WANANCHI WAMCHANGANYA MAGUFULI, AMSHUSHA MLINZI WAKE KWENYE GARI "WAPUMBAVU SANA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ค. 2020

ความคิดเห็น • 144

  • @kerrykerry254
    @kerrykerry254 8 หลายเดือนก่อน +4

    Am from Kenya lakini nikikumbuka kifo cha Magufuli huwa ninanusurika sana...very painful to us as Africans 😢

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 ปีที่แล้ว +13

    Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏🙏 🙏

  • @roseemmanuel4492
    @roseemmanuel4492 4 ปีที่แล้ว +13

    Wanainchi wabaya Kama wajumbe ukiwatendea ubaya wanakupa ubaya nakupenda San Rais wangu Mungu akutunze maisha yote

  • @ismailmneka2967
    @ismailmneka2967 ปีที่แล้ว +9

    Daah hakika wewe ulikua Rais wa kweli😭😭😭😭pumzika Kwa hamani baba

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 4 ปีที่แล้ว +11

    Mungu Akulinde sana Rais wetu. Na nikupe pole sana kwa Majukumu Magumu sana Uliyonayo yakutatuwa kero za Watanzania.Mimi nashindwa kuelewa watendaji wanakwama wapi!!!,Wanakuumiza kichwa hivi!!!,kweli kutengeneza Gari la wagonjwa linakuwa shida.watuchukuwe Mafundi Mtaani waone. Yatapona yote.

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 4 ปีที่แล้ว +9

    Hatari sana ! JPM jembe langu kazi unayo! Wananchi wako umewapa ujasiri wa kujieleza mbele yako! Wanakuamini sana wewe unaewapa wananchi nafasi ya kukueleza ukaelewa! Unaamini wananchi wako! Kuliko viongozi uliowaweka! 🙏🏾 Mungu azidi kukuinua!

    • @Joseph-lu4yj
      @Joseph-lu4yj ปีที่แล้ว +1

      now days hali ni mbaya daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @peterminde4037
    @peterminde4037 ปีที่แล้ว +3

    Daah!!! Missing sana hii kazi ya anko. RIP dad /comrade JPM 😢

  • @maryoswad7022
    @maryoswad7022 4 ปีที่แล้ว +12

    Duuu raisi wetu Mungu akutunze upo vizuri sana mmmmm

  • @allymwilamba1180
    @allymwilamba1180 4 ปีที่แล้ว +23

    Jamani huyu rais anafanya,kazi xna,yaan anauchungu na maendeleo ila baadhi ya mawaziri kichefuchefu na wakurungezi na DC wapo wapo tuuuuuuu

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 4 หลายเดือนก่อน +2

    😢😢😢 Tanzania yangu

  • @francissgodlove
    @francissgodlove ปีที่แล้ว +5

    R.I.P kitu kinachoniuma sana nikutokupigia kura 2020 Inaniuma sana, ingawa 2021 Nilianza kukupenda na kukuelewa shida moja tuu nikuchelewa kukuelewa "Pumzika mzee" ninajifunza

  • @lovecorridor6039
    @lovecorridor6039 4 ปีที่แล้ว +25

    Natumai Somalia tutawaikua na rais kama Rais maghufuli🙏🇸🇴♥️

    • @hamadshein498
      @hamadshein498 4 ปีที่แล้ว +1

      Nyie mlimfanyia fitna hussen Adid

    • @lovecorridor6039
      @lovecorridor6039 4 ปีที่แล้ว +1

      @@hamadshein498fitna?? aje kakangu??

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 4 ปีที่แล้ว

      In sha Allah.Allah Awafanyie Wepesi.

    • @teychriss3248
      @teychriss3248 4 ปีที่แล้ว +1

      Hussein Shabani Mungu atawapatia

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 4 ปีที่แล้ว

      @@teychriss3248 Mungu ni mwema kwa kila jambo jema.

