Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri / Sheikh Hashimu Rusaganya

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ส.ค. 2023
  • Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri Na Nimepinda Unifanyi Chochote / Sheikh Hashimu Rusaganya
    Mashaa Allah Sheikh Hashimu Rusaganya akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri Na Nimepinda Unifanyi Chochote / Sheikh Hashimu Rusaganya
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Airtel Money +255782466586
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    TH-cam @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 305

  • @RamadhanOmar-ow1ki
    @RamadhanOmar-ow1ki 11 หลายเดือนก่อน +13

    Mashaallah sheikh wangu umesoma kwa makuraiesh wa ujiji Allah akuhifadhi sheikh wangu .Naona wenye roho mbaya na kujiona wao ndo watu wa peponi povu linawatoka humu.Kwa kweli elimu ya kisufi na twariqa ina baraka sana na kuna mambo makubwa ambayo huyapati mpaka ambae anajibidiisha kuwa karibu kwa Allah na kwa watu wa twarika na hao masufi mwisho wakiona hizo kalama wanasema bidaa na uganga .

  • @Dr-ubaida965
    @Dr-ubaida965 11 หลายเดือนก่อน +11

    Mashaallah shekh hashimu Rusaganya.
    Muhimu kumridhisha Allah na si kuridhisha watu ambao hawamiliki pepo wala moto.

    • @machano5690
      @machano5690 11 หลายเดือนก่อน

      Wacha kujifanya kua wewe ni mkamilifu, sh. Rusaganya anajielewa.

    • @mahamuduhassan8511
      @mahamuduhassan8511 11 หลายเดือนก่อน

      Hakika ni kweliii mamba kaamua kusema kweli hamna kuremba

    • @mohdhilaly7900
      @mohdhilaly7900 10 หลายเดือนก่อน

      Ukitaka kusema hivyo wale mashehe wote waliomsomesha na wamaulidi motoni maana walifanya yasiomridhisha mungu kwa mujibu wa maelezo yako ?

  • @fahadsalim3000
    @fahadsalim3000 11 หลายเดือนก่อน +6

    Uzushi ni kumchezea Allah eti uwesu dah Allah akusameh nimzee wetu tunakuheshim kwahapa utatusameh mzee anatangaza akida yake alafu amesema amepinda subhanallah Allah akuongoze katika njia sahihi

  • @kudrangayonga7766
    @kudrangayonga7766 11 หลายเดือนก่อน +20

    Maashallha Leo nimefurahi mnooo nikiwasikia mashekhe kama hivi wakiongea huwa nafarijika sana

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 11 หลายเดือนก่อน

      Naam kaka hujanishinda Mimi. Kanifurahisha sana. Huu ndio ukweli.

    • @rahmaarrington9019
      @rahmaarrington9019 11 หลายเดือนก่อน

      Mashallah!! Allah atakulipa ujira wako kwa kila hatuwa!!!

  • @swalehahmed6579
    @swalehahmed6579 11 หลายเดือนก่อน +10

    Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allah akunawirishe akupe mema duniyani na akhera

  • @hajinassor6369
    @hajinassor6369 11 หลายเดือนก่อน +5

    Mm nnachoamini ujumbe umeshakufikia sasa ni juu yako kuufuata au kubaki na bidaa zako

  • @i_gabbykisalo4280
    @i_gabbykisalo4280 11 หลายเดือนก่อน +8

    Allahu Akbar, Allah akuifadhi Sheikh wetu

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v 11 หลายเดือนก่อน +3

    Allah akuepushe shekh.unaona watu wafanya shirk kisha mtu anyamaze

  • @user-rf2zs4kk1v
    @user-rf2zs4kk1v 11 หลายเดือนก่อน +2

    Allah atujalie mwisho mwema, baada ya kusikia kutoka kwa mtu linganisha kwenye kitabu na sunna!

