Kᴀᴍᴘᴇɴɪ Yᴀ Uᴍᴏᴊᴀ? | 𝗨𝗺𝗼𝗷𝗮 𝗪𝗮 𝗨𝗸𝘄𝗲𝗹𝗶 𝗡𝗶 𝗨𝗽𝗶? | Kᴜɴɢᴀɴᴀ Kᴜɪᴍᴀʟɪᴢᴀ Dᴀᴡᴀ Sᴀʟᴀꜰɪʏᴀʜ!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 พ.ค. 2024
- @IzudinAlwyDin @AlIhsaanTv @maahadsheikhilislaamibntay1203 @SheikhYusufAbdi @fauzproduction @duruuszadkt.islammuhammadsalim @KishkiOnlineTV @alhaajartvkenya @BABDEOMILADU @naswaha
- บันเทิง
ٱلَّذِينَ قَالَ لَهُمُ ٱلنَّاسُ إِنَّ ٱلنَّاسَ قَدۡ جَمَعُواْ لَكُمۡ فَٱخۡشَوۡهُمۡ فَزَادَهُمۡ إِيمَٰنٗا وَقَالُواْ حَسۡبُنَا ٱللَّهُ وَنِعۡمَ ٱلۡوَكِيلُ
Wacha Chuki Na Dr. Islam.Hivi ni kuulize Katika hilo hizb Salafi Mulilo nalo mulianza Mukiwa wangapi na wamebakia wangapi?? Wangapi Muliokuwa nao Baada ya kuenda kusoma Madina wamekuacheni?? Mm nakuhakikishieni pale Mulipoanza Kuingia katika Zalaa za watu wa Ahlu sunnah hapo ndipo mulipopotea.Rudi Ukasome kitabu cha Sheikh Abdul Muhsin Al abad Ndio mutaelewa Dr.Islam mbn kasema vile.Maulama Wangapi Mumewatoa katika Sunnah kwa ijtihadi za Baadhi ya Maulama...Sheikh Muhammad ibnu Haddi,Sheikh Muhammed imam,Sheikh Suleiman Ruheyli na wengineo Hawa wote C chochote kwenu Atasalimika nani??? Wangapi kati yenu walifanya Ghuluu dhidi ya Sheikh Rabii ibnu Hadii na mukawanyamazia ?? Hivi Huu ndio Usalafy ?? Wengi wa maduat wenu c wasome Bali wako katika marhala ya kwanza kabisa inafikiwa kuwatoa watu katika manhaj kwa ikhtilaf za Fiqh Huo ndio Usalafi kumtoa mtu kwa sababu ya video na ilhali iko na khilaf ya wazi kabisa. Mm nakunasihi wacha chuki na Ahlu sunnah.
قال الشيخ محمد صالح إبن العثيمين:
وَقَدْ وَقَعَتْ تَحتَ سَمعِي وَبَصرِي قِصَّةٌ في (مِنًى) ذَاتَ يَومٍ مِنَ الأَيامِ أتَى إلَيَّ مُديرُ (التَّوعِيَة) بِطَائِفتَينِ مِنْ إِفريقيَا، وَكُلُّ واحِدةٍ تَلْعَن الأُخْرى وَتُكَفِّرُها، وَاشتَدَّتِ الأَصوَاتُ وعَلَتِ الأصْوَاتُ، فجَاؤُوا إليَّ، قالَتْ إِحدَاهُما: السُّنةُ في القِيامِ أَنْ يَضَعَ يَدَه اليُمنَى عَلى اليُسرَى، وقَالَتِ الأُخْرَى: السُّنةُ أنْ يُرسِلَ اليَدَيْن، وَكُلٌّ مِنهُما تُكَفِّر الأُخْرَى -أَعوذُ بالله-! فَهذهِ مَسأَلةٌ فَرعِيَّةٌ سَهْلةٌ، ولَيْسَتْ مِنَ الأُصُول وَالفُروضِ!فَقَالَ أَحدُهم: لَا، لَيْسَتْ سَهلةً، فالنَّبِيُّ ﷺ يَقولُ: «مَنْ رَغِبَ عَنْ سُنَّتِي فَلَيْسَ مِنِّي»، وهذا كُفرٌ تبَرَّأ مِنهُ الرَّسُولُ.
