaganga4828 9 หลายเดือนก่อน +4

    My favorite shekh watch him everyday

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 9 หลายเดือนก่อน +2

    Masha Allah. Sheikh Mselem ni fundi wa kuongea na Fasaha san hatoki nje ya mada ni mtulivu mno. Allah amhifadhia na husda za mahasidi.

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 10 หลายเดือนก่อน +3

    Alhamdulillah tunashkuru sana Sheikh Rashid hakika tumefarajika sana kupa history ya Sheikh Mselem wengi tulikuwa tunabambanyana juu ya historia yake Allah amzidishie umri mrefu aweze kutuelimisha zaid na pia Tunamuomba Allah aizidishie muangaza alfatah tv iweze kutuletea mazuri zaidi

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 10 หลายเดือนก่อน +3

    mashallah mwalim wetu shekh mselem bin ally allah akujalie umri mrefu wenye kheri ili tuzidi kunufaika na elimu yako.allah akulinde na kila shari.

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 9 หลายเดือนก่อน +2

    Maa shaa allah shekh langu hili nampenda sana kwaajil ya allah allah aendelee kumlinda na kumuhifadhi

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 10 หลายเดือนก่อน +4

    Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu A¿huyu Mzee Allah amemjaalia akili za elimu he's very wise Sheikh I really really love him..💯👌

  • @is-hakaame
    @is-hakaame 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah Allah amjaalie husnil lhatma sheikh Mselem yeye pamoja na sisi🙏

  • @binloufy454
    @binloufy454 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ma sha allah hii ni hazina ytu katka ulimwengu wetu allah atuekee na azidi kutuekea ktika elimu ya kubwa ya dunia na akhera Tunakupenda sana kipenzi chetu sheikh mselem bin allay

  • @user-ns2br3me2n
    @user-ns2br3me2n 8 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akuweke sheikh mselem nakupenda sna kama mtu hakufahamu uyo haelewi popote

  • @selemanimlahagwa6942
    @selemanimlahagwa6942 3 หลายเดือนก่อน +1

    Shekhe wng mselem ally nakupenda sana kwaajir ya Allah . Allah hakupe maisha marefu insha'Allah

    • @user-wy7jl3do3c
      @user-wy7jl3do3c 2 หลายเดือนก่อน

      Sheikh Allah akupe afya njema uzidi kutuonesha nuru ya Allah

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 3 วันที่ผ่านมา

    Ma sha allah
    Sheikh msel
    Allah akuhifadhi

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mash Allah Shekhe Mselemo Allah akupe umri wenye wenye manufaa kwetu sote Amiin Rabbil Alaamin.

  • @JemzMaalim
    @JemzMaalim 9 หลายเดือนก่อน +1

    Maaashllh ALLH SW amhifadhi shekhe wetu

  • @floramateru
    @floramateru 10 หลายเดือนก่อน +1

    Masha ALLAH maalim yuko vizuri ALLAH SW AMUHIFADHI

  • @fatumahussein6399
    @fatumahussein6399 9 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah!!! Shk Mselemu Allah amhifadhi. Ni miongoni mwa mashk nnao wakubali Sana.

  • @user-yl1mx8cu1x
    @user-yl1mx8cu1x 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah shekh wetu,mungu akupe upeo zaidi wa kuyuongoza

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 9 หลายเดือนก่อน +1

    Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano3765 10 หลายเดือนก่อน +1

    SHEIKH MSELEM ,ALLA AKUWEKE PEMA IMANI YANGU WEWE UNARADHI NA UNA KHERI KATIKA UCHAMUNGUWAKO ,WAZAZI WAKO ALLAH AWAVIKE TAJI DUNIANI NA AKHERA ,ULI PATA RADHI ZA MTUME ,SIO KAMA HAWA WANAJIVUNIA VYETI VYAKUJITOA KINYESI WAKOSEFU WA ADABU .

  • @khamishaji-fw1km
    @khamishaji-fw1km 9 หลายเดือนก่อน +1

    Namkubal sana maalim nashukuru sana shehe MUNGU azid kukulinda sana

  • @ahmadjuma-xx5nd
    @ahmadjuma-xx5nd 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaa allah sheh mselem allah azid kukuhifadh

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaa الله leo tuna mgeni mkubwa sana. Mashaa الله ...الله akuhifadhi abuyi.

