Mgombea Urais kupitia CHAUMMA Hashim Spunda Rungwe ameingia katika mahojiano ya kipindi cha Kamati Kuu akiwa na mabakuli yenye ubwabwa akiwataka Masoud na PJ wale washibe vizuri
mzee lungwe nimekuerewa siasa unayoifanya sio yakulenga Majungu upo vizuli sana kula yangu ipo kwako hata kama tutashindwa tushindwe ujumbe umewafikia Mungu akubaliki
Aaaaaah mimi mwanachama.hai wa Chauma mwenyekiti wangu anasera ngumu ngumu lazima tushinde mwaka huu kwa sera hii ya ubweche mmmmh maana wabongo wengi hatuli siku hizi ni mwendo wa mlo.mmoja ela.yote Mzee baba kanunua.ndege
Basi ukute hapo PJ na KP wakarudi nyumbani wasile chakula na wake zao wakawamaindi umekula wapi wakati wanawaona kabisa wapo studio wanapiga ubeche na raisi wangu Mzee Rungwe
Ukosefu wa elimu jinsi ya kula ndiyo maana unasikia hiyo sauti nikiwa mdogo mama yetu alikuwa anatuchapa akisikia wakati wa kula unakula huku unatoa sauti kama hiyo Alikuwa anatuambia acha kula kama dog
Chakula imeandaliwa na mwanamke wa kitanga mikocheni hyo ..acha wapige ubweche ..alichosahau ni kuwaandalia tu maji ya kunawa mikono..Hahaaaaaaaaa....!!
He is talking the truth though our hungry governments would rather fill their bank accounts with that money. Though we can't take seriously and his manifesto and intentions have no backing.
@@dizzboss7526 kwani akiwa south africa hatakiwi kuelimishwa bora mimi ambaye namuelimisha ili ajifunze kuliko kumwacha tu ajione yuko sahihi kumbe hayuko sahihi
Hii ndio raha ya kusikilliza wagombea wote kwa makini. Wadau wa uchaguzi msiharibu uchaguzi waacheni Watz wafurahi na wasikilize wagombea wao. Itamsaidia mshindi kuungaunga sera na kupata sera moja bora. Kula shuleni watoto lazima ametukumbusha wazazi. Ni wajibu kama taifa kuwa na watoto wenye afya.
Rungwe kama rungwe.
Wangapi tupo kwa ajili ya kusikiliza sera ya ubwabwa ajili ya watoto wa mashuleni... tujuane.
i guess it's kinda randomly asking but do anybody know a good site to watch new tv shows online?
@Jaxxon Ashton i use Flixzone. Just search on google for it :)
@Landen Brady Definitely, have been using flixzone for years myself :D
@Landen Brady thanks, I signed up and it seems like a nice service :) Appreciate it !!
@Jaxxon Ashton happy to help xD
Rungwe jiandae tu kuingia ikulu.Chakula kwanza,mengine baadae.Safi sana.
