itatumia muda sana kumuelewa mh raisi wetu jpm.sasa nimeshajua nn muheshimiwa anataka 1.kutofuja kodi za wananchi 2.kulinda na kutetea haki za wananchi 3.ukweli na uwazi 😎 kazi kazi kazi kazi jpm raisi ambaye hatosahaulika .(ukweli usemwe).sina chama
Kiukweli huu ndio uadilifu unaofaa zaidi kuigwa kwa viongozi wotee Wa madhehebu ya dini na Wa serikali kwa ujumla hapo ndipo tutapata jamii mpya na Tanzania mpya.Hongera sana mheshimiwa JPM.Barikiwa
Rais nakuelewa sana DPP tukusanyie hizo pesa zitusaidie kuboresha Nchi hapo DPP utakuwa umeacha alama ktk nafasi yako tena ya kihistoria na Mungu atakuona ktk hili.
Yani mpaka machoz yananitoka kwa haya maneno wanayoambiwa wateuliwa dahh mungu katuzawadia allah akbarrrrrrr mungu mlinde raisi wetu kwa kila shari za walimwengu
Asante sana kwa mabadiliko huko Morogoro. Mzee umemvumilia sana mh. Kebwe. Naomba umulike na Polisi mzee wetu ikibidi mabadiliko yafanyike. Kubadili leseni pale trafiki ni shida sanaaa. mazingira ya kupata leseni mpya ni magumu sana. Morogoro mulika polisi. Kuna alama tatu ambazo hazipo ktk barabara za Tanzania lkn utaulizwa tu maana wanataka kukwamisha ku renew leseni.
Hapa Kazi tu , Yani hii Tumbua Tumbua inasaidia kuondoa Mazoea ya kazi , Kiongozi yoyote anatakiwa awe Mwepesi wa Maamuzi yenye Manufaa kwa Taifa , Congratulations Mr President
Nakupenda sana tena sana Raisi wangu JPM, Ni ushauri mzuri kwa mahakama maana mahakama imelala. Tunapata faida gani mtuhumiwa ana Pesa zetu alafu amefungwa, alipe Hela zetu atoke gerezani.
tuna mambo mengi ya kujifunza kwa mh rais, kwanza uvumilivu na hekima ya kuona nchi inapigwa na akaamua kunyenyekea akitafuta nafasi nzuri ya kuikomboa nchi kipindi chote alichokuwa kwenye uongozi, hii inatufundisha sana watanzania, hekima na busara ni muhimu sana
nakuerewa sana mzee wangu ila kwa sasa kunawatanzania wafanya niyashala bado wanaenderea kuhujum uchumi ukienda kununia kitu anakwabia kwa risit ni sh 12000/= bila risit sh 9500. /= ushauri wangu kwa watanzania tuwe wakweli kama mweshimiwa raisi anavotaka kuripeleka hili taifa mbere mungu ibariki tanzania mungu mbariki mr Rais wa jamuhuri ya muungano
👏👏👏salout make awa jamaa wanasumbuwa kweli juz nimeenda kununua godoro la super banco futi 3/6 nikaambiwa bila rst 95elf akinipa rist 120,000/=. Nikakubali aniuzie bila rst ila aniperekee mpaka nyumban kwangu nae akakubali kuliweka kwenye gr lake tukaelekea nymbn kwaiyo wafanyabihashara bado hawajakubr kutendea nchi yao haki.
mh raisi hakika nafurahi kwa hili la mahabusu kwan wengi wanatamani hata msamaha wako mkuu, tunashukuru ila tukumbuke kwenye ajira sisi vijana hasa wa IT & Data Science bado soko letu la Technology lipo chini na vijana ni wengi wenye utaalam wa TEHAMA! asante sana mh raisi na mungu akupe afya tele kwa kazi unayoifanya maana wengi hawaelewi ila wataelewa tu!
Mh. John Pombe Joseph Magufuli, Tunashukuru sana kwa kazi yako nzuri sana sana Mungu akubariki akupe maisha marefu yenye baraka na afya tele! Barikiwa sana kiongozi wetu.
Well noted,,,stay blessed our Honourable President JPM. We promise you as Country men, we shall not be, STIFF NECKED PEOPLE!! To implement what is right in accordance to your Outstanding views"
Na ndio maana damu yako italeta laana kwa wengi na neema ya busara na hekima kisiasa,ki dini kwa wenye kuzitumia akili kwa weledi. Raha ya milele inakuatahili baba Magufuli. Utubee huko pema ulipo.
