MCH HANAJA APIGA NONDO NZITO KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 76

  • @PeterJustin-ke5mk
    @PeterJustin-ke5mk 6 วันที่ผ่านมา +8

    Pastor h nakukubali sana unahekima ya ajabu Mungu akutunze

  • @victorombay6625
    @victorombay6625 วันที่ผ่านมา +1

    Very good Pastor. Ubarikiwe Pastor

  • @amosmwangela1878
    @amosmwangela1878 5 วันที่ผ่านมา +5

    kijiji bila wazee ni uhuni,mzee kanyoosha vizuri sana

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk 3 วันที่ผ่านมา +4

    Umesema kweli Rev: Hananja

  • @privaushaki7395
    @privaushaki7395 4 วันที่ผ่านมา +6

    Huyu ni mchungaji na mwalimu mwenye busara sana

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Huyu anafaa akae meza moja na bishop ngonyani jamaa anajua ingia you tube tafuta kipindi kinaitwa izrael Katika unabii jamaa anachambua bible hatari

  • @henryj3304
    @henryj3304 4 วันที่ผ่านมา +3

    Safi sana Pastor Hananja. May God bless you and your family ❤❤❤

  • @Fred-Ma
    @Fred-Ma 6 วันที่ผ่านมา +8

    Nafurahi sana kukutana na mtu mwenye akili anayeniimarisha😅

  • @NkindaOnen
    @NkindaOnen 6 วันที่ผ่านมา +10

    Hananja professional Bible study

    • @WilsonEmmanuel-bs6op
      @WilsonEmmanuel-bs6op 5 วันที่ผ่านมา

      Amina baba mm nimejifuza kwa kutoa Vifungu katka bibilia

    • @stanleyamlima2085
      @stanleyamlima2085 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Yaaaah!!! Teacher

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 4 วันที่ผ่านมา +4

    Kwa kweli makanisa mengi niyakichawi ndiyo sababu nikibo ko ya wachawi mara wamenasa wachawi mara apa kanisani pana mchawi atoke mara mtu katoka anatoa ushuuda mimi ni mchawi huo ni usanii siyo dini hiyo

  • @neemakalugila7674
    @neemakalugila7674 2 วันที่ผ่านมา +1

    May the Living God bless you abundantly Pastor, from Holland 🇳🇱

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 5 วันที่ผ่านมา +4

    Hizi ibada yakuwa kiboko yawachawi nk nibiashara tu wala sio ibada ambayo tumeelekzwa kufanya kuwa ndio kuabudu.
    Huku ni kufeli kwasababu tumeletwa duniani kumuabudu Muumba now kinachofanyika ni uzushii tu napia leo watu wamekumbwa na stress kutokana na maisha kuwa magumu now ndio naona h nibiashara na watadanganywa wengi

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 5 วันที่ผ่านมา +2

    MashaaAllah MashaaAllah mchungaji hananja mwenyezi mungu akutangulie kwenye maisha yako inshallah

  • @ShukraniChomolla
    @ShukraniChomolla 5 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akutunze mchungaji, nimecheka eti hata congo wangepelekwa wachawi

  • @gastonmbarila9458
    @gastonmbarila9458 5 วันที่ผ่านมา +2

    I love this man, sabubu ua anatoa pia maandiko

  • @ezralameck4150
    @ezralameck4150 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Muuliza maswal hajauliza maeneo mahususi ya upotoshaji ya huyu kiboko ya wachaw😢

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 6 วันที่ผ่านมา +3

    Nafurahi kusikia wachungaji mkijibu upumbavu unaoenezwa kwa kasi

  • @modernmwamtobe-lq8rg
    @modernmwamtobe-lq8rg 5 วันที่ผ่านมา +1

    Asante sana paster.kwa hekima ya majibu yako kibiblia kwa busara.

  • @mbalilax162
    @mbalilax162 6 วันที่ผ่านมา +5

    huyu mchungaji ni noma, anaongea kidogo anakazia na andiko kwa kila atakachokisema. Biblia imelala kichwan duuh

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale 4 วันที่ผ่านมา +1

    dah! mch Hananja biblia Yuko vzr co wale wanaotuchezea sinema eti miujiza!

  • @hildalyatuu2710
    @hildalyatuu2710 6 วันที่ผ่านมา +3

    Yaani hapa ndo mwisho wa matatizo.

  • @user-gn7xd1yg3t
    @user-gn7xd1yg3t 6 วันที่ผ่านมา +6

    Hakika Pastor unaweza kutuweka sawa asie elewa hatoelewa kamwe

  • @costantinemgalle1910
    @costantinemgalle1910 6 วันที่ผ่านมา +5

    Nakukubali mchungaji!

