Msione wazungu celebraties tu, njooni mitaani muone reality wazungu walivyonamatumbo. Wanakula ovyo majunk food na bears hana mwisho wa time ya kula mpaka usiku wa saa sita anakula tu. Na ndio wengi wapo hivyo. "ANGALIENI KIPINDI CHA U ARE WHAT U EAT" Na ndivyo walivyo wengi mitaani vile.
That's very true wazungu blacks na whites wengi ni vibonge sana wale kwenye movies they work hard na wanachujwa out of many kupatikana . lakini sisi tukiona movies tunaona wazungu wote wako kama walivo kwenye movies
Tatizo ni magonjwa ya sukari, eneo la tumbo la mwanamke linatakiwa kuwa chini ya inchi 35,na mwanamme chini ya inchi 40 tujitahidi tuwe hapo kwenye hivyo vipimo kunusuru afya zetu. Ulaji wa vyakula vya wanga sana sahani unajaza kama hamna kesho, tule portion ndogo ya chakula, mwanzoni utaona njaa sana lakini mwili utazoea baada ya muda mrefu, halafu kula kula hovyo tuache tuwe na ratiba maalumu.
Kama pana kipindi mmefundisha ni Leo....my husband use to criticise me coz napenda kufuatilia show yenu especially with dr jj but Leo kaaprociate hadi amenihot sport ...you dd a great job thanx🥰💃
Lillian, why don't these women panelists listen and pay attention to what Dr. Mwaka is saying? As I have repeatedly said in the past, "please, you women, puncture your preconceived ideas". Do you want to be productive counselors to your fellow women or not? Learn to listen, learn to appreciate!
Ssa doctor ww mwenyewe unatumbo huna mvuto unadhani wanawake na wao hawaoni wanaume wanaowavutia nje? Ndoa ni mapenzi na huruma kama mnakosa hayo mtapata taabu sana mana wazuri na wenye mvuto ni wengi (wanawake/wanaume).
Na utasemaje inategemea na pesa, issue sio pesa ni kupendwa. Na km pesa basi hata w'ke wapo wenye pesa na matumbo na wametulia na waume zao ima kwa pesa zao au maridhiano.
Kipindi kizuri sana mimi Mama Bushanga niko Amerca Ohio naangalia saa hizi na nimependa sana hii topic ushauri wangu topic kama hii mumpe nafasi kubwa Dr kuongea sababu ni mwanaume ili sisi wanawake tuwajue wanaume na waume zetu ili tuje la kufanya majini ya kuishi nao. Hongera sana wasafi TV
Kwa wale wapenzi wanao penda kutazama the story hii ndio account mpya ya the story book video zitakuwa zina postiwa kila siku fanya kusubscribe ili usipitwe
Hapo kidogo Dr Mwaka umetereza eti mwanaume hana Estrogen. Mwnaume anayo ila sio nyingi kama mwanamke...estrogen ikiwa nyingi kwenye mwanaume inaweza kumpelekea kuwa na maziwa ( breast) kubwa. Kwan mwanauma ana estradiol ambayo ina msaidia kuzalisha nguvu za kiume...vile kwa mwanamke ni estrogen. So, mwaname ana estrogen hormone ambayo inasaidia sana brain energy .