  • @gadinuru1454
    @gadinuru1454 4 ปีที่แล้ว +6

    Dawasco Tanesco Kila kitu yeye dah Mungu akubariki🙏🙏

  • @abdulmajiddhamirramadhan2364
    @abdulmajiddhamirramadhan2364 4 ปีที่แล้ว +13

    Yaani Rais wetu alivokuwa serious,hadi mlinzi wake anasitasita kujieleza mbele yake,asante sana Rais wangu,hivi ndivyo tunavyotaka sie wananchi wako wanyonge

  • @salem9874
    @salem9874 ปีที่แล้ว +1

    Naomb like sote tuliangalia mwaka 2023

  • @marley42
    @marley42 9 หลายเดือนก่อน +2

    Ila hapa john alicheza kicuba kwenye majibu.😂😂

  • @isaya43.12
    @isaya43.12 4 ปีที่แล้ว +13

    Nakupenda Sana Rais wetu 2025 Mungu Atupe Tena Mtu kama wew

    • @Joseph-lu4yj
      @Joseph-lu4yj ปีที่แล้ว

      daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!

  • @user-eg2wk4xx3h
    @user-eg2wk4xx3h 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sichokagi kumsikikiza huyu Mwamba ila na mshukuru Mungu kwa yote Maana hata kwa hili atabaki kuwa Mungu Jehova

  • @roi2554
    @roi2554 3 ปีที่แล้ว +5

    nataka gari la mkurugenzi likawe ambulance likabebe wagonjwa.... MAGUFURI HOYEEEE 😁✌

  • @josephmakalanga9453
    @josephmakalanga9453 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakubali xna mkli taariza za uhakika your super nice

  • @sandrandai6180
    @sandrandai6180 3 ปีที่แล้ว +2

    Mh anafanya kazi sana tatizo watendaji wake. Yaani hadi kutengenezwa gari mpk raisi asimamie si awafukuze wote wasiowajibika wasomi wapo kibao mtaani hawana hta ajira

  • @HaleluyaTv
    @HaleluyaTv 3 ปีที่แล้ว

    KARIBU KUTAZAMA IBADA YA JUMAPILI YA LEO 02.08.2020 KUTOKA HAPA OMEGA MINISTRIES CHURCH OF ALL NATIONS- KWA MTU WA MUNGU NABII SS ROLINGA, MBEZI BEACH DAR ES SALAAM PIA USISAHAU KU SUBSCRIBE CHANNEL HII UBARIKIWE, GUSA LINK HII CHINI
    th-cam.com/video/rZFezSp_1zM/w-d-xo.html

  • @elibarikinelsonnsenga3949
    @elibarikinelsonnsenga3949 3 ปีที่แล้ว +5

    Naomba uniambie mheshimiwa ,, unamkubuka komba,, naomba unijib mheshimiwa. Rais huyu ni tunu. Mlinzi wake mwenyewe amepata tabu kujieleza

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 9 หลายเดือนก่อน +1

    Alhaji hoyee 🇰🇪

  • @daemuularmmy5280
    @daemuularmmy5280 ปีที่แล้ว +1

    Magu :kwahyo hlo gari linaweza kauja hapa
    Ccm : HAPANA haliwezi kufika😀😁😁😁😁

  • @ramamtetu2327
    @ramamtetu2327 4 ปีที่แล้ว +18

    Ninachompenda JPM
    Mwananchi Akizungumza tu
    Hata kama Akizungumza Kwa daraja la darasa la saba
    Chap Chap anamuelewa
    Kwamba Kuna Jamba fulani Huyo Mwananchi Anamaanisha

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso6818 4 ปีที่แล้ว +10

    Huyu ni zaid ya mwanajeshi

  • @edigoldkhadija5680
    @edigoldkhadija5680 3 ปีที่แล้ว +1

    I like Mr President God bless you and give you strong health

  • @rechrontv2453
    @rechrontv2453 4 ปีที่แล้ว +3

    BIASHARA 8 ZA KUFANYA CHUONI
    (gusa link 👇👇👇 kutazama)
    th-cam.com/video/bejUDJKRa00/w-d-xo.html

  • @happygw6930
    @happygw6930 4 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akusaidie magufuri

  • @twahiruidd2047
    @twahiruidd2047 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu mjali rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya tano

  • @wokovumwazembe3505
    @wokovumwazembe3505 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kupata rais kama huyu itachukua muda sana Tanzania Mungu naomba msamehe dhambi zake pia utusamehe na wengine tulio hayi

  • @mpesmail1834
    @mpesmail1834 2 ปีที่แล้ว +1

    That dude lamenting about water "maji tatizo" without elaborating further was not even polite in his tone. Some people lack basic manners of talking.
    The Late JPM is an ever hero and an excellent role model, not only for Africa, but the whole world. RIP.

