Una uchambuzi mzuri sana kaka. Unatusaidia kutufikirisha ❤. Nashauri pia uwe una vipindi vya makala za kielimu za kutuelimisha juu ya masuala mbalimbali kama nishati safi, lishe na haki za binadamu na utawala bora🎉. Ahsante sana🎉
We kweli muandishi wa habari wa uchunguzi yaani mchimbi sana nimeipenda hio muandishi wa kuhoji kutafuta habari sio kupokea nakutuhabarisha sisi."Naumiss" sana uandishi wako Mzee Ngurumo Maswali Magumu
Ndugu yangu kama ulivyo sema, papa ni ofisi/ kiti. Utakatifu ni ofisi. Kama binadamu wa kawaida hivi sasa amekumvwa na malaika Mbaya ' lusifa yule 666' . Na ndio maana Maaskofu wengi duniani wamemponda. Alitakiwa kujiuzuru bali yeye na mshauri wake ni wakaidi.
Baba Rugambwa ana kofia mbili pia ni Mshauri wa Papa kila vikao Vatican lazima yupo. Sasa hata wakiomba kuonana naye bado hawajafauru kitu, Maana Papa hataki haya mambo yote yanayoendelea hapa, wao watendee haki Watanzania, si familia zao, ndugu na marafiki zao wengine hatuthamaniwi. Mungu hachunguziki
Hayo mambo sisi hatuyataki, tunataka katiba mpya, uongozi bora na siasa safi, ye atutendee tunayoyataka shida kuna watu wamemzonga zonga sana kwa manufaa yao!
Utoto uo kwani papa ajui yanayo enderea tz kuto kwa wawakilishi wake kwanza katiba mpya papa badae sisi kiroho tuko vizuri tatizo ni kiutawala na ufisadi wizi wa Mali za wa tz na utawala usio zingatia katiba na sheria
Kwa uchunguzi huu wa kina, SALUTE kwako mkuu, ingawa inaonekana unajua mambo mengi sana nyuma ya pazia lakini ki ustaarabu umeamua kudadavua machache.😊
Huo ni mpango mahususi wa mapicha picha.Kama Mbowe alivyotolewa gerezani na kupelekwa Ikulu kupiga picha ya kuwarubuni Watanzania kuwa wao ni watu wema hata baada ya Mateso,Sasa wanaenda kuwarubuni Wakatoliki na Watanzania kwa picha toka Vatcan.HATUDANGANYIKI TENA.
Kuna kosa kubwa sana akina Shekhe Mwaipopo walifanya wakati wa mijadala ya Bandari. Waliwatukana sana Maaskofu na kuwadhalilisha.Na kibaya zaidi Mpoto aliwakejeli sana Maaskofu kule ikulu huku akiwasimangia chakula. Hayo makosa yanaigharimu sana Serikali na CCM. Watu hao wamemharibia sana Raisi wetu kwa kujua au kutokujua nguvu waliyonayo Maaskofu. Maaskofu walialikwa Ikulu bila kuambiwa kuna nini. Matokeo yake huko kukawa na mada ambazo hawakutegemea kuzisikia licha ya kudharauliwa na Mpoto ktk mashairi yake. Nadhani Raisi angeshauriwa azungumze na Maaskofu kuwaombea radhi wale waliowabeza kuanzia Mashehe mpaka Msanii Mpoto. Hapo ingeleta amani mioyoni mwa Maaskofu na Raisi wetu angeingia kwenye uchaguzi akiwa na baraka za Maaskofu. Tunamwombea sana Raisi mambo yaende vizuri.