Kusema ukweli Dr mwaka kupinguza tumbo ni kazi kweli mm nimeanza muda wa miezi 6 sasa lkn namshukuru mungu nimefanikiwa kupunguza 18 lkn ni shida sana mpaka nimefikia hapo
Mchawi chakula.....mm nakula portion kubwa tu ila mwisho wa dinner yang saa moja ikipita hapo sili tena ....nikilala nikiamka tumbo utadhan limekutana na mgongo utadhan silag.asanten kwa kuendelea kunikumbusha nisijisahau
Mm nafikiri ifike wakati wanawake tulitambue Hilo na inawezekana mtu kibaki na Shep yako hata Kama umezaa . Yaan mm nimeweza ukiniona hata form one navaa sketi naingia darasani na Nina watoto 4
Kweli kabisa wanawake tujitahidi kubalance milo ili uendelee kuwa na mvuto, acha kusingizia kuzaa, namshukuru Mungu mimi nina nzao 2 kawaida na moja ya oparesheni ila sina tumbo na figa inalipa kwa kweli namshukuru Mungu
Hayo yote ni sawa lakini lakini kumbukeni unaweza kupata hata ulemavu...acheni kuwa MATERIAL.. mwanaume mwenye dini atampenda mke wake hata kama yuko vipi.. Luna unene ambao unatokana na genetics au hormone fluctuation...mi siamni sana katika hayo
Badriya mm nimezaa km wiki moja hivi ila sili sana na tumbo nafunga asubh mpk ucku mpenzi saiv lisharudi kama sijazaa ila bado nafunga mpk nitoke 40 na nna watt4
Hivi inakuaje mm nimekua na tumbo akati Sijawahi kuzaaa huuu akati Dada zangu wamezaa pamoja na mama angu hawana hata matumbo wapo flati hatari mpaka nawaonea wivu 😂😂
Mimi mnaniuzi mnavyoongea nyie wamama tulieni muongee mmoja mmoja bas mwaka ana pont sana tatizo wanamkatisha katisha
Msione wazungu celebraties tu, njooni mitaani muone reality wazungu walivyonamatumbo. Wanakula ovyo majunk food na bears hana mwisho wa time ya kula mpaka usiku wa saa sita anakula tu. Na ndio wengi wapo hivyo. "ANGALIENI KIPINDI CHA U ARE WHAT U EAT" Na ndivyo walivyo wengi mitaani vile.
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmh
Mmh,
Mmmmmm
That's very true wazungu blacks na whites wengi ni vibonge sana wale kwenye movies they work hard na wanachujwa out of many kupatikana . lakini sisi tukiona movies tunaona wazungu wote wako kama walivo kwenye movies
@@themagadir Very true
Tatizo ni magonjwa ya sukari, eneo la tumbo la mwanamke linatakiwa kuwa chini ya inchi 35,na mwanamme chini ya inchi 40 tujitahidi tuwe hapo kwenye hivyo vipimo kunusuru afya zetu.
Ulaji wa vyakula vya wanga sana sahani unajaza kama hamna kesho, tule portion ndogo ya chakula, mwanzoni utaona njaa sana lakini mwili utazoea baada ya muda mrefu, halafu kula kula hovyo tuache tuwe na ratiba maalumu.
Hapo sawa
Mkônñb
Kama unaipenda Women Matters gonga like hapa
Nimependezwa ma uu ushauri
Napenda Sana
Asanteni sana
Aongee mmoja mmoja
Ila Lilian Mwasha ana kipaji kikubwa sana cha kutangaza
Ila anafujo kelele mbele ya camera
Anatak kuongea yy tu kipind kizima awap nafas wagen
Kama pana kipindi mmefundisha ni Leo....my husband use to criticise me coz napenda kufuatilia show yenu especially with dr jj but Leo kaaprociate hadi amenihot sport ...you dd a great job thanx🥰💃
This is what Tanzanians need...keep up spreading the awareness....what we need is simply awareness ❤️much love
I like this comment dear
The doctor his on point : you are what you eat 👌🏾
😁😁😁😁
Ç
Lillian, why don't these women panelists listen and pay attention to what Dr. Mwaka is saying? As I have repeatedly said in the past, "please, you women, puncture your preconceived ideas". Do you want to be productive counselors to your fellow women or not? Learn to listen, learn to appreciate!
Naipenda sana hii mada Mie naiskilizia nikiwa Marekani 🙏🏽🙏🏽Lilian mwasha Mungu Awabariki💪🏼
Leo mmeua sana, big up, mmependeza wote, timu iko powa, hakuna makelele n.k. much love from Italy ❤
Woow pamoja Sana
Ci siamo!!
