MKE AMUABUDU MMEWE /WATU WANA STRESS SANA / MJINGA MKALIE KIMYA - DR MWAKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ม.ค. 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Pamoja naww pia unaumwaa
Wow Diva i like ya shows
Umezidiwa na wanawake mpaka huwezi kuwaelekeza njia sahihi, mwanamke ni stara uwe umeolewa au la
Upuuzi mtupu . Nafsi NI kuilazimisha kumtii mola wake mbona serikali ikikataza vitu tuaitii .kwanini tusimtii mola wetu
Ukimuona leo. Malaya mkubwa huyu pumbavu
Hapo mzee umeyakanyaga swala la kujistili kwa mwanamke ni mtii MUUMBA wake na swala la mwanamke kumtii mume wake ni pia ni kumtii MUUMBA wake kwa Amri aliyo pewa na mola wake kuwa amtii mume. Sasa kama wewe umeridhika wake zako wasimtii Mola wao juu ya kujistili lkn wafurahi kwa kuwa wewe wanakutii ni kher kwa sababu wewe ndio kiongozi kwao na dhima wewe ndio mwenye kuibeba juu yao. Kama wewe wanakutii lkn hautaki kuwaamrisha juu ya kumtii na MOLA wao juu ya stara mwenye Makosa hapo ni nani?
Umesikia jibu lake vizuri??? Amesema anajua hayupo sawa muombee Dua..."wewe unaweza Kuwa haupo sawa kwenye hiki yeye hayupo sawa kwenye kile hakuna binadamu aliekamilika....Bottom line Dua zinahitajika na tusiache kukumbushana mema na kukatazana mabaya... In Shaa Allah
ni yeye maana ALRRIJALU KAUWAMUNA ALA NNISAI . awe na majibu . asione fahari kukusanya wake wengi tu huo ni mtihani kwake .
Vipi hali dokta?,Nimeambiwa nna fibroids umesambaa tumboni kisha kuna moja kubwaa sana.Naomba whatsaap namba nikutumie unipe ushauri.Sababu maspecialist wa huku wananambia fibroids ni kubwa sana wakisema waitoe na kizazi changu pia hakitabaki salama lazima wakitoe
Sina raha kabisa toka walivyonambia.Hospital 2 tofauti nimeenda majibu napewa ndo hayohayo
Hichi kipindi lini na saangapi
Juma tatu mpaka ijumaa sa nne usiku mpaka sa sita usiku
We aliyekuambia Mke amuabudu mume wake nani??kwani mume ni MUNGU??huyo mume ana mbingu ya kunipeleka hadi nimuabudu??
Haipo hiyo,Biblia inasema "ENYI WANAWAKE WATIINI WAUME ZENU, NANYI WANAUME WAPENDENI WAKE ZENU"
Mimi nimeambiwa nimtii mume na si kumpenda wala kumuabudu,ila wewe mume nipende mimi mkeo.
Habari ndiyo hiyo,kunyanyasana hakupo,kila mtu ana task yake toka kwa Mungu.
Ukitaka kujua zaidi hebu kasome 1WAKORINTO 7:1 na kuendelea.😎
Hujamuelewa dokta
Mskilize vizuri hakusema mke amuabudu mumewe hakusema hivyo