HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA RIPOTI YA KAMATI YA PILI YA MADINI JUNE 12, 2017

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 มิ.ย. 2017
  • HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT JOHN POMBE MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA RIPOTI YA KAMATI YA PILI YA UCHUNGUZI WA MADINI JUNE 12, 2017

ความคิดเห็น • 46

  • @mohamedadnan7090
    @mohamedadnan7090 7 ปีที่แล้ว +5

    Rais Mangufuli is God send to Tanzania and a shinning son of Africa who means well and is genuinely disturbed by the poverty that is visible in our society despite all the wealth generated by Countries in Africa.......God Bless

  • @filbertmsanga5574
    @filbertmsanga5574 6 ปีที่แล้ว +3

    Kwa Neema na baraka za mungu nampongeza Rais wangu wa Tanzania kwa kazi kubwa tena ya Ziada ya kulinyenyua taifa hili ambalo kwa ujumla lilikuwa linadidimia mungu akulinde akujalie maisha marefu yenye baraka na mafaninio makubwa nasi tupo pamoja nawe kwa vitendo na kwa sala.

  • @madeuslegembo8455
    @madeuslegembo8455 7 ปีที่แล้ว +4

    hallelujah....
    God is with us always
    but now, he is openly to us....
    barikiwa sana Rais

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 ปีที่แล้ว +2

    Magufuli MUNGU alikuleta Tanzania, you are the living president una uchungu na maisha

  • @stevenmamba2464
    @stevenmamba2464 7 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akubariki sana mheshimiwa Nyerere mkombozi wetu wa uhuru Magufuli utatukomboa na umaskini

  • @davidcharles5674
    @davidcharles5674 7 ปีที่แล้ว +4

    naitabiria TZ kuongelea MAJORS za uchumi ,,,sasa tukitengeneza mapato mengi ktk madini tz ya viwanda hiyoooo

  • @rehemaelliottsuleiman6465
    @rehemaelliottsuleiman6465 7 ปีที่แล้ว +3

    chapa kazi Magufuri , Tundu lisu hana tofauti na judder msaliti wa Yesu na tundu lisu anaweza kuisaliti nchi ajili ya njaa yake .

  • @mhangwamadeni1694
    @mhangwamadeni1694 7 ปีที่แล้ว +4

    Uko sawa mheshimiwa , kwa kweli inauma Sana! mheshimiwa simamia Mali za watanzania

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness 7 ปีที่แล้ว +4

    Great work done.... Tz up now....

    • @dadileonard2392
      @dadileonard2392 7 ปีที่แล้ว +2

      ur excellency Pres.Dr.JPM......!

  • @frankmangera3339
    @frankmangera3339 7 ปีที่แล้ว +2

    Dah inauma sana kwa watanzania kuishi maisha balaaa!!!!
    Ndioooo zipungue basi mjengoni

  • @hajiissa9200
    @hajiissa9200 7 ปีที่แล้ว +4

    mh raisi tupo pamoja na wewe bega kwa bega katu hatuukuangushi sisi wananchi
    tunakuombea dua allah akulinde kwa kila shari

  • @mnzavachris5423
    @mnzavachris5423 7 ปีที่แล้ว +6

    eeh ndo maan ya kuwa na 4% wenye uwezo n ndomaan twakosa ajira nchi za nje kwan twaonekana wajinga na wapuuzi.,wanatucheka kwa ndani!?

  • @mohammedrutta4989
    @mohammedrutta4989 2 ปีที่แล้ว +4

    The man who loved his country deep 💕.INNAA LILLAAHI WAINNAA ILAIHI RAJIUUN

  • @giftedboy7944
    @giftedboy7944 7 ปีที่แล้ว +3

    asante rais wetu mtukufu

  • @Dantaata
    @Dantaata ปีที่แล้ว +1

    sitaacha kukusikiliza president wetu wa kweli,, your living hata km lkn unaishi na sisi siku zote,, sina mashaka na huko ulipo Imani yangu uko salama# tunakupenda

  • @kelvinngongolo9759
    @kelvinngongolo9759 7 ปีที่แล้ว +3

    Tunakushukuru Mungu kwa kutupatia Rais wa kweli JPM kwaajili ya Watanzania.Mpe nguvu,ujasili na ulinzi wako siku zote za maisha na utumishi wake.

    • @simonlulenga2530
      @simonlulenga2530 7 ปีที่แล้ว +2

      KELVIN NGONGOLO Mimi nawaza hivi angakuwa Mswahili amekwepa kulipa kodi na mbaya zaidi anafanya biashara vila usajili wala leseni ya biashara sasa hivi angeshawekwa chini ya ulinzi zamani. kwa kuwa ni mzungu ati aombe radhi! na tufanye naye negotiarion ; tu basi. Kwetu sisi tumelogwa.