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono6425 9 หลายเดือนก่อน +2

    Shekh amepinda kweli Allah amjaalie anyooke na atujalie na sisi njia iliyostahiqi.
    Alichotufundisha Shekh ni kwamba hatutakiwi kupinga kile tulichofunzwa na mashekh wetu hata kama hakipo kwenye haqqi 😅na ni marufuku kuhoji 😃tufatilie mambo yanayotuhusu hatuna haqqi ya kuongozana njia stahiki 😅
    Ahsante shekh nimekubali umepinda ila kila mtu ni mchunga na kila mchunga ataulizwa na Allah kwa alichokichunga

    • @MuhozaZiada
      @MuhozaZiada หลายเดือนก่อน

      Siyo hivo nilazima kuaheshimu walio kusomesha Kwa kua ndo ilikua kiango Cha elimu Yao
      ذلك مبلغهم من العلم

  • @abdallahsiraji9919
    @abdallahsiraji9919 11 หลายเดือนก่อน +3

    Ma sha Allah...
    Allah akuhifadhi shekh
    Umefungua akili wengi wanaothamini Madheheb yao kuliko Uislam na kutaka radhi za Allah...
    Pia umewapa ujumbe wanaodhereu na kutusi Mashekh....

    • @user-fj3dp2xe4q
      @user-fj3dp2xe4q 11 หลายเดือนก่อน

      Story ya huyo bwana nimeipenda

  • @habityabsa997
    @habityabsa997 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mmmh ila hawa Ma sheikh wetu mtihani sana. Mwisho wana anza kumtishia ndg yao katika imani. Naamini lengo kuu la Sheikh Mohammed Bachu ni kutoa elimu kwa ummah wa Ki Islam hasa juu ya kitabu cha Barzanj. Tatizo elimu hii ime pokelewa vibaya na wengi miongoni mwa Ma Sheikh. Allah pekee ndio anae jua nani yupo sawa na nani kapotea katika hili In Shaa Allah

    • @umbopaday
      @umbopaday 11 หลายเดือนก่อน

      Nimekuelewa

    • @SalehSaidmbarouk-pu9jq
      @SalehSaidmbarouk-pu9jq 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa kama jambo liko hivyo, tunajifunza hapa kua watu wawe na heshima wasiwatukane waalimu zao Wala watu walio na mtazamo tofauti.

  • @abdulali753
    @abdulali753 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mashaallah, Allah Akuhifadhi Sheikh na wanafik❤

  • @raheemabeid1965
    @raheemabeid1965 9 หลายเดือนก่อน

    Mashaaallah sheikh hakika umefunzwa vyema sana katika mji wa ujiji kwa masheikh wakubwa na alama kubwa ya mkoa wa kigoma

  • @ammsarissa-we4fo
    @ammsarissa-we4fo 11 หลายเดือนก่อน +4

    Asalam Alaykum, nawapenda kwaajili ya allah, kipindikile una vuma sana redio imani
    Mbona ulishawayi kusema asyatuni wa maryamu, haya maneno ya meongezwa tena haya maneno yako kwenye clipu, lu saganya to muogopeni
    Allah, na hisi maneno ya allah yasha tuzuru, a lipo sema, kuna watu, mudhbi dhabina bayna dhalika huku tuko na Kule to ko

  • @suleimansaid4633
    @suleimansaid4633 11 หลายเดือนก่อน +5

    Babullah ahmada bajata thanaa alayh❤ taraturbatu nnabatu nnabii ru’uyatallah alayh ❤. Maaashaallah

  • @muhammadnassibu7706
    @muhammadnassibu7706 11 หลายเดือนก่อน +11

    Allah atawadhihirisha tu watu wa bidaa wote inshaAllah hiyo ni ahadi ya Allah والله مخرج ما" كنتم تكتمون"

    • @MatanoSalim-il9fk
      @MatanoSalim-il9fk 11 หลายเดือนก่อน +1

      Hauna kazi ya kufanya

    • @kavumohemedi871
      @kavumohemedi871 11 หลายเดือนก่อน +3

      Sahihi brother acha waumie ila bidaa wakifanya lazma waambiwe

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 10 หลายเดือนก่อน

      Kwahiyo wewe Raha yako unataka akae hapo aanze kudhalilisha na kutukana masheikh.!!

  • @Marjeby
    @Marjeby 10 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Mungu akuzidishie nimependa sana maneno yako umeongea kizamani hasa karne hii hakuna mambo hayo vurugu tupu kwanza huwezi kujua mwalimu nani sheikh nani mwanafunzi nani ujinga ujinga tu

  • @user-zz9xi3kw4k
    @user-zz9xi3kw4k 11 หลายเดือนก่อน

    Maa shaa allah
    Elimu pamoja na adabu ndo funzo tunalochukua Kwa sheikh rusaganya
    Allah akudumishe siku nidiriki darsa yako ya macho Kwa macho in shaa allah

  • @ngalamenoherbal6955
    @ngalamenoherbal6955 10 หลายเดือนก่อน

    Aislam isomeni dini yenu muijue hapo ndo mtaijua haqi iko wapi vinginevyo mtaburutwa sana, ukisoma fiqhi ya imam shafiy rahimahullah ndo utagundua Imam Shafiy hakuwa sufi na mengi yanayofanywa na masufi yeye aliyapiga vita, tafuta kitabu kinaitwa safinatu nnajah au matin ghaya utajua mambo mengi.

