Hii interview nimecheka mwanzo mwisho jamani huyu Kaka ni jasiri . Kwanza hiyo visa feki hadi nimetetemeka. Ila msisahau mlikuwa n'a Mungu kabisa. Big up bro
Hapo sasa, "kuzaa sio kuhudumiwa kwa mzazi" yategemea tu imani na akili ya mtoto, pamoja na majaaliwa Then mtoto kumzaa nchi za nje, je kweli atafuata wazazi wake Africa, au kuwa support ki fedha? tuombe tu angalau waweze kujisaidia wenyewe kwanza
Interview ili zinoge na kuwa murua watafute wazanzibar utakula store nzur nzur za kufurahisha na za kuchekesha pia za kuhuzunisha watafute huko ulaya marekani mpaka Arabuni utapata muendelezo nzur tu
I like that DJ, umeowa mtu sio awe mtumwa wako, but patner wako, hapo uliemuoa akiwa ni muelewa, na mwenye imani, kama hivyo, bila ya shaka mutasaidiana vizuri tu
Shena umeongea ukweli, kuzaa sio kujiwekea hao watoto watakusaidia .kuna watoto wako bongo na hawawasaidii wazazi wao au wanatangulia watoto wewe ukabakia
Niligonga schnegn visa nikatembelea nchi 8.ikiwemo germany franfurt na berline.ila kwa upande wangu dharau iliyonikuta italy rome.sitakaa nikasahau na mm mzanzibar nasubiri nimuone mtaliano ana shida nimtemeee mate haswa
Na hao wazungu sio woote wabaya ni baadhi ni binaadam woote tuko hivyo hivyo kila mtu na tabia zake, huko nyumbani wanaume au wanawake sipia vita kila siku kuachana jamani au
Aunt yangu Sheina umeongea point kabisaa hata ukizaa na mwafrica hao watoto siwatakuwa Ukhty wataolewa au kuowa wazungu ndio hayo hayo tutaishia kambini tusijipangie hatujijui watoto pia wanaweza kukimbia
Hiyo ni good idea Shena, kuleta hiyo mada na mzee ya kuhusu uzeeni, coz kuna baadhi yetu hufikiria tu pesa ya kustaafu nchi za nje, ndio itamfanyia kila kitu, ambayo kwamba hata utaratibu wake hawautafiti ki undani
@@OfficialDatingAssistance Da shena kuna yule mama alitoa story yake kama sikosei yupo marekani watu wali comment sana arudiwe, alikua anaongea kama mchaga naomba kufaham story yake naipataj coz siioni kwenye list
Sadakta nipo huku kuna wakati najikuta nashinda chumbani nalia kwa upweke najiuliza nitarudi lini huku kinachoumiza maisha ya upweke hususani ukiumwa watt wapo school huku watu wapo busy na kazi wakitoka alfajiri kiza wanarudi jioni kiza hakuna hata wakukuuliza hali wala kukupikia uji
Kweli sio izo kesi tu Sema huyo alipata Zari la fake visa Lakini ukiwa na visa ya kweli jamni usijibadilishie utaifa maana watacheki kwa system wakuone unatokea nchi gani then unazidi kujikaanga Yaani inshort usiseme uongo kwa vitu ambayo viko kwa system Only ushoga danganya uwezavyo Iko siku nitahadithia hivi vitu kwa Shena maana namimi nimepitia hiyo procedure ya ukimbizi but sikubadilisha chochote!na mambo yalikuwa very smooth
@@merycianachangarawe8979 Ila watu wengi tu, hasa miaka ya nyuma, walijibadilisha majina na tarehe za kuzaliwa, kisha hawakuingia na document yeyote nchi waliojiripuwa, na pia wengi wao walivuka mipaka, hawakuingia nchi husika moja kwa moja, na wamefanikiwa kesi zao. Haya mambo hayatabiriki
@@merycianachangarawe8979 Kubadilisha jina na tarehe ya kuzaliwa pia yategemea umeingia vipi, kama nilivyotangulia kujibu hapo, then sio fake visa tu, kuna walioingia na "bandika banduwa" picha yako, passport ya mtu mwengine
Kipind cha magu usafiri viza fek au sahivi ndio tz afrika hayo mambo ya vuza feki zaman 98 nyumba na mbele 99 mm paspot ninayo sijasafir mchongo umefeli na hizo viza fek lazima ucheze dili la kweli sister ukitaka kufajya interview kwanza fanyanao chemba