Mheshimiwa Rais pole kwa kazi ngumu, hongera kwa nia njema, sisi wazalendo na tunaojua nia ya moyo wako kwa Tanzania na Africa kwa ujumla Tunaitafsiri nia hiyo kwa kufanya kazi kwa bidii na kujituma ili kuweza kukomboa uchumi wa nchi yetu toka katika makucha ya wakoloni wa kiuchumi. Mwenyezi Mungu aendelee kukupa maono zaidi katika kutuongoza kwenda kanaani ya maendeeo yetu kama Taifa.
Ama kweli mweshimiwa uliweza kutoa mwelekeo mzuri wa nchi yetu na ulistahili kabisa kuwa mwalimu kwa ajili ya kuelimisha watanzania na waafrika wote...R I P Baba.
IKULU TANZANIA mwambieni amtoe Makonda Dar aende Tabora na Mwanry wa Tabora aje Dar atamfaa Sana maana mheshimiwa anapambana ila viongozi walio chini yake hawajamuelewa
Mungu akusimamie Raisi wetu,kazi ni ngumu kwa sababu nchi ilishaoza, Siasa nyingi kuliko utaalam Wanaokuelewa ni wachache. Mungu asaidie upate akina Majaliwa na Jaffo japo 10 tu
hakuna kumtoa Mh Makonda Dar, mengi kafanya mazuri ,hakuna mwanadamu hasiye kuwa na kasoro, bado anayo sifa ya kuongoza jiji la Dar,bado anayo nafasi ya kujirekebisha
Si mkazi wa Dar, lakini Mh.Makonda amefanya mengi mazuri. Angalizo kwa Mh.Makonda,awe mkali, akicheka na.... atavuna mabua, alafu watamcheka, mazuri aliyofanya tumeyaona,ni binadamu ,hakamiliki
Mwenyezi Mungu akulinde Mzee mweshimia Laisi Magufuli mimi ni mu Tanzania niliozalia uganda rakini naomba Mwenyezi Mungu aniwezeshe nikuoni ila niongeye nawewe jina rangu Ibrahim
Napata shida sana kuona jinsi gani baadhi ya viongozi wa Serikali wanavyoshindwa kumuelewa Mh. Rais! Unajiuliza hivi hawa watu kusoma hawajui hata kuangalia picha wameshindwa! Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu.
Mheshimiwa Rais, Mtanzania yeyote anayekusema vibaya juu ya utendaji wako atakuwa ni alama ya unafiki, nchi ilikuwa inaendeshwa kimazoea, unataka watumishi wa Serikali na wananchi wabadili "mindset "ili wajue kuwa "jana" imeshapita,hii ni zama nyingine sio ile ya kazi kwa mazoea. Mh. KARIBU MKURANGA !
Daah rais umenifurahisha sana mungu aendelee kukusimamia una kumbukumbu hatari hausomi mahali popote ila ni martial matupu na pia hongera kwa kumwambia DPP awatoe hao wahujumuuchumi walipe miradi iiendelee hongera sana raisi wangu
Sasa Bunge LA Nin wakati Magufuri Ana sifa ya Ubunge pia Ana Sifa ya Uwaziri ikiwa yeye ni RAIS . Dhu kwel kizur akidumu ila Namuombea Adumu zaid na Mungu ampiganie . Hakuka Utakumbukwa Sana Kama tutaleta Utani juu ya Uyu Mtu Jamani . Wamemuua ghadafi lakin naona Roho ya Ghadaffi inatenda kaz . You're the Best
Mungu azidi kukuongoza Mh Raid wetu. Asiyeelewa ashakuelewa. Tunataka Tanzania Mpya. Tunaiona, yaan miaka 4 tuu, mambo makubwa tunayaona. Uishi Miaka Mingi ya heri
JPM namuwaza sanaa hadi nafurahi, anahuruma sana afu anawaza beyond box sana. Angesema wakafanye harakati kibao ila safi sana ushauri wenye busara sana....
miaka 20 magufuli ngongeni like hapa,kuunga mkono
Mungu akupe maisha marefu Rais wetu
itatumia muda sana kumuelewa mh raisi wetu jpm.sasa nimeshajua nn muheshimiwa anataka
1.kutofuja kodi za wananchi
2.kulinda na kutetea haki za wananchi
3.ukweli na uwazi 😎
kazi kazi kazi kazi jpm raisi ambaye hatosahaulika .(ukweli usemwe).sina chama
4 kuchapa kazi
6 Kuacha majungu
5 Kila mmoja kujitambua na kuyajua majukumu yake
Shamik Tv
Mkuu wa mkoa wa tabora angeletwa Dar.
