TANZANIA INAONGOZA KWA MITUME FEKI DUNIA NZIMA | SHEIKH MAZINGE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 มี.ค. 2024
  • #AdilTV

ความคิดเห็น • 231

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 4 หลายเดือนก่อน +12

    Huo ndio ukweli
    Utabaki ukweli daima asietaka shauriyake ashukuriwe Allah subuhana wataalah

  • @user-xi3ky5vt9t
    @user-xi3ky5vt9t 2 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah Jazakallahu khayr Allah akuweke Shekhe wetu inshaAllah

  • @stevenkipara9310
    @stevenkipara9310 3 หลายเดือนก่อน +2

    ”Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu; hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo;“
    ‭‭Efe‬ ‭4‬:‭11‬, ‭13‬ ‭SUV‬‬

  • @rashidbusanya5843
    @rashidbusanya5843 3 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh mazinge Allah akulipe mara dufu nakupenda sana

  • @user-bp5pq9to9e
    @user-bp5pq9to9e 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mwaminini Yesu Kristo Aliyeangikwa pale Msalabani akuokoe na udumu kumtegemea!Unatakiwa kuokoka wewe mwanadamu, tubuni dhambi YESU KRISTO aliwafia,muda ndio Huu! Mwl CHRISTOPHER JACKSON SAMBAA

  • @NeemaAlan
    @NeemaAlan 3 หลายเดือนก่อน +2

    Malizia sentensi,imeandikwa heri maskin wa roho,siyo maskin tu,maskin wa roho n mtu mwenye kiu ya kujifunza neno la Mungu.

  • @bakarishaban9311
    @bakarishaban9311 4 หลายเดือนก่อน +4

    Wanawaibia watu, kwakupitia jina la mungu

  • @bakarishaban9311
    @bakarishaban9311 4 หลายเดือนก่อน +5

    Tatizo elim hatuna wengi hatukusoma Ndomaana makanisa yamekua mengi na Mitume wengi mataperi tupu

    • @user-ys2gn1nd4q
      @user-ys2gn1nd4q 3 หลายเดือนก่อน

      naawo mashee wenu wauongo mtu akijua kiarabu2 nishee acha zarauww

  • @user-ij9te1ck9p
    @user-ij9te1ck9p 4 หลายเดือนก่อน +2

    Muhammad ndio daraja la juu za mitume wote iliumbwa nuru yake kabla ya hata mbingu na ardhi kuumbwa jinsi Mungu anavyokipenda kiumbe chake hichi na hutakuwa salama abadani ukiwa against nae maana mitume wote walilijuwa hili kuna Mtume bora Allah atamleta baada ya sisi ila kwa hila ya mayahudi wakafanya fitna kuyabadili maandiko kulificha hili .

    • @user-ys2gn1nd4q
      @user-ys2gn1nd4q 3 หลายเดือนก่อน

      Kwenda uko mnafk mkubwaww

    • @user-ij9te1ck9p
      @user-ij9te1ck9p 3 หลายเดือนก่อน

      "Lakum diinukum waliadiin". Nyinyi mna dini yenu na mm Nina dini yangu".

    • @alexmwinuka4280
      @alexmwinuka4280 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 3 หลายเดือนก่อน

    Voce é muito talentoso você é muito importante para gente Allah vai ti proteger insha-Allah ❤❤❤

  • @JosephPeter-eo9sr
    @JosephPeter-eo9sr 3 หลายเดือนก่อน +2

    Acha mambo yako unatafuta kiki huna lolote kwaiyo ulitaka awe maskini au fanya mambo yako acha kufuatilia watu

  • @josephmchila6467
    @josephmchila6467 4 หลายเดือนก่อน +4

    Wewe ndo huna Mungu, Na utaenda motoni

    • @user-yt2qp6vs5q
      @user-yt2qp6vs5q 4 หลายเดือนก่อน +1

      Imekuchoma nn

    • @user-sg6qz3yw7k
      @user-sg6qz3yw7k 3 หลายเดือนก่อน +1

      Unatesekaukiwa wapi😅😅

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ni kweli kabisa Tz kuna mitume feki wengi.

