Mama mwenye nyumba hakuwa na nia mbaya na wewe.wewe ulikuwa na roho ya uchawi kutaka kumvunjia ndoa yake hali yakuwa hajakukosea.sasa mungu amekulaani uliyo tegemea yamkute mwenzio yamekukuta wewe.na ukiendelea kufatafafa ndoa yao utapata usicho kitegemea.rudi kijijini ulee mtto wako hata yatima wanakuwa bila wazazi.usilie umalaya wako ndio uliokuponza. Umechimba shimo ukaingia mwenyewe.😂😂😂😂😂
Dada pole sana ila naomba usidanganyike tena yaani mwanaume alikudanganya uongo ulio onekana lkn ulishindwa kuuchanganua wacha kwenda kuharibu mahusiano ya watu au nyumba ya watu ambazo tamaa zako na roho ya kumshusha mwenzako ili wewe upande Mungu hapendi tafuta kazi lea mwanao miaka 3 unaweza kabisa kufanya biashara ukamtunza mwisho wa ubaya ni aibu na hao ndio wanaume pole sana
Yani ww ni malaya tu 😂😂 usituchoshe mkubwa ivyo ulidanganywa nn ulitaka mwenyewe yani hawa wadada wa kazi wengi mnajisahsu mnatamani kuwa mama mwenye nyumba ndio mnaalibu iyo imekula kwakooooooo lea tu mwanaoooo msaada kwa uyo mwanaume ukingangania utakutesaaaa
Hiyo NI hasara kubwa sana kwanini hamtaki kazi ya kilimo ?? Zamani mabinte walijishuhulusha sana na kilimo na baada ya mda wengi wao hupata wanaume na kuolewa then hupata family zao sio kuzuruka na kupata mimba zisio tarajiwa na kua singles mother
DADA POLE KWA KUTOTIMIZA MALENGO YAKO, SHETANI ALIINGILIA KATI(YULE BABA) . MTEGEMEE MUNGU MLEE MTT. MFAHAMISHE MJE WAKE YOTE YALIYOTOKEA ILI AJUE KUWA CHANZO NI MUME WAKE. MUNGU AWE NAWE. POLE
Mama mwenye nyumba hakuwa na nia mbaya na wewe.wewe ulikuwa na roho ya uchawi kutaka kumvunjia ndoa yake hali yakuwa hajakukosea.sasa mungu amekulaani uliyo tegemea yamkute mwenzio yamekukuta wewe.na ukiendelea kufatafafa ndoa yao utapata usicho kitegemea.rudi kijijini ulee mtto wako hata yatima wanakuwa bila wazazi.usilie umalaya wako ndio uliokuponza. Umechimba shimo ukaingia mwenyewe.😂😂😂😂😂
Dada pole sana ila naomba usidanganyike tena yaani mwanaume alikudanganya uongo ulio onekana lkn ulishindwa kuuchanganua wacha kwenda kuharibu mahusiano ya watu au nyumba ya watu ambazo tamaa zako na roho ya kumshusha mwenzako ili wewe upande Mungu hapendi tafuta kazi lea mwanao miaka 3 unaweza kabisa kufanya biashara ukamtunza mwisho wa ubaya ni aibu na hao ndio wanaume pole sana
Yani ww ni malaya tu 😂😂 usituchoshe mkubwa ivyo ulidanganywa nn ulitaka mwenyewe yani hawa wadada wa kazi wengi mnajisahsu mnatamani kuwa mama mwenye nyumba ndio mnaalibu iyo imekula kwakooooooo lea tu mwanaoooo msaada kwa uyo mwanaume ukingangania utakutesaaaa
Unalia.nn.pumbavu.yani.ndomana.munarongwa
hahahahhahah dada Hadija noma sana hahahhahahah
Sasa kwanini usiseme ndio unasema yeah na kingereza hukijui yaani waswahili mna tatizo kubwa kichwani
hahahha ulikuwa unakatika unadhani unamwagia mwajia unampa mdogo na na kukata mauno unategemea nini?wala si issue kabisa
Pole kwa changamoto,kipindi hicho ulikuwa ma ulimbukeni,tafuta maisha dada
Mmmmmhh!!!! Unafanya dhambi kwa ajili ya familia??
Pumbavu nyooooo😏😏😏kenge ww Amuache mkewe kisa eti mwanaume wangu wa kwanza Lia mpaka ufe
Hiyo NI hasara kubwa sana kwanini hamtaki kazi ya kilimo ?? Zamani mabinte walijishuhulusha sana na kilimo na baada ya mda wengi wao hupata wanaume na kuolewa then hupata family zao sio kuzuruka na kupata mimba zisio tarajiwa na kua singles mother
Atajijua, avune alichopanda
Kwani hiyo Mumbai alirushiwa kama risasi ? Si walikubaliana?
🇰🇪 poverty is like punishment for a crime you did not commit 😢
Familia haijakupush ufanye zinaa ni umalaya wako tu
Kweli umalaya wako tu na uyo kafiki yako awe makini utalala na bwana akeee
Ama kweli tamaa zinapeleka wasichana pabaya!!! Na unatamka Mungu akupe nguvu wakati wewe ni Msaliti???
DADA POLE KWA KUTOTIMIZA MALENGO YAKO, SHETANI ALIINGILIA KATI(YULE BABA) . MTEGEMEE MUNGU MLEE MTT. MFAHAMISHE MJE WAKE YOTE YALIYOTOKEA ILI AJUE KUWA CHANZO NI MUME WAKE. MUNGU AWE NAWE. POLE
Yani.mungu.atakulani
Wewe binding Sasa unakuja kutenganisha ndowa kweli? Hatakuowa hata ufanye je?
Aaaa
Lakini si yu were being pd
The devil is a liar