NILIJIFANYA MSOMALI | NILITUMIKA NA WAZUNGU HATARI | SHULE ILINIOKOA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 191

  • @Bariadi-ug8ve
    @Bariadi-ug8ve 3 หลายเดือนก่อน +24

    Hii interview imenifanya hii ela ya kwenda ulaya ninunue kiwanja nijenge..😅😅😅😅

    • @dayana5513story
      @dayana5513story 3 หลายเดือนก่อน

      Nunua ulaya 🤸

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 kwa kweli🙌🙌🙌

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 3 หลายเดือนก่อน

      Jaribu wenzio tupo huku ulaya majaribu yapo kwa kila engo😂😂😂

    • @hilalrashidmohamed8528
      @hilalrashidmohamed8528 3 หลายเดือนก่อน

      Visa za Nairobi kenya 😢

    • @happinesskitali164
      @happinesskitali164 2 หลายเดือนก่อน

      Hahaha

  • @FadumaYusuf-b3n
    @FadumaYusuf-b3n 3 หลายเดือนก่อน

    Hawataki stress

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 3 หลายเดือนก่อน +10

    Story ya huyu dah ni fundisho kwa makaka zetu wenye ndoto za kujilipua wajifunze

  • @njokimwaniki364
    @njokimwaniki364 2 หลายเดือนก่อน +5

    This DJ brother is so deep...full of wisdom.He isn't living in an illusion.

  • @elsaMo-b5r
    @elsaMo-b5r 3 หลายเดือนก่อน +7

    Hii interview nimecheka mwanzo mwisho jamani huyu Kaka ni jasiri .
    Kwanza hiyo visa feki hadi nimetetemeka.
    Ila msisahau mlikuwa n'a Mungu kabisa.
    Big up bro

  • @abdulyibrahim2125
    @abdulyibrahim2125 3 หลายเดือนก่อน +9

    Story nzur kaka kaitowa inafundisha kitu kwenye maisha kwenda ulaya au kuishii ulaya

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 3 หลายเดือนก่อน +4

    Hapo sasa, "kuzaa sio kuhudumiwa kwa mzazi" yategemea tu imani na akili ya mtoto, pamoja na majaaliwa
    Then mtoto kumzaa nchi za nje, je kweli atafuata wazazi wake Africa, au kuwa support ki fedha? tuombe tu angalau waweze kujisaidia wenyewe kwanza

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallah allah akuhifadhi jasiri sana maisha ni safari ndefu upo ngangariiiiiii nimependa unaongea kwa umakini

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah 3 หลายเดือนก่อน +3

    Interview ili zinoge na kuwa murua watafute wazanzibar utakula store nzur nzur za kufurahisha na za kuchekesha pia za kuhuzunisha watafute huko ulaya marekani mpaka Arabuni utapata muendelezo nzur tu

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 3 หลายเดือนก่อน +4

    I like that DJ, umeowa mtu sio awe mtumwa wako, but patner wako, hapo uliemuoa akiwa ni muelewa, na mwenye imani, kama hivyo, bila ya shaka mutasaidiana vizuri tu

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli kabisaaa. WA Zanzibari. Wana. Hikma na. HESHIMA. ZA wazee. HONGERA. Sana

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 3 หลายเดือนก่อน +2

    Shena umeongea ukweli, kuzaa sio kujiwekea hao watoto watakusaidia .kuna watoto wako bongo na hawawasaidii wazazi wao au wanatangulia watoto wewe ukabakia

  • @TichaSabah
    @TichaSabah 2 หลายเดือนก่อน +1

    Niligonga schnegn visa nikatembelea nchi 8.ikiwemo germany franfurt na berline.ila kwa upande wangu dharau iliyonikuta italy rome.sitakaa nikasahau na mm mzanzibar nasubiri nimuone mtaliano ana shida nimtemeee mate haswa

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ahsante sana kwa Elimu hii brother 🎉🎉🎉🎉