    • @SadickKimela
      @SadickKimela 3 หลายเดือนก่อน +2

      Mwenyezi akutakie maishamalefu

  • @Mohd-wd2jv
    @Mohd-wd2jv 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mtume muhammad.S.A.w.ndie mtume wamwisho

  • @HassanHassan-vh6pc
    @HassanHassan-vh6pc 4 หลายเดือนก่อน

    Muhammad( SAW) ni mtume wa kweli. Tubu kwa ulilosema. To a ushahidi wako kama unapinga Hilo.rudia maandiko ilikiwemo quran

  • @mwamvuarashid290
    @mwamvuarashid290 4 หลายเดือนก่อน

    Maashaallah

  • @patsonkyando1732
    @patsonkyando1732 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mazinge wewe humjui Mungu, Mwamposa ni Mtumishi wa Mungu,unapoteza muda kumsema Mwamposa

  • @Fifophonce
    @Fifophonce 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tumswalieni mtume 😢😢

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂😂😂😂😂kweli hii Dunia basi tu tatizo nierim hata serekal inachangia watu wanaibiwa sanaaa Elim nikitu bora sanaaa

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน

      Wanataka wenyewe kuibiwa kuna mtu anawazimisha kwenda kwa wachungaji feki biblia agano la kale lilisema kutatokea manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk sasa ndiyo waache waliwe

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo kwa aya hiyo ya maneno ya Bwana Yesu uliyosoma kwamba tajiri hataingia peponi Je Waislamu wote walio matajiri hawataingia peponi?!!

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi1319 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi n sahihi kukashifu iman za dini nyungine? Mm nafikiri n vzuri kuheshimu imani dini nyingine

  • @user-jf3tv1gv9b
    @user-jf3tv1gv9b 3 หลายเดือนก่อน

    Waache watumishi wa mungu wa utangaze uflme wa mungu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa nakuunga mkono wala hujakosea

  • @henrylyimo8491
    @henrylyimo8491 3 หลายเดือนก่อน +1

    hivi nyie bila kuzungumzia ukristo hamuwezi kuhubiri yanayowahusu? husda tu yesu ni kweli na uzima ukokeni

  • @user-cy1er6sy5k
    @user-cy1er6sy5k 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni muongo si kweli kuwa matajiri hawataingia ufalme wa Mungu,kasome vizuri utaelewa vizuri hiyo Mathayo.

    • @dudemussa6715
      @dudemussa6715 3 หลายเดือนก่อน

      Hivi wewe hujijui kama ndiye muongo hasa kuliko mazinge! Nakushangaa.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 3 หลายเดือนก่อน

    Ni sawa kwa sababu na wapumbavu ni wengi tz kuliko sehemu yoyote duniani

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah7352 3 หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣umetisha sana sheikh wetu that true

  • @muniraally4091
    @muniraally4091 3 หลายเดือนก่อน

    Yuko mungu mwanamke mwanza

  • @ModesterTutuki
    @ModesterTutuki 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 ety yesu aliniletea papai😂😂

  • @HAJIBALO
    @HAJIBALO 4 หลายเดือนก่อน

    Kutangaza biashara TV hio shiling ngapi

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk 3 หลายเดือนก่อน +4

    Wewe mwenyewe ni feki.

  • @SadickKimela
    @SadickKimela 3 หลายเดือนก่อน

    Alwa hakibalu

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kabla hujafika kwa mitume wa uwongo ,anza kwanza na hili la mohamed ni mtume wa uwongo na shetani ni muislamu kwenye mkutano na wasabato ( ndacha) ulikubali hilo ni kweli
    Kwaiyo unapozungumzia mitume wa uwongo na matapeli usimsahau na huyo mwarabu

    • @muhamedbashir2661
      @muhamedbashir2661 3 หลายเดือนก่อน

      Mwamba hamna dini kama uislamu kwanza omba dua upo duniani na azabu inakusubiri fala ww fungua macho unaemuabudu sio mungu ni messenger wa allah ww chakramu akili koko ww

    • @thekingdragon8358
      @thekingdragon8358 หลายเดือนก่อน

      sawa majini walislimu wakawa waislamu kwani kiukirsto mtu akiwa jambazi afu akaokoka akabatizwa bado mtamuhesabu nijambazi ama... majini wakiislamun ni ndugu zetu katika imani ya kidini yetu hyo sio mbaya ila anaeabudu kiumbe yyte finar jahaanam na nyie mnamuabudu yesu mnamuita mungu wakati mungu nimwenye wivu maandiko yanasema katika bibilia mbona mnachukua sifa za mungu mnampea mtume wake ambaye ni yesu hamuoni kama hii nishirki

  • @rehanijuma1421
    @rehanijuma1421 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli hiyo mazinge Tanzania mitume wengine 😂😂😅

  • @mybrain8940
    @mybrain8940 3 หลายเดือนก่อน

    Alisha was playing with dolls Aisha was a child Aisha ali lawitiwa soma hadith 😢😢😢😢

