TUTAFAKARI FAIDA ZA "UKWELI WA KISHETANI" WA PAUL MAKONDA BASHITE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
  • Ni majibu yangu kwa wale wanaidai kuwa "anasema ukweli." Sikiliza.

ความคิดเห็น • 151

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 6 หลายเดือนก่อน +13

    Umeongea vizuri sana.Mungu akubariki na azidi kukulinda ,kukupa maisha marefu na kukupa maarifa zaidi,busara zaidi na hekima zaidi mr.Ngurumo.Shida ya nchi hii ni ujinga uliotujaa na cha kustaabisha hata wasomi pia wengi wao ni wajinga kupitiliza hadi najiuliza hawa wasomi walienda shule ili kuongeza ujinga au maarifa maana naona kama wasomi wengi waliopo wengi ni wajinga sana.Tatizo la nchi hii ni ujinga uliotujaa watamzania na watawala kutumia ujinga tulionao kutuongoza wanavyotaka.

    • @jumamnumbwa9483
      @jumamnumbwa9483 6 หลายเดือนก่อน

      Hana lolote pro western representative journalist

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 6 หลายเดือนก่อน

      @@jumamnumbwa9483 acha ujinga

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 6 หลายเดือนก่อน +5

    Inasikitisha sana ,kwani makonda analia na maovu yanayosababishwa na chama gani,watz wengi kukosa Elimu ndiyo tatizo kubwa ,haiwezekani kufikia hatua kama tulipo fika macho yapo yanaona lakini uwezo wakutambua haupo😊😊😊

  • @AbigailBateyunga
    @AbigailBateyunga 6 หลายเดือนก่อน +1

    ✍️🎉🍾Ngurumo wewe mi zawsdi yetu🎁 toka kwa Mungu ✔️✔️✔️🇹🇿🇹🇿🕺🧑‍🦲🙏💃👭👪🤽 Mungu iponye ibariki TANZANIA tupe wenzetu wengi kma hao ktk jina la Yesu mnazareti. Amina.
    Alutacontinuaa 7 x70.🎉🎉❤

  • @IddyMustapha-tj4du
    @IddyMustapha-tj4du 6 หลายเดือนก่อน +3

    Hakika wewe ni kichwa jinias noma sanaaaa unaona na jicho la kipekeeee kabisa umetishaa sanaaaaa

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 5 หลายเดือนก่อน +1

    Leo umeongea point sana watu wa tz tuemakini makonda kwel anafanya maigizo kwasababu watu walozulumu watu wachama chake na watu wenye akili ndogo wengi ashawateka #

  • @levissanga8867
    @levissanga8867 6 หลายเดือนก่อน +4

    Watu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa. Mungu tufumbue macho watanzania. Ubarkiwe Ngurumo kwa uchambuzi mahili

    • @Stonecity01
      @Stonecity01 6 หลายเดือนก่อน

      Hata hapa ni Mungu anatufumbua macho ila wangapi yafumbuka?????

  • @viaurfk
    @viaurfk 6 หลายเดือนก่อน +6

    Fact and well saaid

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akujariyeunakichwa mimi ningekuwa rais ungekuwa mushauri wa chama cha ccm

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 6 หลายเดือนก่อน +7

    Stay blessed Mkuu

  • @ignassambo8857
    @ignassambo8857 6 หลายเดือนก่อน +7

    Asante baba Ngurumo

  • @josephmwita6012
    @josephmwita6012 6 หลายเดือนก่อน +5

    my prophetic mzee ngurumo

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 6 หลายเดือนก่อน +5

    Asante. Ngurumo. Sijui utume njia gani ili wote tukupate. Wajinga ni wengi Sana. Hasa penzoni mwa mikoa. Hawajui kitu. Mungu akubariki ngurumo 🙏

    • @Stonecity01
      @Stonecity01 6 หลายเดือนก่อน +1

      Sure sijuwi tutumie njia gan wengi wafikiwe na ukombozi wa fikra

  • @sabinamachange6040
    @sabinamachange6040 6 หลายเดือนก่อน +5

    🎉Ngurumo una maono ya ajabu huo ndio ukweli Makonda katumwa na Mungu kuonyesha uozo wa Ccm ili ianguke kifo cha mende!!! Kwaheri Ccm 😢😢😢😢😂

