Mnufaike na ilmu ya kuwatowa watu kwenye sunnah alo ninyi jamaa mmeingia chakike hiko kikundi chenu shekhe utheiminy kataja kikundi chenu hicho hakina usalafi wowote ni kuwabadiisha watu bila sababu nakujiona ninyi ndo bora huo so mwendo wa salafi shekhe kataja vunjeni zile hoja na mlete dalili ni kikundi kipi kila dalili mnaingia ninyi hapo leteni dalili mvunje hoja za shekhe utheiminy Allah amrahamu
Mimi maoni yangu Shekh Kasim Mafuta kwa uwazi huo na msimamo wa kusimama na haki juu ya kuitetea kwa "ulimi" simbali kupitia tarekhe ilivyo simulia baada ya kufa Mtume صلي الله عليه وسلم kuhusiana na Masahaba رضي الله عنهم mutaungana na Mashia sababu ya kuyasemea kwa usawa matukio kuanzia ukhalifa na mambo yaliyo tokea baadae, maana muna uslub mzuri wa kusimamia haki bila kujali mtu bali ni kusema haki
Kieleweke wapi ninyi majadida huo mwendo mnaoenda nao so wasalafi ni mwendo mlobuni nyie kutoana katika man hajji ya ahlsunna haya leteni dalili ya kuvunja hojja ya shekhe utheiminy juu ya pote lenu hilo mana kila dalili imewatandika mmo ninyi na hakuna kundi lililojitokeza kudai usalafi na kazi yao kuwa badii watu na uwaambia watu wa bidaa wasostahiki kuambiwa shekhe kafa na msimamo huwo waambieni hawo mashekhe zenu walete hojja za kuvunja hoja ya shekhe utheiminy mpk leo hakuna aloleta hojja bali mnababaisha tuu, toeni dalili ya kundi salaffiyu ilotajwa na shekhe na dalili chungu nzima zimewaangukia nyie na mnazo kweli kuwaita watu wa bidaa waso stahili kuitwa kuwaita watu makhawariji hali ya kuwa so khawriji dalili nyingi na tabia mnazo kweli hapa hamchomoki mpk kiama Ni ninyi wenyewe majadida aka new salafi
Total approved failure Daawa. اثرثارون، ولمتشدقون،ولتفيهقون. Zipo dalili tele katika Kitabu na Sunnah za Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam. Kwamba hawa jamaa hawajui Usulubu mzuri wa Daawat Salafiya. Na kama wanajuwa, basi roho mbaya, khusuma, hasadi na mfano wake. Na kwa tabia zao hizi wameharakisha migawanyiko na hasa miongoni mwao. Darsa na mitaala ile ile, vitabu vilevile lakini hawakubaliani. Hawajui kusamehe wala sulhu.Wanashughulishwa na fitna na majungu.
@@UB40X1 Uislamu ni Dini ya Dalili. ALLAH SUBHANAHU WATAALA Ametuumba kwa ajili ya Ibada. Nini maana ya Ibada?(1) (2)kuna vigezo maalum ALLAH A'ZZA WAJALLA Ameviweka ili iwe ni sababu mja kukubaliwa Ibada zake. Na YEYE Hana mshirika katika hilo na mengineyo. (3)Daawa ni Kazi Tukufu saana, 1.ni wajibu 2. Ina misingi kwa mujibu wa Kitabu na Sunnah kwa ufahamu wa wema waliotangulia. "Targhiib na Tarhiib" ni principles sio kusema tuu ili useme tuu na matamanio,khusuma unachanganya humo humo. Daai' ni kiio, Subira na kusamehe ni miongoni mwa ala zake Tukufu. Ila watu wa mihemuko hafuati kwa kisingizio cha kubainisha haki. Je,waweza kutenganisha haki na Daawat Salafiya?
