ANAPOISHI KATE MILAYA/NIMEISHIA DARASA LA SABA NAMILIKI GOROFA /NIMEFANYA KAZI AIRPORT

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" TH-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

ความคิดเห็น • 292

  • @Rahima-kv6mn
    @Rahima-kv6mn 3 หลายเดือนก่อน +64

    Nimeanza kuja oman mwaka 2017 Na mpaka 2024 Na bado nipo uku Natumwa tu kama punda Lakini nimejenga mijengo ya miwili Kigamboni na Mbande Tambani uko Namshukur Mungu Alhamdulilah watt wangu wanagalauka gauka umo ndani kwao Asante Mungu kwa Rehema Zako 🤲🙏💪😘

    • @dottohami
      @dottohami 3 หลายเดือนก่อน +5

      Tuseme Alhamdulillah

    • @Rahima-kv6mn
      @Rahima-kv6mn 3 หลายเดือนก่อน +4

      @@dottohami ALHAMDULILAH 🤲🙏

    • @MaryamMaryam-ru1qt
      @MaryamMaryam-ru1qt 3 หลายเดือนก่อน +2

      Hongera kpnzzzzz ngja na ssi 2pambane kusugua hammam za warabu inshaallah nas 2tajenga

    • @Rahima-kv6mn
      @Rahima-kv6mn 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@MaryamMaryam-ru1qt Ahsante kwasote Inshaa llah Kheri 🙏💪

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 3 หลายเดือนก่อน +4

      Hongela kipenzi hata mim nimesha pambana nimesha mjengea mama angu asaiv napambana nijenge ya kwangu

  • @jrlamar8925
    @jrlamar8925 2 หลายเดือนก่อน +6

    Tusipende kujua watu wamefanikiwaje, kuna mengine huwa hawayaongei. chamsingi tuendelee kupambana

    • @MariamMussa-tb2of
      @MariamMussa-tb2of 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa hcho Nd muhimu mana apo anasema tu kucheza michezo na kukopa utacheza mchezo bila kaz😅😅😅

  • @charleshotay8229
    @charleshotay8229 2 หลายเดือนก่อน +17

    Pia Mimi nimejenga nyumba zangu zaidi ya milioni 100, ila sasa namuomba Mungu azidi kuniweshesha nijenge gorofa langu nzurii, na miaka 32 I believe in God I will 🙏

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 3 หลายเดือนก่อน

    HONGERA SANA SANA SANA SANA SANA SANA SANA SANA❤❤❤❤ I LOVE IT and pole sana kwakupoteza wazazi wako😢🎉🎉🎉🎉🎉 enjoy mama

  • @lilianmkumbi6770
    @lilianmkumbi6770 3 หลายเดือนก่อน +12

    Hongera saana dada,,
    Ee Mungu naomba unikumbuke na mm nifanyie wepes 😢😢

  • @beatricejoseph2784
    @beatricejoseph2784 3 หลายเดือนก่อน +26

    Katika ndoto zangu kubwa ni kujenga naimani Mungu atatenda hongera sana dada angu

  • @user-to6up4hg2w
    @user-to6up4hg2w 3 หลายเดือนก่อน +9

    This colour of hair doesn't fitting you should use black wigs

  • @PaulinaRaymond-f6s
    @PaulinaRaymond-f6s 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana mdada!!!Mwanamke na nusu ,hongeraaa sana 28:03

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu c ndy aliyezalishwa na Mwamposa au sio huyu na ghorofa kajengewa ama hebu waja nifungueni maana bungeni nimeona story yake chezea Chimbo la East ww😂😂😂

