Wacheni Kudanganya Awaam Nyinyi Ndio Mahizbi Na Sifa Zote Za Uhizbi Muko Nazo Ghuluu Imewafika vichwani.Rudinii Kwa Maulama muone kina nani wako katika Haqii Ni Nyinyi muliowachagua watu fulani Mtu akiwa afwatani na Rai Zenu ni Hizbi😂😂 Huu ndio Uhizbi Rudi ukasome Fatwa za Sheikhul Islam Ibnu Taymiyyah na Ibnu Uthaymin. Pili Hii ni katika Ghiba na Khiyana Ya Kielmu Ikiwa nyinyi wa Kweli Dr.Islam Yupo Mombasa Na Ashasema Kuhusu Hiwar Si ajitokeze Mmoja wenu Sheikh Abu Hashim , Abdallah Humeid na Sheikh Qassim Mullah waende wakafanye Hiwar hii Ndio Njia ya Salaf wala Ckumzungumzia Mtu Kando kisha Kujiona Muko na Ilmu😂.Tatu Hakuna Ilmu ya Jarhu wa taadil Kwa Sasa Ilmu ya Jarhu wa taadil ilikuwa niya isnad hii munayoifanya ni Ghiiba Tubuni kwa Allah.Nne Dr hapo ameongea kwa uchache RUDINI KWA RISALA YA SHEIKH ABDUL MUHSIN AL ABAD MUKAIRADDI KAMA KWELI NYINYI MWATAFUTA HAQII😂
Allah akubarik, akuhifadhi Sheikh Abdallah Humeid. Hii channel Allah ajaliye BARAKA Kwa kazi kubwa wanao fanya Kwa ku sambabaza Uislam sahiihi. Tukonafata kutoka Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬 Allah ahifadhi naku baarik Da'awatu salafiya popote. Hii channel musichoke, waislam wata elewa tu
“Na kwa rehema ya Mwenyezi Mungu mkawafanyia upole. Na lau ungelikuwa mkali na mgumu wa moyo wangeli jitenga nawe. Basi wapite (makosa yao), na waombee msamaha. na shauriana nao katika mambo.” [Aal ́Imran 3:159]
0:35. 0:53 umepatia sana duktur ingawa una madhaifu yako kwenye baadhi ya elimu na hakuna bin adam aliyekamilika nakuunga mkono ikhwa fil imaan we endelea kutupa mawaidha achana na wanazayuni wakubwa hawa sio waislamu ni mayahudi pia. mkono wa marekani umo hakuna muumini anaweza mdhalilisha mwenziye wala kumtukana ,kumkebehi lakini hawa wanathubutu kufanya hivyo mtihani sana ni kansa ya huu umma wallahi namuomba . Allah awaongoze katika haqqi awaonyeshe uislamu safi maana hawaujui hata uislamu ni nini hadi kufika khatua ya ndugu waislamu kabsaa tena ndugu baba mmoja mama mmoja kukatana ata salamu hawatoleani sababu nini uyu asheherekea maulid nami salafi sisheherekei , huu sio uislam tunapaswa kuungana na kuwa pamoja kama waja wema waliotangulia wassalam aleykum.
أثلثارون ،ولمتشادقون ،ولمتفيهقون Tabia hizi alizichukia Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam. Na zitawaweka wenye nazo mbali na Yeye siku ya Qiyama.Mjitathmini hamna hati miliki ya Uislamu. Nani kawapa kibali cha kuwaingiza Waislamu na kuwatowa katika Manhaj. Mjitathmini acheni uongo na hasadi. Kama mmeshindwa kufanya Daawa si mkae kimya. Na sasa husuda zenu zipo wazi mchana.
Hatutoa watu katika manahaj sisi tunabainisha haqq ikiwa utafuata sawa ukiwa utabaki kwenye uhizbiyyah ni juu yako lkn haqq lazima tutabainisha ,,wewe ndio unayewatoa watoa waislamu kwenye manhaji kwa kuwa umewaita mjitathmiina tayar ushawatoa wenzako ama huoni wewe ukitoa wenzano mwajiona nyinyi mkiambia mko mahizbiy ,,
Sasa uoni kwamba kwa huyo mtoto kumuamlisha mtt kwanza panatakiwa hekma sasa ww unayomtusi na kumdhalilisha ulishawahi kukutana nae na kumwambia au wa umetumia hekma gani Shekhe umesoma ila unaonekana kama haujasoma
Anachosema Sheikh Islam Ni kufuata quran lingania kwa niia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mazuri. Mtume ameambiwa na siyo Sheik Humeid ukiwa mkali watakukimbia ,aambiwa Rahmatu lilalaamin Sheikh kulea watoto ni tofauti.