Kiukweli huu ndio uadilifu unaofaa zaidi kuigwa kwa viongozi wotee Wa madhehebu ya dini na Wa serikali kwa ujumla hapo ndipo tutapata jamii mpya na Tanzania mpya.Hongera sana mheshimiwa JPM.Barikiwa
Alafu kuna baadhi ya watanzania wanasema Raisi hafai kwel? Allah katushushia neema ya huyu mzee Raisi magufuli
Shilungu Moshi
Rais nakuelewa sana DPP tukusanyie hizo pesa zitusaidie kuboresha Nchi hapo DPP utakuwa umeacha alama ktk nafasi yako tena ya kihistoria na Mungu atakuona ktk hili.
Uyu president wengine wasubili
UsikukuhusumagerezakutorewawFungwa
Allah mjalie Afya, wered, kheqma busara, na uchapa kazi Rais wetu, kwa niaba ya watanzania wote.
Amiiin Rabbil Alamiiin
Hongera mheshimiwa raisi kwa kuwaeleza ukweli ili waweze kujifunza unaowateua..
Ile nia yangu ya kumuandika Mheshimiwa Raisi Barua, sasa inatimia! Mungu Azidi Kukubariki JPM
Sawa nimeelewa wewe ndio Rais Magufuli wengine walikuwa ni mfano wa marais!
adeni Halisi nakubaliana ww
Wengine walikuwa
"symbols ",
Hahahaaa!
adeni Halisi
Magufuli atabaki kuwa magufuli tu mjomba magu 2020 kula yangu utaipata panapo majaaliwa
utakumbukwa mheshimiwa Rais kwamema unayoyafanya ktk nchi yetu.
Kaka Makonda jipange vzr, juzi kakuripua Vingunguti leo Coco Beach. Fanya kazi mambo yasiwe mengi!!!
Makonda taa ya njano imeanza kuwaka
Huyu ndiye Raisi !
Red inakarbia ustoshe makonda nae mambo meng
"Tanzania got amazing President"
Watumbue bhana Mi naona upo sawa tu JPM
Yani mpaka machoz yananitoka kwa haya maneno wanayoambiwa wateuliwa dahh mungu katuzawadia allah akbarrrrrrr mungu mlinde raisi wetu kwa kila shari za walimwengu
Amin
Viva Magufuli 2020 kura ipo gombea mpk miaka 20 mbele hk wote 2naongea lugha moja xaa hizi 😂😂
Muheshimiwa wewe ni mwalimu tosha ktk utawala wako tusipo jifunza jombo basi Tz imeangamia na maendeleo ni hadithi ya mbali
Mheshimiwa hebu tupia jicho pale BRELA. Kuna changamoto kadhaa. Wachache watanielewa
Asante sana kwa mabadiliko huko Morogoro.
Mzee umemvumilia sana mh. Kebwe.
Naomba umulike na Polisi mzee wetu ikibidi mabadiliko yafanyike. Kubadili leseni pale trafiki ni shida sanaaa. mazingira ya kupata leseni mpya ni magumu sana.
Morogoro mulika polisi. Kuna alama tatu ambazo hazipo ktk barabara za Tanzania lkn utaulizwa tu maana wanataka kukwamisha ku renew leseni.
Hapa Kazi tu , Yani hii Tumbua Tumbua inasaidia kuondoa Mazoea ya kazi , Kiongozi yoyote anatakiwa awe Mwepesi wa Maamuzi yenye Manufaa kwa Taifa , Congratulations Mr President
Fund mzr ni yule ajuae kujenga na kubomoa
Ukisikia Hapa ni Kazi... Ndo kama hivi zege halisubiri jumapil ipite
Leo imekaa vzr ili kesho tu waanze kazi
😀😁😂😂seven dayz kaz kaz
Nakupenda sana tena sana Raisi wangu JPM, Ni ushauri mzuri kwa mahakama maana mahakama imelala. Tunapata faida gani mtuhumiwa ana Pesa zetu alafu amefungwa, alipe Hela zetu atoke gerezani.