  • @user-ep7we8br6r
    @user-ep7we8br6r 9 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah baba yngu Allah aendlee kukupa afya njema uendlee kutupa mazr yeny mafundisho jazzaqalah khery

  • @maisarasid8670
    @maisarasid8670 9 หลายเดือนก่อน

    Nashukuru nimepata mafundishisho kutoka kwa sheikh mungu akueke na akupe afya

  • @MohamedMgwami-nw6bl
    @MohamedMgwami-nw6bl 5 หลายเดือนก่อน

    Aksante sana sheikh hashimu lusaganya mwenyezimungu akuhifadhi ,

  • @user-ju1iq1pu3i
    @user-ju1iq1pu3i 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nimesoma comments nyingi humu , nikichogundua baadhi ya waislamu au wengi wetu , hatuna tamyiz ya kupambanua haki na batwil, bali tunafata mkumbo

  • @HassanNapalamula
    @HassanNapalamula 11 หลายเดือนก่อน +2

    الله أكبر !
    بارك الله فيك

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g 4 หลายเดือนก่อน

    MAA SHAA ALLAAH!
    رحمهم الله رحمة واسعة وأسكنهم الفردوس الأعلى

  • @ramadhaniddsalim2201
    @ramadhaniddsalim2201 11 หลายเดือนก่อน +35

    Watu watarika wengi wamekufa na shahada wanapata mwishomwema

    • @nasserm.nasser5087
      @nasserm.nasser5087 11 หลายเดือนก่อน +5

      Na kwanini wasife na shahada hali wao kutwa kucha ni lailaha illah Allah. Kila baada ya swala ni adhkaar tupu na lailaha illah Allah mara 165

    • @alawikihema8676
      @alawikihema8676 11 หลายเดือนก่อน +4

      chozi lataka kutoka nikiwakumbuka Masheikh wetu wameishi maisha yao yote kwa dhikiri tukufu

    • @shadyahamad3724
      @shadyahamad3724 11 หลายเดือนก่อน +3

      Na kubali twarika ukiishika na mafundisho yake unapata mwisho mwema twarika ni njia ilio nyooka🙏🙏🙏

    • @muktazimbuyu6569
      @muktazimbuyu6569 11 หลายเดือนก่อน +1

      Sio ukweli wewe ni muongo

    • @nasserm.nasser5087
      @nasserm.nasser5087 11 หลายเดือนก่อน +5

      @muktazimbuyu6569
      Kwani wewe una Ilm ya ghaib kujua kama fulani ni muongo?
      Nyie kwenu masheikh zenu wa kiwahabi hawana nuru na utulivu na kutwa kucha ni matusi na takfiri na magaidi ni zao na magaidi.
      Hamuwafikii watu wa twariqa kwa adhkar na tahlil, huyo sheikh wenu mkuu hamfikii hata robo muridi tu wa chini kwa uchamungu na ibada

  • @user-my9hc6uf9l
    @user-my9hc6uf9l 10 หลายเดือนก่อน

    Jazakallahu kheir sheikh Rusaganya!
    Wewe huwezi kuwatukana masheikh wako,lakini mtoto wa marhuum Sheikh Nassor Bachu amemtukana baba yake kwa maneno makali.
    Hatari sana.

    • @ibnqassim7002
      @ibnqassim7002 10 หลายเดือนก่อน

      Kamtukana vipi

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 11 หลายเดือนก่อน +2

    Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 11 หลายเดือนก่อน +5

    SHEIKH HII DINI HUWEZI KUIBINAFSISHA!UISEMEE UNAVYOTAKA!!
    UKITOKA KWA MSTARI TU LAZIMA UPIGWE NYUNDO ZA KUTOSHA!!

    • @ushindiushindi5749
      @ushindiushindi5749 11 หลายเดือนก่อน

      Kwel kabs

    • @athumanikhamisi3377
      @athumanikhamisi3377 11 หลายเดือนก่อน

      Unaumia Sana ndugu,pole sana

    • @omarmsomall3809
      @omarmsomall3809 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kajiunge na Daymond una sauti mzuri dini ya Allah so ya mizumar, vinanda wala matarumbeta

    • @myself4128
      @myself4128 11 หลายเดือนก่อน

      Ulikuwepo wwkati Dini inaanzishwa au umefuata Mkumbo wa wazazi tu?