  • @KichwaHuru
    @KichwaHuru 7 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mzee hizi namba-namba anavyozikumbuka…anatisha!!

  • @geopolitics94
    @geopolitics94 3 ปีที่แล้ว +1

    God bless you my leader 🙏🏽

  • @shukuruexperius5035
    @shukuruexperius5035 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu wajuwa machungu aliyonayo huyu baba mzalendo wa aina gani jamani mpe afya njema Jpm hongera sana

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 3 ปีที่แล้ว +2

    Hi hivi jaman ile pesa yetu ilobaki italipwa lini, watuambie hatutaki ujinga

  • @leonardmeshack2661
    @leonardmeshack2661 5 ปีที่แล้ว +2

    Shida ni pale mtu anapoibuka kutetea watu wa aina hii eti kisa yeye ni chadema haki ya nani tutawanyonga tu maana hamna namna

  • @denissimon6313
    @denissimon6313 ปีที่แล้ว

    Ikulu Tanzania please msifute huu ushuhuda the day will come..God bless Tanzania ..R.I.P Mr President JPM

  • @SamYoung-zg3xl
    @SamYoung-zg3xl 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu ibariki
    Africa

  • @saidirahisi6436
    @saidirahisi6436 7 ปีที่แล้ว +3

    Kweli tumempata rais tuliyekua tunamhitaj miaka mingi.
    Hongera sana MR. PRESIDENT MAGUFULI,
    Endelea kusimamia MALI za Watanzania, Endelea kusimamia UCHUMI wa Watanzania.

    • @issaissa9250
      @issaissa9250 ปีที่แล้ว

      Imebaki story tu
      ndo basi tena cdhani

  • @mawajacobamaza8216
    @mawajacobamaza8216 29 วันที่ผ่านมา

    RIP 😢😢😢😢Dr JPM 🙏🙏🙏🙏

  • @yassinevarist7279
    @yassinevarist7279 4 ปีที่แล้ว +1

    Kongore mh magufuli mungu atakulipa

  • @georgeochen7276
    @georgeochen7276 ปีที่แล้ว

    The best in Africa

  • @zidihermfinanga7468
    @zidihermfinanga7468 7 ปีที่แล้ว +2

    💞

  • @mhangwamadeni1694
    @mhangwamadeni1694 7 ปีที่แล้ว +4

    wafukuze tu waondoke!

  • @babumnyagane8091
    @babumnyagane8091 ปีที่แล้ว +1

    Viongozi hawana huruma kabisa na wananchi wao,yaani kiongozi anapita pale Manzese na tandale mbagala hata hawana aibu nchi yao chafu kiasi hicho yaani wakisha kaa masaki hawajali wenzao bila.

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 3 ปีที่แล้ว +1

    Mitume wetu magufuli

  • @faza4023
    @faza4023 4 ปีที่แล้ว +1

    Huu ni moyo Mungu aliuchagua, nautaka.

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 4 ปีที่แล้ว +1

    ISHI SANA RAIS WETU WA MUDA WOTE

  • @benezethbwikizo3158
    @benezethbwikizo3158 7 ปีที่แล้ว +3

    mungu ametupa zawadi ya huyu mtu,hakika sala za watanzania mungu kumbe alizickia asante mungu kwa hili

  • @babumnyagane8091
    @babumnyagane8091 ปีที่แล้ว

    Kazi ya urais ni ngumu sana ngoja tupate katiba mpya tuwapunguzie kazi tuzishushe chini.

  • @JohnJohn-vu9vn
    @JohnJohn-vu9vn 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimejikuta natoa machozi uyu mzee abarikiwe milele

    • @tangaoldtv1067
      @tangaoldtv1067 ปีที่แล้ว

      Kaka pole sana tunaumia watanzania ambao sio wwzalendo nawataja January makamba nape na wengi sana ila mungu atatuhukumia

  • @daudimzuri5771
    @daudimzuri5771 2 ปีที่แล้ว +1

    nani mwingine raisi wa kuusema ukweri huu Kama sio John pombe magufuri tu

    • @tangaoldtv1067
      @tangaoldtv1067 ปีที่แล้ว

      HAKUNA hasa kwa sisi WAISILSMU niwajinga wa Kwanza kabisa

  • @babumnyagane8091
    @babumnyagane8091 ปีที่แล้ว

    Sheria zetu ni zahajabu na kubadilisha tumeshidwa kabisa.mikataba inayofungwa na wanasheria haina tija kabisa kwa taifa.

  • @eddobillah2369
    @eddobillah2369 7 หลายเดือนก่อน

    Aisee magufuli ulitufungua macho' endelea kupumzika.