  • @farhiaabdulaziz8549
    @farhiaabdulaziz8549 2 หลายเดือนก่อน +3

    Na hao wazungu sio woote wabaya ni baadhi ni binaadam woote tuko hivyo hivyo kila mtu na tabia zake, huko nyumbani wanaume au wanawake sipia vita kila siku kuachana jamani au

  • @Bariadi-ug8ve
    @Bariadi-ug8ve 3 หลายเดือนก่อน +9

    Tatizo la mijitu ya tanzania mingii inaakili finyu mijuaji ina maisha ya shida ,kazi kupinga kila kitu ivi ukisikia ukajifunza kitu unapungukiwa nini?

  • @farhiaabdulaziz8549
    @farhiaabdulaziz8549 2 หลายเดือนก่อน +2

    Aunt yangu Sheina umeongea point kabisaa hata ukizaa na mwafrica hao watoto siwatakuwa Ukhty wataolewa au kuowa wazungu ndio hayo hayo tutaishia kambini tusijipangie hatujijui watoto pia wanaweza kukimbia

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 3 หลายเดือนก่อน +4

    Huyo asiyesikia akapimwe

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wanasema wazee tembea uone na maisha ni safari life is Journey so kaza buti lakini usimsahau MOLA wako na Ibada.

  • @annamussa185
    @annamussa185 3 หลายเดือนก่อน +3

    Wasomali wachafu kama warabu wanapenda kufanyiwa kilakitu kupelekesha wakiwa wanakula kama ugomvi

    • @Ilhamtube554
      @Ilhamtube554 3 หลายเดือนก่อน +1

      Na nyie nae mna roho mbaya, chuki na kutukana watu waliowazidi ndo maana zari huwa tusi nyie na uchafu wenu, wanuka chupi na vikwapa

    • @annamussa185
      @annamussa185 3 หลายเดือนก่อน

      @@Ilhamtube554 hujielewi paka wewe mpaka na makaburi ya ukoo wako 🐕🐕

    • @Ilhamtube554
      @Ilhamtube554 3 หลายเดือนก่อน

      @@annamussa185 we nguruwe tulia, changudoa mchafu wa bei chee, njaa zitakuua,🤣🤣🤣🤣

    • @annamussa185
      @annamussa185 3 หลายเดือนก่อน

      @@Ilhamtube554 huna maajabu sasa Nguruwe nalo tusi kahaba wa kizamani ww

    • @annamussa185
      @annamussa185 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@Ilhamtube554 nimekuzidi kilakitu mpaka akili

  • @SalumJohn-h2s
    @SalumJohn-h2s 3 หลายเดือนก่อน +6

    Karibu tena bububu kamanda

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 3 หลายเดือนก่อน

      Wa Bububu mwenzetu pia kumbe huyo?

    • @SamwelJoseph-yk3cw
      @SamwelJoseph-yk3cw 3 หลายเดือนก่อน

      Jirani

  • @NiyonkuruAudu
    @NiyonkuruAudu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Shena hata MIE pia nitafute naeshi umarekani natokeya bongo na Burundi nimechaga kihivyo ukinialika unatakiwa unipatie nikiwa home

  • @NiyonkuruAudu
    @NiyonkuruAudu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nawapata vyena naomba siku hiyoniarifuni
    Nikupeni somo

  • @glammummy
    @glammummy 3 หลายเดือนก่อน +3

    kaka ana akili huyuuu Maashallah

  • @khalid-oh5uu
    @khalid-oh5uu 3 หลายเดือนก่อน +3

    Best one. Ameeleza vizuri

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo ni good idea Shena, kuleta hiyo mada na mzee ya kuhusu uzeeni, coz kuna baadhi yetu hufikiria tu pesa ya kustaafu nchi za nje, ndio itamfanyia kila kitu, ambayo kwamba hata utaratibu wake hawautafiti ki undani

  • @susans4490
    @susans4490 3 หลายเดือนก่อน +4

    Akaa baada ya kumaliza form ukakaa dar 5yrs ukatafuta visa 2 to 3yrs baadae ukarudi tena Zenji na ukarudi miaka pia 😂 mara ukawq 19yrs 🏃‍♀️🏃‍♀️

    • @jacqueisaac8155
      @jacqueisaac8155 3 หลายเดือนก่อน +1

      Story nzima hayo tu ndio ulopata ya kukujenga?

