MAGUFULI AMKAANGA KIGOGO TAKUKURU "MNAJIPENDEKEZA KWANGU, MIMI MOYO USHAKUA SUGU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 200

  • @joharijumbe6543
    @joharijumbe6543 4 ปีที่แล้ว +29

    Jamani katiba ingekuwa inaruhusu magufuli angekaa ata miaka 30 tunakupenda sana raisi

  • @benedictaustard3423
    @benedictaustard3423 4 ปีที่แล้ว +20

    Huyu ndiye Mh.Raisi Magufuli.
    Unanifanya nitembee kifua wazi mzee wangu!.

  • @aaaaaah290
    @aaaaaah290 4 ปีที่แล้ว +28

    WENYE ROHO NDOGO TUNAISHIA KUTOA MACHOZI TUU,, SIO YA MAUMIVU, BALI NIYA FURAHA NA SHUKRANI KWA MUNGU ALIYE JUU YA FALME ZOTE. ILIMPENDEZA ATUPE JPM 🙏🏽🙏🏽

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 4 ปีที่แล้ว +21

    Super Mheshimia Dkt Magufuli unamiliki kona zote Katika Nchi nzima pamoja na Rushwa ya kila siku hongera sana

  • @razakpaulo6407
    @razakpaulo6407 4 ปีที่แล้ว +16

    Nampenda sana raisi wangu nakuombea miaka buku jero ukiwa raisi wa Tanzania

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 4 ปีที่แล้ว +23

    Kweli ofisi ni nzuri sana,naijua na inafaa mno, hii ni bahati kweli msema kweli mpenzi wa Mungu, Hongera Mh Rais

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv7305 4 ปีที่แล้ว +39

    Aiseee watanzania tuna bahati sana,
    Hii ni bahati iliyoje,nakupenda Sana Mh rais mungu azidi kukubariki ktk utendaji wako wa kazi, yaani Kila nikisikiliza hotuba zako najihisi nimeshiba hata Kama Nina njaa.
    Mungu ibariki Tanzania,mungu mbariki Rais wetu JPM.

    • @clifordmsongole1134
      @clifordmsongole1134 4 ปีที่แล้ว

      Amen

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 2 ปีที่แล้ว

      Ni Maombi yetu kwa mungu tupate mtu kama huyu

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 2 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kizuri akidumu tulimpenda lakini mungu alimpenda zaid

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 2 ปีที่แล้ว

      Huyu ndiyo rais watu wanapanga dili za wizi yeye anapangua hapo hapo akuna cha kuhunda tume time ni wizi mwingine baba hapo ulipo lala mungu atume malaika wake usiku Na mchana tulikupenda sana lakini kwakua kazi ya mungu aina makosa yeye aliyetupa jpm kuna siku atatupa mwingine kama huyu tusichoke kumuomba kila kukicha

    • @DavidSang-w3r
      @DavidSang-w3r ปีที่แล้ว

      kabisa😊😊

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate1488 4 ปีที่แล้ว +15

    Rais anaongea point sanaa akwepeshii uyuu ndiee mwanamume sio mwanaume ni #MWANAMUME

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 4 ปีที่แล้ว +17

    Huwa silijutii bando langu ninapokusikiliza rais wanguu, nakuombea kwa mungu uwe raisi wa tanzania, milele na milele mpk mwisho wa uhai wakoo

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 4 ปีที่แล้ว +17

    Haya sasa wale makenge wanao sema raisi anapendelea mkoa wake wako wapi wajifanye wanajikuna, au wajifanye wanaongea na sim waone fekelea mbali😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @janeyoj8228
    @janeyoj8228 4 ปีที่แล้ว +26

    "Mjipendekeze Chato wakati nimeshaondoka kwenye uraisi"
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Safi JPM...
    Haya wale wakupinga, mpinge na hili

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 4 ปีที่แล้ว +15

    MHANDISI + DOCTOR UTAMDANGANYA NINI HUYU MZEE JPM 😍😍😍

  • @generaltanzania1810
    @generaltanzania1810 4 ปีที่แล้ว +11

    Inatia Matumaini, Rais JPM Watanzania nina imani wote wanakupenda. Piga kazi Baba.