Nampa kula mala anatuakikishia kula
😂😂😂😂
Hahaha
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
😁😁😁😁😁😁
Hahahah huyu Mzee inaonekana nymbni kwake ratiba ya ubwabwa inazngatiwa hatarii
😅😅
😂😂😂 cku wasipopika ubwabwa zinga la ugomvi
Chama bora kulio vyote duniani
dah mzee rungwe andaa suti na balaza lako mawaziri wewe ikulu uhakika
Huyu jamaa hua nampuuza kwa sera zake ila kwa hili la chakula mashuleni nimemkubali
Ohooo ubwabwa 😅😅😅🤣kadi ya uwanachama tunapata wapi😄
🤣🤣🤣🤣
Utani utani tu Mara CHAUMA ikuru😎
Daaaaaaaah!!! Nikecheka Sanaaaa
Mzee Wangu Rungwe We Ni Noma
Au sio mwanangu nikecheka hivohivo chapia tu maisha yenyewe mafupi.. Naona ubwabwa wa Rungwe umekupagawisha
Mzee upo sawa, Sisi tuliosoma shule za bweni za serikali tunalijua hilo
Good idea mzee nimekuelewa.kusoma bila kula ni changamoto sana toka usiku jana hadi saa saba mchana uelewi kitu mzee uko sawa kbs
Huyu mzee watu watakula ubwabwa wake wamwache njiapanda naona hawajui wabongo huyu😂😂
Mwenzio kwenye ruzuku atazirudisha jamaa anajua kubet
@@dintazdintaz7311 😂😂😂sawa
Anatania tu anajua hawez pata
🤣🤣🤣
Wabongo kazi kweli Mlo kwanza pilao kuku uje na Same kwa watani zangu
Mzee kaongea point sana yan
Ambae ameona wanakula bila kunawa gonga like hapa
Hahahahahaah
AF wew🤗🤗👎👎👎😄😄😄😄😄😄😄😄
Nimeangalia usiku njaa inaniuma ghafla
Rungwe kwakweli kwenye chakula mashulen nakuunga mkono kuliko kusoma bure mhimu sana chakula nakupenda Rungwe
Ila Rungwe upo sawa ...upo sawa siyo mzaha
Usie mzania ndie rais
Napenda vile mzee anaongea huku ubwabwa unalia "kwa kwa kwa" mdomoni
ni kweli , sera za huyu mzee zina mantiki,
Katika wapinzani wote! Rungwe number 1 ninakukubali sana rungwe
Kipanya mungu anakuona😁😁😁 unamuenjoy tu rungwe but you know reality😊
Ni kweli wanamu enjoy mzee wetu jamaanii😂😂😂 eti visheti😂😂😂
mzee lungwe nimekuerewa siasa unayoifanya sio yakulenga Majungu upo vizuli sana kula yangu ipo kwako hata kama tutashindwa tushindwe ujumbe umewafikia Mungu akubaliki
How did I get here 😀😀. This has made my day today ☺️☺️.
Safiiiii Sanaa rungwe ubweche mtaa muuuuu ikulu yakooo
.
Aaaaaah mimi mwanachama.hai wa Chauma mwenyekiti wangu anasera ngumu ngumu lazima tushinde mwaka huu kwa sera hii ya ubweche mmmmh maana wabongo wengi hatuli siku hizi ni mwendo wa mlo.mmoja ela.yote Mzee baba kanunua.ndege
Unafaaa sanaa kuwa waziri
Raisi bana
Tutakuwa na wizara ya chakula na lishe Bora tumweke mzee wetu huyu wizara hiyo Mambo yatakuwa poa
Sawa Rungwe hua nakuelewa sana mzee wangu
😂😂😂😂
Wana hawaja nawa mikono kweli bongo no corona
Hahaaaaa!!
Yawezekana walinawa kabla ya ubweche kufika mezani Mmh!!
Walinawa kabla
Kumbe na wewe umeiona hiyo
Mgeni hakaribishwi kunawa anakaribishwa chakula kunawa atanawa mwenyewe ringwe pigalo bwabwa 👌😂
Basi ukute hapo PJ na KP wakarudi nyumbani wasile chakula na wake zao wakawamaindi umekula wapi wakati wanawaona kabisa wapo studio wanapiga ubeche na raisi wangu Mzee Rungwe
Rais wangu wa Ubweche Nimrmkubali
😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Ubeche ❌
Ubweche ✔️
Napendekeza Uncle Kazoa awe kwenye hii program ya chakula
😂😂😂😂😂
Hahahhaha
Kama na wewe unatambua kuwa wakati unakula hautakiwi kuongea ongea na pia unasikia mnya mnya mnya mnya mnya maana hawafumbi midomo gonga like 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Waache wapige Ubweche bana
Huyu mzee ki ukweli ni mjanja sana na namkubali ujanja wa maisha akishapiga ruzuku maisha yanasogea na watanzania wanafurahi kwa vituko vyake.😂😂😂
Ukosefu wa elimu jinsi ya kula ndiyo maana unasikia hiyo sauti nikiwa mdogo mama yetu alikuwa anatuchapa akisikia wakati wa kula unakula huku unatoa sauti kama hiyo
Alikuwa anatuambia acha kula kama dog
Chakula imeandaliwa na mwanamke wa kitanga mikocheni hyo ..acha wapige ubweche ..alichosahau ni kuwaandalia tu maji ya kunawa mikono..Hahaaaaaaaaa....!!
