CASSIAN AMKEMEA PASTA TON KWA KUPOTOSHA MAFUNDISHO POTOFU EV PASCHAL CASSIAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 1.2K

  • @japhetstanislaus7956
    @japhetstanislaus7956 2 หลายเดือนก่อน +178

    Sisi wa mkuyuni tunaosaidiwa na BWANA tu like hapa

    • @Aviellar1
      @Aviellar1 2 หลายเดือนก่อน +1

      Na tulivowengi😂😂

    • @toytv89
      @toytv89 2 หลายเดือนก่อน

      🔥

  • @jacquelinephilimon5163
    @jacquelinephilimon5163 2 หลายเดือนก่อน +35

    😅😅😅😅😅 Dah any way I love PT for life nampenda sana Baba yangu wakiroho Pastor Tonny Osborn kapola baba your new Generation is on fire 🔥

    • @GloryLubango-tv4hd
      @GloryLubango-tv4hd 2 หลายเดือนก่อน

      @@jacquelinephilimon5163 safi bro na mtu asikusumbue Hapo, ili upate baraka Wa mzaz wakiroho acha kua kinyume nae, watu hawajuagi thaman ya watumishi Wa Mungu wanaonaga tu makosa, ila wakiwa na shida sasa baba niombeee, shenz kabisa🤔 Hawa ndo walisababisha wana Wa Israel kusimama kusumbili ukoma wao uishe, wakina miliamu hao 😢 mtu anashindwa kumtafuta Mungu anaangalia Nan kafanya nn

    • @ashantimbangule4978
      @ashantimbangule4978 หลายเดือนก่อน

      @@jacquelinephilimon5163 😍😍😍😘😘😘😘😘❤️❤️❤️❤️👌👌👌👌👌👌

  • @mashande2373
    @mashande2373 2 หลายเดือนก่อน +48

    P T ...nakutambua sana baba keep the real gospel in town lazima utasemwa baba muhimu wako mahusiano yako na MUNGU wako#sisi ni wale tunaosaidiwa na bwana

    • @waafricasana_handmadekitomarye
      @waafricasana_handmadekitomarye หลายเดือนก่อน

      As long as i see God through pt😂😂😂😂😂😂😂😂tumia kinywa kingine mdomo2 hautoshiiiiiiì😅😅😅

  • @peter_paulofficialy
    @peter_paulofficialy 3 หลายเดือนก่อน +209

    Umejitahidi kuongea, ila nadhani ungekuwa na lengo la kumuonya ungemtafuta inbox na kumueleza haya, mm nadhani unatafuta attention ya watu au kutrend kama yeye, mm nazungumza nikiwa siyo muumini wa Tonny wala muumini wako....cdhani kama umefanya vizuri, jitahidi kuubiri bila kuwasema watu ili Mungu awabadilishe na cyo kumuattack mtumishi yeyote....kama umeliona hili gonga like hapa na itawasaidiq watumishi wengine wahubiri watu wabadilishwe na c kusemana kama kina harmonize na kina diamond na kina kajala

    • @lwimboderick7479
      @lwimboderick7479 3 หลายเดือนก่อน +17

      Hao walio yapokea tayari.. nani atawaambia sio sahihi.
      Casian ana deal na nguvu ya mtandao...kuharibu na Kutengeneza.

    • @jmonlinetv4932
      @jmonlinetv4932 3 หลายเดือนก่อน +15

      Cassian yuko sahihi kwasababu yeye alisema hadharani na watu wengi wamesikia je akimwambia kwa siri hao waliosikia hilo somo la upotovu watajuaje kama hilo somo sio sahihi?, kumsema hadharani inamponya yeye na wote tunaomfuatilia pst Tony ili tujue kapotoka, mi nampenda pst Tony sana ila kuna vitu haendi sawa.

    • @mathiasdioniz5891
      @mathiasdioniz5891 3 หลายเดือนก่อน +12

      Msikilize vizuri mwinjilisti kaka, alafu soma biblia, "ya hadharani yanakemewa hadharani..."

    • @albertfrancis6557
      @albertfrancis6557 3 หลายเดือนก่อน +9

      Wewe mwenyewe umemalizia Kwa kuombea like...Dah! Dhambi inayofanyika hadharani hukemewa hadharani Ndugu yangu!

    • @michaelmagwaza-bc6mk
      @michaelmagwaza-bc6mk 3 หลายเดือนก่อน +8

      Amepotosha hadharani akemewe hadharani hii ni Biblia Petro alikemewa hadharani na Yesu tena kwakusema Shetani rudi nyuma.

  • @dionizcyprian2023
    @dionizcyprian2023 2 หลายเดือนก่อน +40

    Mungo mbariki Pastor Tony muinue zaidi kwa viwango Vyatumbo Jud sana’Much respect Baba keep the good work Baba uwezi kuanguka IJN Amen

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahaha nawe amekudakaa😂😂😂

  • @jogaa9425
    @jogaa9425 2 หลายเดือนก่อน +9

    Pascal mungu akupe baraka Kwa kusema ukweli, siku zote ukweli watu awaukubali na ukubari kuchukiwa na watu kuriko mungu akuchukiye ❤

  • @dravioanjelomgulunde6332
    @dravioanjelomgulunde6332 2 หลายเดือนก่อน +8

    Pst.Tony kapola nakuomba na ninaomba Mungu usikatishwe na tamaaa ya watu wa hovyo kama hawa ambao kua yao mpaka wawaseme wengine keepup bro God bless u ever,,!

  • @JACKLINEMAHENGE
    @JACKLINEMAHENGE 2 หลายเดือนก่อน +54

    I've never been attentive to pastor Tony preachings but i think he's so much into celebrities world he loves to associate with those kinds, he maybe be have his valid reasons and i pray that the darkness from that side may not overpower the anointing in him if there is any

    • @sharontv3618
      @sharontv3618 2 หลายเดือนก่อน +4

      Golden comment❤

    • @SarahKibiti
      @SarahKibiti 2 หลายเดือนก่อน +1

      ❤❤

    • @elijahmtatuu3128
      @elijahmtatuu3128 2 หลายเดือนก่อน

      Amen Amen

    • @bintalmasi2393
      @bintalmasi2393 2 หลายเดือนก่อน +1

      He is already overpowered and corrupted

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 2 หลายเดือนก่อน

      exactly

  • @Here.there24
    @Here.there24 2 หลายเดือนก่อน +7

    Pastor Tony is preaching the truth...a true gospel. Jesus came for the lost. God loves all. We should stop judging people.

  • @edwardpapianomigembe7553
    @edwardpapianomigembe7553 2 หลายเดือนก่อน +37

    WE LOVE YOU PASTOR TONYY ❣️❤️❤️❤️❤️

  • @JenniferAela
    @JenniferAela 2 หลายเดือนก่อน +73

    MUNGU mbariki Pastor Tony

  • @PendoFrancis-c8o
    @PendoFrancis-c8o หลายเดือนก่อน +4

    MUNGU akutie nguvu sana pasta casian ,watu hawajuw unacho kifanya baba, amina

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 2 หลายเดือนก่อน +4

    Tony ni motivation speakers na sio mtumishi wa Mungu

  • @DafafaDafafa-g1v
    @DafafaDafafa-g1v 14 วันที่ผ่านมา +1

    Pascal unachokifanya leo generation ijayo ndio watakuelewa zaidi....kasiani ninakuelewa unalialert kanisa la Mungu. God bless you pascal.