فَبِنَاءً علَى هَذَا الفَهْمِ الفاسِدِ كَفَّرَتْ إِحدَاهمَا الأُخرَى مِن أجْلِ مَسْأَلةٍ اجتِهَادِيَّة وَسَهْلةٍ بِالنِّسبةِ لِغيرِهَا مِن أُمُور الدِّينِ.
yuko wapi leo sheikh ibn uthaymeen Allah amrehemu aje aone balaa na janga hili liliotuingilia
@@GOP-Abdallah Sheikh ibn Uthaymeen ashatanguliya (Allah Amrehemu) lakini sasa ukitaka kumfahamu yeye vizuri muulize Sheikh Fawzan utamuelewa vizuri ibn Uthaymeen.
@@UB40X1 ndo unsema nini sasa?
Mzidi kumchukiya Allah asha muinuwa Allah akuifazi dr islam
Dr nimwiba kweni na muomba Allah akuifazi dr islam
Mashallah
Allah akuhifadhi dr isalm❤
Mashallah Allah awahifadhi mashekhe wa kisalafy wote duniani wanajuhudi kubwa juu ya kubainisha haki ni ipi mashallah
Hakuna JUHUD waliyo nayo .
Wamejaa CHUKI na HUSDA
@@abunajreenELSESANY hapan umeniusia uwadilifu na Mimi nakuusia uwadilifu akhy yangu Hawa mashekhe wakisalaf watu wengi hawajawaelea lakin wanakusudia kher kwa UMMA SEMA kasoro hakuna aliye kamilika
Wanapenda DUNIA masheikh wetu
@@bakariweko3958 mi nakuuliza suwali akhy yangu wewe kwaufuwatiliyaje wako ktk mashekhe wepe unaona wapo sawa ktk daawa zao ukiacha makosa ya kibinaadamu
JAZAKA ALLAH KHAIRAN. ALLAH AWAHIFADHI WALINGANIZI WA HAKI WA MANHAJ SALAFIYUN. HATA MKACHUKIA MANHAJ SALAFIYUN NI HAKI. MANHAJ SALAFIYUN NDIYO DINI ALLAH ALIORIDHIYA NA NEEMA KUBWA ALIYOITIMIZA KWA VIUMBE VYAKE. ATAKAE SHIKAMANA NA MANHAJ SALAFIYUN PASI NA SHAKA AMEFAULU. WAKUHIMIDIWA NI ALLAH KWA NEEMA YA UISLAMU NA SUNNA. BARAKA ALLAH LAKUM ❤
atakae fuzu ni walewale alotuambia mtume atakaefuata kitabu na suna na ametuambia Karne ilo Bora mawahabi wamezuka Jana na dini mpya
@@jumafaki2891 Rudi ukalale Huku hakukufai Kama Huna Elimu Nyamaza ufundishwe
Wacha urongo ni utalafi tu😂😂😂
Masha Allah. Vijana tunazid kuipenda Dawatu Salafiya hkika twawapenda mno Masheikh zetu nyote. Allah akulipeni kheri
Abdullah humeid Allah am hifadhi
Aamiin thumma Aamiin
جزاك الله خيرا أخي الكريم
Twatakiwa kuwa Waislamu,, basss. Haya mambo ya madhehebu ni kutengana tuu, sababu tumeambiwa tushikamane katika kamba moja na tusifarakane, sasa kama ni kamba moja, madhahebu yatatusidia nn. Kama kuna Dhehebu alilokuwa nalo Mtume wetu, nijulishwe nami nilifuate. UISLAMU, UISLAMU, UISLAMU, BAAS.
الحقيقة ستنتصر دائمًا بارك الله فيكم
Acheni uongo na kuwasingizia,Waislamu. Waelekezeni watu katika Haqqi kwa "Hikma na Mawaidha mema ".Achaneni na matamanio ya nafsi.
