RAIS SAMIA AMCHANA MADAM RITA ALICHOMFANYIA HARMONIZE KWENYE BSS - ''MUNAFANYA KAZI NZURI SANA''...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 พ.ค. 2024
- RAIS SAMIA AMCHANA MADAM RITA ALICHOMFANYIA HARMONIZE KWENYE BSS - ''MUNAFANYA KAZI NZURI SANA''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Kwa kweli Mama amezidi kuwa mzuri zaidi, ubarikiwe Mama Samia Raisi wetu tunakupenda❤❤ haswa mm ntakupa Mauwa yangu Mama
Mama yetu unazidi kua bint nakupenda mno laisi wangu wa Tanzania natamani siku moja nije nikuone live love you so much🤗😍😍
jamani kamchana kampongeza kaaa waandishi kazi kweli
Waandish wa siku hiz kweli heading haieleweki na alichokisema mama
Anamuangushaje wewe nawe! Kwahiyo mnataka nchi nzima msanii awe mmoja tuu, acheni kiwavunja moyo wasanii wengine, wote niwapambanaji bhana.
Nomaaaa wakuu 🎉🎉
Shkamoo mama umependeza mama yetu mzuri
Mama ni mama
Aseee huyu raisi bhnaa😂😂😂
Mama nakupenda mnoo najua ipo siku nitakutana na wewe tuongee kikaz
😅
😂😂😂 utasubili sana mpaka utachacha
Subir kaka mvumilivu. Hula mbivu😂😂😂😂😂
Hivi hii nchi ilivyo na mateso kwa sasa mambo hayaeleweki hivyo ndo vitu vya kubonga aise
Mchujo mzuri ule mama,,,,Harmo mbona alikuwa kapi kwao
Tupigwa na kitu kizito...
Wow 🫶🫶🫶
Burudani !!
Yani unahitaji viewers tu baaas !! Sasa hapo kamchana au kampongeza ??!!
Hamo ndo kila kitu achana na firimasoni
Yeye mwenyewe mchawi
Wewe mwenyewe unaonekana mwanga maana hata kiswahili chakichawi cyo firimasoni ni freemasons pole
😂@@linnusaloyce6559
Yaaani mnachokiandika tofauti na kinachosema kuku nyie
Watu wanaandika topic za kudanganya ndio wapate views ,,I will never see anything from this channel again
Sasa hap kamchan wap achen umbea
Bila D 2 huwezi elewa 😂😂
@@user-hm2kr6hu6q ok
Mama Hamo anakuangusha. Cheza na Diamondi. Hutakaa ujutie maamuzi yako. I am telling you Mama. From deep of my heart.
Una akil wew unaweka ushabik san
Ushabiki mandazi pelekea ukoo wenu
Peleka ushabiki wa kishamba huko
Nyinyi ndio mnaushusha mziki,
Kwahyo uyo mondi akifa na mziki ufe sio 😂 pumbavu embu amka wewe