    • @mtotompole1040
      @mtotompole1040 11 หลายเดือนก่อน

      NDIO NYIE SIO😂

  • @sharifumajaliwa-pc8kd
    @sharifumajaliwa-pc8kd 11 หลายเดือนก่อน

    Maashallaaa shekhe.Rusaganya Alla.akuweke maana watu kamanyinyi niwachache sana

  • @rashidabuu9406
    @rashidabuu9406 11 หลายเดือนก่อน +4

    Mashaallah maneno mazuri sanaa shekh mungu akubarik watu waufaham mchango wa mashekh walotangulia

  • @abdillahimohammed3544
    @abdillahimohammed3544 11 หลายเดือนก่อน +2

    Naam sheikh mashaa Allah nimefurahi qaswida unazijua

  • @hatibunkonga2350
    @hatibunkonga2350 9 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh sasa anaaza kuheshimu watu wengine ...

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 11 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akuifadh sheikh Hashimu

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah mashaallah maneno mzuri

  • @kahiyemohammed8556
    @kahiyemohammed8556 9 หลายเดือนก่อน

    Mimi niliota wale maulama sufi wala masuni wanahalalisha vitu zaharamu kama mira , tumbako, kuozesha wanake bila walii wao, wakiwa wanafamu wakona elimu watakuwa mahbuzi au prisoners (with uniform)ndani ya kaburi paka kiama , until the day of judgements... niliota nataka mtafsir hio ndoto yangu...

  • @MwanaMpole-mo5di
    @MwanaMpole-mo5di 11 หลายเดือนก่อน +4

    Mashallah ❤

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909 11 หลายเดือนก่อน +4

    Masha Allaah Sheikh, Alhamdulillaah Allaah amekutoa ktk Mila ile potofu. Mimi pia nilitokea huko huko, tulipotezewa time kulazimishwa kuhifadhi yasiyo sahihi. Laiti masheikh wangeitumia nafasi ile kutuhifadhisha Quran.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 11 หลายเดือนก่อน

      acha uongo wewe umesoma wapi?! sheikh Rusaganya ni Sufi tena kindakindaki, mimi ni mwanafumzi wake. zamani masalafi walikuwa wanajua ni mwenzao, baada ya masalafi kuanza kutukana masheikh hovyo na kuwakufurisha waislam wenzao sasa sheikh Rusaganya ameamua kuwafunguka na kuwaeleza wajue yeye sio mwenzao.

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 10 หลายเดือนก่อน

    Ma Shaa Allah Sheikh wangu upo sahihi

  • @bachus57
    @bachus57 11 หลายเดือนก่อน +4

    Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar mashallah

  • @mohd39789
    @mohd39789 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hili shekh nalo linabana pua! Amesema kweli imaam Shafy mtu akiingia katika usufi asbuhi haitofika mchana tayari ameshakuwa mpumbavu

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 11 หลายเดือนก่อน +1

      huyo imam shafi na yeye mwenyewe ni sufi kama ulikuwa haujui.

    • @mohammedsaid3045
      @mohammedsaid3045 11 หลายเดือนก่อน

      Ww itakuwa umetumwa ni mshenzi tu huwezi kumsema muislam mwenziwe maneno km hyo

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 10 หลายเดือนก่อน

      Mohd...huyo imamu shaafy mwenyewe alikuwa sufiii Sasa unasemaje.!!

    • @mohd39789
      @mohd39789 10 หลายเดือนก่อน

      @@swalehemrombo9301 ndio wanavyokudanganya mashekh wa kisufi?
      Imaam Shafy hawezi kuwa sufi hata siku moja! Imaam Shafy alisema mtu akiingia katika usufi asbuhi haitofika mchana tayari ameshakuwa mpumbavu.
      Imaam Shafy yuko mbali na usufi (upumbavu)

  • @yassinijumanne1763
    @yassinijumanne1763 10 หลายเดือนก่อน

    Wallahi shekh unasauti nzur yaan nmejiskia raha sana

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e หลายเดือนก่อน

    Huyu shekhe nilikuwa najuwa mtu wa sunnah kumbe nae mpiga maulidi mtu wa bidaah pole sana baba nilikuwa sijui saivi nimebainikiwa sisikilizagi watu wa bidaa ila kwa dharula