Ama kweli humuelewi sheikh humeid wewe,,,hebu sikiliza vizuri ,,,aya haijamaanisha kuwa mkali sio hekma na mawaidha mazuri ,,na sio lazima kila pahali na uwe mpole ndio itakuwa ni hekma na mawaidha mazuri,,,na sheikh humeid ametoa mifano mizuri tu ,,tatizo la Dr islam ni kwamba hufai kuwa mkali kabisa kila wakati na kila pahala uwe mpole tu na hii sio hekma Sasa,
@@ABUUJAAFAR92 Hii Ndio Shida ya Kutosoma Quran Na Kuielewa kama Salaf Walivyoelewa Ndio kujakubobojoka bila ya dalili Hivi Katika Qur'an Allah ametukataza kuwatukana makafiri sababu ni kuwa watamtukana Allah kwa uadui Sasa Nyinyi Kazi Kubeza Watu Kisha wataka watu wafwate Hilo Hizb lenu la kisalafi
Nyinyi masalafiya jadidah Mmekuja kupasuwa swafa za watu wa sunaa Nyinyi masalafiya jadidah amzungumziagi ubaya wa maulid na watu wa bidah ya maulid Ni kuwatowa watu wa sunaa kwenye sunaa
Si kweli mbona ubaya wa maulid wazungumziwa tu kila Mara,,,lkn pia lazima tupambane na huu uhizbiyyah na mahizbiy kwa ujumla,,,na huku siko kuupasua umma wa wanasunna Bali ndio kujenga umma wa Sunnah uliomsafi
Mm sijafaham naomba nifahamishwe,,pakisemwa mahizbi panakusudiwa nini?? Maana naona hao wanaitwa mahizbi ,naona wanajitahidi katika kutangaza sunna,,sasa sijafaham neno hili mahizbi sajafaham kasoro ya kutangazw hivyo NAOMBA MSADA WAKUFAHAMISHWA...
Mahizbi ni watu wanajinasibisha na sunna lakin wanasifa nyingi za bidaa mfano wao ni hiZi 1, wanamkubali said qutub na kumkataa albani 2,wanajificha na siasa za kidemocrasiya 3,ni wanaharakati 4,wanapenda maandamano 5,wanawakosea adab viongozi ktk memmbar Na nyengne nyingi , Ukisoma utajua zaid ya akhi
@@KaramaKarama-jm7qo kwangu sio sheikh hata kidogo naijua nasaba yake ya ilmu yote munawar hakumaliza kwa ufedhuli na Yemen pia hakutakharaj kwa sheikh wake alipokua akitoa darsa saba saba niliwahi kuhudhuria afadhali bahero .
I@@rushu1232ogopa mungu Wacha kushuhudia urongo sisi shk abdallah twamjua vizuri twatoka nae mtaa mmoja usiseme urongo sheikh Abdallah munawar alimaliza nahäta huyo mufti wenu Dr Islam pia ni shahidi WA hilo na Yemen alikaa miaka yakutosha n kusoma hata kama unachuki zako kua na uadilifu kumbuka kesho utasimamushwa mbele ya mola wKo na kutoa ushuhuda wakila unachojinasi Isha nacho
Maneno yako hayana natija yoyote kwa kuwa sio ya kiilmu Bali umeongea Kama shabiki tu,,,,walaakin ukweli ni kwamba sheikh humeid juhudi ni kubwa katika daawa na kufundisha kumliko Dr Islam ata Kama Ana ilmu nyingi lkn faida yake ni ndogo Sana ukiiilinganisha na sheikh humeid,,, sheikh humeid ilmu yake kidogo lkn Allah amemuafikia na anaifanyia kazi ilmu yake kwa juhud kubwa sana na huyu ndie mwenye kuzingatiwa kuwa ni aalim ,,,aalim ni yule mwenye kuifanyia kazi ilmu yake. Ebu tizama vitabu alivyofundisha sheikh humeid alafu linganisha na vy Dr Islam utakuta Dr Islam amaechwa mbali. Njoo kwenye kupambana na wazushi na kuwatahadharisha utakuta humeid yuko mbele Sana infact ata Dr Islam hajawahi tahadharisha mzushi ata mmoja .ssa vipi Sunnah itanusuriwa kupitia masheikh Kama kina Dr Islam ambao hawataki kuwatahadharisha wazushi ambao wamejaa kweli,,,hebu tafakar Sana ndugu wacha ushabiki ,,sisi hatupingi kuwa Dr Islam Ana ilmu lkn kwenye daawatu salafiya amepinda Sana.