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock9562 4 ปีที่แล้ว +12

    Binafs nataman uwe Rais hata miaaka 20

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 4 ปีที่แล้ว +11

    Wewe mzee wewe hapo nyuma ebu sema baba😁😁imekaje kaaje usiogope hakuna wa kukufukuza😊😊😊JPM oyoooooo🙏🙏🙏🙏🙏

  • @angelshio2617
    @angelshio2617 4 ปีที่แล้ว +15

    Tangia asubuhi ninakufuatilia baba uwe mkweli siku zote waache kujipendekeza

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull1265 4 ปีที่แล้ว +16

    Huy Muheshimiw kiboko ya wote tumlinde tumuwekee ulinzi wa kama Kim jong yun ....kwa nguvu zote....nan alisubut hay nambien wadau awam 1,2,3,4,nani zaid ya Magu ....mpaka Takukuru nao chupi zinawaban...

    • @claudiangowi9585
      @claudiangowi9585 4 ปีที่แล้ว

      Acha tu kakangu

    • @alexkihongola798
      @alexkihongola798 4 ปีที่แล้ว +3

      JPM mwamba mno, Hakuna wa kumfananisha nae, na hajazaliwa Bado, wengine marais wa maonyesho tu.

    • @muganyiziemmanuel4897
      @muganyiziemmanuel4897 4 ปีที่แล้ว +1

      Nasema hivi anaeweza kuwa kama yeye ni Dr kakulwa katibu mkuu wa ccm

    • @wazirikhamisi4828
      @wazirikhamisi4828 4 ปีที่แล้ว

      HAKUNA KAMA MAGU BWANA

  • @setholivier4862
    @setholivier4862 4 ปีที่แล้ว +11

    Hapa ndo vizuri unamwambia mtu waziwazi, ili hata viongozi wanao jipendekeza wakitizama hii clip waache kujipendekeza

  • @fredrickphilomena8613
    @fredrickphilomena8613 4 ปีที่แล้ว +22

    Hila ukiambiwa unajipendekeza inauma hiyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว

      Sana,,,ila kauli kama hiyo haipendezi sana !!!

    • @solemba595
      @solemba595 4 ปีที่แล้ว +4

      Huo ndio ukweli Kuna Viongozi wanafanyakazi kwa kujiendekeza, Uzuri JPM amesha shtukia mchezo

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 4 ปีที่แล้ว +1

      Inauma sanaaaaa😂😂😂😂😂waache kujipendekeza

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 4 ปีที่แล้ว

      Ndo waache kujipendekeza

    • @مارثاتنزانيا
      @مارثاتنزانيا 3 ปีที่แล้ว

      Kuambiwa unajipendekeza inauma sana,mimi mwenyewe nikiambiwa najipendekeza ata kama nindugu yangu,nakaa nae mbali sana

  • @bornifaceshombe4159
    @bornifaceshombe4159 4 ปีที่แล้ว +7

    Safi,naona viongozi waliowengi hawajaelewa maono ya Raisi wangu.Mungu ibariki Tanzania.

  • @cheupestefano5424
    @cheupestefano5424 4 ปีที่แล้ว +15

    Mr.mwanri sir that man who was in charge at tabora please that man is a man to help you in your very difficult job of giving equal justice to your people

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 ปีที่แล้ว +10

    Ukweli na uwazi unasema ukweli mheshimiwa.

  • @said306nyatu9
    @said306nyatu9 4 ปีที่แล้ว +9

    Kaaa bwana nisije nikasema izi nyota nimekupa za bure

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏

  • @atuganilemsomba3028
    @atuganilemsomba3028 4 ปีที่แล้ว +5

    Huyu mzee baba ananifurahisha sana anaonaga mbaaaaliiii eti dalili za rushwa duuh mwangaluka

  • @richardjoseph9642
    @richardjoseph9642 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akupunguzie azabu ya kabr kamanda

  • @alimarezi7543
    @alimarezi7543 4 ปีที่แล้ว +5

    Magufuli ukimaliza mhula wako njoo uku kwetu Kenya,tukupe urais,huyu wetu ni boya sana

