Dogo zidi kukaza usiregeze pambana akuna mafanikiyo bila viziwizi,na upinzani,kutukanwa.chapa kazi.eti wananiita shoga,unaparamiwa😂😂😂kwampalange au vipi.pambana dogo unaweza kuna ile clip yako yakutereza nzuri sana unaweza.mafanikio utokeya unapoanza kukata tamaa.joti kashagatukanwa,mama emma,na wengine chapa kazi dogo.
Hilo jina limetokana na mwigizaji wa Zamani ITV kipindi Mambo hayo. Kulikua na WARIDI, AISHA, SUMBI, NA BOCHA, sasa nadhani hilo VOCHA badala ya BOCHA.
Mbengo tv tukitaka mawasiliano na nyinyi tunawapata aje? Tunaomba namba zenu tunawahjtaji saana kuongea na ntinyi yaani mitandao yote huwa inatoa namba za mawasiliano kwanini mbengo tv hamtowi namba??
Pole kwa changamoto za kuitwa shoga pambana tuu mungu atakulipa
Nakupenda saana kaka kumbe ni mpole saana mungu akubariki katika kazi yako ❤❤❤❤ kiukweli nafurah saana na video zako
Nipole sana🎉
Vocha waga unanifuraisha sana kaka mungu akutie nguvu kwel😘🤣🤣
Napenda sana vichekesho vyako Mungu akubariki ufike mbali
Kumbe handsome hivi... yani nmependa skin colour yake
Sema mm namkubali sana anajituma maashallah
Jamani huyo cyo shoga huo ndo ukwel. Tumesoma nae huyo cyo shoga mtapata dhambi za bureee kumpa mtu shutuma ziczozake
Vocha kanenepa bwana😊😊😊😊
Nampenda Sana huyu kaka jamn huwa unatuchekesha familia nzima❤❤
Nakupenda Sana mungu atakujaalia
Dogo zidi kukaza usiregeze pambana akuna mafanikiyo bila viziwizi,na upinzani,kutukanwa.chapa kazi.eti wananiita shoga,unaparamiwa😂😂😂kwampalange au vipi.pambana dogo unaweza kuna ile clip yako yakutereza nzuri sana unaweza.mafanikio utokeya unapoanza kukata tamaa.joti kashagatukanwa,mama emma,na wengine chapa kazi dogo.
Anatia wasiwasi kwa kweli
Ohh vocha❤❤
Ila vocha you make happy 😊😊😊😊😊😊
😅😅ila Denice eti ulienda chuo kupoteza muda
Uta toka inshallah
Hilo jina limetokana na mwigizaji wa Zamani ITV kipindi Mambo hayo. Kulikua na WARIDI, AISHA, SUMBI, NA BOCHA, sasa nadhani hilo VOCHA badala ya BOCHA.
Hata kuwajua hawajui😅😅
Ana sura ya upole kama sio yeye😂😂😂
Waooo nampenda sana hyu kaka jamani 😘😘😘❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Huo mwili wangu wenyewe wala siufatiliagi walayiii nafwa kwa kichekooo😂😂😂
Nakupenda bure pole lakini
Vocha inasuguliwa😅
Nimecheka sana😅😅😅😅😅
Eti nasoma za wazungu kwasababu sijui kingereza 😅
😂😂😂😂
Nakupendaka sana vocha mwenye kuhanguka❤❤❤❤
Mwenye kuhanguka
Napendaga clip za vocha wallah
Kaka anafurahisha aisee
Huyu ndo yule anaangukaga tikitoku 😂😂😂
😂😂😂😂😂ndio ni yeye huo
tikitoku ndio nn
😂😂😂 ndio yeye we huogopi
@@MargaretAgengo-v4f 😂😂😂😂 tikitoku 😂😂😂😂 nakufa mm
@@MargaretAgengo-v4f😂😂😂😂😂
Hahhhhhh denc wew ni mvivu2 yan kazi yakuajiliwa utawez
Usijali maneno Yao angalia mbele
😂😂😂😂😂 eti kuchunika chunika nachunika ila hasikii uyu itakua mdogo wake koku itakua andondoki yeye😂😂
Ananifuraisha sanaa huyuuu hapo unamuumaaa
kujifananisha na mwanamke si kazi bali ni ushoga walipatia waliokua sana kukuita hivo😂😂
Sikweli, wewe unapotoka.
