Chadema mko vizuri Sana. Nawapenda. Mnajua kujenga hoja zenye mashiko ❤❤❤❤✌️✌️✌️✌️ chakwanza tuhakikishe daftari la kupigia kura. Ila wanaopiga kura kwa kupewa. 5000 ni kukosa maarifa saaaana. CCM wanacheza na akili za watu. Watu nao tamaa zinawaponza Sana. Tunakubali kuuza kura kwa 5000 baada ya hapo. Shida. Shekhe uko vizuri saaana❤❤
@@illomowerner7690 hujaona clip ya Nape? Kwa maoni yangu yule kijana hana dini hivyo hana hofu na Mungu na hii inategemea mazingira aliyozaliwamo japo twas ema "kitanda hakizai haramu"! Ni najisi tupu kutoka kinywani mwake
>Ni uharibifu wa maisha ya jamii..athari mbaya sana ya muda mrefu! >Hali mbaya ya maisha inatukabili sote..umaskini wa wengi katikati ya utajiri! >Maisha bora ni kwa kundi dogo sana la walio madarakani!
@@cassimoa9217 siyo kweli mkweli siku zote hupendwa na wenye kweli na hapendwi na wanafiki na waroho wenye ubinafsi mwenye kweli athibitishe uongo wa huyu Shehe huyu amekuwa sauti ya MUNGU hajapindisha wala hajajipendekeza
@@Kwelihukuwekahuru @ cassimoa kwa busara kubwa sana bila kupaniv, hongera @kwelijukuwekahuru coz yawezekana haya yeye hajielewi, yaani badala ya KUJADILI fact anageneralize KUWA njaa imemleta sheik CDM, wakati anauona uhalisia WA anachokisema, daaaa. Halafu unaweza kuona ni kijana mwenzetu
AKILI KUBWA HII..❤
Huyu Bw.Kadogoo kaongea maneno manzito sana.Hongera yake.
Kadogoo maneno yako ni ya haki ubarikiwe
Huyu ni Mbegu ni mbegu ya ukombozi, "a seed revolution that needs to be irrigated" daily.
Ni kichwa lazma ukipende kwa hoja zake!!
Allah Akbar!!
UNAJUA KUJENGA HOJA KIONGOZI ❤
Hongera Sana MH Shekhee Kadogoo.
HOTUBA NZURI SANA KUWAHI KUTOKEA.
Wengine ni mtaji tu wa kuwafanya wenye ccm yao kula maisha.
Kiswahili fasaha unaeleweka ni bahati mbaya Watanganyika hatuna ufahamu bora Wazanzibar wanajielewa
Huyu shehe Kadogoo anatisha!! Elimu anayotoa usipoelewa basi tukuombee!!! Hongera sana sana Kadogoo!! Tukiendelea hivi watu wataelewa watafunguka!!!
Uko vizuri sana sheikh Kadogoo. Waislamu wanahitaji watu revolutionary kama wewe sio wale wachukua bahasha za kakhi
Walai tena wanachi ni mtaji wa ccm huyu Sheeh ameonge ukweli Mungu amjalie 🙏🙏🙏
Sio uongo hata kidogo lakini shida kuna watu hawajitambui na hawatokujakujitambua sijui wamerogwa na nani
Hotuba hii inaniuma sana! Sisi ni mtaji wa kuwafanya wachache wafaidi matunda halisi ya nchi hii.
Huyu she cdm watembee nae all over the country
Anafaa kwa campain
Ukweli mtupu
Chadema mko vizuri Sana. Nawapenda. Mnajua kujenga hoja zenye mashiko ❤❤❤❤✌️✌️✌️✌️ chakwanza tuhakikishe daftari la kupigia kura.
Ila wanaopiga kura kwa kupewa. 5000 ni kukosa maarifa saaaana. CCM wanacheza na akili za watu. Watu nao tamaa zinawaponza Sana. Tunakubali kuuza kura kwa 5000 baada ya hapo. Shida. Shekhe uko vizuri saaana❤❤
Shehe, Kadogoo..... uko vizuri & so bright
Sheikh Kadogoo uko vizuriii sana kwenye hoja👏👏👏
Mungu tajiri❤❤❤❤
UNA AKILI KUBWA SANA SHEHE..WEE NI MZALENDO WA KWEL
Madini konki! Angalia wasikuhonge kama Msigwa wakakutoa kwenye focus ya kupigania haki za wasio nacho
😂😂😂Festo bhana, khaaaa
@@illomowerner7690 hujaona clip ya Nape? Kwa maoni yangu yule kijana hana dini hivyo hana hofu na Mungu na hii inategemea mazingira aliyozaliwamo japo twas ema "kitanda hakizai haramu"! Ni najisi tupu kutoka kinywani mwake
Na zaidi Sheikh, hujaenda huko kusalisha!!