  • @nancymorenje3880
    @nancymorenje3880 3 หลายเดือนก่อน +19

    Hongera sana Kate, una spirit ya upambanaji. Unasema umekopa vizuri ila sio wote wanaokopa wanatoboa. Pengine unakitu kingine kinachokupatia pesa e.g umeajiriwa unapokea mshahara, child support kutoka kwa baba mtoto..let say mbaba akikupa 2mil kama child support kwa mwezi kwa mwaka una 24mil hata ukikopa nirahisi kuwa na uhakika wa rejesho. Ila kukopa tu bila kuwa na kitu nyuma cha kuku support ngumu

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 3 หลายเดือนก่อน +9

    Mafanikio sio rahisi haijalishi yamepita njia gani

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kumbe mchaga mwenzangu, safi sana, ukiona fursa itumie vizuri, wachaga hoyeeee

  • @naifatshafii2504
    @naifatshafii2504 3 หลายเดือนก่อน +9

    Mie mshamba kama Saleh kizunguzungu siwezi kuishi nyumba yenye gorofa kama na naanguka ivi siwezi kwa kweli rabda nikatmbee nirudi basi hongera sana super woman

  • @Vee-w3x
    @Vee-w3x 3 หลายเดือนก่อน +6

    Saleh upo vizuri lakini mbadilishe cameraman yupo slow sana kujiongeza atakufelisha.Unahitaji cameraman mjanja ndio mtaendana vizuri.

    • @storytime1204
      @storytime1204 2 หลายเดือนก่อน

      Baada aonyeshe nyumba anaonyesha watu yani mpka aitwe duh

  • @latifahkarim9774
    @latifahkarim9774 3 หลายเดือนก่อน +21

    Kuna watu wanajuaga mafanikio ni rahis hongera sana umeweza umeweza tena

  • @FedaMaino
    @FedaMaino 3 หลายเดือนก่อน +6

    Ukimuona mtoto tu huna aja ya kuuliza baba yke nani😂😂😂 buldoza😂

    • @husseinkayllah9538
      @husseinkayllah9538 2 หลายเดือนก่อน

      BulddoZa ndio kajenga anatudanganya vikoba

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hongera sna ukiona kwa mwenzio unaona rahisi ukijaribu sasa 😂 eeh mungu tusaidie maana sio mchezo

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wow MashaAllah MashaAllah ziwe sadaka za wapuuzi (wajinga ndio waliwao)😅😅😅 iwe udangajiii iwe unafanya kazi hongera Sana mwanamke wa nguvuuu kabisaa wa shokaaaa congratulations dear sio rahis kwa msichana wa umri wako kuwa na akil ya maisha❤❤❤🎉🎉🎉
    Ila Mungu mkubwa Jmn na anajua kuumbua watu Mtt sura copy na Baba Mzee wa mafutaaa 😅😅😅🙌🙌🙌
    SubhanAllah

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 2 หลายเดือนก่อน +3

    Na itoshekusema usitamani maisha ya watu jmni jikune mkono wako unapofikia

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 3 หลายเดือนก่อน +4

    Wanawake tunaweza kikubwa tusikate tamaha❤hongera my dear

  • @khadijauledi3293
    @khadijauledi3293 3 หลายเดือนก่อน +2

    HUYU NDO MWANAMKE NANGAI, WEWE KACHUKUE MIKOPO UKAWAFURAHISHE WENZIO BAR AU KUWAFANYIA SHUGULI MASHENESTI WENZIO UKIANZA KUDAIWA WANAKUCHEKA

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ivi nyie billion uwaga mnaijua ama mnasema tuu msikatishe watu tamaa kujenga gorofa

    • @MYME-u5d
      @MYME-u5d หลายเดือนก่อน

      😂😂😂Mi mwenyew nimestuka kusikia bilion mmmh🤔

  • @hildajoel5
    @hildajoel5 3 หลายเดือนก่อน +5

    Spa 1 nyumba ya billion kadhaa🤔 mwenzetu biashara yake ina faida 😂

  • @candiesalm8995
    @candiesalm8995 3 หลายเดือนก่อน +2

    Na mimi nikifika miaka 30 ntawaita show bizz waje wafanye kipindi kwenye nyumba yangu 😂😂ya ndoto zangu wacha sahv nkatafute kazi kwanza

  • @sund2553
    @sund2553 3 หลายเดือนก่อน +5

    Si angetoa huo mdude awe comfortable kutembea afanye house tour vizur.....kwa mjengo huu mwamposa hawez kumuach huyu wataendelea mpaka kifo😅 yan kiufupi huyu ni nyumb ndog ya mwamposa for life.