  • @swaggerizedninjagoseprocom8523
    @swaggerizedninjagoseprocom8523 4 ปีที่แล้ว +4

    Magufuli kamanda aiseeeh

  • @SIMULIZIZONE
    @SIMULIZIZONE 4 ปีที่แล้ว +1

    Angalia hapa makala ya #King #Mswati na mila za kuoa mademu bikra.
    th-cam.com/video/iTG1_mr2Pf0/w-d-xo.html
    th-cam.com/video/iTG1_mr2Pf0/w-d-xo.html

  • @robertpaul3315
    @robertpaul3315 4 ปีที่แล้ว +6

    Kazi yako inafaa sana

  • @user-hx9fz7ee9r
    @user-hx9fz7ee9r 9 หลายเดือนก่อน +1

    V8 iwee🚑🚑🚑chap

  • @suleimanali5270
    @suleimanali5270 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Mh Rais unajitahidi sana na lengo lako tunalielewa ila wakati mwengine kua na subra kidogo unatisha sanaaa hata ninapokuangalia najaa hofu

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 3 ปีที่แล้ว +1

    Gari ya Mkurugenzi!! Bado watendaji hawajakuelewa kwamba kipaumbele chako ni mwananchi wa chini kupata huduna

  • @mwiganemwakajinga5368
    @mwiganemwakajinga5368 4 ปีที่แล้ว +1

    Baba yetu kazi unayo hao ndio wananchi wako wanauchungu Sana tusaidie sisi wanyonge.

  • @jalimpanga9315
    @jalimpanga9315 ปีที่แล้ว +2

    Magu magu ilabasitu hakuna namna

  • @khaldancarlos9859
    @khaldancarlos9859 3 ปีที่แล้ว

    Mungu amlinde Tundu Lissu

  • @teacherd
    @teacherd 4 ปีที่แล้ว +4

    Wanafunzi wote pita KWENYE CHANNEL yangu yapo MENGI mazuri uta yapata

  • @seifmtengela5596
    @seifmtengela5596 4 ปีที่แล้ว

    Baba una kazi sana ...
    Inatakiwa sijui

  • @mohamedsuleiman2552
    @mohamedsuleiman2552 4 ปีที่แล้ว +2

    Mjomba magu kamshusha usalama duuh

  • @user-en8tj4yz6n
    @user-en8tj4yz6n 3 หลายเดือนก่อน +1

    Amka mzee magufuri taifa limekua la hovyo huku

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 4 ปีที่แล้ว +2

    hili gari nikisema lije hapa litakuja? hapana mkuu, wewe unagari? hapana, mkurugenzi yuko wapi? yupo dar ameenda na gari lake, kuanzia sasa gari ya mkurugenzi ianze kubeba wagonjwa mpaka watakapotengeneza ambulansi 👊👊

    • @Kingnelbo
      @Kingnelbo 4 ปีที่แล้ว

      Lol mungu azidi kumuongoza uyu mzee

    • @wannaproducts
      @wannaproducts 4 ปีที่แล้ว

      Natamani nikuelewe...

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj ปีที่แล้ว

    Gari ya mkurugenzi ndoo iwe ambulance duuuuuuuuuu

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 ปีที่แล้ว +1

    Mafuriko yalichimba hadi makaburi mwaka huu

  • @xbdbdgdgsbdbbxx4254
    @xbdbdgdgsbdbbxx4254 4 ปีที่แล้ว +7

    Yaani huyo kaka anahasira kweli, ana mrudishia kesi kwa m Rais 😂😂😂😂. Rais Magufuli oyee eee 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

    • @careenjunior8711
      @careenjunior8711 3 ปีที่แล้ว +1

      Fanya kazi baba unaweza.