جزاك الله خيرا mpaka kieleweke
Niwachaga kweli dr islam
Allah aihifadhi dawat salafi
Amiin
Awesome awesome ♥️♥️♥️😎😎 oi❤❤❤❤❤❤😂🎉😅😊
MBONA MWAJIFICHA NYUMA YA PAZIA KAMA WARII
Umoja wa waislamu ndio hazina yetu, kitu ambacho maadui wa uislamu wanapambana kisije kikatokea, , tuache kulumbana waislamu , kutofautiana kwenye baadhi ya mambo lazima kutakuwepo mradi sio nje ya quraani na hadithi, na Allah ndie ajuae zaidi, tusishabikie kufarakana hakutusaidii Ila ni neema kwa maadui zetu
hamuna ukweli, dalili ni kuwa clip ya daktur alipotaka kumtaja yule alienukuu kwake maneno yake, mumekata hio sehemu.
MASHIA,MAHIZBI,MASUFI,MAKHURAFI,WATU WOTE WA BID'A,UNGANENI KUPINGA MASALAF,HAMTAWEZA!!!
hatutaweza kwa sababu nyinyi si watu wa ilimu,bali matusi na kejeli ni fanni yenu,tutaezapi?
Masalafiya jadidah acheni kuwahita watu wa sunaa mahizb
@@GOP-Abdallahpia hili wapinga
@@abdulhamidyahya5904 napinga uwepo wa daktur kwenye hio list,hilo tu
Sisi hatuungani kupinga masalafy
Sisi tunaungana kupinga watawala wa magharib na vubaraka wao watawala wa nchi za Arabun
Kisha masalafy ndio vinara wa kuwatetea matwaghuut
My understanding Islam is not dependent on quantity but quality or to be precise not in big numbers only but also in following Islam according to how the Prophet(saw) and his Sahabis and those after them taught the Muslims. This is the only condition incumbent for Muslims to flourish. The mashaikh who speak about unity is somewhat contradictory. How can there be a united Ummah when we each one of us practice Islam the way we want and not strictly as per teachings of the Quran and the Sunnah. If the protectors of the Sunnah stop speaking out Muslims would end up being like Christians and jews who have completely lost direction. Unity can be achieved by following the Quran and the Sunnah of the prophet (saw)
Exactly, We must stand foreward to identify rights and wrongs.
Sunnah must stand up against innovations
Ofcourse we do suppose. That's right. But we should be trustworthy for what is being expressed by everyone. Some others are lying according to the enmity attitudes they do have in their hearts.
Tell the truth without fabricating or elaborating anything else in praise of fulfilling your desire. Our references should be from The Glorious Quran and Sunnah,as well as they understood Prophet's companions.
Sisi wengine tunaitwa masufi lakin kwa kukaa na mashia kiama kitasimama hatutaelewana kama hawakataka kubadilisha akida
Tangulini Halali na haramu zikawa Sehem Moja unganeni nyie masufi na mashia na watu wabida'a na maibadhi. NK. Sisi masalafiy alhamdulillaah tunaelim natunafaham nususi vzr nyie kaeni nawashirikina wenzenu
Rudini katika kitabu na sunna tu
Salafy wallahy wagomvi sana sijaona wamesilimisha mtu kuja kwenye uislamu wao nikufarakanisha sjajua mwisho wao hawa watu wataenda kujibu nini kwa Allah
Natamani siku Moja na izo picha zenu za Wakuj wa genge lenu tuzipte alaf kitacho fuata ndio mtajua
Allah amuhifadhi duktoor islam na hasad za masalafy
Chuki zmezid et Dr Islam anachanganywa na masufi
Masufi wenzenu
Yaani kuna masheikh wapumbavu sana,
Yaani wanafanya shirk, kufuru, halafu wanataka umoja
Huyo ni umoja wa mayai na mawe kwenye kapu moja
Mkitaka umoja linganieni Tawheed na Sunnah
Bila ya hivyo lazima mpigwe radd
Taja kufur na shrik ya Dr Islam
Na kama tunatamani kuwa Salafi wa ukweli tuachane maneno ya kihuni uhuni ktk Dini. ALLAH A'ZZA WAJALLA Amewajaalia Waislamu uwezo wa kupima mambo "Haki na batili "Huenda wanaokosolewa wana mapungufu.Je, usulubu mnaoutumia upo sahihi??? Sana tunashudia :vijembe, na kauli za kizembe na kijinga.