  • @shavasjohnkay-cw8lg
    @shavasjohnkay-cw8lg 2 หลายเดือนก่อน +14

    Tony Kapola may God keep you and increase you.

    • @mfanyakazihardware
      @mfanyakazihardware หลายเดือนก่อน

      Soma Bible na uelewe yesu alikuja kutafuta wenye dhambi pasta kapola yuko sahihi yesu hakuwa na wema tu bali na wenye dhambi

  • @kelkel4483
    @kelkel4483 3 หลายเดือนก่อน +57

    Kuwataja Hao aliwataja aliwataja katika angle ya kumaanisha kwamba Hao wasanii wanauwezo wa kumrudia na kumtumikia Mungu sema basi tu ni kwamba hawajui,maana yesu alikuja kwa wenye dhambi kwa hiyo na Hao wasanii Wana nafasi ya kubadilika,na pia kama wanaweza kushawishika wakatunga nyimbo ya kumsifu Mungu haitokua na shida yoyote,so wakati wa mungu ni wakati sahihi so anajaribu kuwashawishi wake kundini like kuwin their soul.. so ulitakiwa uanze mwanzo wa kongamano mwanzo mwisho,sasa kama atakua amekosea labda kwa angle za level za kitumishi kwenye vyama vyenu huko..,so shida sio Nani kaimba ila ni nini kimeimbwa,ndio maana rahabu kahaba nae alitumiwa kufanya kazi ya Mungu,so it's possible kwa uelewa wangu mdogo

    • @Samsonnoahndagw
      @Samsonnoahndagw 3 หลายเดือนก่อน +2

      Afadhali umekiri kwa uelewa mdogo

    • @EDINAESSAD
      @EDINAESSAD 3 หลายเดือนก่อน +1

      umenena vyema

    • @sigimwangombola5915
      @sigimwangombola5915 2 หลายเดือนก่อน +1

      Bora ungenyamaza tu

    • @gitongaz
      @gitongaz 2 หลายเดือนก่อน

      Mimi hungojea sana mungu anifunulie wahubili wa uongo, tena na wale wa ukweli , kabla ya kutaja mtu, Kisha niedee hizo kondoo hizo simepotea ,Dunia inahitaji unabii wa mungu Ili injili ikubalike bele za mungu

    • @DaudDavis-ur6cm
      @DaudDavis-ur6cm 2 หลายเดือนก่อน

      @@kelkel4483 ulipo kunywa soda maana kuna watu wanajua yesu alikuja kwa waliokoka

  • @AshaJuma-s7l
    @AshaJuma-s7l 3 หลายเดือนก่อน +24

    Mtumishi wa Mungu Asante nashukuru. Naomba uniwezeshe kuchanga chochote kwa kazi hii ya mtumishi wako.

  • @Leah-mbilizi
    @Leah-mbilizi 3 หลายเดือนก่อน +12

    Thank you, God, for this Revelation message 🙏🏾 it’s 1:28 am 7/7/2024 watching this beautiful message… Ubarikiwe sana Mtumishi
    🇺🇸

    • @ahazichunya4265
      @ahazichunya4265 2 หลายเดือนก่อน

      Ubalikiwe anatufunza mengi

  • @cydrahope5251
    @cydrahope5251 2 หลายเดือนก่อน +29

    Wewe unayedhani umesimama angalia ......... I respect anointing ya Kapola God keep you man of God 🙏 hata Yesu alikosolewa sana na mafarisayo 😅

  • @irenelucas5204
    @irenelucas5204 2 หลายเดือนก่อน +2

    Cassian Mungu wa Mbinguni azidi kukutia nguvu ktk kazi yake ya kuongoza / kukosoa watumishi wanaoenda kinyume na kazi yake.

  • @isdommushi9536
    @isdommushi9536 2 หลายเดือนก่อน +11

    Ubarikiwe na Bwana Yesu Mch. Cassian kwa kufanya kazi ya mhubiri wa Injili. Mtumishi wa Mungu hapaswi kuwainua watu wenye roho ya Mpinga Kristo, watungao na kupenda nyimbo zenye uwezo mkubwa wa "mind & spiritual pollution", kuwainua katika madhabahu ya Kristo ni jambo la upotofu. Watoto wamemezwa na nyimbo chafu, vyombo vya habari, vyombo vya usafiri, kila mahali, "mind pollutants are at work", sasa hata kanisani kwa watumishi wa Mungu jamanii?! Hapana. Mambo haya ynapaswa kukemewa kwa neno la hekima.

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee 2 หลายเดือนก่อน

      Kww Hiyo kumsema Mtu hivyo madhabahuni ndio neno la Hekima..!?

  • @prophetjohnmasso186
    @prophetjohnmasso186 3 หลายเดือนก่อน +27

    Umeongea ktk ukomavu sana kiimani Mungu akutunze akufiche mikononi mwake

  • @ndojes711
    @ndojes711 2 หลายเดือนก่อน +22

    Kukosoa sawa ila kusifia Aaaaaaaaaaah........ WATU TUMEOKOKA, TUMEACHA POMBE, SIGARA, Hutukuti Kidimbwi, hatukeshi COUNTER, saiv tunakesha LEADER'S CLUB kwa MUNGU hamuon hlo. MAN of GOD fundisha neno, acha kufundisha kupitia mifano ya huduma za watu 😢😢,. Ingia CHEMBA MUOMBEEEE KAM UNAHC ANAKOSEA,. Utakuw hauna tofauti na MAFARISAYO sas

    • @jenifferjasper1369
      @jenifferjasper1369 2 หลายเดือนก่อน

      Hakika

    • @JenniferAela
      @JenniferAela 2 หลายเดือนก่อน

      Hawaoni namna Pastor Tony anavyookoa watu wamekalia kujudge tu

    • @toytv89
      @toytv89 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mi kiukweli pt kanitoa sehem ambapo mtu ata aniambie nn hawezi nibadilisha yaani mi ni wakuitwa tajiri mtoto nimeacha kwenda disco nimeacha pombe then mtu anakuambia nn

    • @ndojes711
      @ndojes711 2 หลายเดือนก่อน

      @@toytv89 hawaon hayoooooo watu tumeacha hata Zinaaaaaa 😂😂😂

    • @ndojes711
      @ndojes711 2 หลายเดือนก่อน

      @@JenniferAela watu tumeacha shisha, Bangi, kwenda kidimbwiiii, Kukesha Counter mpka asubuh. Yan mzazi unamwambia naend kweny mkesha wa MUNGU anasema ASANTE MUNGU KWAAAJILI YA HUYO PASTOR WENU. MUNGU AMUWEKEEEE

  • @EvarineMdaki
    @EvarineMdaki 3 หลายเดือนก่อน +9

    Pastor Casian. Be blessed. Endelea kuihubiri KWELI.

