WENYE ROHO NDOGO TUNAISHIA KUTOA MACHOZI TUU,, SIO YA MAUMIVU, BALI NIYA FURAHA NA SHUKRANI KWA MUNGU ALIYE JUU YA FALME ZOTE. ILIMPENDEZA ATUPE JPM 🙏🏽🙏🏽
Aiseee watanzania tuna bahati sana, Hii ni bahati iliyoje,nakupenda Sana Mh rais mungu azidi kukubariki ktk utendaji wako wa kazi, yaani Kila nikisikiliza hotuba zako najihisi nimeshiba hata Kama Nina njaa. Mungu ibariki Tanzania,mungu mbariki Rais wetu JPM.
Huyu ndiyo rais watu wanapanga dili za wizi yeye anapangua hapo hapo akuna cha kuhunda tume time ni wizi mwingine baba hapo ulipo lala mungu atume malaika wake usiku Na mchana tulikupenda sana lakini kwakua kazi ya mungu aina makosa yeye aliyetupa jpm kuna siku atatupa mwingine kama huyu tusichoke kumuomba kila kukicha
Haya sasa wale makenge wanao sema raisi anapendelea mkoa wake wako wapi wajifanye wanajikuna, au wajifanye wanaongea na sim waone fekelea mbali😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Huy Muheshimiw kiboko ya wote tumlinde tumuwekee ulinzi wa kama Kim jong yun ....kwa nguvu zote....nan alisubut hay nambien wadau awam 1,2,3,4,nani zaid ya Magu ....mpaka Takukuru nao chupi zinawaban...
Mr.mwanri sir that man who was in charge at tabora please that man is a man to help you in your very difficult job of giving equal justice to your people
Hongera rais makufuli tunaomba takukulu wafanyakazi wawe wanahamishwa uku mbarali toka nipo shule ya msingi hawajawahi kuamishwa utafiki wanakijiji hawana lolote wanakunywa pombe mda wote
Yani magufuri nakupigia kula Asubui mapema ww ndio mkombozi ila tuchunguzie wabunge walioshinda maendeleo uku kwetu bdo miaka 5 ajafanya kitu sasa kapita tena ivi kweli haki tizama n.a. hilo
rais kauzu kweli, et anamwambia yule mjeda kaa bhana nicjute hzo nyota nilizokupa 😀😀😀 kwa kweli bado najiuliza ukauzu huu nani anauweza ? Takukuru Ng'ata😀😀😀🔙 leo nimecheka mpaka machozi yametoka. Uyu mzee anatufariji sana sisi wananchi, yaani tunaishi bila ya hof swaaaaaf kabisa😀😀😀. Lini tena utahutubia hata kama nina safar nisiende ctak kuadisiwa mimi 😀😀😀.
Alex Kihongola ....ntakutumia bandle ni dai kweny ukweli hutak kupinda pinda lazima tunyooshe maelezo kwa hali tunavyoina viongoz wetu wa Africa huwez linganisha na Magu ht robo ....pumbav...
Jamani katiba ingekuwa inaruhusu magufuli angekaa ata miaka 30 tunakupenda sana raisi
Huyu ndiye Mh.Raisi Magufuli.
Unanifanya nitembee kifua wazi mzee wangu!.
WENYE ROHO NDOGO TUNAISHIA KUTOA MACHOZI TUU,, SIO YA MAUMIVU, BALI NIYA FURAHA NA SHUKRANI KWA MUNGU ALIYE JUU YA FALME ZOTE. ILIMPENDEZA ATUPE JPM 🙏🏽🙏🏽
Ubarikiwe sana kwakulitambua hili
Kabisa
Super Mheshimia Dkt Magufuli unamiliki kona zote Katika Nchi nzima pamoja na Rushwa ya kila siku hongera sana
Nampenda sana raisi wangu nakuombea miaka buku jero ukiwa raisi wa Tanzania
Kweli ofisi ni nzuri sana,naijua na inafaa mno, hii ni bahati kweli msema kweli mpenzi wa Mungu, Hongera Mh Rais
Aiseee watanzania tuna bahati sana,
Hii ni bahati iliyoje,nakupenda Sana Mh rais mungu azidi kukubariki ktk utendaji wako wa kazi, yaani Kila nikisikiliza hotuba zako najihisi nimeshiba hata Kama Nina njaa.
Mungu ibariki Tanzania,mungu mbariki Rais wetu JPM.