Yona Mwakanyamale
Magu anaongoza nchi na ana fundisha
tuna mambo mengi ya kujifunza kwa mh rais, kwanza uvumilivu na hekima ya kuona nchi inapigwa na akaamua kunyenyekea akitafuta nafasi nzuri ya kuikomboa nchi kipindi chote alichokuwa kwenye uongozi, hii inatufundisha sana watanzania, hekima na busara ni muhimu sana
FRANK REVELIAN
Huyu ndio rais wa Tanzania... Mungu akulinde Baba... saluti mzee wangu! Wasio weza kasi yako wakupishe jembe letu upige kazi na wanaokuelewa tu
REST in eternal peace.
we miss from Burundi
nakuerewa sana mzee wangu ila kwa sasa kunawatanzania wafanya niyashala bado wanaenderea kuhujum uchumi ukienda kununia kitu anakwabia kwa risit ni sh 12000/= bila risit sh 9500. /= ushauri wangu kwa watanzania tuwe wakweli kama mweshimiwa raisi anavotaka kuripeleka hili taifa mbere mungu ibariki tanzania mungu mbariki mr Rais wa jamuhuri ya muungano
👏👏👏salout make awa jamaa wanasumbuwa kweli juz nimeenda kununua godoro la super banco futi 3/6 nikaambiwa bila rst 95elf akinipa rist 120,000/=. Nikakubali aniuzie bila rst ila aniperekee mpaka nyumban kwangu nae akakubali kuliweka kwenye gr lake tukaelekea nymbn kwaiyo wafanyabihashara bado hawajakubr kutendea nchi yao haki.
Mi machozi yanatoka tu, muoneeni huruma JPM, pigeni kazi jamani.
Baba ♥️♥️♥️bado ninakupenda mnoo na tunakuhutaji 😭😭😭plz kila sku nakuombea na naamini uko uwepon wa Mungu,tuombee wanao🙏🙏🙏♥️♥️♥️🙏🙏🙏
Mungu akutunze Rais wetu Rais wa watanzania uwafundishe viongozi wa Tanzania 🇹🇿 kuongoza bila kula rushwa inawezekana
Hawa Boko
Makonda fanya kazi kaka.... huyu mzee humtendei haki, achana na mambo yasiyokuwa na maana fanya kazi
Makonda naomba umsikilize mzee anataka nini juu ya Tanzania mpya bila uchafu kazini inawekana
Keep going Tanzania
Safi Sana rais mangufuli
hakika mheshimiwa ana upendo wa dhati saaaana na watanzania,
mh raisi hakika nafurahi kwa hili la mahabusu kwan wengi wanatamani hata msamaha wako mkuu, tunashukuru ila tukumbuke kwenye ajira sisi vijana hasa wa IT & Data Science bado soko letu la Technology lipo chini na vijana ni wengi wenye utaalam wa TEHAMA! asante sana mh raisi na mungu akupe afya tele kwa kazi unayoifanya maana wengi hawaelewi ila wataelewa tu!
Kitu hujakosea ni kumtumbua mkuu wa mkoa wa morogoro maana alishindwa kazi kabisa hafai
nakupenda Rais wangu Mungu akubarik sana
Mh. John Pombe Joseph Magufuli, Tunashukuru sana kwa kazi yako nzuri sana sana Mungu akubariki akupe maisha marefu yenye baraka na afya tele! Barikiwa sana kiongozi wetu.
mzee wape wape hahahahahaa,huo ndo ukwel,nakupenda bure magu
Red Son 😁😁😁😁 yaanii
Magu unstisha unatumia kipaji
THE BEST PRESIDENT EVER, I REALLY LIKE YOU MR PRESIDENT AM PROUD OF MY PRESIDENT JOHN POMBE MAGUFULI GOD BLESS AND PROTECT YOU.
Well noted,,,stay blessed our Honourable President JPM. We promise you as Country men, we shall not be, STIFF NECKED PEOPLE!! To implement what is right in accordance to your Outstanding views"
Na ndio maana damu yako italeta laana kwa wengi na neema ya busara na hekima kisiasa,ki dini kwa wenye kuzitumia akili kwa weledi.
