HOTUBA YA DKT JOHN POMBE MAGUFULI UWANJA WA MAZAINA WILAYA YA CHATO JULAI 10,2017

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2017
  • HOTUBA YA DKT JOHN POMBE MAGUFULI UWANJA WA MAZAINA WILAYA YA CHATO JULAI 10,2017

ความคิดเห็น • 109

  • @aymalabdulmalick2876
    @aymalabdulmalick2876 7 ปีที่แล้ว +13

    Ni watu wachache sana wanaoweza kutoa neno la shukrani mbele ya hadhara kama ilivyo kwa Mh Rais Dr JPM! Mungu ambariki sana Sir JPM ktk kutambua wazi wazi walio mfikisha hapo .
    Hakika neno la shikrani ni kauli stahiki kwa muungwana yeyote yule. Mungu ibariki Tanzania.

    • @joycemwati6619
      @joycemwati6619 3 ปีที่แล้ว

      Nimekukumbuka Rais wangu Punzika Kwa Aman Baba🙏🏽

    • @bennybenard2202
      @bennybenard2202 2 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa

  • @amosimnyili2165
    @amosimnyili2165 3 ปีที่แล้ว +10

    Shujaaa wetu,mpambanaji wetu mtetezi wetu tunakushukuru mwenyezi munngu kwa kutupa Zawad ya magufuli asante sana

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi656 3 ปีที่แล้ว +11

    nitakupenda DAIMA Rais wangu

  • @ngarabaibrahimmzee5107
    @ngarabaibrahimmzee5107 3 ปีที่แล้ว +12

    He was a great leader in Tanzania

  • @patricklembeli8523
    @patricklembeli8523 3 ปีที่แล้ว +6

    Maraika arieko mbinguni anaishi ila mlohusika mungu anawajua cc hatuwajui ila 🇹🇿 tutaiacha

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 3 ปีที่แล้ว +8

    Magufur ametoka chin ndiomana anajali anajali wanyonge maana alieyajua maisha

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 3 ปีที่แล้ว +6

    Acha nilie tu naimis hii sauti😭😭😭😭😢😢😢

  • @AbuuShaymaa
    @AbuuShaymaa 3 ปีที่แล้ว +13

    Atakumbukwa JPM

  • @shindapapaya9194
    @shindapapaya9194 7 ปีที่แล้ว +10

    Shikamoooo JPM hapa kazi 2 💪 💪 💪

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 3 ปีที่แล้ว +6

    Asante kwa yote Mungu,sisi wote tunapita, magufuli lala Salama

    • @jackson-ly7ci
      @jackson-ly7ci 3 ปีที่แล้ว +1

      Waliohusika wapo

    • @ashamwandu6572
      @ashamwandu6572 3 ปีที่แล้ว +1

      Watamkuta Hilo ni deni mbele ya Mungu.unazani watatoka salama???

  • @teophilkayaula7335
    @teophilkayaula7335 7 ปีที่แล้ว +5

    hongera sanaaaa RAIS wangu piga kazi

  • @godfreybikukana7727
    @godfreybikukana7727 3 ปีที่แล้ว +15

    Mungu mwenye upendo nakuombea akupokee kwenye ufalme wake Kama kunasehemu ulijikwaa akusamehe Sana

  • @stevensimtowe4511
    @stevensimtowe4511 3 ปีที่แล้ว +18

    Apa nimejifunza kuwa Alie toka kwenye Umasikini Ndo mtu Anae jua shida ya Umasikini,Waelewa wataelewa

  • @aishamwinyi5048
    @aishamwinyi5048 3 ปีที่แล้ว +7

    Tutakukumbuka sana jembe la Tanzania 🇹🇿 😭

  • @bennybenard2202
    @bennybenard2202 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi Mungu akulinde uko uliko, Watanza tunasema Tunashukuru kwayale mema uliyo tufanyia akika we ndie mfano wakuigwa Africa na dunia nzima kiujumla Mungu akulaze mahali pema peponi Ameeni.

  • @christophermedau9955
    @christophermedau9955 3 ปีที่แล้ว +8

    Dah Rip jpm

  • @mwarabubahatliezer624
    @mwarabubahatliezer624 3 ปีที่แล้ว +1

    Dah kweli mimi binafsi nakukumbka sana na sitawahi kukusahau maishani wangu wote hakika ulikuwa shujaa wa ukweli na ulitumwa kuwa mfano kwa marais wote duniani

  • @mkwindamussa1336
    @mkwindamussa1336 2 ปีที่แล้ว +1

    Tunakukumbuka Sana lais wetu,mungu akupumzishe,

  • @johnmathenge3406
    @johnmathenge3406 3 ปีที่แล้ว +5

    Najua kitu kimoja kuwa Hayati Mzee Benjamin William Mkapa alikuwa rais mzuri kwa WaTanzania na wakati alipostaafu alikuja nchini Kenya baada ya machakufo ya ghasia 2007/2008 pamoja na Mzee Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne. Kweli WaTanzania ni majirani wema na wakati mulipoteza rais JPM mwezi Machi ilikuwa huzuni kubwa lakini Mungu amewapa Mama Samia Suluhu Hassan.