    • @AshuraMaulid
      @AshuraMaulid 3 หลายเดือนก่อน

      Mpka mtoto kafanana na mwamposa

    • @nickylyanga2139
      @nickylyanga2139 3 หลายเดือนก่อน

      ajifunze kufanya tour kama ya produce Michael

    • @nickylyanga2139
      @nickylyanga2139 3 หลายเดือนก่อน

      camera man .. ovyo zaid ya sana

    • @njuka3515
      @njuka3515 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani huyu ndie aliyezaa na mwamposa

    • @sund2553
      @sund2553 2 หลายเดือนก่อน

      @@njuka3515 ndio

  • @EmmyNamoyo
    @EmmyNamoyo 3 หลายเดือนก่อน +15

    Mpiga picha wako salehe kidogo ajirekebishe si mara moja anafanya hivyo kwa mfano pale ulipokuwa unashangaa kuhusu kitanda hatujaona,badala ya kuonyesha kitu au sehemu unayoongelea yeye anaonyesha sehemu nyingine si kwa ubaya ni maoni yangu tu ili kunogesha kipindi kwasababu tunakipenda ❤

  • @faithkaganda-k3s
    @faithkaganda-k3s 3 หลายเดือนก่อน +4

    Huýo alombeba zuri mmemskia anavojitaftia sifa ety mi ananikubali wengne huko anawaona kama mbwa😂😂😂ila asante mlonisanua kwel anamfanana mwamposa mtoto😂😂

    • @AshuraMaulid
      @AshuraMaulid 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @lilianmkumbi6770
      @lilianmkumbi6770 2 หลายเดือนก่อน +1

      Bora umeona et anawaona mabwa tu 😅😅😅 uchawa mgumu

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 2 หลายเดือนก่อน +1

    Akina Jennifer Lopez wapo cool 😎,,,,, maskini wakipata mmmmh hongera😂😂😂😂😂

  • @nanajoseph2356
    @nanajoseph2356 3 หลายเดือนก่อน +4

    Miaka 30 ana ghorofa me 25 hata kiwanja sna 😭

    • @Gratefulheart3188
      @Gratefulheart3188 3 หลายเดือนก่อน +1

      Utapata wala usikate tamaa mdogo wang,

    • @nancyfantasia1945
      @nancyfantasia1945 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wakat wa Mungu ni wakat sahihi usikate tamaa alafu huwez jua wenzetu wanapita njia gan

  • @elinazuberi2689
    @elinazuberi2689 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana mrembo kujenga siyo mchezo

  • @AshaShabani-y3p
    @AshaShabani-y3p 2 หลายเดือนก่อน +12

    Mama zuri wawatu mwamposa alikupa hela utoe mimba ukakataa ulijua kabisa nilazima mwanao atakubadilishia maisha yako bora ulivokataa leo hii unaishi ndani ya ghorofa iliyojengwa na sadaka za waumini wa kawe na pesa za mafuta na maji hongera sana umeupiga mwingi 🎉 miaka30 na ghorofa Mimi naenda kufunga miaka30 namiliki begi tu la nguo😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @emmaditrick3265
      @emmaditrick3265 2 หลายเดือนก่อน

      😁😁😁😁

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mafanikio ya watu yana siri 😂😂😂 asante kwa kuwasanua mabinti kikubwa wasikate tamaaa ❤

    • @tunudachitalks6575
      @tunudachitalks6575 2 หลายเดือนก่อน

      Nimechekaa kwa sautiiii 😂❤

    • @rehemabakari4150
      @rehemabakari4150 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kumbee asanteee

    • @ngambikomsu64
      @ngambikomsu64 2 หลายเดือนก่อน

      Mmmm, hili nalo nalijua leo. Mimba tena na mtumishi ,askofu, mtume, prophet. ❤ Mungu tusaidie.