Raha ya milele inakuatahili baba Magufuli.
Utubee huko pema ulipo.
Mheshimiwa Rais pole kwa kazi ngumu, hongera kwa nia njema, sisi wazalendo na tunaojua nia ya moyo wako kwa Tanzania na Africa kwa ujumla Tunaitafsiri nia hiyo kwa kufanya kazi kwa bidii na kujituma ili kuweza kukomboa uchumi wa nchi yetu toka katika makucha ya wakoloni wa kiuchumi. Mwenyezi Mungu aendelee kukupa maono zaidi katika kutuongoza kwenda kanaani ya maendeeo yetu kama Taifa.
Good 👍👍👍👍👍
Yan nchi hii utazan viongozi wanaelekezwa kama ndio wanatoka chuo ,yan hawaelewi
Nakutakia maisha marefu mh Rais hakika Mwenyezi Mungu ni mwaminifu
Uyuuu mzeee kweliii ni mfano sanaaa wakuigwaaa" upumzike baba yetuu mpendwaa
safi sana mkuu wa nchi Tunakuelewa sana...Allah akulinde na akupe afya njema
Upo vzr magu Hongera sana
Jpm wewe ni zaidi ya Rais
Ama kweli mweshimiwa uliweza kutoa mwelekeo mzuri wa nchi yetu na ulistahili kabisa kuwa mwalimu kwa ajili ya kuelimisha watanzania na waafrika wote...R I P Baba.
Macho ya bashite sasa duuuuu imepenya iyo mjomba, wape vidonge vyao ☠☠☠⚠⚠⚠
Rest in peace Magufuli we shall remember you mungu ailaze mahali pema peponi.
IKULU TANZANIA mwambieni amtoe Makonda Dar aende Tabora na Mwanry wa Tabora aje Dar atamfaa Sana maana mheshimiwa anapambana ila viongozi walio chini yake hawajamuelewa
Kabisakabisa, upo sahihi mzee wetu wa nchi!,chapa kazi tupo nawewe
Mungu akusimamie Raisi wetu,kazi ni ngumu kwa sababu nchi ilishaoza,
Siasa nyingi kuliko utaalam
Wanaokuelewa ni wachache.
Mungu asaidie upate akina Majaliwa na Jaffo japo 10 tu
Kwenye hilo nipesa tu lipa pesa utoke rupango
Pole Kebwe. Ndio maisha.Kuna mazuri ulifanya,lkn dunia huwa inaangalia mabaya tu.
Mheshimiwa raisi ukienda hospitali una miaka 60 Kama wanakuona unajiweza dawa zingine wanakuambia ukanunue
Mh. Makonda nakupenda sana, wewe ni mchapa kazi, usimwangushe Rais wetu kipenzi JPM, piga kazi bhana, achana na mambo ya kubembelezana.
Mungu akutenze mh raisi
Mzee ongea na wakuu vituo vya wakae peupe vituoni huwa tunapereka malalamiko. Hatuluusiwi kuwaona. Tunazuiliwa na askali wake wadogo.
Niliwa nakupenda kwa sababu ulikuwa hutumbui walk kuteua bila kufundisha l unataka nn kifanyike
hakuna kumtoa Mh Makonda Dar, mengi kafanya mazuri ,hakuna mwanadamu hasiye kuwa na kasoro, bado anayo sifa ya kuongoza jiji la Dar,bado anayo nafasi ya kujirekebisha
Mipango ya watendaji wa dar kumwangusha makonda inakarbia
Makonda watendaji wako karbia wanafanikiwa kukwangusha kua mkali sana wanasubir kushangilia kW udhindi wao
Si mkazi wa Dar, lakini Mh.Makonda amefanya mengi mazuri.