    • @elibarikinelsonnsenga3949
      @elibarikinelsonnsenga3949 3 ปีที่แล้ว +2

      Embu Rais niambie inakuwaje hapo,, yaani hadi raha🤣🤣🤣

    • @roi2554
      @roi2554 3 ปีที่แล้ว

      @@elibarikinelsonnsenga3949 🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 3 ปีที่แล้ว +1

      Atakua Chadema huyu

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 4 ปีที่แล้ว +4

    Wananchi sio watu wazuri kabisa.Daah wanakuchoma huku onaona😂😂

  • @omaryhathuman9444
    @omaryhathuman9444 4 ปีที่แล้ว +1

    Changamoto za maji ata Wilaya ya Masasi zimeenea kata ya Chiwata tunakunywa maji ya kushea na wanyama wakati mito iko mingi na maji yako mengi

  • @hamisimustafa4415
    @hamisimustafa4415 4 ปีที่แล้ว +3

    Nakubari

  • @thierybien7051
    @thierybien7051 4 ปีที่แล้ว +6

    Yaan ciwaelewi kabisa wanavyojielezea

    • @salmasoso9839
      @salmasoso9839 4 ปีที่แล้ว +1

      Rais kawaelewa

    • @josephmanyama435
      @josephmanyama435 4 ปีที่แล้ว +1

      safi sana salma soso

    • @thierybien7051
      @thierybien7051 4 ปีที่แล้ว

      @@josephmanyama435 oya manyama henry hapa

    • @martinemasanja1633
      @martinemasanja1633 3 ปีที่แล้ว

      Mh.raisi ana uwezo mkubwa wa kuwaelewa Wana maanisha nini

    • @salmasoso9839
      @salmasoso9839 3 ปีที่แล้ว

      @@martinemasanja1633 fact

  • @baikokokangamoko
    @baikokokangamoko 4 ปีที่แล้ว +4

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kalaluwakisaka3211
    @kalaluwakisaka3211 4 ปีที่แล้ว +1

    Maguuuuu

  • @bobbiegatimu7124
    @bobbiegatimu7124 4 ปีที่แล้ว

    21st century Africa this is shocking

  • @thabitmkuu1929
    @thabitmkuu1929 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Mjomba magu ni hatari

  • @jacklinejohn7154
    @jacklinejohn7154 4 ปีที่แล้ว +4

    Rais mpambanaji kiongoz wa wanyonge

  • @agogojrtz6532
    @agogojrtz6532 3 ปีที่แล้ว

    P1

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 ปีที่แล้ว +3

    Magu na gari moshi mara atasema amerogwa, nchi mmeinajisi hakuna chochote zaid ya usanii milio 31 pesa ya (madafu) sasa mvua zikinyesha waizime mashine watumiye maji tope?.. Tatizo serikali imelaniwa hakuna kitakachokuwa. Mnatowa pesa mbili za madafu zitafanya nini buree tu.

    • @wannaproducts
      @wannaproducts 4 ปีที่แล้ว +1

      Umelaaniwa weye na ukoo wako bila shaka...
      Ni ujinga wa kiafrika kudhani kila jambo mnaloshindwa kuwajibika nalo kuwa ni laana, na laana iko Africa tu. Acha uwehu

    • @mr.theory5871
      @mr.theory5871 3 ปีที่แล้ว

      Huyu jamaa kama anaongelea mkundu

    • @gracethomas683
      @gracethomas683 3 ปีที่แล้ว

      sasha 2020 ni milioni 91

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 3 ปีที่แล้ว

      Uyu Sasha ni shoga

  • @remmygashumba9865
    @remmygashumba9865 4 ปีที่แล้ว +3

    Millard ayo low quality

  • @diuskaganda5105
    @diuskaganda5105 4 ปีที่แล้ว +6

    Jaribu sana ndugu zangu kutumia nafasi ,pili angalie na mtu mnaeongea nae.na ww unaongea vip,hakika huyu ni rais wa pekee.mungu ampe maisha marefu raisi wetu