    • @nickodemsimchimba594
      @nickodemsimchimba594 3 ปีที่แล้ว

      Samia hatumpendu

    • @johnmathenge3406
      @johnmathenge3406 3 ปีที่แล้ว

      Najua kama JPM angekuwa uhai bado angechukiwa sana maanake shida yetu kama Wafrika kiongozi akifanya maendeleo tunasema yeye ni mbaya, dikteta. Kwa mfano nchi kama Libya, Syria, Iraki, Yemen zilikuwa nchi nzuri na kulikuwa na amani lakini watu walidanganywa angalia sasa. Angalia ndungu yangu huku kwetu Kenya watu wanasema heri rais Mwai Kibaki kuliko rais Uhuru Kenyatta maanake tumeumia kiuchumi, ukabila umezidi na ufisadi inatutafuna kila siku kama jinsi ambavyo rais wenu wa awamu ya kwanza Mwalimu Julius Nyerere alisema. Shukuru mwenyezi Mungu kuwa muna rais mwanamke ambaye amefanya kazi nzuri hadi uchumi yenu iko nzuri kuliko yetu. Nitamalizia na msemo wa rais wenu wa awamu ya nne Dr Jakaya Mrisho Kikwete Akili za kuambiwa changanya na za kwako.

    • @nickodemsimchimba594
      @nickodemsimchimba594 3 ปีที่แล้ว

      @@johnmathenge3406 Tanzania Rais Magufuri ndio Nembo ya taifa,na ni kiongoz Pekee tutakae mkumbuka vizazi vyote,huyo mwanamke achana nae wew humjui,saivi anahangaika na barakoa, kuleta Chanjo za Corona vitu ambavyo mtangulizi wake hayati JPM alikua anapinga lakn yeye ndie ameanza kushikilia saivi.....huyu mama mbaya Sana,wizi ufisadi umeanza kurudi kama ulivyokua ktk utawala wa kikwete.... Tunashukuru kutambua utendaji kazi wa Hayati JPM lakn usije ukafikiri huyu mama kuna jambo jipya anafanya hakuna kabisa!

  • @henerkojuma2230
    @henerkojuma2230 3 ปีที่แล้ว +3

    I love you dady

  • @happydionice355
    @happydionice355 3 ปีที่แล้ว +4

    RIP baba yetu mpendwa

  • @mussaisaac
    @mussaisaac 3 ปีที่แล้ว +2

    Baba maneno yako yananitia huzuni sana.nakulilia mimi

  • @rashidmohamedi1495
    @rashidmohamedi1495 3 ปีที่แล้ว +1

    Nilichojifunza kitu ni kwamba Duniani tunapita hawa ote mungu kawachuka dah mungu awaweke mahali pema

  • @anamayala8896
    @anamayala8896 3 ปีที่แล้ว +1

    Umebaki ndani ya nafsi yangu na ya wayanzania wote kama nebo hatuwezi kukusahau tulalapo tusimamapo tukaapo kamwe hauwezi ukatutoka ndani ya fikira zetu na mionyo yetu daima tutakukumbuka milele

  • @ezekielnjau8830
    @ezekielnjau8830 3 ปีที่แล้ว +1

    Pumzika kwa amani baba, chumaa, mwamba wa Africa, will miss you kwakweli, mzalendo wa kweli

  • @lugembefabianfabian7745
    @lugembefabianfabian7745 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akupumzishe kwa amani jembe letu

  • @emmanuelpastory6074
    @emmanuelpastory6074 3 ปีที่แล้ว +7

    Jembe Kama jembe

  • @mossymtwana6422
    @mossymtwana6422 3 ปีที่แล้ว +3

    Upumzike kwa Amani

  • @josephmsabila2592
    @josephmsabila2592 3 ปีที่แล้ว +3

    Rip DK magufuli

  • @Kingnelbo
    @Kingnelbo 5 ปีที่แล้ว +2

    Mr president 🇹🇿

  • @andrymilanzi4720
    @andrymilanzi4720 3 ปีที่แล้ว +2

    Never forget him

  • @mbarikiwalazarowatisa2086
    @mbarikiwalazarowatisa2086 7 ปีที่แล้ว +5

    my president

    • @nellhaule303
      @nellhaule303 3 ปีที่แล้ว

      Yes

    • @emmamataru5059
      @emmamataru5059 3 ปีที่แล้ว

      daaaaaaaaa babaaaa

    • @mashallamazoya5080
      @mashallamazoya5080 3 ปีที่แล้ว

      My leader ever happened in in dz times

    • @pitachales1914
      @pitachales1914 3 ปีที่แล้ว

      Hautasahaulika kamwe daima tutakukumbuka mkombozi m beba maono we we umeletwa namungu sio wananchi vyetifeki mishahara hewa watanzanzania walikua hajuikui kua nchi inaliwa