Angalizo kwa Mh.Makonda,awe mkali, akicheka na.... atavuna mabua, alafu watamcheka, mazuri aliyofanya tumeyaona,ni binadamu ,hakamiliki
Leo naangalia hatuba ya kipenzi chetu tuliyependa gonga like kma ipo na Mimi
Mwenyezi Mungu akulinde Mzee mweshimia Laisi Magufuli mimi ni mu Tanzania niliozalia uganda rakini naomba Mwenyezi Mungu aniwezeshe nikuoni ila niongeye nawewe jina rangu Ibrahim
Mungu wangu,pumzika babaaa pumzika ,tunakukumbuka mnooo ,tunapata wapi MTU kama huyu
Tutakukumbuka milele Baba yetu 😭🇹🇿🙏❣️
Mungu akulinde milele baba etu wa taifa wewe kweli ni mungu alikuteua kuitumikia Tanzania
Magu uko sawa
Mungu akutangulie Rais wetu mpendwa JPM. LIVE LONG
mh tunaomba uje na songwe utusalimie
Napata shida sana kuona jinsi gani baadhi ya viongozi wa Serikali wanavyoshindwa kumuelewa Mh. Rais! Unajiuliza hivi hawa watu kusoma hawajui hata kuangalia picha wameshindwa! Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu.
Mr President.
Tambua kuwa msanii harmonize ndio aliye mfanya raisi wa Tanzania John pombe.. Kusamehe wafungwa.. Harmonize top..
Mheshimiwa Rais,
Mtanzania yeyote anayekusema vibaya juu ya utendaji wako atakuwa ni alama ya unafiki, nchi ilikuwa inaendeshwa kimazoea, unataka watumishi wa Serikali na wananchi wabadili
"mindset "ili wajue kuwa "jana" imeshapita,hii ni zama nyingine sio ile ya kazi kwa mazoea.
Mh. KARIBU MKURANGA !
Pole jpm na hongera kwa maamuz magumu
Jiwe hili sijuwi lilikanyangwa na nini hadi kuvurugika?..
1.Makonda Ajiandae kuondoka.
2 . Mungu AKUBARIKI
Daah rais umenifurahisha sana mungu aendelee kukusimamia una kumbukumbu hatari hausomi mahali popote ila ni martial matupu na pia hongera kwa kumwambia DPP awatoe hao wahujumuuchumi walipe miradi iiendelee hongera sana raisi wangu
Kiukweli tuta kumiss ulikuwa mkweli daima so tuta kumbuka zaidi nazaid dady
Dah aise
Sasa Bunge LA Nin wakati Magufuri Ana sifa ya Ubunge pia Ana Sifa ya Uwaziri ikiwa yeye ni RAIS . Dhu kwel kizur akidumu ila Namuombea Adumu zaid na Mungu ampiganie . Hakuka Utakumbukwa Sana Kama tutaleta Utani juu ya Uyu Mtu Jamani . Wamemuua ghadafi lakin naona Roho ya Ghadaffi inatenda kaz . You're the Best
Allah akulinde
kweli JPM ni mti wa mpingo,asante kwa sindano imeingia!!!
Kura yangu 2020 kwako mhe.Raisi maan kazi yako ni nzuri sisi wananchi wako tunafurahi sana
😭😭😭
Nakupenda mno rais wangu,hata sijui nikupendeje zaidi...nahisi haijatosheleza.
🙏🏾
🙏🙏 Rest easy baba yetuu
Tanzania tumepata kiongozi,
My father President we were miss u. Good give you amon
Safi sana rais wangu
Atakumbukwa milele, mungu ampumzishe, na mazuri mengi ametuachia, sijaona wa kuvaa kiatu chake, tumepoteza, Ila safari ni moja.
Mungu azidi kukuongoza Mh Raid wetu. Asiyeelewa ashakuelewa. Tunataka Tanzania Mpya. Tunaiona, yaan miaka 4 tuu, mambo makubwa tunayaona. Uishi Miaka Mingi ya heri
Iko tu Sawa kama mtu akirudisha pesa that is what we need
baba uko vzr ningependa wakuongeze uongoze miaka hata thelathin
JPM alikuwa mzarendo kwelikweli mungu ampumzishe kwa amani,Nazi kafanya hakuogopa MTU yeyote
Upo sawa mze baba.mi nakuelewaga sana,
Hotuba za mheshmiwa huwa hazichoshi kusikiliza.
HE IS THE BEST PRESDENT IN TOWN.
Roho yangu nyeupee! maana ukifika morogoro vijijini ilikuwa kama hamna viongozi
I have been understanding your language since then
Frances Lenis .
@@imamuhemedi4387 yes Imamu
JPM namuwaza sanaa hadi nafurahi, anahuruma sana afu anawaza beyond box sana. Angesema wakafanye harakati kibao ila safi sana ushauri wenye busara sana....
Watakuelewa tu mzee