    • @majidially4363
      @majidially4363 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂eti boyaa,,, Dah

  • @ednajeremiah8671
    @ednajeremiah8671 4 ปีที่แล้ว +5

    Wakomeshe baba hapa kazi tu

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 2 ปีที่แล้ว

      Nivigumu kumpata kama jpm lakini kwa mungu yanawezekana

  • @nasserrostom6340
    @nasserrostom6340 4 ปีที่แล้ว +3

    Hongera rais makufuli tunaomba takukulu wafanyakazi wawe wanahamishwa uku mbarali toka nipo shule ya msingi hawajawahi kuamishwa utafiki wanakijiji hawana lolote wanakunywa pombe mda wote

  • @salimsalim8421
    @salimsalim8421 4 ปีที่แล้ว +4

    Hongera, hakuna mchezo na pesa za wana nchi, lazima mtu akae sana tuu

  • @denicejoseph8632
    @denicejoseph8632 4 ปีที่แล้ว +11

    Hotuba kam hiz n tam san yani zaidi ya sali n sukari

    • @saumsaid5717
      @saumsaid5717 4 ปีที่แล้ว

      Yani we baba nakupenda mpaka naumwa

    • @tebogolucia6889
      @tebogolucia6889 4 ปีที่แล้ว

      C.simba Johannesburg magufuli nakukubar sn mzee Wang

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 2 ปีที่แล้ว +1

    Hii ndo ilkua Serikali bna,RIP mr President JPM much love to you

  • @markkayuni99
    @markkayuni99 4 ปีที่แล้ว +4

    Mweshimiwa Rais kura yangu umepata sema hao wakujipendekeza kwa kukufuraisha wewe na wachinja kilakitu ndio ndio wa kina msukuma hao

    • @josephbujimu1123
      @josephbujimu1123 4 ปีที่แล้ว

      JPM wanyooooshe walizoeakula bike hao

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 4 ปีที่แล้ว +2

    Mungu amuekee huyu mzee magufuli kwa kweli..oohhh ..magufuli oyeee

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania ilikua na Rais kweli lakini Leo hii hatuna Rais tuna mafisadi

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 4 ปีที่แล้ว +5

    Ndio shida ya kufanya kazi kwa mihemko hiyo itawakost

  • @mbonijabut1405
    @mbonijabut1405 4 ปีที่แล้ว +3

    Yani magufuri nakupigia kula Asubui mapema ww ndio mkombozi ila tuchunguzie wabunge walioshinda maendeleo uku kwetu bdo miaka 5 ajafanya kitu sasa kapita tena ivi kweli haki tizama n.a. hilo

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 4 ปีที่แล้ว +1

      wapi huko? Wa kulaumiwa ni hao waliompigia tena kura za maoni.

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 4 ปีที่แล้ว +5

    " Mimi moyo ulishakuwa sugu"...😂😂😂😂😂😂

  • @mamaahmad8615
    @mamaahmad8615 4 ปีที่แล้ว +2

    Yaani nakupenda sana baba rais wetu tumbuwa tumbuwa hao warudishe hela watumbuwe

  • @yasinigao3589
    @yasinigao3589 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sawa pambana na ufisandi Rais wetu

  • @lemameasi1723
    @lemameasi1723 4 ปีที่แล้ว +3

    NI VIGUMU KUPATA RAIS ALIYEKO SERIOUS KAMA JPM HUKU AFRICA

  • @salmahillu
    @salmahillu 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu aiweke robo magu peponi amina

  • @justusmuendo7823
    @justusmuendo7823 ปีที่แล้ว +3

    Very insightive,magufuli continue resting in peace

  • @MukandilwaProspere-th2xu
    @MukandilwaProspere-th2xu ปีที่แล้ว +1

    Courage baba wetu Sisi watoto wa Congo tunakuliliya mungu akulaze Mali pema

  • @lightmashauri1725
    @lightmashauri1725 4 ปีที่แล้ว +4

    Haaaaa baba hao wanakuvuruga kweli ....bado hawajakujua vizuri😀😀😀

  • @petermatonya8078
    @petermatonya8078 4 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akupe maisha malefu lais wabgu

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 4 ปีที่แล้ว +3

    Tumuongezee mda huyu Rais wetu ainyooshe nchi!