  • @athumaniyshehoza2252
    @athumaniyshehoza2252 10 หลายเดือนก่อน

    Shekh lusaganya Allah akuzidishie umri mlef zaid

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah

  • @ruzatuntajadin1274
    @ruzatuntajadin1274 11 หลายเดือนก่อน

    Mashallah hiyo dhikri inifurahisha mpaka rohoni

  • @adamkombo2221
    @adamkombo2221 11 หลายเดือนก่อน

    شاء الله حفظك الله يا شيخ

  • @abdimwalim3505
    @abdimwalim3505 11 หลายเดือนก่อน +1

    Alhamdulillah

  • @sanda960
    @sanda960 10 หลายเดือนก่อน

    Shekhe. Unaposema shughulika na Yako na usishughulike na ya watu Mimi sikuelewi. Unaposhughulikia dini Moja Kwa Moja utashughulika na watu. Maana ndy walengwabwa dini hiii.

  • @sheikhhusseinsuleimani2755
    @sheikhhusseinsuleimani2755 11 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah shekhe Allah akuifadhi

  • @user-zy4fr2qz5b
    @user-zy4fr2qz5b 11 หลายเดือนก่อน +1

    mashaallah

  • @salmasalim4090
    @salmasalim4090 9 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah sheikh

  • @uthaymaanashshiraaziyy2413
    @uthaymaanashshiraaziyy2413 11 หลายเดือนก่อน

    ماشاء الله

  • @selemanabbas6862
    @selemanabbas6862 11 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @omarally6819
    @omarally6819 11 หลายเดือนก่อน +4

    Masufi mna dhalilika hadharani bila kujielewa😅😅😅😅😅

  • @muftiahmadimahmudulemba1918
    @muftiahmadimahmudulemba1918 11 หลายเดือนก่อน

    Wao
    Maa Shaa Allaahu

  • @fadhilizomboko459
    @fadhilizomboko459 9 หลายเดือนก่อน

    Daaah mtiani huuu kwl ww umepindaaa xx km umepindaa sheikh bachu hata kunyoosha

  • @BashirNuru-dn6fs
    @BashirNuru-dn6fs 3 หลายเดือนก่อน

    Book of qadiria shiekh

  • @salehothman4723
    @salehothman4723 11 หลายเดือนก่อน

    Alhmdulillah

  • @hamishijja4574
    @hamishijja4574 10 หลายเดือนก่อน

    Ostaz allaah atuongoze atujali namwishomwema

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 5 หลายเดือนก่อน

    Quran na Sunna FULL STOP ❤❤❤

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad3724 11 หลายเดือนก่อน +2

    Shehe muhammad nassoro kigogo mwenyez mungu amfanyie wepes aliko 👏

  • @abdikadirshariif5311
    @abdikadirshariif5311 8 หลายเดือนก่อน

    Mimi binafsi hata kama sijafika huo makamu, lakini najivunjari kuwa sufi Al hamdu lillah.

  • @nassorothabiti7237
    @nassorothabiti7237 11 หลายเดือนก่อน +1

    mashallaa

  • @husseinazizi1275
    @husseinazizi1275 11 หลายเดือนก่อน +1

    قال الأمام أبيو بكر الطرطوشيء رحمه الله.
    مذهب الصوفية بطلة وجهالة وضلالة وما الإسلام إلا كتاب الله وسنة رسوله صلى الله عليه سلم

  • @user-gg1zh6oe2w
    @user-gg1zh6oe2w 11 หลายเดือนก่อน +2

    MAULIDI JUU ZAIDIIII MTUME ASIFIWE SANAAAAAAA

    • @marthad7627
      @marthad7627 11 หลายเดือนก่อน

      اللهم صل وسلم وبارك عليه وعلى آله وصحبه أجمعين

  • @mussakisope7207
    @mussakisope7207 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna sheikh na mzee ww ni mzee rusaganya endelea na hadithi za babu na wajukuu zake
    Mm nilikuwa nakuona umesoma kumbe umefata mkumbo ila Allah atuongoze katika njia ya sawa sawa

    • @binaamour318
      @binaamour318 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kw taarifa yko w Musa waulize hao unaowmini huyo rusaganya kasoma wpi watakwambia na ushabik wko up huyo Madina miaka iyo isiokuwa na mihemko ya kishabik y dini au shekh wako!