Acha ujinga wewe hakuna lolote ambalo Lina husiana wakina mwaipopo! Hapo walikuwa wanaongelea maswala ya ushoga bhana. Hao maaskofu wanamchango gani Katika nchi yetu zaidi ya kutupeleka na kutunyonya. Isitoshe yule ni papa lakini ni Rais pia katika kijinchi chake kidogo hivyo Kuna maajabu gani? Rais wetu anaonyesha hana ubaguzi kwamaana nchi za kiarabu alikwisha kwenda sasa kaenda na nchi ya kizungu ya kikristo kwamaana anawaongoza wote. Nyie makatonta acheni ushamba
Sisi waafrika tutakuwa mikia hadi mwisho wa dunia, sasa huko kwenda kujipendekeza ili apate nguvu kubwa dhidi ya watanzania, yaani bila kupata backup kutoka kwa mzungu mwafrika anaona mambo hayataenda, hakika huu ni utumwa wa kifikra wa kiwango cha lami, huku ni kutojiamini 100%, mzee baba JPM asingefanya hivyo hata siku moja, inaonekana mama anausaka uraisi 2025 kwa udi na uvumba anahakikisha kona zote anaziwekea mazingira sawa, jamani urais mtamu ndio mana watu wanauwana - RIP JPM jembe letu, bado tuko na wewe kiroho.
keanda kwa papa siyo kwenda kujipendekeza kwa wazungu bali ni kwenda kujisalimisha kwa mkuu wa marais wote duniani ambaye ni papa, mwenye kofia mbili za mamlaka, yaani kisisasa na kidini, nafikiri bado hujaijua vizuri dola ya rumi inavyoendlea kutenda kazi duniani, hii mamlaka ya upapa ni kubwa marais wote wanainama kwake, usichukulie kawaida endlea kujifunza usiwahi kuogea tu eti tunajipendekeza kwa wazungu
Mitazamo ni mingi sana, asante kwa maoni yako,kama endapo Kuna shida katika maswala ya bandari, serikali Haina dini ( non cecural state ) Kwa hili la bandari na ukosoaji wa maaskofu wa Tanzania kwa kilionekana uwekezaji usio na tija, PAPA Hana nafasi.
Kuna issue kati ya kanisa katoliki Tanzania na Rais Samia ndio maana mama kaamua kuwaendea huko kwa mabosi wao...mama haivi na kanisa katoliki Tanzania ndio mana Yuko na kina malasusa
Kuna mtu anazungumzia kukubaliwa au kukataliwa? Muwe mnasikiliza vizuri ilibmchangie mada kutoka kwenye informed position. Unamjadili mtu usiyemjua kuhusu mada iliyo mezani.
Umenena kweli tupu kwamba watawala wamebuni njia haramu ya kuomba kuonana na Papa moja kwa moja bila kupitia baraza,na kuutangazia uma kuwa Papa ameomba kuonana ili kuvuruga msimamo thabit wa baraza la TEC ambao unatetea katiba na kuathiri msimamo hasi wa serikali kukwamisha upatikanaji wa katiba mpya.
Mzee wangu ivii uliongelea ule uonevu juu ya yule mchungaji wa MBEYA...aliyefungwa miaka mitatu3 na siku 14....mimi nasikia juu juu tuuuu..tupe tufahamu kuna na kimo tafadhali
Papa Ana msada gani na tanzaniA kafarki magufuri Atuja ona Ata pole selekari na dini wapi nawapi watu kama Ao wana ruhsu mapenzi ya jinsiA moja mtakah muonge nini kuA mini dini Naku Amini mungu nivitu viwiri tofa uti utumwa kitu kibaya sanna kumu Abudu mungu wa kweli🌳👃🕊️🚶🚶🚶🚶🚶
UKO VIZURI SANA BROTHER...I'M PROUD OF YOU BROTHER....❤
Una uchambuzi mzuri sana kaka. Unatusaidia kutufikirisha ❤. Nashauri pia uwe una vipindi vya makala za kielimu za kutuelimisha juu ya masuala mbalimbali kama nishati safi, lishe na haki za binadamu na utawala bora🎉. Ahsante sana🎉
Kwa tafakuri ya leo nimekupenda
Ameenda kujitetea kabla ya TEC haijashusha nyundo ingine
Kabisaaaa😂😂😂😂
Umeongea point.