Shena, huyu jamaa anayejiita DJ hadithi yake ni funzo nzuri la maana sana. Hatimaye amezungumzia mwishoni uzeeni mwake anavyo hisi. Tumuunge mkono mia kwa mia. Ulaya huko watoto ni noma zaidi. Afrika hatujaharibikiwa kivile. Huko ni kweli hawajali wazazi wao. Sababu kubwa ni malezi yao, watoto au vijana hawana dini. Hawatambui Mungu kisawasawa. Watawajali wazazi kivipi? Mutakapo kutana tena na DJ acheni kupeana matumaini ya kusadikika. Rudini nyumbani hapajaharibika kama Europe(Ulaya)
Mimi naona sometimes mtoto kumuweka mzazi wake nyumba za wazee, ni vile huwa busy na maisha yake na kazi, then mzazi hutaka huduma, hii ni kama vile wazazi huwapeleka watoto wao wadogo kulelewa kutwa 'Day/Child Care' so yajirudia
Kupata Million 20 unaweza bro ila inategemea umekujajaje ndio shida, mtu kama wewe na story yako lazima ukae miaka kazaa mpaka usimame . Ila maisha ni individuell. Sio wote wanapitia hayo maisha bro
Ujerumani sio masihala uwe kidume Kwanza usome lugha angalau utapata kibaua na unajua kuzungumza ,na hospital angalau la kama hujasoma lugha Moto utaowona yaani ujerumani wa Nigeria wamedundo huko mjerumani ana roho mbaya hawana masihala mtoto wa sister wangu yupo huko mzenji yeye alivyofika huko kasoma lugha
Huyu hana historia na hizo viza za fek ziliondoka toka 98-99 na mm paspot ninayo mpaka Leo ilikuwa na viza feki.toka 98 au 98 na hiyo viza itakuwa kachukuwa storry sio yake
Kwa namna hadithi yake ilivyo, isingekuwa vizuri aonekane mubashara. Kawataja jamaa fulani hapa na mengi ambayo lazima ajifiche. Alimradi tunamsikia sineno. Kwani unachotaka ni mlio wa punda au punda?
Shena nimependa sana ushauli wako wa kuhusu uzee na watoto, nikweli hata uko bongo kuna wazee wamezaa watoto wengi na wanaishi maisha ya peke yao,watoto wako busy na familia zao .Mama au baba anaumwa anatumiwa pesa tu.wachache sana wanawachukuwa wazazi wao.
We nawe kwani wa tanzania sio ma selfish, katika kila nchi kuna wazuri na wenye roho mbaya, hao wazanzibar wenyewe wana wabagua wa bara f@@damariszuckschwert9489
Dada Shehina,samahani,hawa wazungu wanaotaka mpaka uwalipie apple card ili waje nchini ikoje hii,.tena si hela kidogo kuanzia milioni siyo matapeli hawa?
Yeah, nasikia kuwa Ujerumani, na kama mfano Belgium, kujiripuwa kwake pia ni tofauti na sehemu nyengine, kama hivyo huko kuwekwa camp mpaka ufanikiwe, tofauti na nchi nyengine, hupewa hela kiasi ya kukodi sehemu pa kuishi, ya kula, usafiri, pamoja na ID na work permit, ili utafute kazi, au na study permit, ili uende shule, huku ukijiandaa kusikilizwa kesi yako, ila wakikukatalia, na kisha ukitaka una appeal kwa gharama zako, then unaenda nayo process, ila ukikwama, mwisho hukuzuilia na hizo IDs wakikuandaa kukurudisha kwenu, ila Ujerumani, kwa hiyo kupewa sheria kupitia kwenda shule kama alivyosema amepata DJ ni afadhali basi
Hii interview imenifanya hii ela ya kwenda ulaya ninunue kiwanja nijenge..😅😅😅😅
Nunua ulaya 🤸
😂😂😂 kwa kweli🙌🙌🙌
Jaribu wenzio tupo huku ulaya majaribu yapo kwa kila engo😂😂😂
Visa za Nairobi kenya 😢
Hahaha
Hawataki stress
Story ya huyu dah ni fundisho kwa makaka zetu wenye ndoto za kujilipua wajifunze
This DJ brother is so deep...full of wisdom.He isn't living in an illusion.
Hii interview nimecheka mwanzo mwisho jamani huyu Kaka ni jasiri .