    • @pendomsulwa5806
      @pendomsulwa5806 4 ปีที่แล้ว

      kula yangu haikupotea kabisaa MUNGU akuweke pia natamn utawale miaka yotee

  • @kambiibrahim415
    @kambiibrahim415 4 ปีที่แล้ว +2

    Thank you so much Mr.President much love to you

  • @mshumbusideogratias9567
    @mshumbusideogratias9567 4 ปีที่แล้ว +2

    Nmesikiliza Mara 10

  • @allyfaraji1697
    @allyfaraji1697 4 ปีที่แล้ว +4

    rais kauzu kweli, et anamwambia yule mjeda kaa bhana nicjute hzo nyota nilizokupa 😀😀😀 kwa kweli bado najiuliza ukauzu huu nani anauweza ? Takukuru Ng'ata😀😀😀🔙 leo nimecheka mpaka machozi yametoka. Uyu mzee anatufariji sana sisi wananchi, yaani tunaishi bila ya hof swaaaaaf kabisa😀😀😀. Lini tena utahutubia hata kama nina safar nisiende ctak kuadisiwa mimi 😀😀😀.

  • @fadhilharuna9804
    @fadhilharuna9804 2 ปีที่แล้ว +1

    Good president magufuri

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 4 ปีที่แล้ว +2

    Tumbua huyo na mkuuwao kwanini mnajipendekeza huyo ndo Rais tunaemuhitaji sio mliomtaka

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe7321 4 ปีที่แล้ว +4

    unajua mtanivuruga hapa

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza9564 4 ปีที่แล้ว +4

    Hii inaitwa makavu live 😃

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 ปีที่แล้ว +1

    Alikufa Kiongozi wa Tanzania 😭

  • @justinaissa2278
    @justinaissa2278 4 ปีที่แล้ว +3

    Mh uko sawa kabisa

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 4 ปีที่แล้ว +5

    Takukuru😂soma iyoooo😁😁😁😁

  • @allykingo3558
    @allykingo3558 4 ปีที่แล้ว +4

    Wamejikologa lolote litalokea hapo lazima

  • @abubakarsuleiman1588
    @abubakarsuleiman1588 4 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante MH rais

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 4 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana Rais wangu

  • @patrickjohnlucas3827
    @patrickjohnlucas3827 4 ปีที่แล้ว +6

    Kweli mweshimiwa

  • @wahabingaheka637
    @wahabingaheka637 4 ปีที่แล้ว +2

    Baba maliza wabaya wote

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 4 ปีที่แล้ว +2

    Yes..
    Preach father preach.!!

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 4 ปีที่แล้ว +1

    Safiiiii. Mzee magufulii oyeeee...

  • @wahabingaheka637
    @wahabingaheka637 4 ปีที่แล้ว +3

    Nchi iwe Safi hii wamezoea hao

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu 9 หลายเดือนก่อน

    Daima utakuwa mioyon mwetu😢😢🙏🙏

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 4 ปีที่แล้ว +4

    Duh usitake nione nyota nilizo kupa za bure 🤣

  • @denicejoseph8632
    @denicejoseph8632 4 ปีที่แล้ว +4

    Magu anajuwa adumu milele ewe mwenyezi mung jaliya ameni...😘😘

    • @rizmkondo1344
      @rizmkondo1344 4 ปีที่แล้ว +2

      Rais Leo nimekusifia sna

  • @musasabu6969
    @musasabu6969 4 ปีที่แล้ว +3

    Wanajpendekeze had wanakela

  • @majaliwakavinga2752
    @majaliwakavinga2752 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Rais.

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu6798 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana mh Raisi

  • @fakihibakari7701
    @fakihibakari7701 4 ปีที่แล้ว +2

    Sidhani kama Takukuru watajing'ata wenyewe. TAKUKURU NG'ATA.