Umefika wakati maulamaa mkalishuhulukia hili jambo
Tatizo kubwa baadhi ya wanadawa hawajui jiografia wanasema Saudi na Afrika Mashariki tunapishana siku nzima. Sasa suluhisho maulamaa Waalkeni maulamaa wa Afrika Mashariki na muwaalike wanajiografia wawaelimishe baadhi ya ulamaa mwezi ni moja na tunapishana madaa sio siku nzima. Hakika mjitahidi kwani watu wengi hawaelewi wanafunga siku ya eid ambayo ni haramu.
Humeid wafaa upelekwe nyali police station ama central kwa sababu umezidi kwa kutukana
Humunkwenye ku comments ndimo kwenye fitna .
Sote (laa ila ha ilalwa muhammad rasululwa)
Ushikamano usiwe wa FEKI .
TUKEE MAASI
Wenye kutaka kiki ni nyinyi mbona mwa mpa cheo amesema yuakitaka???Muogopeni Allah na uzushi ALLAH Amuhifadhi sheikh Humeid kwa tuhma zenu ampe IKHLAS kwa kazi nzuri anaoifanya hakuna mtu aliyelazimishwa kuifuata haki hata ALLAH Mwenyewe kalibainisha hilo.....
Namuona mwanaume hapo Abubakar shekau
Allah akuhifadhi daktur islam. Hata usishulike nao. Acha daawa isonge mbele.ni hasad hakuna kingine walicho nacho.
Sheikh wako asema hakuna riba bank kuna riba nafuu
Nyie masufi ni mijitu mijinga sanaa tuta kaaa vipi pamoja na mashia akati mashia wana watukana maswahaba wa mtume.
Dawaa gani watu wafundisha vitabu zaidi 30 na yy islam afundsha vtbu 3 na hata havijamalizwa kuna ni juhudi ama husda wacha kuplekwa kma upepo kaa naww pia uwanze kusoma utaacha hizi husda
HAWA JAMAA HAWANA KAZI YAKUFANYA ILA WAO WAME KAA MISIKITINI KAZI YAO KUCHAFUA MAJINA YA WATU.
3:01 what he failed to mention is upon what the sahaba where upon that’s they main issue.
MPASHUKUNA DILELEEE
Msishie tu kutaka umoja tunaungana kwenye vitu gani kwa sababu akida ni tofauti ivi kundi linalousia waislam turudi ktk kitabu na sunnah tuache kuzua mazoea tusome ifundishwe dini aliyokuja nayo Mtume wa Allah
alafu mimi naona dhilele tumfanye awe mufti wetu waislamu wote, na admin wa hii chanel awe naibu wake
Labda awe Mufti wa matusi na wajinga wake
Hahahaha mpaka kueleweke
Mawahabi ndio wamewakalibisha mayahudi ndio mana ndio mana hawaongei kuhusu parestina maana ndio walio iuza
acheni ujinga wenu masalafia jadida wapuuzi nyinyi picha kharamu lakini zawenzenu mwaeka
Haha hapo ndipo ninapo check.Hawa masalafi njaa tu hawana ishu
tena wanajulia editing hata kushinda wasiopinga picha😂
Allāh atuongeze ktk njia ilio nyooka
@@ummulkheiromar3640 Amin.lkn siyo njia ya mawahabi maana njia ya mawahabi imepinda sana
Acha upuuzi ww wwo wenyewe kwanini wanajoposity. Kama. Nyie vijihizbii vidogo hamtaki mihizibbii mikubwa ipositiwe iambieni baasi iache kujiposity
سيعلمون غدا من الكذاب الأشر
NYINYI NI MAMLUKI WA MAREKANI.