Amen
Ni Maombi yetu kwa mungu tupate mtu kama huyu
Kweli kizuri akidumu tulimpenda lakini mungu alimpenda zaid
Huyu ndiyo rais watu wanapanga dili za wizi yeye anapangua hapo hapo akuna cha kuhunda tume time ni wizi mwingine baba hapo ulipo lala mungu atume malaika wake usiku Na mchana tulikupenda sana lakini kwakua kazi ya mungu aina makosa yeye aliyetupa jpm kuna siku atatupa mwingine kama huyu tusichoke kumuomba kila kukicha
kabisa😊😊
Rais anaongea point sanaa akwepeshii uyuu ndiee mwanamume sio mwanaume ni #MWANAMUME
Huwa silijutii bando langu ninapokusikiliza rais wanguu, nakuombea kwa mungu uwe raisi wa tanzania, milele na milele mpk mwisho wa uhai wakoo
Ukweli usemwe raise dkt magufuli
Haya sasa wale makenge wanao sema raisi anapendelea mkoa wake wako wapi wajifanye wanajikuna, au wajifanye wanaongea na sim waone fekelea mbali😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Watakua wanajikuna saizi
"Mjipendekeze Chato wakati nimeshaondoka kwenye uraisi"
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Safi JPM...
Haya wale wakupinga, mpinge na hili
MHANDISI + DOCTOR UTAMDANGANYA NINI HUYU MZEE JPM 😍😍😍
Inatia Matumaini, Rais JPM Watanzania nina imani wote wanakupenda. Piga kazi Baba.
Tundulisu jeh!😂😂😂
Binafs nataman uwe Rais hata miaaka 20
Wewe mzee wewe hapo nyuma ebu sema baba😁😁imekaje kaaje usiogope hakuna wa kukufukuza😊😊😊JPM oyoooooo🙏🙏🙏🙏🙏
KAPATWA NA UBUBU
Tangia asubuhi ninakufuatilia baba uwe mkweli siku zote waache kujipendekeza
Huy Muheshimiw kiboko ya wote tumlinde tumuwekee ulinzi wa kama Kim jong yun ....kwa nguvu zote....nan alisubut hay nambien wadau awam 1,2,3,4,nani zaid ya Magu ....mpaka Takukuru nao chupi zinawaban...
Acha tu kakangu
JPM mwamba mno, Hakuna wa kumfananisha nae, na hajazaliwa Bado, wengine marais wa maonyesho tu.
Nasema hivi anaeweza kuwa kama yeye ni Dr kakulwa katibu mkuu wa ccm
HAKUNA KAMA MAGU BWANA
Hapa ndo vizuri unamwambia mtu waziwazi, ili hata viongozi wanao jipendekeza wakitizama hii clip waache kujipendekeza
Hila ukiambiwa unajipendekeza inauma hiyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sana,,,ila kauli kama hiyo haipendezi sana !!!
Huo ndio ukweli Kuna Viongozi wanafanyakazi kwa kujiendekeza, Uzuri JPM amesha shtukia mchezo
Inauma sanaaaaa😂😂😂😂😂waache kujipendekeza
Ndo waache kujipendekeza
Kuambiwa unajipendekeza inauma sana,mimi mwenyewe nikiambiwa najipendekeza ata kama nindugu yangu,nakaa nae mbali sana
Safi,naona viongozi waliowengi hawajaelewa maono ya Raisi wangu.Mungu ibariki Tanzania.
Mr.mwanri sir that man who was in charge at tabora please that man is a man to help you in your very difficult job of giving equal justice to your people
I also need that oldman back!
Ukweli na uwazi unasema ukweli mheshimiwa.
Kaaa bwana nisije nikasema izi nyota nimekupa za bure
Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏
Huyu mzee baba ananifurahisha sana anaonaga mbaaaaliiii eti dalili za rushwa duuh mwangaluka
Mungu akupunguzie azabu ya kabr kamanda
Magufuli ukimaliza mhula wako njoo uku kwetu Kenya,tukupe urais,huyu wetu ni boya sana
😂😂😂😂😂eti boyaa,,, Dah
Wakomeshe baba hapa kazi tu
Nivigumu kumpata kama jpm lakini kwa mungu yanawezekana
Hongera rais makufuli tunaomba takukulu wafanyakazi wawe wanahamishwa uku mbarali toka nipo shule ya msingi hawajawahi kuamishwa utafiki wanakijiji hawana lolote wanakunywa pombe mda wote
Hongera, hakuna mchezo na pesa za wana nchi, lazima mtu akae sana tuu
Hotuba kam hiz n tam san yani zaidi ya sali n sukari
Yani we baba nakupenda mpaka naumwa
C.simba Johannesburg magufuli nakukubar sn mzee Wang
Hii ndo ilkua Serikali bna,RIP mr President JPM much love to you
Mweshimiwa Rais kura yangu umepata sema hao wakujipendekeza kwa kukufuraisha wewe na wachinja kilakitu ndio ndio wa kina msukuma hao
JPM wanyooooshe walizoeakula bike hao
Mungu amuekee huyu mzee magufuli kwa kweli..oohhh ..magufuli oyeee
Tanzania ilikua na Rais kweli lakini Leo hii hatuna Rais tuna mafisadi
Ndio shida ya kufanya kazi kwa mihemko hiyo itawakost
Yani magufuri nakupigia kula Asubui mapema ww ndio mkombozi ila tuchunguzie wabunge walioshinda maendeleo uku kwetu bdo miaka 5 ajafanya kitu sasa kapita tena ivi kweli haki tizama n.a. hilo
wapi huko? Wa kulaumiwa ni hao waliompigia tena kura za maoni.