Huyu shehe kazi yake n chma hichi chake cha usalafi ameibuka juzi kazi n raddi tu kaa usimeshe watu acha ujadida bana karne hii neda kapige raddi wanao mkufurisha ibn taymiyya
Wanajiita Salafi lakini sio. Wanawaita Waislamu wenzao mahizbi lakini wao mahizbi. Uongo na kufanya editing ili kubadilisha mafhum. Tabia zao mbaya. Nafsi zimeharibika kwa hasadi na khusuma. Dr.Islam usirudi nyuma,ALLAH A'ZZA WAJALLA Akuhifadhi. Kikundi hiki wagonjwa tunaelewa.
@@YusufAli-gc9cu Sio hisia. Nyie ndo mnapelekwa na hisia, mnakuwa kama makhawariji. Daawat Salafiya ni kazi Tukufu sana lakini nyinyi mmekuwa mnaitumia kama pazia la kupitishia matamanio yenu ya nafsi kama wanaoutumikia uzayuni nyuma ya pazia la ahlul bayti. ALLAH A'ZZA WAJALLA Daawa Ameiwekea misingi. Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam Amekuwa ndo mfasiri wa misingi hiyo kimatendo. Nyie mnawatukuza waalimu wenu mpaka mnapitukia mipaka. Wao kama watu wanapatia na wanakosea. Tabia zao mbaya zinainyongesha Daawat Salafiya,sehemu kubwa ni ushabiki kama wa football. Watu Aqida zimeyumba akhlaqi zimepinda. Tufanye Daawa zenye Ikhlaas tuache ubishoo.
@@YusufAli-gc9cu Assalafi Asswalih hawakuwa waongo, wala hawakuwa athartharuuna,wala mutashaddiquuna, wala mutafayhiquuna (almutakabbiruuna).Nyinyi mnajiita Salafi tu kwa ubishoo lakini tabia zenu na wao ni mashariki na maghribi. Mnawasingizia Waislamu,mnawatusi, mnapitukia katika yale hamna mamlaka nayo. HAPANA APASAE KUABUDIWA KWA HAQQI ILA ALLAH A'ZZA WAJALLA HANA MSHIRIKA.
لِّيَهۡلِكَ مَنۡ هَلَكَ عَنۢ بَيِّنَةٖ وَيَحۡيَىٰ مَنۡ حَيَّ عَنۢ بَيِّنَةٖۗ
{ فَبِمَا رَحۡمَةࣲ مِّنَ ٱللَّهِ لِنتَ لَهُمۡۖ وَلَوۡ كُنتَ فَظًّا غَلِیظَ ٱلۡقَلۡبِ لَٱنفَضُّوا۟ مِنۡ حَوۡلِكَۖ فَٱعۡفُ عَنۡهُمۡ وَٱسۡتَغۡفِرۡ لَهُمۡ وَشَاوِرۡهُمۡ فِی ٱلۡأَمۡرِۖ فَإِذَا عَزَمۡتَ فَتَوَكَّلۡ عَلَى ٱللَّهِۚ إِنَّ ٱللَّهَ یُحِبُّ ٱلۡمُتَوَكِّلِینَ }
[Surah Āli-ʿImrān: 159]
Wacheni Kudanganya Awaam Nyinyi Ndio Mahizbi Na Sifa Zote Za Uhizbi Muko Nazo Ghuluu Imewafika vichwani.Rudinii Kwa Maulama muone kina nani wako katika Haqii Ni Nyinyi muliowachagua watu fulani Mtu akiwa afwatani na Rai Zenu ni Hizbi😂😂 Huu ndio Uhizbi Rudi ukasome Fatwa za Sheikhul Islam Ibnu Taymiyyah na Ibnu Uthaymin. Pili Hii ni katika Ghiba na Khiyana Ya Kielmu Ikiwa nyinyi wa Kweli Dr.Islam Yupo Mombasa Na Ashasema Kuhusu Hiwar Si ajitokeze Mmoja wenu Sheikh Abu Hashim , Abdallah Humeid na Sheikh Qassim Mullah waende wakafanye Hiwar hii Ndio Njia ya Salaf wala Ckumzungumzia Mtu Kando kisha Kujiona Muko na Ilmu😂.Tatu Hakuna Ilmu ya Jarhu wa taadil Kwa Sasa Ilmu ya Jarhu wa taadil ilikuwa niya isnad hii munayoifanya ni Ghiiba Tubuni kwa Allah.Nne Dr hapo ameongea kwa uchache RUDINI KWA RISALA YA SHEIKH ABDUL MUHSIN AL ABAD MUKAIRADDI KAMA KWELI NYINYI MWATAFUTA HAQII😂
فقال: يا مُعاذُ، أفتَّانٌ أنت؟! أفتَّانٌ أنت؟!@@user.-_5943
@salafi.
