Wachungaji wakiongea hata pumba ndiyo mnakubali, wakati kunavitu vingi wanawaficha wanajifanya kwa jina la yesu, huyo shekh yeye anaweka wazi mambo, kwani hayo mafuta wao wanapata wapi mbinguni 😂😂
Nilikuwa sitaki kucomment leo lakini duhhh! Hapo kwa Alam tara mara 73 ujisomee kiganjani alafu ukamsalimie mtu na akupe hela, hiyo ilikuwa ni mpya kwangu.
Dr sule unajichanganya!.Quran husomwa kwa kutanguliza jina la Mwenyenzi Mungu,Unavyosema soma Alamtara bila bismillahi unamaana gani kama sio shirki? Ushirikina na uislam ni vitu viwili tofauti!..DR Sule hayo yote unayosema ni shirki usiwapotoe watu ?ulianza vizuri ila sasa unaangukia pua.
Wachungaji wakiongea hata pumba ndiyo mnakubali, wakati kunavitu vingi wanawaficha wanajifanya kwa jina la yesu, huyo shekh yeye anaweka wazi mambo, kwani hayo mafuta wao wanapata wapi mbinguni 😂😂
Nipeni tu like zangu leo 😊
Mbona uchome moyo wa mtu akupende? Sasa ukiambiwa mchawi mbona unakataa?
Anafundisha uchawi na kukana nguvu za Mungu,
Nilikuwa sitaki kucomment leo lakini duhhh! Hapo kwa Alam tara mara 73 ujisomee kiganjani alafu ukamsalimie mtu na akupe hela, hiyo ilikuwa ni mpya kwangu.
Mungh ametuonya kuhusu Hawa , Jeremiah 14/14
😂😂😂😂 mbona kushungulija
Mlisema Sisi waganga wakieji washilikina sasa Leo sure Kawa mganga haha
MJUAJI SANA HUYU😊
Mjuaji kivipi Sasa?
Tatizo anajua
Huyu anakoelekea ni pabaya anazidi kupoteza watu Allah amuongoze kesha kuwa mganga wa kienyeji
Màfuta sh.ngapi??no.ya dr Sule inapatikana vp?
Huyu JAAAHILI ANA JIPYA GANI LABDA UTUFUNDISHE KUPAAA NA UNGO .......SURA IMEUNGUA NOW HALAFU UMENYOA O
Dr sule unajichanganya!.Quran husomwa kwa kutanguliza jina la Mwenyenzi Mungu,Unavyosema soma Alamtara bila bismillahi unamaana gani kama sio shirki? Ushirikina na uislam ni vitu viwili tofauti!..DR Sule hayo yote unayosema ni shirki usiwapotoe watu ?ulianza vizuri ila sasa unaangukia pua.
Maisha magumu yanadababisha watu kudanganywa na watu kama hawa
Ana balaaa
Leo hata sitaki nicomment chohote acha nisikilize tu na msisahau kunipitia huku tukizidi kumsikiliza sulley na mbwembwe zake.
Hayo mafuta yanaitwaje
huyu jamaa ana ubongo wa madini
Siri gani wakat wewe ni Mwanga saaahir....unatangaza ushirikina waziwazi....MZEEE WA NYAMBU....UNAUTUKANISHA SANA UISLAM EWE SULE.....DK NYUKI
Coment azijibiwi sa tunaohitaj huduma zitatufikiaj?
KIGAGULA SULE,MAPEPO ULIYONAYO YATAKUUWA VIBAYA,USHAANZA KUA NA DALILI ZA KUWA MWEHU.KIMBILIA KWA YESU.
Acha zarau ungekuwa weweungekuwa wewe sio kigagula ungukuwa muislamu ila wewe kama ni mkristo ndo gigagula mwenyewe
@@faudhiasaidi3669 ukweli unauma,kaa kimya tu sister Kuna mambo huyaelewi bado.
@@ackimackim1880
Punguza propaganda
Sure anapatikanaje tunashida nae jaman
Huyu ni tapeli tu
@@byabachwezirugemalila9838
Alikutapeli nn au unafata UPEPO? Epuka propaganda
Sule mropokaji tu mjasiriamali
Namba zake nitapataje ninashida
Huyu jamaa ni tapeli anayosema yote sio kweli usipoteze pesa zako
Wanao mtukana sule ni mabwege
Kaongooo😁😁
Wewe hata historia ya familia yako hujui vipi kuhusu vitu kama ivi
@@Kujason12
😂🤣🤣🤣ni kweli
Aaache ushirikina wake muhuni tu huyu