Ramli
Mmhh!! Kamba
Maana vichwa wale
Mzee huwa nakuelewa sana Mungu akupe maisha marefu
Mzee naona hulali. Kaz kaz.
We kweli muandishi wa habari wa uchunguzi yaani mchimbi sana nimeipenda hio muandishi wa kuhoji kutafuta habari sio kupokea nakutuhabarisha sisi."Naumiss" sana uandishi wako Mzee Ngurumo Maswali Magumu
Sijaisikia hbr hiyo , Asante
Huo wote ni mtikisiko tukaze buti mpaka kieleweke wanajisahaulisha kwamba kanisa lina watu weledi kuliko kuliko
Sasa akaongopee huko.Kujisalimisha wamegundua huwezi shupazia wakatoliki mishipa ya shingo pale wanapokushauri jambo
Nakuelewa Sana mkuu, this is my favorite channel
Mimi sio Papa wangu.
My Papa ako kwa kiti chake cha kuhukumu hukooo mbinguni pamoja na mpenzi wangu Yesu.
Ndugu yangu kama ulivyo sema, papa ni ofisi/ kiti. Utakatifu ni ofisi. Kama binadamu wa kawaida hivi sasa amekumvwa na malaika Mbaya ' lusifa yule 666' . Na ndio maana Maaskofu wengi duniani wamemponda.
Alitakiwa kujiuzuru bali yeye na mshauri wake ni wakaidi.
Baba Rugambwa ana kofia mbili pia ni Mshauri wa Papa kila vikao Vatican lazima yupo. Sasa hata wakiomba kuonana naye bado hawajafauru kitu, Maana Papa hataki haya mambo yote yanayoendelea hapa, wao watendee haki Watanzania, si familia zao, ndugu na marafiki zao wengine hatuthamaniwi. Mungu hachunguziki
Pengo umemsahau
Yaani inasikitisha watu wana mahela wakati wengine hawana hela ya mlo mmoja changamoto
Yote mema aende akabarikiwe na Papa ili Mambo yaende vizuri kwa kuwa kuna mengine kwa kweli yako vibaya sana humu nchini!!!😢😢😢😢
Unajitambua na fikra zako Zinaonekana ni kubwa na unaitakia mema nchi yetu.hongera Kwa mawazo mazuri
👏👏👏👏🙏
HATUWEZI KUWAKUBALI...PAPA NA MASHOGA WOTE HATUKUBALIII HUU UPUMBAVU...HAO MAPAPA WANABARIKI MAMBO YA HOVYOOOO HATUKUBALIII..
Unaropoka mdomo kichwa kimekosa ubongo
Kwani wewe ni mtenda mema hakuna mkamilifu hapa Duniani tunanuka dhambi tupu
Analysis yako imekaa vizuri kwa anaeelewa, kuhusiana na nyaraka, matamko ya TEC, na uzodoaji walofanyiwa wakati wa utiaji saini IGA
Kaaaa kaaa kooo! Hapo nimeona kweli ila kama pia hesabu imepigwa aisee! Kumbe wanapigaga hesabu eti! Akili kumtwe bwana!
Hivi nyie hamjuwi kuwa vatikan ni taifa na kiongozi wa nchi hiyo ni papa
Hayo mambo sisi hatuyataki, tunataka katiba mpya, uongozi bora na siasa safi, ye atutendee tunayoyataka shida kuna watu wamemzonga zonga sana kwa manufaa yao!
Why wanakimbilia kwa papa....?😂
Papa hatowasaidia lolote..
Yeye aache udikteta...
Umesema kweliPongezi kwako
Utoto uo kwani papa ajui yanayo enderea tz kuto kwa wawakilishi wake kwanza katiba mpya papa badae sisi kiroho tuko vizuri tatizo ni kiutawala na ufisadi wizi wa Mali za wa tz na utawala usio zingatia katiba na sheria
KWELI KABISAAAA
Yaani ana utoto...