Acheni ujinga.Mtu atamtukanaje Abubakar na Umar na Muaawiya kisha niwe pamoja naye.
sasa mjisajili kama chama cha siasa kwa kampain yenu ya chuki
Aya Madhehebu tumeletewa na mayaudi ili tusiwe kitu kimoja wao wazidi kututawala sisi tukiwa twagombana mimi ni kundi ili mwengine lile twaenda wapi sisi waislam mtume akuwa na dhehebu isipokuwa Quran tu na sisi katuachiya kala ALLAH kala Rasulu ALLAH
umoja original ni upi?maana nyie munaojiita masalafi,nyinyi kwa nyinyi twawaskia mukitoana kwenye usalafi,sasa tufuate salafiya ipi?huku mombasa tu,kuna salafiya karibia nne
كُلُّ حِزْبٍ بِمَا لَدَيْهِمْ فَرِحُونَ
وقل جاء الحق وزهق الباطل
Yaani tungoje hadi ulimwengu mzima waislamu wawe salafy ndo tutafute umoja?
Ivi linachukuliwa kwamba ni kundi ovu hakuna umoja bila kurudi ktk sunnah na quran huo ndo msingi wa umoja watu
Huyu kichaa anasema muache afanye atakavyo hahahaha DINI nipana LKN siyo kwaumoja wenu hahahaha
Kasuku hajielewi na mfuga kasuku hajielewi
Zudini hata shia pia huwajuwi Hadi leo innalillah wainnaillahi Rajiuon.
Huyu mafuta jihuni sana.yeye hana mafundisho bali kukashifu wenzake.naskia alivamiwa kwao TZ,hata afadhali angepatikana masuni wakaishi kwa umoja,ameleta mgao mkubwa .ajifanya yeye ndie ajua kila kitu
Salafy wameundwa na mayahudi kuzuia umoja wa a
Waislam
Lakini Shia lazima waache kutukana maswahaba
Hatuwezi kuungana na mtu anaye mtukana Omar na Abuubakri
Kwahili Shia hatuhitaji umoja wenu
Yani Omar awe kafiri?
Masalafi ni vibaraka wa marekani na israel
Mahizbii mtakielewa mwakaa huu upuz mtaacha
Kuwa kitu kimoja na shia siwezi kamwe
Mayahudi wametutenga inisha makundimakundi
Mawahabi ni majahili tu hawana wajualo.kwanza hadithi ya firka 73 kwa waislam ni hadith dhaifu kwasababu inapingana na Quran. Quran inasema huu ni umma bora. Kwahiyo umabora hauwezi kugawany8ka kushinda mayahudi na wakristo. La pili hadith hiyo inamgongano.kwenye hadith nyengine mtume anasema maswahaba watafukuzwa wasinywe kwenye haudh kwasababu kwa mabadikiko watakayo leta katika dini.sasa vipi mtume atwambie tufate maswahaba ambao yeye anasema watabadilisha dini.pia kuna maswahaba waliyotukana na kuuwana.sasa tufate maswahaba wapi? Kwahiyo mafuta hoja zako hazina mashiko. Pia mifano yake ya Afghanistan inathibitisha ubaguzi wamawahabi.yani Afghanistan ina makundi mbalimbali lkn mawahabi wanataka wawatenge wenzao katika uwongozi kama ambao wao si sehemu ya nchi hiyo.ubaguzi huwohuwo ndiyo waliyouleta Yemeni .ndani ya yemeni mahudhi ni asilimia 45 .lkn mawahabi walitaka kuwabagua makhuthi wasiwe na na nafasi yoyote ndani ya uongozi wa yemeni kama vile mahuthi si wayemeni.matokeo yake wakasababisha mapigano na mauwaji yasiyo na sababu.kwahiyo sera ya ubaguzi ni sehemu ya itikasi yakiwahabi. Nahapa Tanzania wanaendela kuiyeneza iliwatu wafarakane na wapigane. Sasa tunawaomba mawahabi kama hizo ndiyo sera zao wazipeleke kwa mawahabi wenzao Saudia sisi hatuna haja nazo.