Dr. Mwaka yupo sahihi sana. Tumbo halipungui haraka taratibu sana kuliko sehemu nyingne za mwili. 👏👏👏🔥🔥🔥🔥
Umejuaje mwenzangu acha tu😂😂
Ssa doctor ww mwenyewe unatumbo huna mvuto unadhani wanawake na wao hawaoni wanaume wanaowavutia nje? Ndoa ni mapenzi na huruma kama mnakosa hayo mtapata taabu sana mana wazuri na wenye mvuto ni wengi (wanawake/wanaume).
Na utasemaje inategemea na pesa, issue sio pesa ni kupendwa. Na km pesa basi hata w'ke wapo wenye pesa na matumbo na wametulia na waume zao ima kwa pesa zao au maridhiano.
ww ndio umeongea point
Dr.Mwaka you are the best.Kuanzia leo nitazingatia chakula ninachokula.
Show nzuri ,thanks for the awareness.Big up
Dr mwaka I appreciate this guy
mashaa Allah ... dr mwaka keep it up 💕
Kipindi kizuri sana mimi Mama Bushanga niko Amerca Ohio naangalia saa hizi na nimependa sana hii topic ushauri wangu topic kama hii mumpe nafasi kubwa Dr kuongea sababu ni mwanaume ili sisi wanawake tuwajue wanaume na waume zetu ili tuje la kufanya majini ya kuishi nao. Hongera sana wasafi TV
Christina nimekusoma sana
Christina nimekusoma sana
Tunahitaji muendelezo wa hiki kipindi jamani! Ili dr. Mwaka atuelimishe afya zetu!
Kweliii
Big up Mr HeA Dr Boaz Mkumbo, Sayansi ya mapishi unayotufundisha. Ulaji unaofaa ndiyo suluhisho la kutokuwa na kitambi.
Asante Sana doct mwaka kwa kipindi CA kupunguza tumbo
Asante saan Dj iyo kwer Dr
Amazing.. Nimependa show
Woooooow Women matters ya leo noma🔥🔥. Party 2 plse Liliane Mwasha 🙏🤗#Wcb4life
Ukweli kabisa doctor, mm mnono chini tu huwa nakunywa maji warm kila wakati,na nko over 40
Big up to the women matters from wasafi media
Wazungu pia wana chakufunga tumbo wala msijidanganye, tena wao, wanafunga ao kubana tumbo tuka bado wako wajawazito, pia maumbile ya watu ni tofauti.
watu wa vitambi vya dharura gongeni like.....Nimecheka aki
Kwa kweli am here for you Dkt Mwaka
Hongereni sana mmependeza na umetufundisha mambo mazuri sana bigup
Big up women matters topic good from manchster united kingdom🙏🙏🙏
Mimi kwa kweli kipindi hiki akiwepo Dk Mwaka napenda kuangalia
This topic is ,real love it
powerful discussion
Doctor mwaka your genius...
Wow... love this
Dr mwakaa I love you nakukubalii Saana mzee baba
Doctor mwaka ongea sana wajichonge kama kalamu kisha waelewe mwanaume wamwanamke mmoja hajazaliwa
Mimi nataka wembamba ambao hawajasilitiwa waje hapa watupe mahope
Kwakweli leo nimepata somo zuri Sana maana hata mm ni muhanga wa kitambi
Kutongozana ni njia aliweka Mungu.kyanza mahusiano hakuna cheap si.mwanaume si.mwanamke ndio.chanzo cha ndoa kubadili alivyopanga Mungu
Hoyoo docter ameyafikisha aliyoo yasema mtume we2 muhamad swalaAllaahu alayhiii waslam alisema hayoo yotee kwamba usile mpka uonee njaa na ukilaa usilee ukashibaa fungaa zaswaumuu n.k
Swadaqta
Kwakweli tunashukuru kwakweli sisi wenye tunamatumbo Allah awalipe Amin nawapenda Saaaan 🙏❤️🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ila Doctor yupo sahihi maana anakwenda na fact🙏🙏