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 6 หลายเดือนก่อน +8

    Ngurumo uko sahihi kabisa, ujinga wetu ndo unaotuangamiza,

  • @victoriamazula5592
    @victoriamazula5592 6 หลายเดือนก่อน +10

    Yaani wewe ni msumari kweli. Wananchi wengi akili zimepumbaa sana

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c หลายเดือนก่อน +1

    Sijawahi kuona umechangia kitu ukakisea ,mungu akujalie

  • @edwinjoseph7977
    @edwinjoseph7977 6 หลายเดือนก่อน +4

    Kiukweli mtu anae ona kuwa makonda eti anafanya kutatua shida za wana nchi inatakiwe uwe na macho ya rohoni ndipo utajua nyuma ya pazia kinachoendelea kuwa ni maigizo

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 6 หลายเดือนก่อน +7

    Wewe nani alikufundisha hekima hizo mungu akujariye ssna wewe ungekuwa rais elimu yako ni juu MN sana

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 6 หลายเดือนก่อน +2

      Huyu ni philosopher, (sijui kama alisoma theology),mwandishi wa habari (mhariri),mwanasiasa, musician, blogger, mchambuzi wa siasa,baba wa familia nk

    • @stanleypeter4514
      @stanleypeter4514 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ndugu yangu kama wengi wangekusikiliza na kuelewa wangeelika na kujitambua Elimu unayotoa ni muhimu sana kwa Taiga.

    • @michaelmulokozi1512
      @michaelmulokozi1512 6 หลายเดือนก่อน +1

      @josephlorri431, Alisoma Seminary Kuu Kibosho- ni Philosopher Wala hujakosea🎉

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 6 หลายเดือนก่อน +1

      @@michaelmulokozi1512 niliwahi kufika kibosho major seminary kumtembelea (Ngurumo) pamoja na rafiki yangu(Kahamba) 1997.. ni rafiki mpole,organist mzuri..

  • @elibarikimeela2761
    @elibarikimeela2761 6 หลายเดือนก่อน +3

    Uchambuzi mzuri Sana Kaka.
    You cannot solve a problem using the same level of mind created it.

  • @severimkatomutegeki6930
    @severimkatomutegeki6930 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mtu haishi kwa mkate tu (................................)anayekushauri ushugulike na mambo ya kijamii peke y'ake, Mimi namkosoa siyo.Kwa taaruma au weredi ulionao we ni mtoto wa Mungu endelea kumtukuza kwa kipaji hiki alichokupa nakupa hongera Mungu akuongezee hekima uendelee. kutushauri usiache.Wewe unaitwa Ngurumo uendelee kunguruma kitakatifu.

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima2684 6 หลายเดือนก่อน +6

    Huwa naweka bando nisipitwe na busara katika darasa lako mkuu

    • @TheodosiaSangka
      @TheodosiaSangka 6 หลายเดือนก่อน

      Bravo sana kwako comrade Ngurumo laiti watanzania wangekuelewa!

  • @MUZIMAFrederick-mg2cm
    @MUZIMAFrederick-mg2cm 6 หลายเดือนก่อน +6

    Kwa ufupi : Makonda ni matokeo ya Udhaifu wawatanzania !

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 6 หลายเดือนก่อน +13

    Makonda anaisaidia CCM kuanguka anguko takatifu. Kondo la nyuma lisipotoka halihitaji operesheni ni kifo . "TUSUBIRI".

    • @gasperelasto8842
      @gasperelasto8842 6 หลายเดือนก่อน +1

      😂aiseee

    • @user-ub1yx5vc8b
      @user-ub1yx5vc8b 6 หลายเดือนก่อน +3

      Salum upo sahihi. Makonda anasaidia kutuonesha uozo wa utawala. Mimi nadhani wapinzani ndio wangesema hayo. Kondo la nyuma linatoka

    • @neliusgosbertbaguma8693
      @neliusgosbertbaguma8693 6 หลายเดือนก่อน +1

      Jamaa umenichekesha kwelikweli, kondo la nyuma tunaliita placenta kitaalam

    • @edwardmizambwa237
      @edwardmizambwa237 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ccm ikianguka si ndio vizuri au?