3/634- وعن عائشة رضي الله عنها: أَن النبيَّ ﷺ قَالَ: إِنَّ اللَّهَ رَفِيقٌ يُحِبُّ الرِّفقَ، وَيُعْطِي على الرِّفق ما لا يُعطي عَلى العُنفِ، وَما لا يُعْطِي عَلى مَا سِوَاهُ رواه مسلم.
4/635- وعنها: أَنَّ النبيَّ ﷺ قَالَ: إِنَّ الرِّفقَ لا يَكُونُ في شيءٍ إِلَّا زَانَهُ، وَلا يُنْزَعُ مِنْ شَيءٍ إِلَّا شَانَهُ رواه مسلم.
5/636- وعن أبي هريرةَ قَالَ: بَال أَعْرَابيٌّ في المسجِد، فَقَامَ النَّاسُ إِلَيْه لِيَقَعُوا فِيهِ، فَقَالَ النبيُّ ﷺ: دَعُوهُ، وَأَرِيقُوا عَلى بَوْلِهِ سَجْلًا مِنْ مَاءٍ، أَوْ ذَنُوبًا مِن مَاءٍ، فَإِنَّما بُعِثْتُم مُيَسِّرِينَ ولَمْ تُبْعَثُوا مُعَسِّرِينَ رواه البخاري.
6/637- وعن أَنسٍ ، عن النبيِّ ﷺ قَالَ: يَسِّرُوا وَلا تُعَسِّروا، وَبَشِّرُوا وَلا تُنَفِّرُوا متفقٌ عَلَيْهِ.
7/638- وعن جرير بن عبداللَّه قالَ: سمعتُ رَسُولَ اللَّه ﷺ يقُولُ: مَنْ يُحْرَمِ الرِّفْقَ يُحْرمِ الخيْرَ كُلَّهُ رواه مسلم.
Rudi ukasome Maneno Ya Sheikh Bin Baz Kwa موقع "yake Na Risala ya Sheikh Abdul Muhsin Al abad رفقا أهل السنة بأهل السنة utapata walivyoelezea kisha ndio muje mufanye radd
الرد على الافتراءت والأباطيل لالمتباهي بالكتب والأقاويل........د. إسلام محمد سالم
Allah akubarik, akuhifadhi Sheikh Abdallah Humeid.
Hii channel Allah ajaliye BARAKA Kwa kazi kubwa wanao fanya Kwa ku sambabaza Uislam sahiihi.
Tukonafata kutoka Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Allah ahifadhi naku baarik Da'awatu salafiya popote.
Hii channel musichoke, waislam wata elewa tu
Alhamdulillah, watetezi wa daawa salafyah Mnafanya kazi nzuri Allah akulipeni kheri.
“Na kwa rehema ya Mwenyezi Mungu mkawafanyia upole. Na lau ungelikuwa mkali na mgumu wa moyo wangeli jitenga nawe. Basi wapite (makosa yao), na waombee msamaha. na shauriana nao katika mambo.” [Aal ́Imran 3:159]
ALLAH akuhifadhi shekh Abdallah humeid usichoke bainisha haq kwa mahizb nawewe umekua mwimba kwa wazushi woote kwaajili ya haq
"Lau Mola wako Mlezi angetaka wangeli amini watu wote katika ardhi. Basi je, wewe utawalazimisha watu kuamini?" (Qur’ani 10 99
Kwa hiyo waonye: kazi yako pekee ni kuonya, hutakiwi kuwalazimisha."