  • @kishetz3117
    @kishetz3117 2 หลายเดือนก่อน +1

    PT has just Saved My Soul🙏🏾

  • @reyedwardosborn
    @reyedwardosborn 2 หลายเดือนก่อน +4

    I LOVE YOU SO MUCH PASTOR TONY KAPOLA OSBORN DAIMAAAAAA🙌 PASTOR TONY ACHANA NA IZI KELELE ZA HAWA WATU WENGINE NA CHUKI ZAO NA MAHUBIRI YAO YA KINAFKI NA KUJIFANYA WA KILOKOLEEEE SANA YAAAN WAO NDIO YESU SASA😂😂 PT SONGA MBELE3EEE TUNAOKUOMBEA NI WENGI SANA BABA KAPOLA OSBORN

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 3 หลายเดือนก่อน +14

    2Wakoritho 6:4 bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika saburi nyingi, katika dhiki, katika misiba, katika shida;
    14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?
    15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?
    16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
    17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.

  • @ellymtenga8127
    @ellymtenga8127 3 หลายเดือนก่อน +12

    Mungu akubariki sana Paschal unahubiri injili ya kweli be blessed man

    • @toytv89
      @toytv89 2 หลายเดือนก่อน

      Kukwaruza sauti ndio injili ya kweli 😂 tafuteni ela

    • @foncetecelectricalandelect34
      @foncetecelectricalandelect34 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@toytv89unadhani pesa ndio kipaumbele?

  • @isacktesha6659
    @isacktesha6659 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi ni mshabiki wa pastor Tony, kwa hapo ameteleza ,naunga mkono hoja ya Ezekiel, Mungu wetu akubariki mtumishi kwa kuliona hilo na kuchukua hatua

  • @sweetbertdrummer3940
    @sweetbertdrummer3940 2 หลายเดือนก่อน +4

    No one ana haki ya kuhukumu mwenzake Tuihubiri injili kila mtu anamafunuo yake na mafunuo ni tofauti 🙌🙌

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 2 หลายเดือนก่อน

      SOMA MAANDIKO NA WEW USITUCHOSHE...INAITWA KUONYANA,,,,MTUME PAULO ALIWAONYA TENA KWA UKALI,, 1Timotheo 5:20-22, waefeso 5:11 HUYO MOTIVATIONAL SPEAKER WENU ASIONYWE KISA

  • @RachelPhilipo
    @RachelPhilipo 16 วันที่ผ่านมา

    paschal mungu awe juu yako na akutie mafuta ya roho mtakatif uendelee kuihubili kwel ya nyakat hiz za meisho

  • @ruthhamisi2902
    @ruthhamisi2902 3 หลายเดือนก่อน +28

    Yesu anarudi jamani, tusaidiane, ukiona mwenzako anaenda tofauti na maagizo, na amri za mungu ,tuonyane sisi kwa siku,Mungu baba anatupenda sanaa

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli hali ni mbaya mno tuombeane

    • @rightsman
      @rightsman 2 หลายเดือนก่อน

      Lakini wenzetu wanatuangalia ss tunaowashauri tuna Tania gani Kwanza kama njema watatusikiliza😢

    • @PeterSamson-d8v
      @PeterSamson-d8v 2 หลายเดือนก่อน

      Yeah fact kbs

  • @kelvinmureti700
    @kelvinmureti700 2 หลายเดือนก่อน +2

    Who made you a referee over the church? The right way to correct a wrong doctrine is by personally correcting the minister , this maintains the unity in the body of Christ. Kenya loves Pastor Tony Kapola🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Jeremiatitomawala
    @Jeremiatitomawala 3 หลายเดือนก่อน +21

    Asante mtumishi ..ni hatari kuizoea madhabahu

  • @iamnick8547
    @iamnick8547 2 หลายเดือนก่อน +1

    We love Him moree and moree ❤❤❤ Pastor Tony

  • @alicejohn2567
    @alicejohn2567 3 หลายเดือนก่อน +14

    hello handsome😂 kabla hujasema zaidi kuhusu PT naomba pitia shuhuda za siku ya alhamisi😊 ubarikiwe mtumishi

    • @RyanElias1
      @RyanElias1 3 หลายเดือนก่อน +2

      God Bless you my Sister……………. They dont understand what we learn Yet

    • @alicejohn2567
      @alicejohn2567 3 หลายเดือนก่อน

      @@RyanElias1bado hawajajua jmn natamani wapitie mafundisho ya PT mimi yamenibadilisha maisha yangu kwa asilimia zote kabisa maana yeye anafundisha mtu ujielewe na ujue kujiombea na kuweka imani katika kila unalofanya… watu wengi wanapenda mambo ya miujiza ya kuwekewa mikono lakini sisi watu wa mkuyuni tunaamini katika kufunga na kujiombea wenyewe katika kila tunalofanya

    • @neemacassian1869
      @neemacassian1869 2 หลายเดือนก่อน +2

      Tunaojua tunajua na haturudi nyuma wacha tuendelee kumtetea Pt wetu kwasababu tunajua vile ametutoa wapi kiimani

    • @japhetstanislaus7956
      @japhetstanislaus7956 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂 sisi wa mkuyuni wala atuna shida wenyewe

    • @japhetstanislaus7956
      @japhetstanislaus7956 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mimi najiuliza kama kumrekebisha pt kwanini awake picha ambayo haiendani na somo

  • @ruthhamisi2902
    @ruthhamisi2902 3 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu anatumia watu wake, kuonya na kurekebishana ili sote tuende mbinguni, hapendi tuanze vizuri na tumalize vibaya anaumia sana mungu baba, sababu anatupenda saaaana kama baba

  • @bahatadof5543
    @bahatadof5543 3 หลายเดือนก่อน +16

    Hivi Toni ni mtumishi wa Mungu au inspirational speaker ili baadae awe Mwana siasa

    • @ShawnBeatz
      @ShawnBeatz 3 หลายเดือนก่อน +4

      umeona mbali sana! religion sikuizi ni stepping stone tu!