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 9 หลายเดือนก่อน +1

    Allah atuwekee viongozi wetu Hawa wazidi kutuelimisha

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 10 หลายเดือนก่อน +1

    Namkubali Sana Allahu Akuhifadhi wewe ni Mzanzibari Hasa umechanganya Damu kwa kila Kisiwa 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @hajikhamis6544
    @hajikhamis6544 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallah Yani shekh elimu alionayo anasema hajasoma sijui engesoma ingekuaje leo Mt anapitia kitabu kimoja anaaza kuandaa mijadala duh

  • @abiiajmi2399
    @abiiajmi2399 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallh wewe ni wangu hasa ❤❤❤ mungu amekujalia hekma

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah Allah akulinde na kila shari na atukutanishe sote peponi. Najua umejishusha kuhusu elimu lkn mm na jamii ya wengi naamini tunakuchukulia kuwa ni mwenye elimu na muono mpana. Allah akuhifadhi.

  • @asalkhan9168
    @asalkhan9168 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa ajili ya Allah sheikh nakukubali sana

  • @MaliganyaWilson-ef3pk
    @MaliganyaWilson-ef3pk 10 หลายเดือนก่อน +2

    Nampenda sana huyu sheikh mungu amrahisishie pepo yake.

  • @omarmsuya5373
    @omarmsuya5373 10 หลายเดือนก่อน +1

    Maashallah
    Allah amfanyie shekhe wetu wepesi

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola3983 10 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah MashaAllah Allah akupe umri mrefu ya sheikh

  • @user-lx2wg4je3t
    @user-lx2wg4je3t 2 หลายเดือนก่อน

    Allah. Mjalie kila la kher sheh wetu

  • @profesamakame5179
    @profesamakame5179 10 หลายเดือนก่อน +2

    Asalam Alaykum sheikh Rashid kweli wasomi mara zote c wenye kujisifu hz ndio hekma za sheikh wetu

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nampenda sheikh Mselem bin Ally mno wallah allah atuekee mwanazuoni wetu biidhinillah

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 3 หลายเดือนก่อน

    MashaAllahu al imaam Sheikh Mselem ❤

  • @ZUHURAKHALFAN-mc8nd
    @ZUHURAKHALFAN-mc8nd 10 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akuhifadhi SHEIKH Mselem AKULINDE NA SHARI

  • @user-pi5sf5qz1j
    @user-pi5sf5qz1j 9 หลายเดือนก่อน

    Ishaahla mungu akubariki milele

  • @UkhtySauShamsiaMahonda
    @UkhtySauShamsiaMahonda 10 หลายเดือนก่อน +1

    SH rashid salim #LEO umeikonga nyoyo yangu

  • @subetizaid6515
    @subetizaid6515 10 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akuifadhi sheh wetu mpendwa mselem bin alyii

  • @hajikhamis6544
    @hajikhamis6544 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah Allah awajaze kheri mashekh wetu

  • @Amirshamte
    @Amirshamte 3 หลายเดือนก่อน

    Mashallah sheikh maelem nakupend sana kwa ajili ya Allah mungu akulinde na kwa pamoja mungu atupe mwisho mwema inshallah

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 9 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah Tabaraka Allah

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi656 10 หลายเดือนก่อน +1

    ماشاء الله الله يحفظك ويبارك فيك

  • @husseinbudaga2953
    @husseinbudaga2953 9 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akujaalieni saana..

  • @asiamohamedy2643
    @asiamohamedy2643 9 หลายเดือนก่อน

    Mashallah shekh wetu yaan maneno yako huwa matamu ya hekma na huachi kitu kwenye ukwel unasema hufumbii jicho chochote nikwel semen ukwel japo wapo wtu watakasrka kulingana na ukweli huo lkn unakuwa ushaufikisha ALLAH akupe afya njema shekh wetu

  • @user-jv8ki9ut2p
    @user-jv8ki9ut2p 8 หลายเดือนก่อน

    Mashallah Allah akulinde akuepushe na kila baya nakupenda kwaajil y ALLAH

  • @issakhamis9581
    @issakhamis9581 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mash ALLAH tupo pamoja