Kwanza hiyo visa feki hadi nimetetemeka.
Ila msisahau mlikuwa n'a Mungu kabisa.
Big up bro
Story nzur kaka kaitowa inafundisha kitu kwenye maisha kwenda ulaya au kuishii ulaya
Hapo sasa, "kuzaa sio kuhudumiwa kwa mzazi" yategemea tu imani na akili ya mtoto, pamoja na majaaliwa
Then mtoto kumzaa nchi za nje, je kweli atafuata wazazi wake Africa, au kuwa support ki fedha? tuombe tu angalau waweze kujisaidia wenyewe kwanza
Mashallah allah akuhifadhi jasiri sana maisha ni safari ndefu upo ngangariiiiiii nimependa unaongea kwa umakini
Interview ili zinoge na kuwa murua watafute wazanzibar utakula store nzur nzur za kufurahisha na za kuchekesha pia za kuhuzunisha watafute huko ulaya marekani mpaka Arabuni utapata muendelezo nzur tu
I like that DJ, umeowa mtu sio awe mtumwa wako, but patner wako, hapo uliemuoa akiwa ni muelewa, na mwenye imani, kama hivyo, bila ya shaka mutasaidiana vizuri tu
Kweli kabisaaa. WA Zanzibari. Wana. Hikma na. HESHIMA. ZA wazee. HONGERA. Sana
Shena umeongea ukweli, kuzaa sio kujiwekea hao watoto watakusaidia .kuna watoto wako bongo na hawawasaidii wazazi wao au wanatangulia watoto wewe ukabakia
Niligonga schnegn visa nikatembelea nchi 8.ikiwemo germany franfurt na berline.ila kwa upande wangu dharau iliyonikuta italy rome.sitakaa nikasahau na mm mzanzibar nasubiri nimuone mtaliano ana shida nimtemeee mate haswa
Ahsante sana kwa Elimu hii brother 🎉🎉🎉🎉
Na hao wazungu sio woote wabaya ni baadhi ni binaadam woote tuko hivyo hivyo kila mtu na tabia zake, huko nyumbani wanaume au wanawake sipia vita kila siku kuachana jamani au
True
Asilimia mia wazuri nko ulaya
Tatizo la mijitu ya tanzania mingii inaakili finyu mijuaji ina maisha ya shida ,kazi kupinga kila kitu ivi ukisikia ukajifunza kitu unapungukiwa nini?
Aunt yangu Sheina umeongea point kabisaa hata ukizaa na mwafrica hao watoto siwatakuwa Ukhty wataolewa au kuowa wazungu ndio hayo hayo tutaishia kambini tusijipangie hatujijui watoto pia wanaweza kukimbia
Huyo asiyesikia akapimwe
Wanasema wazee tembea uone na maisha ni safari life is Journey so kaza buti lakini usimsahau MOLA wako na Ibada.
Wasomali wachafu kama warabu wanapenda kufanyiwa kilakitu kupelekesha wakiwa wanakula kama ugomvi
Na nyie nae mna roho mbaya, chuki na kutukana watu waliowazidi ndo maana zari huwa tusi nyie na uchafu wenu, wanuka chupi na vikwapa
@@Ilhamtube554 hujielewi paka wewe mpaka na makaburi ya ukoo wako 🐕🐕
@@annamussa185 we nguruwe tulia, changudoa mchafu wa bei chee, njaa zitakuua,🤣🤣🤣🤣
@@Ilhamtube554 huna maajabu sasa Nguruwe nalo tusi kahaba wa kizamani ww
@@Ilhamtube554 nimekuzidi kilakitu mpaka akili
Karibu tena bububu kamanda
Wa Bububu mwenzetu pia kumbe huyo?
Jirani
Shena hata MIE pia nitafute naeshi umarekani natokeya bongo na Burundi nimechaga kihivyo ukinialika unatakiwa unipatie nikiwa home
Karibu sana
WhatsApp +4367764790884
Nawapata vyena naomba siku hiyoniarifuni
Nikupeni somo
kaka ana akili huyuuu Maashallah
Best one. Ameeleza vizuri
Hiyo ni good idea Shena, kuleta hiyo mada na mzee ya kuhusu uzeeni, coz kuna baadhi yetu hufikiria tu pesa ya kustaafu nchi za nje, ndio itamfanyia kila kitu, ambayo kwamba hata utaratibu wake hawautafiti ki undani
Akaa baada ya kumaliza form ukakaa dar 5yrs ukatafuta visa 2 to 3yrs baadae ukarudi tena Zenji na ukarudi miaka pia 😂 mara ukawq 19yrs 🏃♀️🏃♀️
Story nzima hayo tu ndio ulopata ya kukujenga?