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amzalieko na kengine nyumba vYumba 6 mtoto mmoja, mbona shughuli

  • @NathaliceMushi
    @NathaliceMushi 3 หลายเดือนก่อน +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 salehe anavyopambana kubeba gauni sasaaaaa mi hoiii

  • @JamilhaSelemani
    @JamilhaSelemani 3 หลายเดือนก่อน +2

    Unanitia moyo sana tu me najenga lakini bado cjamaliza

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 3 หลายเดือนก่อน +6

    Msiache kuchukua mikopo msiache kufanya michezo, nyoo shukuru ulipofika hii dunia ina mengi

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 3 หลายเดือนก่อน +1

      Eti mikopo elimu darasa la saba nyoo mchezo wafanyazi wa selikali wenyew nyumba zinapigwa mlada

    • @estherminnahboaz6956
      @estherminnahboaz6956 3 หลายเดือนก่อน +1

      Malaya tu huyu mfanya masaji mwanzo sikuelewa mchezo kumbe ndio huyu mchawi karoga wee atudanganye elimu haina maana mfyuuu😂😂😂

  • @Tuu2019
    @Tuu2019 3 หลายเดือนก่อน +16

    Zuri copy ya baba Mwamposaaa Hongeraaaaa kwa kufanikiwa kumchunaaa mchungaji

    • @salma-fc4xc
      @salma-fc4xc 3 หลายเดือนก่อน +3

      Ni bahati yake tumpe hongera sana yake kaweza

    • @faithkaganda-k3s
      @faithkaganda-k3s 3 หลายเดือนก่อน

      Wee kumbe😂😂😂🙌🙌

    • @faithkaganda-k3s
      @faithkaganda-k3s 3 หลายเดือนก่อน +2

      Nilishataka kuacha kuangalia sasa ngja ni2lie nione huyo mtoto😂😂😂

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 eeeeeee Tena makubwa ngoja nione mwanzo mwisho mbona patamu hapa eee jamani bongo sihami kumamae

    • @faithkaganda-k3s
      @faithkaganda-k3s 3 หลายเดือนก่อน

      @@kamarhelo nikusaidie kimbia mbele mwisho kabsaa ndipo utakwenda kuona hyo copy🤣🤣🙌

  • @JacklineMakule-id8hn
    @JacklineMakule-id8hn 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kaz ya mwa..... Hiooo sadaq....... 🙈🙈 Hizo taa n hio bei y nyumba huwez sema sadaqa zetu ndo zimetumika apoo

  • @MariaThomas-wm9iq
    @MariaThomas-wm9iq 3 หลายเดือนก่อน +6

    Baba mchungaji mwamponsa umeweza🤭

    • @faithkaganda-k3s
      @faithkaganda-k3s 3 หลายเดือนก่อน

      Yaan mwenzenu nimejua leo😂😂😂

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 3 หลายเดือนก่อน +1

      Nakwambia hata mim eee jamani mama zuli kakanyaga mafuta kwa mwamposab😂😂😂😂😂😂😂😂aki mtanivunja mbavu leo

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 3 หลายเดือนก่อน

      Wivu haulipi kama mtu aliweza kujenga akiwa na 21 ni bidii na nidham achen wivu

    • @SmilingElectricGuitar-wz3ij
      @SmilingElectricGuitar-wz3ij 2 หลายเดือนก่อน

      We ndo huelewi jambo​@@FreeGod368

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani tukisema kazaa na mwamposa ni wivu?