  • @user-jc1do5gf3w
    @user-jc1do5gf3w 5 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli kabisa sasa hivi mahubiri ni uchawi tu,wanaboa sana.Serikali iangalie hili kwa makini.Tunakoelekea ni kubaya sana

  • @tinertv1382
    @tinertv1382 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mnaacha kufuatilia mambio mabaya na machafu mnafuatilia watumishi kila mtu ameeitwa kivyake

  • @Mlokoz_twangalatwz
    @Mlokoz_twangalatwz 4 วันที่ผ่านมา +1

    Safi kabisa mchungaji

  • @eliasilwimba187
    @eliasilwimba187 4 วันที่ผ่านมา +1

    Serikari ifute usajiri wa kanisa la Dominic kiboko ya wachawi haraka sana.Hata kama analipa kodi.

  • @RichVoicetz-z9r
    @RichVoicetz-z9r วันที่ผ่านมา

    Ila kweri serikali Ione hili jamanii utaperi umezidi watu wanadanganywa kweupeeeeee na wanachekelea tu

  • @CalistaMartin-v7m
    @CalistaMartin-v7m 5 วันที่ผ่านมา +1

    Shida kubwa watu wanapenda mazingaumbwe kuliko kupenda kwelii

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 2 วันที่ผ่านมา

    Huyu mch 😂😂😂

  • @christianmwasakogo5579
    @christianmwasakogo5579 5 วันที่ผ่านมา +1

    😅😂mzee mengine mengi yupo sawa na ukakasi kidogo humo kuhusu vita,vita ipo rohoni tuanzie Waefeso 6:11-12

  • @VascoJohn-rp1uc
    @VascoJohn-rp1uc 2 วันที่ผ่านมา

    Facts pastor

  • @samuelbahati7976
    @samuelbahati7976 3 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe sana Mungu akubariki sana

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 4 วันที่ผ่านมา +1

    Na kweli kiboko ya wachawi anahubiri injili chonganishi

  • @BENARDMASHAIJA
    @BENARDMASHAIJA วันที่ผ่านมา

    Hakika Mungu akutunze❤ unaongea ukweli

  • @eliasilwimba187
    @eliasilwimba187 4 วันที่ผ่านมา +1

    Tz raia wengi ni vilaza jamani.

  • @josephatdeos1792
    @josephatdeos1792 6 วันที่ผ่านมา +1

    Kila anchoongea anakitetea kwa maandiko hawa ndio wachungaji tunao wahutaji

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 4 วันที่ผ่านมา

    Kama Manyumbu 😂😂😂😂

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 6 วันที่ผ่านมา +4

    Wewe ni Mchungaji wa kweli

  • @paulojohn5504
    @paulojohn5504 4 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe mtu ws mungu sana

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 4 วันที่ผ่านมา

    Nakubali maandishi

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Yule mshenzi wa kule buza na waumini wake wote wana tatizo la afya ya akili mwenye utimamu hawezi kwenda kule kupiga kelele

  • @eliasilwimba187
    @eliasilwimba187 4 วันที่ผ่านมา

    Nimecheeka saa.

  • @deogratiasrutabana2387
    @deogratiasrutabana2387 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Binafsi sikubaliani na hoja ya Mtumishi kwasababu Biblia imeandika kama misingi ikiaribika mwenye haki atafanya nini? Hapa tunachotakiwa kutafakali ni kwanini haya yanatokea? Maana sehemu zote za kumuabudu Mungu hazipo sawa hata moja zote zimeiacha sheria ya Bwana. Mfano imeandikwa askofu ni Mume wa Mke Mmoja mbona kuna watu hawaruusiwi kuoa katika kanisa lao na wanajiita maaskofu na wengine ni wanawake wanaitwa askofu. Mleta mada anataka serikali iingilie kati wakati katiba ya nchi inasema serikali haina dini na hapo ndio kiini cha matatizo yote maana neno dini maana yake njia na njia kwa wakristo ni Yesu Kristo . Nawasii saana watanzania wenzangu tusiwe na shaka wala ofu katika haya maana ajaye atatumika kuyamaliza yote hayo na kutimiza andiko lisemalo Imani moja Bwana mmoja na ubatizo mmoja na na imani moja. Kwake Yesu lazima kila goti litapigwa. Wajibu wetu sisi tuendelee kumsii Mungu Mapenzi yake yatimie.

  • @Jophley
    @Jophley 6 วันที่ผ่านมา +1

    Sitaogopa hofu ya usiku

  • @tinertv1382
    @tinertv1382 4 วันที่ผ่านมา

    Kwanini hafungiwr kanisa mabar? na sehemu za starehe hazijafungwa mwacheni mradi anahubiri Yesu kuna tatizo gani!