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k 6 หลายเดือนก่อน +2

      Kondo LA nyuma ccm limeshawatoka du hatari,,safari hii kama wataendelea kuiba na kuupora uchaguzi KITAKUWEPO KIMEMBE KWASABABU WATANZANIA WENGI WANAJUWA CCM HAWASHINDI UCHAGUZI MPAKA WATUMIE FIGISU

  • @user-ni7nw1xz9j
    @user-ni7nw1xz9j 6 หลายเดือนก่อน +3

    Nakupongeza Sana mwandishi kwa busara luilizopewa na Mungu wako naunatushirikisha sisi viziri mungu akujalie zaidi hata wasiokuelewa awafungue macho na mioyo Yao ili wakuelewe

  • @sylvestersamwel8210
    @sylvestersamwel8210 6 หลายเดือนก่อน +10

    Huu ndio ukweli.

  • @zuenamwanga
    @zuenamwanga 6 หลายเดือนก่อน +9

    Kifo Cha Ccm kimefika

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 6 หลายเดือนก่อน

      Kifo chako ndo kimefika

  • @johnmosha
    @johnmosha 6 หลายเดือนก่อน +7

    Very good content. Address few things. 1.Video qulity including lights and overall setup, background, graphics, some key captions as well as sound.

  • @Mkorajr
    @Mkorajr 6 หลายเดือนก่อน +4

    Hawa watu wenye akili nyingi Kwa Nini Serikali Huwa haiwatumii kuleta mabadiliko Kwa jamii?

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika ukweli utabaki ukweli Hongera sana Ngurumo

  • @erastomapunda1444
    @erastomapunda1444 6 หลายเดือนก่อน +7

    Kwa tz bado sana wajinga bado ni wengi sana, wanasahau matatizo yote haya chanzo ni ccm.

  • @user-tt5rn7kc6l
    @user-tt5rn7kc6l 6 หลายเดือนก่อน

    Unatufundisha sana mkuu haihitaj ada kupata madin haya,ahsante mkuu

  • @kenedyrocky4641
    @kenedyrocky4641 6 หลายเดือนก่อน +2

    NASHUKURU SANA KWA UCHAMBUZI MZURI SANA NA UMENIFANYA NIZIDI KUICHUKIA NA KUZIJUA HILA ZA KISHETANI ZA CCM ZINAZO LETWA KWETU WANANCHI KAMA JAMBO ZURI.
    KUMBE NI WIZI NA UJAMBAZI ULIO KOMAA NDANI YAO CCM.

  • @ahadimalamso4155
    @ahadimalamso4155 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mimi nakushairi ujikite kutuelimisha mambo ya kijamii na siasa. Isipokuwa vipindi vya mlengo wa dini HAPANA. Maana si wote tunaamini imani yako.

    • @kwasmokweka9598
      @kwasmokweka9598 6 หลายเดือนก่อน +2

      Nami nakushauri mwache Ngurumo afanye anavyo ona inafaa, wewe donoa unachoweza kumeza.

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 6 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana kukusikiliza tu ni kama kupewa bilauli ya maji balidi jangwani naomba usikate tamaa kutusemea nsi hatutakoma kukuombea

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 6 หลายเดือนก่อน +2

    Ukovizur mh tunakuskiliza kwauzur kabsa.

  • @johnbundala7596
    @johnbundala7596 6 หลายเดือนก่อน +1

    Fact kiongoz wangu

  • @alfredpaulokijangwa1229
    @alfredpaulokijangwa1229 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kama wewe unavyotumia ukweli kutuchota akili tuichukie serikali na viongozi wake. Unatuambia haya ili iweje? Kama haupo sawa na makonda au hao viongozi wa serikali. Upo ktk nyumba nzuri na unaonekana hauwazi kuhusu maisha magumu, je majirani wasiojiweza wanaokuzunguka hapo mtaani kwako umewafanyia jambo gani?

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven 6 หลายเดือนก่อน +2

    Nakukubali kaka unajua sana

  • @raymondmushi9019
    @raymondmushi9019 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo makonda anacheza na saikolojia za watanzania,ila wananchi wenzangu hawaijui hiyo habari.staili hii ni ya anko magu.sasa naye anakuja nayo kwa kuwa anawajua watanzania sisi ni wajinga sana.

  • @elimelekikatani3226
    @elimelekikatani3226 6 หลายเดือนก่อน

    Napenda sana uchambuzi wako endelea kuwafunulia watu hali halisi.

  • @user-rt5yn9qq3i
    @user-rt5yn9qq3i 5 หลายเดือนก่อน

    Kweli mkuu mungu akubark

  • @AbdulaziziHamisi-ud1gk
    @AbdulaziziHamisi-ud1gk 6 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana kutoka huku mbali sumbawanga.