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  3 หลายเดือนก่อน +1

      😁

    • @DM.2200
      @DM.2200 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@OfficialDatingAssistance Da shena kuna yule mama alitoa story yake kama sikosei yupo marekani watu wali comment sana arudiwe, alikua anaongea kama mchaga naomba kufaham story yake naipataj coz siioni kwenye list

    • @mwanaidiheintel1760
      @mwanaidiheintel1760 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hata mimi sikuelewa hiyo miaka bado 😂😂😂😂😂

    • @SamwelJoseph-yk3cw
      @SamwelJoseph-yk3cw 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @josephatjosephat4269
    @josephatjosephat4269 3 หลายเดือนก่อน +8

    Maisha ya Africa ni mazuri unakuwa karibu na familia kuliko maisha ya ukaya

    • @veronicankhwazi7954
      @veronicankhwazi7954 3 หลายเดือนก่อน

      Kabisaa

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 3 หลายเดือนก่อน

      Sadakta nipo huku kuna wakati najikuta nashinda chumbani nalia kwa upweke najiuliza nitarudi lini huku kinachoumiza maisha ya upweke hususani ukiumwa watt wapo school huku watu wapo busy na kazi wakitoka alfajiri kiza wanarudi jioni kiza hakuna hata wakukuuliza hali wala kukupikia uji

  • @robbyissack8575
    @robbyissack8575 3 หลายเดือนก่อน +3

    Nice interview

  • @jimmykitura5803
    @jimmykitura5803 2 หลายเดือนก่อน

    Story za kijeshi sio vizuri kuziongelea Kama una story tulia kala kimya siri zingne ziache hivyo hivyo be strong sio kila kitu chakusimulia

  • @DorethMselem
    @DorethMselem หลายเดือนก่อน

    Mnh kwani si unatumia nida au mlitumia nida za watu wengine?

  • @hassanibanzi9322
    @hassanibanzi9322 25 วันที่ผ่านมา

    See you soon Budda tutasomana Europe najilipua soon 😂

  • @YasinMsonjo
    @YasinMsonjo 24 วันที่ผ่านมา

    Na je sura zinafanana na Somali ama

  • @HassanAhmed-di9jq
    @HassanAhmed-di9jq 3 หลายเดือนก่อน +2

    Koyama na chula ivyo visiwa

  • @EmilianiLyari
    @EmilianiLyari หลายเดือนก่อน

    Unamaana gani 95% ni somali,shoga

  • @TichaSabah
    @TichaSabah 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nice

  • @sadiqfixer
    @sadiqfixer 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo kweli kabisa Shena, turudi kwa Mwenyezi Mungu si kwa watoto tu, yaani kwa kila kitu

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 3 หลายเดือนก่อน +1

    The hastles was really 😊 watoto wa kiume bwana Mungu awasaidie.

  • @MdOmane-yg9gi
    @MdOmane-yg9gi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nimejifunza kitu kaka umeeleza vizuri story Yako

  • @joycelaizer4600
    @joycelaizer4600 3 หลายเดือนก่อน +1

    Soma kijana kichwa hakina madeni 😂😂😂

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 3 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah tabaraka Rahman
    Elim haimtupi MTU

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wow! ila for example wa TZ, yategemea ni kujiripuwa miaka ipi nyuma ndugu, so kesi sio Somali, na ushaga tu, za kisiasa ya TZ pia zilikuweko zamani