  • @akidashekue163
    @akidashekue163 3 หลายเดือนก่อน

    Mnyamwezi na Mnyakyusa

  • @pastor.frank.tmwaisemba7401
    @pastor.frank.tmwaisemba7401 3 หลายเดือนก่อน

    Mazinge NI mjinga tu,
    Mazinge ana wivu wa kichawi.
    Mazinge NI 0 Tu.
    Wewe mwenyewe NI njaa
    Wewe ni mwongo..
    Jenga na wewe hotel km NI rahisi

  • @mwanaidisimoni79
    @mwanaidisimoni79 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli kabisa tena wote mitume ya wakristo

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 3 หลายเดือนก่อน

    😳😳😳

  • @user-ik4cp2kw8j
    @user-ik4cp2kw8j 4 หลายเดือนก่อน

    Huo n uongo mie najua Nigeria 🇳🇬 ndy kiboko ya matapeli dunia nzima.

  • @Nim68182
    @Nim68182 4 หลายเดือนก่อน

    Nayey amechangish hapo

  • @st.alvincollege6184
    @st.alvincollege6184 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa hy sheikh, mtume anatakiwa kua Mwarabu au?

  • @charlesjuma154
    @charlesjuma154 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe mwenye tapeli

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน

    Haya huyo Mwenye nyota tano wakati naye mwislamu halisi tusemeje

  • @JosephPeter-eo9sr
    @JosephPeter-eo9sr 3 หลายเดือนก่อน

    Dili nawaumini wenu kila siku kuwasema wakristo sasa wewe ndiounazambi nyingi hufai kuwa kiongozi

  • @ndayikezaoscar3467
    @ndayikezaoscar3467 4 หลายเดือนก่อน

    Yaani hapo mmechangusha pesa kiakili sana😂😂😂
    SASA hapo nyie na huyo mchungaji mliomtaja kuna tofauti gani??? Hapo ni swala la Uelewa tu

  • @jacobanania2741
    @jacobanania2741 3 หลายเดือนก่อน

    Huna lolote wew

  • @st.alvincollege6184
    @st.alvincollege6184 3 หลายเดือนก่อน +1

    Utakua na bf na Mwamposa wewe, mbn wapo wng kwa nn unamtaj huy hy tu mmoja

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน

      Huyo asikusumbu hana lolote Mazinge hao waswahili kazi zao porojo tu aliyepewa kapewa ridhiki hupangwa na mungu acha Mwamposa awakombe Wajinga ndiyo waliwao kwani aliwaita

  • @VedastoKeya-vt8pf
    @VedastoKeya-vt8pf 4 หลายเดือนก่อน

    Ukiona malumbano yako ivi jua Kuna mmoja ni muongo ngoja inyeshe

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน

    Nyie sadaka mnato shs 5 hamna lolote kama ni mti mpapai

  • @shendimwampamba6570
    @shendimwampamba6570 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe mhongo milioni Mia Sita unaigahamu wewe au umechaganyikiwa

  • @Fifophonce
    @Fifophonce 3 หลายเดือนก่อน

    Tumswalieni mtume

  • @edwingideon3606
    @edwingideon3606 3 หลายเดือนก่อน +6

    Kuna mwamba mmoja mwarabu alikuwa muisram tena Ana degree ya Uislam. Anaitwa Christian Prince. Yeyote atakae mpigia simu au kumsikiliza lazima awe Mkristo. Yeyote anae jiona mwamba ampigie simu au amsikilize tu.

    • @mtukazmarcelo1119
      @mtukazmarcelo1119 3 หลายเดือนก่อน

      Kweny uisilam hakun digree

    • @omarinoel8660
      @omarinoel8660 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅eti degree ya uislam 😂😂😂oya uislamu hauna degree lete hapa kwa mazinge

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 3 หลายเดือนก่อน

      kondoo ulopotea kwa kukosa maarifa

    • @mlyomikilonzo5897
      @mlyomikilonzo5897 3 หลายเดือนก่อน +1

      Tafuta dini achana na ulithi yy kama alikuwa mwarabu aimanishi kuwa yy ni muislamu waoo watu walio muona mtume na mitume live lakini hawakusadick mpaka umauti mmoja wapo ni abjahar sasa ww wamshangaa huyo mwamba wako

    • @omarinoel8660
      @omarinoel8660 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@mlyomikilonzo5897 Yan huyo jamaa ni anazngua yy anaangalia mtu sio maandiko na jao wengi wao wantengenezwa

  • @Fifophonce
    @Fifophonce 3 หลายเดือนก่อน

    Hampondi ila anaelimisha

  • @petermwacha9909
    @petermwacha9909 3 หลายเดือนก่อน

    Kwani unataka kusema Wanyakyusa hawana hadhi ya kuwa watumishi wa Mungu?