Dr tunakupenda sana thanks
Naomba Dr. Atuelezee kuhusu kulala maana alianza kusema akakatishwa hakuendelea tena
Amazing show❤❤❤🔥🔥🔥
Kwa kweli uzuri wa mtu unahusiana na mtu mwenyewe sio mume wala mke, unatakiwa usisubiri kwasababu mwanaume anaweza kusema mimi nakupenda kama ulivyo
Maashaallah dr mwaka mungu akupe maisha marefu
Asante kwakunielimisha Mimi Niko na swali Dr. Huwo changanyiko unachemushwa ama unakunywa ifo
Lizigo hatulipendagi nyumbani Asante Kaka mwaka🙏🙏🙏
Kwa wale wapenzi wanao penda kutazama the story hii ndio account mpya ya the story book video zitakuwa zina postiwa kila siku fanya kusubscribe ili usipitwe
Kkkkkkkkkk kk 👍
Acha wizi nyoko
Hongera sana
MashaAllah
Mm nampenda Dr mwaka jaman 💕💕💕Mungu amtunze nimepata somo kubwa mnoo na wakina mama and mko vizur jaman
AMIN nampndaa
ila dokt.MWaka anamabalaa huyu baba
Asanteni sanaaaa🙏ila Dr mmemkatishiy bira ajasem swali lakulala kwukupunguz tumbo naomba akilud atwambie nawapenda sanaaaa🇧🇮
Hapo kidogo Dr Mwaka umetereza eti mwanaume hana Estrogen. Mwnaume anayo ila sio nyingi kama mwanamke...estrogen ikiwa nyingi kwenye mwanaume inaweza kumpelekea kuwa na maziwa ( breast) kubwa. Kwan mwanauma ana estradiol ambayo ina msaidia kuzalisha nguvu za kiume...vile kwa mwanamke ni estrogen. So, mwaname ana estrogen hormone ambayo inasaidia sana brain energy .
Mwanaume ni kiumbe mbinafsi sana hata uwe vipi atatoka tu! Wananawake tujifunze kujipenda na sio vingenevyo.
Lilian pls ask doctor , which we've to take even to reduce the tummy
Naomba kutoa maoni yangu;
Mpeni nafasi mzungumzaji atoe mada vzr mnamkatiza sana mpaka inakuwa kero
Awasikiag ata wanaongea mnoo hata point awan
Thanks doctor all i can is God bless u
Lilian thank you so much .
Umeondoa music
Sasa tunakuskia vizuri.
Thanks love
Wazungu Hawali manyama na mitori wamezaa leo wanakula mikate na salat
🙏
Mmhh niliambiwaga Nina mkoba(tumbo Hilo) jaman
Kusema ukweli Dr mwaka kupinguza tumbo ni kazi kweli mm nimeanza muda wa miezi 6 sasa lkn namshukuru mungu nimefanikiwa kupunguza 18 lkn ni shida sana mpaka nimefikia hapo
Wow hongera sana
Asante
Point of correction Not All causians have flat stomach after delivery !
Big up 👍👍
Mchawi chakula.....mm nakula portion kubwa tu ila mwisho wa dinner yang saa moja ikipita hapo sili tena ....nikilala nikiamka tumbo utadhan limekutana na mgongo utadhan silag.asanten kwa kuendelea kunikumbusha nisijisahau
Usile portion kubwa sasa utajiona ok lkn athari zinakuja utuuzimani kuanzia 40 au chini ya hapo
Naipenda sana women matters jaman ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤✌👌
naomba picha ya wake wa dr mwaka niwaone matumbo yao🤣🤣🤣
hahahaaaa
Uchokozi
Mm nafikiri ifike wakati wanawake tulitambue Hilo na inawezekana mtu kibaki na Shep yako hata Kama umezaa .
Yaan mm nimeweza ukiniona hata form one navaa sketi naingia darasani na Nina watoto 4
👏👏👏👏👏
First to comment🔥🔥
Hahahaaaaa eti nyama nyama ktk sehemu sahihi.....Lilian bwana!!!!!!!