😁
@@OfficialDatingAssistance Da shena kuna yule mama alitoa story yake kama sikosei yupo marekani watu wali comment sana arudiwe, alikua anaongea kama mchaga naomba kufaham story yake naipataj coz siioni kwenye list
Hata mimi sikuelewa hiyo miaka bado 😂😂😂😂😂
😂😂😂
Maisha ya Africa ni mazuri unakuwa karibu na familia kuliko maisha ya ukaya
Kabisaa
Sadakta nipo huku kuna wakati najikuta nashinda chumbani nalia kwa upweke najiuliza nitarudi lini huku kinachoumiza maisha ya upweke hususani ukiumwa watt wapo school huku watu wapo busy na kazi wakitoka alfajiri kiza wanarudi jioni kiza hakuna hata wakukuuliza hali wala kukupikia uji
Nice interview
Story za kijeshi sio vizuri kuziongelea Kama una story tulia kala kimya siri zingne ziache hivyo hivyo be strong sio kila kitu chakusimulia
Mnh kwani si unatumia nida au mlitumia nida za watu wengine?
See you soon Budda tutasomana Europe najilipua soon 😂
Na je sura zinafanana na Somali ama
Koyama na chula ivyo visiwa
Unamaana gani 95% ni somali,shoga
Nice
Hapo kweli kabisa Shena, turudi kwa Mwenyezi Mungu si kwa watoto tu, yaani kwa kila kitu
The hastles was really 😊 watoto wa kiume bwana Mungu awasaidie.
Nimejifunza kitu kaka umeeleza vizuri story Yako
Soma kijana kichwa hakina madeni 😂😂😂
MashaAllah tabaraka Rahman
Elim haimtupi MTU
Wow! ila for example wa TZ, yategemea ni kujiripuwa miaka ipi nyuma ndugu, so kesi sio Somali, na ushaga tu, za kisiasa ya TZ pia zilikuweko zamani
Kweli sio izo kesi tu
Sema huyo alipata Zari la fake visa
Lakini ukiwa na visa ya kweli jamni usijibadilishie utaifa maana watacheki kwa system wakuone unatokea nchi gani then unazidi kujikaanga
Yaani inshort usiseme uongo kwa vitu ambayo viko kwa system
Only ushoga danganya uwezavyo
Iko siku nitahadithia hivi vitu kwa Shena maana namimi nimepitia hiyo procedure ya ukimbizi but sikubadilisha chochote!na mambo yalikuwa very smooth
@@merycianachangarawe8979 Ila watu wengi tu, hasa miaka ya nyuma, walijibadilisha majina na tarehe za kuzaliwa, kisha hawakuingia na document yeyote nchi waliojiripuwa, na pia wengi wao walivuka mipaka, hawakuingia nchi husika moja kwa moja, na wamefanikiwa kesi zao. Haya mambo hayatabiriki
@@merycianachangarawe8979 Kubadilisha jina na tarehe ya kuzaliwa pia yategemea umeingia vipi, kama nilivyotangulia kujibu hapo, then sio fake visa tu, kuna walioingia na "bandika banduwa" picha yako, passport ya mtu mwengine
Tatizo lako wewe Shena huwa unafuta Hizi Interviews, ulifuta Ile ya jamaa wa Marekani kimya kimya 😅.