  • @PaulinaRaymond-f6s
    @PaulinaRaymond-f6s 3 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana mdada!!!Mwanamke na nusu ,hongeraaa sana

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tupongezane hongera sana mrembo usisahau kufanya ibada

  • @berneysebastian9337
    @berneysebastian9337 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mapazia ya umeme yako slow, wengine tushazoea shwaa shwaaa😂😂😂, hongera mama zuri wa watu😊

  • @ABDALLAHARUNABWIJO
    @ABDALLAHARUNABWIJO 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ivo ndovitu vya maana ume weza dada wasanii wakubwa hawana ivo

  • @user-to6up4hg2w
    @user-to6up4hg2w 3 หลายเดือนก่อน +1

    But you looks so old how comes you say you're 30yeras old😂😂😂😂😂

  • @Neychuchu-tz
    @Neychuchu-tz 3 หลายเดือนก่อน +3

    😂kwanza hizi nyumba wanatumia nin kujemga☹️😂

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 kakope utajua

  • @MayarashidiMayarashidi
    @MayarashidiMayarashidi 3 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤❤❤ongera dada ongera sana mungu azidi kuyalinda .mafanikio yako

  • @IsayaMtuli-ln9jx
    @IsayaMtuli-ln9jx 2 หลายเดือนก่อน

    Ameweza wapi wewe pimbi nini amezaa ma mwamposa kanunuliwa gari na kajengewa funguka fala wewe

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 2 หลายเดือนก่อน

    Cameraman kama vile haijui kazi ilo mleta hapo! Hatuna shida yakuwaona waendasha kipindi ss tunataka kuona mjengo bwana😢 yy kazi kuwa zoom zoom tu

  • @tutumarzouk9803
    @tutumarzouk9803 2 หลายเดือนก่อน

    dahhh, huku kuongeza sifur jaman, mtafanya wengene tusijenge--1Billion kutamka n simple sana

  • @gracepatric4371
    @gracepatric4371 2 หลายเดือนก่อน +1

    Camera man but. Y pamoja na kuambiwa waonyeshe lakini wapiii 😢😢

  • @vero57
    @vero57 หลายเดือนก่อน

    KWAHIVYO DADA MIKOPO NDIYO UMEJENGA 1. BILLION😮😮😮😮???.?

  • @latifahkarim9774
    @latifahkarim9774 3 หลายเดือนก่อน +3

    Et nataka kuona nyumba nisishike heee salehe umbea da muni

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 3 หลายเดือนก่อน

      Nakwambia kafanya kungangania gauni

  • @atislady3400
    @atislady3400 3 หลายเดือนก่อน +5

    Sema mwaposa asante babbydaddy

  • @FatiaAhmed-m1u
    @FatiaAhmed-m1u 3 หลายเดือนก่อน +17

    Mashallah dada angu sina chuki bali nina wivu namuomba mungu anipatie na mimi

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 3 หลายเดือนก่อน +2

      Usimuonee mtu wivu muombe mungu akubalik na wew

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 3 หลายเดือนก่อน +11

    Ongera mkisema anajiuza kuna watu wanajiuza lakini awana atapakulala kwaio ongera kwa kujenga kikubwa kujuwa thamani ya pesa

    • @RajabuHayyan
      @RajabuHayyan 3 หลายเดือนก่อน

      Umeona eeee kajipata sana

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 3 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah mabrook hongera sana ZURI ❤ umepambana na sasa umemaliza nyumba yako hongera sana sister ❤❤

  • @sabrinaraphael3474
    @sabrinaraphael3474 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongere mamazuri you did it🎉👏🏻