    • @merycianachangarawe8979
      @merycianachangarawe8979 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli sio izo kesi tu
      Sema huyo alipata Zari la fake visa
      Lakini ukiwa na visa ya kweli jamni usijibadilishie utaifa maana watacheki kwa system wakuone unatokea nchi gani then unazidi kujikaanga
      Yaani inshort usiseme uongo kwa vitu ambayo viko kwa system
      Only ushoga danganya uwezavyo
      Iko siku nitahadithia hivi vitu kwa Shena maana namimi nimepitia hiyo procedure ya ukimbizi but sikubadilisha chochote!na mambo yalikuwa very smooth

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 3 หลายเดือนก่อน

      @@merycianachangarawe8979 Ila watu wengi tu, hasa miaka ya nyuma, walijibadilisha majina na tarehe za kuzaliwa, kisha hawakuingia na document yeyote nchi waliojiripuwa, na pia wengi wao walivuka mipaka, hawakuingia nchi husika moja kwa moja, na wamefanikiwa kesi zao. Haya mambo hayatabiriki

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 2 หลายเดือนก่อน

      @@merycianachangarawe8979 Kubadilisha jina na tarehe ya kuzaliwa pia yategemea umeingia vipi, kama nilivyotangulia kujibu hapo, then sio fake visa tu, kuna walioingia na "bandika banduwa" picha yako, passport ya mtu mwengine

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo lako wewe Shena huwa unafuta Hizi Interviews, ulifuta Ile ya jamaa wa Marekani kimya kimya 😅.

    • @zahrababygarl1568
      @zahrababygarl1568 3 หลายเดือนก่อน

      Yupi huyo

    • @Justine_Tz1
      @Justine_Tz1 3 หลายเดือนก่อน

      Hatukupata hata muendelezo na mwisho wa ile story

    • @Jeff_Tz
      @Jeff_Tz 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@Justine_Tz1 Umeona eeeh 😄😄😄😄

    • @Jeff_Tz
      @Jeff_Tz 3 หลายเดือนก่อน

      @@zahrababygarl1568 Yupo Shena mwenyewe anamfahamu

    • @Justine_Tz1
      @Justine_Tz1 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@Jeff_Tz yaan skuelew kabsa

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 2 หลายเดือนก่อน

    Kipind cha magu usafiri viza fek au sahivi ndio tz afrika hayo mambo ya vuza feki zaman 98 nyumba na mbele 99 mm paspot ninayo sijasafir mchongo umefeli na hizo viza fek lazima ucheze dili la kweli sister ukitaka kufajya interview kwanza fanyanao chemba

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt 2 หลายเดือนก่อน

    Shena, huyu jamaa anayejiita DJ hadithi yake ni funzo nzuri la maana sana. Hatimaye amezungumzia mwishoni uzeeni mwake anavyo hisi. Tumuunge mkono mia kwa mia. Ulaya huko watoto ni noma zaidi. Afrika hatujaharibikiwa kivile. Huko ni kweli hawajali wazazi wao. Sababu kubwa ni malezi yao, watoto au vijana hawana dini. Hawatambui Mungu kisawasawa. Watawajali wazazi kivipi? Mutakapo kutana tena na DJ acheni kupeana matumaini ya kusadikika. Rudini nyumbani hapajaharibika kama Europe(Ulaya)

  • @maimukanabora8751
    @maimukanabora8751 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu wabariki kaka hongera Kwa utulivu na dada Shena nimejifunza zaidi

  • @susans4490
    @susans4490 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mmh mbona kama umetupinga changa la macho Inamaana skuli form ulimaliza ukiwa na 15yra old

    • @jacqueisaac8155
      @jacqueisaac8155 3 หลายเดือนก่อน +2

      Mwanangu alianza grade 1 na 5yrs so atamaliza form 4 na 15yrs

  • @tinanicholasligwile6972
    @tinanicholasligwile6972 3 หลายเดือนก่อน +2

    Story kama inanivitia ivii 😊😊

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe jamaa inaonekana yule bibi wa America interview yake umeihusudu naona unapita mulemule

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 2 หลายเดือนก่อน

    Mesali umeikosa sio mkabure sema mtembea bure.halafu wakat upo bara miaka 20 po znz 19.