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 5 หลายเดือนก่อน

    Makonda Ni Mtu Wa Hovyo Sana, Inashangaza Ni Watawala Tulionao,Ilifaa Awe Magereza Chaajabu Nachakushangaza Eti Ndiyo Msemaji Wa Watesi Wa Watanzania MUNGU Tunusuru.

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 6 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda n mjinga na aliendelea kudhihilsha hata ujinga wachama cha ccm na samia anae mtumia katka kampeni.

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hakika umenena

  • @mwanache
    @mwanache 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nyerere alisema kuwa “ADUI YETU MKUBWA NI UJINGA, UMASKINI, NA MARADHI”… angalia jinsi awa MAADUI wawili wakubwa UJINGA NA UMASKINI wanavyoliteketeza Taifa na adui wa tatu MARADHI yeye ni kiulaini kuwapeleka wananchi kwa MOLA WAO…INASIKITISHA SANA.

  • @kristogontesha6036
    @kristogontesha6036 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mheshimiwa Ngurumo umempiga Makondo na kitu kizito kwenye utosi
    Hizi propaganda zake anazoeneza umezipanch kwa ngumi nzito hakika wewe ni miongoni mwa waandishi wa habari wachache sana mnaofanya kazi ya Mungu
    Endelea kuelimisha uma kuhusu hizi propaganda za makonda na genge lake Mungu akubari sana

  • @Hyun626
    @Hyun626 6 หลายเดือนก่อน

    Waw andiko lime tumiwa vizuri sana ❤

  • @user-rt5yn9qq3i
    @user-rt5yn9qq3i 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤Sana na ni kweli

  • @NIMRUDIMKAMA
    @NIMRUDIMKAMA 6 หลายเดือนก่อน +1

    Yawezekana ww si Mtanzania

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 6 หลายเดือนก่อน +1

    KWA HAKIKA NGURUMO UMEMWELEZEA MAKONDA VIZURI SANA....TABIA YAKE, HULJA YAKE, ELIMU YAKE, UJINGA WAKE, CHUKI YAKE, MPENDA SIFA, N.K.

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 6 หลายเดือนก่อน +2

    Ikulu mnayapata hayo maneneno.

  • @simonmwamgeni8162
    @simonmwamgeni8162 6 หลายเดือนก่อน +2

    How true and pathetic!

  • @user-gx3jp6uk2f
    @user-gx3jp6uk2f 6 หลายเดือนก่อน +2

    Watanzania wengi ni wajinga sana. Hivyo hawawezi kumtambua mjinga

  • @LissaJonas
    @LissaJonas หลายเดือนก่อน +1

    Kinacho endelea leo Kenya ni matokeo ya shule watu wamesoma sio wajinga tena. 0:22

  • @user-ni7nw1xz9j
    @user-ni7nw1xz9j 6 หลายเดือนก่อน +1

    Njoo nyumbani tupambane na mafeluli hawa wa ccm mpaka wakimbie wenyewe

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  6 หลายเดือนก่อน

      Asante. I'm doing exactly that. Siku hizi hatuhitaji kushikana mieleka.

  • @salvatorykundi4796
    @salvatorykundi4796 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa ufupi Makonda ni chui aliyevaa ngozi ya kondoo anayewadanganya kondoo kwamba atawatetea wakati chui atakapokuja kuwala.

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 6 หลายเดือนก่อน +1

    makonda anonesha jinsi ccm maiaka 60 walivyoshindwa kuleta maendeleo

  • @sirlivigha2079
    @sirlivigha2079 5 หลายเดือนก่อน

    kiongozi unafanya kazi nzuri sanaaa,,,,,hv huyu jamaa ajawah kufanya memaaaa na kama qmefanya mbona uzungumzi au utaratibu wako nkiona negativity?????¿

  • @mshanaakbar3687
    @mshanaakbar3687 20 วันที่ผ่านมา

    Broo umesema kweli

  • @aronmtui597
    @aronmtui597 6 หลายเดือนก่อน

    Watu wanapelekwa machinjioni😢😢

  • @Revelation1412.
    @Revelation1412. 5 หลายเดือนก่อน

    UKWELI MZURI SANA HUU NA POINT ZA MSINGI.
    KAMA UKIWEZA MZEE TUSAIDIANE UTUPE UTARATBU SAHIHI NA NJIA SAHIHI YA KUSAJILI KANISA MAANA TUNAKUMBANA NA CHANGAMOTO SANA KAMA UTAKUWA NA UELEWA JUU YA HILI TAFADHALI TUSAIDIANE MAANA KILA SEHEMU INABANWA HASA KWA MAKANISA YANAYOTAMANI KUHUBIRI NA KUFUNDISHA UKWELI WA MUNGU.