(Qur’ani, 88:21-22
Endelea kutuelimisha na kubainisha hakki sheikh Abdallah
0:35. 0:53 umepatia sana duktur ingawa una madhaifu yako kwenye baadhi ya elimu na hakuna bin adam aliyekamilika nakuunga mkono ikhwa fil imaan we endelea kutupa mawaidha achana na wanazayuni wakubwa hawa sio waislamu ni mayahudi pia. mkono wa marekani umo hakuna muumini anaweza mdhalilisha mwenziye wala kumtukana ,kumkebehi lakini hawa wanathubutu kufanya hivyo mtihani sana ni kansa ya huu umma wallahi namuomba . Allah awaongoze katika haqqi awaonyeshe uislamu safi maana hawaujui hata uislamu ni nini hadi kufika khatua ya ndugu waislamu kabsaa tena ndugu baba mmoja mama mmoja kukatana ata salamu hawatoleani sababu nini uyu asheherekea maulid nami salafi sisheherekei , huu sio uislam tunapaswa kuungana na kuwa pamoja kama waja wema waliotangulia wassalam aleykum.
Hizo dalili alizozitoa ukiziangalia ndio zinampinga mwenyewe huyo humeid
Shekhe humeid hio hadidh ya usma ndio inakurud mwenyewe tu
أثلثارون ،ولمتشادقون ،ولمتفيهقون
Tabia hizi alizichukia Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam. Na zitawaweka wenye nazo mbali na Yeye siku ya Qiyama.Mjitathmini hamna hati miliki ya Uislamu. Nani kawapa kibali cha kuwaingiza Waislamu na kuwatowa katika Manhaj. Mjitathmini acheni uongo na hasadi. Kama mmeshindwa kufanya Daawa si mkae kimya. Na sasa husuda zenu zipo wazi mchana.
Khusuma na hasadi katika pazia ya Dawat Salafiya kama ilivyo "uyahudi nyuma ya pazia la ahlul bayti.
Waharibifu wa Dini. Kutafuta malumbano kila uchapo. Usifanye Daawa kama hujasoma Usul, ndo maana mnaharibu.
Hatutoa watu katika manahaj sisi tunabainisha haqq ikiwa utafuata sawa ukiwa utabaki kwenye uhizbiyyah ni juu yako lkn haqq lazima tutabainisha ,,wewe ndio unayewatoa watoa waislamu kwenye manhaji kwa kuwa umewaita mjitathmiina tayar ushawatoa wenzako ama huoni wewe ukitoa wenzano mwajiona nyinyi mkiambia mko mahizbiy ,,
soma bro wapi ngamia na kinyesi Cha ngamia@@ahmadmzoa74
Mtume alika pamoja na wanafik hukuwafukuza kwann na wanafik ni Watu wabaya zaid kuliko makafir
Hasadi na khusuma nyuma ya pazia la Assalafi Asswalih. Kama ilivyo :"uyahudi nyuma ya pazia la ahlul bayti ".Wagonjwa wa mioyo.
Sasa uoni kwamba kwa huyo mtoto kumuamlisha mtt kwanza panatakiwa hekma sasa ww unayomtusi na kumdhalilisha ulishawahi kukutana nae na kumwambia au wa umetumia hekma gani
Shekhe umesoma ila unaonekana kama haujasoma
Wekeni picha zenu pia sio kuweka picha za watu tu zenu hamuweki
Eti sassallam
Hata kutamka hujui wewe dilele au lunch lule.
Wewe mtoto hizi dalili alizozitoa dr islam sio sahihi?
?????
chuki zinawasumbua
Biidhinillah utaifahamu haki
@@abdulhamidyahya5904 tumeifahamu tayari alhamdlillah
Anachosema Sheikh Islam Ni kufuata quran lingania kwa niia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mazuri.
Mtume ameambiwa na siyo Sheik Humeid ukiwa mkali watakukimbia ,aambiwa Rahmatu lilalaamin
Sheikh kulea watoto ni tofauti.