  • @eliasbihita4041
    @eliasbihita4041 5 วันที่ผ่านมา

    Ni manyumbuuu tu hayoo

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    BIG BRAIN

  • @servulytarimo
    @servulytarimo 3 วันที่ผ่านมา

    🙏🙏🙏🌹🌹🌹

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 5 วันที่ผ่านมา +1

    HAWA WAJIITAO WACHUNGAJI AMBAO KAZI ZAO KIROHO NI -VE WANABAKIA KUWANANGA WACHUNGAJI WENGINE,SIJUI NIKWANINI? WASHIKILIE KILE WANACHO KIAMINI,WAACHANE NA ANAYE JIITA KIBOKO YA WACHAWI.
    VINGINEVYO TUTAJUA KUWA WACHAWI WAMEPATA WATETEZI

    • @user-vb7tu5zs9d
      @user-vb7tu5zs9d 4 วันที่ผ่านมา

      Wapotosha watu acha waambiwe ukweli

  • @frenkfarm1139
    @frenkfarm1139 4 วันที่ผ่านมา

    selekali hiii niyawooo wala hawawezi kuwafukuza inge kua nihaki haipendi dhuluma

  • @MaxonSelestine
    @MaxonSelestine 5 วันที่ผ่านมา

    ❤❤

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 4 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂 hela weka kichwani

  • @DavisIssangya-kc3rm
    @DavisIssangya-kc3rm 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mmmmh

  • @DEEP.WORSHIP
    @DEEP.WORSHIP 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    😀😀😀😀😀😀😀

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 5 วันที่ผ่านมา +1

    TATIZO HII BIBLIA HAKUNA MTU YEYOTE ANAYEJUA BIBLIA ILITOKA NCHI GANI AU BASI MJI ILIKOTOKA...ANAYEJUA NAMKARIBISHA..ALETE USHAHIDI TU BASI

    • @kanyeshahigirimana5686
      @kanyeshahigirimana5686 5 วันที่ผ่านมา

      Mh wewe maswala ya imani achana nayo maana ni makubwa kuliko unavyofiria
      wewe baki na imani uliyonayo tu bhas mengine ya watu waachie wenyewe

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 4 วันที่ผ่านมา +1

      Yaani umeuliza pumba kabisaaa Quran imetoka wapi??

    • @jamesmwandu9295
      @jamesmwandu9295 4 วันที่ผ่านมา +1

      Omba MUNGU akupe ufunuo uondokane na Giza kiri kwa Imani YESU ni mwokozi wa maisha yako,Roho mtakatifu atakufungua na utafahamu vyote

  • @RamondLema-po6py
    @RamondLema-po6py 5 วันที่ผ่านมา

    TUKATAE MAFUNDISHO YA HOVYO HOVYO

  • @CalistaMartin-v7m
    @CalistaMartin-v7m 5 วันที่ผ่านมา

    😢😢

  • @ALESIACHIJOKA
    @ALESIACHIJOKA 5 วันที่ผ่านมา

    Mchungaji hananja napenda tu mazungumzo na mafundisho yako unanipa ujasiri sana wa kuishi kwa Amani . Amen Amen ubarikiwe sana naomba sana mafundisho yako .

  • @LazaroHaule-tr5cl
    @LazaroHaule-tr5cl 4 วันที่ผ่านมา

    Kula chuma hicho

  • @ROBERTMAXIMILIAN
    @ROBERTMAXIMILIAN 5 วันที่ผ่านมา +1

    Piga spana Mchungaji Hananja, waamini wamekuwa wajinga sana

  • @einothlekaaya
    @einothlekaaya 5 วันที่ผ่านมา +2

    Hivi kweli muungano wa makanisa ya kipentecoste wameshindwa kutoa msimamo wao juu ya hili?
    Sawa kama ndivyo serikali iko wapi??? Watu waache vita kwao waje waanzishe vita ya kisakologia kwetu,kweli nimetambua hatuna anayetusemea

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa 5 วันที่ผ่านมา

      Siku hizi umoja wa CPCT ni umoja wa kuchumia pesa

  • @user-pj3cb5ht4b
    @user-pj3cb5ht4b 6 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂 wewe unaongeya san

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630 5 วันที่ผ่านมา +1

    LUKA 7:22 Nimeona, nimeshuhudia, watu waliofufuka, mwamala umesoma, viwete, vipofu, wagonjwa waliponywa kwa Kiboko ya Wachawi kwa Hananja ni comedy tu.

    • @jamesmwandu9295
      @jamesmwandu9295 4 วันที่ผ่านมา +1

      Unaweza kutueleza hao waliofufuka saizi wanaishi wapi,na je wakati wa vifo vyao ulishuhudia makabuli yao na ushahidi wa majirani zao wanaowafaham??

    • @dicksonmsuva4880
      @dicksonmsuva4880 3 วันที่ผ่านมา

      Zero brain

  • @tinertv1382
    @tinertv1382 4 วันที่ผ่านมา

    Mnaacha kufuatilia mambio mabaya na machafu mnafuatilia watumishi kila mtu ameeitwa kivyake