    • @Revelation1412.
      @Revelation1412. 5 หลายเดือนก่อน

      IKIWEZEKANA UTUPATIE UTARATBU WA KIKATIBA NA SHERIA ZOTE ZA USAJILI WA MAKANISA

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe9685 6 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 6 หลายเดือนก่อน

    Tunauona sana huo uongo ukweli ila hatuna pa kusemea maana tumekaliwa kooni na watawala na huyo makonda na maigizo yake

  • @user-dp1td4ij7h
    @user-dp1td4ij7h 6 หลายเดือนก่อน

    Makonda anchafua Chama kuweka wazi machafu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 6 หลายเดือนก่อน

    👍✌️👊。

  • @user-tt5rn7kc6l
    @user-tt5rn7kc6l 6 หลายเดือนก่อน

    Wewe ambae unamtetea makonda,huyu mchambuz hashindan na makonda ila anajaribu kuonesha watanzania wengi hatuangalii nyuma ya pazia,ndo ujinga huo kupitia shdaah yako ndo watu wanakamilisha mipango yao

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 6 หลายเดือนก่อน +2

    Tobowa sisi wajinga sana .mimi siwezi kuwa mjinga kama walivyo na mai izo.

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 6 หลายเดือนก่อน +2

    Ignorance and poverty.

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 6 หลายเดือนก่อน

    Maneno ya ni msuri wa moto maana niukweli mtupu

  • @LissaJonas
    @LissaJonas 3 หลายเดือนก่อน

    Watu wanapigwa ganzi 😂

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa9483 6 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wa kaskazin ndio walioleta umasikini katika nchi hii sio makonda hawakuupenda ujamaa hivyo wakahakikisha unakufa ili kutimiza azma ya chifu mareale ya kujitenga fata hotuba ya mareale un 17/6/1958 ilio fuatiwa na ya mwl.nyerr 18/juni/1958 ,usidanganye watu na kuhusu wabunge kukaa dar ,ni upuuzi wao wa kutokujua wajibu wao kwa waliowachagua ziara hii ya makonda ina dhihirisha hawafanyi kazi hawana muda ya kusikiliza shida za wananchi wao kwenye majimbo yao ,

  • @Haleluya3819
    @Haleluya3819 6 หลายเดือนก่อน

    Sina lakusema baba ubarkiwe

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 6 หลายเดือนก่อน

    Hizo hela watakujakuzirudsha kwa gharama na majuto makubwa

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 6 หลายเดือนก่อน

    Wasaka tonge

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 6 หลายเดือนก่อน

    Umeongea ukweli hayo wanaofanya ni unafiki mtupu sehemu nyingi hauwezi yaona hayo yemefanywa Kwa kila raia wao siku nyingi blabla.

  • @michaelmeshaki9931
    @michaelmeshaki9931 6 หลายเดือนก่อน

    WEWE MAKONDA HUMWEZI HATA UTUNGE MANENO MPAKA KESHO YULE MAKONDA ANA KIPAJI

    • @AyoubAbdullrahmanAmir
      @AyoubAbdullrahmanAmir 6 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe michaelmeshaki sidhan kama wew ni Mtanzania ...unajua maana ya kutunga na kunukuuu?..naona ht kiswahili kina kusumbua akili mgando .

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 6 หลายเดือนก่อน

    Moyo na maneno yanatofautiana

  • @ulomirabiel6980
    @ulomirabiel6980 6 หลายเดือนก่อน

    Magu aliyafanya haya haya c kwa lengo la kumsaidia mtu ila kujijenga kisiasa ili waendelee kubaki madarakani. Hata hivyo haikusaidia wakalazimika kuhujumu uchaguzi.

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 6 หลายเดือนก่อน +1

    Huna lolote wewe upo ulaya unakula raha huko Makonda ndo anatutatulia shida zetu huku halafu eti unamkebehi hiyo si sawa kabisa mimi nampenda Makonda kwa kua kanisaidia jee wewe unisaidia nini? Au umewasaidia nini wa Tanzania?

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  6 หลายเดือนก่อน +1

      Pole!