Ama kweli humuelewi sheikh humeid wewe,,,hebu sikiliza vizuri ,,,aya haijamaanisha kuwa mkali sio hekma na mawaidha mazuri ,,na sio lazima kila pahali na uwe mpole ndio itakuwa ni hekma na mawaidha mazuri,,,na sheikh humeid ametoa mifano mizuri tu ,,tatizo la Dr islam ni kwamba hufai kuwa mkali kabisa kila wakati na kila pahala uwe mpole tu na hii sio hekma Sasa,
@@ABUUJAAFAR92 Hii Ndio Shida ya Kutosoma Quran Na Kuielewa kama Salaf Walivyoelewa Ndio kujakubobojoka bila ya dalili Hivi Katika Qur'an Allah ametukataza kuwatukana makafiri sababu ni kuwa watamtukana Allah kwa uadui Sasa Nyinyi Kazi Kubeza Watu Kisha wataka watu wafwate Hilo Hizb lenu la kisalafi
Sasa Dr Islam ameitafsiri makosa aya?
Nyinyi masalafiya jadidah
Mmekuja kupasuwa swafa za watu wa sunaa
Nyinyi masalafiya jadidah amzungumziagi ubaya wa maulid na watu wa bidah ya maulid
Ni kuwatowa watu wa sunaa kwenye sunaa
Si kweli mbona ubaya wa maulid wazungumziwa tu kila Mara,,,lkn pia lazima tupambane na huu uhizbiyyah na mahizbiy kwa ujumla,,,na huku siko kuupasua umma wa wanasunna Bali ndio kujenga umma wa Sunnah uliomsafi
Alafu na wewe kuwaita wenzako majadida hujawagawa hapo?
Mm sijafaham naomba nifahamishwe,,pakisemwa mahizbi panakusudiwa nini??
Maana naona hao wanaitwa mahizbi ,naona wanajitahidi katika kutangaza sunna,,sasa sijafaham neno hili mahizbi sajafaham kasoro ya kutangazw hivyo NAOMBA MSADA WAKUFAHAMISHWA...
Assalaam aleikum warahmatullahi @kubwakuliko .. hutaelewa bila ya kusoma , anza na hichi kitaab al usuwli althalaatha. Utaelewa
Mahizbi ni watu wanajinasibisha na sunna lakin wanasifa nyingi za bidaa mfano wao ni hiZi
1, wanamkubali said qutub na kumkataa albani
2,wanajificha na siasa za kidemocrasiya
3,ni wanaharakati
4,wanapenda maandamano
5,wanawakosea adab viongozi ktk memmbar
Na nyengne nyingi ,
Ukisoma utajua zaid ya akhi
th-cam.com/video/inX5fhumLyU/w-d-xo.html
"NI NINI MAANA HIZBIYYAH ??, NI NINI MAANA YA FULANI NI HIZBY ??"
@@AbuuDharry allah akulipe kheri naifungua hii kwa faida ndugu allah anifahamishe
@@zanzibaronlytv3470 Ewe Mzungumzaji Katika Uliyoyataja Dr islam Yuko na Sifa gani Hapo😂😂😂😂😂😂
Wacha upuzi dilele na duktur wapi na wapi Dr.lslam amesoma na alim dilele ana ilmu gani ufedhuli mwingi.
Kuwa na heshima kiasi.Hapa hatuongei ilmu Bali twaongea hakki.Kuwa mwerevu baba wewe pia nenda kwa sheikh Abdallah utafunzwa hata wewe
@@KaramaKarama-jm7qo kwangu sio sheikh hata kidogo naijua nasaba yake ya ilmu yote munawar hakumaliza kwa ufedhuli na Yemen pia hakutakharaj kwa sheikh wake alipokua akitoa darsa saba saba niliwahi kuhudhuria afadhali bahero .
@@rushu1232 Usimsikize wewe Mimi namsikiza na ananifanya nijuwe hakki.Acha kuwa na kibri habib
I@@rushu1232ogopa mungu Wacha kushuhudia urongo sisi shk abdallah twamjua vizuri twatoka nae mtaa mmoja usiseme urongo sheikh Abdallah munawar alimaliza nahäta huyo mufti wenu Dr Islam pia ni shahidi WA hilo na Yemen alikaa miaka yakutosha n kusoma hata kama unachuki zako kua na uadilifu kumbuka kesho utasimamushwa mbele ya mola wKo na kutoa ushuhuda wakila unachojinasi Isha nacho
Maneno yako hayana natija yoyote kwa kuwa sio ya kiilmu Bali umeongea Kama shabiki tu,,,,walaakin ukweli ni kwamba sheikh humeid juhudi ni kubwa katika daawa na kufundisha kumliko Dr Islam ata Kama Ana ilmu nyingi lkn faida yake ni ndogo Sana ukiiilinganisha na sheikh humeid,,, sheikh humeid ilmu yake kidogo lkn Allah amemuafikia na anaifanyia kazi ilmu yake kwa juhud kubwa sana na huyu ndie mwenye kuzingatiwa kuwa ni aalim ,,,aalim ni yule mwenye kuifanyia kazi ilmu yake.
