Mzee unachotakiwa kupambania nacho ni mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi (Katiba mpya); katiba hii ya sasa inaegemea kukipa ushindi CCM, vinginevyo usitarajie kuiondoa CCM madarakani. Yaani CCM inapata ushindi hata kabla ya uchaguzi wenyewe kutokana na mfumo mbovu ulioratibiwa kwenye katiba ya sasa.
Ngojeni, kwa kadiri mnavyopiga kelele kuhusu wizi wa fedha za umma kuna muda CAG atatateuliwa kutoka kada wa chama tawala ili mshuhudie hati safi kila kona.
Mzee sera zako kidogo km za ngoma nzito Chadema , mzee njoo chama cha chadema tupige ndongo pamoia, karibu.
Mzee tu pamoja.
Kweli mzee wa ubwabwa
Ama tanesco imekuwa na kibri dawa Yao ipo jikoni
Mzee tatizo wanatangaza aliyeshinda hatuwezi kutaka kuona marudio TUNATAKA KATIBA MPYA😂😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mzee japo chama chako hakieleweki lakn uko vzr😊
Ccm wabaguzi wameshindwa kutubaguwa kifo tu
watu kama hawa viongizi wa siasa eet!!! hatuwezi kupiga hatu milele
Mjenereta kelele yanaua masikio
HATA WAKIFICHA TUNATAKA YA NYUMA NAYO VIP?
Fanyeni maadamano ya Hali ya nguvu hata damu ikiwagika siyo mabaya wdengine na vijukuu vita Pata haki
Mzee unachotakiwa kupambania nacho ni mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi (Katiba mpya); katiba hii ya sasa inaegemea kukipa ushindi CCM, vinginevyo usitarajie kuiondoa CCM madarakani.
Yaani CCM inapata ushindi hata kabla ya uchaguzi wenyewe kutokana na mfumo mbovu ulioratibiwa kwenye katiba ya sasa.
Mwache Mzee ale ruzuku yake ila ana moyo mwena😅
Ngojeni, kwa kadiri mnavyopiga kelele kuhusu wizi wa fedha za umma kuna muda CAG atatateuliwa kutoka kada wa chama tawala ili mshuhudie hati safi kila kona.
Wabagueni CCM kama kinyesi
Pigania katiba mpya wacha utapeli wa kuuma na kupuliza uchawa haujifichi
Mbona haukuja kuandamana...😂
Wanauza. Generetor na solar zao