    • @saimonseleka8478
      @saimonseleka8478 4 ปีที่แล้ว +1

      Uyu msemaji muislamu uyo duh! Kama nyaya haziko sawa

    • @robarttarimo1696
      @robarttarimo1696 4 ปีที่แล้ว

      Unazingua sasa unaona alivyoekeza alupewa nafas kwenda kunyenyekea m2 au kueleza

  • @josephmanyama435
    @josephmanyama435 4 ปีที่แล้ว +3

    Unajua wanamchanganya sana raisi wetu anamambo mengi sana kwani viongozi wa huko chini wanafanya kazi gani jamani mbona madaraka hamyajui jamani

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm7876 4 ปีที่แล้ว

    Tatizo ni uongozi mzima ivi tengeneza hayo magari jamani hadi huruma kwa rais

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 ปีที่แล้ว +1

    Magufuli nikugombezwa kwa kwenda mbele na wananchi lol @4:50

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 3 ปีที่แล้ว

    Huyu DC kafanana na jengua daah

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 4 ปีที่แล้ว

    Kumbe huyu ndio DC ALIOTUMBULIWA KAPELEKWA KANAL SASA HV

  • @ramadhanihassani4778
    @ramadhanihassani4778 4 ปีที่แล้ว +1

    watu wanachomoa betri mbele dc pole sana

  • @IronKing89
    @IronKing89 3 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe maji tu ccm si mliichagua!

  • @baikokokangamoko
    @baikokokangamoko 4 ปีที่แล้ว +5

    🤣🤣

  • @haikajohn7580
    @haikajohn7580 3 ปีที่แล้ว

    Wana,hila hao

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 4 ปีที่แล้ว +2

    binafsi nimengundua kumbe upinzani nikupinga kila kitu, pia inakubidi usione mazuri anayoyafanya mtawala wako yote ni kupinga tu.

    • @adrophwilliam3225
      @adrophwilliam3225 4 ปีที่แล้ว

      Uwezo wako wa kufikili ndio unao kusumbua tangu lini Raisi alipo tatua shida za watu kwa njia za haki akalaumiwa? mfano kama hili la leo nani kamlaumu?

    • @kingswebe3251
      @kingswebe3251 3 ปีที่แล้ว

      @@adrophwilliam3225 yanayonisumbua mengi sana, sio tu uwezo wa kufikiri.

    • @bone102
      @bone102 3 ปีที่แล้ว

      @@adrophwilliam3225 ndege si mlimlaumu pale ubungo alivyokuwa anavunja majengo ili ajenge daraja si mlimlaumu leo daraja limekamilika mnaanza kumsifia nw ndege zinaleta mapato zmechukua ndugu zetu toka china kwa ndege mlizo sema watu hazitusaidii

  • @baikokokangamoko
    @baikokokangamoko 4 ปีที่แล้ว +1

    Kimempata

  • @maalickbintarish6658
    @maalickbintarish6658 3 ปีที่แล้ว

    Jembe la ccm

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 4 ปีที่แล้ว

    We mheshmiwa weweeeee

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 ปีที่แล้ว +5

    Mzee magufuli bwana sasa walinzi wako mbona unawachanganya hawatakiwi kushughulika na mambo mengine zaidi ya kukulinda wewe.

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 4 ปีที่แล้ว +5

      Analindwa na Mungu.Binadam Awezi kumlinda Mtu.Binadam Anakusaidia Usisumbuliwe na Watu.

    • @teychriss3248
      @teychriss3248 4 ปีที่แล้ว +2

      Hussein Shabani safi

    • @kelvinjohn6851
      @kelvinjohn6851 3 ปีที่แล้ว

      Kwani kawauliza wote??? Si amemchukua mmoja tu kati yao.

  • @haikajohn7580
    @haikajohn7580 3 ปีที่แล้ว

    Kweeli baba wanakuchanganya,kwani,kila,kitu raisi,afanye? Kwanii viongozi wangazi zachini kazi zao,nipi?

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 ปีที่แล้ว

    Lakini sasa utajuaje mafuriko yatatokea ilhali mvua za mwaka huu zilikua zakushtukizia.