Ebu tizama vitabu alivyofundisha sheikh humeid alafu linganisha na vy Dr Islam utakuta Dr Islam amaechwa mbali.
Njoo kwenye kupambana na wazushi na kuwatahadharisha utakuta humeid yuko mbele Sana infact ata Dr Islam hajawahi tahadharisha mzushi ata mmoja .ssa vipi Sunnah itanusuriwa kupitia masheikh Kama kina Dr Islam ambao hawataki kuwatahadharisha wazushi ambao wamejaa kweli,,,hebu tafakar Sana ndugu wacha ushabiki ,,sisi hatupingi kuwa Dr Islam Ana ilmu lkn kwenye daawatu salafiya amepinda Sana.
Huyu shehe kazi yake n chma hichi chake cha usalafi ameibuka juzi kazi n raddi tu kaa usimeshe watu acha ujadida bana karne hii neda kapige raddi wanao mkufurisha ibn taymiyya
Nikafikil unampinga kwa hoja kumbe manenotu buree sikiliza mazungumzo ya haq ya Abdallah humeid na mifano hai
Huyu dilele na genge lake ni Mutafarrikuun
wafarikishaji wa ummah, si watu wa kuwasikiliza wala kuwafata!
Mawahabi ni kundi la wahuni lililofadhiliwa kuwafarakanisha ummah wa waislam ili watawaliwe vizuri
Soma vitabu vya sheikhul Islam Muhammad ibn abdulwahhab.
Haqqi itakuwa clear insha'Allah.
Tuulize Allah(SWT) atuongoze.
Hii channel ya kijinga sana 😂
fungua yako amabo sio ya kijinga
Dilele kapige goti kwa Dr islam ufundishwe dini huna ujualo ...ufidhuli mwingi tu
afundishwe kuhalalisha Ribaa
Riba riba toa ushahidi dr islam amehalalisha riba si uonge urongo hapa
@@hishamawadh2447 gulf bank ni bank ya riba
Wanajiita Salafi lakini sio. Wanawaita Waislamu wenzao mahizbi lakini wao mahizbi. Uongo na kufanya editing ili kubadilisha mafhum. Tabia zao mbaya. Nafsi zimeharibika kwa hasadi na khusuma. Dr.Islam usirudi nyuma,ALLAH A'ZZA WAJALLA Akuhifadhi. Kikundi hiki wagonjwa tunaelewa.
Mbona mwajisahau si nanyi mwawaita wenzenu majadida.,,
Acha kupelekwa na hisia,,,we fuata haki
@@YusufAli-gc9cu Sio hisia. Nyie ndo mnapelekwa na hisia, mnakuwa kama makhawariji. Daawat Salafiya ni kazi Tukufu sana lakini nyinyi mmekuwa mnaitumia kama pazia la kupitishia matamanio yenu ya nafsi kama wanaoutumikia uzayuni nyuma ya pazia la ahlul bayti. ALLAH A'ZZA WAJALLA Daawa Ameiwekea misingi. Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam Amekuwa ndo mfasiri wa misingi hiyo kimatendo. Nyie mnawatukuza waalimu wenu mpaka mnapitukia mipaka. Wao kama watu wanapatia na wanakosea. Tabia zao mbaya zinainyongesha Daawat Salafiya,sehemu kubwa ni ushabiki kama wa football. Watu Aqida zimeyumba akhlaqi zimepinda. Tufanye Daawa zenye Ikhlaas tuache ubishoo.
@@YusufAli-gc9cu Assalafi Asswalih hawakuwa waongo, wala hawakuwa athartharuuna,wala mutashaddiquuna, wala mutafayhiquuna (almutakabbiruuna).Nyinyi mnajiita Salafi tu kwa ubishoo lakini tabia zenu na wao ni mashariki na maghribi. Mnawasingizia Waislamu,mnawatusi, mnapitukia katika yale hamna mamlaka nayo. HAPANA APASAE KUABUDIWA KWA HAQQI ILA ALLAH A'ZZA WAJALLA HANA MSHIRIKA.