Wewe Ndio Jahil MURAK'KAB wewe pamoja na Mwalimu wako shafi (Shia) Hizo Zote ni porojo za vijiweni wala hakuna Hoja za kuidhohofisha Hadith Mashhuri bali swahihi kwa kila kitu...Kijana Wewe Rudii ukasome dini C ushabiki wa yanga na Simba😂😂😂 Shia Kwetu Sisi Ahlu sunnah Wal Jamaa Ni makafiri Na Hilo Lajulikana tangu wakati wa Maswahaba
@@user.-_5943 Haha nyinyi majahili wakiwahabi hamna jipya zaidi ya ngonjera tupu ambazo haxina mashiko. Nikupa maelezo kwa mifano.sasa yapinge kwa hoja. Nimekwambia hadith hiyo ni dhaifu kwasababu inapingana na Quran. Wewe twambiye wapi uliona hadith sahihi ikipingana na Quran?
acheni chuki namawahabi
Kelele tu
Haiwezekani waislamu wote wako pamoja nyinyi mawahabi mujitenge HUKMU ANATOA MUNGU SIO WEWE KACHARA eti salafi
Wewe wahabi nenda saudia ukarekebishe MNAKUFURISHA WATU KAMA NYINYI NI MIUNGU MKIAMBIWA UKWELI MNAVIMBA ACHENI UJINGA NA CHANNEL YENU YA KIPUMBAVU HII
Katika bidaa kubwa nikueka hizi clips na hizo chanel kuziita za kisalafi na masufi na mashia hatuko pamoja twahishimiana tu kual mtu na rai yake hutuendi miskiti yao wala wao hawaji kwetu.
Dr.islam kiboko yao.mafuta mungu akutolee tena hao magaidi wakumalize mgawanyiko umalizike baina ya sunni
هداك الله
5:33 SubhanaAllaah does he really know the creed and believe of the Shia?
HAATUTAKI UMOJA FEKI!!! Nyie mahizbi, maibadhi, mashia, na masufi mbona hamuungani? Tuacheni sisi Salafiyyah peke yetu.
Wewe Salafiyyah...kitu gani kinachokufanya wewe kuwa salafiyyah ??
@@user.-_5943 Ni msimamo wangu wa Quran na Sunnah kwa ufahamu wa Salaf wa ummah huu. Wala sitetei wazushi na kupinga rudud za kielimu.
@@UB40X1Huna lolote la usalafi wewe jahili wakiwahabi. salafi gani anafata itikadi za kikafiri za ibn taymiyah. Eti wanadai mungu ni kijana kitoto,mara wanasema mungu ninmzito kiasi kwamba hawezi kubebwa na malaika.yani huo ukafiri na uyahudi ndiyo usalafu huo?
umoja original ni upi basi?tuonesheni na sisi
@@abiabi9353 Naam Ni Usalafi Huo...Wala Ibnu Taymiyyah C wa mwanzo Kusema hayo maneno bali yalisemwa kabla ya Kuja ibnu Taymiyyah...Wacha Chuki kwa Sheikhul Islam...Wewe Kwa Muonekano wako wewe ni Shia Rafidhwa Ambao C waislamu ...Ndugu nakunasihi Rudi katika uislamu
SASA KAMA PICHA NI HARAMU MBONA MUMEWEKA PICHA KWENYE CHANNEL YENU?
Twatakiwa kuwa Waislamu,, basss. Haya mambo ya madhehebu ni kutengana tuu, sababu tumeambiwa tushikamane katika kamba moja na tusifarakane, sasa kama ni kamba moja, madhahebu yatatusidia nn. Kama kuna Dhehebu alilokuwa nalo Mtume wetu, nijulishwe nami nilifuate. UISLAMU, UISLAMU, UISLAMU, BAAS.