  • @marischidy63
    @marischidy63 10 หลายเดือนก่อน +1

    Masha.alla.tunaomba.sehemu.yapili

  • @firdaus7428
    @firdaus7428 10 หลายเดือนก่อน +2

    ‏ما شاء الله

  • @muhamadhusein5260
    @muhamadhusein5260 10 หลายเดือนก่อน +1

    Shekh mselem ni kipenzi chetu,
    Wewe ni adui kwa ccm,adui kwa makafiri na adui kwa masalafi,
    Allah atakuhifadhi na maadui hao

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 10 หลายเดือนก่อน

      Kipenzi,kumbe unalala nae wewe,kafiri na shoga ni wazazi wako,by the way Mselem your smart guy,may Allah protect you.

  • @FathimaZubair-jt4cg
    @FathimaZubair-jt4cg 9 หลายเดือนก่อน

    مشاءالله ❤️

  • @jumamkali8307
    @jumamkali8307 10 หลายเดือนก่อน +1

    ❤ Masha Allah

  • @user-gs9bb8rs5p
    @user-gs9bb8rs5p 9 หลายเดือนก่อน

    Mashaalah best shekh

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone972 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaa Allah sheikh hatujuwani Lakini inaonesha no msomi na anajuwa akisemacho... Na kipindi hichi ni Safi Sana tu.. History ni Tamu iwapo itakuwa ya kweli na sh ndio ni mtu wa ukweli

  • @nasrimswaki4824
    @nasrimswaki4824 10 หลายเดือนก่อน +1

    naam maashallah

  • @Abuu_Mundhiri
    @Abuu_Mundhiri 10 หลายเดือนก่อน

    Mwendelezo tafadhali

  • @user-ck8xn9md3h
    @user-ck8xn9md3h 9 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah shekh wangu

  • @maryammachanoomarymachano951
    @maryammachanoomarymachano951 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah

  • @salumchoma8731
    @salumchoma8731 9 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah shekh wetu

  • @zainabhassan1514
    @zainabhassan1514 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tunaomba sehem ya pili inshaalah

  • @hamissalum6023
    @hamissalum6023 10 หลายเดือนก่อน +1

    🙏🙏

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y 10 หลายเดือนก่อน

    Me nimesoma comments za watu wengi nimeona bora nitoe Rai alfatah muweke darsa za Tafsiri za sheikh kutoka suratul baqra au muendeleze suratu nisai alipofika pale msikiti wa Radio anour daraja bovu

  • @awadhabed
    @awadhabed 10 หลายเดือนก่อน +1

    Asalamu Alleikum..Nitafurahi na nitashukuru kupata number ya Sheikh Rashid ya Whatsap kwa kufanya kheri zaidi kupitia yeye.Shukran.Allah aitie Qaboul Ujumbe wangu Umfikie.

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 10 หลายเดือนก่อน +1

    POLE SANA SHEIKH,KUHUDHURIA MIKUTANO ISIWE SABABU YA KUWEKWA JELA..ANAESHUKIWA HUFATILIWA muda hadi kuwa na UKWELI NDANI YAKE,kisha kushtakiwa hapo

  • @ussiamini2868
    @ussiamini2868 10 หลายเดือนก่อน

    Mm mwenyewe nakukubalisanaa shehe mselemu

  • @SHEIKHMWAIPOPOTV
    @SHEIKHMWAIPOPOTV 10 หลายเดือนก่อน

    Waislamu wengi tunaroho mbaya sana igeni wenzetu wakristo wanamaalifa sana sisi ni mazuzu walahi tupunguze fitna kama alikosea si basi tupunguze unafiki waislamu

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV 10 หลายเดือนก่อน

      Sasa mselemu munamtukana hapo kakosea nini kama alikosea mbona selekali imemachia tunakosea sana huyo ni kiongozi ndio maana tunalanika waislamu kutukana viongozi wa dini ya mungu mselemu kafanya kazi ya mungu inchi hii

  • @AbubakarKumbwani-yq5vg
    @AbubakarKumbwani-yq5vg 9 หลายเดือนก่อน

    Halafu kuna genge la watawala wahuni wakamzushia kesi ya uongo ya ugaidi,ALLAH awaangamize wahuni wale.