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 10 หลายเดือนก่อน

      Tatizo we hujuwi halafu una mihemko huyo Rusaganya Sasa kasoma huko huko huko kwa hao hao wanaokuleteemi hiyo misimamo mnaojifanya mnayoo.!! Sasa yeye ndio kasoma huko huko uliza utaambiwaa.!! Acha ushabiki maandazii.!!

  • @husha6372
    @husha6372 10 หลายเดือนก่อน

    Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Sheikh Mohammed Abdulwahab Mwenyewe amesomea Kwa Sheikh Abdulqadir Jeilani

  • @fadhilizomboko459
    @fadhilizomboko459 9 หลายเดือนก่อน

    Maulidi sheikh Hashimu ni bidaa hata km umepindaa ukwl umekufikia vzr tu

  • @ibnqassim7002
    @ibnqassim7002 10 หลายเดือนก่อน

    Daaah yaani Kwa kibri kabisa eti Mimi nimepinda tena nimepinda vibaya mwanangu, na haunifanyi lolote🤲 Allaah ndo mwenye kushughulika na watu bida'aa,kibri na matamanio 👍kuonesha makosa ya masheikh si kukosa adabu Bali kutahadhari umma na makosa Yao, kwakuwa wazee wetu walitufunza dini basi eti tusiyarudi maneno Yao ata km walikosa? Kwan wao ni waungu? Huoni unarudi ktk dini za wazee km ambavyo Quran imekuwa ikitutahadhari na jambo hilo....?? Allaah awarehemu wazee wetu wote waliyofanya jitihada mbali mbali ktk kuipambania dini hii tukufu hapa East Africa lakini panapo makosa yafaa kuweka bayana maana ata wao walikuwa ni wanadamu kama sisi

  • @adamkilembwe.
    @adamkilembwe. 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah sheikh

    • @adamkilembwe.
      @adamkilembwe. 11 หลายเดือนก่อน

      👍

    • @abdulkadirjaylani4693
      @abdulkadirjaylani4693 11 หลายเดือนก่อน

      Ujue nynyi hamuelewi sio kila unachofundishwa kama ni sahih kitu hicho kama yeye sio mungu ndio ila hata ao walookufundisheni nao sio waungu na ndo mana Munashindwa munapobishana nae mnakosa hoja mnabaki kulalamika anatukan watu kwa sababu ile ndio haki na inapokuja batili yakaa chin wee siku zot unapotak kumuuw mbwa mpe jina baya hilo ndo mnalolitumia mashekh kumpa mtu anaekuelekezeni jina baya mkajifany nin ndo wema kwa mas lahi ya matumbo yen bal haki ikikujien munaikataa kabisa

  • @Mfinanga1
    @Mfinanga1 11 หลายเดือนก่อน

    Shehe nakupongeza Allah akulinde.

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 11 หลายเดือนก่อน

    Maashaallaah

  • @kassimsalim9547
    @kassimsalim9547 10 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @shabanimussa4269
    @shabanimussa4269 5 หลายเดือนก่อน

    akusamehe ww mtupu elemu alio Naya shekhe rusaganya inawezekana kwenye ukoo wako wote hakuna hata thelusi yake kwahiyo kinachotakiwa mawahabi mkasome

  • @kassimali8756
    @kassimali8756 9 หลายเดือนก่อน

    Haki ibainishwe jameni tusiifiche ndivyo yalivyo amrishwa na Allah na mtume wake

  • @MudGuy-gv9do
    @MudGuy-gv9do 10 หลายเดือนก่อน

    Hiyo stori ya mtume kuminywa na jibril sio kweli jribu kufikiria vzr

  • @muhamadikombo4976
    @muhamadikombo4976 10 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Muhammad Bachu maashallah mungu amueke hakik anafanya kaz ngumu kwa kweli 😢 ila watu bado wametia pamba masikion 😭

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 10 หลายเดือนก่อน

      Wee na bachu wako hamuoni mbali baadala yakutagazaa ndini ya kiislam bachu wako kakalia maulidi biidaa na anocho jua nihicho tuu bachu hana elimu

    • @muhamadikombo4976
      @muhamadikombo4976 10 หลายเดือนก่อน

      @@jamilahjamilah4157 Wee una ushahid gan kama bachu hana elimu kwan unamjua mtu mwenye elimu na alokuw hana nduguyangu.... 😢🤔 Au ndo unaishi kwa kufuata mkumbo na matamanio yako t yanakupeleka wap 😢