    • @akidashekue163
      @akidashekue163 3 หลายเดือนก่อน

      Mazinge ni Mnyamwezi

  • @mybrain8940
    @mybrain8940 3 หลายเดือนก่อน

    Hivi kuna tofauti gani Kati ya Muhammad alie oa bint wa miaka 10, alikuwa na biashara ya slave, 😂😂😂

  • @victoriurumban
    @victoriurumban 3 หลายเดือนก่อน

    Mtu ana towa uponyaji awe feki wasinge ponya wewe nikuletee kipofu kama uta mponya una fiki mwenye macho ambiwe ona 😊

    • @hassanalfan6941
      @hassanalfan6941 3 หลายเดือนก่อน +1

      Awaponye wagonjwa..madaktari wapumzike hospitalini

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 3 หลายเดือนก่อน

    kwhyo mitume yote tumeaminishwa waarab na wazungu afrika hakuna hata mmoja

    • @HboyRfa
      @HboyRfa 3 หลายเดือนก่อน

      Mtume wa mwisho kuja ni Muhammad baada ya hapo hakutakuwa na mitume wengine na ukiona mtume mwingine izo ni dariri za kiama

  • @Nim68182
    @Nim68182 4 หลายเดือนก่อน +2

    Musisahau kumswalia mtume😂😂😂😂

    • @saphinalutaha9077
      @saphinalutaha9077 4 หลายเดือนก่อน

      Radhma tumtakie rehema na amani mtume wetu najua haujui tofaut ya kumswalia mtume na kumswalia mungu pole

    • @Nim68182
      @Nim68182 4 หลายเดือนก่อน

      @@saphinalutaha9077 haya kumekuch Mungu unamswalia au umekosea kuandika

    • @Nim68182
      @Nim68182 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@saphinalutaha9077 mmutakie rehema za nn Kwan alifanya nin mpk mmutakie hizo rehma

    • @Nim68182
      @Nim68182 4 หลายเดือนก่อน

      @@saphinalutaha9077 kumswalia Mungu??? Hee mbon balaa hii Mungu aswaliwe au umekosea kuandika

  • @HboyRfa
    @HboyRfa 3 หลายเดือนก่อน

    Ulishawahi kusikia hawa mitume feki wakiwa waislamu ... Hakuna so nenda kasome maandiko usikoment vityu usivyojua usimtukane Muhammad cos hujawahi kusikia ata siku moja waislamu wakimtukana yesu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน

    Tena njaa kweli haswa sisi wanawake ndiyo tunaokombwa sadaka wsjinga ndiyo waliwao

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 4 หลายเดือนก่อน

    Inawezekana ikawa ukweli ila kwenye kabila umefeli ungemsema mtu so kabila

    • @akidashekue163
      @akidashekue163 3 หลายเดือนก่อน

      Mazinge ni Mnyamwezi

  • @josephmchila6467
    @josephmchila6467 4 หลายเดือนก่อน

    Umeathirika kichwani,kuwahusudu waarabu,unadharau waafrika wenzako

    • @selemanimchana3598
      @selemanimchana3598 4 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo nawe Kwa akili Yako unasadiki mwamposa ni mtume wa mungu?

    • @selemanimchana3598
      @selemanimchana3598 4 หลายเดือนก่อน

      Huyo yesu mwenyewe alikua muizrael halafu mnaambiwa kanisa kuu lipo Roma italy

  • @user-ue4rj2uq7z
    @user-ue4rj2uq7z 3 หลายเดือนก่อน

    Kiki2 wewe mwenyewe amna kitu😏

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q 3 หลายเดือนก่อน

    Akuna mashee bongo kaziyao kupandikiza chuk2 yenu yawashinda washrkina wakubwa nyny kupandkiziana chuki2 nyoo

  • @user-po9wi5lh1o
    @user-po9wi5lh1o 4 หลายเดือนก่อน

    Wangemhoji Kila mtume amekuja na kitabu chake yeye chakwake alicho kuja nacho ni

    • @HboyRfa
      @HboyRfa 3 หลายเดือนก่อน

      Yes kila mtume amekuja na kitabu chake je mwamposa chake kiko wapi na andiko aliloshushwa nalo ni lipi