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Mwanasiasa yukoje na muhibiri yukoje,siasa ni kuleta Maendeleo kwa watu bila kuumiza wengine na kutaza kufanya mabaya hali kadhalika dini ni vivyo hivyo

    • @mshindimpangala731
      @mshindimpangala731 3 หลายเดือนก่อน +5

      Man of God,kama humuelewi mtu anae sema yeye ni mtumishi wa Mungu kwa kukosa mafunuo,nyamaza usiseme vitu huna uhakika.....laana nyingne zinaepukika

    • @SisterDuu
      @SisterDuu 3 หลายเดือนก่อน +2

      Uko busy kujadili maisha ya mutu wakati maisha yako mwenyewe ya nakushinda unaacha kushuulikia ndoa yako au watoto wako wewe uko busy kujadili mutu

    • @obbytouchez_pro9430
      @obbytouchez_pro9430 3 หลายเดือนก่อน

      🤗​@@SisterDuu

  • @Vee_money
    @Vee_money 2 หลายเดือนก่อน +2

    Watumishi wa Mungu wamekosa hekima sasa, huu ni uropokaji na sio injili, sidhan kama huyu pasta anawasikilizaga mahubiri ya watumishi wengine kwa lengo jingine zaidi ya kutafuta kosa ili aje mitandaoni kukosoa, I love you pastor Tony Osborn, injili sio vita mpak tuwachukie watu wengine Kwa sababu eti wanaimba nyimbo za kidunia, alaf pia Mungu angekuwa na hasira kama huyu pasta basi tusingekuwepo maana duh

    • @subirawatson9935
      @subirawatson9935 2 หลายเดือนก่อน +1

      Alaf ni kama anahukum yy Nan?? Atuachie PT weetu

    • @mankamushi7493
      @mankamushi7493 27 วันที่ผ่านมา

      Well said braza

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 3 หลายเดือนก่อน +6

    Bila PT mtapata wapi views 😂😂😂😂 poleni masikini, Tarehe 20 twenzetu Zanzibar wapemba wakaokoke

    • @stellakombi3225
      @stellakombi3225 3 หลายเดือนก่อน

      Twenzetu Zanzibar, hajui watumishi wanaitwa tofauti. Anaacha kuhubiri injili watu waokoke, anakaa madhabahuni kabisa kumuongelea mtumishi mwingine vibaya.

    • @zyonhopefaith3692
      @zyonhopefaith3692 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ila maubili ya Tony hunipa ujasili Sana.... Nakuwa huru......

    • @veeJesus
      @veeJesus 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 wanachekesha sana

  • @GloryLubango-tv4hd
    @GloryLubango-tv4hd 2 หลายเดือนก่อน +12

    Hubirini injiri, msikae kukosoana, Nan kasema nn au kafanya nn, tunamuda mchache Yesu yukaribu kuja, na Kama mkristo mwenzako kakosea ungemfata binafsi na sio kutuhubiria sis kumuhusu, unapohubiri ww hubiri kweli ya MUNGU watu wamjue MUNGU na wajue kupambanua kila mmoja Kwa binafsi yake kupitia Roho mtakatifu, mfate umwambie Kwamba ndugu yangu Hapa unakosea

    • @edithmassawe5629
      @edithmassawe5629 2 หลายเดือนก่อน +1

      Well done

    • @NemesiTemba
      @NemesiTemba 2 หลายเดือนก่อน

      Kwenye bibilia walikosoana Acha na leo wakosoane

    • @conciousclement2
      @conciousclement2 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@NemesiTembaTupe Mstari Wa BIBLIA Usiongee Kwa Mihemuko

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 2 หลายเดือนก่อน +1

      ACHA WAAMBIWE UKWELI BANA!! NENO LA MUNGU LINAPOKUWA CORRUPTED ACHA WATU WAWAAMBIE UKWELI, 1Timotheo 5:20-22, waefeso 5:11

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 2 หลายเดือนก่อน

      @@conciousclement2 wE NDO UNA MIHEMKO NA PUNK LAKO KMA DEFAO,,,WAEFESO 4:28, WAEFESO 5:11, 1TIMOTHEO 5:20-22 KASOME HUKO..AFU ACHENI KUKARIRI, YAANI MTU ASIONYWE ANAPOKOSEA MPAKA MAANDIKO? LILE NI NENO LA MUNGU SIO PENAL CODE MFYUU!! YAANI TUNAHITAJI ANDIKO KUKEMEA UOVU? MZIKI WA KIDUNIA UNAENDA KUIMBA MAHALI PATAKATIFU KWA MUNGU? NYOKO KABSA

  • @AmyeSanga
    @AmyeSanga 3 หลายเดือนก่อน +42

    Kanisa la Sasa tunashindwa kutofautisha mhubiri na inspirational speaker.kisa Kuna kamstari ka Biblia tunadhani ni mhubiri .Hakika Mungu atupe macho ya kuona maana tuna macho ya kutazama tuu huku fahamu zetu zikiwa zimefungamana na kutazama

    • @venacyibrahim5056
      @venacyibrahim5056 3 หลายเดือนก่อน +1

      You are right , this is 100% truee

    • @alfredgahutu1450
      @alfredgahutu1450 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe una mjua PT kweli au? Mwamba anapiga 24hrs nahisi 🙌

  • @ashantimbangule4978
    @ashantimbangule4978 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂Tunao Mwelewa PT Tuimbe kidogo lile sebene letu, ❤aaaahh oohh Yesu Wee, nimezisikia Habari zako Nataka Nione kwa Machooooooooooooo

  • @PeterMurahai
    @PeterMurahai 3 หลายเดือนก่อน +33

    Pst ton alijificha nilimutambua mwaka mumoja uliopita kashajichanganya kitambo, but wewe mtumishi mungu Akulinde na tunakuombea na tunakupenda sana sana niko Mombasa kenya

  • @peterodera5685
    @peterodera5685 4 วันที่ผ่านมา

    Bwana Yesu asifiwe sana mm n mkenya ila sio shida mtu akimkosoa mwenzie huenda anajua zaidi yetu ,ila tue makini tunapo sikiliza injili namuunga mkono

  • @zyonhopefaith3692
    @zyonhopefaith3692 3 หลายเดือนก่อน +16

    Daah Ila mafundisho ya Pastor tonny.... Huwa nayapenda hunipa ujasili Sana...... Hasa kwenye Biashara Huwa najiamini na kuwa huru....

    • @veeJesus
      @veeJesus 3 หลายเดือนก่อน +4

      Naomba nikushauri. Mfuate Pastor Tony usiwaskilize hawa mbweha wanaacha kuhubiri injili wanamuubiri Tony

    • @AnnaJackson-zi3xe
      @AnnaJackson-zi3xe 3 หลายเดือนก่อน +3

      @@veeJesusyaniiii seriously mtu anaandaa sermon kumcritisize mwingine🙌🏾🙌🏾🙌🏾did God sent these men to judge other ni huzuni kwanini usiplay nafasi yako , ubiri injiliii eeeeeiiiiiiiiiiiiiii looking at this fyuuuuuu

    • @upendoryobafrancis98
      @upendoryobafrancis98 3 หลายเดือนก่อน +1

      Naona ameandika pastor Tonny ili apate viewers alafu atangaze kununua vyombo. Maana kwenye ufalme wa Mungu ni kuutangaza ufalme sio kumkandamiza mmoja ili wewe ujiinue Yesu hakufanya hivi.

    • @teklaagustino
      @teklaagustino 3 หลายเดือนก่อน +1

      Alafu muwe mnasikiliza kitu mwanzo mwisho ndio muwe mnalaumu mtu akikosea Kwan Ni vibaya kumkosoa

    • @kelvinmbogela4718
      @kelvinmbogela4718 3 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@veeJesuskuna spiritual understanding ukikosa huwezikujua kipi sahihi na kipi sio. Usiite watumishi mbweha ikiwa kiroho chako hakijakomaa nakushauri tu mpendwa

  • @famsetv866
    @famsetv866 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nimependa hili hubiri pastor ❤️ endelea kuutafuta ukweli na njia ya kweli na uzima Dunia iko ukingoni sana Mimi ni msabato nakukaribisha kanisani ❤️❤️

    • @conciousclement2
      @conciousclement2 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe Umefanya Ukweli Gani Kuhusu MUNGU??