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 6 หลายเดือนก่อน

      @@AnsbertNgurumo 🤣🤣🤣

    • @Revelation1412.
      @Revelation1412. 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@AnsbertNgurumoMzee una busara Sana 🙏

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 6 หลายเดือนก่อน

    Kama tutakuwa na vyama vya aina hii vya upinzani tutachelewa sana kuiondosha CCM madarakani. CCM ina miaka 47 lakini upinzani nao una miaka 32.
    Lengo la kila chama ni kushika Dola na mtaji hakuna mahsusi iwe ni kwa ujinga au busara.
    Watanzania hasa Bara hawana shida ya vyama shida yao ni kutatuliwa kero zao, hivyo yoyote ataefanikiwa ama kwa kusema ukweli au kudanganya hivyo Makonda anajenga chama chake ili kushike dola, anaeona anakosea atumie hiyo fursa.

  • @user-eg2wk4xx3h
    @user-eg2wk4xx3h 6 หลายเดือนก่อน

    Wewe uliye na akili unatusaidia nini?!

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  6 หลายเดือนก่อน

      Nakufikirisha. Wewe usiye nazo je?

  • @user-ye7lx3wu3r
    @user-ye7lx3wu3r 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mwanaume taifa linakuhitaji

    • @user-ye7lx3wu3r
      @user-ye7lx3wu3r 6 หลายเดือนก่อน

      CV

    • @user-ye7lx3wu3r
      @user-ye7lx3wu3r 6 หลายเดือนก่อน +1

      Umenilenga mzee kumbe ndiyo maana tumeshindwa kuwashinda Hawa maadui watatu tangu Uhuru, kumbe wataawala wanafaidika na ujinga pia umasikin, haki leo nimekupatia zote mia heko mzee.

  • @NIMRUDIMKAMA
    @NIMRUDIMKAMA 6 หลายเดือนก่อน

    Watu wote hao katika mikutano ya Makonda ww unawaita wajinga .mm ninavyoona ww haupo sawa.

  • @makibadatela7865
    @makibadatela7865 6 หลายเดือนก่อน

    Watanzania walio wengi hawajui mfumo ni kitu gani hasa na utautambuaje? Wanaona watu wanaofanya kazi kwenye mfumo ndio tatizo sio mfumo wasio uona. Mfano wana amini tatizo la kukatika katika kwa umeme ni tatizo la watendaji wa Tanesco na wauzaji wa majereta. na Mfano mwingine Utendaji mbovu wa Shirika la Reli ni mbinu zawenye mabasi na malori binafsi kuhujumu Reli.

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 6 หลายเดือนก่อน

    Acha uongo nani mwana wa mungu😅😅

  • @ndakimanyakenda1519
    @ndakimanyakenda1519 6 หลายเดือนก่อน

    ngenge la wahuni walio jificha limechanganyikiwa baada ya kuona mun
    gu kamwamusha maguful ndan ya makonda sasa wanatapatapa genge zima linahangaika na mtu mmoja,

    • @nyamizimpangule8640
      @nyamizimpangule8640 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @akamsumari5204
    @akamsumari5204 6 หลายเดือนก่อน

    Makonda anaumia kweli ila hana mamlaka ngj tumpe uwaziri mkuu ndo utamuelewa

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  6 หลายเดือนก่อน

      Wambie watoto wadogo ambao hawakumwona Augustine Mrema au waongopee watu wazima ambao shule haikuwasaidia kujifunza kufikiri na kutafakari.

    • @AyoubAbdullrahmanAmir
      @AyoubAbdullrahmanAmir 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@AnsbertNgurumoUmenisaidia kujibu kama vile ulikua ndan yangu nilitaka nimjibu hivyo hivyo, maana nakumbuka Mrema kwa kukurupuka kwake akaenda air port kukamata pesa zao wenye nchi akaambiwa za vigogo akaacha zikapita.

  • @januarysila1569
    @januarysila1569 6 หลายเดือนก่อน

    Ngurumo wewe ni nabii ira watanzania tutakuja kushituka siku muumba wetu atakapo kuita ndio tutajua kumbe turiishi na nabii

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 6 หลายเดือนก่อน

    Hii ni tabia ambayo waafrika tunao. Waafrika wanagombea kushika dola kwa lengo kubwa kujitajirisha kwa mgongo wa rasilimali za wananchi.
    Hii ngozi nyeusi nadhani tumelaaniwa wote kwa ujumla wetu na Mwenyezi Mungu.
    Hapa kwetu Tanzania, ni nani nje ccm anaweza kua kiongozo wa kuzingatia kiapo chake? Hayupo kabisa na hakuna hakuna dalili kuwepo . Wote ni laana tu

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 6 หลายเดือนก่อน

      Tufanyaje?