    • @sadamakame7684
      @sadamakame7684 9 หลายเดือนก่อน

      Si tusoelimu sijui tushike wapi jamani mbona mwatuchanganya

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 9 หลายเดือนก่อน

      @@sadamakame7684 dg yangu waala usichaganyikiwe elim haina mwisho wee soma utaujua nayule lile swali kalikimbia kusudi alikuwa anajua akijibu basi nahuyo wanaye muita ibun temwe atakuwepo naataulizwa kasema nn ndio sababu yakukataa kusema

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 11 หลายเดือนก่อน

    😢😢 Allahu Akbaru Allah akulipe kheri

  • @RamadhanishemauaShemaua
    @RamadhanishemauaShemaua 9 หลายเดือนก่อน

    Kidogo shkh ume teleza

  • @jumabias4917
    @jumabias4917 10 หลายเดือนก่อน

    Masjid qubah nimesoma kuanzia 1987 ..... Mwalimu kaduguda, Yusuf Salim, Salim Awadh, shekh rusaganya ndio miaka hiyo nilimuona

  • @mikekhalifaali7510
    @mikekhalifaali7510 10 หลายเดือนก่อน

    Mtu anatetea bidaah huyu daah, sio vizuri

  • @omarally6819
    @omarally6819 11 หลายเดือนก่อน

    Mashekhe wana fanya kazi ya kuelimisha nyinyi mnarejesha nyuma juhudi njema, mtalaaniwa na Mola Mlezi wetu ngojeeni tu

    • @swalehabdulrahman4118
      @swalehabdulrahman4118 11 หลายเดือนก่อน

      Wameanza kulaaniwa masalaf alafu ndio wengine

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 10 หลายเดือนก่อน

      Umesikia kuwa mungu ni mjomba wako atowe laana kwa matakwa yako tu unavyotaka wewee.!! We mpuuzi kweli yani.!!

  • @ahmedmohamedshaksy9471
    @ahmedmohamedshaksy9471 10 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah Sadakta sheikh 100 kwa 100 asiyependa ajifungie chooni 🤣

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 3 หลายเดือนก่อน

    Kumbe ummoja wao 😢

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 11 หลายเดือนก่อน +5

    MASHA ALLAH 🇰🇪 💚 💚💚💚

  • @foodcook3626
    @foodcook3626 11 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe kweli umefikisha ya maana eeeh!!!!

  • @mussabaly
    @mussabaly 9 หลายเดือนก่อน

    Mzee kazungumza hekima kubwa sana

  • @binpodah6003
    @binpodah6003 10 หลายเดือนก่อน +5

    Muhimu kuambiana. Kama wafanya makosa ni uambiwe. Mtume (saw) alisema kutakuja wakati kutakua na scholar watakao zuia watu katika njia ilionyooka. (Misguided scholars) sasa hatakama mtu yuko na ilmu kiasi gani basi ipo haki ya kupingwa kama hayuko sawa. Miongoni mwa wanavyuoni alisema kama mafundisho yake yatakua kinyume na aliyofundisha Rasulullah (saw) basi msiyafuate, fuateni aliyofunza Rasulullah (saw). Kwaio fata kinachofundishwa kama kinatoka kwa Mtume (saw). Mtasema sana ila haki iko kwa Allah. Na kuna hadith inaeleza kwamba kuna watu watakao tengwa mbali na Mtume (saw) siku ya kiama. Mtume (saw) atauliza kwanini wanatengwa ilhali ni waumini. Itasemwa kwamba "haujui walicho buni baada yako ewe Rasulullah (saw)" . Wakuambiwa na kuelewa atasikia ila mshindani huachwa na kelele zake.

    • @AbeidMuyaKumoka
      @AbeidMuyaKumoka 9 หลายเดือนก่อน

      Rasulul Llaah amesema "Kila uzushi katika Dini ni upotofu na kila upotofu ni motoni" ridhika na aliofundisha rasulullaah.

    • @user-zf7ft8eg1x
      @user-zf7ft8eg1x 9 หลายเดือนก่อน

      Kabisa nakuunga mkono kwailo mungu atujalie gheri insha Allah tunyooke katika njia ilio nyooka

    • @omadal1
      @omadal1 9 หลายเดือนก่อน

      "MTUME (saw) kasema... Sasa wewe ndugu ulikuwa na MTUME akikuwambia? Ninavyo elewa Mimi mwenye elimu hasemi "MTUME (saw) asema. Sasa wewe unamkashifu huyu sheikh wakati elimu yako ndogo sana.