Sana huyu mama...
Walahi!
Ni kweli lile swala la bandari lilileta changamoto
Kabisa
Jamaa amechambua kisomi sana hii kitu.
ASANTE SANA BWANA NGURUMO UMETUELEWESHA
Mungu akupe umri mrefu Sana nakufatilia na kuelewa content zako mungu akulinde brother❤
Kwa uchunguzi huu wa kina, SALUTE kwako mkuu, ingawa inaonekana unajua mambo mengi sana nyuma ya pazia lakini ki ustaarabu umeamua kudadavua machache.😊
Ngoja inyeshe tuendelee kuona panapo vuja
Aksante
Nimekuelewa sanaa
Usemi wa Ndugai kwamba nchi imeuzwa haujafutwa
👏👏👏👏👏👏
Huo ni mpango mahususi wa mapicha picha.Kama Mbowe alivyotolewa gerezani na kupelekwa Ikulu kupiga picha ya kuwarubuni Watanzania kuwa wao ni watu wema hata baada ya Mateso,Sasa wanaenda kuwarubuni Wakatoliki na Watanzania kwa picha toka Vatcan.HATUDANGANYIKI TENA.
Kwani ninyi wakatoliki mko wangapi nchi hii😅😅😅
@@hassanmfaume4522idadi ili iweje?
@@hassanmfaume4522ni wengi kuliko nyie
Hongera sana jomba
Kardinal amuandikie Papa, amwambie watz wanataka Katiba mpya.
Duuu
😄 🤣
Papa hana nguvu ya kumshinikiza samia,watanzania ndio wenye ngivu.
@@shadrackwilbard3834 Amshauri
Yaani huyu mama.
Nimekuelewa sana nami nitaweka na akili zangu hapo
Wew kiukweli ungepewa urais wa tz tungekula kuku kwa mrija
Papa yupi, huyu aliyepingwa na maaskofu kuhusu kubariki ndoa za jinsia moja?!
Mmh!
Kuna kosa kubwa sana akina Shekhe Mwaipopo walifanya wakati wa mijadala ya Bandari. Waliwatukana sana Maaskofu na kuwadhalilisha.Na kibaya zaidi Mpoto aliwakejeli sana Maaskofu kule ikulu huku akiwasimangia chakula. Hayo makosa yanaigharimu sana Serikali na CCM. Watu hao wamemharibia sana Raisi wetu kwa kujua au kutokujua nguvu waliyonayo Maaskofu. Maaskofu walialikwa Ikulu bila kuambiwa kuna nini. Matokeo yake huko kukawa na mada ambazo hawakutegemea kuzisikia licha ya kudharauliwa na Mpoto ktk mashairi yake. Nadhani Raisi angeshauriwa azungumze na Maaskofu kuwaombea radhi wale waliowabeza kuanzia Mashehe mpaka Msanii Mpoto. Hapo ingeleta amani mioyoni mwa Maaskofu na Raisi wetu angeingia kwenye uchaguzi akiwa na baraka za Maaskofu. Tunamwombea sana Raisi mambo yaende vizuri.
Hao maaskofu wana baraka Gani 🤣 Huyo Papa anaruhusu ushoga Hana baraka zaidi ya laana 😢
@@roggoyacnyna ndio maana Maaskofu wengi duniani walimpuuza.
Wewe naona unatapatapa ndoa maana ulikimbia nchi Papa anahusika vipi kwenye uchaguzi ujao.Wakatoliki hata wasipomchagua atashinda tuu.
Hata hatuna haja nae bora angeondoka tu madarakani
Acha ujinga wewe hakuna lolote ambalo Lina husiana wakina mwaipopo! Hapo walikuwa wanaongelea maswala ya ushoga bhana.
Hao maaskofu wanamchango gani Katika nchi yetu zaidi ya kutupeleka na kutunyonya.