  • @kshamte9582
    @kshamte9582 3 หลายเดือนก่อน +1

    Maisha dah! Mafunzo kila siku

  • @aasatt78
    @aasatt78 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kipindi kizuri ila muda mrefu

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi naona sometimes mtoto kumuweka mzazi wake nyumba za wazee, ni vile huwa busy na maisha yake na kazi, then mzazi hutaka huduma, hii ni kama vile wazazi huwapeleka watoto wao wadogo kulelewa kutwa 'Day/Child Care' so yajirudia

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wengine tunaishi miaka mingi na Alhamdulilah hatujapitia hayo mambo hayo jiongelee wewe bro

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 3 หลายเดือนก่อน

      Unaishi kwa kuingilia njia ipi, au ki vipi ndugu?

    • @AngelaLyimo-d7x
      @AngelaLyimo-d7x 2 หลายเดือนก่อน

      Bahati yako

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 3 หลายเดือนก่อน

    Kupata Million 20 unaweza bro ila inategemea umekujajaje ndio shida, mtu kama wewe na story yako lazima ukae miaka kazaa mpaka usimame . Ila maisha ni individuell. Sio wote wanapitia hayo maisha bro

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 3 หลายเดือนก่อน

    Mara nyingi hutokea hivyo, jamaa zetu back home, tukijibana sisi na kuwasaidia wao, wao hawajuwi hilo, hujuwa tunazo tu, na pia ni kama lazima tuwape

  • @fatemamahmood5440
    @fatemamahmood5440 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera kwa Safar na pole Sana ulizamilia kutimiza ndoto zako haikuww rahisi 🎉

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 3 หลายเดือนก่อน

    Ujerumani sio masihala uwe kidume Kwanza usome lugha angalau utapata kibaua na unajua kuzungumza ,na hospital angalau la kama hujasoma lugha Moto utaowona yaani ujerumani wa Nigeria wamedundo huko mjerumani ana roho mbaya hawana masihala mtoto wa sister wangu yupo huko mzenji yeye alivyofika huko kasoma lugha

  • @IrambonaIssa
    @IrambonaIssa 3 หลายเดือนก่อน

    Tupo warabu huwa wanasema wana nyongana ila sisi bado twa pambana😂😂😂. Bariadi duniya lazima upitiyee changa moto ata uwanja una zulumiwa

  • @ishrak3112
    @ishrak3112 3 หลายเดือนก่อน +1

    Unampata vp huyu shena maana niko nataka kutoa story ya maisha niliyo yapitia hapa Deutschland

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu hana historia na hizo viza za fek ziliondoka toka 98-99 na mm paspot ninayo mpaka Leo ilikuwa na viza feki.toka 98 au 98 na hiyo viza itakuwa kachukuwa storry sio yake

    • @MAISHAYACROATIA
      @MAISHAYACROATIA 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂 we 0 kweli wahindi mpaka saivi wanaenda nazo

  • @KhadijaLitami
    @KhadijaLitami 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona mimi simuoni mzungumzaji, nakuona Shena mwenyewe tu. Msaada plse!!

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kwa namna hadithi yake ilivyo, isingekuwa vizuri aonekane mubashara. Kawataja jamaa fulani hapa na mengi ambayo lazima ajifiche. Alimradi tunamsikia sineno. Kwani unachotaka ni mlio wa punda au punda?

  • @nicedavid8536
    @nicedavid8536 2 หลายเดือนก่อน

    Shena nimependa sana ushauli wako wa kuhusu uzee na watoto, nikweli hata uko bongo kuna wazee wamezaa watoto wengi na wanaishi maisha ya peke yao,watoto wako busy na familia zao .Mama au baba anaumwa anatumiwa pesa tu.wachache sana wanawachukuwa wazazi wao.