Ukweli mtupu!
Great minds
Nimemuelewa
Huyu ni Shehe wa kweli siyo wale wachumia tumbo kweli Chadema ni mpango wa Mungu huyu Kadogoo ana ushawishi siyo wakawaida
Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
Be blessed Pail for your smart lodt
Smart post, sorry for the writing error
Kiongozi uko vizuri Kwa asiyekuelewa hatokaaa aelwe Hadi kiama.
>Ni uharibifu wa maisha ya jamii..athari mbaya sana ya muda mrefu!
>Hali mbaya ya maisha inatukabili sote..umaskini wa wengi katikati ya utajiri!
>Maisha bora ni kwa kundi dogo sana la walio madarakani!
❤ hongera
Hotuba nzuri sana haija wahi tokea
Asante sana shekhe
Mnhh .hii noma sana 😎
Chadema inakua ni dhahabu tuu inangaaaa
Kabisa kabisa @munisi
Well said ustaadh
Duh!
Mzee narudia Tena Ile clip iliyopita kwamba chadema haishiwi karama ya viongozi 😊😊
Kabisa kabisa User
Huyu jamaa anatufaa
Hongera kiongizi madini hayoo ❤🎉
Umenigusa kwaķweli 😭😭😭
Asante Sana kwa hotuba nzuri ubarikiwe sana
Umeongea points nzl sana
msgwa Kwa huyu jamaa saw na V8 na Bajaji
Gift Kalenge bhana, unapiga kwenye mshono, daaaa
Huyu shehk mbona anatoa elimu kubwa hivi ni elimu
Sema usigope sema
Hatari
🎉🎉🎉❤❤❤
Uyu jamaaa anaijuwa siasa
Kweli kabisa
Wamesahau kuwa CDM ndiyo walipiga kelele mpaka mashehe wakaachiliwa
Kweli kabisa, CHADEMA ndio waliowapaazia kelelw masheik walioonewa na kufunga gerezani
Mbegu ya ukombozi wa fikra
Tanzania ikipata viongozi wa dini wa namna/aina hii, itakuwa imepata uhuru
🙏🙏🙏🙏🙏
Ccm wamekomoa wananch
HUYU SHEHE NIMTU NA NUSU CHADEMA NGOME IMARA
Mi naamn waliotufikisha apa tulipo ni viongozi wa dini kukaka upande wa ccm wote. Kwa sababu ya matumbo yao
Viongoz, wa dini ni machawa ccm, cjui we shee umeweza je kuchomoka uko!
urikuwa wapi
Sheik alikuwa kusoma si unaona hoja zilivyoshiba na zinavyoakisi uhalisia wetu
Natamani nikupigie makofi mengi
...huenda baada ya miezi kadhaa unahamia ccm
Siasa bwana😂😂
😅😅😅
Lakini kwa sasa tunashukuru anawafumbua watu macho
@@sebastianmwantuge5597 hakika
😂😂😂
Anaongea lugha ambayo mtu wa kawaida anaweza kumwelewa
IPO SIKU HUYU ATAKUWA TENA CCM KWA NENO NAUNGA JUHUDI NAKUANZA KUIPONDA CHADEMA OGOPA SANA SIASA
Hana lolote njaa inamsumbua kaenda tafuta mtaji cdm
@@cassimoa9217 siyo kweli mkweli siku zote hupendwa na wenye kweli na hapendwi na wanafiki na waroho wenye ubinafsi mwenye kweli athibitishe uongo wa huyu Shehe huyu amekuwa sauti ya MUNGU hajapindisha wala hajajipendekeza
Sio kila mtu ni mlafi sio wote wananunulika
Umetumia nini kuongea, au umekatika kichwa?
@@Kwelihukuwekahuru @ cassimoa kwa busara kubwa sana bila kupaniv, hongera @kwelijukuwekahuru coz yawezekana haya yeye hajielewi, yaani badala ya KUJADILI fact anageneralize KUWA njaa imemleta sheik CDM, wakati anauona uhalisia WA anachokisema, daaaa.
Halafu unaweza kuona ni kijana mwenzetu
Utakuwa na govi wewe unaye mpinga huyu Shehe