  • @AbubakarKumbwani-yq5vg
    @AbubakarKumbwani-yq5vg 9 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Mselem wewe una elimu kubwa ila hauna vyeti,elimu na vyeti ni vitu viwili tofauti ndio mana kuna watu wana vyeti lakini elimu hawana au elimu yao ndogo haiendani na ukubwa wa vyeti vyao.ALLAH akujaalie umri mrefu na siha njema ili uzidi kutoa elimu.

  • @maryammachanoomarymachano951
    @maryammachanoomarymachano951 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nime frahi kuskia history ya shekh Mselem

  • @user-es9dz2bc2w
    @user-es9dz2bc2w หลายเดือนก่อน

    Kwa majina naitwa Sheikh JUMA RASHIDI maoni yang ni kwamb Sheikh Mselem Bin Ally ni Mwanazuoni wa kizazi chetu aliye na msimamo wa kuigwa kwa waislamu katika nchi hii

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tunasubiri shehemu ya pili

  • @abdulhamidjabu6530
    @abdulhamidjabu6530 10 หลายเดือนก่อน

    kichwa cha habari tofauti na maelezo

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 10 หลายเดือนก่อน

      Utafauti wake nn na hy ni Historia yake

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 10 หลายเดือนก่อน

    Watu wengi waona mumeonewa kumbe sio kweli mulitaka kuonewa mulilinganiwa sana muache vujo lkini mulijikuta wababe kilicho tokea munakijuwa nyinyi Rudi ni ktk haki

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kuingizwa gerezani

  • @user-fo1sf4og7f
    @user-fo1sf4og7f 9 หลายเดือนก่อน +1

    Shee mselem naitaji niwe mwanafunzi wako nipo dar unaweza nisaidia

  • @ZaynabSeiph-me5nr
    @ZaynabSeiph-me5nr 10 หลายเดือนก่อน

    Allah Akbar nimejifunza kitu,,kusoma sio madgrii na vyeti, mashekh igeni kutoka kwa shekhe uislam sio kuwa mfuas wa kundi fulani

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 9 หลายเดือนก่อน

    Mbona imemaliza fupi?

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu ni sh mselem bin Ally ni mkweli na muwazi na hana majibuni ni mtu ambae anajua kua siku baada ya hii leo nayo kutakua na kila neno linahukumiwa

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 10 หลายเดือนก่อน

    Makhawariji wa zanzibar( muamsho mulitusababishia maafaa kweli ) hivyo bc mupate funzo dini sio vita dini ni kusoma na kufundisha sw Iko ivyo namuomba allah awaondoshe tabia za ukhawariji murudi ktk mstari wa sawa sawa ammin

    • @AllyMassud
      @AllyMassud 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mafa gani yalio fanywa na mwasho

    • @saidyussuf2291
      @saidyussuf2291 10 หลายเดือนก่อน

      Kawafate uwanusuru ndugu zako watoke , usitake kufungua mdomo wako hapa ujione una elimu kubwa wakati hata kutawadha hujui , sioni kama busara kuanza kuwaambia watu wasojua ataa maana ya khawaarij , tumia njia za kielimu ukamuongoze , maana hapa hutopata faida zaidi ya kufanya izo sifa zako za kipumbavu , NA UWE MAKINI ALLAH ANAJUA KAMA UNATAKA KUTENGENEZA AU UNATAFUTA SIFA KWASABABU ANAJUA DHAMIRA YAKO

    • @zahormohd
      @zahormohd 9 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe punda kama wale wa mwembe makumbi

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 10 หลายเดือนก่อน

    Ukweli waumwa sana nasaha humfa mwenye kuamini hata ukanifokea ukweli ndio huuo

    • @AllyAbdallah-ug3se
      @AllyAbdallah-ug3se 10 หลายเดือนก่อน

      Umeusaidia nini uislam muwahabi ww

    • @hamissalum6023
      @hamissalum6023 10 หลายเดือนก่อน

      Achana nae aongee then atatulia

  • @alisalum7036
    @alisalum7036 10 หลายเดือนก่อน

    Hawa masheikh wa bidaah kweli hawajasoma lkan ukiwa ni mchache wa elimu utadanganyika nao. Tumuombe Allah atuongoze kwenye Haki