  • @jameschubiri9453
    @jameschubiri9453 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mzee kwanini hamtaki kumuelewa jamani

  • @mlashanikisinini6020
    @mlashanikisinini6020 4 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana mheshimiwa

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamaniii huyu mzee aendelee tu ..huyu ndio rais tunaemtaka

  • @matanobaya7660
    @matanobaya7660 4 ปีที่แล้ว +1

    Kenya tungepata kiongozi Kama huyu.ningejivunia kuwa mkenya sana, NAVUMILIA TU!MILEVI MIIZI.

  • @bashiryusuph6750
    @bashiryusuph6750 4 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂wamesha fanya no dili walijua huwaangaliii 🤣🤣🤣wapigadili mbona same hamna jengo la takukuru mnajipendekeza kwa babu 🤣🤣🤣🤣

  • @watakaniitaje1215
    @watakaniitaje1215 4 ปีที่แล้ว +1

    Mkulu kashasema hataki shobo
    Ziteendeeni mema izo pesa Kuna vitu kibao vya kufanya

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha2034 4 ปีที่แล้ว +2

    Duh JPM hahaaaa hatari sana! Usiombe ubananishwe naye😅

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull1265 4 ปีที่แล้ว +2

    Alex Kihongola ....ntakutumia bandle ni dai kweny ukweli hutak kupinda pinda lazima tunyooshe maelezo kwa hali tunavyoina viongoz wetu wa Africa huwez linganisha na Magu ht robo ....pumbav...

  • @rehemanmkumbo5631
    @rehemanmkumbo5631 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu baba apumzike kwa amani

  • @RahabuSimba
    @RahabuSimba 6 หลายเดือนก่อน

    Pumzika kwa Amani Mpendwa wetu Rais

  • @sixmangwela4543
    @sixmangwela4543 4 ปีที่แล้ว +2

    vua nyota izo anatia haibu jeshi

  • @rshidyrajabu255
    @rshidyrajabu255 4 หลายเดือนก่อน

    Very nice rip john pombe

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 4 ปีที่แล้ว +1

    Sio rushwa mzee ila hiyo ni kujipendekeza kwako

  • @petermokami2273
    @petermokami2273 3 หลายเดือนก่อน

    Bila kubuluzwa hawaelewi Hawa viongozi

  • @elisanteelisante172
    @elisanteelisante172 4 ปีที่แล้ว +2

    Baba Ng'ataaaaaa

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 4 หลายเดือนก่อน

    RAIS HUYU HATAWAHI KUPATIKANA TENA!!

  • @DanielNelson-hy8fx
    @DanielNelson-hy8fx 4 หลายเดือนก่อน

    Husia wababa magufuli

  • @Selemlaki132
    @Selemlaki132 2 หลายเดือนก่อน

    Takukuru Ngata ngata

  • @Getwisdomapplicationknowledge
    @Getwisdomapplicationknowledge 4 ปีที่แล้ว +2

    awakujui baba watoboe

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 ปีที่แล้ว

    Mzee magu polesana kwakazi ngumu uliyonayo yani sijui kwanini huwa hawakuelewi usichoki kwene ukweli mungu yupo nawewe

  • @erickendrick3330
    @erickendrick3330 4 ปีที่แล้ว +2

    Daaah.....J.P.M ni Noma sana .🙌🙌🙌

  • @NickholousMtupa
    @NickholousMtupa 6 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kama ww baba upumzike kwa aman

  • @shekirebele8040
    @shekirebele8040 3 หลายเดือนก่อน

    2024

  • @e-mzambuli6647
    @e-mzambuli6647 3 ปีที่แล้ว +1

    Monyo sungu

  • @JeraldLukolela-rt9jl
    @JeraldLukolela-rt9jl ปีที่แล้ว

    Aic nyakato

  • @Mautammelody8197
    @Mautammelody8197 2 หลายเดือนก่อน

    Hatariii

  • @alimadmaulid2567
    @alimadmaulid2567 4 ปีที่แล้ว

    Mmmmmh kweli mkuu nakubali kazi yako

  • @jonathanlema7782
    @jonathanlema7782 4 ปีที่แล้ว

    El pressdente. My president God bless you sir