    • @vidaseline
      @vidaseline 2 หลายเดือนก่อน

      mwbie pastor wako aache majungu

  • @phillipowwilliam1131
    @phillipowwilliam1131 2 หลายเดือนก่อน +6

    Acha kuponda watumishi wewe siku ya mwisho ukifika mbinguni hautaulizwa uliwaponda watumishi wangapi utaulizwa, how many souls have you win so sir I respect you go and win souls, achana na watumishi maana haujui wamewekewa reveletion gani

    • @stevenalex9121
      @stevenalex9121 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe revelation ya Paschal unaijua? Je kama hicho anachokifanya ndio revelation yake

    • @aminashayo9263
      @aminashayo9263 2 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli kila Mtumishi anatakiwa kusimama katika utumishi wake, yaani karama ile Mungu aliyomjalia, kuwasema watumishi wenzako hiyo sio karama ni uchonganishi, CASSIAN please STOP

    • @AliceMbwambo
      @AliceMbwambo หลายเดือนก่อน

      Wanajua kujifanya miungu watu 💔watuachie pastor wetu

    • @AliceMbwambo
      @AliceMbwambo หลายเดือนก่อน

      ​@@stevenalex9121hakuna revelation ya kumsema mtu😂angetaka kumuonya angetumia hekima ya kumfata

  • @theonestrenatus954
    @theonestrenatus954 3 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu akubariki sana Cassian umenena vyema sana, sasa wahubiri wanaangalia pesa tu

  • @kelvinbinda8767
    @kelvinbinda8767 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu kwanini usije tuuuu mahana mambo yamekua mengiiiii 😢😢😢😢 iv bba shuka 😢😢

  • @SuzanneMyles
    @SuzanneMyles 2 หลายเดือนก่อน +5

    😢😢😢😢God katikati ya ghadhabu kumbuka rehema😢❤

  • @JofreySelestin
    @JofreySelestin 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nilikuw mhuni sana, nlisahau mlango wa kanisa Ila kupitia pastor TONYosborn asee asaiv kila siku nataman kuwa naibada BWANA YESU MBARIKI PASTOR TONYOSBORN

  • @kingsonkambey1436
    @kingsonkambey1436 3 หลายเดือนก่อน +40

    Muonye,mkemee,mkaripie waziwazi bila kuogopa kitu chochote Paulo anamuagiza Timotheo kufanya hivyo Amen!!

    • @ruthmuja7792
      @ruthmuja7792 3 หลายเดือนก่อน

      Amina Amina

    • @RwidhiaRichard
      @RwidhiaRichard 3 หลายเดือนก่อน

      MKOMBOZI MITIMINGI HERBAL CLINIC UPONYEKE NAWE UKAFANYIKE SHUHUDA KWA WATU WENGINE TUNA DAWA ZA ASILI ZA TIBA MBALI MBALI ZILIZOTHIBITIKA KUWEZA KUTIBU MAGONJWA MBALI MBALI KAMA VILE :kina dada
      huyo HAPA MITIMINGI TRADITIONALCLINIC
      Anatibu fangasi sungu ukeni na U.T.I sungu
      (2)P. I . D .Maumivu wakati wa tendo la ndoa na halafu mbaya ukeni .
      (3) Mirija ya uzazi uliolegea .
      (4)Maumivu ya tumbo chini
      ya kitovu na changu
      (5)UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
      (6)BAWASIRI AU HEMORRHOIDS )
      BAWASIRI YA NDANI NA NJE
      (7)PRESHA ,SUKARI NGIRI N.K
      (8)LIFE CARE;dawa ya asili yenye uwezo wakuboresha kinga za mwili ni msaada pia kwa wenye virusi vya ukimwi _dawa zote zina kibali cha wizara ya afya kitengo cha tiba mbadala
      WASILIANA NASI KUPATA DAWA piga 0673060366 WhatsApp ♥

    • @jenifferjasper1369
      @jenifferjasper1369 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe na familia Yako mtakemewa waziwazi mpaka mshangae

  • @MoreenPouthen
    @MoreenPouthen หลายเดือนก่อน

    Kwakweli mtumishi wa mungu cassian kusema unwell hawa watu wanatuumiza wanachafua jina la bwana wa majeshi moyo unauma😢😢😢😢😢

  • @anordchaula3458
    @anordchaula3458 3 หลายเดือนก่อน +6

    Ubarikiwe mtumishi. naona injili za Paulo zinarudi Mungu wa Mbingu na nchi amrudishe huyo pastor kwenye mstari naona waz anaptea

  • @AnnaKwanama
    @AnnaKwanama 3 วันที่ผ่านมา

    Hongera kwakazi ngum umejitoa maishayako kwajili ya waenda mbinhuni

  • @SophiaThadei-hx4wd
    @SophiaThadei-hx4wd 3 หลายเดือนก่อน +7

    Asante Sana maana me mafundisho anayoyafundisha huaga siyapokeagi vzur roho yangu inakataaga kabisa yani

    • @mslady5824
      @mslady5824 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂Ukiona hivyo ujue hakuna ujumbe uliotumwa kwa ajili yako kupitia yeye.

    • @magejay4715
      @magejay4715 2 หลายเดือนก่อน

      Ata mm sisikii kitu Roho mtakatifu nisaidie

    • @JoyceSanga-p8n
      @JoyceSanga-p8n 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@magejay4715sio lazima uelewee ujue Kuna watu wameendaliwa

  • @BeyegiLazaro
    @BeyegiLazaro หลายเดือนก่อน

    Pt tunakupenda yaan Hadi bas Mungu akutunze🎉🎉🎉🎉🎉

  • @andrewmwakabela8686
    @andrewmwakabela8686 3 หลายเดือนก่อน +27

    Kwanza n kosa kubwa sana mbele za mungu kuimba nyimbo za dunia madhabahun haiwezekan kinywa ichoicho kitoe maji masafi na machafu. Enhe mola tusaidie

    • @rajabmohammed3982
      @rajabmohammed3982 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kindly give us scriptures too

    • @toytv89
      @toytv89 2 หลายเดือนก่อน

      Lakini uku disko tunapiga za gaspel 😂

    • @conciousclement2
      @conciousclement2 2 หลายเดือนก่อน

      Vipi Unapotukanaga Kule Na unapoomba Kwa MUNGU Ni Sawa Au Siyo

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 2 หลายเดือนก่อน

      @@rajabmohammed3982 MWEHU KWELI WEWE, SECULAR NI MZIKI WA WATU WA MATIFA....ISNT COMMON SENSE COMMON TO U? OR DO U THINK BIBLE IS AN ENACTED LEGISLATION/LAW? UNGEKUWA UNASOMA BIBLE WALA USINGEMUULIZA HUO UFOKO WAKO MTU MWENYEW UNAITWA RAJABU KWAHYO NI WAZI MWEUPEE KICHWANI HAYA KULA HYO