  • @elikanaernesti8440
    @elikanaernesti8440 4 หลายเดือนก่อน

    Serkali ipo kimya mtu anamtja mtu je naye hyo ana watu weng akijubu kutakuwa na Aman kwel

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน

      Elika achana naye hujui waswahili wanasema sana kama kasuku hawana lolote angalia hata wakishika madaraka jibu utalipata tu

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nyie wote wezi tupu ukiwepo ww apo tapeli

  • @nomamatata754
    @nomamatata754 3 หลายเดือนก่อน

    Inaongoza ukiwemo na wewe mazinge, mchawi wewe kwaiyo shida ni mnyakyusa? Typical of african kwaiyo mzungu au mwarabu ndo wanapendwa na Mungu

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q 3 หลายเดือนก่อน +1

    dunia nzima akuna mashee wauongo kama Tanzania Kwanza wanafki wambea shrk bongo

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mohamad mwenyewe ni dalili ya kiama ,kwani Mohamad na mwamposa wanatofauti Gani ? Ujue tuu kua hakuna pesa za waislaam Wala wakristo pesa niza kaisari au za ulimwengu,wewe Lima mraba wako ,eti mwamposa alikua anavaa kaptula ulitaka avae Nini au apande ,mara ana gari ya bei ghali ulitaka apande Ngamia ?mazinge okoka Mohamad kakudanganya kua Dini yako ni ya Mwenyezi Mungu kama Mungu anadini basi nae ni Muumini ,YESU atamhukumu Mtume Mohamad mbele ya macho yako na hapo utastaajabu siku ya kiama.

    • @user-xo2tq7zs2c
      @user-xo2tq7zs2c 3 หลายเดือนก่อน

      Kwaiyo mwamposa ni taperi

  • @josephmchila6467
    @josephmchila6467 3 หลายเดือนก่อน

    Utaenda motoni wewe,utachomwa

  • @mohamediabdalah7650
    @mohamediabdalah7650 4 หลายเดือนก่อน

    Sikiizeni hata nabii nuh alivyo tangaza dini watuwengi hawakumuelewa

  • @VedastoKeya-vt8pf
    @VedastoKeya-vt8pf 4 หลายเดือนก่อน

    Tuache utumwa Wa mapokeo Africa tuwe na Chetu

    • @AzizMangara
      @AzizMangara 3 หลายเดือนก่อน

      Kwani huyo unayesema mwenye NYOTA tano ni MTUME AU NABII?! Kama mtu wa kawaida Kama mm na ww sawa. Utaperi wa kidini upo kote kote, ila Fikiria Upande upo upi Kati ya uislam na ukristo Huwa awanaga utani na Dini Yao na kupambana na mataperi wa kidini.!! Kama utakuwa timamu jibu utakuwa Usha lipata.

  • @user-rg3mh6vt3s
    @user-rg3mh6vt3s 4 หลายเดือนก่อน

    Ili liongo halifai

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh 4 หลายเดือนก่อน +6

    akiwemo Muhammad mtume wauongo!

    • @AleiHadji-js3ed
      @AleiHadji-js3ed 4 หลายเดือนก่อน +3

      😢Pole Kwa kauli zako ukifa ndio utajua hujui

    • @batashqiraa9936
      @batashqiraa9936 4 หลายเดือนก่อน +5

      Pole sana ndugu inaonekana wewe umeshakufa ingawa unatembea, hujui hata unalolisema kumkataa muhammad utambue kuwa umemkataa yesu, na umemkataa mussa, na umemkataa ibrahimu, mtume wa mwisho aliyetumwa na Mwenyezi Mungu ni Muhammad, waliojiita mitume na manabii baada ya Muhammad hao sio mitume ila ni mawakala wa shetani ibilisi, mwamposa sio mtume ila wakala wa shetani ibilisi

    • @mohafarah8569
      @mohafarah8569 4 หลายเดือนก่อน +1

      Muhammad is the way period not Jesus Christ family of the Jews only

    • @maryamadam5622
      @maryamadam5622 4 หลายเดือนก่อน +3

      Laanatul LLah huyu

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 4 หลายเดือนก่อน +2

      @@mohafarah8569 nipeye andiko Muhammad is the way period nyie mumepotezwa kitambo!

  • @Fifophonce
    @Fifophonce 3 หลายเดือนก่อน

    Tumswalieni mtume 😢😢

  • @stevenialbert5033
    @stevenialbert5033 4 หลายเดือนก่อน

    Mpuuzi ww fanya yk archana na iman yet itisha naww watu waje