Yupi huyo
Hatukupata hata muendelezo na mwisho wa ile story
@@Justine_Tz1 Umeona eeeh 😄😄😄😄
@@zahrababygarl1568 Yupo Shena mwenyewe anamfahamu
@@Jeff_Tz yaan skuelew kabsa
Kipind cha magu usafiri viza fek au sahivi ndio tz afrika hayo mambo ya vuza feki zaman 98 nyumba na mbele 99 mm paspot ninayo sijasafir mchongo umefeli na hizo viza fek lazima ucheze dili la kweli sister ukitaka kufajya interview kwanza fanyanao chemba
Shena, huyu jamaa anayejiita DJ hadithi yake ni funzo nzuri la maana sana. Hatimaye amezungumzia mwishoni uzeeni mwake anavyo hisi. Tumuunge mkono mia kwa mia. Ulaya huko watoto ni noma zaidi. Afrika hatujaharibikiwa kivile. Huko ni kweli hawajali wazazi wao. Sababu kubwa ni malezi yao, watoto au vijana hawana dini. Hawatambui Mungu kisawasawa. Watawajali wazazi kivipi? Mutakapo kutana tena na DJ acheni kupeana matumaini ya kusadikika. Rudini nyumbani hapajaharibika kama Europe(Ulaya)
Mungu wabariki kaka hongera Kwa utulivu na dada Shena nimejifunza zaidi
Mmh mbona kama umetupinga changa la macho Inamaana skuli form ulimaliza ukiwa na 15yra old
Mwanangu alianza grade 1 na 5yrs so atamaliza form 4 na 15yrs
Story kama inanivitia ivii 😊😊
Wewe jamaa inaonekana yule bibi wa America interview yake umeihusudu naona unapita mulemule
Mesali umeikosa sio mkabure sema mtembea bure.halafu wakat upo bara miaka 20 po znz 19.
Maisha dah! Mafunzo kila siku
Kipindi kizuri ila muda mrefu
Mimi naona sometimes mtoto kumuweka mzazi wake nyumba za wazee, ni vile huwa busy na maisha yake na kazi, then mzazi hutaka huduma, hii ni kama vile wazazi huwapeleka watoto wao wadogo kulelewa kutwa 'Day/Child Care' so yajirudia
Wengine tunaishi miaka mingi na Alhamdulilah hatujapitia hayo mambo hayo jiongelee wewe bro
Unaishi kwa kuingilia njia ipi, au ki vipi ndugu?
Bahati yako
Kupata Million 20 unaweza bro ila inategemea umekujajaje ndio shida, mtu kama wewe na story yako lazima ukae miaka kazaa mpaka usimame . Ila maisha ni individuell. Sio wote wanapitia hayo maisha bro
Mara nyingi hutokea hivyo, jamaa zetu back home, tukijibana sisi na kuwasaidia wao, wao hawajuwi hilo, hujuwa tunazo tu, na pia ni kama lazima tuwape
Hongera kwa Safar na pole Sana ulizamilia kutimiza ndoto zako haikuww rahisi 🎉
Ujerumani sio masihala uwe kidume Kwanza usome lugha angalau utapata kibaua na unajua kuzungumza ,na hospital angalau la kama hujasoma lugha Moto utaowona yaani ujerumani wa Nigeria wamedundo huko mjerumani ana roho mbaya hawana masihala mtoto wa sister wangu yupo huko mzenji yeye alivyofika huko kasoma lugha
Tupo warabu huwa wanasema wana nyongana ila sisi bado twa pambana😂😂😂. Bariadi duniya lazima upitiyee changa moto ata uwanja una zulumiwa
Unampata vp huyu shena maana niko nataka kutoa story ya maisha niliyo yapitia hapa Deutschland
Karibu sana +4367764790884
@@OfficialDatingAssistance ahsane
Huyu hana historia na hizo viza za fek ziliondoka toka 98-99 na mm paspot ninayo mpaka Leo ilikuwa na viza feki.toka 98 au 98 na hiyo viza itakuwa kachukuwa storry sio yake
😂😂😂 we 0 kweli wahindi mpaka saivi wanaenda nazo
Mbona mimi simuoni mzungumzaji, nakuona Shena mwenyewe tu. Msaada plse!!
Kwa namna hadithi yake ilivyo, isingekuwa vizuri aonekane mubashara. Kawataja jamaa fulani hapa na mengi ambayo lazima ajifiche. Alimradi tunamsikia sineno. Kwani unachotaka ni mlio wa punda au punda?
Shena nimependa sana ushauli wako wa kuhusu uzee na watoto, nikweli hata uko bongo kuna wazee wamezaa watoto wengi na wanaishi maisha ya peke yao,watoto wako busy na familia zao .Mama au baba anaumwa anatumiwa pesa tu.wachache sana wanawachukuwa wazazi wao.
Nikwambiye kitu kimoja siyonyumba za wazee nakumaliza mapema
Watu tunaishi Germany tunakuelewa sana,its not easy tuna mengi ya kusimulia
Karibu sana kwa kipindi +4367764790884
Ndugu acha tu
Ahsante sana@@OfficialDatingAssistance
WATU UNAOWAHOJI WANAWEKA HANDLE ZAO KAMA FB AU INSTA KAMA MTU ANAHITAJI USHAURI KWA ALICHOELEZEA IWE RAHUSI KUMFATA.. ANATU INSPIRE NINI?