  • @FarahJey
    @FarahJey 11 หลายเดือนก่อน +5

    Rusaganya
    عَنْ عَائِشَةَ رضي الله عنها قَالَتْ : قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( مَنِ الْتَمَسَ رِضَى اللَّهِ بِسَخَطِ النَّاسِ ، رَضِيَ الله عَنْهُ ، وَأَرْضَى النَّاسَ عَنْهُ ، وَمَنِ الْتَمَسَ رِضَا النَّاسِ بِسَخَطِ اللَّهِ ، سَخَطَ اللَّهُ عَلَيْهِ ، وَأَسْخَطَ عليه الناس ) رواه ابن حبان "الإحسان في تقريب صحيح ابن حبان" (1 /510) ، والترمذي (2414) بلفظ : ‏( ‏ مَنِ الْتَمَسَ رِضَاءَ اللَّهِ بِسَخَطِ النَّاسِ كَفَاهُ اللَّهُ مُؤْنَةَ النَّاسِ ، وَمَنِ الْتَمَسَ رِضَاءَ النَّاسِ بِسَخَطِ اللَّهِ وَكَلَهُ اللَّهُ إِلَى النَّاسِ ) .
    وقد اختلف في رفع هذا الحديث إلى النبي صلى الله عليه وسلم ، ووقفه على عائشة .
    وقد صحح الإمام البخاري ، كما في العلل الكبير للترمذي (332) ، وأبو زرعة ، وأبو حاتم ، كما في العلل لابن أبي حاتم (5/59) ، وغيرهم وقفه . وقال الدارقطني رحمه الله : " ورفعه لا يثبت" . انتهى، من "العلل" (14/182) .
    وينظر " سلسلة الأحاديث الصحيحة " ، للألباني ( 5 / 392 ) ‏.‏
    ثانيا :

    • @MussaRwegasira-ei3em
      @MussaRwegasira-ei3em 11 หลายเดือนก่อน

      Shkh Rusaganya mim nataman uwe mwalimu wangu katika dini sikuwah kukaa darasani ila nasoma kama hiv nikiingia mtandao hiv

  • @ayoubshaibu8123
    @ayoubshaibu8123 10 หลายเดือนก่อน

    Chungu cha busara hicho, ALHAMDULILLAH

  • @jumabias4917
    @jumabias4917 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mwalimu wangu, shekhe Rusaganya wakati nasoma masjid qubah ( kijitonyama Daressalaam)
    Allah akuhifadhi

    • @ndolasaid6323
      @ndolasaid6323 10 หลายเดือนก่อน

      Masjid Quba umesoma mwaka gani

  • @fahmymasoud3653
    @fahmymasoud3653 11 หลายเดือนก่อน

    Masalafi wakwanza mabidaa wakubwa wanafuata na kuamini kila wanalosema wenzao Ila ma sheikh wengine wote hawajui

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 9 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Rusaganya dheheb gani mbona hatumueliwi

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf1894 11 หลายเดือนก่อน +2

    Wew ni shekhi wa mana hizo qasida zote ulizo sisoma ni kweli mi nazijuwaa somaliya ilikuwa hakuna mawahabi watu wote walikuwa watu wa tariqa na walikuwa na karama sasa hakuna ijabaa

    • @mohd39789
      @mohd39789 11 หลายเดือนก่อน

      Na ndio maana mnauwana kwasababu ni wapumbavu

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 9 หลายเดือนก่อน

    Halaf sheikh anamipasho hapo naona anawapasha wenye kanzu za watoto 😂😂

  • @swalehmuhsinhassan9413
    @swalehmuhsinhassan9413 11 หลายเดือนก่อน

    Kumbe hili jamaa sufi. .jitu la twariqa.. doh Allah atuongoze. Hafai kabisa

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 10 หลายเดือนก่อน

      Haya mnyime Pepo basi km unayo hiyo Pepo ya kumnyimaa.!! Maana watu km nyinyi si mnamiliki Pepo zenu za kuwapa watu na mnamiliki mioto yenu ya kuwaingiza watu haya fanya uwezalo Sasa.!!

  • @aymanmangube4092
    @aymanmangube4092 11 หลายเดือนก่อน +1

    mmiliki wa hii chanel mbona picha ulizoweka haziendani na maudhui kwani kuna sehemu ametajwa Muhammad Bachu hapo au umevurugwa

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 11 หลายเดือนก่อน +1

    ulifaa uwe shehe mkuu