    • @bone102
      @bone102 3 ปีที่แล้ว

      Sio kujua mafuriko walitakiwa kutoa hzo mashine baada ya kuona mvua kubwa

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 3 ปีที่แล้ว

      @@bone102 . Wakati mwingine mvua hunyesha usiku ukiamka kila kitu kime sombwa

  • @hajimizozo9313
    @hajimizozo9313 3 ปีที่แล้ว

    T

  • @lazarojohn6762
    @lazarojohn6762 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa alijua kucheza na akili za wajinga

  • @baikokokangamoko
    @baikokokangamoko 4 ปีที่แล้ว +1

    Haya kama unapenda mizigo mizigo 🍑🍑 njoo huku haraka

    • @selector728
      @selector728 3 ปีที่แล้ว

      🖕🖕🖕🖕🖕🖕

  • @polycarpmicky4151
    @polycarpmicky4151 4 ปีที่แล้ว +1

    Duh huu wimbo mzuri shukuran kwa Munguth-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html

  • @reginasoki5025
    @reginasoki5025 4 ปีที่แล้ว

    😆😆😆😆😆😆 pumbavu kabisa

  • @mrbenedicto5660
    @mrbenedicto5660 4 ปีที่แล้ว

    th-cam.com/channels/9rRQdZ2IHlqMgvv1OJBqIQ.html *Ndugu, Jamaa,Rafiki ..watoto kwa wakubwa naombeni support yenu kwa kwa Ku like na Ku subscribe channel yangu hii kwa kubonyeza link hapo juu 👆🏻👆🏻kupata Nyimbo nitakazo zitarajia kuzitupia hivi karibuni pamoja na video za fani mbali mbali kutoka kwangu.Ahsanteni sana🙏🏻 na Mungu awabariki saana 🙌🏻*

  • @ernestdismaseryd1677
    @ernestdismaseryd1677 4 ปีที่แล้ว +1

    th-cam.com/video/WRnrWuXh7cA/w-d-xo.html hatari sana

  • @husseinmkakile9206
    @husseinmkakile9206 3 ปีที่แล้ว

    YATAFURIKAJEEEEEE😂😂😂

  • @halfanmundo622
    @halfanmundo622 4 ปีที่แล้ว +1

    ameshituka aliposikia mrad wa maj unasimamiwa na luwasa akahis lowasa.

    • @amanimgaya9623
      @amanimgaya9623 4 ปีที่แล้ว

      😄😄

    • @anthonyzambi4415
      @anthonyzambi4415 4 ปีที่แล้ว

      Hujitambui wewe unashindwa kuandika hata RUWASA, ray man mkubwa sana weee

    • @selector728
      @selector728 3 ปีที่แล้ว

      Hee we kwel boya hajasema luwasa,,,sema RUWASA

  • @jmnafaka9451
    @jmnafaka9451 3 ปีที่แล้ว

    PETITMAN AANGUA KILIO MBELE YA WAANDISHI KISA ESMA KUOLEWA 😭💥💥🔥
    LINK hapa 👇👇
    th-cam.com/video/m915JRu4XCs/w-d-xo.html

  • @samsonkusupa8185
    @samsonkusupa8185 3 ปีที่แล้ว

    duuh kweli hapo mzee magu kakutana na wendawazimu

    • @martinemasanja1633
      @martinemasanja1633 3 ปีที่แล้ว

      Lakini jamaa nimemkubali Sana kwani anajiamini na kingine jamaa kuna Jambo kalificha ndo maana akamwambia chunguza mwenyewe

  • @planmasta4083
    @planmasta4083 4 ปีที่แล้ว +1

    Mtetezi wa wanyonge

    • @Amneamne-qi2du
      @Amneamne-qi2du 4 ปีที่แล้ว

      Ama kweli huyu mtetezi wetu wanyonge Allah akupe umri na afya njema

  • @roseemmanuel4492
    @roseemmanuel4492 4 ปีที่แล้ว

    Wanainchi wabaya Kama wajumbe ukiwatendea ubaya wanakupa ubaya nakupenda San Rais wangu Mungu akutunze maisha yote