Hivi Shena kuna baadhi ya videos huwa unazifuta!?
Kwa hiyo baada ya kutumika sana na wazungi je hivi Sasa umeona au una mahusiano yote?
Kuddadeki mbogo mbishii ..lazima ulaya nitimbee tu
Wote mnasikika vizuri
Alafu awa wanzanzibar mbona wanapenda kujinadi sana wao ni wa Tz bwana
Shena.. Naomba niwasiliane na huyo kaka plz... 🙏Pls
Huyu nitampata wapi sheyna
nawapata vizuri south Africa.
Kionyesha vidole bado sijaelewa
Sasa yule rafiki yako mlikuja kuonana tena?
nahisi iyo sehemu inaitwa Barawa
Na nyiyi wazanzibar mkiwa oman mnatufanya vipi msomali anaye zungumza kiswahili mnamweka ndani kwasababu wengi wenu ni immigration huko oman
Utantusemeya mbaya lakini wazanzibar tunawajua sana ndiyo sababu huwezi kukuta msomali zanzibar na tuko majirani
Tunawasikia vzuri dada Shena
Dj nitampata wapi shena.
Kuna wasomali wa tanga pia..!😅
Jamaa majiekti sana and..... and.......... and nyingi sana
Mnasikika wote tuendelee
shukran mr dj
Ogela kaka
Samahani kwa kutoliandika vzr jina lako
Hiyo ilikua unaita somali kenya
Shena, why should they mind their own business? Your people are using Somalis and, at the same time, insulting them. Really?
He said some somalis. Not all somalis. Chill my dear😅😂
You're known for your selfish 😢😢
😅😅😅😅😅Hatar@@damariszuckschwert9489
Who is selfish and vindictive? Some of us grew up in Tanzania, and we decided to leave because of your racism and zenophobic behavior.
We nawe kwani wa tanzania sio ma selfish, katika kila nchi kuna wazuri na wenye roho mbaya, hao wazanzibar wenyewe wana wabagua wa bara f@@damariszuckschwert9489
I recommend seminar machundo from Denmark for that dialogue😊.
I'll check it out, thanks for the suggestion
Watoto wa ulaya ni 99 asimilia siyo msaada
Mnasikika vizuri
Sasa hivi una umri Gani Dj
Nice
Dada Shehina,samahani,hawa wazungu wanaotaka mpaka uwalipie apple card ili waje nchini ikoje hii,.tena si hela kidogo kuanzia milioni siyo matapeli hawa?
Mh! Kama hawezi kuja aache kwanini ww umlipie pesa?? Shtuka ndugu
Mh!
Shtuka ndugu jiongeze Kama hawezi kuja aache
Mzungu anatakwa kuhongwa na wadada wa Bongo. Aisee hii Dunia ina mambo kweli kweli. Achana na wanaijeria wewe utakuja kulia mchana kweupe
@@atomphoton5000 apo ashtuke mapema hamna kitu apo ukute uyo ni mbongo mwenzako😂😂
InshaAllah biidhnillah taala Utapata
Your a risk taker hakika,
No tunawaskiya nyote
Dada sena hutukusikii
Ukiwa mkimbizi kwa ujerumani ni shida mpaka uje kusimama.watu waje ulaya maisha ya ulaya sio kama nyumbani
Yeah, nasikia kuwa Ujerumani, na kama mfano Belgium, kujiripuwa kwake pia ni tofauti na sehemu nyengine, kama hivyo huko kuwekwa camp mpaka ufanikiwe, tofauti na nchi nyengine, hupewa hela kiasi ya kukodi sehemu pa kuishi, ya kula, usafiri, pamoja na ID na work permit, ili utafute kazi, au na study permit, ili uende shule, huku ukijiandaa kusikilizwa kesi yako, ila wakikukatalia, na kisha ukitaka una appeal kwa gharama zako, then unaenda nayo process, ila ukikwama, mwisho hukuzuilia na hizo IDs wakikuandaa kukurudisha kwenu, ila Ujerumani, kwa hiyo kupewa sheria kupitia kwenda shule kama alivyosema amepata DJ ni afadhali basi
Anaskilizika tu