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 3 หลายเดือนก่อน

    Nikwambiye kitu kimoja siyonyumba za wazee nakumaliza mapema

  • @sweetykabeya5873
    @sweetykabeya5873 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watu tunaishi Germany tunakuelewa sana,its not easy tuna mengi ya kusimulia

  • @mamaabduly
    @mamaabduly 3 หลายเดือนก่อน

    WATU UNAOWAHOJI WANAWEKA HANDLE ZAO KAMA FB AU INSTA KAMA MTU ANAHITAJI USHAURI KWA ALICHOELEZEA IWE RAHUSI KUMFATA.. ANATU INSPIRE NINI?

  • @gracelyimo6256
    @gracelyimo6256 3 หลายเดือนก่อน

    Hivi Shena kuna baadhi ya videos huwa unazifuta!?

  • @EstherNgayiwona
    @EstherNgayiwona 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo baada ya kutumika sana na wazungi je hivi Sasa umeona au una mahusiano yote?

  • @ShadowScreamStudio
    @ShadowScreamStudio 3 หลายเดือนก่อน

    Kuddadeki mbogo mbishii ..lazima ulaya nitimbee tu

  • @Mariam-c6b3o
    @Mariam-c6b3o 2 หลายเดือนก่อน

    Wote mnasikika vizuri

  • @FaustineTz
    @FaustineTz 2 หลายเดือนก่อน

    Alafu awa wanzanzibar mbona wanapenda kujinadi sana wao ni wa Tz bwana

  • @mamaabduly
    @mamaabduly 3 หลายเดือนก่อน

    Shena.. Naomba niwasiliane na huyo kaka plz... 🙏Pls

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu nitampata wapi sheyna

  • @PtransJulius
    @PtransJulius 3 หลายเดือนก่อน

    nawapata vizuri south Africa.

  • @haikaelkiwia9705
    @haikaelkiwia9705 3 หลายเดือนก่อน

    Kionyesha vidole bado sijaelewa

  • @janechipeta6231
    @janechipeta6231 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa yule rafiki yako mlikuja kuonana tena?

  • @mikiothman103
    @mikiothman103 2 หลายเดือนก่อน

    nahisi iyo sehemu inaitwa Barawa

  • @anaabsaid3544
    @anaabsaid3544 2 หลายเดือนก่อน

    Na nyiyi wazanzibar mkiwa oman mnatufanya vipi msomali anaye zungumza kiswahili mnamweka ndani kwasababu wengi wenu ni immigration huko oman

    • @anaabsaid3544
      @anaabsaid3544 2 หลายเดือนก่อน

      Utantusemeya mbaya lakini wazanzibar tunawajua sana ndiyo sababu huwezi kukuta msomali zanzibar na tuko majirani

  • @reginalemunge1221
    @reginalemunge1221 2 หลายเดือนก่อน

    Tunawasikia vzuri dada Shena

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 2 หลายเดือนก่อน

    Dj nitampata wapi shena.

  • @mimahtv2974
    @mimahtv2974 3 หลายเดือนก่อน

    Kuna wasomali wa tanga pia..!😅

  • @sanaf8367
    @sanaf8367 3 หลายเดือนก่อน

    Jamaa majiekti sana and..... and.......... and nyingi sana

  • @EstherNgayiwona
    @EstherNgayiwona 3 หลายเดือนก่อน

    Mnasikika wote tuendelee

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 2 หลายเดือนก่อน

    shukran mr dj

  • @abasiabdulabi5430
    @abasiabdulabi5430 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ogela kaka

  • @FortunataChande
    @FortunataChande 3 หลายเดือนก่อน

    Samahani kwa kutoliandika vzr jina lako

  • @HassanAhmed-di9jq
    @HassanAhmed-di9jq 3 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ilikua unaita somali kenya

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 3 หลายเดือนก่อน +8

    Shena, why should they mind their own business? Your people are using Somalis and, at the same time, insulting them. Really?