Mh, kampeni zake ni wananchi mkikutwa kumi mh, anasimama anawapa Sera zake yupo vizur anaweza akaushangaza umma
Yaan huyu mzee comedy sana na umri wake 😂😂😂😂
Daaaaaa ninekuerewa sana spunda.
Hahahahaha Spunda nakukubali kinyamaaa😂😂😂😂😂 yaaani mcheshi namba 1 duniani😂😂😂😂 big up sana 😂😂😂
Rungwe hajawajua wajumbe Masud na mwezie kama wajumbe wajumbe nomaa mzee japo umenena point
He is talking the truth though our hungry governments would rather fill their bank accounts with that money. Though we can't take seriously and his manifesto and intentions have no backing.
TABLE MANNERS PLEASE TAFUNA BILA KUTOA HIYO SAUTI MDOMONI
Yaani hakuna kitu kinachonikera kama kula na mtu anayekula na hiyo sauti kama mwanangu au mdogo wangu lazima ale bao la maana
Anaongea point sana
Uko sahihi mh Rungwe
Upo sawa mzee
Wangekuwa watoto wanapigaga kura,aaa Mzee Hashimu ungevunja rekodi
Bas bas mzee inatosha tumekuelewa
Dhu magufuri kaeafanya wapinzani wakose Sera kabisa 2015 alisema kuwa ataleta ndege yakumwagikizia mashamba duh rungwe nakuelewaga sana
unakisudia nn unaposema sera
Ni kweliii suala la chakula n la msingi Sanaa na sanaaa mashuleniii. Rungwe uko vizuri😀😀😀😀😀
Mimi nitamchagua Mzee Rungwe Hashim kwa sababu anataka kutokomeza njaa maana yuko sahihi kwa hili 🍽🥤
Sio tu ata hapa nilipo mimi South Africa watoto wanakura chakura shuleni bure
Wanakula chakula ndiyo kiswahili sahihi
@@matukiosafaris6508 ushaambiwa yuko afrika ya kusini unategemea aandike kiusahihi tena
@@dizzboss7526 kwani akiwa south africa hatakiwi kuelimishwa bora mimi ambaye namuelimisha ili ajifunze kuliko kumwacha tu ajione yuko sahihi kumbe hayuko sahihi
Matukio Safaris ila umeelewa nn kamaanisha!!Hongera kwa kumpa kuswahili sahihi nadhan hatokosea tena!!
🙌🙌🙌🙌
watangazaji naona mnakula ubweche na rais tena bila kunawa mikno amazing sn.
Kwa sasa huyu ndiye rasmi mpinzani wa Magu au mnaonaje jaman?
Hichi ndicho kimewafanya clouds wafungiwe
Nikwer kwa hilo , ila hatujaona mukinawa kabla ya kula
Tz Nakukubali nchi yangu kuna vituko haswa furaha tele babu yangu rungwe ni shidaa
Hahahaaaaa😃😃😃😃👍Tz mpaka leo mambo ya chakula, shibe kwanza.
Hii ndio raha ya kusikilliza wagombea wote kwa makini. Wadau wa uchaguzi msiharibu uchaguzi waacheni Watz wafurahi na wasikilize wagombea wao. Itamsaidia mshindi kuungaunga sera na kupata sera moja bora. Kula shuleni watoto lazima ametukumbusha wazazi. Ni wajibu kama taifa kuwa na watoto wenye afya.