  • @KOKOCROTCHETS
    @KOKOCROTCHETS 3 หลายเดือนก่อน +4

    Jumba zuri kuliko la mwijaku

    • @nancyfantasia1945
      @nancyfantasia1945 2 หลายเดือนก่อน

      Ya mwijaku tuliambiwa ni ghorofa modo😂😂😂

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 2 หลายเดือนก่อน

    Mwiujiza ya Mwamposa hiyo, kakanyageni mafuta, mtapata hela ya kujenga migorofa

  • @NiceWatson
    @NiceWatson 2 หลายเดือนก่อน

    Ebu acheni kumsema vibaya Baba mwamposa pls pls ni mtumishi wa Mungu pls jaman heshima jamani 🙏

  • @munirahassan5013
    @munirahassan5013 3 หลายเดือนก่อน +5

    Zuri Mwamposa

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 2 หลายเดือนก่อน

      Jamani 😂😂😂

    • @MarryPius
      @MarryPius หลายเดือนก่อน

      Ni Zuri, Boniphance, Gondwini, Mwamposa

  • @vero57
    @vero57 หลายเดือนก่อน

    Ningekua wewe ninge kaa kimywa tuu , maana naona watuu humu wanavyo sema

  • @pendoseleman9069
    @pendoseleman9069 3 หลายเดือนก่อน +2

    hongera dear , umenipa moyo wa kupambana

  • @RajabuHayyan
    @RajabuHayyan 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashalalh dada umeupiga mwing wengine wanapesa lkn awajafika.hapo ulipo.wanajali starehe

  • @Nuru9568
    @Nuru9568 3 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera dear hongera pia kwa mwamposa

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera my mdogo

  • @JacklineMakule-id8hn
    @JacklineMakule-id8hn 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mchepuko.wa baba yetuu wa Kiroho🤭

    • @givenessdavid3743
      @givenessdavid3743 3 หลายเดือนก่อน +1

      Angalau hata ana ghorofa wengine vitumbua vinajazwa mafuta ya Salama

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 eeeeeee makubwa

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@givenessdavid3743😂😂😂😂😂nimecheka kwa saut daah

    • @VeronicaMasawe
      @VeronicaMasawe หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo staili ya nywele hapanaa na huo mdude ulovaa wa nni sasa woiii

    • @AngelAlphonce
      @AngelAlphonce 2 หลายเดือนก่อน

      Huo muwigi style ya nywele hapana kaharibu na hilo jinguo uyu dada bado.anaushamba wa kuvaa kwenye mavazi nyumba nzuri anatakiwa avae apendeze ajue kupangilia mavazi

  • @mwajumagomera7609
    @mwajumagomera7609 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah kwa walioweza wameweza❤❤

  • @ilagusalim2675
    @ilagusalim2675 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ila salehe umekuwa mshika gauni 😂😂😂😂

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy3653 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera ila apo kwenye bint mdogo big no we ni age go

    • @bonvivant3704
      @bonvivant3704 2 หลายเดือนก่อน

      Actually ni binti mdogo, unless lifespan ingekua 45

    • @rehemavickie6521
      @rehemavickie6521 2 หลายเดือนก่อน

      Uko sahihi​@@bonvivant3704

  • @Peace-x6s
    @Peace-x6s 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mshkaji gauni naye suruali inadondoka😊

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @gracepatric4371
    @gracepatric4371 2 หลายเดือนก่อน

    Salehe anamleta kate ajichanganye kusema mwamposa kate anachomoa kinamna😂😂😂😂

  • @blessingcharles-lc1rr
    @blessingcharles-lc1rr 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera dada ake kupambana hakujawahi kumuacha mtu

  • @JoyceMlwale
    @JoyceMlwale 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa faida ya wasioelewa km mimi bezment ndio nini😂

  • @salamamohamed843
    @salamamohamed843 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hilo shela angelivua akabaki na kigauni simple tuu

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 2 หลายเดือนก่อน

    Anachanganyikiwa hd taa anakosea kutaja bei mwanzo kasema Milion 7 na nyingine ipo juu mara anakuja juu anasema milioni 3.5 ukiwa muongo uwe unakumbuka