    • @khalid-oh5uu
      @khalid-oh5uu 3 หลายเดือนก่อน +5

      He said some somalis. Not all somalis. Chill my dear😅😂

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 3 หลายเดือนก่อน +3

      You're known for your selfish 😢😢

    • @Jeff_Tz
      @Jeff_Tz 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅Hatar​@@damariszuckschwert9489

    • @zeinababdi4757
      @zeinababdi4757 3 หลายเดือนก่อน

      Who is selfish and vindictive? Some of us grew up in Tanzania, and we decided to leave because of your racism and zenophobic behavior.

    • @Ilhamtube554
      @Ilhamtube554 3 หลายเดือนก่อน

      We nawe kwani wa tanzania sio ma selfish, katika kila nchi kuna wazuri na wenye roho mbaya, hao wazanzibar wenyewe wana wabagua wa bara f​@@damariszuckschwert9489

  • @MussaPaul-ob3nh
    @MussaPaul-ob3nh 3 หลายเดือนก่อน

    I recommend seminar machundo from Denmark for that dialogue😊.

  • @MK-mz8bz
    @MK-mz8bz 3 หลายเดือนก่อน

    Watoto wa ulaya ni 99 asimilia siyo msaada

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 2 หลายเดือนก่อน

    Mnasikika vizuri

  • @EstherNgayiwona
    @EstherNgayiwona 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa hivi una umri Gani Dj

  • @nataliaemanuely4046
    @nataliaemanuely4046 2 หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @FortunataChande
    @FortunataChande 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dada Shehina,samahani,hawa wazungu wanaotaka mpaka uwalipie apple card ili waje nchini ikoje hii,.tena si hela kidogo kuanzia milioni siyo matapeli hawa?

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba 3 หลายเดือนก่อน

      Mh! Kama hawezi kuja aache kwanini ww umlipie pesa?? Shtuka ndugu

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba 3 หลายเดือนก่อน

      Mh!

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba 3 หลายเดือนก่อน

      Shtuka ndugu jiongeze Kama hawezi kuja aache

    • @atomphoton5000
      @atomphoton5000 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mzungu anatakwa kuhongwa na wadada wa Bongo. Aisee hii Dunia ina mambo kweli kweli. Achana na wanaijeria wewe utakuja kulia mchana kweupe

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba 3 หลายเดือนก่อน

      @@atomphoton5000 apo ashtuke mapema hamna kitu apo ukute uyo ni mbongo mwenzako😂😂

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 3 หลายเดือนก่อน

    InshaAllah biidhnillah taala Utapata

  • @MoviesRecaps.92
    @MoviesRecaps.92 3 หลายเดือนก่อน +5

    Your a risk taker hakika,

  • @safiam5338
    @safiam5338 3 หลายเดือนก่อน

    No tunawaskiya nyote

  • @fridadavid3151
    @fridadavid3151 3 หลายเดือนก่อน

    Dada sena hutukusikii

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 3 หลายเดือนก่อน

    Ukiwa mkimbizi kwa ujerumani ni shida mpaka uje kusimama.watu waje ulaya maisha ya ulaya sio kama nyumbani

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 3 หลายเดือนก่อน

      Yeah, nasikia kuwa Ujerumani, na kama mfano Belgium, kujiripuwa kwake pia ni tofauti na sehemu nyengine, kama hivyo huko kuwekwa camp mpaka ufanikiwe, tofauti na nchi nyengine, hupewa hela kiasi ya kukodi sehemu pa kuishi, ya kula, usafiri, pamoja na ID na work permit, ili utafute kazi, au na study permit, ili uende shule, huku ukijiandaa kusikilizwa kesi yako, ila wakikukatalia, na kisha ukitaka una appeal kwa gharama zako, then unaenda nayo process, ila ukikwama, mwisho hukuzuilia na hizo IDs wakikuandaa kukurudisha kwenu, ila Ujerumani, kwa hiyo kupewa sheria kupitia kwenda shule kama alivyosema amepata DJ ni afadhali basi

  • @AshaMohamed-ib4le
    @AshaMohamed-ib4le 3 หลายเดือนก่อน

    Anaskilizika tu