Isitoshe yule ni papa lakini ni Rais pia katika kijinchi chake kidogo hivyo Kuna maajabu gani?
Rais wetu anaonyesha hana ubaguzi kwamaana nchi za kiarabu alikwisha kwenda sasa kaenda na nchi ya kizungu ya kikristo kwamaana anawaongoza wote. Nyie makatonta acheni ushamba
Umeeleza vizuri lakini kuna kingine kikubwa Cha malengo ya papa ambacho ni kusapoti ushoga maana ndo kauli mbiu yake ya Kila siku
Waziri Januari alisema kama kunaombi limetumwa kutoka Tanzania la Ziar na halijachukua wakati likakubaliwa
Ngurumo uko vizuri na kila la heri ktk Tafakari zako
Someni Isaya 10:1hadì 4.
Analysis yako imekaa vizuri
Mungu jidhiilishe juu ya Taifa lako
Sisi waafrika tutakuwa mikia hadi mwisho wa dunia, sasa huko kwenda kujipendekeza ili apate nguvu kubwa dhidi ya watanzania, yaani bila kupata backup kutoka kwa mzungu mwafrika anaona mambo hayataenda, hakika huu ni utumwa wa kifikra wa kiwango cha lami, huku ni kutojiamini 100%, mzee baba JPM asingefanya hivyo hata siku moja, inaonekana mama anausaka uraisi 2025 kwa udi na uvumba anahakikisha kona zote anaziwekea mazingira sawa, jamani urais mtamu ndio mana watu wanauwana - RIP JPM jembe letu, bado tuko na wewe kiroho.
Aya nmekuelewa
Kwel tupuuu
😂😂😂😂mi simo. RIP Dad Magufuli
keanda kwa papa siyo kwenda kujipendekeza kwa wazungu bali ni kwenda kujisalimisha kwa mkuu wa marais wote duniani ambaye ni papa, mwenye kofia mbili za mamlaka, yaani kisisasa na kidini, nafikiri bado hujaijua vizuri dola ya rumi inavyoendlea kutenda kazi duniani, hii mamlaka ya upapa ni kubwa marais wote wanainama kwake, usichukulie kawaida endlea kujifunza usiwahi kuogea tu eti tunajipendekeza kwa wazungu
Mitazamo ni mingi sana, asante kwa maoni yako,kama endapo Kuna shida katika maswala ya bandari, serikali Haina dini ( non cecural state ) Kwa hili la bandari na ukosoaji wa maaskofu wa Tanzania kwa kilionekana uwekezaji usio na tija, PAPA Hana nafasi.
Mungu atangulie ziara ihi ya mama Na papa
Mbona hamna shida yoyote hapo ,
Mzee Papa anataka kumaliza uzee wake na mama Samia
Yoooooo 🤣🤣🙆♂️🙆♂️🙆♂️ Mhhhhhhh
Acha wivu ww mzee
Amanda kuwashitaki😮
Acha kapate baraka ili Serikali na viongozi wake waachane na ukandamizaji wa sheria, uroho wa madaraka na dhuruma kwa Watanganyika
Baraka kwa ndoa za jinsia moja
Panic stations much much alive.....keep observing
Sinaga muda wa kujadili siasa
pamoja mzee nakuku bari sana
Nakukubali
Kuna issue kati ya kanisa katoliki Tanzania na Rais Samia ndio maana mama kaamua kuwaendea huko kwa mabosi wao...mama haivi na kanisa katoliki Tanzania ndio mana Yuko na kina malasusa
Watashindwa mda usha chelewa time will tel✌💪💪💪💪💪💥💥💥💥👊👊👊👊
Ndoa za jinsia moja lazima zitabarikiwa sio!?
Tufungue baba tumekalia soka tu
Ramli za Zinaendelea
Huu ndio ukweli na hakuna ukweli mwingine zaidi ya huu. Ila yeye na aende lakini akili zetu kumkichwa!