@@UB40X1ww na kikundi chako hiko ndo mpo kwenye batwil mmevaa vazi la usalafi lakini matendo yenu yapo mbali na usalafi imekula kwako huyo mafuta mwenyewe yupo nje ya usalafi wenzie humo humo kundi lenu hilo limemtowa kwenye usalafi sasa na yey anawatoa wasostahili hivi utakuwa una akili timamu unamtoa mtu anaelingania kitabu na sunnah kaaah dini gani hiyo yakutoana ovyo ovyo kwenye manhajji leteni dalili na hoja za kuvunja maneno ya shekhe utheiminy kwa dalili alizotaja za kikundi chenu hicho mpk leo mmeshindwa kutetea hoja hiyo na hamtoweza mpk kiama kije
Allaah amhifadhi sheikh wetu qaasim mafuta ,,na azidi kum'baarik katika ilmu yake tuzidi kunufaika naye
Mnufaike na ilmu ya kuwatowa watu kwenye sunnah alo ninyi jamaa mmeingia chakike hiko kikundi chenu shekhe utheiminy kataja kikundi chenu hicho hakina usalafi wowote ni kuwabadiisha watu bila sababu nakujiona ninyi ndo bora huo so mwendo wa salafi shekhe kataja vunjeni zile hoja na mlete dalili ni kikundi kipi kila dalili mnaingia ninyi hapo leteni dalili mvunje hoja za shekhe utheiminy Allah amrahamu
اللهم ثت مشيخنا في الحق وثبهم و مويتهم في السلام و السنة
Mimi maoni yangu Shekh Kasim Mafuta kwa uwazi huo na msimamo wa kusimama na haki juu ya kuitetea kwa "ulimi" simbali kupitia tarekhe ilivyo simulia baada ya kufa Mtume صلي الله عليه وسلم kuhusiana na Masahaba رضي الله عنهم mutaungana na Mashia sababu ya kuyasemea kwa usawa matukio kuanzia ukhalifa na mambo yaliyo tokea baadae, maana muna uslub mzuri wa kusimamia haki bila kujali mtu bali ni kusema haki
Allah akuhifadhi
jamaa la طنطنة akiwa katika ubora wake
Mbona inbu taimeya alikua akikaa na Watu bidaa ktk jihad
Hii ndio kazi rahis mnaweza lakini Suna yakupambana na mushkun na mayahudi hapo mnakunja mkia
Unataka Khutba zake kuhusu mayahudi na uyahudi nikutumie?
Ati mafuta anaelimu? Ipi
Sheikh Al alamah mufti sheikhul islam duktur islam muhammad salim hafidahulah
Ahsanttt 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mpaka wajue kiwango cha sheikhul Islam ilikuwa namna hii..... ni imam kabisa.... 😅😅😅😅😅 mna kichaa kweli kaka.
@@user-bp6fb6wo5u majadida hawana elimu wakae chini ya sheikul islam duktur mufti muhadith na wasomeshwe kisawasawa matusi haisaidii
@@user-bp6fb6wo5u linawakera sana kumuona daktur amekubalika kuwaliko nyinyi,hilo tunalifaham😂
Mpaka kieleweke!!!
😂
hamna lolote,tuko na daktur full force!!!