" Mimi moyo ulishakuwa sugu"...😂😂😂😂😂😂
Yaani nakupenda sana baba rais wetu tumbuwa tumbuwa hao warudishe hela watumbuwe
Sawa pambana na ufisandi Rais wetu
NI VIGUMU KUPATA RAIS ALIYEKO SERIOUS KAMA JPM HUKU AFRICA
Mungu aiweke robo magu peponi amina
Very insightive,magufuli continue resting in peace
Courage baba wetu Sisi watoto wa Congo tunakuliliya mungu akulaze Mali pema
Haaaaa baba hao wanakuvuruga kweli ....bado hawajakujua vizuri😀😀😀
Mungu akupe maisha malefu lais wabgu
Tumuongezee mda huyu Rais wetu ainyooshe nchi!
kula yangu haikupotea kabisaa MUNGU akuweke pia natamn utawale miaka yotee
Thank you so much Mr.President much love to you
Nmesikiliza Mara 10
rais kauzu kweli, et anamwambia yule mjeda kaa bhana nicjute hzo nyota nilizokupa 😀😀😀 kwa kweli bado najiuliza ukauzu huu nani anauweza ? Takukuru Ng'ata😀😀😀🔙 leo nimecheka mpaka machozi yametoka. Uyu mzee anatufariji sana sisi wananchi, yaani tunaishi bila ya hof swaaaaaf kabisa😀😀😀. Lini tena utahutubia hata kama nina safar nisiende ctak kuadisiwa mimi 😀😀😀.
Good president magufuri
Tumbua huyo na mkuuwao kwanini mnajipendekeza huyo ndo Rais tunaemuhitaji sio mliomtaka
unajua mtanivuruga hapa
Hii inaitwa makavu live 😃
Alikufa Kiongozi wa Tanzania 😭
Mh uko sawa kabisa
Takukuru😂soma iyoooo😁😁😁😁
Wamejikologa lolote litalokea hapo lazima
Ahsante MH rais
Safi sana Rais wangu
Kweli mweshimiwa
Baba maliza wabaya wote
Yes..
Preach father preach.!!
Safiiiii. Mzee magufulii oyeeee...
Nchi iwe Safi hii wamezoea hao
Daima utakuwa mioyon mwetu😢😢🙏🙏
Duh usitake nione nyota nilizo kupa za bure 🤣
Magu anajuwa adumu milele ewe mwenyezi mung jaliya ameni...😘😘
Rais Leo nimekusifia sna
Wanajpendekeze had wanakela
Hongera sana Rais.
Safi sana mh Raisi
Sidhani kama Takukuru watajing'ata wenyewe. TAKUKURU NG'ATA.
Huyu mzee kwanini hamtaki kumuelewa jamani
Safi sana mheshimiwa
Jamaniii huyu mzee aendelee tu ..huyu ndio rais tunaemtaka
Kenya tungepata kiongozi Kama huyu.ningejivunia kuwa mkenya sana, NAVUMILIA TU!MILEVI MIIZI.
😂😂😂wamesha fanya no dili walijua huwaangaliii 🤣🤣🤣wapigadili mbona same hamna jengo la takukuru mnajipendekeza kwa babu 🤣🤣🤣🤣
Mkulu kashasema hataki shobo
Ziteendeeni mema izo pesa Kuna vitu kibao vya kufanya
Duh JPM hahaaaa hatari sana! Usiombe ubananishwe naye😅
Alex Kihongola ....ntakutumia bandle ni dai kweny ukweli hutak kupinda pinda lazima tunyooshe maelezo kwa hali tunavyoina viongoz wetu wa Africa huwez linganisha na Magu ht robo ....pumbav...
Huyu baba apumzike kwa amani
Pumzika kwa Amani Mpendwa wetu Rais
vua nyota izo anatia haibu jeshi
Very nice rip john pombe
Sio rushwa mzee ila hiyo ni kujipendekeza kwako
Bila kubuluzwa hawaelewi Hawa viongozi
Baba Ng'ataaaaaa
RAIS HUYU HATAWAHI KUPATIKANA TENA!!
Husia wababa magufuli
Takukuru Ngata ngata
awakujui baba watoboe
Mzee magu polesana kwakazi ngumu uliyonayo yani sijui kwanini huwa hawakuelewi usichoki kwene ukweli mungu yupo nawewe
Daaah.....J.P.M ni Noma sana .🙌🙌🙌
Hakuna kama ww baba upumzike kwa aman
2024
Monyo sungu
Aic nyakato
Hatariii
Mmmmmh kweli mkuu nakubali kazi yako
El pressdente. My president God bless you sir