      *2 CORINTHIANS 6:14* "Do not be yoked together with unbelievers. For what do righteousness and wickedness have in common? Or what fellowship can light have with darkness?".......
      *Proverbs 4:14-15*
      Do not enter the path of the wicked, and do not walk in the way of the evil. Avoid it; do not go on it; turn away from it and pass on.
      *Psalm 1:1-2*
      Blessed is the man who walks not in the counsel of the wicked, nor stands in the way of sinners, nor sits in the seat of scoffers; but his delight is in the law of the Lord, and on his law he meditates day and night.
      *1 Corinthians 15:33-34*
      Do not be deceived: “Bad company ruins good morals.
      Reply

  • @DoreenRose-e9t
    @DoreenRose-e9t 2 หลายเดือนก่อน +1

    We accept pastor Tony Mungu abariki kazi ya mikono yako@pastor tony kapola

  • @SarafinaNyamvula
    @SarafinaNyamvula 3 หลายเดือนก่อน +5

    Watching from Kenya,tuweni makini maana hatujui siku wala saa ya kuja kwake Yesu 🙏 tunaweza sema mmoja ni mkweli kuliko mwengine lakini siku moja yaja😂😂 hukumu itamkuta kila mtu..lets be wise 🙏

    • @GraceMuthoni-nz3fh
      @GraceMuthoni-nz3fh 3 หลายเดือนก่อน

      Apo umenena

    • @kelvinmbogela4718
      @kelvinmbogela4718 3 หลายเดือนก่อน

      Kuwa makini haimaanishi kutosema kweli ya Kristo. Acha aseme kilichosahihi kwani yeye hayuko responsible kwako bali kwa anayemtumikia

    • @aminashayo9263
      @aminashayo9263 2 หลายเดือนก่อน

      Exactly, ajionae amesimama angalie asianguke, hakuna binadamu aliye mkamilifu mbele za Mungu, ni kwa neema tu na rehema zake ndipo anatuhesabia haki

  • @dorcasbyela1887
    @dorcasbyela1887 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli Mungu akubariki sana kwa kusema ukweli maana hata Bwana Yesu aliwaonya wazi watu si kwa uficho, mtumishi wa Mungu kizazi hiki kimetabiliwa ,hao watu watafanya miujiza yamkini kuwadanganya hata wateule lakini mteule kamwe hadanganywi , ni kizazi cha wamchukuao Mungu. Endelea kufanya kazi na Mungu aendelee kukutia nguvu

  • @tulimwaipopo-eq3be
    @tulimwaipopo-eq3be 3 หลายเดือนก่อน +4

    Baba Mungu akukumbuke hatuwezi kufanya ibada pamoja sio kwelivijana wetu walianza vizuri wanamaliza vibaya

  • @sadockjoseph4555
    @sadockjoseph4555 หลายเดือนก่อน

    Ungekuwa mwema ilitakiwa umtafute na kushauriana naye sio Kusema hapo,kiukweli umezinguaa Mungu azid kumuinua zaidi na zaidi Tony

  • @YusuphLutamb
    @YusuphLutamb 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu awabariki watumishi wake uyu mtumishi aombewe maana ana umati mkubwa sanaa unaomfata na wote natamani kufika mbinguni kwa kufuata mafundisho yake

  • @agripasirito812
    @agripasirito812 2 หลายเดือนก่อน +2

    Namshukuru Mungu Kwa ajili ya Pastor Tony ...nimejua kuomba,tumepona mioyo,tumemuona Mungu Kwa sura nyingine,tunapata ujasiri wa kuface life....kama kupotosha ndo huku....Bora tupotweshe TU KULIKO injili isiyo na matokeo....Mungu mlinde PT...

  • @musachomoitson2350
    @musachomoitson2350 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu akuzidishe paschal, unaifanya kazi yake vizuri na usione uko pekeako ktk kusema kweli, pambana sana na uovu bila kusita maana MUNGU amejisazia wengine wa kuungana na wewe ktk kusema ukweli... Amen

    • @hadassahethel
      @hadassahethel 2 หลายเดือนก่อน

      Kusema ukweli ni kuhubiri injili sio kukosoa watumishi kama humuelewi mtu kaa kimya mnajichumiaga ma laana hivi hivi

    • @toytv89
      @toytv89 2 หลายเดือนก่อน

      Ndio maana roma alisema ukienda baa kuna umoja kuliko kanisani yeye apo kaonyesha walokole hawana umoja kwa sababu kama tunaumoja angemtafuta na amuulize kama ni sahihi au sio sahihi na kama sio sahihi amfundishe ila kama ni sahihi aeleweshwe

  • @sifastanley5411
    @sifastanley5411 หลายเดือนก่อน

    WE LOVE OUR PT AND WE ARE SUPER PROUD OF HIM❤😂

  • @tujajackson8142
    @tujajackson8142 3 หลายเดือนก่อน +36

    Nimegundua mtu kukosa unyenyekevu mbele za Mungu akiwa madhabahuni huwa kuna kujisahau na kwenda nje ya mstari wa kweli aloo.watumishi tujifunze kumentain annoint bila hivyo ni hatari tutaongea ya kwetu.hongera paskali kws hapo nakupongeza

    • @piusbaruhuwundi8987
      @piusbaruhuwundi8987 3 หลายเดือนก่อน

      Hii imewakuta hata manabii wengi. Wapo waliofika sehemu wakajisahau na Mungu akawakataa

    • @AmyeSanga
      @AmyeSanga 3 หลายเดือนก่อน

      @@tujajackson8142 ni kweli Mungu akimutambulisha mtu kwa watu badala ya kumuachia Mungu utukufu anaupokea yeye Mungu anakaa pembeni tunaanza kuona madhaifu yake maana aliyemsitiri anaondoka

    • @imanmsuwakollo4460
      @imanmsuwakollo4460 2 หลายเดือนก่อน

      ila kwa kusikiliza kipande huwezi jua maana au alichomaanisha... ni mpaka usikilize mafundisho yote ndio utajua alimaanisha nini​@@piusbaruhuwundi8987

    • @imanmsuwakollo4460
      @imanmsuwakollo4460 2 หลายเดือนก่อน

      Bila kujua nini alisema mwanzo na bila kujua nini alisema mwishoni....uka base na ka clip tu lazima utaona makosa...maongezi yana connect..sasa hapa hatuona connection sababu hatujui ujumbe ulianzia wapi mpaka akasema hivi na aliishia wapi ku connect na clip.
      Sasa watu tunachukua ka clip tunaanza kutafsiri

  • @jorammsemakweli3116
    @jorammsemakweli3116 หลายเดือนก่อน

    Ev Kassian mafundisho yako unaosimamia somo gani unatangulia mafafanuzi katikati ndipo unasoma unawaongozaji wasikilizaji bila kuwenga msingi wa neno acha kiki wafundishe watu neno la kweli bila kumtaja mtu ili watu walipime neno la Mungu katika kupokea mafundisho mbalimbali wataufahamu ukweli kuliko kushambulia fundisha neno la kristo kwa usahihii utawasaidia watu na watatoa sadaka zao kwa kazi ya Mungu

  • @Franckmulaj-Officiel
    @Franckmulaj-Officiel 3 หลายเดือนก่อน +13

    Ni mapepo muchafu inawaongoza awa wantu, brother pascal,ayifayi kumwita ule kijana pasta,asistahili ,kwitiwa pasta.