    • @careemissa2502
      @careemissa2502 หลายเดือนก่อน

      Kasema ya sebleni milion 7 na ya juu milion 3 na nusu ww ndo husikilizi

  • @salhaomar5382
    @salhaomar5382 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera mdogo wangu umejitahd san❤❤❤❤

  • @BoraChongera
    @BoraChongera 3 หลายเดือนก่อน

    ila cjui kwanini uki ikataa mimba mtoto anatoka copy yako,mtoto ni mwamposa mtupu hai hitaji D3

  • @deadcrush
    @deadcrush 3 หลายเดือนก่อน +2

    Lovely…..

  • @winfridahubert4072
    @winfridahubert4072 3 หลายเดือนก่อน +1

    Camera man unazingua

  • @ramagazet1362
    @ramagazet1362 2 หลายเดือนก่อน

    We umeambiwa usifungue wapiga chabo boya ww

  • @jumachillo
    @jumachillo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nyumba kali sana

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 หลายเดือนก่อน

    Mungu unikumbuke na mm kwenye ufalme wko

  • @IreneMacha-d5q
    @IreneMacha-d5q 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nakupendaga bure

  • @IreneMassawe-tk7jg
    @IreneMassawe-tk7jg 2 หลายเดือนก่อน

    So happy see you glory laswai I miss you girl

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 2 หลายเดือนก่อน

    Salehe yan unapenda kula et unauliza jmn supu tayar😂😂

  • @frolandunguru4489
    @frolandunguru4489 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera kate umeokota dodo kwa Mwamposa

  • @mylovejosecharles4362
    @mylovejosecharles4362 3 หลายเดือนก่อน +2

    sema tu ukweli kuwa una mubaba😂

    • @munirahassan5013
      @munirahassan5013 3 หลายเดือนก่อน

      Kazaa na nabii wenu mwa.......sa

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@munirahassan5013😂😂😂😂😂

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 2 หลายเดือนก่อน

      Kakanyagwa na mafuta

  • @NiceWatson
    @NiceWatson 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu awe nawe milele mdogo wangu♥️🙏

  • @NoraNora-gv7md
    @NoraNora-gv7md 3 หลายเดือนก่อน +1

    Na Imani katika kupambana kwangu nitapana amin

  • @OliverGodwinzakaria
    @OliverGodwinzakaria 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Mungu akulinde nakupenda

  • @AshaJuma-s7l
    @AshaJuma-s7l 2 หลายเดือนก่อน

    Salehe upo vizuri sana. Cameramani bado kidogo

  • @MariamGidioni
    @MariamGidioni 2 หลายเดือนก่อน +6

    Kazaa na mwamposa huyu dada😊

    • @FlorenceHudley
      @FlorenceHudley 2 หลายเดือนก่อน

      Ookey, it make sense now 😊😊😊

    • @zubedamrutu3156
      @zubedamrutu3156 2 หลายเดือนก่อน

      Ndio halafu anadanganya uma eti Oman mh

  • @BintRasheed1999
    @BintRasheed1999 2 หลายเดือนก่อน

    Copy and paste sura ya zuu

  • @Pmida6943
    @Pmida6943 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera kwake jamani afu ana sauti nzuri

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 2 หลายเดือนก่อน

    Nicole ndo anagorof zuri

  • @صالحالصوافي-غ5و
    @صالحالصوافي-غ5و 3 หลายเดือนก่อน

    Saleh nimwanaume ao mwanamuke mbona anava hereni ao anajisia 2

  • @SalhaIssa-l6h
    @SalhaIssa-l6h 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera boss wangu🎉

  • @MimahAlly20
    @MimahAlly20 2 หลายเดือนก่อน

    Mtoto dam ya mwamposa kbs❤ wamefanan

  • @getrudaassey693
    @getrudaassey693 2 หลายเดือนก่อน

    SALEHE HAPO CAMERAMAN HUNA 😢