Oow kumbe ni mashindano😅 duktoor atawaacha mupayuke tu
Kieleweke wapi ninyi majadida huo mwendo mnaoenda nao so wasalafi ni mwendo mlobuni nyie kutoana katika man hajji ya ahlsunna haya leteni dalili ya kuvunja hojja ya shekhe utheiminy juu ya pote lenu hilo mana kila dalili imewatandika mmo ninyi na hakuna kundi lililojitokeza kudai usalafi na kazi yao kuwa badii watu na uwaambia watu wa bidaa wasostahiki kuambiwa shekhe kafa na msimamo huwo waambieni hawo mashekhe zenu walete hojja za kuvunja hoja ya shekhe utheiminy mpk leo hakuna aloleta hojja bali mnababaisha tuu, toeni dalili ya kundi salaffiyu ilotajwa na shekhe na dalili chungu nzima zimewaangukia nyie na mnazo kweli kuwaita watu wa bidaa waso stahili kuitwa kuwaita watu makhawariji hali ya kuwa so khawriji dalili nyingi na tabia mnazo kweli hapa hamchomoki mpk kiama Ni ninyi wenyewe majadida aka new salafi
Wapoteza wale wajinga watakaokufuata mafuta matalafi
Hamko na inswafu wakat mwingine mnakata video
Wacha kupelekwa na hisia za masheikh,,,we fuata haki
@@YusufAli-gc9cu hisia zipi mmekua mkiwatoa watu kwenye manhaji vile mtakavyo sijui hata kibali hicho mmekipata wap
@@AbdulkareemNyongorokibali anacho abu hashim
Maa shaa Allah wanafunzi wa duktuur mnajua manhaj pia??? 😂😂😂😂😂😂😂😂 aliongea lini manhaj twartuur???
@@AbdulkareemNyongoro msipige watu na ugaidi wa kifikra,,,haki iko wazi kwa watu wenye akili,,,
Total approved failure Daawa.
اثرثارون، ولمتشدقون،ولتفيهقون.
Zipo dalili tele katika Kitabu na Sunnah za Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam. Kwamba hawa jamaa hawajui Usulubu mzuri wa Daawat Salafiya. Na kama wanajuwa, basi roho mbaya, khusuma, hasadi na mfano wake. Na kwa tabia zao hizi wameharakisha migawanyiko na hasa miongoni mwao. Darsa na mitaala ile ile, vitabu vilevile lakini hawakubaliani. Hawajui kusamehe wala sulhu.Wanashughulishwa na fitna na majungu.
Watu wa batil hawapendi kuzungumzwa. Wataka kupakwa mafuta.
@@UB40X1 وغير التقي يأمر الناس بتقا، طبيب يداو وطبيب مريض.
@@UB40X1 Uislamu ni Dini ya Dalili. ALLAH SUBHANAHU WATAALA Ametuumba kwa ajili ya Ibada. Nini maana ya Ibada?(1)
(2)kuna vigezo maalum ALLAH A'ZZA WAJALLA Ameviweka ili iwe ni sababu mja kukubaliwa Ibada zake. Na YEYE Hana mshirika katika hilo na mengineyo. (3)Daawa ni Kazi Tukufu saana, 1.ni wajibu 2. Ina misingi kwa mujibu wa Kitabu na Sunnah kwa ufahamu wa wema waliotangulia. "Targhiib na Tarhiib" ni principles sio kusema tuu ili useme tuu na matamanio,khusuma unachanganya humo humo. Daai' ni kiio, Subira na kusamehe ni miongoni mwa ala zake Tukufu. Ila watu wa mihemuko hafuati kwa kisingizio cha kubainisha haki. Je,waweza kutenganisha haki na Daawat Salafiya?
@@UB40X1ww na kikundi chako hiko ndo mpo kwenye batwil mmevaa vazi la usalafi lakini matendo yenu yapo mbali na usalafi imekula kwako huyo mafuta mwenyewe yupo nje ya usalafi wenzie humo humo kundi lenu hilo limemtowa kwenye usalafi sasa na yey anawatoa wasostahili hivi utakuwa una akili timamu unamtoa mtu anaelingania kitabu na sunnah kaaah dini gani hiyo yakutoana ovyo ovyo kwenye manhajji leteni dalili na hoja za kuvunja maneno ya shekhe utheiminy kwa dalili alizotaja za kikundi chenu hicho mpk leo mmeshindwa kutetea hoja hiyo na hamtoweza mpk kiama kije
@@UB40X1batwili ww na mafuta wenu huyo alowaletea new salafi mmeleta fitna kubwa katika safu za ahlsuna