  • @MaryMhagama-l4i
    @MaryMhagama-l4i 27 วันที่ผ่านมา

    PTE your the best 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 3 หลายเดือนก่อน +11

    Paschal YESU akutunze tu.nakwel hatuchangamani.

  • @EvalineKessy
    @EvalineKessy หลายเดือนก่อน

    Nampenda sana Pastor Tony
    Mungu akuinue juu sana usisikilize maneno ya watu wataongea sana
    endelea mbele Mtumishi wa Mungu Pastor Tony

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika 3 หลายเดือนก่อน +14

    Amen ameni tena ameni nabarikiwa mno MUNGU wa mbinguni akutunze baba

  • @ABIGAIL67-tria
    @ABIGAIL67-tria 3 หลายเดือนก่อน +11

    You make me cry 😭 every i listen 👂🏾 your preaching 😭 i hope my kids will never leave my teaching 😢
    Eeh MUNGU saidia watoto wangu.kwa jina la YESU KRISTO naomba 😭🙏🏾🙏🏾🙏🏾Amena

    • @AminaIssa-lx9hs
      @AminaIssa-lx9hs 2 หลายเดือนก่อน +1

      Isaya 54:13

    • @ABIGAIL67-tria
      @ABIGAIL67-tria 2 หลายเดือนก่อน

      @@AminaIssa-lx9hs
      *Isaya **54:13** Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA, na amani ya watoto wako itakuwa nyingi.*
      Asante dada Kwa maandiko

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 3 หลายเดือนก่อน +65

    Hawa vijana wana siri kubwa sana mwanzo alianza vizuri sasa hivi amejifunua enyi mliohama tag eagt holiness klpt rudini haraka mnapotea watoto wetu

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 3 หลายเดือนก่อน +5

      Sana yaani walidanganya wenginila sasa YESU KAWAUMBUA

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน +6

      Wapentecost nao siku hizi ni wajanja wajanja tu,wanavaa kama wadunia na vibinti malaya malaya ndiyo viimba choir,

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@FridayMwassani kweli kbs.lkn sio wote ila wengi wao mmhhh

    • @jemedalimwakalundwa3520
      @jemedalimwakalundwa3520 3 หลายเดือนก่อน

      Ko eagt irudi kwa tag

    • @MaryMichaelMaryMichael-i7o
      @MaryMichaelMaryMichael-i7o 3 หลายเดือนก่อน +3

      Kwan jamn pastor ..kapola kavamiwa na roho chafuuu.. wallah alkua mzurii saana at maandiko...na alkua anasema ukweli..saah ameshakuwa naye Christina shusho dah😢😢😢😢

  • @ev_abediespoir490
    @ev_abediespoir490 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ameeeeen!!! Mtumish wa Mungu, lihubirini neno, Onya, karipia na kukemea pia. Natumai Mungu wa mbinguni yupo pamoja na ww

    • @YohanaKabeke
      @YohanaKabeke หลายเดือนก่อน

      Neno watunge nyimbo atamalizia anamaanisha nini mh ndg ata kama ushabiki mbinguni hatuendi.ivo

  • @user-yz3rl8pd6q
    @user-yz3rl8pd6q 3 หลายเดือนก่อน +12

    Barikiwa sana mtumishi,
    Endelea kuwakosoa watumishi wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Wengi ni matapeli kwa sasa, wamepotosha asili ya Neno la Mungu. Wamekalia mafanikio, sio Neno lakweli la Mungu. Wanaendelea kupoteza utakatifu wa Tanzania katika uso wa Mungu.

    • @toytv89
      @toytv89 2 หลายเดือนก่อน +1

      Akiwakosoa ndio anawabadilisha au 😂 tafuteni ela mtamuelwa Tony kama Huna ela uwezi muelewa

    • @isacktesha6659
      @isacktesha6659 2 หลายเดือนก่อน

      @@toytv89 Hela inakujaje hapo Sasa.

    • @DoreenRose-e9t
      @DoreenRose-e9t 2 หลายเดือนก่อน

      Ukwel ni upi mtumishi

    • @DoreenRose-e9t
      @DoreenRose-e9t 2 หลายเดือนก่อน

      Unamjuaje mtu ni tapeli

  • @neemachristopher841
    @neemachristopher841 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika yesu yu karibu...
    Mbona anamuhubiri mtu tenah.
    Yesu tuhurumie🤭
    Je wale wenye dhambi watengwe?
    Mungu tupe hekima🙌

    • @veronicahilary3809
      @veronicahilary3809 2 หลายเดือนก่อน

      Kuna injili kubwa hapo, but yatambulikana kwa jinsi ya Rohini 1kor2:14 si kwa akili.

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo7739 3 หลายเดือนก่อน +5

    MUNGU AKUBARIKI BRO CASIAN.... WEWE NI POLISI WA KIROHO. NAKUOMBEA SANA NA NAKUPENDA SANA KWA UKWELI WAKO WA 100%

  • @ElishaMaro
    @ElishaMaro หลายเดือนก่อน

    Wew hubiri wewe ndio hieleweki tunamwelewa pastor tony kapola 🎉 🎉🎉🎉🎉 unamzungumzia mwenzako bdala kihubiri neno watu wamjue mungu kupitia wewe unamwongelea mtu

  • @daudsospeter-zd3iy
    @daudsospeter-zd3iy 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ur need An extra Capacity and revelations kuelewa PT ameitwa kwaajili ya nani na kwaajili ya nini, and by the way Kwa muda Ambao nmemfahamu na kumfatilia, I have no ubishi, The man is Blessed 📌📌
    Wale mnaoanza kumfahamu Leo Acha muendelee kubishana Huku mitandaoni😅

    • @JenniferAela
      @JenniferAela 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kbs Dav...😂 ngoja inaitaji akili nyingne kumuelewa Pastor Tony kaitwa kwaajir ya watu gan maana sio kila mtu atamuelewa .