    • @AyoubAbdullrahmanAmir
      @AyoubAbdullrahmanAmir 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@aminimushi6945hujamuelewa mpaka hapo huyu ni waleee!kichwa kikubwa ubongo mdogo,

  • @ephraimmakaranga1795
    @ephraimmakaranga1795 6 หลายเดือนก่อน

    Ungekuwa wewe umetumwa Na Rais ungefanya nn Acha Makonda afanye aliyotumwa na Rais Anafanya ili waonekane wasizidizi wa Rais walivyo wabovu Makonda yuko sahihi tu

  • @ramadhanibahati2829
    @ramadhanibahati2829 6 หลายเดือนก่อน

    Unadhani afanye nini kama mwenezi

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  6 หลายเดือนก่อน

      Aeneze sera na itikadi za chama chake.

  • @marthakimia4075
    @marthakimia4075 6 หลายเดือนก่อน

    Mnatumalizia bundles zetu

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 6 หลายเดือนก่อน

    daaa ina uma sana baba wajinga mtaji tosha kwa wata wala

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 6 หลายเดือนก่อน

    Makonda nyima usingizi huyo mtu 😂😂😂

    • @charlesshitobelo6870
      @charlesshitobelo6870 6 หลายเดือนก่อน

      Ngurumo kisha sema, mko wengi mnaolaghaika kwa ukweli wa Kishetani ili hatimaye mfikishwe machinjioni. Wewe ni mmoja wapo.

    • @aediayumgo8546
      @aediayumgo8546 6 หลายเดือนก่อน

      @@charlesshitobelo6870 huyo mkimbizi wa mchongo nawewe unamuamini pole Sana dogo, 🤯

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@aediayumgo8546nini kilimkimbiza

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 6 หลายเดือนก่อน

    Ccm kuanguka itaanguka ila si chadema itaangusha CCM coz hao Chadema hawako serious nawao wanatafuta kula tu. Nawatanzania tujuwe adui wa CCM ni mtu wa CCM na watakao idondosha CCM niwana CCM wenyewe na atakaye tawala baada ya CCM kuanguka ni mtu aliyetoka ndani ya CCM baada ya kuanguka.

    • @humphreychristopher8577
      @humphreychristopher8577 6 หลายเดือนก่อน +1

      Fikiri vizuri tena fikiri mara mbili kwa utulivu zaidi

    • @user-wu6dx3ho4e
      @user-wu6dx3ho4e 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kula sio shida, maana hakuna asiyekula. Sikia hoja ya msingi

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 6 หลายเดือนก่อน

    Acha uongo, maisha anachagua mtu mwenyewe. Mbona watu wakisimamiwa wafanye kazi mnalalamika, wakitumbuliwa mnasema ubabe, na hasa wewe mwenyewe.

    • @stephenndagalla8183
      @stephenndagalla8183 6 หลายเดือนก่อน +1

      Uongo upi kati ya mambo aliyoyataja yaliyofanywa na Bwn wako Makonda?? Wewe ni kati ya wale WAJINGA, MBUMBUMBU wanaosadiki usanii wa Makonda.

    • @majaliwabwitonde6900
      @majaliwabwitonde6900 6 หลายเดือนก่อน

      @@stephenndagalla8183 ukiwa kwenye level ya upumbavu lazima ukubali kila kitu

    • @user-ub1yx5vc8b
      @user-ub1yx5vc8b 6 หลายเดือนก่อน

      Majaliwa hatukushangai upon katika kundi la mazuzu.

    • @majaliwabwitonde6900
      @majaliwabwitonde6900 6 หลายเดือนก่อน

      @@user-ub1yx5vc8b zuzu mwenyewe mwenye kichwa kimelala unakubali kila kitu

  • @hockingsshangali1747
    @hockingsshangali1747 6 หลายเดือนก่อน +1

    ngurumo unapokumbusha mambo ambayo wajinga usahau haraka sio wanafanya hivyo kwa makusudi ila ni kwasababu ya hicho kiitwacho ujinga.

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 6 หลายเดือนก่อน

    Wasaka tonge