Unamvunja nguvu ww nyau tu naachi kuigiza
😂😂😂sema vocha ile tabia yako ya kujigaragaza kwenye maji machafu so mzuri utaozeza makende 😄😄😄
Ichi kischa uwaga kimbeya,, chapenda kuchochea maneno na maswali yake ya kimbeya m'beya.. Tabia mbaya iyo mtangazaji chawa
Saut ishakuwa inabadilika ila ufanye na kaz ustegemee sanaa t
Nakubali🎉
Anasura nzur mashoga wapo nao mitaan naawaongei wataftaj ndy wanaongea acha na nao wanafk
Kabsa wala co uongo
Ss si anaigiza tu
Natamani kukusaidia mdogo wangu . Cjui unapatikanaje
Niko hapa boss
Weka no yako mdogo wangu ntakutafuta
Niko hapa
Pambana mdogo wangu utatoboa tu
Mbona mpole Sana jaman..kweli sanaa iko damuni
Kumbe ki handsome 😂
Ila Vocha kama sio wewe khaaaa!!!!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 nakukubali sana
Safi mdogo angu
Sema dogo jikaze kidogo maana siku elewi 😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😢
Pungasese naye 😢
😀😀😀😀 huyu vocha mm kabsa nlienda kupoteza muda 😀😀😀😀😀😀😂😂😂😂
Vocha ana myaka ngapi ????
Vocha nakupenda bure😂
Pambana mdg wangu Maisha magumu
Mbengo tv tukitaka mawasiliano na nyinyi tunawapata aje?
Tunaomba namba zenu tunawahjtaji saana kuongea na ntinyi yaani mitandao yote huwa inatoa namba za mawasiliano kwanini mbengo tv hamtowi namba??
+255712334444
Nimecheka mie😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂 nlikua sjamgundua kama nivocha
Ety kupoteza mda chuo😂😂😂
Makorokoro mengi,,nikaona mmmh nitapasuka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂hb wa maana
Nakupenda wewe mtangazaji unatangaza vzr ka yule mdada k mziwanda
Maskini mwenyewe kumbe mpole tuu
Tunazo alhamdulillah
Huyu kunasababu iliofanya aitwe Shoga kwani katepetaaa!
Sema unavyoongea mmmmh
Denis ww ni mvivu kweli nimekuona 😂😂😂😂
Jmn napendaga Sana vituko vyake huyu kaka ukimuona tofauti na anavyoigiza 😂😂
😂😂😂.mimi mpk siamin
Maskini
😂😂nlkua nataman sana nimuone hyu ndugu, tunaomba umlete pungasese
👍
😂😂😂😂yani wewe hayo majibu yako sina mbavu
😂😂😂😂 kwani nacheka nn?
Pambana utatoboa
Unacheka umetekenywa na upepo😅
Nilipo muona tu nimecheka jamn😅😅
Watanzania tunapenda sana kudhaniana vibaya loh! Baadhi ya dhana haraam
Lkn mbona semasema yake km anafanana namauzinde mhh
Jamanii 😂😂😂😂
😂
😢😢😢
😂❤
Anasemwa diamond ana kila kitu itakuwa ww usisikilize watu kaka chapa kazi usijali
Maumivu utayapata uzeen
Dogo mbona kama mlenda hv , sema choko hawezi jisemea , dogo kaza lakini
Hilo choko halitaki tochi
Jamanii 😢
shoga kwl hil
Co kwel unauhakika gani msipende kumhukumu MTU pasipo ushahid
😂😂😂
Tunaomba umuhoj punga la mapunga dangote😂😂