  • @maryraphaely9696
    @maryraphaely9696 หลายเดือนก่อน

    Pastor Tony is the besttt

  • @martinakombe8374
    @martinakombe8374 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akutunze baba yangu pastor Tony kapola hakika Mungu yupo pamoja na wewe Kila eneo❤

  • @maryjoseph439
    @maryjoseph439 2 หลายเดือนก่อน

    Bina damu sijui tuta jua lini huu ushindani wa mwili na nyama hauna tuzo tuta viacha vyote!!! Hubiri neno kwa nafasi yako shinda mechi zako’ huwezi kuwa juu kwa kumshusha mwingine’ huwezi mshusha mtu alie pandishwa na Mungu cos hujui kusudi la Mungu lililopo ndani yake’ huta kua msafi kwaku mchafua mtu mwingine live your own life and let God take away ata muhukumu kwa nafasi yake’ dhat it👏🏻

  • @PastorVitalisSheshe
    @PastorVitalisSheshe 3 หลายเดือนก่อน +14

    Pastor tonny haowatu achananao.Kama umeshindwa kuwahubiria injili ya kuwaleta acha

  • @roselynemweni3031
    @roselynemweni3031 2 หลายเดือนก่อน

    MUNGU wa mbinguni mbariki pastor Tony kwa viwango vya juu zaidi 🙏🙏

  • @lilyg2134
    @lilyg2134 2 หลายเดือนก่อน +3

    MI MTU ASIEHUBIRI UFALME WA MBINGUNI NAMUONA NI MOTIVATIONAL SPEAKER TU,,TONY IS ONE OF THEM

  • @kelvinemmanuel294
    @kelvinemmanuel294 27 วันที่ผ่านมา

    Winning souls is our first priority, not wrestling our selves in the same Kingdom,

  • @dh-bioproducts8205
    @dh-bioproducts8205 3 หลายเดือนก่อน +17

    Hukumu ni ya Bwana. Sisi yetu ni kuitangaza na kuifunua kweli ya Kristo Yesu

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 2 หลายเดือนก่อน +2

      HAKUNA ANAE HUKUMU, ILA NI VZURI KUKEMEANA MNAPOKOSEA, KUAMBIANA UKWELI...HATA PAULO ALIWAKEMEA WAJINGA...BIBLIA INATUAMBIA KBSA KUAMBIANA UKWELI WAEFESO 4:25

    • @DismasVenance
      @DismasVenance 2 หลายเดือนก่อน

      Hapa Ndo kuifunua kwel ya kristo ndugu

  • @dorcasbyela1887
    @dorcasbyela1887 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi wa Mungu nimekukubali ,hata ukipingwa endelea kusema ukweli, watu ,wameharibu ukristo lakini Kristo adhihakiwi wanajidhihaki wenyewe, Mungu akubariki ila ni kizazi kimetabiliwa ni wachache tu watakaosimama na kweli, jitunze mwenyewe nafsi yako, maana kizazi hiki kitakuwa kama sodima na gomora

  • @loveandrew9694
    @loveandrew9694 3 หลายเดือนก่อน +4

    Kwani Tony ni pastor!mi namuona kama motivational speaker.....anachohubiri sio Habari za wokovu na kwenda mbinguni....

    • @BEATRICETEWA-on6qo
      @BEATRICETEWA-on6qo 3 หลายเดือนก่อน

      Mi pia nlijua hivo et

    • @lusekelomwasandube2992
      @lusekelomwasandube2992 2 หลายเดือนก่อน

      Mbona anajiita pastor 😂😂

    • @MakoriConsolatha
      @MakoriConsolatha 2 หลายเดือนก่อน

      Muda mwingi anafundisha kupata hela na mambo mengine ya duniani which ni mambo ya motivational speakers yule sio pastor ni mpigaji ni vile tu kakamata akili za wengi hasa mabinti wadangaji malaya na wanaotaka kufanikiwa bila kufanya kazi

  • @eveliusrespicius6859
    @eveliusrespicius6859 หลายเดือนก่อน

    Brother should I tell you something..... Use your time not to judge other's speech use your time to express and represent the one you see and feel should be praised and raised up and God himself he will show up the truth

  • @sarahmwadime850
    @sarahmwadime850 3 หลายเดือนก่อน +16

    Am from 🇰🇪 nilipendaga kapola lakini niligundua kajichanganya kupitia mafunzo na mtamushi yake nikajua hii ni roho nyingine...
    Spirit of discernment

    • @samuelmdota8452
      @samuelmdota8452 3 หลายเดือนก่อน +1

      I really don't understand what is happening with our men of God nowadays.

    • @sarahmwadime850
      @sarahmwadime850 3 หลายเดือนก่อน

      @@samuelmdota8452 we need to pray for them the devil is after them ...
      The devil has nothing he takes what God has made

    • @alphadreammedia
      @alphadreammedia 3 หลายเดือนก่อน +2

      Hakika anazidi kubadilika tu😢😢

    • @AmAm-xt1og
      @AmAm-xt1og 3 หลายเดือนก่อน +2

      Pia mimi nilimpenda sana ,alikua akinitua moyo sana lkn sasa namuombea mungu amsaidue🙏🙏

    • @sarahmwadime850
      @sarahmwadime850 3 หลายเดือนก่อน

      @@AmAm-xt1og kweli Kaka ni wa kuombea

  • @m.c.philly
    @m.c.philly 2 หลายเดือนก่อน

    Shambani mwa Bwana mavuno ni mengi ila wavunaji ni wachache cha ajabu hata hao wachache bado wanapigwa vita ili waache kuvuna Live long man of God Pastor Tony.

    • @PrayGodSarakikya
      @PrayGodSarakikya 2 หลายเดือนก่อน

      Tony anavuna au anaharibu mavuno

  • @JohnOuya-w7j
    @JohnOuya-w7j 3 หลายเดือนก่อน +3

    Nabarkiwa kwa mafundisho yako mchungaji pascal,mungu akupe maisha marefu,

  • @NeemaWasha8080
    @NeemaWasha8080 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinze mtumishi Paschal.Mungu alikuleta duniani na kukuacha hai kwa ajili ya nyakati hizi ili Uonyeshe njia bila kupepesa macho.

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 3 หลายเดือนก่อน +33

    Huyo mpuuzi tangu alipojiunga na ma charlatan kina Ubert angel, kina Bushiri waabudu mashetani ndio amepotezwa kabisa. My Brethren, kanisa limevamiwa na mashetani mbwa mwitu wakali. Pasipo maarifa ya kiroho umekwisha na kuangamia kabisa.

    • @adelinaruhiye8904
      @adelinaruhiye8904 3 หลายเดือนก่อน +2

      Tru

    • @adelinaruhiye8904
      @adelinaruhiye8904 3 หลายเดือนก่อน +1

      True

    • @rosemarinawiliam3289
      @rosemarinawiliam3289 3 หลายเดือนก่อน +10

      Ni kweli kabisa alipojiunga na ubert Angle basi ikawa mwisho wangu wa kumfuatilia, wale wana mikataba na shetani ili kuwapoteza wengi. Alianza vizuri sana lkn mmmh

    • @apostle_AngazaGN
      @apostle_AngazaGN 3 หลายเดือนก่อน +4

      Alikuwa kijana mzuri sana Tony, sijui nn kimempeleka kubadili mafundisho yake

    • @mariamswedi1140
      @mariamswedi1140 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@apostle_AngazaGNpesa

  • @clementedward5548
    @clementedward5548 2 หลายเดือนก่อน

    Amen
    Bwana akubariki na akusaidia sana pia mtumishi wa Bwana katika huduma hii unayoifanya naamini wapo utakaotusaidia kuwaelewa manabii wa uongo
    Ukawe na nie ileile daima na milele
    Hakika
    LOLOTE ULIFANYALO LIFANYE KWA UTUKUFU WA BWANA