Tatizo lipo kwa Watanzania wakike ,Kila kitu kinachoingia tunakupokea kwa Miko 2 bila kujua na kujali afya, pia tuangalie upande w2 wanao tuletea hizi huduma wao wanazitumia au Watanzania ni Kama jalala?!
Dk umeongea point kwawenye akili tumekupata vizuri ,,,kwamba ukishafanya surgery huo ni mwanzo tu bado utahitajika kwenda tu khitilafu Inajitokeza kila kukicha 😂😂😂 wanataka kumkosoa mungu
Wanamkosoa sana mwenyezi Mungu wafege tu kwakweli na hao madaktari jamani wapatage hofu ya mwenyezi Mungu wamekua kama Mungu watu ewe mwenyezi Mungu tujaalie mwisho mwema maana daa watu wana force mpaka dhambi
Nyie Mbengo online tv narudia tena kangalieni sana haka katangazaji kana waacha muda sio mwingi cz soko letu kubwa nowadays linataka presenter wa aina yake so wangalieni wakubwa
Kuna wakati nilianza kuwekeza hela nikapata ushauri wa doctors mmmh!! Nikala hela yangu.haya mambo kuna wakati inatisha ukifikiria kwenda theatre bila kuumwa.mmmmh!!!
Dada letu tuna kupenda sana ndugu zako waislamu kwahilo vazi maashaalllahu
Unapendeza sasa sasa mtangazaji wetu stara inakufanya uwe mrembo sana
Sikuhizi mtangazaji unapendeza.👏
Tatizo lipo kwa Watanzania wakike ,Kila kitu kinachoingia tunakupokea kwa Miko 2 bila kujua na kujali afya, pia tuangalie upande w2 wanao tuletea hizi huduma wao wanazitumia au Watanzania ni Kama jalala?!
Umevaa vizur sio kila siku upo kama chizi
Tumia lugha nzuri 😮😮
Bora wakifanyiwa wote wafe
😂
Dk umeongea point kwawenye akili tumekupata vizuri ,,,kwamba ukishafanya surgery huo ni mwanzo tu bado utahitajika kwenda tu khitilafu Inajitokeza kila kukicha 😂😂😂 wanataka kumkosoa mungu
Wanamkosoa sana mwenyezi Mungu wafege tu kwakweli na hao madaktari jamani wapatage hofu ya mwenyezi Mungu wamekua kama Mungu watu ewe mwenyezi Mungu tujaalie mwisho mwema maana daa watu wana force mpaka dhambi
Sio kujificha dada utaftaji ni mgumu hivyo unaona ukashinde kituoni ushinde njaa na watoto au ukatafute ule na watoto😢
Wangejua familia zilizofiwa na wale vijana maumivu zinayoyapitia
Hatari sana hii
Nyie Mbengo online tv narudia tena kangalieni sana haka katangazaji kana waacha muda sio mwingi cz soko letu kubwa nowadays linataka presenter wa aina yake so wangalieni wakubwa
Sawa
Bure ukipata kuonana nadocta labda ulale apo apo
Jamani mnanitisha me nishalipia kufanya tummy tuck
😂😂😂Nenda achana na ushauri wadokt
Kuna wakati nilianza kuwekeza hela nikapata ushauri wa doctors mmmh!! Nikala hela yangu.haya mambo kuna wakati inatisha ukifikiria kwenda theatre bila kuumwa.mmmmh!!!
Ushaur mzr😂😂😂@@mshambaused3840