  • @dicksonilugakingilamtalemw3944
    @dicksonilugakingilamtalemw3944 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulaze maala pema peponi

  • @burudatv751
    @burudatv751 3 ปีที่แล้ว +7

    Chuma endelea kupumzika kwa amani

    • @hamiarseif7299
      @hamiarseif7299 3 ปีที่แล้ว

      APUMZIKE KWA AMANI AMANI IYO AIPATE WAPII MUWAJI YULE

    • @zenaabdallah3797
      @zenaabdallah3797 3 ปีที่แล้ว

      @@hamiarseif7299 MUUAJI NI WW ULIOKOSA SHUKRANI ALIMUUA NANA ACHA UNAFIKI WW C MTOA HUKUMU.KILA MJA ANAMAPUNGUFU YAKE ILA C KWAWAPINGA MAENDELEO.MMEZOEA RUSHWA.

    • @hamiarseif7299
      @hamiarseif7299 3 ปีที่แล้ว

      @@zenaabdallah3797 WE NIMJINGA HUJUI ALO WAUWA AU UNA UPENZI TU NIKUHESABIE WAMEULIWA KWA ARI YANANI WALE WALO UWA WA

    • @zenaabdallah3797
      @zenaabdallah3797 3 ปีที่แล้ว

      @@hamiarseif7299 UCMHUKUMU MTU KWA VITU AMBAVYO HUNA UHAKIKAWALA USHAHIDI.ACHA NIWE MJINGA LAKINI NINAIMANI NA JPM HAKUWAHI KUFIKIRIA KUUA ACHA UNAFIKI

    • @hamiarseif7299
      @hamiarseif7299 3 ปีที่แล้ว

      @@zenaabdallah3797 NINA UHAKIKA KAUWA YE NIAMBIE KUNA UCHAGUZI GANI WATU WATU WALOKUFA KAMA HUU AU KUPOKONYWA MAJIMBO YAO YOTE KAMA MWAKA HUU. NIAMBIE AU HUKUONA. MIMI BINAFS KAKAANGU KSHINDA KWENYE JIMBO LAKE HAKUPEWA KAPEWA MTU KWA KURA 17 IYO NI. HAKI. WE VIPI NI MUUAJI

  • @christinamabula416
    @christinamabula416 3 ปีที่แล้ว +1

    Tutakukumbuka daima

  • @josephkuyela2608
    @josephkuyela2608 3 ปีที่แล้ว +4

    😭😭😭

  • @rugaziabaisi6199
    @rugaziabaisi6199 3 ปีที่แล้ว +1

    Love you always

  • @youngblack3203
    @youngblack3203 3 ปีที่แล้ว +5

    Tuna kukumbuka rais wetu mungu akusamehe pale ulipo jikwaa

  • @mohamedingori8799
    @mohamedingori8799 7 ปีที่แล้ว +3

    tunyoshe baba magufuri

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @mayaltv9441
    @mayaltv9441 7 ปีที่แล้ว +2

    potential speech

  • @faithhumble3780
    @faithhumble3780 3 ปีที่แล้ว +1

    Duuuh Pumzika kwa Amani Mzee wetu JPM

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile1523 3 ปีที่แล้ว +1

    Milele tutakukumbuka mzee wetu

  • @davidjanta2799
    @davidjanta2799 3 ปีที่แล้ว +1

    Kipenzi cha wengi umeachà pengo kubwa, kwa wazalendo, ,,kifo chako kimeamsha furaha kubwa kwa majambazi ya kitaifa na kimataifa, upigaji wa kupinukia utaendelea

  • @kalolijuma3582
    @kalolijuma3582 3 ปีที่แล้ว +2

    daaaa😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @harunarashid6404
    @harunarashid6404 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ndiye alikuwa rais😭😭😭

  • @ezzyphilipo4357
    @ezzyphilipo4357 3 ปีที่แล้ว +3

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @zakayondaturu3149
    @zakayondaturu3149 3 ปีที่แล้ว +2

    Baba ye2 kwa heri😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @magulufamily177
    @magulufamily177 3 ปีที่แล้ว +1

