RAIS DKT. MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA KAHAMA - SHINYANGA AKIELEKEA CHATO MKOANI GEITA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 พ.ย. 2019
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi mbalimbali wa Kahama Mkoani Shinyanga Waliokuwa wanamsubiri Barabarani akielekea Chato Mkoani Geita
Mungu akupe maisha marefu Rais wetu
Mzee unachapa kazi,hongera sana. Mungu awe nawe siku zote.
Asante sana Mh. Rais. Mungu akupe baraka zake zote.
Ataukiwa mpinzani kama ujui au uoni kazi anayo fanya mzee wangu john raisi wa Tanzania wewe utakua kipofu kiziwi pamoja na mtu ulie ubwa auna isia yoyote kama wana chama wa chama cha ndugu mboye na ndungu lungwe waliojito sehem ambayo awakuingia hahahaha 😂
❤❤❤
Mzee wangu magufuli mungu akupe maisha marefu sana kwan unagusa maisha ya wananch wako moja kwa moja.. Mungu akubarik sana
Nakubali
Eeeemwenyezimungu mlaze mahala pema tutakukumbuka daima
TANZANIA kwanza
Peoples choice Rip 🙏🙏🙏
jammani jamani mzee alikua na upendo na hofu ya mungu.watanzania tulimpenda mnomno angalia umat.toka yuhai wake ni umati wawatu hadi kifo chake ni umat wawatu.ameacha alama ktk nchi yake mungu ailaze roho ya mzee wetu mahali pema peponi
Yaani mh kaulixa mnataka nini, jamaa fasta kaanxa kutoa kero yake fasta, kweli jpm wewe ni wetu sisi wanyonge
Wish kenya we had such a president, jamani magufuli was sent from heaven
Kweli rais mugufuli ulikuwa unachapa KAZI,Mungu aweke Rooh Yako mahali pema
Mungu mbariki Rais wangu MAGUFURI
R.I.P. Mrehemu Raisi DKT. MAGUFULI ALIKUWA THE BEST AFRICAN LEADER 🇹🇿
Kifo hiki kingetuone huruma ukabaki jaman tunaumia sana
R I p president jpm
Hii ndo uongozi dhabiti
JPM ni Rais wa aina ya peek ni kama maraika anatumiwa kuwanusuru watanzania wanyonge na kuwaamsha waafrika jinsi ya kuwanusuru watuwao haswa wanyonge.
Haaaaaaaaa kahaaaaaaaaa magu noma watu maik chungu wakitaja ovyo takukuruu ng`ataaaaaaa
0