Mpaka hapo naona yashanishinda ayo masharti, Surgery zipo jaman cha msingi pesa
Mashallah lkn suala la kufunga mmemkata doctor mwaka alikuwa analizumzia uzuri tu
Nimekipenda
Docter Mwaka
Kweli kabisa wanawake tujitahidi kubalance milo ili uendelee kuwa na mvuto, acha kusingizia kuzaa, namshukuru Mungu mimi nina nzao 2 kawaida na moja ya oparesheni ila sina tumbo na figa inalipa kwa kweli namshukuru Mungu
Manjano ndo yapi carot au manjano nn
@@mariamdaudi2315 binzari ya manjano
Vai Jamani Juice yote umemaliza, maji yote umemaliza na matunda yote pia huku wenzio wakiwa bado hawajamaliza. 😭😭😭 Ni njaa au nini 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Kisha alalamika tumbo
@@mwakahassan8742 😂😂😂😂 yaani nimecheka sana
Nawapenda madokta wote mnaowaletaga ila zaidi dokta mwaka
Women matter woooooh htr kuna point nzuri sanaaa hapa
Acha niwe na kitambi kama pakacha nitavaa dela sijites kwa ajili ya hawa viumbe wazito ambao hata mama yako mzaz akikaa vibaya anamtamani
😊😊😊😊
Mbarikiwe saaaaana kbisa nafurahi🎉😂😂😊😊🥰🥰🥰🥰🥰🥰🤗🤗
Sound ndgo😬lilian mwasha ana vituko🤣🤣tangawiz, swaum, kitunguu maji,lemon brend. Bassila mashalaah ana kaumbo kazuriiiiii.dr kasema usingz ...afu mmemkatisha..
Somo zuri sana
Nice kipindi love u nyote
Anti sadaka hapo kwenye nyama za mbuzi(mangurunyii) 😅😅 hii kitu inaboa
Dr mwaka 💃💃💃
Mm natumbo langu wala cjali ctak presha jaman ....
Hiyo Dada nguo kijana ,anazungumza pointi sana
Hayo yote ni sawa lakini lakini kumbukeni unaweza kupata hata ulemavu...acheni kuwa MATERIAL.. mwanaume mwenye dini atampenda mke wake hata kama yuko vipi.. Luna unene ambao unatokana na genetics au hormone fluctuation...mi siamni sana katika hayo
Kuzaa si kua na tumbo. Na watoto mpaka 3 wengi hawafanyi tumbo labda ujiachie sana.
Kweli mm nimezaa wanne na wala cna tumbo
@@amriyalibent8441 unatumia nn
Badriya mm nimezaa km wiki moja hivi ila sili sana na tumbo nafunga asubh mpk ucku mpenzi saiv lisharudi kama sijazaa ila bado nafunga mpk nitoke 40 na nna watt4
Yaani nilikua nakula uku nasikiliza Ichi kipindi,,duh nusu nitupe chakula nilichokua nakula🥵
Tunakula salad na protein Kama kuku, Samaki, especially supper time
Hongereni waendesha kipindi
Alhamdulillah, hii Mada ya Leo yani kisu kimegonga mfupa 😂hivi vitambi vinatupa stress sana but inshaallah tutaanza
Hivi inakuaje mm nimekua na tumbo akati Sijawahi kuzaaa huuu akati Dada zangu wamezaa pamoja na mama angu hawana hata matumbo wapo flati hatari mpaka nawaonea wivu 😂😂
@@keyakeya8911 😅😅Nacheka kama mazuri, ndo ujitathmini sasa pengine we ndo unaongoza kwa kula Katka Familia yako 😂😂
@@hafsamaulid1256 😁😁😁😁 labda anafakamia
Kweli weee
@@keyakeya8911 punguzaa kula
Kwani mnatumiwa msg WhatsApp mtusaidie na amsomi kabisa namba mmeekea nn
Jalibun kusubili Dr anapoongea Yan hapo tu ndipo mnapokela sjui hamfaham hilo,anakuwa anatoka kwenye mtililiko.
32:51 but huyu dada amenikata jicho