    Nenda lakini mipango yako sasa inahujumiwa na wakaribu yako

  • @donimitwango3056
    @donimitwango3056 3 ปีที่แล้ว +1

    Pumzika kwa amani baba

  • @nicodemussalala8638
    @nicodemussalala8638 3 ปีที่แล้ว +1

    Jembe letu pumzika kwa amani baba yetu

  • @emmanuelmashishanga5057
    @emmanuelmashishanga5057 3 ปีที่แล้ว +2

    😭

  • @priscahaule4523
    @priscahaule4523 3 ปีที่แล้ว +1

    Wewe ndie rais wawanyonge

  • @user-nk5rq9fc6j
    @user-nk5rq9fc6j 10 หลายเดือนก่อน +1

    Pumzika Kwa amani jembe latu

  • @heribandwa8028
    @heribandwa8028 3 ปีที่แล้ว +1

    Heri

  • @kaizamulinda633
    @kaizamulinda633 7 ปีที่แล้ว +2

    Kwenye tukio la kitaifa kama hili sare za chama niza nini? huu umbumbumbu sijui utaisha lini

    • @ramadhanikaita9672
      @ramadhanikaita9672 5 ปีที่แล้ว

      Sasa ndugu yangu hizo sare walizovaa zinakuuma nini kwani wewe shida yako nini unakwama wapi fata maneno yake usifate matendo yake

    • @maxiwellndeleman4975
      @maxiwellndeleman4975 5 ปีที่แล้ว

      Chama kinachoongoza ndo hicho..

  • @MussaBudeba-sj7eb
    @MussaBudeba-sj7eb ปีที่แล้ว +1

    Magufuli abananisha muchina

  • @bashiteentertainment3298
    @bashiteentertainment3298 3 ปีที่แล้ว +2

    Ulale pema yako mema daima tutayaenzi katika kuyafikia maemdelea ya nchi nawananchi pia

  • @lazarousabraham9801
    @lazarousabraham9801 10 หลายเดือนก่อน

    Ngorongoro

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 3 ปีที่แล้ว +2

    Sasa bongo mambo shwar.

    • @zenaabdallah3797
      @zenaabdallah3797 3 ปีที่แล้ว

      USHWARI UNAUPATA WW MWENYE ROHO YA MKAANGA SUM USIEPENDA KUONA MAENDELEO YA NCHI YAKO KILA MTU KWAKO NI ADUI KINACHOKUFURAHISHA NI NN?YATAFIKA MAJUTO NDIO UTAPATA TAFISIRI YA SHWARI MUNGU YUPO

    • @charleskazimily2452
      @charleskazimily2452 3 ปีที่แล้ว

      Nyau wew

  • @YamunguYb
    @YamunguYb 7 ปีที่แล้ว +2

    Mungu azidi kukupa Ulinzi Rais wetu

  • @focusdaily2742
    @focusdaily2742 3 ปีที่แล้ว +4

    From this speech I can confirm that Magafuli was not a dictator, but a discipline servants

    • @JayrosKidaga
      @JayrosKidaga 11 หลายเดือนก่อน

      ¹111¹¹¹¹¹1¹111q

  • @AllyIssya-cy9yg
    @AllyIssya-cy9yg หลายเดือนก่อน

    akika tinga tinga lime zimika, tuta kuku mbuka sana

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 7 ปีที่แล้ว +1

    heshima kwako

  • @hamiarseif7299
    @hamiarseif7299 3 ปีที่แล้ว

    KUONDOKA KWAKO NIFARAJA KUBWA KWA WATANZANIA IMEONDOKA ZULUMA

    • @awezaejohn4893
      @awezaejohn4893 3 ปีที่แล้ว +1

      Kila nafs itaonja mauti jichanganye sasa

    • @hamiarseif7299
      @hamiarseif7299 3 ปีที่แล้ว

      @@awezaejohn4893 NIJICHANGANYE NA NINI NA HUYU MTU ALIKUWA MBAYA SANAAA

    • @beatricehenry6776
      @beatricehenry6776 3 ปีที่แล้ว +1

      @@hamiarseif7299 Kama wewe ulivyo mbaya na mchawi wa mchana uchawi uliotumia kumloga jembe letu unakutafuna mpaka unaongea hadharani jifiche basi tusijue km Ni kundi kigogo

    • @hamiarseif7299
      @hamiarseif7299 3 ปีที่แล้ว

      @@beatricehenry6776 HILI NI JEMBE LAKINI LAKUZOLEA MAFI. HUKUMBUKI ALIVOTUUWA KWA MADARAKA TU UMESAHAU AU HUKUONA UBAYA ALOUFANYA KWENYE UCHAGUZI IMEWAHI KUTOKEA KAMA VILE JEMBE GANI MUUWAJI AFE TU

    • @hamiarseif7299
      @hamiarseif7299 3 ปีที่แล้ว

      @@beatricehenry6776 JEMBE MAVII LILE