Ila mzee yupo Sawa na hii sera yake, wanapewa chakula wafungwa ila wanafunzi wa kuja kulijenga Taifa hawawajali kwenye msosi
Dah Raha Sana kampeni zake
Umeanza kunishawishi kukupa kura yangu ubwabwa kwanza umetisha mzee
Babu yang mheshimiwa hashimu rungwe
Huyu Mzee huwa namuona Kama comedian
Mara alisema atachimba bahari ili meli zifike morogoro duh
Nchi Yangu TANZANIA 🇹🇿 NAIPENDA SANA.. NI FURAHA TELE
Mzee yuko sawa jiandae kuingia ikuru sera nzuri
Ikuru ikuru ikuru ikuru
Rudi darasani 😒😒😒😒🙄🙄
Mimi nitampa kurayangu mzee rungwe nipo Zanzibar kwaserazake
Uyu Mzee ana akili sana, anaipanda mbegu ya mvuto kwa kizaZi kijacho,
Mtoto wasasa ndio mpiga kura wake mia ka 20 ijayo.
Huyu mzee namkubali , hana uchoyo na ruzuku, mfano mmoja ni huu hela ya ruzuku kagawa ubwabwa studio
Yaani wewe utapata Ushindi wa pili sio yule wa Ubergiji 👊👊😂
Hashim Rungwe unafaa kujiunga na joti tv kufurahisha watanzania
Hashimu rungweee
Hadi wanachuo wanataka ubwabwa
Mzee as him nine kusoma kula na Nazi baba nime kupata uko vzr
Ngoja Kwanza mzee atafune😀😀😀😀😀
Nimecheka sanaaa dah babu namkubali sana
OK kunauwezekano ukakosa uraisi but kwa atakaye pitaa.. Naomba aitumie hiii sera
Point saana mzee baba
Poleni sana
Naomba atupe ratiba zake za kampeni,lini atakuwa wapi ili tukamsikilize
Hapo kwenye MPUNGA umetupataaaaaaaaa.
Tatizo hao wanaotakiwa kula ubwabwa wote wako chini ya miaka 18 hawawezi mpigia kura ,ndio Mana apata kura sufuri
Wazazi wa watoto
Rungwe 4 president
*JAMANI KADI ZA CHAMA TUNAPATA WAPI?*
Jamani mwanangu ananishauri nimpe kura huyu, duuu.
Our presidebt over there
Ushapita baba
Mxiuuu, ahaaaahaaaa
Kali kwelii
Mh, Rungwe kuna kitu anaaminisha isipokuwa tunachukulia masihara yupo vizur kwa hilo kwa watoto chakula
Rungweeeeeeee
Hii nzr sana imekaa njema maana inaonyesha hata watangazaj nao wanahitaj misos studion kwao njaa mbaya kama umegundua studio nazo zina njaa nione
Wacha nami nipeleke sahani yangu Raisi wangu anipakulie ubwabwa.
Huyu ndio rais wetu mpendwa anajali matumbo ya wananchi wake 😄😄😄
dakika 5:33 umejibu vizuri sana natumaini wamesikia
Nadhani unaweza kufikiri utani.ila Taifa lolote makini kwanza Afya na chakula maana family zetu nyingi chakula ni Kama anasa
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
Penda ushauri then katekeleza unachokiona!!
Hey
namkubali sana Paul James(PJ) cjui why Jahazin simsikiagi siku hizi
Hata mimi nilisoma Tabora girls nilikula kibeche, huyu babu tumpe kura awe mb saidixi wa Tundu atatufaa watoto kwashako kwisha
We muwarsaw nitafte 0766862797 me nmesoma boys 2015/17
Uyu Mzee nadhani alikuwaga kiranja wa chakula shuleni kwake
My president
Huyu mzee mimi huwa ananifurahisha sana ni kweli anachokiongea.
Mzee yuko sawa
Yeye ndio katuletea ndio ujue wabongo siyo watu wazuri mpunga wanakula na urais upati
Tz raha aana sihami jaman ubweche tena😆😃😃
Mwendo wa Ubweche tu haki Tanzania sihami
Badala ya hapa kz 2 .Hapa ubweche 2.
uyu anatufaaa mzee anajali sana ila Watanzania atuelew