Huyu ana kipala cha uzushi ana lolote. Papa ana mkubali samia
Kuna mtu anazungumzia kukubaliwa au kukataliwa? Muwe mnasikiliza vizuri ilibmchangie mada kutoka kwenye informed position. Unamjadili mtu usiyemjua kuhusu mada iliyo mezani.
Je kwa mtazamo wako Bwana sk itakuwa na kishindo gani kwa tec .
Umenena kweli tupu kwamba watawala wamebuni njia haramu ya kuomba kuonana na Papa moja kwa moja bila kupitia baraza,na kuutangazia uma kuwa Papa ameomba kuonana ili kuvuruga msimamo thabit wa baraza la TEC ambao unatetea katiba na kuathiri msimamo hasi wa serikali kukwamisha upatikanaji wa katiba mpya.
Wanayajuwa wahusika na yote sawa tu
Tatizo sio ukatorik tatizo nibkupinga nda za jinsa mja.
Ikiwa unauelewa Unabii hauwezi kupata shida kwa kilr kinachoendelea
Aende lkn Papa hawezi fungua TEC
Watu wanatumia pesa nyingi za serikali kwa mambo yao binafsi na kwa ubinafsi tu, tuna ssafarindefu sana waafrika
Kaburu wa Tanzania aliyekimbia nchi yake na kwenda kuishi ughaibuni
Kuna siri kubwa ndani ake onayoenda kizungumziwa dhidi ya mama samia na papa Francis, ukiangalia tupo kwenye ujumbe wa malaika wa tatu.
Vipi kuhusu ushoga je wakatoliki wameupokea baada ya Papa kuunga mkono
Upinde nauona kwa mbaaaaaaaali
wamenuna wakatoliki sioooo
Mzee wangu ivii uliongelea ule uonevu juu ya yule mchungaji wa MBEYA...aliyefungwa miaka mitatu3 na siku 14....mimi nasikia juu juu tuuuu..tupe tufahamu kuna na kimo tafadhali
Inaleta mshangao kama watu hawajapata taarifa ila tumekuelew
😅😅😅😅
Nimefurahi kusikia ajabu hii
Ushindi wa CCM hautegemei papa wala nyangumi
Unategemea mchongo
Umeongea matope kabisa kwani hao ndio wanamchagua rais .
Hata hivyo ni jambo jema
Donge Nono litumike kulainisha mitambo na oil nyepesi.
😂😂😂😂😂
😅😂😂😂😅😅😅
Papa Ana msada gani na tanzaniA kafarki magufuri Atuja ona Ata pole selekari na dini wapi nawapi watu kama Ao wana ruhsu mapenzi ya jinsiA moja mtakah muonge nini kuA mini dini Naku Amini mungu nivitu viwiri tofa uti utumwa kitu kibaya sanna kumu Abudu mungu wa kweli🌳👃🕊️🚶🚶🚶🚶🚶
Dr. Slaa W atamsiindikiza mheshimiwa rais Vatican ,ili kumsaidia masuala ya Pope.
❤😂🎉😢😮😅
Sasa papa sifurmasoni atamshauri nini
We acha uongo ni ishu za ushoga
Hataweza kununua mtu hapa. Anacheza na vichwa imeenda shule na vimejaa hekima. Atafute gia nyingine tuu
Acha kuzingua
Wenye maupala kichwani siku hizi ovyo
Huo ni umbea sana ameenda kwa papa hu shetani to jaman anataka kumtendanini Baba yetu usiende huko shetani wee
Kwani papa ndoa mwenye hii inch
Muulize raisi wako na ccm yao😅😅
Pope ndie kiongozi mkuu wa maraisi wote duniani
Ww mzee mnafiki Sana na wivu unakusumbua sana
Hapana alikwenda kushughulikia swala la ushoga hakuna lolote
Wacha atuletee UPINDE
Shamba lao hili la kubunya 😅😅😅