    • @azruntravel4306
      @azruntravel4306 10 หลายเดือนก่อน +1

      Jifunze kutohukumu watu si katika Manhaj yetu

    • @Waytozanzibar
      @Waytozanzibar 10 หลายเดือนก่อน +1

      Kasome wewe Sasa 😅

    • @suleimanhamad2396
      @suleimanhamad2396 2 หลายเดือนก่อน

      Muogope allah kijan hiki ulichoandik kinahifadhiw kweny kitab chak

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 10 หลายเดือนก่อน

    Hawa walifanya fujo ndio wakafungwa walitaka kuchafua amani ya nchi hawakuonewa Bali ni haki Yao kufungwa na tegemea wamejifunza kitu hawato rejea Tena ,Not heshimu watawala ktk nchi yko usifanye vujo dini sio fujo dini nikusoma

    • @rashidomar2771
      @rashidomar2771 10 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe inaonyesha ni muakilishi wa ibilisi na shetani ,pamoja na wenzenu firiaun na hamana,,Allah azivize fikra zenu inshaallah,akakulipeni mnachostahiki kwa maudhi na mateso mnayoyafanya kwa viumbe wenzenu inshaallah

    • @zahormohd
      @zahormohd 9 หลายเดือนก่อน +1

      Hawa hawakufanya fujo bali walitumia haki yao ya kikatiba wacha kupotosha jamii

    • @hamicpina1151
      @hamicpina1151 9 หลายเดือนก่อน

      Hili jamaaa nyamwezi ccm nmelishtukizia shoga

  • @user-ey3bk3pl6k
    @user-ey3bk3pl6k 9 หลายเดือนก่อน

    Degree sio kitu mbele ya Allah wewe upo juu ya hata mbele ya maprofessa

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 10 หลายเดือนก่อน

    Ana akili mpaka nyengine zinapukutika

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 10 หลายเดือนก่อน

      Kama ana akili atengeneze ndege 😎

  • @twahaabrahman-ev8co
    @twahaabrahman-ev8co 10 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Msellem kumbe umesoma mpaka kwa MASHIA ndomana unaruhusu dini Mseto

    • @hashimseif1194
      @hashimseif1194 10 หลายเดือนก่อน +2

      Nadhani pale alipomtaja Abdillahinasir kipindi kile alikuwa bado hajawa shia ,alikuwa kule kwao Mombasa akipinga bidaa na hapa unguja alikuwa Sheikh Nassor Bachu na Darusalama alikuwa Mayunga ,Sheikh Kingaru ,Sheikh Pori, Sheikh Doga.Baadae Mayunga naAbdillahi Nassir wakaingia ushiani.Hivyo alikuwa Abdillahi Nassir alikuwa akija kutoka Mombasa alikuwa akija hata Tanga akipinga maulid ,khitma kunuti na akisema Allah ataonekana akhera,l akini kwa masikitiko baadae waliingia ushiani.

    • @suleimanhamad2396
      @suleimanhamad2396 2 หลายเดือนก่อน

      Muogop allah

  • @ramadhanimwasi1647
    @ramadhanimwasi1647 9 หลายเดือนก่อน

    tunaomba mselem aje huku kwetu Moshi atupe dawa

  • @user-tb5mc2wm1z
    @user-tb5mc2wm1z 9 หลายเดือนก่อน

    Fundi huyu

  • @user-tb5mc2wm1z
    @user-tb5mc2wm1z 9 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni zaidi yahaa walosoma..shule

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 10 หลายเดือนก่อน

    Naam tupate funzo kwamba kupambana na watawala ni jambo ambalo halipo na kufanya maandamano sio Sheria na misingi ya uislamu hivyo basi wezetu wamejifunza kitu kuwa watawala htuwawezi tunatakiwa tuwatii ktk mambo ya kheri na Wala tusiwakhalifu hebu tuwatiie watawala tuone Raha Note dini sio vita na maandamano dini ni kwa kusoma

    • @hamicpina1151
      @hamicpina1151 9 หลายเดือนก่อน

      Uxtuletee uccm mjomb